No video

IGP ashindwa kujizuia APIGA SIMU, tatu nzito za RPC Shinyanga zitakutoa machozi

Пікірлер: 737

  • @josephinmwanibanza6001
    @josephinmwanibanza60016 ай бұрын

    Mh: Paul Makonda kazi yako ni nzuri binafsi kwanamna unavyosikiliza shida za wananchi na kuzitatua najikuta machozi yananitoka. Amini kwamba MUNGU amekuamini na amekuchagua kupitia Mh: Raisi Samia. Tunakuombea huyo MUNGU akuongoze, akulinde na akukinge na mabaya yote Amina

  • @omarymgovano7209
    @omarymgovano72096 ай бұрын

    Kwakweli mama Rais wetu samia kitendo cha kumpa nafasi mheshimiwa makonda, binafsi nakupongeza sana yan kama ingekua timu ya mpira ningesema umefanya super sub, hongera sana mama yetu mungu akulinde na uendelee kutuongoza mhula ujao InshaaAllah

  • @abrahmanmussa1384

    @abrahmanmussa1384

    6 ай бұрын

    Mungu akulinde Makonda kazi ipo baada jpm kufariki kunamadudu yaajabu nduguyangu pita kijiji kwa kijiji tena si kwasiku moja japo ukae siku mbili mbili kwa faida ya wanakijiji

  • @user-jd8zh7zs2h

    @user-jd8zh7zs2h

    6 ай бұрын

    Pole mwenezi kazi yako ngumu Sana mungu akutunze

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    2 ай бұрын

    Wakiona anafanya vizuri ananyendo Kama zamagufuri watamtowa

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula929 күн бұрын

    HAO makamanda mbn wanaangusha jesh wasukumwe ndanii tuuuu mashaka matupuuu daaah safii makondaa

  • @Ahmed-g2b

    @Ahmed-g2b

    25 күн бұрын

    wamemtoa kafara

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph26206 ай бұрын

    Mashallah magufur mtetezi wa wanyonge sasa kapatikana mwenyez mungu akubariki baba😭

  • @usafiaps318
    @usafiaps3186 ай бұрын

    Asante Sana Makonda Kwa Kukiumbua Chama Chako Kwa Maovu Serikali Yao Isivyowatendea Haki Wananchi.

  • @ramsonramadhan4156

    @ramsonramadhan4156

    6 ай бұрын

    Dah umetumia Akili ndogo sana kusema ayo ila Rpc ni binadamu pengine wala sio ccm..ila kila watu wana roho zao Mm sikuwa namkubali san Makonda ila sasa naanza kumuelewa kumbe kuna madudu mengi yanajificha kwa vyeo ila huyu kaka anafanya vitu vyengine vinaelekea

  • @usafiaps318

    @usafiaps318

    6 ай бұрын

    @@ramsonramadhan4156 Bro Rudia Kusoma Na Kuelewa Kilicho Andikwa!!!!

  • @wamburasungura6812

    @wamburasungura6812

    6 ай бұрын

    ​@@ramsonramadhan4156makonda anakiumbua chama chake kwamba hakisimamii haki za wananchi kimeshindwa kutoa haki za watu

  • @graceannah8452
    @graceannah84526 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akulinde makonda kaka yangu

  • @user-jb2vp8rt7z
    @user-jb2vp8rt7z6 ай бұрын

    Mungu akulinde mimi nakufahamu toka ulipokua Mkuu wa Mkoa wa Dar

  • @EliufooElias-qy7iw
    @EliufooElias-qy7iw6 ай бұрын

    Hii Kazi aliyo ianzisha Makonda ni nzito sana😢

  • @KiongoziMwandamizi

    @KiongoziMwandamizi

    6 ай бұрын

    Ndio maana inabd aongezewe ulinzi

  • @jazeerajuma5014

    @jazeerajuma5014

    2 ай бұрын

    Ninzuri coz wanyonge wanaonyabyasika wanapata haki yake

  • @KidawaRashid26

    @KidawaRashid26

    17 күн бұрын

    Makonda njoo nahuku daar utusaidie angalia coment zetu

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria28106 ай бұрын

    Makonda makonda makondaaaa mungu akubarikiii tusaidie kaka

  • @brunonsungwe8389
    @brunonsungwe83896 ай бұрын

    Dah Mungu akulinde Mweshimiwa Makonda. Rais Samia Asante sana kwa kumleta makonda

  • @user-mt3jc6no5w
    @user-mt3jc6no5w5 ай бұрын

    Nimeota makoda kawa Rais wa Tanzania ❤

  • @boazmaobe7245
    @boazmaobe72456 ай бұрын

    Big up makonda mungu akulipe mara dufu

  • @MahdouMomba
    @MahdouMombaАй бұрын

    "Ndugu yangu Mungu amekuleta naomba unitendee haki" Watu wanadhulumiwa sana na hawa wenzetu walioko kwenye mamlaka, Mungu iokoe Tanzania na Africa kwa ujumla dhidi ya wale wote uliowapa dhamana ya uongozi na kuitumia kwa kuwanyonya na kuwakandamiza wanyonge kwa maslahi yao binafsi

  • @ilambonamahuba3485
    @ilambonamahuba34856 ай бұрын

    Up up comrade Makonda wananchi wanachangamoto nyingi sana unafanya ibada unapokuwa unatatua shida za wananchi.

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo5946 ай бұрын

    Makonda Mungu akubariki na akulinde Sana.

  • @sulemanmndeme8961
    @sulemanmndeme89616 ай бұрын

    Napenda CCM. Napenda pia viongozi km Makonda. Ila ktk ziara zake, kuwe na watu maalum wa kuchukua taarifa zikafanyiwe mchakato na hatua za dhinamu zichukuliwe juu yao. Tunanyanyasika sana.

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian49046 ай бұрын

    R. I. P Magufuli wetu tunakukumbuka sana baba yetu 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏

  • @aminaabdalla9949

    @aminaabdalla9949

    6 ай бұрын

    naonakm nimemuona tena magufuli makonda hongerayake

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76866 ай бұрын

    MAGUFULIIIIIIIIIIIIIIIEEEEEEEEEEEE, HUKO ULIKOLALA BABA SIMAMA.

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    6 ай бұрын

    Mbona hata enzi zake yalikuwepo

  • @AsiyaahamzaHassan

    @AsiyaahamzaHassan

    2 ай бұрын

    Akisimama ww utalala

  • @Nagelleislamictv
    @Nagelleislamictv26 күн бұрын

    Nampenda sana mheshimiwa John makonda Mungu akupee umri mrefu sijawai ona mtu kama wewe ana angalia raia yake

  • @novatht8377
    @novatht83776 ай бұрын

    Kweli watanzania Bora tuwe na vita kuliko kusema tuna amani watanzania tunashida nyingi sana na manyanyaso mengi sana mpaka nimetoa chozi😢

  • @saadyusuph6554

    @saadyusuph6554

    6 ай бұрын

    Inauma Sana kwa jeshi letu

  • @salehwaziri5062

    @salehwaziri5062

    6 ай бұрын

    Ukosahihi

  • @allymohamed6265

    @allymohamed6265

    6 ай бұрын

    We vita unaijua au unaisikia ? Acha huo upuuzi. We la kuomba ni watu kujitahid kutenda haki na kuacha manyannyaso kwa haki za raia

  • @novatht8377

    @novatht8377

    6 ай бұрын

    @@allymohamed6265 wewe ulishawahi kuiona au unafikilia watu wanavyoishi na kufanyiwa unyama w namna hiyo unahisi n furaha

  • @solomoneglesias9752

    @solomoneglesias9752

    6 ай бұрын

    ​@@allymohamed6265huna kile unachokijua,, jambo lolote gumu hutatuliwa kwa damu👀👀

  • @AbdulrahmaniRomani
    @AbdulrahmaniRomani21 күн бұрын

    Mh/makonda hongera sana M/mungu akuongoze

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q2 ай бұрын

    Majambazi ndio viongozi na polilisi! Kuna usalama? Mungu aingilie kati kuiokoa nchi hii itoke mikonononi mwa ccm

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu346 ай бұрын

    Kazi ya utawala ngumu sana has aAfrica ambapo hatujui kutawala ndiyo maana kila sehmu kirio utafikili hatuna wakuu wa mikoa, hatuna wakuu wa wilaya, hatuna ma RPC, wala Ma OCD maana wote wanakaa ofisini tu kusubili madili badala ya kushughulika na matatizo ya wananchi.

  • @richardsuluta3369

    @richardsuluta3369

    6 ай бұрын

    M

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    6 ай бұрын

    Inasikitisha sana 😭😭😭, watu wanapoteaje kienyeji hivi??? Huyo rpc anadai hamjui seriously???? Hapo shinyanga kuna shida sana. Mpaka makonda aende ndo tuyasikie haya na hawa waandishi WA habari wamekalia uchawa Kwa CCM Tu, habari kama hizi Kwa nini hawazifuatilii??? So sad 😭

  • @jackplaymacheku3021

    @jackplaymacheku3021

    6 ай бұрын

    Kabisa brother yani hawajui wajibu wao inauma sana na utashangaa lingne mshahara ukicheleweshwa linalamika n wakat kazi halifanyi kama linavyozingatia mshahara n madili

  • @user-et7tm2or5d
    @user-et7tm2or5d5 ай бұрын

    Rps pole kwa kashi kashi ila pambania wananchi hao ndio waliokuweka hapo japo nimeona unapambana mungu akubariki pia mr.paul makonda my br. Unafanya kazi kubwa sana

  • @evodiuskalema2123
    @evodiuskalema21236 ай бұрын

    Huyu mwamba tulilkosa, lkn mama tunakushukuru saaana kwa kumuibua Tena Huyu jamaa ❤❤❤❤

  • @ElizaJoseph-le1lh

    @ElizaJoseph-le1lh

    6 ай бұрын

    Kwaya mtakatifu sisilia

  • @user-hp2cr2mq9r
    @user-hp2cr2mq9r6 ай бұрын

    Hongera sana kiogozi

  • @doricedeluxe9486
    @doricedeluxe94866 ай бұрын

    Hapo makonda namm leo nimekupenda 🎉

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s5 ай бұрын

    Honestly Tanzania is a wonderful country. President Maghufuli had set a great precedence and I'm very happy to see Mama Samia continuing with the same legacy, and she gave it to the right person Mr Makonda. I'm sure Mr Makonda is the next future president in waiting

  • @user-di3lr4xb9c
    @user-di3lr4xb9c6 ай бұрын

    Makonda mungu akubariki Sana...

  • @Msilu198
    @Msilu1986 ай бұрын

    Mh Mwenezi wa chama tawala nchi imeoza saidia watu wa Mungu

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7636 ай бұрын

    Hakika makonda nakupongeza ila unakazi ngumu mno na hutaimaliza lakin kwa jitihada yako kwq wananchi inshaalla utapoishiya hatutakilaumu mungu akulinde kaka Yani aibu nchi imekuwa kqma haina watendaji huko mitaani hatari AGP wambura fika fika mitaanihuko usisubiri uadhirike kamanda

  • @dennishyera5448
    @dennishyera54486 ай бұрын

    Duu wanyonge tunakalia moto. Ila kuwateka watu kwasababu ya uwezo mlio não sio sawa. Mkistaafu mnajifanya wacha Mungu.

  • @AlexAlex-kf1eg
    @AlexAlex-kf1eg6 ай бұрын

    Asante mama samia kwakuturudishia mtetezi huyu wa sisi wanyonge ni juhudizako mama ❤

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar6 ай бұрын

    Makonda nakupenda Kwa ajili ya ALLAH

  • @josephinmwanibanza6001
    @josephinmwanibanza60016 ай бұрын

    Mheshimiwa Paul Makonda Mungu akuongoze na akulinde 🙌❤

  • @eunicemaganga4350
    @eunicemaganga43506 ай бұрын

    Mungu akulinde sana Makonda kazi hii ni ngumu maana tumefikia pagumu sana inch hii viongozi wangi wamekua kichomi sana

  • @bahatigewa4163
    @bahatigewa41636 ай бұрын

    Mimi nakuita "Dume la madume" sikuiti makonda hakika wewe umeshushwa na mungu kama mtetezi wa watanzania wote, mungu akujalie maisha marefu na akulinde dhidi ya maadui.

  • @user-od6ro8oj4k
    @user-od6ro8oj4k6 ай бұрын

    Nakuombea Afya njema na kazi yako maana hapo mungu akulinde mdogo wangu

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi15626 ай бұрын

    Nasikiliza tu Ila watu Wana shida kubwa Sana cha kushangaza sasa bdo CCM inashinda Jaman yatubasa kupambania haki zetu tuandamane na tukubali kuitupilia mbali hii serikali

  • @godyfreymsangi7852
    @godyfreymsangi78526 ай бұрын

    Kamanda janet pole uko vizuri

  • @pacoraban55
    @pacoraban556 ай бұрын

    Well Done ✅👍✅ Paul Makonda , magufuli way is what we need 😢

  • @emmanuelmanyama5078
    @emmanuelmanyama50786 ай бұрын

    Saf sana dada nyangeta kwaujasili wako ulioonyesha mh makonda kutuwakilishia hili tukio la kijana wetu

  • @bazilimikoma4
    @bazilimikoma46 ай бұрын

    Ongeraaa Sana Baba makonda na pia pore Sana kwa Kazi ngumu hiyo.Sisi wananchi tuko pamoja naraisi wetu Mama Samia .Tunajua hamlali kwajili yakutatua kero zetu na kwaajili yakuleta maendereo kwenye Taifa letu.Mimi Kama kijana ambaye nimkulima Natoa pongezi za zati kwa raisi na viongozi wote wa serikali na Chama Cha mapenduzi.Tunaelewa yote mnayo yafanya kwajili ya Taifa Nazidi kuwaombea viongozi wangu kwa Mungu .

  • @dorahmushi-we6ts

    @dorahmushi-we6ts

    6 ай бұрын

    🙏

  • @elishamwaitebele

    @elishamwaitebele

    6 ай бұрын

    Tunashukuru tumeubwa kusahau

  • @TygerPixels
    @TygerPixels6 ай бұрын

    Ukiangalia na kusikiliza kwamakini unagundua kwamba CCM imefeli kabisa kuongoza hii nchi period.

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    6 ай бұрын

    Kwa mawazo yako unaona tuwape kina nani? Maana hao wengine bado mtihani kuachiya wenye kiti sasa fikiria uraisi itakuwa je?

  • @aloismwenda8975

    @aloismwenda8975

    6 ай бұрын

    Mjinga wew ccm imefelije

  • @isaachayes9783

    @isaachayes9783

    6 ай бұрын

    Imefeli wapi sasa hakuna nchi isiyo na mashida ni kwa vipo matatizo yanafuatiliwa ndio issue

  • @isaachayes9783

    @isaachayes9783

    6 ай бұрын

    Huyo RPC wa shinyanga afunguliwe mashtaka ni jambazi

  • @solomoneglesias9752

    @solomoneglesias9752

    6 ай бұрын

    Nadhani umeona mbali sana,, tatizo ni mfumo,, kila kona ni vilio tuu wenye Hakhi hawana haki bali mafisadi ndo wenye nchi,, unadhani Makonda ataweza kumaliza vilio hivi????

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb6 ай бұрын

    Mh. Makonda nguvu hio hio umerithi mwendo wa mzee wa kazi mzee Jpm asante nguvu ni ile ile hongera kaka

  • @johnkiimbila6799

    @johnkiimbila6799

    6 ай бұрын

    Nguvu hiyo hiyo? Haiwezi kulingana.

  • @ismailimatola3727

    @ismailimatola3727

    6 ай бұрын

    Kudadeki uyu mwamba magufuli akasome ndio viongozi tunayowaitaji tanzania atutaki use,,,,,,,,,,,e pigakazi makonda

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan73466 ай бұрын

    Dah nimelia kama mzazi jamani kaka makonda chapa kazi kaka asante mama yangu Samia mh kumleta huyu kaka mungu awabariki kwa pamoja na watumishi wote CCM OYeeeeee

  • @halimamremi5375
    @halimamremi53756 ай бұрын

    POLEE MAKONDA MWANANGU!!NCHI HII IMEKWISHAAAAA

  • @user-qy4gb1kn4z
    @user-qy4gb1kn4z6 ай бұрын

    icp chukua hatua kwa mara Rpc wako angalia wananchi wa shinyanga wanavyolalamikie jeshi lako wanainchi wamekosa imani na jeshi la polisi

  • @judithsimon7892
    @judithsimon78926 ай бұрын

    Hii nchi kuna vitu vinaendelea huko mitaani vinaumiza sana dhuruma manyanyaso n.k inahitaji kiongozi jasiri sana kupambana na haya

  • @geraldmminza6494
    @geraldmminza64946 ай бұрын

    Hivi kweli tutafika kwa style hii, ya kutokutenda haki, ,makonda pekee yakee hataweza kumaliza kero maana leo.yupo kesho hatakuwepo, na buashara itakuwa kama kawaida hebu tuliyopewa dhamana tuwajibiki, .na tujuwe kuwa baada utumishi kuusha hatutakuwa na raha maishani bali majuto tu.

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani90846 ай бұрын

    Unajua kuna wapumbavu wanabeza ziara za huyu jamaa makonda kama hazina maana lakini daah ziara zahuyu jamaa zinawakumbusha sana wengi uwepo wa mzee wetu magufuri wewe piga kazi mzee ss kama wananchi tunaona hao wengine wapiga kelele hawatubabaishi kaka wasimamie wanyonge pia msaidie mama watu wanateseka kiongozi wasaidi wanyonge ni mungu peekee ndio atawalipa

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika6 ай бұрын

    Igp angalia haki ya Watanzania. Simamia vijana wako. Asante. Mungu mkuu akupe hekima katika yote. Amen.

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu27766 ай бұрын

    Dah askali anae Mlinda RPC nimemuelewa Ile kinoma

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28086 ай бұрын

    Vizuri havidum mungu mdumieshe makonda aishi miaka mingi apate cheo cha juu zaidi ili aweze kua namamuzi magum zaidi❤

  • @user-gm7cn8wn4q
    @user-gm7cn8wn4qАй бұрын

    Kaka anamheshimisha mama kiukweli mama hongera kuchagua makonda hapepesi macho yuko moto mungu akulinde maana wabaya ni wengi nyuma yako❤

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu18956 ай бұрын

    Muheshimiwa Mwenyezi!😂😂 Rpc mzima umjui mwenezi!! shinyanga oyee 👏

  • @omarylukindo5306

    @omarylukindo5306

    6 ай бұрын

    Huo unaitwa mchecheto

  • @JacksonMarko-qb7kj

    @JacksonMarko-qb7kj

    Ай бұрын

    Rpc ni ttz kubwa HP polisi mmmh

  • @athumaniyuba935
    @athumaniyuba9356 ай бұрын

    Kiukweli Mungu amemtuma mtumishi wake kwa ajili kushughulikia wanyonge

  • @StephanoZayumba
    @StephanoZayumba28 күн бұрын

    Mungu anawaona hawawanaofanya unuama huu

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv6 ай бұрын

    Makonda ulikua wap? Unaona watanzania wanavyo teseka hoongera sana mweshimiwa piga kazi muzazi tuna ona 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RichardAssey-pw9ns
    @RichardAssey-pw9nsАй бұрын

    Eeeeeh kazi kweli kweli.

  • @AlifaAlly-hs9sc
    @AlifaAlly-hs9sc4 ай бұрын

    Munguakulinde naakupeuongozi mkuu. yaniuwe rais

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb6 ай бұрын

    Hawa wenye power wanadhulumu wanyonge ndio kazi zao wache wafanye mwisho wao ni moto na wanajua kupanga uongo wa kuzungumza mwisho wake wanafedheheka kwa uongo wao Mungu awahukumu kwa udhalim wanao ufanya

  • @ntihaboseadonis8746
    @ntihaboseadonis87466 ай бұрын

    IGP unafaa kua rais wa 🇹🇿tanzania❤❤❤❤

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge4186 ай бұрын

    we makonda huyu RPC akamatwe Sasa hivi na ahukumiwe

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    6 ай бұрын

    Sio rahisi hivyo hapa ndo kuna usalama wa Taifa

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr6 ай бұрын

    Asante mama kwa ukakamavu wako wao polisi ni wauwaji tu

  • @EricEricsaid
    @EricEricsaid2 ай бұрын

    Ndio maana Tanzania ni mama Wa ulimwengu mungu ibariki Tanzania pamoja na watu haswa mama mlezi sulu na makonda John pombe mdogo Ameen

  • @user-zj2cv8ry2w
    @user-zj2cv8ry2w6 ай бұрын

    Mungu atusaidie kwa kweli

  • @ADAMJUMA-qz6pu
    @ADAMJUMA-qz6pu6 ай бұрын

    Mjue kila kona kuna matatizo ukiambiwa utaona ya kwako mepesi acha waliofungwa kinyume na haki leo hii wakianza kufuatilia waliofungwa mtashangaa kuna watu wamefungwa na hawa polisi na kuwadhulumu mali zao da!! RIP MAGUFULI"" KATAA WAHUNI""

  • @raymondmjebe2412
    @raymondmjebe24126 ай бұрын

    Mungu akutanguliee makonda sina chochote cha kusema ila mungu atutangulie kwa kazi hii mungu atakujaza nguvu

  • @levinaasenga2794
    @levinaasenga27946 ай бұрын

    Uyu mama ni tatizo kubwa ni TATIZO 😢😢😢

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco25676 ай бұрын

    Ndugu zangu hata kama mnakua na matatizo ila mnapopata nafasi ya kueleza au kuongea mbele ya makonda punguzeni uongeaji wa mfululizo usio na maana hoja zinatakiwa zijibiwe kwa hoja. Hilo pia itasaidia kumpa makonda nafasi ya kuwasikiliza kwa usikivu mzuli.asanteni ❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange10186 ай бұрын

    Mungu anawaona sana viongozi wote wa Tanzania😭😭😭😭

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawyАй бұрын

    Uzembe Wa jeshi La Police kutojua majukumu yao ipasavyo... niwazi kuna rushwa na uzembe unaofanywa na polisi! Muheshimiwa mwenezi watie spana hao washughlikie ipasavyo waongo polisi nivitisho kwa wanyonge tu ndio nguvu yao inapo onekana. Venginevyo hamna

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z6 ай бұрын

    Nchi hii watu wa hali ya chini wanateseka jamani. Jibu ni katiba mpya.

  • @MCNgakungaJunior

    @MCNgakungaJunior

    6 ай бұрын

    WATU SIYO WAZALENDO,HAWANA UTU,SIYO WAADILIFU

  • @martinemaganga5253

    @martinemaganga5253

    6 ай бұрын

    Watu wa chini hawatanufaika na hiyo katiba kwani matatizo ya wanainchi wa hali ya chini katiba haiwezi kuwasaidia, katiba na sheria ni vitu viwili tofauti ,Marekani wenye katiba nzuri bado kuna ubaguzi sembuse Africa

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    6 ай бұрын

    ​@@martinemaganga5253Unafikiri suluhisho ni nini?

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea88156 ай бұрын

    Huyu mama wa kwanza anaongea vizuri sana

  • @MabulaDoto-xb6xr
    @MabulaDoto-xb6xr6 ай бұрын

    Ndugu yangu makonda mwenyezimungu yuko pamoja na sisi watanzania wenzako tuko pamoja na ww

  • @user-hr4xd4yj9y
    @user-hr4xd4yj9yАй бұрын

    Unatengeneza hongera Sana tatizo la mu African tunakuliwa na wa African wenyew😅😂

  • @edoisam
    @edoisam6 ай бұрын

    Daah aisee swahiba wangu Issa Mungu ndie anajuwa namna ya kukurudisha. Kitambo sana swahiba 😭

  • @user-mu3cb8iy2h
    @user-mu3cb8iy2h6 ай бұрын

    Mungu akubariki sana kaka angu

  • @AmosSeleman-f2o
    @AmosSeleman-f2oАй бұрын

    Kazi nzuri

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael79356 ай бұрын

    Mhuuu Mhuuu Mhuuu makubwa nalia sana na kuomba kwa ajili ya nchi yangu

  • @jacobmwashambwa4893
    @jacobmwashambwa48936 ай бұрын

    Mwenezi Mungu awe nawe katika ziara zako hakika naona chama kinafanya kazi

  • @aliymajala5678
    @aliymajala56786 ай бұрын

    Nice my president Makonda 2025🙏👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi6 ай бұрын

    Shinyanga inafaa kuwa case study inaelekea kuna shida nyingi.

  • @EDALUPOGO
    @EDALUPOGO2 ай бұрын

    Mungu amekupa kalama nyingi sana hongera

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika6 ай бұрын

    Shida nini kwa viongozi hawa?. Watambue tu hao ni wazazi wa familia. Mbingu ipo anapo kaa Mungu mkuu na anaona yote na atawapigania Watanzania. Amen.

  • @willydugilo3258
    @willydugilo32585 ай бұрын

    Huwa najiiuliza maranyingi!! Hivi upolisi huwa unawafanya watu wawe na mioyo migumu!!! Ukweli polisi wetu wanaroho ngumu sana!! Fanya kazi ndugu yangu!! Hiyo ni kazi ya mungu!!

  • @jescaloshiro1679
    @jescaloshiro16792 ай бұрын

    😢 inaumiza du! sasa wanapelekwa wapi mbona ni wengi hivyo au kuna kazi wanatekwa wakazifanye kisiri siri.

  • @Badvoice707
    @Badvoice7076 ай бұрын

    Huku shinyanga kuna tatizo wanawake wamekuwa makatili kuliko wanaume 😢😢😢

  • @faustinekwahiyounatakajeal585
    @faustinekwahiyounatakajeal5856 ай бұрын

    Au lifutwe hili jesh kisha liundwe jingine labda mifumo itabadilika

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg2 ай бұрын

    Huyo rpc hafai kabisa afukuzwe na ashtakiwa

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d6 ай бұрын

    Alikuwa rafiki yake tena walikuwa wote jaman wakuu wa wa wiraya watoke hawana kazi

  • @husseinabdallah7195
    @husseinabdallah71956 ай бұрын

    makonda ccm naichukia na ww mwanzo nilikuwa nakuchikia ila kwa hali nitakupenda ww na samia t na samia nimempenda kwa kuwatoa mashehe

  • @user-kl2ni1ui8e
    @user-kl2ni1ui8e6 ай бұрын

    Mungu akujalie mwenezi

  • @Bihagaze
    @Bihagaze6 ай бұрын

    Hizi ziara zinaonyesha nchi hii kumbe Haipo!

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s4 ай бұрын

    Jamani mama pole sana mungu ataweka wazi tuu

  • @GiftGodfrey-nm8ob
    @GiftGodfrey-nm8ob5 ай бұрын

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu57186 ай бұрын

    WHERE IS MAGUFULI?????😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-th6mr7sq2k
    @user-th6mr7sq2k6 ай бұрын

    Mungu awatetee sana watanzania Makonda safi sana

  • @annakattoa7502
    @annakattoa75026 ай бұрын

    Mama Samia tunashukuru kuturejeshea huki chuma cha mpingo nasiei tunamwombeaaa Mungu amlinde

Келесі