kama na ww huon sababu ya mroto kutenguliwa kwenye ukamanda wake like yako ni mhimu
@eliazarinyakiema19694 жыл бұрын
Adhabu za kijeshi, sisi sio lazima tujue. Wamalizane huko huko.
@edrickmbilig10214 жыл бұрын
Mbona kamanda Muroto anapiga kazi saf Nini shida kwake jaman akuna kama kamanda wa dodoma
@mehdyahmed8479
4 жыл бұрын
Oya ndugu muroto Hana issue kabisa yeye ni mtu wakujipendekeza kazini anajifanya anachapa kazi ili 2mradi jina lake linuke
@mwambietv7614
4 жыл бұрын
Edrick Mbilig mbwembwe tu hakuna kazi
@emanuelmwanga4
3 жыл бұрын
Huwezi jua pengine kavunja sheria
@e.j.starelia56724 жыл бұрын
Umekosea sana kumsimamisha muroto!!!! Tena umekosea mnoo!!!!! Kamanda muroto nakubali kazi zake za kukomesha uhalifu,,,bora utoke wew lkn siyo kamanda Wa Dodoma plz
@samweljohn7960
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 bora atoke yy
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Wanajuana hao we nyamaza
@MpiganajiFundi
Ай бұрын
Ww unamuona t ila humjui
@mercykimuto98824 жыл бұрын
I love you kamanda Sirro unafanya kazi watendaji wasikuangushe piga kazi tunakuombea
@aloycekiwia86134 жыл бұрын
Muroto mnamfukuza kweli.!!?? Mbona Ni kipenzi cha wengi jamani.! Wow..
@bockernyarusahi3655
4 жыл бұрын
Aloyce Kiwia utawaweza hawa Waandishi wetu,kisemawacho na uhalisia ni tofaut(kichwa cha habar na yaliyomo ni tofauti)
@aloycekiwia8613
4 жыл бұрын
@@bockernyarusahi3655 Kweli Aisee ilinishtua nilipoona kichwa cha habari.
@aminahamisi2837
3 жыл бұрын
Mruto yuko sasa mbona wanamfukuza
@paulebby15524 жыл бұрын
Mambo ya kijeshi uswahilini??!! Nchi imepoteana Polisi wacheni kiki mnadhalilisha jeshi
@stanslausmteme8455
4 ай бұрын
Anakosea sana hili jeshi sio vema kudhalilishana
@omarymohammed28804 жыл бұрын
muroto no muadilifu na mpiga kazi sana katika sekta la jeshi la polisi dodoma very exelent n hard working
@emmanuelndahan14214 жыл бұрын
Yy mbna kawaonesha wenzake, angewapa ordér kiaskari zaidi
@jimsonjimmy92324 жыл бұрын
Tuachie mroto wetu huyu kamanda ddm ameisafisha kabisa mfano wizi wabodaboda saivi umepungua siro chonde
@loner_wolf4 жыл бұрын
Nadhani hii Ni sababu tu.... Makamanda wanapiga kazi nzuri Sana.... JPM anamjua Muroto na huwa anatazama clips zake za kazi inayofanyika dodoma, Sasa Sirro nawewe jipange mzee atakuhoji hili....
@musasimba36894 жыл бұрын
Muroto usimtengue IGP muache Kama unamkubali muroto gonga like hapa
@nipolive..27454 жыл бұрын
Siro uko vizuli sana hao utaza wagombea. Wanazalilisha jeshi
@EK-kp2np4 жыл бұрын
Hao walionyanyuliwa wote wachapa kazi, sijui changa la macho hili🤷🏼♂️🤔
@kebo21554 жыл бұрын
Aaaa mbona wa dodoma anafanya kazi yake kizalendo???!!!
@walivyojuma7095
4 жыл бұрын
Mengi yapo ndani yamtungi
@isaacemily1889
4 жыл бұрын
Siro mjanja hao ni wanafiki nawajua wanajipendekezaga wapate vyeo
@clementmathias9512
4 жыл бұрын
Kudhalilisha watu ndo uzalendo? Utaendaje kumtangaza mtu mwizi na mahakama haijadhibitisha
@younginspired38994 жыл бұрын
Muroto kazidisha show off, kutokana na ethics police officers hawaruhusiwi kumchukua mtuhumiwa na kumpeleka kwenye cameras what for!!
Kamanda murito usimsimamishe kazi ukimsimamisha kazi na wewe nitamwambia raisi magufuli akusimamishe kazi au tunakuroga sawa,🇲🇾
@Rashidmhedhery4 жыл бұрын
Nchi imekufa,!!!!! Haya mambo yanatakiwa yawe public!? Kudhalilishana huku, ovyooooooooooo!
@alexkabeho5609
4 жыл бұрын
Police ni public servants not defence so sijui una maana gani hapo, unafikili unawzidi kua professional?
@Rashidmhedhery
4 жыл бұрын
alex kabeho : does this needs to be public? Use your common sense 😓
@subiramohd8854 жыл бұрын
mimi Huyo wa Dodoma na mambo sasa siwapendi
@aminahamisi2837
3 жыл бұрын
Mruo yuko Sawa kwenye kazi ila mambo sasa ni balaa tupu
@simbarajabu41574 жыл бұрын
Asante kamanda mkuu,hata sisi raia tunahitji kujuwa
@raphaelrespichius85084 жыл бұрын
Chombo cha kuthibitisha uharifu ni mahakama tu,police wanakuwa na watuhumiwa wa uharifu
@oopsm3574
4 жыл бұрын
"Uhalifu"
@emmanuelmogela58713 жыл бұрын
Hii sio powa siro,mnaabisha jeshi fanyeni mambo kimya kimya
@amosgerald77633 жыл бұрын
Aisee
@uledimtumwa24064 жыл бұрын
Yeye mbona anawaonesha sasa!!!??? Tusifichane wahalifu lazima tuwajue.
@clementmathias9512
4 жыл бұрын
Kwani wao waharifu?
@rehemakasebele62544 жыл бұрын
Mmevuka mpaka sasa hayakutakiwa tuyajue haya jamn
@hambalgullam81784 жыл бұрын
I like it
@henrytimoth99673 жыл бұрын
Mroto kawa mpole kama sio yeye
@getrudalufega97703 жыл бұрын
Hafai kwanza aliwatukana mama zetu
@hanafiwakileo28654 жыл бұрын
Sija wahi kuona tangu tupate uhulu kweli magu hachekina mtu
@ibrahimbaraka4607 Жыл бұрын
Sro turikua tunakupenda
@chimbokiswaga86623 жыл бұрын
Sasa sheriaza kijeshi huku za nn mboni mdharirishajeshi hayo.muwe mna malizia hukhko huku sisi ya nn Sasa
@josephkessy54864 жыл бұрын
Hiki kikao ingefaa tusikione.
@ngometvarusha40304 жыл бұрын
Labda walibainika wakimtete igp kuwa hatoshei nafasi hiyo alafu wakawa wanakaidi amri zake
@Ndu-wa.uroony24 жыл бұрын
Mzee WA kipigo cha mbwa koko leo utapata tabu sana! hiiiii mi huwa nacheka tu
@gregorykalokole7728
4 жыл бұрын
Hapa kazi tu!
@imeldabamba3779
4 жыл бұрын
😁😁😁🏃🏃🏃🏃
@e.j.starelia56724 жыл бұрын
Kamanda siro na wew kuwa makini na kazi zako pia siyo vizuri kuwaaibisha wenzako ni bora ungeongea nao private bila kuchukua mikanda ya video
@godfreydaniel61674 жыл бұрын
Mteue tena sisi tunamkubali Muroto wetu...anapiga kazi sana kwanini umtoe kamanda
@magingapaulo66734 жыл бұрын
Safi siro
@ameenaameena12243 жыл бұрын
Hee nanyie kumbe
@othmanmussa84924 жыл бұрын
Mimi binafsi namkubali sanaaaa,,,kamanda Muroto.
@jitulakalemastr76363 жыл бұрын
Iyo azabu haitosh ungelifukuza kabisa
@charlesemmanuel94343 жыл бұрын
Sikuhizi hatuna waandishi wa habari wasomi
@mgongolwajoseph69014 жыл бұрын
Leo muroto umekiwa mpole kila mbabe na mnyinge utapata tabu sana
@joiycecharles6514
3 жыл бұрын
. Lo
@joiycecharles6514
3 жыл бұрын
. Lo
@godfreydaniel61674 жыл бұрын
Bring back our Muroto
@mtitimtiti3764 жыл бұрын
Afande siro mpiga kazi sanaaaa
@abdikadirabdisalan99024 жыл бұрын
Naamini katikati africa mashariki tanzania inaongoza katikati uwendeshaji bora na utawala..Kenya and UG wana mengi ya kujifunza kutoka TZ
@rashidijumaaorwaka66994 жыл бұрын
Jamani kuna tofauti kati ya watuhumiwa na waarifu. Waarifu huthibitishwa na mahakama na sio mtu mwingine. Muroto anaowaonyesha huwa ni watuhumiwa na sio waarifu sasa nashangaa mnaomtukana sirro
@josephatalphonce44744 жыл бұрын
Kwa murot umefeli utengunz coz ni mtu strong
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Mwiz balaa unqdhqni sababu ni hyo unayoiona hapo😪✍️🤣
@masudinangololo36724 жыл бұрын
Namkubali Sana kamanda muroto
@alexmatt95043 жыл бұрын
Mbona hatujasikia kauli ya Mroto kusimamishwa kazi au ni kusimamishwa ili atoe hoja? Waandishi mnatuchanganya.
@abdullaabdulla86183 жыл бұрын
Wewe uliepost huna adabu,unatoa kichwa cha habari yako vile unavyojisikia
@bakarimussa41643 жыл бұрын
Mambo za kijeshi malizeni kimyakimya haya tuhusu raia.
@aminirapa24704 жыл бұрын
Kiukweli hii aijakaa vizur naona kama umemzalilisha muroto na kumfanya ashindw kufanya kazi yake kwa Uhuru ni heli mngeyaongea kimyakimya mkuu
@upendohalisi80
4 жыл бұрын
Kabisa Amini da!! Hi siyo ya kuleta huku
@abrahmapenzionlinetv4 жыл бұрын
Acheni uhanithi huo wa vichwa vya habari vya ajabu #wasafisimulizi
@mariamukajiru18984 жыл бұрын
TUNAPOTAKA KUTATUA MATATIZO KUPITIA MITANDAO UKIZINGATIA NI JESHI LA POLICE HATUONI KUWA TUNA- EXPOSE UDHAIFU WETU KWA NCHI NYINGINE , KWAKUWA UMESEMA KUNA MAJUNGU NA FITNA...TAFSIRI MPO DISUNITY...
@alexkabeho5609
4 жыл бұрын
Polisi ni under waziri wazili ya mambo ya ndani (home affairs ) Not defence minster so no exposure yoyote pale. Ni watumishi ya uma hawalinde mpaka ya inchi. Hope umeelewa
@sembojwamaterial84094 жыл бұрын
😢😢afande muroto..poleee
@allyduwa99144 жыл бұрын
Good job afande siro
@georgeerick31404 жыл бұрын
uyu mroto yupo vizur sema anaenda kizamani xjui ni elimu!!! mroto jeshi lazamani la udhalilishaji alipo tena nenda kisomi,usitumbuliwe na siro hana mchezo uyo,ilo jembe alitaki masyala.
@gasperkunambi95384 жыл бұрын
Vizuri ila msifokeane hadharani,mbarikiwe
@gidionelias62764 жыл бұрын
Siro waharifu waonyeshwe tuwajue
@clementmathias9512
4 жыл бұрын
They are guility until the coart
@emanuelmwanga43 жыл бұрын
Si alisema atachakaza watu we unachakazwa leo
@raphaelnestory19904 жыл бұрын
Namkubali kamanda dodomaaa
@gasparlubaga58664 жыл бұрын
Muroto mumemuonea
@ceciliajimmy56524 жыл бұрын
Tusichanganye uhalifu au utuhumiwa na uwajibikaji. Hapo Kamanda yupo sahihi kabisa maana hataki kumwonea mtu ndio maana anawahoji mmoja baada ya mwingine. Big-up IGP.
@maxmaizer46314 жыл бұрын
Daaaaaa mzee waukiingia Dodoma kufanya ualifu utoki salama Leo ymekuwa aya
@rajabmhando3819
4 жыл бұрын
Hahahaaaaa yamemkuta leo
@maxmaizer4631
4 жыл бұрын
@@rajabmhando3819 daaaa km zali mzee kapoa leo
@luperbukuku2659
4 жыл бұрын
Anachokesea mroto ni kudhalilisha watuhumiwa na watuhumiwa hawajathibitishwa kuwa wana makosa ....je wakishinda kesi mahakamani na umewadhalilisha nan atawasafisha
@reubendick40333 жыл бұрын
Hahahahaha heka heka hizi bora kujiajiri
@adamdaudi61914 жыл бұрын
Huyo kamanda wa Mwanza amekaa ki Mwanza Mwanza, siyo wa mchezo mchezo!.
@awadhirajabu77544 жыл бұрын
Kamanda Wewe Utaki Makamanda Kuonesha Watuumiwa Live Mbona Wewe Uko Live Apo Vipi Muroto Anafanya Kazi Nzuli Sana
@simontamba1285
4 жыл бұрын
Awadhi Rajabu kwani yy yupo Na watuhumiwa?
@awadhirajabu7754
4 жыл бұрын
simon tamba ..Atupaswi Kujua Mambo Yao Ya Ndani Unajua Polic Wanapozidi Kujionesha Kila Muda Ndivo Waarifu Nao Wanapata Mwanya Zaidi Wa Kujifunza Vitu Ambavo Adimu Waarifu Niwengi Sana Isipokua Wanaogopa Awamu Hii Ni Moto Sasa Nao Polic Wasiwe Na Muda Mwingi Wa Kujianika Ovo Mitandaoni Muroto Kutuonesha Live Watuumiwa Ni Jambo Jema Kwasababu Ni Sehemu Ya Azabu Pia Napia Inatusaidia Kujua Tabia Ya Mtu Mana Unaweza Kumkalibisha Mtu Ndani Asubui Unajikuta Na Kilio Mwizi Atabiliki Polic Apaswi Kujianika Ovo Ovo Kwasababu Watu Wanaowatazama Wako Majambazi Vibaka Na Magaidi Sasa Hata Siku Akienda Sehemu Kuperereza Jambo Hata Akivaa Kilaiya Sura Yake Itajulikana Sasa Kijiji C Kitajua Kama Yuko Asikari Majambazi Wanaambiana Fasta Hii Njia Ya Kujionesha Sio Nzuli Hii Mitandao Inatumaliza Sana
@othmanmgeni92323 жыл бұрын
Huyu muroto anataka sifa Sana mbwa huyu
@laiserkuyan60753 жыл бұрын
Kamanda moroto wa Dodona Ako Sawa hanapapana kweli Na uwalifu
@prosperulungi29983 жыл бұрын
Hapo haja inagonga mlango
@josephshao4754 жыл бұрын
We mwandishi unagongwa
@mwambietv76144 жыл бұрын
Muroto anatetemeka haahahaah 😂 😂
@minaside67174 жыл бұрын
Magufuli oyee 😁😁 Mpaka askari anasahau tarehe
@anuaryally6177
4 жыл бұрын
Kusahau tumeumbiwa na mungu
@clementmathias9512
4 жыл бұрын
Sasa hapo magufuli anahusika na nn tena?
@gwantahbrainhalisi35274 жыл бұрын
IGP kanenepa sana... Achunguzwe na yeye
@centralboytz4240
4 жыл бұрын
😀😀😀😀
@allyduwa99144 жыл бұрын
Kumbe kila mtu ana m,babe wake unashau mpka tarehe hii kali wacha nicheke
@harunakayega55314 жыл бұрын
Dah aisee inaelekea wamemkwaza sana kamanda
@sandalalutubija2353 жыл бұрын
Kwel make kunamakamanda weningine hata jambo ndgo adi kamera cpend kamata mtu mpereke polis cyo ad wandish wa habal
@ibrahimaziz71584 жыл бұрын
Mzeee wa mtapata tabu sana kauli imemuandama yy mwenyew leo hhhhh
@anoldjose7793
4 жыл бұрын
Malipo hapa hapa dunian😁😁
@charugamba2183 жыл бұрын
Kamanda Siro wasisitize hao makamanda wakaze kamba ujambazi umerudi kwa kasi sasa baada ya kifo cha hayati Mh: Dr JPM sijui shida nini?
@godfreydaniel61674 жыл бұрын
Tunamtaka Muroto wetu Kamanda kwanini umtengue?
@fredjohntanzania38814 жыл бұрын
UNAMTENGUAJE MUROTO???????? DAAAAAAAH
@carlosndyetabula6564 жыл бұрын
Waandishi wa habari mnaharibu hii taaluma huu upotoshaji tafuta hela kwa uhalali kichwa cha habari hakihusu hiyo habari,naelewa taaluma ya habari inaniuma kuona umeandika kichwa kinyume na habari kwa masilahi binafsi,tabia mbaya hii,watakaoponda kwasababu hawajui au kutokufikiri vzr
@MatukioDaily
4 жыл бұрын
Huelewi Taaluma ya Habari Wewe: Hicho Kichwa cha Habari Kiko Sawa Kabisa... Ukijifunza Vizuri "Writing the Best Headline for Hard News" Utagundua ni namna gani kichwa hiki cha habari kiko sawa.... na Pia Katika "Qualities of News Headlines" kuna mambo ya msingi ya kuzingatiwa kama vile Prominence, Conflict etc 1. Ni kweli IGP Kamsimamisha Kamanda Mroto ili Ajieleze (Hapo Mwandishi Kaandika Heading inayoshika Attention ya Msomaji na Mtizamaji ili Afuatilie Ajue imekuwaje) 2. Ni Kweli IGP Kasema "Natengua Hapahapa"... Hapo pia Mwandishi kama makini kugundua ni maneno yapi yataifanya habari yake kuwa ma vionjo vya tofauti. Mengine Mengi Siwezi Kuyaeleza Hapa Lakini Nampa Kongole Mwandishi wa Headline... NOTE: Ungekuwa ni Mwanahabari unayeijua vizuri taaluma hii Hakika ungenielewa bila kubisha lakini kama siyo mwanahabari ni ngumu sana kunielewa.
@carlosndyetabula656
4 жыл бұрын
@@MatukioDaily naelewa na mimi ni mtaaluma,kuna aina za leads nyingi hiyo aliyoandika ni provocative,quotation kwa wakati mmoja,instead angeandika IGP SIRRO AKAA NA RPCs au namna nyingine maana sio muroto pekee
@francisnkinga6550
4 жыл бұрын
Carlos Ndyetabula 👍
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Ikiwezekana atumbue wote aweke wapya nayy ajitumbue tu me sielewagi kabsa kazi zao kukmbzana na ving,ora tu et askari anaogopa kuingia nyumba haina umeme we hao askari au vyura😏😏😏
@wistonmnubi31044 жыл бұрын
Good
@salehsuleiman12184 жыл бұрын
Nadhan kuna namna2 hapa lkn Muroto si wakutolewa jmn mbn ni mchapa kazi vzr2 anajitahid au chuki zishapelekwa.
@paull86594 жыл бұрын
Nimeliona lile Gorila la Dodoma( ..nitawapiga waandamaji mpaka wachakae, kama mbwa koko)..🤨😟
@showfive44134 жыл бұрын
Wanaomtetea mruto ni wale wanaomuona akijionyesha kwenye video kila akikamata mwiz hata kama kaiba baiskel. ndio wanaona anapiga kaaaaaazi
@oyay28214 жыл бұрын
Hio haiendi mahali. Kesho utasikia wamerudishwa
@isaacemily18894 жыл бұрын
Huyu kamanda Wa Mwanza mjinga sana fukuza kazi
@allyomary6114 жыл бұрын
Hamjaona anavyotuonea watu wamaror taazamagar zaubavuni zatusaidia usiku yeye hazitaki
@othmanmgeni92323 жыл бұрын
Anapenda Sana kujiona Sana fala huyu
@veronikadalali7251
3 жыл бұрын
Unamtukana nan ww nyang'au
@mako3314 жыл бұрын
Sheria ileile unayosema Muroto anaivunja na wewe pia mbona unawadhalilisha makamanda? Nafikiri sheria za kipolisi nidhamu ifanyike bila vyombo vya habari
@lubatikoseme14464 жыл бұрын
Haua mambo yenu sisi wananchi mnatuonyesha ya nini..kiki za kijinga tu. Malizeni nyuma ya panzia
@abaafarhat91914 жыл бұрын
Kila mtu ana boss wake
@barakamfugale10494 жыл бұрын
Muruto mnamtetea nyie mnamjua hapo wanajuana wenyewe kwa wenyewe
@ziadaalute68364 жыл бұрын
Hahaaa atapata taabu sanaa😀😁😀😁
@emmanuelhilary88094 жыл бұрын
noma xana
@pichabapa22014 жыл бұрын
Kwani hiki kikao si cha ndani??? Mbona tena KZread?????
Пікірлер: 199
kama na ww huon sababu ya mroto kutenguliwa kwenye ukamanda wake like yako ni mhimu
Adhabu za kijeshi, sisi sio lazima tujue. Wamalizane huko huko.
Mbona kamanda Muroto anapiga kazi saf Nini shida kwake jaman akuna kama kamanda wa dodoma
@mehdyahmed8479
4 жыл бұрын
Oya ndugu muroto Hana issue kabisa yeye ni mtu wakujipendekeza kazini anajifanya anachapa kazi ili 2mradi jina lake linuke
@mwambietv7614
4 жыл бұрын
Edrick Mbilig mbwembwe tu hakuna kazi
@emanuelmwanga4
3 жыл бұрын
Huwezi jua pengine kavunja sheria
Umekosea sana kumsimamisha muroto!!!! Tena umekosea mnoo!!!!! Kamanda muroto nakubali kazi zake za kukomesha uhalifu,,,bora utoke wew lkn siyo kamanda Wa Dodoma plz
@samweljohn7960
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 bora atoke yy
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Wanajuana hao we nyamaza
@MpiganajiFundi
Ай бұрын
Ww unamuona t ila humjui
I love you kamanda Sirro unafanya kazi watendaji wasikuangushe piga kazi tunakuombea
Muroto mnamfukuza kweli.!!?? Mbona Ni kipenzi cha wengi jamani.! Wow..
@bockernyarusahi3655
4 жыл бұрын
Aloyce Kiwia utawaweza hawa Waandishi wetu,kisemawacho na uhalisia ni tofaut(kichwa cha habar na yaliyomo ni tofauti)
@aloycekiwia8613
4 жыл бұрын
@@bockernyarusahi3655 Kweli Aisee ilinishtua nilipoona kichwa cha habari.
@aminahamisi2837
3 жыл бұрын
Mruto yuko sasa mbona wanamfukuza
Mambo ya kijeshi uswahilini??!! Nchi imepoteana Polisi wacheni kiki mnadhalilisha jeshi
@stanslausmteme8455
4 ай бұрын
Anakosea sana hili jeshi sio vema kudhalilishana
muroto no muadilifu na mpiga kazi sana katika sekta la jeshi la polisi dodoma very exelent n hard working
Yy mbna kawaonesha wenzake, angewapa ordér kiaskari zaidi
Tuachie mroto wetu huyu kamanda ddm ameisafisha kabisa mfano wizi wabodaboda saivi umepungua siro chonde
Nadhani hii Ni sababu tu.... Makamanda wanapiga kazi nzuri Sana.... JPM anamjua Muroto na huwa anatazama clips zake za kazi inayofanyika dodoma, Sasa Sirro nawewe jipange mzee atakuhoji hili....
Muroto usimtengue IGP muache Kama unamkubali muroto gonga like hapa
Siro uko vizuli sana hao utaza wagombea. Wanazalilisha jeshi
Hao walionyanyuliwa wote wachapa kazi, sijui changa la macho hili🤷🏼♂️🤔
Aaaa mbona wa dodoma anafanya kazi yake kizalendo???!!!
@walivyojuma7095
4 жыл бұрын
Mengi yapo ndani yamtungi
@isaacemily1889
4 жыл бұрын
Siro mjanja hao ni wanafiki nawajua wanajipendekezaga wapate vyeo
@clementmathias9512
4 жыл бұрын
Kudhalilisha watu ndo uzalendo? Utaendaje kumtangaza mtu mwizi na mahakama haijadhibitisha
Muroto kazidisha show off, kutokana na ethics police officers hawaruhusiwi kumchukua mtuhumiwa na kumpeleka kwenye cameras what for!!
Asante IGP siro... hapa mkwaju popote hakuna kuhofia
Kamanda murito usimsimamishe kazi ukimsimamisha kazi na wewe nitamwambia raisi magufuli akusimamishe kazi au tunakuroga sawa,🇲🇾
Nchi imekufa,!!!!! Haya mambo yanatakiwa yawe public!? Kudhalilishana huku, ovyooooooooooo!
@alexkabeho5609
4 жыл бұрын
Police ni public servants not defence so sijui una maana gani hapo, unafikili unawzidi kua professional?
@Rashidmhedhery
4 жыл бұрын
alex kabeho : does this needs to be public? Use your common sense 😓
mimi Huyo wa Dodoma na mambo sasa siwapendi
@aminahamisi2837
3 жыл бұрын
Mruo yuko Sawa kwenye kazi ila mambo sasa ni balaa tupu
Asante kamanda mkuu,hata sisi raia tunahitji kujuwa
Chombo cha kuthibitisha uharifu ni mahakama tu,police wanakuwa na watuhumiwa wa uharifu
@oopsm3574
4 жыл бұрын
"Uhalifu"
Hii sio powa siro,mnaabisha jeshi fanyeni mambo kimya kimya
Aisee
Yeye mbona anawaonesha sasa!!!??? Tusifichane wahalifu lazima tuwajue.
@clementmathias9512
4 жыл бұрын
Kwani wao waharifu?
Mmevuka mpaka sasa hayakutakiwa tuyajue haya jamn
I like it
Mroto kawa mpole kama sio yeye
Hafai kwanza aliwatukana mama zetu
Sija wahi kuona tangu tupate uhulu kweli magu hachekina mtu
Sro turikua tunakupenda
Sasa sheriaza kijeshi huku za nn mboni mdharirishajeshi hayo.muwe mna malizia hukhko huku sisi ya nn Sasa
Hiki kikao ingefaa tusikione.
Labda walibainika wakimtete igp kuwa hatoshei nafasi hiyo alafu wakawa wanakaidi amri zake
Mzee WA kipigo cha mbwa koko leo utapata tabu sana! hiiiii mi huwa nacheka tu
@gregorykalokole7728
4 жыл бұрын
Hapa kazi tu!
@imeldabamba3779
4 жыл бұрын
😁😁😁🏃🏃🏃🏃
Kamanda siro na wew kuwa makini na kazi zako pia siyo vizuri kuwaaibisha wenzako ni bora ungeongea nao private bila kuchukua mikanda ya video
Mteue tena sisi tunamkubali Muroto wetu...anapiga kazi sana kwanini umtoe kamanda
Safi siro
Hee nanyie kumbe
Mimi binafsi namkubali sanaaaa,,,kamanda Muroto.
Iyo azabu haitosh ungelifukuza kabisa
Sikuhizi hatuna waandishi wa habari wasomi
Leo muroto umekiwa mpole kila mbabe na mnyinge utapata tabu sana
@joiycecharles6514
3 жыл бұрын
. Lo
@joiycecharles6514
3 жыл бұрын
. Lo
Bring back our Muroto
Afande siro mpiga kazi sanaaaa
Naamini katikati africa mashariki tanzania inaongoza katikati uwendeshaji bora na utawala..Kenya and UG wana mengi ya kujifunza kutoka TZ
Jamani kuna tofauti kati ya watuhumiwa na waarifu. Waarifu huthibitishwa na mahakama na sio mtu mwingine. Muroto anaowaonyesha huwa ni watuhumiwa na sio waarifu sasa nashangaa mnaomtukana sirro
Kwa murot umefeli utengunz coz ni mtu strong
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Mwiz balaa unqdhqni sababu ni hyo unayoiona hapo😪✍️🤣
Namkubali Sana kamanda muroto
Mbona hatujasikia kauli ya Mroto kusimamishwa kazi au ni kusimamishwa ili atoe hoja? Waandishi mnatuchanganya.
Wewe uliepost huna adabu,unatoa kichwa cha habari yako vile unavyojisikia
Mambo za kijeshi malizeni kimyakimya haya tuhusu raia.
Kiukweli hii aijakaa vizur naona kama umemzalilisha muroto na kumfanya ashindw kufanya kazi yake kwa Uhuru ni heli mngeyaongea kimyakimya mkuu
@upendohalisi80
4 жыл бұрын
Kabisa Amini da!! Hi siyo ya kuleta huku
Acheni uhanithi huo wa vichwa vya habari vya ajabu #wasafisimulizi
TUNAPOTAKA KUTATUA MATATIZO KUPITIA MITANDAO UKIZINGATIA NI JESHI LA POLICE HATUONI KUWA TUNA- EXPOSE UDHAIFU WETU KWA NCHI NYINGINE , KWAKUWA UMESEMA KUNA MAJUNGU NA FITNA...TAFSIRI MPO DISUNITY...
@alexkabeho5609
4 жыл бұрын
Polisi ni under waziri wazili ya mambo ya ndani (home affairs ) Not defence minster so no exposure yoyote pale. Ni watumishi ya uma hawalinde mpaka ya inchi. Hope umeelewa
😢😢afande muroto..poleee
Good job afande siro
uyu mroto yupo vizur sema anaenda kizamani xjui ni elimu!!! mroto jeshi lazamani la udhalilishaji alipo tena nenda kisomi,usitumbuliwe na siro hana mchezo uyo,ilo jembe alitaki masyala.
Vizuri ila msifokeane hadharani,mbarikiwe
Siro waharifu waonyeshwe tuwajue
@clementmathias9512
4 жыл бұрын
They are guility until the coart
Si alisema atachakaza watu we unachakazwa leo
Namkubali kamanda dodomaaa
Muroto mumemuonea
Tusichanganye uhalifu au utuhumiwa na uwajibikaji. Hapo Kamanda yupo sahihi kabisa maana hataki kumwonea mtu ndio maana anawahoji mmoja baada ya mwingine. Big-up IGP.
Daaaaaa mzee waukiingia Dodoma kufanya ualifu utoki salama Leo ymekuwa aya
@rajabmhando3819
4 жыл бұрын
Hahahaaaaa yamemkuta leo
@maxmaizer4631
4 жыл бұрын
@@rajabmhando3819 daaaa km zali mzee kapoa leo
@luperbukuku2659
4 жыл бұрын
Anachokesea mroto ni kudhalilisha watuhumiwa na watuhumiwa hawajathibitishwa kuwa wana makosa ....je wakishinda kesi mahakamani na umewadhalilisha nan atawasafisha
Hahahahaha heka heka hizi bora kujiajiri
Huyo kamanda wa Mwanza amekaa ki Mwanza Mwanza, siyo wa mchezo mchezo!.
Kamanda Wewe Utaki Makamanda Kuonesha Watuumiwa Live Mbona Wewe Uko Live Apo Vipi Muroto Anafanya Kazi Nzuli Sana
@simontamba1285
4 жыл бұрын
Awadhi Rajabu kwani yy yupo Na watuhumiwa?
@awadhirajabu7754
4 жыл бұрын
simon tamba ..Atupaswi Kujua Mambo Yao Ya Ndani Unajua Polic Wanapozidi Kujionesha Kila Muda Ndivo Waarifu Nao Wanapata Mwanya Zaidi Wa Kujifunza Vitu Ambavo Adimu Waarifu Niwengi Sana Isipokua Wanaogopa Awamu Hii Ni Moto Sasa Nao Polic Wasiwe Na Muda Mwingi Wa Kujianika Ovo Mitandaoni Muroto Kutuonesha Live Watuumiwa Ni Jambo Jema Kwasababu Ni Sehemu Ya Azabu Pia Napia Inatusaidia Kujua Tabia Ya Mtu Mana Unaweza Kumkalibisha Mtu Ndani Asubui Unajikuta Na Kilio Mwizi Atabiliki Polic Apaswi Kujianika Ovo Ovo Kwasababu Watu Wanaowatazama Wako Majambazi Vibaka Na Magaidi Sasa Hata Siku Akienda Sehemu Kuperereza Jambo Hata Akivaa Kilaiya Sura Yake Itajulikana Sasa Kijiji C Kitajua Kama Yuko Asikari Majambazi Wanaambiana Fasta Hii Njia Ya Kujionesha Sio Nzuli Hii Mitandao Inatumaliza Sana
Huyu muroto anataka sifa Sana mbwa huyu
Kamanda moroto wa Dodona Ako Sawa hanapapana kweli Na uwalifu
Hapo haja inagonga mlango
We mwandishi unagongwa
Muroto anatetemeka haahahaah 😂 😂
Magufuli oyee 😁😁 Mpaka askari anasahau tarehe
@anuaryally6177
4 жыл бұрын
Kusahau tumeumbiwa na mungu
@clementmathias9512
4 жыл бұрын
Sasa hapo magufuli anahusika na nn tena?
IGP kanenepa sana... Achunguzwe na yeye
@centralboytz4240
4 жыл бұрын
😀😀😀😀
Kumbe kila mtu ana m,babe wake unashau mpka tarehe hii kali wacha nicheke
Dah aisee inaelekea wamemkwaza sana kamanda
Kwel make kunamakamanda weningine hata jambo ndgo adi kamera cpend kamata mtu mpereke polis cyo ad wandish wa habal
Mzeee wa mtapata tabu sana kauli imemuandama yy mwenyew leo hhhhh
@anoldjose7793
4 жыл бұрын
Malipo hapa hapa dunian😁😁
Kamanda Siro wasisitize hao makamanda wakaze kamba ujambazi umerudi kwa kasi sasa baada ya kifo cha hayati Mh: Dr JPM sijui shida nini?
Tunamtaka Muroto wetu Kamanda kwanini umtengue?
UNAMTENGUAJE MUROTO???????? DAAAAAAAH
Waandishi wa habari mnaharibu hii taaluma huu upotoshaji tafuta hela kwa uhalali kichwa cha habari hakihusu hiyo habari,naelewa taaluma ya habari inaniuma kuona umeandika kichwa kinyume na habari kwa masilahi binafsi,tabia mbaya hii,watakaoponda kwasababu hawajui au kutokufikiri vzr
@MatukioDaily
4 жыл бұрын
Huelewi Taaluma ya Habari Wewe: Hicho Kichwa cha Habari Kiko Sawa Kabisa... Ukijifunza Vizuri "Writing the Best Headline for Hard News" Utagundua ni namna gani kichwa hiki cha habari kiko sawa.... na Pia Katika "Qualities of News Headlines" kuna mambo ya msingi ya kuzingatiwa kama vile Prominence, Conflict etc 1. Ni kweli IGP Kamsimamisha Kamanda Mroto ili Ajieleze (Hapo Mwandishi Kaandika Heading inayoshika Attention ya Msomaji na Mtizamaji ili Afuatilie Ajue imekuwaje) 2. Ni Kweli IGP Kasema "Natengua Hapahapa"... Hapo pia Mwandishi kama makini kugundua ni maneno yapi yataifanya habari yake kuwa ma vionjo vya tofauti. Mengine Mengi Siwezi Kuyaeleza Hapa Lakini Nampa Kongole Mwandishi wa Headline... NOTE: Ungekuwa ni Mwanahabari unayeijua vizuri taaluma hii Hakika ungenielewa bila kubisha lakini kama siyo mwanahabari ni ngumu sana kunielewa.
@carlosndyetabula656
4 жыл бұрын
@@MatukioDaily naelewa na mimi ni mtaaluma,kuna aina za leads nyingi hiyo aliyoandika ni provocative,quotation kwa wakati mmoja,instead angeandika IGP SIRRO AKAA NA RPCs au namna nyingine maana sio muroto pekee
@francisnkinga6550
4 жыл бұрын
Carlos Ndyetabula 👍
Ikiwezekana atumbue wote aweke wapya nayy ajitumbue tu me sielewagi kabsa kazi zao kukmbzana na ving,ora tu et askari anaogopa kuingia nyumba haina umeme we hao askari au vyura😏😏😏
Good
Nadhan kuna namna2 hapa lkn Muroto si wakutolewa jmn mbn ni mchapa kazi vzr2 anajitahid au chuki zishapelekwa.
Nimeliona lile Gorila la Dodoma( ..nitawapiga waandamaji mpaka wachakae, kama mbwa koko)..🤨😟
Wanaomtetea mruto ni wale wanaomuona akijionyesha kwenye video kila akikamata mwiz hata kama kaiba baiskel. ndio wanaona anapiga kaaaaaazi
Hio haiendi mahali. Kesho utasikia wamerudishwa
Huyu kamanda Wa Mwanza mjinga sana fukuza kazi
Hamjaona anavyotuonea watu wamaror taazamagar zaubavuni zatusaidia usiku yeye hazitaki
Anapenda Sana kujiona Sana fala huyu
@veronikadalali7251
3 жыл бұрын
Unamtukana nan ww nyang'au
Sheria ileile unayosema Muroto anaivunja na wewe pia mbona unawadhalilisha makamanda? Nafikiri sheria za kipolisi nidhamu ifanyike bila vyombo vya habari
Haua mambo yenu sisi wananchi mnatuonyesha ya nini..kiki za kijinga tu. Malizeni nyuma ya panzia
Kila mtu ana boss wake
Muruto mnamtetea nyie mnamjua hapo wanajuana wenyewe kwa wenyewe
Hahaaa atapata taabu sanaa😀😁😀😁
noma xana
Kwani hiki kikao si cha ndani??? Mbona tena KZread?????
Ahahaha mi sina neno