"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA

Mbunge na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Joseph Msukuma ameongea kwa mara ya kwanza baada ya kukamatwa na Polisi na kulazwa sero kwa zaidi ya saa 48.
Baada ya kuachiwa kwa dhamana ameongea na AyoTV kuhusu kosa lake lililofanya akamatwe na kusema pia kwamba RPC wa Geita ana roho mbaya.

Пікірлер: 931

  • @marykitiru9212
    @marykitiru92126 жыл бұрын

    we siulisema unaheshim hata askarimdogo aje akukamate..sasa umekamatwa na mkubwa una lalamika...poleeeee

  • @bennymgaya2277

    @bennymgaya2277

    6 жыл бұрын

    Kajinga haka kajamaa na shida ni shule

  • @dhomila2982

    @dhomila2982

    3 жыл бұрын

    @@bennymgaya2277 wa ha madharahu

  • @kassimayoub5568
    @kassimayoub55686 жыл бұрын

    hahahahahaaaaa TANZANIA imefikia patamu si mchezo 😁😁😁😁😁

  • @hamisi8
    @hamisi86 жыл бұрын

    msukuma mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu unataka upewe upendeleo maalum kwa kuwa eti wewe ni m kiti wa ccm wa mkoa m kiti wa ccm ndio unaruhusiwa kuvunja sheria na kuhusu ufisadi wa RPC yote ayo ni maneno ya mkosaji kwani unasubiri mpk uwekwe ndani ndio useme maovu ya RPC.

  • @mathsngasadm3093

    @mathsngasadm3093

    6 жыл бұрын

    Pole

  • @mwitamahende4394

    @mwitamahende4394

    Жыл бұрын

    Kumbe inaumae? Hakika mkuki kwa nguruwe kwa binadamu duu!

  • @yordanyona1234
    @yordanyona12346 жыл бұрын

    kumbe hamuwez kusema mpaka mfanyiwe...Tanzania msema kweli Ni lisu angalii fitina ....mseme Siku zote ...mnafki

  • @graceswai9147

    @graceswai9147

    6 жыл бұрын

    Yordan Yona Wanafki awa

  • @marykitiru9212
    @marykitiru92126 жыл бұрын

    amakweli mkuki kwa ngurueee...sasa nimchunguu mmmmh.

  • @sonkoelface5594

    @sonkoelface5594

    6 жыл бұрын

    Ukusema mwanzo mnafiki hunaswaga

  • @hamismindika7513
    @hamismindika75136 жыл бұрын

    Takukuru mnasubiri nini anzeni namsukuma

  • @fugakwamalengo707

    @fugakwamalengo707

    6 жыл бұрын

    l like that

  • @graceswai9147

    @graceswai9147

    6 жыл бұрын

    Hamis Mindika hahaa

  • @emmanuelmasele8734

    @emmanuelmasele8734

    6 жыл бұрын

    SIKU ZOTE UNATAKA UONGEE NA USHANGILIWE NA WANA CCM.WALA SI MPIGANIA WATANZANIA BALI NI MWAKILISHI WA CCM TU.HONGERA RPC.

  • @jozeytv8357
    @jozeytv83576 жыл бұрын

    safi sana nilitamani ukae ndan ata miez minne unashabikiaga xan Akin lema wakiwekw ndani

  • @venancebasil4656

    @venancebasil4656

    6 жыл бұрын

    Jozey The Boy TV msukuma ni msukuma tu

  • @fugakwamalengo707

    @fugakwamalengo707

    6 жыл бұрын

    +Venance Basil halafu ajielewi eti anasema RPC chadema ajui kuwa hicho ni cheo kinavyo Fanya kazi akiulizi chadema wala ccm

  • @abdallahmwambe4834

    @abdallahmwambe4834

    6 жыл бұрын

    Msukuma hunalolote

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia86136 жыл бұрын

    Kumbe kuna siri wanafichiana? Naomba waendelee kuchafuana ili tujue ya ndani.Serikali hii..!!

  • @bobwangwe748
    @bobwangwe7486 жыл бұрын

    Kwahiyo akikuomba msamaha utamfichia hayo maovu?

  • @magezimagezi363

    @magezimagezi363

    6 жыл бұрын

    Bob Wangwe, arudishwe sero

  • @gilbertalex1651

    @gilbertalex1651

    6 жыл бұрын

    Bob Wangwe bobu tulia wewe

  • @frankbella7010

    @frankbella7010

    6 жыл бұрын

    huyo mtangazaji mbona anamuiga miladi hayo sauti

  • @lazaroyona8307

    @lazaroyona8307

    6 жыл бұрын

    +Frank Bella.....muige na ww pia

  • @emmanuel_mihambo3

    @emmanuel_mihambo3

    6 жыл бұрын

    Lisu nilaisi wa wanashelia mbona yeye aliwekwa lokap marangapi wewe unalaumu afu dalasa LA 7 mufungweee RPC fanya kazi yako

  • @theinsider6462
    @theinsider64626 жыл бұрын

    Huyu ndo yule chizi anayeshabikiaga mambo ya kipuuzi yanayofanywa na police kwa upinzani,Leo yamemkuta yeye kidogo tu analalama anataka hadi kufa.....hiyo ndo serikali yenu wehu nyie na ujifunze kuacha kuwabeza wapinzan wanapoonewa na serikali yenu MPUUZI WEWE

  • @tracyjustice1600

    @tracyjustice1600

    6 жыл бұрын

    Zacharia John kachukuwe soda kwa Mangi nitalipa, umenifurahisha sana

  • @subramashs2236

    @subramashs2236

    6 жыл бұрын

    Zacharia John mie namkubali msukuma

  • @mussambegu6386

    @mussambegu6386

    6 жыл бұрын

    Zacharia John heti anasema RPC ni chadema ahahahaa

  • @emanueljohn4217

    @emanueljohn4217

    6 жыл бұрын

    Zacharia John hili lijamaa kweli halifikirii

  • @subramashs2236

    @subramashs2236

    6 жыл бұрын

    Zacharia John mid namkubali

  • @sylvestergibbeson9220
    @sylvestergibbeson92206 жыл бұрын

    Sheria unaichanganya na siasa bro! kapimwe mkojo

  • @ibrahimushabani5299

    @ibrahimushabani5299

    5 жыл бұрын

    Kabisa yani hili chizi halielewi hata anachoongea

  • @robertjagad5826
    @robertjagad58266 жыл бұрын

    King M you are Good! hua unajua nini unaongea! na hujawahi kuogopa safi! tupo nyuma yako!

  • @michanomichano4931
    @michanomichano49316 жыл бұрын

    Hapo ndiyo namkubali RPC alafu nilitamani ukae hats miezi 8 kwa kiherehere ulicho nacho

  • @saidndimbwa4976
    @saidndimbwa49766 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 msukuma bhana... Eti "sijawahi kuona RPC mwenye roho mbaya kama huyu" Muhuni amevurugwa huyo...kampiga tanganyika jerk mheshimiwa...

  • @santyhassan4186

    @santyhassan4186

    6 жыл бұрын

    Said Ndimbwa Unamtetea nini sasa wacha alale ndani

  • @nasryseif3575
    @nasryseif35756 жыл бұрын

    Leo nimeamini msukuma sio mzalendo kwanini ufiche maovu ya MTU kama kweri mzalendo na geita mmefanyiwa hayo kwanini usiseme

  • @mtanzaniamzalendo7001

    @mtanzaniamzalendo7001

    6 жыл бұрын

    mohamed Seif kabisa,hana uzalenfi wowote,ni unafiki tuu

  • @sirimollel5970
    @sirimollel59706 жыл бұрын

    wekwa ndani weweeee mweu ulimshabikia LEMA hakiwa ndani uliwatusi kina Halima mdee sasa utanyoka

  • @stewardheaven8382
    @stewardheaven83826 жыл бұрын

    ulikuwa unasubiri nini?? hadi ubanwe ndo utoe povuuu,ndo ukomeeee

  • @iconnect9769
    @iconnect97696 жыл бұрын

    Kiongozi gani wewe unaficha mabaya ya viongozi wengine, Kama kweli wewe ni mzalendo kweli Fichua mabaya aliyo nayo, Watanzania tumewachoka viongozi tiamaji tiamaji kama nyie.

  • @mtanzaniamzalendo7001

    @mtanzaniamzalendo7001

    6 жыл бұрын

    Issaria Kimambo hapo ndipo ninapomwona msukuma hana akili

  • @ibrahimushabani5299

    @ibrahimushabani5299

    5 жыл бұрын

    Kabisa yaani halijitambui hili

  • @lanlady2504
    @lanlady25046 жыл бұрын

    Pole sana msukuma! Sasa,hapo umejiongezea shtaka la5 kwa kumtishia RPC! Uwiiii, poor TZ! Tunaelekea wapi? 'TUFIAKWA!!'

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin58666 жыл бұрын

    Pole msukum wangu love you

  • @bobwangwe748
    @bobwangwe7486 жыл бұрын

    Kwahiyo akikuomba msamaha utamfichia hayo mambo hadharani?

  • @abasmasusu964

    @abasmasusu964

    6 жыл бұрын

    Bob Wangwe hahahaha!!kijana nakuona umepotea sana

  • @gilbertmichael9130

    @gilbertmichael9130

    3 жыл бұрын

    Asiposema Inamaana amefumbia macho uovu

  • @eddieross2581
    @eddieross25816 жыл бұрын

    wewe unaftina sana,muheshimiwa Rais muangalie sana huyu mtu,anasema RPC mfuasi wa Chadema kwani yeye msukuwa ameacha lini ufuwasi wa Lowassa?

  • @salimyona9913

    @salimyona9913

    6 жыл бұрын

    ovyo ovyo

  • @santyhassan4186

    @santyhassan4186

    6 жыл бұрын

    eddie ross kweli yeye mwenyewe mfuasi wa Lowassa

  • @hassanmwakipesile3386

    @hassanmwakipesile3386

    6 жыл бұрын

    kwenda wewe we mungu achamkwara etiusikamatwe

  • @zakiamakesi620

    @zakiamakesi620

    6 жыл бұрын

    Huhu

  • @stephanokanyika6988
    @stephanokanyika69886 жыл бұрын

    we msukuma mbona unamtisha sana kamanda unasema ufulahii wapinzani kuwekwa ndani mbona kila siku unawapigia debe polisi leo wamekugeuka

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    6 жыл бұрын

    Kanyika Kanyika hahahahahah

  • @shedracktweve9789
    @shedracktweve97896 жыл бұрын

    Pumbav ww yaan kwa sababu tuu ww ni CCM ndio uvunje sheria RPC muongeze masaa mengi 120

  • @tatut3889

    @tatut3889

    6 жыл бұрын

    Shedrack Tweve 😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁

  • @christophersypriano7824

    @christophersypriano7824

    6 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @mussambegu6386

    @mussambegu6386

    6 жыл бұрын

    Shedrack Tweve kumbe imemuuma anavyoshabikiaga wenzie sasa imemkuta yeye

  • @hechechacha4032

    @hechechacha4032

    6 жыл бұрын

    Shedrack Tweve zitto alisema nchi wamepewa washamba hakukosea

  • @fokasiinnocent3448

    @fokasiinnocent3448

    6 жыл бұрын

    Shedrack Tweve subir utaona akimtaja ufisadi wake

  • @hamismindika7513
    @hamismindika75136 жыл бұрын

    Huna lakuwaeleza wtz

  • @fugakwamalengo707

    @fugakwamalengo707

    6 жыл бұрын

    nice

  • @bernadinangasi7664

    @bernadinangasi7664

    6 жыл бұрын

    mimi binafsi nampa hongela huyo rpc kazi anaweza

  • @treyibrahim3327
    @treyibrahim33276 жыл бұрын

    sema vyote wewe izo siyo siri tena kwa taarf yako.nakukubali sana Mr Msukuma

  • @mavundemmbaga4664
    @mavundemmbaga46646 жыл бұрын

    Wakifungwa lisu wakitetea haki unashangilia..ila wewe unatisha..mpaka upelekwe ndo utaje maovu.jinsi mlivyo wanafiki...yanawarudia wenyewe

  • @dawoodtekakie4012

    @dawoodtekakie4012

    6 жыл бұрын

    Gurached Mmbaga yeye ni nani? Unadhan kuwa mwenyekiti ndo nn? Serekali ya wote

  • @mtanzaniamzalendo7001

    @mtanzaniamzalendo7001

    6 жыл бұрын

    Gurached Mmbaga mnafiki sanaaaaa

  • @bernardzibwe3279

    @bernardzibwe3279

    5 жыл бұрын

    Mavunde Mmbaga . .

  • @drex81
    @drex816 жыл бұрын

    RPC amekuwa na roho mbaya zaidi ya waliotaka kumuua LISSU? Acha upuuuuzi

  • @rosemahengenicemcpilpil3327

    @rosemahengenicemcpilpil3327

    6 жыл бұрын

    umenena mwanaaa

  • @mlamtv4839
    @mlamtv48396 жыл бұрын

    Nimelipenda Sana hilo neno "kupoteza radha ya mahakama".

  • @ernestndauka9301
    @ernestndauka93016 жыл бұрын

    Braza Ayo!!! Hawa vijana wako wanakuiga hadi sauti!!! Jamaa waambie waongee sauti zao!!!!

  • @shoferishayoshayo9493

    @shoferishayoshayo9493

    6 жыл бұрын

    hawa wanatuinjoi

  • @Majambo_Duniani_Tv

    @Majambo_Duniani_Tv

    6 жыл бұрын

    bwege sana huyu..

  • @eliudykabelege5770

    @eliudykabelege5770

    5 жыл бұрын

    Ernest Ndauka alikwa wapi kusema mpaka akamatwe

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    Ай бұрын

    Kweri

  • @imanishengoma5602
    @imanishengoma56026 жыл бұрын

    usipoweza kumuheshimu rpc anayekulinda ktk himaya yako usitegemee kusikilizwa na sirro au rais

  • @moriscollins4494
    @moriscollins44943 жыл бұрын

    Hapa ndio napomkazania mwanangu kusoma kwa hali yeyote ile....elimu ni muhimu sana

  • @barnabasuled2011
    @barnabasuled20114 жыл бұрын

    Hahaha sio poa Kwanza umenifulahisha umeongea kishujaa bro nakupenda Sana

  • @lutherpanafrican2880
    @lutherpanafrican28806 жыл бұрын

    si uzungumze Sasa hivi? so CCM mnafichua ubadhilifu mpaka mwe impacted, lol

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti6 жыл бұрын

    hahahah!!, mzee baba liamshe DuDE nakukubal

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu59372 жыл бұрын

    Pole kiongozi usijal tupo pamoja from Dodoma tunakupenda mtani wetu msukuma

  • @tonymelkion8357
    @tonymelkion83576 жыл бұрын

    daaah kumbe mnalindana, siku zote ulikuwa wapi ......? mpaka ukamatwe ndio unataka kusema huo ukweli.....? Lisu big Up sana.

  • @tatut3889
    @tatut38896 жыл бұрын

    Mmh yani kimtu hichi sijuwi kikoje kumbe kunya anye kuku akinya bata kalisha kumbe kama nikweli umeweka ndani sio kutufumba macho umewezwa kwann ayo maovu Usinge sema zamani shwani ww

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice16006 жыл бұрын

    Piganeni nyie wote CCM na huyo RPC wenu mpaka muuwane

  • @alphoncealexander6562

    @alphoncealexander6562

    6 жыл бұрын

    Albadirr ishaanza kufanya kazi...

  • @bakaritlagha625

    @bakaritlagha625

    6 жыл бұрын

    Hongera RPC haki itendeke kwa wote hayo yote mbona hakusema wakati hajakamatwa .ukikosea sheria lazima uchukuliwe hatua.

  • @jumannewat7657

    @jumannewat7657

    6 жыл бұрын

    Alubadili iyo inafanya kazi kwa msukuma

  • @majisanhaimonnyirenda6760

    @majisanhaimonnyirenda6760

    6 жыл бұрын

    Leo msukuma zam yako usilamike mkuki kwa nguruwe

  • @davidemanuel8044

    @davidemanuel8044

    6 жыл бұрын

    acha uchochezi, asingekamatwa ungesema mengne, tumia akili

  • @emmanueldottto5379
    @emmanueldottto53796 жыл бұрын

    Mkuki kwa nguruwe hahaha asnte Tanzania yangu nakupenda

  • @nurumnyumba7964
    @nurumnyumba79646 жыл бұрын

    Mambo gani unaanika baada ya kuwekwa ndani, acha vitisho. Tanga tunakujua.

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange44206 жыл бұрын

    Unatakiwa useme tu. na kama unao ushahidi juu ya maovu yake aburuzwe mahakamani na wewe uburuzwe kwa makosa yako.

  • @neemac5488
    @neemac54886 жыл бұрын

    Mtenda akitendewa mambo huwa hivi😃😃😃😃😃😃

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz84742 жыл бұрын

    Veema- sana Mkuu msukuma tukopamoja nawe watz wote Joseph Msukuma oyeee nakukubali sana.

  • @stewardheaven8382
    @stewardheaven83826 жыл бұрын

    uombwe radhi wewe nani bwanaee???c unajidai mjuaji na mshangiliaji wa ya wapinzani? kaaa selooo huna ukubwa wowote kuliko RPC

  • @abdillahihassan7889
    @abdillahihassan78896 жыл бұрын

    Mara pap iii....hiiiiiii!!!!!!!

  • @princebarcher3055

    @princebarcher3055

    6 жыл бұрын

    Abdillahi Hassan 😂😂😂tumemsomaa!

  • @princebarcher3055

    @princebarcher3055

    6 жыл бұрын

    Abdillahi Hassan 😂😂😂tumemsomaa!

  • @amosododa4902

    @amosododa4902

    6 жыл бұрын

    Abdillahi Hassan

  • @peternkohi8830
    @peternkohi88306 жыл бұрын

    kumbe mnafichiana uovu,sasa mmetuweka wazi kuwa ni WATENDA UOVU

  • @uliusmtack3679
    @uliusmtack36796 жыл бұрын

    Musuma umeonaeeee bungeni wapinzani wakilalamikiaga hayo mnapingaga ss yamekukuta acha presha

  • @zihadhassan6642
    @zihadhassan66426 жыл бұрын

    RPC ninampongeza sheria ifate mkondo wake akuna cha Ccm au chadema

  • @jameskileo955

    @jameskileo955

    3 жыл бұрын

    Acha mboyoyo RPC Yuko vizuri na hayo ndiyo majukumu yake hakuna mtu aliye juu ya sheria NNCHI HII

  • @justinekasigu5979
    @justinekasigu59796 жыл бұрын

    Ulikuwa wapi kuyaanika hayo unayotaka kuyasema,acha unafiki msukuma,usiwajibishwe ww ni nan katika nchi hii,acha kulia lia RPC piga kazi # HAPA KAZI TU.

  • @allydaraja1949

    @allydaraja1949

    6 жыл бұрын

    Zambi ya ubaguzi haijawahi mwacha mtu salama.

  • @godblessmwanri80

    @godblessmwanri80

    6 жыл бұрын

    msukuma. my bro.wewe nikiongozi wa mkoa kuwa mfano.acha vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi yake.ushauri

  • @johnsombi545
    @johnsombi5456 жыл бұрын

    Msukuma mjinga tuu kwanini usiyaseme kabla hujakamatwa

  • @delebm543
    @delebm5436 жыл бұрын

    na bado utawaita roho mbaya wengi..suala uenyekiti ....mbowe na wengine mnaowaita kama watoto mpuuzi wee msukuma..

  • @bhwanajoseph6799
    @bhwanajoseph67996 жыл бұрын

    ahahaha kuwekwa ndan sio mchezo we amsha dude kwa faida ya wananchi sio akikuomba radhi usiseme

  • @bonifacej8755
    @bonifacej87556 жыл бұрын

    yani hapa hakuna mtu kituko

  • @juliusurassa2136

    @juliusurassa2136

    6 жыл бұрын

    Bangi mbaya, uombwe radhi na RPC wakati umesema ni mtu mdogo kwako?

  • @fransismwanga6616

    @fransismwanga6616

    6 жыл бұрын

    Daaah.unatafuta balaa msukuma.muangalie nape alipo.nyerere alitoa onyo.mnawapiga Hawa wakiisha mnapigana ninyi kwa ninyi.

  • @adinanjuma2457
    @adinanjuma24576 жыл бұрын

    Hahahahhahaha! Siasa hizi na wana siasa hawa! Tukiwasubiri mtufikishe mmmmmmh! Imekula kwetu! Mkae na mtu ambaye ana mabaya yake! Duh!

  • @makaramayatibamrmichaelkih3683
    @makaramayatibamrmichaelkih36836 жыл бұрын

    Safiiiiiii sana msukuma

  • @venancebasil4656
    @venancebasil46566 жыл бұрын

    eti rpc ni chadema hahahhahhhaaaaaa, kisa wewe ccm kakukamata hahahahhaa, kwani ccm ndo nini weka ndani wote alafu acha mikwara kwa rpc hahhaaaha eti risasi! nani akupige risasi wewe hakuna mtu wa kukupiga risasi tanzania ni ya amani, alafu kama wewe ni kiongoz bora ni bora uzungumze hadharani kwnini unaficha siri au kupiga mkwara, tumbua basi kama unaweza

  • @mtanzaniamzalendo7001

    @mtanzaniamzalendo7001

    6 жыл бұрын

    Venance Basil Namshangaa kwa nini hawakuitana huko kwao geita,kumbe unaficha maovu eeee

  • @muhsinihassani7021

    @muhsinihassani7021

    6 жыл бұрын

    msukuma kua mkweri rais katukanwa Wap ? usitafute kiki Kwa pickpik

  • @ibrahimushabani5299

    @ibrahimushabani5299

    5 жыл бұрын

    Hana lolote mshenzi tu huyu ingekua kweli si angesema

  • @tusajigwekasigila6407
    @tusajigwekasigila64076 жыл бұрын

    Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu, tunavyofanyiwa chadema huwa huoni but we leo masaa tu unapanic lema alikaa miezi4 tulia pasi msipende kujipaisha Na vyeo Muwe Na hofu ya Mungu haha wakati wa Bwana waja hakuna cha watanzania wanaelewa unaelewa we mwenyewe

  • @ashurajohn1620
    @ashurajohn16203 жыл бұрын

    Mwaka huu mtatwambia mengi😂😂😂😂😂

  • @hajihassan9097
    @hajihassan90976 жыл бұрын

    hiyo ndio sifa ya darasa zero, huna lolote kazi yako kupiga kelele na kujipendekeza kwa Magufuli, sasa utaamua kurudi shule au kuwa mfurukutwa zaidi wa ccm, kazi yako kuongopea watu eti mimi naungana na raisi Magufuli kwenye vita vya kiuchumi, mbona hilo la Rpc kama ana madudu lilikushinda kuzungumza bungeni? kilichobaki ni kula matapishi yako mwenyewe kwani ulikuwa ukiona raha kuwafika wapinzani eee

  • @aproniadeus2804
    @aproniadeus28046 жыл бұрын

    sasa mwenyekit wa chama akikosa hastaili kuadhibiwaa? na kama anastahili kuadhibiwa unalalamika nn Kukaa siku mbili maneno yote yanakutoka je ungekaa miezi 6 ingekuwaje

  • @user-oo5pc9bp9z
    @user-oo5pc9bp9zАй бұрын

    Yangu macho😂😂😂 ungesema alichopereka mbeya alichowekeza geita umesha mwaka mchele kwenye kuku wengi

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest6464 ай бұрын

    Jamaa yukoo simpo sana kama hakana ela

  • @fredrickbenito2252
    @fredrickbenito22526 жыл бұрын

    Uyu vip? Lowasa kaingiaje hapo?

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    6 жыл бұрын

    Fredrick Benito hapo chacha.

  • @graywoisso1741
    @graywoisso17416 жыл бұрын

    ACHA KUTOA POVU NI KAWAIDA TU.UWEKWA NDANI ULITUMWA NA NANI UFANYE HUO UPUUZI.NANI AKUPIGE RISASI.AKUOMBE RADHI NANI WEWE

  • @saadesaid8596

    @saadesaid8596

    4 жыл бұрын

  • @venancerichard8761
    @venancerichard87616 жыл бұрын

    Hujajua kulalamika bdo;endelea kuropoka maana ya lissu unayaona n madogo!!subiri yakukute zaidi ya hayo

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 Жыл бұрын

    Naona umeinyaka Maik Kama wewe ndo muandishi🤣😅🤣

  • @Msonjo
    @Msonjo6 жыл бұрын

    hhhh unanikosha kwa mikwala mwanangu nakukubali kinoma

  • @anitangao3135

    @anitangao3135

    6 жыл бұрын

    kwenda wamekukomesha unakuwaga na kielele kwa hiyo unataka upinzani tu wangekuacha hata miezi

  • @goodluckmrosso486

    @goodluckmrosso486

    6 жыл бұрын

    Msonjo Khan nimemwelewaaaa kwa biti

  • @olaislukumay571
    @olaislukumay5716 жыл бұрын

    Hahaahhahaha Msukumaaaa

  • @mussambegu6386

    @mussambegu6386

    6 жыл бұрын

    Olais Lukumay jamaa anapovu c mchezo

  • @justinezablon6699
    @justinezablon66996 жыл бұрын

    Hahaahaa nanyi yawawashe kidogo😅😅😅😅😅

  • @abdulmohamed3240
    @abdulmohamed32406 жыл бұрын

    Dah!!!! Malizana nae huyo!!!!!dah anakuona mbwiga pole yake sana mh msukuma nawe umezidi upole inshallah mungu batakusaidia .

  • @agneschaula3734
    @agneschaula37346 жыл бұрын

    hahaha ati ylikamatwa kwa kosa ganii?????? muhhhh kama stor ya sungura na fisi vile

  • @rehemamazuki8454

    @rehemamazuki8454

    6 жыл бұрын

    Msukuma unanipaga raha ha ha ha ha aaaaaaa

  • @rehemamazuki8454

    @rehemamazuki8454

    6 жыл бұрын

    Msukuma unanipaga raha ha ha ha ha aaaaaaa

  • @revocatuskapama2930
    @revocatuskapama29306 жыл бұрын

    mnafki mkubwa

  • @surrajimohamedi197
    @surrajimohamedi1976 жыл бұрын

    Jeshi LA police halina chama limepewa thamana ya kulinda nchi na wananchi pamoja na mali zao liache lifanye kazi yake.R.P.C piga kazi babaaaaaa.

  • @marcodominico9503
    @marcodominico95036 жыл бұрын

    ....."" Leo ni sisi, kesho ni Nape..keshokutwa ni wewe....". Alisema Tundu Lissu

  • @samwelmwinyi7879

    @samwelmwinyi7879

    6 жыл бұрын

    Marco Dominico-Mungu akiponye mja wake! Lissu

  • @josephkimboka1394
    @josephkimboka13946 жыл бұрын

    Na msipo mkamata tena huyu msukuma nitashangaa kumbe ana maovu ya watumishi wa serikari huyu jamaa analeta uchochezi cjui yukoje?

  • @user-dr1su7pf7w

    @user-dr1su7pf7w

    2 ай бұрын

    mjinga kweli wewe unaakili kweli?

  • @charlessalum6603
    @charlessalum66036 жыл бұрын

    fala wewe

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel26405 жыл бұрын

    Wanajisahau sana hawa wanasiasa ambao sifa ya ubunge nikujua kusoma na kuandika tu!!! RPC ni mtu na elimu yake bhana!!!!

  • @salmasaidy3400
    @salmasaidy34006 жыл бұрын

    hahahaha mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu

  • @revocatuskapama2930
    @revocatuskapama29306 жыл бұрын

    koma

  • @denislubuva4960

    @denislubuva4960

    6 жыл бұрын

    Online Trendz

  • @hamismindika7513
    @hamismindika75136 жыл бұрын

    Asingepewa dhamana huyoo

  • @robertmwaibambe432

    @robertmwaibambe432

    6 жыл бұрын

    akuombe lathi we nnibhna mkuki kwa nguluwe

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123Ай бұрын

    Pole sana ,samehe tu kiongozi

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Жыл бұрын

    Mwenye anajua alipo huyo RPC a tuambie

  • @jofymwaijofymwai2163
    @jofymwaijofymwai21636 жыл бұрын

    kwanini ungesinga ongea mapema Acha usenge kumbe wewe sio mwenyekiti wewe ufai

  • @aeroportonissan8077
    @aeroportonissan80776 жыл бұрын

    MKUKI KWA NGURUWE....

  • @agathammapundamapunda4826

    @agathammapundamapunda4826

    6 жыл бұрын

    Eeeerhhh uwwwwe Leo yamemkuta povu jingiiiiii nitunzie nije nifue

  • @aeroportonissan8077

    @aeroportonissan8077

    6 жыл бұрын

    agatha M Mapunda mapunda DUH!

  • @godywadeya4647

    @godywadeya4647

    6 жыл бұрын

    ukome

  • @nurumnyumba7964
    @nurumnyumba79646 жыл бұрын

    Huyu alitakiwa awekwe ndani na koplo wa Polosi wala si RPC. Asitishe watu/polisi.

  • @EmmanuelYona-wn5oz
    @EmmanuelYona-wn5ozАй бұрын

    tunakuunga mkono mbunge wetu na mwenyekiti wetu geita muanike huyo rpc

  • @magezimagezi363
    @magezimagezi3636 жыл бұрын

    Ningekuwa kiongozi mda huu ungerudi sero, ulikutoa hayo uliyonayo miyoni mwako, kakini yote haya ni uongozi bora wa Dr Rais jpm, Mungu akutie nguvu ili uwe na makamanda wengi km wa geita hii ni ishara kuwa nchi inazidi kuwa Safi, huyo wammkamate aseme aseme, na sheria itende haki....

  • @charlesmasana6779

    @charlesmasana6779

    6 жыл бұрын

    Jitafakari na ww pia mxkm

  • @lidriclidric4247
    @lidriclidric42472 жыл бұрын

    ety nimekupa siku tatu, umpe rpc sikutatu huna mamlaka ayo, rpc ni mtu mkubwa acha kubwabwaja ☝️☝️☝️ww

  • @jimsonjimmy9232
    @jimsonjimmy92326 жыл бұрын

    sipati picha hiyo Tanganyika jeki ulivyobebwa nahicho kimwili RPC kirudishe ndan tena Massa 3000

  • @josephtula5525
    @josephtula55255 жыл бұрын

    Wewe unaongoza jimbo ndani ya mkoa yeye RPC anaongoza mkoa mzima unahisi nani mkubwa hapo.

  • @ibrahimushabani5299

    @ibrahimushabani5299

    5 жыл бұрын

    Alaf eti aombwe msamaha kenge hanithi huyu

  • @shufaamohameed2603
    @shufaamohameed26036 жыл бұрын

    Safi umeongea point sana mkubwa hawakamati wahalifu wanaogopa

  • @amanidaudi210
    @amanidaudi2104 жыл бұрын

    Mhhh huyu jamaa mbona anaogea kama kaonewa. Hivyo ni vitisho na anajuaje kama yeye ni msafi????

  • @ismailyhamisi2282
    @ismailyhamisi22822 жыл бұрын

    Msukuma mm hakukubali sana ila binadamu hao ila police wanakela sana Mungu asaidie police ya Tanzania wafre kwenye roho mbaya

  • @babuulendisa687
    @babuulendisa6876 жыл бұрын

    kwaiyo wewe ni mwenyeki wa rpc kumbe police wanavyama

  • @flyhigher5393
    @flyhigher53936 жыл бұрын

    safi wamekukomesha wew huna adabu wala akilii.... safi sana walivyosema chakula chako kimwagwe.....

  • @flyhigher5393

    @flyhigher5393

    6 жыл бұрын

    inabidi wakunyooshe wew,kwan mwenyekiti wa chama nan alisema yuko juu ya sheriaaa??? acha zako wew bhanaaa huna jipyaaa....

  • @lusajoyuda6145
    @lusajoyuda61456 жыл бұрын

    Now i understand you Msukuma

  • @petershokolo9894
    @petershokolo98943 жыл бұрын

    Sio roho mbaya yuko kazini anatimiza maagizo yake ya kikazi

  • @mahmadougronkjaer8316
    @mahmadougronkjaer83166 жыл бұрын

    HUYU JAMAA AKISHUGHULIKIWA ITAKUWA POA SANA MANAKE ANA KAMASI KICHWANI

  • @mtoshugilbert5540
    @mtoshugilbert55406 жыл бұрын

    safi sana na uache kimbelembele kujifanya unajua sana kusema wenzio na kama ungekuwa mzalendo ungesema maovu yake toka mwanzo siyo kupigwa Tanganyika jeki ndo unajifanya kutoa mapovuu

Келесі