No video

UPDATES: Sirro aongea kuhusu Askari aliyefyatua risasi mbele ya Waziri wa zamani

May 15, 2017 kwenye mitandao ya kijamii kulisambaa video iliyokuwa inamuonyesha Askari Polisi akijibizana kwa maneno na Naibu Waziri wa zamani wa Fedha Adam Malima kabla ya Askari huyo kufyatua risasi hewani.
Sasa leo May 16, 2017 Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Simon Sirro ameelezea kuhusu tukio zima na aliko mwanasiasa huyo kwa sasa.

Пікірлер: 316

  • @twahirmikidad6739
    @twahirmikidad67397 жыл бұрын

    Hongera sana kamanda Siro kwa kuwasimamia vijana wako ni muhim tuka waheshim askar wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao ya kazi kwan wao ndio wasimamizi wa kuu wa aman wa taifa, big up kamanda Siro.

  • @mgimwaprince4302

    @mgimwaprince4302

    7 жыл бұрын

    Kwa askari kutumia silaha kumtoa mtu ka Maalima kafanya kazi nzuri na silaha yake kaitumia vizuri viongozi wengi wakivunja sheria akitokea askari polis huwa wanawadharau sana askari fanyeni kazi nzuri hiyooo kila mtu atii sheria

  • @vibetz9991
    @vibetz99917 жыл бұрын

    safi Sana ,,,sheria ni msumeno lazima yeyote awajibishwe,,,angekua mwananchi wa kawaida apo wala bunduki isingetolewa ,angebebwa tu jujuu ,,gari linge sombwa sombwa na breakdown kaz imeisha,,,ila uyu mueshimiwa isingewezekana kubebwa Kama mbuz ,,ndio mana risas imepigwa juu,,,,sijaona kitu cha ajabu kabisa,,,,,,,mnaosena siraa imetumika vibaya ,wooote amjielewi. ,,,sheeennzzy

  • @bazilimikoma7208
    @bazilimikoma72085 жыл бұрын

    Safi sana kamanda siro.Nimefrahi sana porisi kueshimika siku moja natamanii na mm nijiunge na jeshi la porisi%salute kwako kamanda wetu%%

  • @augustinokahinda3939

    @augustinokahinda3939

    Жыл бұрын

    vipi ushajiunga au bado bro??

  • @mushxwaggz5258
    @mushxwaggz52587 жыл бұрын

    apo safiiii

  • @mteulemayeu
    @mteulemayeu17 күн бұрын

    Hongela sana

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus87707 жыл бұрын

    Asante Sana sirro umetenda haki mimi nilikuepo mwanzo mwisho wa tukio, waziri alikuja baada ya tukio dreva akiwa tayari anabishana nao

  • @braysonmajani8129
    @braysonmajani81295 жыл бұрын

    Umenifurahisha Sana mkuu

  • @mikebright6692
    @mikebright66927 жыл бұрын

    kamanda Siro unafanya kazi nzuri asante mkuu

  • @chacha-255
    @chacha-2557 жыл бұрын

    Ndivyo inavyotakiwa, Unamtisha polisi eti najuana na viongozi wa juu unategemea nini??, Alichofanya polisi ni kutekeleza jukumu la kumfanya mheshimiwa na dereva wake waende polisi

  • @jodeinjmj7843
    @jodeinjmj78437 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏 pongezi kwa police na hongera kubwa kwa kamanda Sirro kwakumlaza mahabusu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti unanijua mimi ni nani haihusu kujulikana kwako

  • @jamilaismail5227
    @jamilaismail52277 жыл бұрын

    kwani hao wrongparking awana zile cheni za kuzuia gari isiondoke? mm ninavyoelewa ukikutwa uko wrong parking wanafunga tairi na ile cheni inakuwa uwezi ondoa gari mpaka ulipe faini yao, haya yote yasingetokea hao wrong parking pia wanamakosa ,umekuta gari sehemu airuhusiwi weka cheni Alf mambo mengine badae,hata mambo ya risasi yasingetokea..

  • @ABC_Da_Holly

    @ABC_Da_Holly

    7 жыл бұрын

    Jamila Ismail kwajinsi unavyo elewa wewe lakini sio kwa mujibu wa sheria

  • @umranim5854
    @umranim58547 жыл бұрын

    hiyo sio haki

  • @omaredhasaidal.obthani4775
    @omaredhasaidal.obthani47757 жыл бұрын

    basi wapeni na traffic silaha pia

  • @simonequintine9355
    @simonequintine93554 жыл бұрын

    Nakusikiliza Mara nyingi kamanda sirro upo vizuri saaana kama wangu

  • @habibafeithal4014
    @habibafeithal40147 жыл бұрын

    safi sana

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si16 күн бұрын

    Sirro nakukubali sana Hawa wengine wanafikiria wako juu ya sheria anafikiri silaha za polisi hazina risasi

  • @francisbuya8357
    @francisbuya83575 жыл бұрын

    Ahsante sana afande IGP good job hapana MTU kuchezea jeshi

  • @wesakaphilimon9578
    @wesakaphilimon95787 жыл бұрын

    Kazi nzuri

  • @saladaniel907
    @saladaniel9077 жыл бұрын

    Safi sana jeshi la police, kamanda tumekuelewa vzr sana

  • @caritasmuhairwa2506

    @caritasmuhairwa2506

    7 жыл бұрын

    Sala Daniel siro umenyoosha maelezo acha arnde alikoeanda atapata haki

  • @said2linyi946

    @said2linyi946

    5 жыл бұрын

    Aya bana tanzania.yetu

  • @eliyanyamaruri9893
    @eliyanyamaruri98937 жыл бұрын

    Saaaaafiiii🙇🙇🙇🙇🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Yaani ni Jambo jema Sana Ahsante polisi kumuonyesha kuwa Hii Tanzania sio ya Kwamba unanijua Me ni Nani khaaaaaaaa hiyo ishapita Acha askari afanye kazi yake

  • @gracemalema6377
    @gracemalema63777 жыл бұрын

    kweli kibisa kamanda umeongea vizuri sana malima hakutakiwa kutumia cheo chake ni makosa askari walitakiwa kumuelewesha tu vizuri, kibaya zaidi kinachotutishia ni askari wako kutumia mamlaka zaidi ya kutumia chombo cha moto kusema ukweli hata kama alikuwa anajiprotect sio kwa kupiga risasai namna hiyo haipendezi jamani kumbuka kuwa mnawapa kiburi askari wetu na ndio maana wanamajibu mabaya sana kwa raia tafadhali isijirudie tena kama kamanda tunakuomba hekima zaidi itumike na mungu akusaidie katika uongozi

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza95647 жыл бұрын

    hii sio serikali ya kuleana eti kisa ulikuwa Mh. fulani ndo uvunje sheria wakati na ww umewai kuwa mtunga sheria, na pia ulihamasisha wananchi kutii sheria bila shuruti leo hii una kataa kutii unategemea nini kama si shuruti maana sheria ni msumeno pongezi kwa wale polisi

  • @Mkrist
    @Mkrist7 жыл бұрын

    Yaani hawa polisi sijuwi niwape nini!! Hongereni sana tena sana. Pengekuwa hapa Marekani hakika huyo jama leo angekuwa chumba cha maiti au hospitalini. Kumbe Africa baado ndipo kuna polisi wazalendo. Hivi mnajuwa wangapi wanauwawa na polisi bila hata kufanya ubishi wowote?

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi49695 жыл бұрын

    ongera sana jeshi la polisi

  • @blaqtz8946
    @blaqtz89467 жыл бұрын

    safi sana siro pigeni kazi😊

  • @tonphilipo7760

    @tonphilipo7760

    5 жыл бұрын

    Yatakukuta ww uoneunavojinyeanyea

  • @ibrahimusalome102
    @ibrahimusalome1025 жыл бұрын

    safi sana siro

  • @alhajjibeysal1662
    @alhajjibeysal16625 жыл бұрын

    tii sheria bila shuruti. kazi nzuri afande

  • @kwisa4899
    @kwisa48997 жыл бұрын

    Safi sana siro

  • @shagembemarco4298
    @shagembemarco42987 жыл бұрын

    haiwezekaniii tukawa tunateteana kwa mambo ya ajabu kama haya

  • @irenbrown1868
    @irenbrown18687 жыл бұрын

    ndo ivo sasa hamtaki mkajambe mlalee😂😂😂😂😂mnaleta ulimbukeni Wa vyeo mi mwnyw nlikuwa kilanja...... TII sheria bila shuruti nyooooo

  • @ismailmajala2802

    @ismailmajala2802

    5 жыл бұрын

    Iren Brown 😆😆😆😆💪🏽

  • @abeidhamdan5990
    @abeidhamdan59907 жыл бұрын

    hivi mie nashangaa watu wanaobishana humu mpaka kufikia kutukanana mbona trafik polisi hawana siraha wanakamata magari yenye makosa na wenye magari wanalipa faini ukichelewa kulipa faini inaongezeka ukipita kwenye camera maalum za trafik wanakukamata hata kama mwaka umepita kwani ile GARI haina namba na Dereva alikuwa hana leseni.ilikuwa kazi ndogo tuchukua namba za GARI na leseni ya Dereva kwisha .sasa kupoteza risasi ambazo zinalipwa na kodi ya mwananc hi na kushtua ubalozi wa nje Canada ingekua karibu na ubalozi wa USA Leo tungeongea mengine

  • @winnievesso116

    @winnievesso116

    7 жыл бұрын

    Abeid Hamdan bora useme wewe

  • @abdulrahmansalim1809

    @abdulrahmansalim1809

    5 жыл бұрын

    Police kutumia nguvu sio kwa silaha na sababu haina msingi kutowa silaha .Hujuwi kuzungumza umefeli ukiwa ndio kiongozi .

  • @morefireministrychurch177
    @morefireministrychurch1775 жыл бұрын

    Sukuma ndani wataacha ujinga nchi Ni yetu wote c kwa vile alikua waziri asarau asikari

  • @youngmeku5159
    @youngmeku51597 жыл бұрын

    safi sana.. askari waheshimiwe bana!! Malima hajatumia busara, awekwe ndani kwanza ashike adabu.

  • @mosesmashishanga285
    @mosesmashishanga2855 жыл бұрын

    hongera police hawajangalia yeye ninani wa nchi hongera dogo uko vizur tena nimeipenda dogo

  • @ayubupapi2649
    @ayubupapi26495 жыл бұрын

    umeeleza vizuri kamanda“

  • @salimmalundila7032
    @salimmalundila70327 жыл бұрын

    Sawasawa baada ya miez 3 hii nchi itageuka korea

  • @djkidoxl8060
    @djkidoxl80607 жыл бұрын

    makosa hapo yamefanywa na Mh Malima na Polisi pia wamefanya makosa. .Kosa la Mheshimiwa Malima ni kujibizana na watumishi waserikali yeye asingepaswa kutumia wadhifa wake angetii sheria wala pasingetokea haya yote. . Kosa la Polisi ni kufyatua risasi ovyo na aliefyatuliwa hakuwa na silaha wala hakua tishio kwa Chombo cha dora..huu ni mtazamo wangu

  • @hassanmganyizi586
    @hassanmganyizi5867 жыл бұрын

    Duh!!!!!

  • @sylvanusfelix6998

    @sylvanusfelix6998

    7 жыл бұрын

    Xaf xana

  • @zossynguya5898

    @zossynguya5898

    7 жыл бұрын

    uyu akari mchunguzen vizuri ayko sawa

  • @idrissaramadhani2872

    @idrissaramadhani2872

    7 жыл бұрын

    unajua lazima tuamke mwanzo ilianza clouds, ikaja nape, ikafuatia mtu wa bodaboda kuuawa na askari, na sasa malima halafu unasema yule askari alikuwa sahihi. mnajenga mahusiano mabaya na wananchi and people are watching. watanzania tuna tabia hatukemei jambo mpaka likukute wewe mwenyewe au ndugu yako. siro amkamate na yule askari aliyekuwa anamsihi mwenzake asifyatue risasi. nilidhani pengine hatu hitaji askari wa aina hii, ni kweli achunguzwe. malima angeenda wapi ? bado angeweza kukumatwa wakati wowote bila ku-attract attention ya watu. ama kuhusu kumatwa, ana haki ya kuhoji, hebu jiulize, ukishaondoa gari sehemu uliyopaki na kwenda kwenye yard yao-utawezaje kudhibitisha kwamba hukuwa wrong packing. tutumie akili ya kawaida mbona ajali huondoi gari mpaka traffic aje apime na wewe uone mchoro na usaini. sisi ni raia tunajua traffic wanavyobambikia watu makosa (anakuomba leseni anakuandia), kadhalika na hawa wa packing system. lakini kibaya hawataki kutoa vitambulisho wanaombwa kufanya hivyo ilihali wamevaa kiraia. ni kweli askari wana haki zao lakini nilazima wafuate sheria za ukamataji. busara ilihitajika, ile ni gari ungechulikua namba ingeweza kukamtwa sehemu yoyote, kama alivyo malima.

  • @omarysilimu4176
    @omarysilimu41767 жыл бұрын

    SAFII KABISA MAELEZO AFANDE SIRRO

  • @fafi9092
    @fafi90927 жыл бұрын

    Movie znaendelea

  • @mlokozimpesha1448
    @mlokozimpesha14487 жыл бұрын

    sio kweli mkuu

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu37655 жыл бұрын

    Hmn lolote kazi yenu kuuwa tu hulai maisha hapo walikuwepo wangapi

  • @humphreybilly3258
    @humphreybilly32585 жыл бұрын

    lakini jua Mungu anawaona.

  • @eliahiluka830
    @eliahiluka8302 жыл бұрын

    Si kweli siro hapakuwepo Na urazima wakufyatua risasi

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic997 жыл бұрын

    alafu tunashangaa kwanini wazungu wanatuita nyani, yani in any way shape and form hauwezi kuita huu ujinga ni ujasiri hapa tunasifia upuuzi tu siku mtu atapigwa risasi na polisi na watachekelea wakiita ujasiri.

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu72462 жыл бұрын

    "Yadogosheni Mambo ya Viongozi Wenu " Haya ni Maneno ya hekima yaliyosema Na Mtume Muhammad SAW

  • @nikky4757
    @nikky47577 жыл бұрын

    na pia hakukuwa na zogo wala fujo za kufyatua risasi kama mtu kagoma tia pingu weka kwenye gari ya polisi the hiyo gari ya mtuhumiwa ambayo nikielelzo inavutwa inapelekwa kituoni sasa kama mkuu unatetea bila hata kutoa exeption yeyote maana unawaahamsisha wafanye hivyo kesho uwezi jua watafanya nini .hasa hawa askari vijana wapya yaani wakipewaga ile SMG naonaga hatari sana maana si wote wanabusara

  • @boniphacesamsonmwazembe3416

    @boniphacesamsonmwazembe3416

    5 жыл бұрын

    asikali alipaniki

  • @TheTemba1
    @TheTemba17 жыл бұрын

    ufafanuzi na tukio vitu tofauti cjaelwa

  • @josephmagele2861

    @josephmagele2861

    5 жыл бұрын

    Novatus Tanzania mwalimu wako alikuwa na kaz kichwa chako kigumu

  • @hhmanyamba2871
    @hhmanyamba28717 жыл бұрын

    nyinyi mnaong'angania malima wazili niwazili wawizalagani?

  • @omarykatunzi645
    @omarykatunzi6457 жыл бұрын

    inchi inaelekea wap?

  • @peternansio5305
    @peternansio53057 жыл бұрын

    Safi kamanda sirro maelezo yako mazuri kabia, tunataka Asakri jasiri kama hao safi..malima anatakiwa kutii sheria bila shuruti....NALIPONGEZA JESHI LA POLISI.

  • @dastanimsosa5150
    @dastanimsosa51507 жыл бұрын

    jmn saa nyngne tuangalie coz saa nyngne kulaumu askari wkt inaonekna kabisa huyu malima anaonekana hana hekima na askari anafnya kazi ingekua yy yko kazni angekubali ila kutii sheria ni kwa kila mtu na sio kwa makapuku tu

  • @mohamedjuma423
    @mohamedjuma4235 жыл бұрын

    Safi kamanda

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon65557 жыл бұрын

    Lkn Sasa Hivi siraha zinatumika vibaya mno,lzm mkubali hilo,Watu wengi wanatishiwa bastola hicho Siyo kitu kizuri,mtu hana siraha bastola inatumika ya nn,mm sielewi bado

  • @nelsonedward4377

    @nelsonedward4377

    7 жыл бұрын

    Diana Petzold tii sheria gari iyende mahali usika nayeye alitakiwa kufikishwa kituoni angetakiwa akubali aseme sawatwende sasa anabisha nini akati nimkosaji so nguvu imetumika kutawanya raiya wenye ushabiki na police kama kazi in yake lazim mtuhumiawa afikishwe kituoni

  • @ksmally1985

    @ksmally1985

    7 жыл бұрын

    Diana Petzold .silaha ya nini

  • @ksmally1985

    @ksmally1985

    7 жыл бұрын

    Diana Petzold .mimi naina nchi imefika sehemu mbaya ya kutishia usalama wa raia.kweli.ndio maana na mafuriko yanatukumba,hii ni adhabu kwa dhulma zinazofanywa kwa raia

  • @andrewnyambega5590

    @andrewnyambega5590

    7 жыл бұрын

    serikali lzm ieshimiwe...kua uyaone

  • @casmirmsofu6106

    @casmirmsofu6106

    7 жыл бұрын

    najua kama unataka kumkamata mhalifu waweza kutumia nguvu endapo mtuhumiwa anagoma ,sasa kwanini polisi atumie silaha kwa kuarest mtu ambaye kwa maelezo ya kamanda hana kosa huyo mtuhumiwa ukichukulia alikuwa ndani ya ubalozi ambayo ni sehemu aliyopo mie ningeona busara kama angeambiwa apaki hilo ari lake vema na sio kufyatua risasi hewani ambayo kama mimi nijuavyo wengi hapa tz wanamiliki siraha nisinge shanfaa sana endapo angetokea mwingine wenye siraha na wakaweza uana pale busara ambayo angetumia huyo polis nikuchukua namba ya gari na kumpeleka mahakamani na sio kushitua kwa risasi sijaona mantiki huyo askari kwa kitendo hicho afukuzwe kazi pamoja na siro aliye mxapoti ccm haitaki matisho nichama cha amani hakika huyo askari na siro kazi wameshindwa.

  • @j_gh812
    @j_gh8125 жыл бұрын

    Je gari lilipaki bila kua na dereva au dereva alikwemo???maana matukio ya kunyanyasa ni mengi kwa wakusanya kodi za parking..hata mtu ukiwa umeegesha kidogo na dereva hajashuka lakini unalazimishwa kulipa fine....

  • @shakilasaid5473
    @shakilasaid54737 жыл бұрын

    hatari sana

  • @ezramhegele9460
    @ezramhegele94607 жыл бұрын

    nawaunga mkono askari kwa kutimiza majukumu yao ya kazi bila kupindisha sheria kwa kuangalia nani ni nani

  • @venture_rafael
    @venture_rafael7 жыл бұрын

    ni tar 15-05-2016??

  • @beatusmtui507
    @beatusmtui5072 жыл бұрын

    Sawasawa kabisaaa

  • @lugayilajohn6269
    @lugayilajohn62695 жыл бұрын

    Siro salute kwako baba

  • @piusimnanka8140
    @piusimnanka81404 жыл бұрын

    Acha kutetea upande wako...mbona yule askari alianza kupiga risasi kabla hata Malima hajagoma kupanda kwenye gari...!

  • @ramambongo4069
    @ramambongo40697 жыл бұрын

    shango uko sawa kabisa asikari wanakurupuka unavyatua risasi kama malima ni mwizi nahakubishana kwelihawana uzoefu na kazi

  • @ZTownisland
    @ZTownisland7 күн бұрын

    Wew ni kamanda ila sheria ya silaha huijui bdo unatakiwa kusoma sheria vizur

  • @abdulshija3715
    @abdulshija37157 жыл бұрын

    safi mkuu askari yupo sahihi mh hakutumia busara

  • @allenvictorchalamila2005

    @allenvictorchalamila2005

    7 жыл бұрын

    wajuaji na wasiojua

  • @allenvictorchalamila2005

    @allenvictorchalamila2005

    7 жыл бұрын

    viongozi wengi wanadharau na niwavunjifu wa sheria askari alikua sahihi ndo maana sinaga yake aliwekeza mtutu juu

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia86137 жыл бұрын

    Amesema tarehe 15/5/16.?

  • @yusuphumohammed5833
    @yusuphumohammed58335 жыл бұрын

    asikari kafanya vizuri kawajibika safi sana

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky7 жыл бұрын

    maneno ya Lema yanatimia kaanza nape kafwata malima😂😂😂😂😂😂😂kodi inakusanywa kwa mabundi only in Africa Ndiyo maana wazee wakazi wakiwapatiaga wanawauwa km kuku shame on you

  • @petershedrack4668

    @petershedrack4668

    5 жыл бұрын

    onlymeruky wewe kichaa

  • @kimenyakimario5047
    @kimenyakimario50475 жыл бұрын

    upo sawa mkuu kama unaongea nahakuna mtu wakuku pinga utaisi upo sahihi nakupenda sana mueshimiwa

  • @kamanda007
    @kamanda0073 жыл бұрын

    Hili kuu la police zero tupu, yaani linaona sawa police kufyatua risasi kea huu ujinga, ukiangalia vizuri police mwingine alikuwa anamzuia mwenzake asilete fujo, Sirro ningekuwa mkuu ningekutumbua vibaya sana

  • @shagembemarco4298
    @shagembemarco42987 жыл бұрын

    kabisa kamanda siro kwanza hata hivyo walimstahi tu mimi ninavyoona

  • @davido8089
    @davido80897 жыл бұрын

    Mmmmh

  • @oceantv5382
    @oceantv53827 жыл бұрын

    watanzania wanazarau sana sheria haswaaaa waliokuwepo kwenye sheria wao ndowalitakiwa kuwa fundisho lkn sio kuchochea

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari24584 ай бұрын

    Maswal ya dada yalikuwa mazuri sana ila IGP SIRRO aliyakwepa...

  • @rolandmwasomola4516
    @rolandmwasomola45162 жыл бұрын

    Sure hapo kamanda kanena ukweli mtupu huyo waziri mstafu alitaka kutumia biography Kama weapon ya kuwazaririsha Askari , kiukweli Askari walikuwa sahihi

  • @TheJrnavigator
    @TheJrnavigator7 жыл бұрын

    Kamanda Sirro ameeeleza vizurii sanaa. Safii kaabisaaa, #TiiSheriaBilaShuruti

  • @albertosanga7744
    @albertosanga77445 жыл бұрын

    Mnatutisha jamani

  • @mohamedshabani2263
    @mohamedshabani22635 жыл бұрын

    mh. hatukatai sisi kutii sheriya swali uliloulizwa bado hujajibu vizuri kwa mjibu wa sheriya gari gari ambalo limeparck sehemu ambayo hairuhusiwi linatakiwa kuegesha ndani ya dakika ngapi liwe limeondoka?

  • @abdisalim7900
    @abdisalim79003 ай бұрын

    Hv hapa Sirro anapongezwa kwaajili ya nn?Duh!!hii nchi ,Mrema aliiona wengi ni bendera fuata upepo

  • @adamkawili6913
    @adamkawili69132 жыл бұрын

    Kwani alikuwa anakata kwenda polisi Mheshimiwa?au mnajitetea

  • @DmpandujiDmpanduji-tp7np
    @DmpandujiDmpanduji-tp7np Жыл бұрын

    Hakuna kitu hapo unatetea mambo ya hovyo kabisa. Busara ingetumika huyo ni kiongozi polisi mara nyingi mnateteana sana hata kwa mambo ya hovyo.

  • @BON357
    @BON357 Жыл бұрын

    Kwanni Askari mwingine alikua anamzuwia mwezake,siraha kapewa chiz ngoja awwe ndiyo mtajua

  • @amedemasumbuko9276
    @amedemasumbuko92767 жыл бұрын

    Diana petzold sorry nyie mumelevya na amani yatanzania hebu ingekuwa niburundi au rwanda au Uganda Adam Malima wangemushuulikiya vibaya chumusingi muheshimu polisi

  • @Nkaranga3
    @Nkaranga37 жыл бұрын

    ishu hapa kumbe ni kukusanya kodi

  • @robertjunior9916
    @robertjunior99167 жыл бұрын

    Hivi mshahara wa police shs ngapi?

  • @abbiecox1
    @abbiecox15 жыл бұрын

    KWA STAHILI HIZI WENGI WAMEBAMBIKIWA MAKOSA WASIYOYAJUA WALA KUWAHUSU. MBAYA ZAIDI WANANCHI WAMESHAKOSA IMANI NA JESHI LA POLISI NI VYEMA MKALREJESHA IMANI KWANZA ILI WATU WATOE USHIRIKIANO

  • @petermahoiga1641
    @petermahoiga16417 жыл бұрын

    Hapa ndo naanza kuona kumbe hakuna aliejuu ya Sheria.

  • @franknyamiamba1160
    @franknyamiamba11605 жыл бұрын

    Kamanda siro yupo vizur kama ni mtihani nigefaulu mtihani 100%

  • @georgebarongo4174
    @georgebarongo41745 жыл бұрын

    Watu wasome sheria na kuzielewa.long parking unapiga risasi hovyo .gharama ya risasi na mambo yasiyofaa mini busara.

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid22597 жыл бұрын

    kamanda siro tunakuheshimu sana na kukupenda pia ila kwa maelezo uliyotoa leo umeniacha hoi.

  • @tinopascal4903

    @tinopascal4903

    7 жыл бұрын

    jazba hasira na siraha noma sana......risasi zanini juu...sibora virungu au pingu tu......kwani jambazi uyo

  • @benbranco3688
    @benbranco36887 жыл бұрын

    malima alikua anajiachia sana anajisifia kama alifanya kazi na wakuu wake,wacha wanyooshwe

  • @faisalyasin6534
    @faisalyasin65347 жыл бұрын

    Hakuna raia yupo above the law..... hapo ni sawa kabisa kupelekwa kwake kituoni, lakini kufyetua risasi hadharani, ni kosa.

  • @amosmwambene1865
    @amosmwambene18655 жыл бұрын

    Hapo sio sawa huyo ni waziri mweshimuni kateuliwa huyo

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    29 күн бұрын

    Ukiteuliwa na rais ndiyo iwe sababu ya kuvunja sheria

  • @unclesamtz6048
    @unclesamtz60485 жыл бұрын

    Achen ushamba bhana, kupiga piga risasi hovyo c sawa

  • @radhiasalum833
    @radhiasalum8337 жыл бұрын

    umeleweka mkuu.alifanya tanzania kaitawala hajui kama kila secta ina wadhifa wake.hahah kalala mabusu bureeeee.kweli akili ni mali

  • @msafirikiria4604
    @msafirikiria46047 жыл бұрын

    Jamani, hata kama polisi wana nguvu ya silaha ni lazima tuheshimu viongozi wetu!! Siungi mkono ya walichokifanya hawa askari kwa waziri mstaafu

  • @issacsentkinda8866
    @issacsentkinda88667 жыл бұрын

    Hivi,unapotumia nguvu ya risasi na ikatokea umeua wewe askari polisi kwenye tukio kama la malima,je huyo mpongezaji,atakupongeza? Huyu siro anaepongeza matukio ya hivi anamaanisha nini,? Ila zomeazomea hio inauhusiano gani na risasi? Au hao raia walikua wamebeba silaha? Tunapata shida kidogo hapa kwakua wakuu wa hao washika silaha wanawapongeza na pongeza hio itazaa mauaji na hio siku hatuijui na itakuaje,itakua polisi dhidi ya nani! Ushauri wangu tu nikwamba tusipongezane kwa matukio ya hivi maana iko siku tutatakiwa tupongezane mbele ya maiti za watanzania kadhaa,watakao kua wametolewa uhai na hao wenye mamlaka ya kushika silaha.kwa kauli ya kamanda ni ukweli usiopingika kua iko siko huo mdomo wa bunduki hautaelekezwa angani tena,bali utaelekezwa kwenye halaiki ya watu👥👥👥👈 halafu kamanda atajitokeza atoe pongezi,kweli? Inatisha na kuogopesha sana!

  • @festokiraryo.6107
    @festokiraryo.61075 жыл бұрын

    Kwani walishindwa kumkamata bila kupiga risasi,au anatafuta sifa sisi tunalipa kodi na polisi mnalipwa mishahara

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv5 жыл бұрын

    Ss kwa mfano hao Askari si wanajua jamaa ataki kutii sheria na anajulikana na angelipa faini...aah

  • @michaelmtono9360
    @michaelmtono93607 жыл бұрын

    du tanzagiza

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    7 жыл бұрын

    Watanzania hivi amjifunzi kupia malema jinsi anavyo mkejeli zuma kwa kuvunja sheria siro kafanya kitu kinacho takiwa kimataifa sasa hapa ndio naiona Tanzania inayokwenda kufanana kisheria na nchi zilizo endelea

  • @petermando917
    @petermando9172 жыл бұрын

    Hamn kitu hapo

Келесі