No video

KAMANDA MUROTO ALIVYOMNASA JAMAA ALIYEKUWA ANASAFIRISHA BANGI KWENDA ARUSHA

Пікірлер: 128

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu69574 жыл бұрын

    😁😂Nasikia ,#BABALAOOO kwa mbaali🔥🔥🔥

  • @mashaulirichard
    @mashaulirichard5 ай бұрын

    Ihi serikali Kuna baazi ya watumishi Wana mambo ya ovyo sana upelelezi mwaka na zhd leo conda na dereva wanamjuaje mtu ni mwalifu

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga73253 жыл бұрын

    Njaa Kila mtu anayo, kinachotakiwa, ni kujizuia, ndo maana ata askari mbea wamenaswa.

  • @ngakamine2000
    @ngakamine20004 жыл бұрын

    pole mzazi mwenzangu ni mapito tu

  • @jumayusuph8471
    @jumayusuph84714 жыл бұрын

    Kwa dereva na konda hawana makosa kabisaaa kwasababu hawawezi kumkagua abiria alafu hilo swali jibu wew mwenyewe

  • @aloycebagege7936

    @aloycebagege7936

    4 жыл бұрын

    Juma Yusuph erychxhv

  • @shodanigduwrduwe4478
    @shodanigduwrduwe44784 жыл бұрын

    Kamanda Dodoma kazi yako ni nzuri sana mkuu

  • @ismailissa3996
    @ismailissa39965 ай бұрын

    Muroto ushazeeka ustaafu tena

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77544 жыл бұрын

    Konda Na Dereva Kosa Lao Hata Silioni Kwani Konda Na Dereva Wamepewa Kazi Ya Kupekua Mizigo Ya Abilia Konda Na Dereva Awana Makosa

  • @ngwebesamabula8391
    @ngwebesamabula83914 жыл бұрын

    Kama umesikia baba Lao kama mm gonga like

  • @worldrapamako3960
    @worldrapamako39604 жыл бұрын

    Afande mnatunyima raha make bangi tamu kinyama naikubari

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77544 жыл бұрын

    Yani Apo Ukiwa Na Kiberti Kwanza Unachoma Apo Apo Mche Mmoja

  • @victorjidinga9743
    @victorjidinga97434 жыл бұрын

    Kwa kweli HAPA KAZI TU

  • @dickluckzachariah9144
    @dickluckzachariah91444 жыл бұрын

    hongeren sana jeshi la Police hii ndi Tanzania tunayoitamani. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki watu wa Tanzania

  • @issakawaya8315
    @issakawaya83154 жыл бұрын

    Bangi sio mbaya

  • @officialkillylevenson9061
    @officialkillylevenson90614 жыл бұрын

    Kama umeskia baba lao ya diamond gonga like

  • @josephmarigi6374
    @josephmarigi63745 ай бұрын

    C Wanasemaga Bangi n Nzuri kuliko Mirungi. 😂😂😂😂😂😂

  • @hongeraxanakwaujasilihuoda3189
    @hongeraxanakwaujasilihuoda31894 жыл бұрын

    Hongera jeshi letu

  • @adammakoye4198
    @adammakoye41984 жыл бұрын

    HIYO bangi inatoka mkoa mwingine kwenda ARUSHA Khee MAAJABU kule kuliko na kitu cha ARUSHA mh! Itakuwa kitu cha DOM ni shidaa kuliko cha ARUSHA. This is D .OM CITY ...

  • @emmanuelpaul24

    @emmanuelpaul24

    4 жыл бұрын

    😀😀😀😀 babu hiki kitu cha Dom itakua ni fireeee

  • @emmanuelpaul24

    @emmanuelpaul24

    4 жыл бұрын

    Kitu ya malawi hiyoo Man mana jamaa kapandia moro kaja kulala Dom kumekucha kakamata chuma ya chuga

  • @adammakoye4198

    @adammakoye4198

    4 жыл бұрын

    Oh kumbe

  • @kmotivation1130

    @kmotivation1130

    4 жыл бұрын

    Chakula ariiifu sema haikatai

  • @ismailmajala2802

    @ismailmajala2802

    4 жыл бұрын

    😆😆😆😆

  • @nyizitumue2373
    @nyizitumue23734 жыл бұрын

    Mkovizur askar ila kulaum drv au konda ckwel Hapo c Sawa baba Muroto.

  • @Papa2thaE
    @Papa2thaE4 жыл бұрын

    Acheni msuba. Kakamateni majambazi kuleee. Halalisha.

  • @travorymwalongo
    @travorymwalongo5 ай бұрын

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo28054 жыл бұрын

    Hyu kamanda pia ni Kama anatumia

  • @khadijahamisi6558

    @khadijahamisi6558

    Жыл бұрын

    Tengua kauli wew ulishawah kumuona😏😏

  • @kmotivation1130
    @kmotivation11304 жыл бұрын

    Chakula arifu njooni marekan machali huku unavuta kwa raha tena kuna pub special ya bangi arifu halafu sigara ndo wangeiondoa ,you are welcom brother and sister in America/califonia0

  • @willeydavid2108
    @willeydavid21084 жыл бұрын

    Daah bangi zimesokotwa utam had mzuka unanipanda Ila hizo tunjua mnaenda kugawan nyie wenyew askari

  • @zakariamsilu2333
    @zakariamsilu23333 жыл бұрын

    Hatari

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud65424 жыл бұрын

    Konda na dereva kosa lao nini?

  • @jerumayamwasomola1065

    @jerumayamwasomola1065

    4 жыл бұрын

    Roseberry Hamoud ukitaka kujua kosa lao, basi jenga nyumba halafu pangisha jambazi, halafu akikamatwa uje kusema nilikuwa sijui kama ni jambazi, umekwisha.

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony24 жыл бұрын

    Bila shaka kamanda huyu naye atakuwa anapiga vitu.

  • @abuumaryam1628

    @abuumaryam1628

    4 жыл бұрын

    hahahahahah why?

  • @kweliumesemailanaowangetul1933

    @kweliumesemailanaowangetul1933

    4 жыл бұрын

    😁

  • @jamesmayala5491
    @jamesmayala54913 жыл бұрын

    Nemempenda happy

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas36754 жыл бұрын

    Kumjua mtu nishida nakukagua mzigo kwa dereva ni vigumu ushauri wangu mnunue kifaa maalumu kama airport chakupima kwenye gar lkn kwa derva au kondakta nitatzo

  • @priscangimba944
    @priscangimba9444 жыл бұрын

    Pole sana jiran

  • @vijanafurniture1810
    @vijanafurniture18104 жыл бұрын

    Wa kwanza hapa

  • @zuwenaomar4201
    @zuwenaomar4201 Жыл бұрын

    Nyinyi pia mnavuta

  • @fredyfalsafa6862
    @fredyfalsafa68623 жыл бұрын

    Kamanda wengi wanasafirisha kwa njia hiyo.. Madereva na makonda wawe makini.

  • @kulwamauwa1873
    @kulwamauwa18734 жыл бұрын

    wakitoka hapo zinauzwa na maasikar mzichome tuone

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki68984 жыл бұрын

    ivi kwanini bangi isihalalishwe kisha polici waongezwe mishahara.bangi ihalalishwe kimatibabu.

  • @zakariamsilu2333
    @zakariamsilu23333 жыл бұрын

    Kaka kado Safi Sana maelezo mazuri

  • @user-ev8mq2zw4f
    @user-ev8mq2zw4f5 ай бұрын

    chugaa

  • @nafaelirubango2904
    @nafaelirubango29044 жыл бұрын

    Mnashindwa kukamata majambazi mnasumbua wajasilimia mali sio

  • @babusijoseph1434
    @babusijoseph14344 жыл бұрын

    safisana mzee

  • @nestorymtirackmtirack8770
    @nestorymtirackmtirack87704 жыл бұрын

    madereva na makonda Wala si tatzo. hawa niwalipa kodi tuboreshe Bus stand zetu kwakufunga vifaa vya ukaguzi wa mizigo angalau kama viwanja vya ndege, au kuweka asikar wenye mbwa.

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama38994 жыл бұрын

    muislamu safii, nani hahahha, bangi ina harufuu hauwezi jua harufu yake

  • @mikarospius8084
    @mikarospius80844 жыл бұрын

    Kuanzia Leo Tanzania luhusu bangi tofauti na hapo uchaguzi wa 2020 atupigi kura

  • @nazirnoor4160
    @nazirnoor41604 жыл бұрын

    Hongereni

  • @swissvany55
    @swissvany554 жыл бұрын

    Kama umeskia babalao kwa mbalii gonga like

  • @kadijakk6384
    @kadijakk63844 жыл бұрын

    Duh sasa kuweni makini maana kwenye gari watu wanasafirisha vitu vya ajabu kbs tofauti nabangi watu sasahivi wamekuwa waajabu anaweza kusafirisha hata mnyama aliye kufa ili tu akatimize mambo yk polen abiria ongera afande wetu

  • @eddiengabona1447

    @eddiengabona1447

    4 жыл бұрын

    weusi

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari51784 жыл бұрын

    Hakuna dereva anaeza kupakia mzigo kama huo uatarishe maisha yake hao hawajui lolote bananeni na mtuhumiwa yeye ndio atasema kuwa dreva konda wanahusika au vipi lacvyo kila abiria alfajiri akaguliwe mizigo yake

  • @BataBatanii
    @BataBatanii4 жыл бұрын

    Ma rass Awa umwii

  • @HalikiRasuli-ko9rv
    @HalikiRasuli-ko9rv4 ай бұрын

    Watu wa arusha ndo walikuwa wanapelekewa

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile3364 жыл бұрын

    Kamanda muroto baba lao

  • @iHeizar
    @iHeizar4 жыл бұрын

    Mzee anaonekana kama anapiga kinywaji kikali ...

  • @youngyayoo2805

    @youngyayoo2805

    4 жыл бұрын

    Haha

  • @vidickcharles4742
    @vidickcharles47424 жыл бұрын

    Duuuuh....

  • @rahimhashim1629
    @rahimhashim16294 жыл бұрын

    eeeh! kuna basta

  • @hazzleboy6428
    @hazzleboy64284 жыл бұрын

    Nasikiaga kuna maaskali wengine nao wanavutaga bangi unaweza ukakuta zimepungua mnakozihifadhi

  • @paulomosson3346
    @paulomosson33464 жыл бұрын

    Hapa kazi 2

  • @husseinhajjihussein6898
    @husseinhajjihussein68983 жыл бұрын

    Namuona Jamaa Yangu

  • @denismakweba3870
    @denismakweba38704 жыл бұрын

    Vizuri kuandika seat # kwa beg maana ukisema kujua mzigo una nn ndani,ni ngumu na pia amaeeza danganywa na abiria!! Ila kuna mtu kamchomea

  • @saitotisaitoti6734

    @saitotisaitoti6734

    4 жыл бұрын

    Umewaza kama mimi.huyu kachomewa na mwenzake.polisi wamejuaje bangi imebebwa na abiria wa siti namba fulani halafu waje na waandishi kabisa.walitonywa hawa

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop10184 жыл бұрын

    Duuh huyu Msukuma Noma

  • @kevinmollel7233
    @kevinmollel72334 жыл бұрын

    Achia mzigo wewe pambana na vitu vya maana

  • @mussaabobakar7537

    @mussaabobakar7537

    4 жыл бұрын

    Hahahahahaha

  • @malickmakatta6089

    @malickmakatta6089

    4 жыл бұрын

    Kevin molel hata hiyo ni Kazi au na wewe ni mkulima Wa bangi maana najua mmemaliza kuuza viwanja nahisi hiyo ni Kazi yako

  • @harshkirit6780
    @harshkirit67804 жыл бұрын

    Viwanda vinakufa kila kukicha, so Tz ya viwanda tuisahau. Kwanini mjomba asiluhusu wananchi walime bangi ikauzwe nje ya nchi.. Bangi ni dawa inatibu maradhi mengi.

  • @mashaulirichard
    @mashaulirichard5 ай бұрын

    Ngoma okivima ujuwe imekalibia kupasuka mm napita ²

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia99214 жыл бұрын

    Dereva na kinda hawana kosa lolote basi tu. Kuna mwenye mzigo wake hapo amekaukaaa kimyaa

  • @johnpaulkirenga5824
    @johnpaulkirenga58244 жыл бұрын

    Jeshi kuuu

  • @harunahussein6717
    @harunahussein67174 жыл бұрын

    Alicholeshewa huyo sio bure

  • @akrambakar4047

    @akrambakar4047

    4 жыл бұрын

    VP mzigo uko cheo

  • @shaabanyahaya2890
    @shaabanyahaya28904 жыл бұрын

    Cha Dom mix cha R,ni kweree,,,,

  • @H.sazo.
    @H.sazo.4 жыл бұрын

    KWENYE BANGI WATU WANAPATA UJIKO TU FREE WEED TZ BWANA

  • @eddiemassoud8811
    @eddiemassoud88114 жыл бұрын

    Cku hz kitu kdg mitandao inaboa sana

  • @amanipeace6007

    @amanipeace6007

    4 жыл бұрын

    Bangi ilikuwa yako nn

  • @joshuamchiwa861
    @joshuamchiwa8614 жыл бұрын

    DUUUH!!! KUMBE KITU CHA ARUSHA NI BRAND TUU!!! KAMA INAVYOAMINIKA TANZANITE INATOKA SOUTH AFRICA. WANATEGEMEA MIKOA YA MBALI BWANA. 😅😅😅😅😅😅

  • @vonexmobile9116
    @vonexmobile91164 жыл бұрын

    Bangi hiyo ya mkoa gani?

  • @jamesrasugu1849
    @jamesrasugu18494 жыл бұрын

    Bhangi ni dawa ya kufanya mtu achangamke kwa hivo hiyo ni medication

  • @jumayusuph8471
    @jumayusuph84714 жыл бұрын

    Kazi mzur Sana kamanda na jeshi la police kwa ujumla Safi san

  • @valentinemtei2927

    @valentinemtei2927

    4 жыл бұрын

    Ha yo maswali mengine niya kipuuzi

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti67344 жыл бұрын

    Nashauri mabasi yawe yanakagua abiria wao kama wanavofanya kwenye ndege.mara kadhaa nimeona mitungi ya gesi ikipakiwa kwenye mabasi.je ikitokea zikaripuka.au mtu anaweza panda na silaha akadhulu abiria wote.mngeweka utaratibu wa kukagua abiria kwa mashine kama airport.ila hapa najiuliza hawa waandishi walipataje habari ya kukamatwa mhalifu hadi kuja na makamera? Au kuna mtu katoa mchongo ee?😆

  • @mapambanokisendi9162
    @mapambanokisendi91624 жыл бұрын

    Dereva na konda anakosa gani? Hapo

  • @emmanuelyndondole1520
    @emmanuelyndondole15204 жыл бұрын

    AAA umelud

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari51784 жыл бұрын

    Sema abiria cyo msafiri.msafiri ni jina la mtu

  • @silaszayumba7608
    @silaszayumba76084 жыл бұрын

    Hongera sana mzee,ila hao makondakta na madereva ndo wanaosafirisha watu na vitu haramu, na wanawafaham watu wanaofanya biashara haramu,na mizigo haramu wao ndo wanaihifadhi vizuri bidhaa hizo na kuwapa naelekezo jinsi ya kupaki ili polisi wasigundue nani sehemu gani huwa hawakagui

  • @innocentjohnson3880
    @innocentjohnson38804 жыл бұрын

    Wamemuchomea huyo Either kazulum mwenzake kamuchomea

  • @josephgeorge3275
    @josephgeorge32753 жыл бұрын

    Shida nyoko...

  • @mokhimji
    @mokhimji4 жыл бұрын

    fungueni vikete basi tuone quality kidogo! hahahaha Kamanda unaacha kazi zako zote unakuja kufuatilia hilo tu tena na waandishi wa habari? Kazi hii ata vijana watatu wangemaliza kwenye dakika 5 baad kusamamisha basi na kumkamata huyu mhalifu nakuwaachia abiria wengine kuendelea na safari. Mie naona story nyingi tu hapo

  • @irenekitomary7271
    @irenekitomary72714 жыл бұрын

    Huyu happy ashanikera cku moja bhas tu anaiharibia jina shabiby

  • @willisonmutembei3718
    @willisonmutembei37184 жыл бұрын

    Ongela

  • @bkubwamamboyaghetto580

    @bkubwamamboyaghetto580

    4 жыл бұрын

    Pelekandan.awowauzabangi.wasteketezejami

  • @johnferdnand2048
    @johnferdnand20484 жыл бұрын

    Acha wavute ili walime vijana

  • @ramadhansenkondo9012
    @ramadhansenkondo90124 жыл бұрын

    Kiki hyo

  • @nevlintesha4462
    @nevlintesha44624 жыл бұрын

    Kwan konda anaruhusiwa kumsach abiria??

  • @saitotisaitoti6734

    @saitotisaitoti6734

    4 жыл бұрын

    Nadhani wangeweka utaratibu wa kukagua abiria kabla hajiangia kwenye bus kama wafanyavyo airport.unaweza beba jambazi likateka bus zima

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend57454 жыл бұрын

    Hapa haziendi tupwa najua

  • @johnmwambungu7434
    @johnmwambungu74344 жыл бұрын

    Kosa c dereva wala konda maana ni ngumu kujua kikubwa ni nyie kujipanga ktk intelligentsia zenu

  • @nabetv8024
    @nabetv80244 жыл бұрын

    Mkikamataga bangi na madawa mnapelekaga wapi..?!samahan lkn

  • @jumamagali5089

    @jumamagali5089

    4 жыл бұрын

    inasemekana kuna benki ya kuhifadhia, kama zile za kuhifadhi almasi na pesa..alafu mwisho wa siku watu aina mbalimbali wanatembelea kujifunza kitu

  • @ptElimu1234

    @ptElimu1234

    4 жыл бұрын

    👌

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs22144 жыл бұрын

    Ni vigumu saana kujua mtu kama konda

  • @hekimaisaya8255
    @hekimaisaya82554 жыл бұрын

    Tulosikia baba lao kweny post ya Millard ayo tujuane, hapa

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel42054 жыл бұрын

    The united state of ARUSHA. Hyo ni fake huku tuna kitu og bab ukivuta tu unajikuta mzungu wa muda mfupi🙅🙅

  • @agreysonyohana5346
    @agreysonyohana53464 жыл бұрын

    Ongela Kamanda wa polisi

  • @mohamedalawy7704

    @mohamedalawy7704

    4 жыл бұрын

    Gilles Moroto nimekuwa nikifuatilia Operation zake kwa mda sasa.Namuombea mungu siku moja apate kuwa IGP. AMIN !

  • @frimasonidunia86
    @frimasonidunia864 жыл бұрын

    Jiungereo.uwebrioneyazaidi.+255762297199

  • @dunduumaster4815
    @dunduumaster48154 жыл бұрын

    Mbona pombe pia inamadhara serikali inatudhuru wananchi

  • @ayshasalim6118
    @ayshasalim61184 жыл бұрын

    Hahah atar wa2 wanakula mzki wa baba lao

  • @emmanuelpaul24

    @emmanuelpaul24

    4 жыл бұрын

    Daaaaaah umeckia kumbe mkali 😁😁😁😁

  • @mabubakitambi6599

    @mabubakitambi6599

    4 жыл бұрын

    Hahaha muonee