"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
Mbunge na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Joseph Msukuma ameongea kwa mara ya kwanza baada ya kukamatwa na Polisi na kulazwa sero kwa zaidi ya saa 48.
Baada ya kuachiwa kwa dhamana ameongea na AyoTV kuhusu kosa lake lililofanya akamatwe na kusema pia kwamba RPC wa Geita ana roho mbaya.
Пікірлер: 931
we siulisema unaheshim hata askarimdogo aje akukamate..sasa umekamatwa na mkubwa una lalamika...poleeeee
@bennymgaya2277
6 жыл бұрын
Kajinga haka kajamaa na shida ni shule
@dhomila2982
3 жыл бұрын
@@bennymgaya2277 wa ha madharahu
hahahahahaaaaa TANZANIA imefikia patamu si mchezo 😁😁😁😁😁
msukuma mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu unataka upewe upendeleo maalum kwa kuwa eti wewe ni m kiti wa ccm wa mkoa m kiti wa ccm ndio unaruhusiwa kuvunja sheria na kuhusu ufisadi wa RPC yote ayo ni maneno ya mkosaji kwani unasubiri mpk uwekwe ndani ndio useme maovu ya RPC.
@mathsngasadm3093
6 жыл бұрын
Pole
@mwitamahende4394
Жыл бұрын
Kumbe inaumae? Hakika mkuki kwa nguruwe kwa binadamu duu!
kumbe hamuwez kusema mpaka mfanyiwe...Tanzania msema kweli Ni lisu angalii fitina ....mseme Siku zote ...mnafki
@graceswai9147
6 жыл бұрын
Yordan Yona Wanafki awa
amakweli mkuki kwa ngurueee...sasa nimchunguu mmmmh.
@sonkoelface5594
6 жыл бұрын
Ukusema mwanzo mnafiki hunaswaga
Takukuru mnasubiri nini anzeni namsukuma
@fugakwamalengo707
6 жыл бұрын
l like that
@graceswai9147
6 жыл бұрын
Hamis Mindika hahaa
@emmanuelmasele8734
6 жыл бұрын
SIKU ZOTE UNATAKA UONGEE NA USHANGILIWE NA WANA CCM.WALA SI MPIGANIA WATANZANIA BALI NI MWAKILISHI WA CCM TU.HONGERA RPC.
safi sana nilitamani ukae ndan ata miez minne unashabikiaga xan Akin lema wakiwekw ndani
@venancebasil4656
6 жыл бұрын
Jozey The Boy TV msukuma ni msukuma tu
@fugakwamalengo707
6 жыл бұрын
+Venance Basil halafu ajielewi eti anasema RPC chadema ajui kuwa hicho ni cheo kinavyo Fanya kazi akiulizi chadema wala ccm
@abdallahmwambe4834
6 жыл бұрын
Msukuma hunalolote
Kumbe kuna siri wanafichiana? Naomba waendelee kuchafuana ili tujue ya ndani.Serikali hii..!!
Kwahiyo akikuomba msamaha utamfichia hayo maovu?
@magezimagezi363
6 жыл бұрын
Bob Wangwe, arudishwe sero
@gilbertalex1651
6 жыл бұрын
Bob Wangwe bobu tulia wewe
@frankbella7010
6 жыл бұрын
huyo mtangazaji mbona anamuiga miladi hayo sauti
@lazaroyona8307
6 жыл бұрын
+Frank Bella.....muige na ww pia
@emmanuel_mihambo3
6 жыл бұрын
Lisu nilaisi wa wanashelia mbona yeye aliwekwa lokap marangapi wewe unalaumu afu dalasa LA 7 mufungweee RPC fanya kazi yako
Huyu ndo yule chizi anayeshabikiaga mambo ya kipuuzi yanayofanywa na police kwa upinzani,Leo yamemkuta yeye kidogo tu analalama anataka hadi kufa.....hiyo ndo serikali yenu wehu nyie na ujifunze kuacha kuwabeza wapinzan wanapoonewa na serikali yenu MPUUZI WEWE
@tracyjustice1600
6 жыл бұрын
Zacharia John kachukuwe soda kwa Mangi nitalipa, umenifurahisha sana
@subramashs2236
6 жыл бұрын
Zacharia John mie namkubali msukuma
@mussambegu6386
6 жыл бұрын
Zacharia John heti anasema RPC ni chadema ahahahaa
@emanueljohn4217
6 жыл бұрын
Zacharia John hili lijamaa kweli halifikirii
@subramashs2236
6 жыл бұрын
Zacharia John mid namkubali
Sheria unaichanganya na siasa bro! kapimwe mkojo
@ibrahimushabani5299
5 жыл бұрын
Kabisa yani hili chizi halielewi hata anachoongea
King M you are Good! hua unajua nini unaongea! na hujawahi kuogopa safi! tupo nyuma yako!
Hapo ndiyo namkubali RPC alafu nilitamani ukae hats miezi 8 kwa kiherehere ulicho nacho
😂😂😂😂😂😂😂 msukuma bhana... Eti "sijawahi kuona RPC mwenye roho mbaya kama huyu" Muhuni amevurugwa huyo...kampiga tanganyika jerk mheshimiwa...
@santyhassan4186
6 жыл бұрын
Said Ndimbwa Unamtetea nini sasa wacha alale ndani
Leo nimeamini msukuma sio mzalendo kwanini ufiche maovu ya MTU kama kweri mzalendo na geita mmefanyiwa hayo kwanini usiseme
@mtanzaniamzalendo7001
6 жыл бұрын
mohamed Seif kabisa,hana uzalenfi wowote,ni unafiki tuu
wekwa ndani weweeee mweu ulimshabikia LEMA hakiwa ndani uliwatusi kina Halima mdee sasa utanyoka
ulikuwa unasubiri nini?? hadi ubanwe ndo utoe povuuu,ndo ukomeeee
Kiongozi gani wewe unaficha mabaya ya viongozi wengine, Kama kweli wewe ni mzalendo kweli Fichua mabaya aliyo nayo, Watanzania tumewachoka viongozi tiamaji tiamaji kama nyie.
@mtanzaniamzalendo7001
6 жыл бұрын
Issaria Kimambo hapo ndipo ninapomwona msukuma hana akili
@ibrahimushabani5299
5 жыл бұрын
Kabisa yaani halijitambui hili
Pole sana msukuma! Sasa,hapo umejiongezea shtaka la5 kwa kumtishia RPC! Uwiiii, poor TZ! Tunaelekea wapi? 'TUFIAKWA!!'
Pole msukum wangu love you
Kwahiyo akikuomba msamaha utamfichia hayo mambo hadharani?
@abasmasusu964
6 жыл бұрын
Bob Wangwe hahahaha!!kijana nakuona umepotea sana
@gilbertmichael9130
3 жыл бұрын
Asiposema Inamaana amefumbia macho uovu
wewe unaftina sana,muheshimiwa Rais muangalie sana huyu mtu,anasema RPC mfuasi wa Chadema kwani yeye msukuwa ameacha lini ufuwasi wa Lowassa?
@salimyona9913
6 жыл бұрын
ovyo ovyo
@santyhassan4186
6 жыл бұрын
eddie ross kweli yeye mwenyewe mfuasi wa Lowassa
@hassanmwakipesile3386
6 жыл бұрын
kwenda wewe we mungu achamkwara etiusikamatwe
@zakiamakesi620
6 жыл бұрын
Huhu
we msukuma mbona unamtisha sana kamanda unasema ufulahii wapinzani kuwekwa ndani mbona kila siku unawapigia debe polisi leo wamekugeuka
@kassimrajabu7805
6 жыл бұрын
Kanyika Kanyika hahahahahah
Pumbav ww yaan kwa sababu tuu ww ni CCM ndio uvunje sheria RPC muongeze masaa mengi 120
@tatut3889
6 жыл бұрын
Shedrack Tweve 😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁
@christophersypriano7824
6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mussambegu6386
6 жыл бұрын
Shedrack Tweve kumbe imemuuma anavyoshabikiaga wenzie sasa imemkuta yeye
@hechechacha4032
6 жыл бұрын
Shedrack Tweve zitto alisema nchi wamepewa washamba hakukosea
@fokasiinnocent3448
6 жыл бұрын
Shedrack Tweve subir utaona akimtaja ufisadi wake
Huna lakuwaeleza wtz
@fugakwamalengo707
6 жыл бұрын
nice
@bernadinangasi7664
6 жыл бұрын
mimi binafsi nampa hongela huyo rpc kazi anaweza
sema vyote wewe izo siyo siri tena kwa taarf yako.nakukubali sana Mr Msukuma
Wakifungwa lisu wakitetea haki unashangilia..ila wewe unatisha..mpaka upelekwe ndo utaje maovu.jinsi mlivyo wanafiki...yanawarudia wenyewe
@dawoodtekakie4012
6 жыл бұрын
Gurached Mmbaga yeye ni nani? Unadhan kuwa mwenyekiti ndo nn? Serekali ya wote
@mtanzaniamzalendo7001
6 жыл бұрын
Gurached Mmbaga mnafiki sanaaaaa
@bernardzibwe3279
5 жыл бұрын
Mavunde Mmbaga . .
RPC amekuwa na roho mbaya zaidi ya waliotaka kumuua LISSU? Acha upuuuuzi
@rosemahengenicemcpilpil3327
6 жыл бұрын
umenena mwanaaa
Nimelipenda Sana hilo neno "kupoteza radha ya mahakama".
Braza Ayo!!! Hawa vijana wako wanakuiga hadi sauti!!! Jamaa waambie waongee sauti zao!!!!
@shoferishayoshayo9493
6 жыл бұрын
hawa wanatuinjoi
@Majambo_Duniani_Tv
6 жыл бұрын
bwege sana huyu..
@eliudykabelege5770
5 жыл бұрын
Ernest Ndauka alikwa wapi kusema mpaka akamatwe
@khadjamhozya
Ай бұрын
Kweri
usipoweza kumuheshimu rpc anayekulinda ktk himaya yako usitegemee kusikilizwa na sirro au rais
Hapa ndio napomkazania mwanangu kusoma kwa hali yeyote ile....elimu ni muhimu sana
Hahaha sio poa Kwanza umenifulahisha umeongea kishujaa bro nakupenda Sana
si uzungumze Sasa hivi? so CCM mnafichua ubadhilifu mpaka mwe impacted, lol
hahahah!!, mzee baba liamshe DuDE nakukubal
Pole kiongozi usijal tupo pamoja from Dodoma tunakupenda mtani wetu msukuma
daaah kumbe mnalindana, siku zote ulikuwa wapi ......? mpaka ukamatwe ndio unataka kusema huo ukweli.....? Lisu big Up sana.
Mmh yani kimtu hichi sijuwi kikoje kumbe kunya anye kuku akinya bata kalisha kumbe kama nikweli umeweka ndani sio kutufumba macho umewezwa kwann ayo maovu Usinge sema zamani shwani ww
Piganeni nyie wote CCM na huyo RPC wenu mpaka muuwane
@alphoncealexander6562
6 жыл бұрын
Albadirr ishaanza kufanya kazi...
@bakaritlagha625
6 жыл бұрын
Hongera RPC haki itendeke kwa wote hayo yote mbona hakusema wakati hajakamatwa .ukikosea sheria lazima uchukuliwe hatua.
@jumannewat7657
6 жыл бұрын
Alubadili iyo inafanya kazi kwa msukuma
@majisanhaimonnyirenda6760
6 жыл бұрын
Leo msukuma zam yako usilamike mkuki kwa nguruwe
@davidemanuel8044
6 жыл бұрын
acha uchochezi, asingekamatwa ungesema mengne, tumia akili
Mkuki kwa nguruwe hahaha asnte Tanzania yangu nakupenda
Mambo gani unaanika baada ya kuwekwa ndani, acha vitisho. Tanga tunakujua.
Unatakiwa useme tu. na kama unao ushahidi juu ya maovu yake aburuzwe mahakamani na wewe uburuzwe kwa makosa yako.
Mtenda akitendewa mambo huwa hivi😃😃😃😃😃😃
Veema- sana Mkuu msukuma tukopamoja nawe watz wote Joseph Msukuma oyeee nakukubali sana.
uombwe radhi wewe nani bwanaee???c unajidai mjuaji na mshangiliaji wa ya wapinzani? kaaa selooo huna ukubwa wowote kuliko RPC
Mara pap iii....hiiiiiii!!!!!!!
@princebarcher3055
6 жыл бұрын
Abdillahi Hassan 😂😂😂tumemsomaa!
@princebarcher3055
6 жыл бұрын
Abdillahi Hassan 😂😂😂tumemsomaa!
@amosododa4902
6 жыл бұрын
Abdillahi Hassan
kumbe mnafichiana uovu,sasa mmetuweka wazi kuwa ni WATENDA UOVU
Musuma umeonaeeee bungeni wapinzani wakilalamikiaga hayo mnapingaga ss yamekukuta acha presha
RPC ninampongeza sheria ifate mkondo wake akuna cha Ccm au chadema
@jameskileo955
3 жыл бұрын
Acha mboyoyo RPC Yuko vizuri na hayo ndiyo majukumu yake hakuna mtu aliye juu ya sheria NNCHI HII
Ulikuwa wapi kuyaanika hayo unayotaka kuyasema,acha unafiki msukuma,usiwajibishwe ww ni nan katika nchi hii,acha kulia lia RPC piga kazi # HAPA KAZI TU.
@allydaraja1949
6 жыл бұрын
Zambi ya ubaguzi haijawahi mwacha mtu salama.
@godblessmwanri80
6 жыл бұрын
msukuma. my bro.wewe nikiongozi wa mkoa kuwa mfano.acha vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi yake.ushauri
Msukuma mjinga tuu kwanini usiyaseme kabla hujakamatwa
na bado utawaita roho mbaya wengi..suala uenyekiti ....mbowe na wengine mnaowaita kama watoto mpuuzi wee msukuma..
ahahaha kuwekwa ndan sio mchezo we amsha dude kwa faida ya wananchi sio akikuomba radhi usiseme
yani hapa hakuna mtu kituko
@juliusurassa2136
6 жыл бұрын
Bangi mbaya, uombwe radhi na RPC wakati umesema ni mtu mdogo kwako?
@fransismwanga6616
6 жыл бұрын
Daaah.unatafuta balaa msukuma.muangalie nape alipo.nyerere alitoa onyo.mnawapiga Hawa wakiisha mnapigana ninyi kwa ninyi.
Hahahahhahaha! Siasa hizi na wana siasa hawa! Tukiwasubiri mtufikishe mmmmmmh! Imekula kwetu! Mkae na mtu ambaye ana mabaya yake! Duh!
Safiiiiiii sana msukuma
eti rpc ni chadema hahahhahhhaaaaaa, kisa wewe ccm kakukamata hahahahhaa, kwani ccm ndo nini weka ndani wote alafu acha mikwara kwa rpc hahhaaaha eti risasi! nani akupige risasi wewe hakuna mtu wa kukupiga risasi tanzania ni ya amani, alafu kama wewe ni kiongoz bora ni bora uzungumze hadharani kwnini unaficha siri au kupiga mkwara, tumbua basi kama unaweza
@mtanzaniamzalendo7001
6 жыл бұрын
Venance Basil Namshangaa kwa nini hawakuitana huko kwao geita,kumbe unaficha maovu eeee
@muhsinihassani7021
6 жыл бұрын
msukuma kua mkweri rais katukanwa Wap ? usitafute kiki Kwa pickpik
@ibrahimushabani5299
5 жыл бұрын
Hana lolote mshenzi tu huyu ingekua kweli si angesema
Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu, tunavyofanyiwa chadema huwa huoni but we leo masaa tu unapanic lema alikaa miezi4 tulia pasi msipende kujipaisha Na vyeo Muwe Na hofu ya Mungu haha wakati wa Bwana waja hakuna cha watanzania wanaelewa unaelewa we mwenyewe
Mwaka huu mtatwambia mengi😂😂😂😂😂
hiyo ndio sifa ya darasa zero, huna lolote kazi yako kupiga kelele na kujipendekeza kwa Magufuli, sasa utaamua kurudi shule au kuwa mfurukutwa zaidi wa ccm, kazi yako kuongopea watu eti mimi naungana na raisi Magufuli kwenye vita vya kiuchumi, mbona hilo la Rpc kama ana madudu lilikushinda kuzungumza bungeni? kilichobaki ni kula matapishi yako mwenyewe kwani ulikuwa ukiona raha kuwafika wapinzani eee
sasa mwenyekit wa chama akikosa hastaili kuadhibiwaa? na kama anastahili kuadhibiwa unalalamika nn Kukaa siku mbili maneno yote yanakutoka je ungekaa miezi 6 ingekuwaje
Yangu macho😂😂😂 ungesema alichopereka mbeya alichowekeza geita umesha mwaka mchele kwenye kuku wengi
Jamaa yukoo simpo sana kama hakana ela
Uyu vip? Lowasa kaingiaje hapo?
@kassimrajabu7805
6 жыл бұрын
Fredrick Benito hapo chacha.
ACHA KUTOA POVU NI KAWAIDA TU.UWEKWA NDANI ULITUMWA NA NANI UFANYE HUO UPUUZI.NANI AKUPIGE RISASI.AKUOMBE RADHI NANI WEWE
@saadesaid8596
4 жыл бұрын
ज़
Hujajua kulalamika bdo;endelea kuropoka maana ya lissu unayaona n madogo!!subiri yakukute zaidi ya hayo
Naona umeinyaka Maik Kama wewe ndo muandishi🤣😅🤣
hhhh unanikosha kwa mikwala mwanangu nakukubali kinoma
@anitangao3135
6 жыл бұрын
kwenda wamekukomesha unakuwaga na kielele kwa hiyo unataka upinzani tu wangekuacha hata miezi
@goodluckmrosso486
6 жыл бұрын
Msonjo Khan nimemwelewaaaa kwa biti
Hahaahhahaha Msukumaaaa
@mussambegu6386
6 жыл бұрын
Olais Lukumay jamaa anapovu c mchezo
Hahaahaa nanyi yawawashe kidogo😅😅😅😅😅
Dah!!!! Malizana nae huyo!!!!!dah anakuona mbwiga pole yake sana mh msukuma nawe umezidi upole inshallah mungu batakusaidia .
hahaha ati ylikamatwa kwa kosa ganii?????? muhhhh kama stor ya sungura na fisi vile
@rehemamazuki8454
6 жыл бұрын
Msukuma unanipaga raha ha ha ha ha aaaaaaa
@rehemamazuki8454
6 жыл бұрын
Msukuma unanipaga raha ha ha ha ha aaaaaaa
mnafki mkubwa
Jeshi LA police halina chama limepewa thamana ya kulinda nchi na wananchi pamoja na mali zao liache lifanye kazi yake.R.P.C piga kazi babaaaaaa.
....."" Leo ni sisi, kesho ni Nape..keshokutwa ni wewe....". Alisema Tundu Lissu
@samwelmwinyi7879
6 жыл бұрын
Marco Dominico-Mungu akiponye mja wake! Lissu
Na msipo mkamata tena huyu msukuma nitashangaa kumbe ana maovu ya watumishi wa serikari huyu jamaa analeta uchochezi cjui yukoje?
@user-dr1su7pf7w
2 ай бұрын
mjinga kweli wewe unaakili kweli?
fala wewe
Wanajisahau sana hawa wanasiasa ambao sifa ya ubunge nikujua kusoma na kuandika tu!!! RPC ni mtu na elimu yake bhana!!!!
hahahaha mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
koma
@denislubuva4960
6 жыл бұрын
Online Trendz
Asingepewa dhamana huyoo
@robertmwaibambe432
6 жыл бұрын
akuombe lathi we nnibhna mkuki kwa nguluwe
Pole sana ,samehe tu kiongozi
Mwenye anajua alipo huyo RPC a tuambie
kwanini ungesinga ongea mapema Acha usenge kumbe wewe sio mwenyekiti wewe ufai
MKUKI KWA NGURUWE....
@agathammapundamapunda4826
6 жыл бұрын
Eeeerhhh uwwwwe Leo yamemkuta povu jingiiiiii nitunzie nije nifue
@aeroportonissan8077
6 жыл бұрын
agatha M Mapunda mapunda DUH!
@godywadeya4647
6 жыл бұрын
ukome
Huyu alitakiwa awekwe ndani na koplo wa Polosi wala si RPC. Asitishe watu/polisi.
tunakuunga mkono mbunge wetu na mwenyekiti wetu geita muanike huyo rpc
Ningekuwa kiongozi mda huu ungerudi sero, ulikutoa hayo uliyonayo miyoni mwako, kakini yote haya ni uongozi bora wa Dr Rais jpm, Mungu akutie nguvu ili uwe na makamanda wengi km wa geita hii ni ishara kuwa nchi inazidi kuwa Safi, huyo wammkamate aseme aseme, na sheria itende haki....
@charlesmasana6779
6 жыл бұрын
Jitafakari na ww pia mxkm
ety nimekupa siku tatu, umpe rpc sikutatu huna mamlaka ayo, rpc ni mtu mkubwa acha kubwabwaja ☝️☝️☝️ww
sipati picha hiyo Tanganyika jeki ulivyobebwa nahicho kimwili RPC kirudishe ndan tena Massa 3000
Wewe unaongoza jimbo ndani ya mkoa yeye RPC anaongoza mkoa mzima unahisi nani mkubwa hapo.
@ibrahimushabani5299
5 жыл бұрын
Alaf eti aombwe msamaha kenge hanithi huyu
Safi umeongea point sana mkubwa hawakamati wahalifu wanaogopa
Mhhh huyu jamaa mbona anaogea kama kaonewa. Hivyo ni vitisho na anajuaje kama yeye ni msafi????
Msukuma mm hakukubali sana ila binadamu hao ila police wanakela sana Mungu asaidie police ya Tanzania wafre kwenye roho mbaya
kwaiyo wewe ni mwenyeki wa rpc kumbe police wanavyama
safi wamekukomesha wew huna adabu wala akilii.... safi sana walivyosema chakula chako kimwagwe.....
@flyhigher5393
6 жыл бұрын
inabidi wakunyooshe wew,kwan mwenyekiti wa chama nan alisema yuko juu ya sheriaaa??? acha zako wew bhanaaa huna jipyaaa....
Now i understand you Msukuma
Sio roho mbaya yuko kazini anatimiza maagizo yake ya kikazi
HUYU JAMAA AKISHUGHULIKIWA ITAKUWA POA SANA MANAKE ANA KAMASI KICHWANI
safi sana na uache kimbelembele kujifanya unajua sana kusema wenzio na kama ungekuwa mzalendo ungesema maovu yake toka mwanzo siyo kupigwa Tanganyika jeki ndo unajifanya kutoa mapovuu