MUSUKUMA MBELE YA WANAHABARI, ACHUKIZWA KUMDHIHAKI HAYATI MAGUFULI

Siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Mwanza Anthony Dialo kuzungumza na Vyombo vya Habari na kuomba radhi juu ya kauli alizozitoa wakati wa mahojiano na kituo cha Televisheni cha Star TV, leo July 14 aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita ambae kwa sasa ni Mbunge wa Geita Joseph Musukuma ameongea mbele ya Vyombo vya Habari

Пікірлер: 1 100

  • @NoorAhmed-lg8xr
    @NoorAhmed-lg8xr3 жыл бұрын

    Inatakiwa vichwa kama hivi viongezeke. Musukuma uko vizuri mungu akuongoze katika maisha yako

  • @hadijamatola5230

    @hadijamatola5230

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @izodnice3659

    @izodnice3659

    3 жыл бұрын

    Mia%

  • @winifridakasibu2900

    @winifridakasibu2900

    3 жыл бұрын

    Pumzika kea amani baba yetu ,kwani uyo Diaro hautakufa nayy ipo siku yake

  • @stevensimtowe4511
    @stevensimtowe45113 жыл бұрын

    Najidai Sana kuishi kwenye uongozi wa JPM commando 🙏🇹🇿

  • @samwelzakayo3596
    @samwelzakayo35963 жыл бұрын

    Mzeee maguful hata wamseme vipi sisi tulimwelewa sana hawawezi kututolea hili kichwani mwetu mungu ampumzishe kwa aman tulimpenda sana ila mungu alimpenda zaid

  • @hawamabira1499

    @hawamabira1499

    3 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @happymrema6728

    @happymrema6728

    3 жыл бұрын

    Hachafuliki

  • @pauloqaymo8925

    @pauloqaymo8925

    3 жыл бұрын

    Wanajisumbua tu kumchafua hawataweza

  • @izodnice3659

    @izodnice3659

    3 жыл бұрын

    ...mwanangu natoamachozi babuu. Kuna Watu na Viatu babuu!. Dah! No Way R.I.P JPM for real recognize real.

  • @magrethgeorge9253

    @magrethgeorge9253

    3 жыл бұрын

    😘😘😘😘

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha20483 жыл бұрын

    Mh msukuma Safi Sana 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @ombenhezron144
    @ombenhezron1443 жыл бұрын

    Polee Baba Msukuma unaumia Kama ninavoumia kwasababu likitajwa jina la jpm tofauti Nasikia kuumwa Nataman kukata mtu makof,,Asantee Mkuu kututetea pia nimependa sanaa mtu akifa faili Lake limefungwa wanataka kututofautisha sanaa

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka47653 жыл бұрын

    Hapo ndio wazalendo imekuwa too much sisi Magufuli Soldiers tuko nyuma yako yeyote akimgusa JPM tunalala naye mbele Viva JPM

  • @pendael02

    @pendael02

    3 жыл бұрын

    Tutafungua chama. Kitaitwa the Decipals of Magufuli (DoM)soon au tukiite De Khamitian

  • @juliuslengai7106

    @juliuslengai7106

    3 жыл бұрын

    😆😆😄😆

  • @juliuslengai7106

    @juliuslengai7106

    3 жыл бұрын

    @@pendael02 😂😂😂😂

  • @hawamabira1499

    @hawamabira1499

    3 жыл бұрын

    VIVA 🙌🏼 JPM

  • @mbwanarajab4756

    @mbwanarajab4756

    3 жыл бұрын

    Kwa ajili ya nini

  • @jamesshao538
    @jamesshao5383 жыл бұрын

    Well said Mr.Msukuma,sema Baba

  • @ananiachelesi1486
    @ananiachelesi14863 жыл бұрын

    Musukuma tunakushukuru umetusemea ssi tusio na sauti ya kuwafikia hao weu

  • @salsoandreas5147

    @salsoandreas5147

    3 жыл бұрын

    Fala weeee

  • @sarahmwansile6007
    @sarahmwansile60073 жыл бұрын

    Pumbavu sana dialo ,nyoko kabisa ,achana magufuri wetu apumzike kwa amani

  • @bonymrengule6418

    @bonymrengule6418

    3 жыл бұрын

    Nimekupenda bure ndugu yangu

  • @mussaelia8693

    @mussaelia8693

    3 жыл бұрын

    Taratibu sasa jaman

  • @geofreysenka7091
    @geofreysenka70913 жыл бұрын

    Nyoko zake huyo Diarro pumbavu zake hakuwa analipa kodi

  • @mussampambichile8647

    @mussampambichile8647

    3 жыл бұрын

    Dialo out

  • @mabeyainvestment5485

    @mabeyainvestment5485

    3 жыл бұрын

    Chizi sana yuleee

  • @happinesshunashu2937

    @happinesshunashu2937

    3 жыл бұрын

    @@mabeyainvestment5485 za

  • @brightnessmtigandi6755

    @brightnessmtigandi6755

    2 жыл бұрын

    Tena hana akili huyo mwenyekiti

  • @mussaramadhani5976
    @mussaramadhani59763 жыл бұрын

    aaaaaaah!,safi sana.Uzuri wa mh. msukuma yaaan huwaga hapepesi macho,darasa la saba lake alilimaliza vizuri hakutoroka darasani kwenda kuiba mapera aiseeee!!.

  • @hidayahassan8014

    @hidayahassan8014

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @izodnice3659

    @izodnice3659

    3 жыл бұрын

    Aiseeeeeeeh! ...chcyi!!

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome3593 жыл бұрын

    Tunajuwa dialo ni mwizi.....

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba3 жыл бұрын

    Fukuza Dialo , hafai, na Mwanza hatufai, kwanza kamdhalilisha pia Mama Janet Magufuli

  • @jumanguru8455

    @jumanguru8455

    3 жыл бұрын

    Kwan kosa lake lip????

  • @junioryasin5306

    @junioryasin5306

    3 жыл бұрын

    @@jumanguru8455 kujamba

  • @canibalgazaboy8325

    @canibalgazaboy8325

    3 жыл бұрын

    Kamdhalilisha kweli kwamba mama janeth alikuwa anaishi na kichaa siku zote na hakuwahi kujua mbona hajawai sema kama kaolewa na kichaa huu ni upuuz

  • @saidsyande3728

    @saidsyande3728

    3 жыл бұрын

    ccm kiapo cha mwanachama ni kusema kweli daima dialo kasema kweli

  • @hawashayo5526

    @hawashayo5526

    3 жыл бұрын

    Angekua kichaa tusinge mkumbuka sasa

  • @augustinejohn1835
    @augustinejohn18353 жыл бұрын

    Dah, inauma sana Diallo anajabu kuleta unafiki kwa Marehemu. Sio vizuri kabisa. Huu sio uanaume na haswa eti Mwenyekiti wa Chama wa Mwanza. CCM liangalieni hili nii upuuziii sana

  • @goodluckmboya6264
    @goodluckmboya62643 жыл бұрын

    Ahaaaa naamini kweli wasomi hakuna kitu Waanajamba alafu wanawashafeni

  • @geofreysenka7091
    @geofreysenka70913 жыл бұрын

    Mzee baba tutamkumbuka saizi wezi wameanza wengine wamekuja kupitia vilabu jizi Hilo halikuwa linalipa kodi

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    3 жыл бұрын

    Yani TUNAMKUMBUKA hadi afya zetu zinazo rota angekuwepo hata karia koo anefanyabinu ya kuwa futa jasho ange enda pale sokoni na kuwa uliza hitaji lenu kwadakika za haraka ni Nini wendemwambia hm RAIS TUNAOMBA HIFAZI YA MUDA KISHA MAGUFULI ANGE FANYA MAMUZI MAGUMU MAWILI LA KWANZA ANGECHANGISHA MCHANGO WA LAZIMA KAMA KAWAIDA YAKE JAFO TOA LAKI KITILA TOA LAKO AL HAJI LAKI BODY GANI LAKI MAMA JANETH LAKI KISHA ANGESEMA IMEFIKA NGAPI NA YY ANGEONGEZA KISHA ANGE WAMBIA WA HANGA MJIHESABU NIWAGAWIENI PESA KISHA ANGESEMA KWANZIA LEO KWAKUA MAJENGO YOTE YAME JENGWA NA KODI ZA WANA NCHI BASI MAJENGO MWILI YA SERIKALI YA HAPA K KOO NAPA WAHASILIKA WAFANYE BIASHARA HUKO HADI UCHUNGUZI WA SOKO KUU UTAKAPO KAMILIKA KISHA WATU WANGE FURAHI MAGUFULI KISHA ANASEMA ASANTENI WA TANZANIA MUNGU AWA BARIKI EE MUNGU WALA HATUJA ELEWA DADDY KALALAJE GHAFULA

  • @saromejusto9587

    @saromejusto9587

    3 жыл бұрын

    Dialo ni moja ya washenz walokuwa wahujum uchum amwache mzee wetu apumzike Tena akome

  • @stanfordshombe1379
    @stanfordshombe13793 жыл бұрын

    Safi sana Msukuma watu wanakuamini.

  • @nedytheboy5579
    @nedytheboy55793 жыл бұрын

    Magufuli hatosahaurika kwa ushujaa wake,upendo,uzalendo wa kwelii na mengne mengi mazurii Hakuna Mwanadam asiye na Mapungufu yoyote..Dialo kazngua Sana Na n Mnafki Sanaa uyu jamaa Hafai kuwa Kiongoz anatuangusha wasomi..Msukuma Bigup Sanaa we N jembeeee

  • @saitawilson7307
    @saitawilson73073 жыл бұрын

    R.I.P. JPM 😭😭! .... Asante Sana mheshimiwa msukuma 🙏🙏 .

  • @michaelthadeo8318
    @michaelthadeo83183 жыл бұрын

    Good my daddy msukuma very big up ,,,,,,if God wish iwill come to meet with you very congratuation🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma7153 жыл бұрын

    Hongera sana msukuma watanzania tunataka vichwa kama hivi pumzika hayati JPM tutakukumbuka daimaa

  • @jumamglecs7684
    @jumamglecs76843 жыл бұрын

    Magufuli tutamtetea akiwa kaburini na kesho kiama.

  • @hawamabira1499

    @hawamabira1499

    3 жыл бұрын

    Ameeeennnnn🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @shijalupondeja908

    @shijalupondeja908

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @prisillahmasherema8564

    @prisillahmasherema8564

    3 жыл бұрын

    Aminaaa

  • @pauloqaymo8925

    @pauloqaymo8925

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @shubebunyesi542

    @shubebunyesi542

    3 жыл бұрын

    Jitete wewe kwanza

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30153 жыл бұрын

    JPM TUTAMKUMBUKA DAIMA

  • @lydiadotto3380

    @lydiadotto3380

    3 жыл бұрын

    Usmga

  • @lydiadotto3380

    @lydiadotto3380

    3 жыл бұрын

    Yanga

  • @salmaomar9251

    @salmaomar9251

    3 жыл бұрын

    SSI tunamkumbuka kwa kuleta vifaru na kuuwa watu zanzibar ili ccm watawale

  • @hamzalyawa7981

    @hamzalyawa7981

    3 жыл бұрын

    @@salmaomar9251 kuma wee unawashwa mtako

  • @saidnassoro9562

    @saidnassoro9562

    3 жыл бұрын

    Hata wewe ulikuwa timu Lowasa kabla hajaamia Chadema.Usijikombe kuwa ni mweeema sana.Diallo kakosea lakini na wewe huna jipya.Unakumbuka ulivyoenda na Helicopter Arusha wakati Lowasa alivyoenda kutangaza nia?

  • @mattyhappy1581
    @mattyhappy15813 жыл бұрын

    Uko sawa Msukuma wew ,,mzalendo

  • @williamloserian5999
    @williamloserian59993 жыл бұрын

    ###Huyu mzee ni master zaidi ya proffesser yaani mungu amekujalia kipaji mzee wangu msukuma...##

  • @salsoandreas5147
    @salsoandreas51473 жыл бұрын

    Safi msukuma mnyooshe huyo Fala mdomo mkubwa kichaaa Yeye huyo diallo

  • @happymrema6728

    @happymrema6728

    3 жыл бұрын

    Makoful.hachafuliki kabis kabis amwtutoa mbal amepand mbegu kwa watanzani ambayo haifutik

  • @prisillahmasherema8564

    @prisillahmasherema8564

    3 жыл бұрын

    @@happymrema6728 sanaaaaaaaaa

  • @happykimaya2762
    @happykimaya27623 жыл бұрын

    Dialo kwa nini ulifungiwa? Lzm kulikua na matatizo au ulikua ulipi kodi, na hayati Hakua mchezo kwenye kazi. Hata hivo Dialo huna hata chembe ya busara. R I P JPM

  • @barrymichael9221

    @barrymichael9221

    3 жыл бұрын

    Alikua ana daiwa kodi huyo boya

  • @hawashayo5526

    @hawashayo5526

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @jipozeonline3983

    @jipozeonline3983

    3 жыл бұрын

    Sasa alifunguliwa kwa vigezo gani ndio ujinga na upumbavu wa awamu ya tano kama kweli alikuwa anadaiwa kodi je alilipa? Maana huyu msukuma anasema yeye ndio aliyemsaidia akafunguliwa kwa kifupi utawala uliopita ulikuwa wa upendeleo na ubaguzi

  • @shabankiwesi8826
    @shabankiwesi88263 жыл бұрын

    Upo vzr kaka mwambie mzee huyo hajielewi

  • @mabeyainvestment5485

    @mabeyainvestment5485

    3 жыл бұрын

    Yule mzee kwa kweli hajiheshimuu kbs na ni kichaaaaa mkubwaa

  • @ibel4lf
    @ibel4lf3 жыл бұрын

    Dialo hufai kuwa mwenyekiti wa ccm Mkoa wa mwanza ujiuzuru

  • @laipazergy7938
    @laipazergy79383 жыл бұрын

    Dialo hajielewi, hana ushawishi na hata halijui kuongea. Namchukia basi tu.

  • @J4UPro

    @J4UPro

    3 жыл бұрын

    Lijinga sana

  • @sabinashabani1165

    @sabinashabani1165

    3 жыл бұрын

    Nilipumbavu hilo lizee nilakuchapa makofi lizee lisenge sana lilizoea kuiba pumbavu sana. Hata familia yake yote yalisha lazwa milembe jinga sana

  • @jumaabdalla3374

    @jumaabdalla3374

    3 жыл бұрын

    Diolo hafai ksbisa hayati msgu kazi sloifanya hakuna kiongozi yyte aloifikia

  • @elidarweyemamu5144
    @elidarweyemamu51443 жыл бұрын

    Tutamtetea mzee wetu hata kama ni kwa message,walifikiri akuna wa kumtetea tupo wengi Pumzika kwa amani JPM I will never forget you in my life ❤ 💙

  • @hawamabira1499

    @hawamabira1499

    3 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @fredkyara3278

    @fredkyara3278

    3 жыл бұрын

    Mamilion ya watanzania tuna uchunguu tunaugulia kwa kifo cha mkombozi wetu mtetezi wetu na shujaa wetu kipenzi yaaaani heeeee hamjui tu tulivyo tokea kumshuba babayetu hayati Magufuli. Yeyote atakae jipendekeza kumsema Magufulu vibaya haaaa ajiandae kuchukiwa kuporomoka kisiasa na laana ya kumwandama had umauti wake mfano ni huyu chizi mr. Mibangi dialo

  • @basilisamsaka8469

    @basilisamsaka8469

    3 жыл бұрын

    Haswaaaaaaaaaaa

  • @pauloqaymo8925

    @pauloqaymo8925

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @izodnice3659

    @izodnice3659

    3 жыл бұрын

    Lov Lov Jah bless dead bodies

  • @salsoandreas5147
    @salsoandreas51473 жыл бұрын

    Kambi ya membe wote mafisadi fyuuuuuuu

  • @yusufjuma3773

    @yusufjuma3773

    3 жыл бұрын

    Hakika

  • @paullameck592
    @paullameck5923 жыл бұрын

    Nakukubalii saaana mheshimiwa msukuma!

  • @barakasegugu5494

    @barakasegugu5494

    3 жыл бұрын

    Nakukubali msukuma huyu anaemponda mangufuli mama samia amfanyie kazi ili asichafue chama asafishe msukuma endelea nakazi wakilisha wananchi

  • @ismailmasagasimjilima3319
    @ismailmasagasimjilima33193 жыл бұрын

    Mimi wakwanza ilawalio furah mjomba magufuli kufariki mungu anawaona na anawalani

  • @hadijamatola5230

    @hadijamatola5230

    3 жыл бұрын

    Ivi ss binaadamu tuna feel wapi binaadam mwenzia akipatashida ndio anafurahia mpk na kumshukuru kifo cha mwenzio utasema yeye anaishi milele jamani ALLAH atusamehe na atupe mwisho mwema

  • @magrethgeorge9253

    @magrethgeorge9253

    3 жыл бұрын

    Nawao wanalio frahi wajue nimarehem watalajiwa

  • @winifridakasibu2900

    @winifridakasibu2900

    3 жыл бұрын

    Huyo Diaro ni mnafiki mkubwa alaniwe nani Kama magufuri

  • @magnusdominicus8214
    @magnusdominicus82143 жыл бұрын

    Diallo ametuumiza sana sisi watanzania hajui maumivu tulionayo juu ya kifo cha Mpendwa wetu Magufuli.

  • @celestinemahande5168
    @celestinemahande51683 жыл бұрын

    Safi sana msukuma inatuuma sana naomba atupishe tu uenyeketi wa chama

  • @thomaskwibonelwa9240

    @thomaskwibonelwa9240

    3 жыл бұрын

    Mwenyekiti wa chama asiruhusu kina dialo kuendeleza kauli za kipumbavu Kama hizi. Atoke hadharani na kuzikemea.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30153 жыл бұрын

    Msukuma mvueni gwanda la CCM huyo mzee diallo, hatumwitaji tena.

  • @ramadhanintayogora5763

    @ramadhanintayogora5763

    3 жыл бұрын

    Wewe nani?

  • @missmrs829

    @missmrs829

    3 жыл бұрын

    @@ramadhanintayogora5763 mm ni TM Magufuli

  • @severinebagenyi4745
    @severinebagenyi47453 жыл бұрын

    CCM jitafakarini sana, yaani huyo Diallo kwanini mpaka sahizi bado ni mwenyekiti? Anaudhi sana kusema Magufuli alikuwa kichaa!!! Huyo ni mpumbavu, mnafiki na mpigani tu.

  • @aminimushi6945

    @aminimushi6945

    3 жыл бұрын

    Mtaachana uchi na bado.

  • @ayubmohamed6620
    @ayubmohamed66203 жыл бұрын

    Dialo in mjinga sana MTU akifariki asiongelewe kwa mabaya. Dialo ndiye kichaa

  • @ferdinandchilumba9887
    @ferdinandchilumba98873 жыл бұрын

    Pamoja msukuma nipo msumbiji lakini nakupata

  • @emiliaalyhibraimo6367

    @emiliaalyhibraimo6367

    3 жыл бұрын

    Na mimi pia

  • @neggoh_kadjo4162

    @neggoh_kadjo4162

    3 жыл бұрын

    Huyo diaro ndo alikuwa milembe amuache magu wetu apumuzike asitusababishe tuaze kulia tena

  • @hbdina
    @hbdina3 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿Dr.John Pombe Magufuli❤️❤️❤️ umetukomboa na tunafuata nyayo zako

  • @izodnice3659

    @izodnice3659

    3 жыл бұрын

    Tusonge na Tunasonga. Kwa mwendo wa Farasi .

  • @augustinejohnnyakatoma8591
    @augustinejohnnyakatoma85913 жыл бұрын

    Nimependa Sana hotuba Yako Mhe Msukuma. Umebadilisha mtazamo wangu na SASA nataka kuwa kama wewe. Ni kweli elimu haina uhusiano na hekima. Wewe una akili na hekima kubwa Sana. Nakupenda Sana, napenda msimamo wako. Ubarikiwe. Diallo ni kweli yote uliyomsema ametuudhi sana hafai hata kuwa mwanachama wa CCM achilia mbali uenyekiti wa mkoa

  • @kudisalashija9823
    @kudisalashija98233 жыл бұрын

    Ahsante sana kwa kupaza sauti mhe Musukuma. Dialo katuaibisha sana wana Mwanza.

  • @veronicasamson7121
    @veronicasamson71213 жыл бұрын

    You are very Wise. Tunakuelewa dear Kweli napenda busara yako kaka. Mungu akibariki zaidi. Kijana mdogo mwema mzalendo na akili mingi, safi sana🤝.

  • @casmirygregory4990
    @casmirygregory49903 жыл бұрын

    Ni kwel Msukuma ila sio kila msomi ana Akili

  • @jamesjohn9160
    @jamesjohn91603 жыл бұрын

    Ilikua vigumu saana kuangalia clip ya Diallo ama kweli niliumia😭😭😭

  • @pascalkirway832
    @pascalkirway8323 жыл бұрын

    Nasikitika sana nchi yangu imejaa wanasiasa wanafiki kuliko wazalendo, hayati Magufuli amefanya mambo mazuri mno wakati wa uhai wake.

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias92893 жыл бұрын

    Watuachie Rais wetu apumzike kwa amani 🙏😭

  • @rajabumsofe3045
    @rajabumsofe30453 жыл бұрын

    dialo aachie ngazi kwa kumshutumu magufuli. msukuma na kuunga mkono

  • @festokillingo8912
    @festokillingo89123 жыл бұрын

    Pole Sana mama janeth ,kwa haya ambayo majitu majinga yanaongea kuusu hayati Magufuli,, inaumiza Sana,

  • @godfreyntambi7763
    @godfreyntambi77633 жыл бұрын

    Nina mashaka na huo udokita wake,,Dialo

  • @salsoandreas5147

    @salsoandreas5147

    3 жыл бұрын

    Dr wa kienyeji huyo Fala harafu sio msukuma Mchunguze sanaki

  • @zengomikomangwa9969

    @zengomikomangwa9969

    3 жыл бұрын

    Diallo hana Doctorate. Kama anayo atupe thesis yake. Hana hekima, hana ushawishi. Ni mkwepa Kodi nk

  • @sondanzingulasondasam4029

    @sondanzingulasondasam4029

    3 жыл бұрын

    Point huyu Dr uchwala tu anaonekana

  • @steventilubuza9247
    @steventilubuza92473 жыл бұрын

    Na alaaniwe mtu yeyote amneneaye maneno mabaya...Jembe letu, tingatinga, kamanda JPM..vizazi vitapita bila kupata mtu wa calibre ya JPM. Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya maisha na utendaji wa JPM. Dialo kwa unafiki wako hutakaa ushibe.

  • @hawamabira1499

    @hawamabira1499

    3 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @leocadiaonesmo2614

    @leocadiaonesmo2614

    3 жыл бұрын

    Kabsa

  • @theresiamushi1619

    @theresiamushi1619

    3 жыл бұрын

    Mlaaniwe nyie mlio furahia udhalimu wa magufuli

  • @petermusa4745

    @petermusa4745

    3 жыл бұрын

    @@theresiamushi1619 tunawajua mliokuwa na vyeti feki mtampenda vipi wakati mlizoea vyabure polesana maana naona unaumia sana

  • @hoseasteven6241

    @hoseasteven6241

    3 жыл бұрын

    @@theresiamushi1619 mtanyooka mnajifanya mmesoma kumbe hamna mnatumbuliwa mnapiga kelele

  • @williamsonwilson7350
    @williamsonwilson73503 жыл бұрын

    Nakukubari mkuu💪💪💪💪

  • @msenegal.3933
    @msenegal.39333 жыл бұрын

    Mzalendo pekee nae mtambua ktk hii nchii msomi mwenye akir ya kuzaliwa,,,sio hawa washezi wenye elimu na hawana akir pumbavu kbx.

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi28703 жыл бұрын

    😆😆huyu ndio Musukuma bwanahanaga kuremba..kwann asipewe uwazir huyu jamaa namkubali Sana huyu jamaa kwa KUTOKUA mnafiki..

  • @izodnice3659

    @izodnice3659

    3 жыл бұрын

    Sikupingi ila hiyo position nayo anakandamiza ki weledi Kama Askari Polisi Trafki Ashirafu. Ni Fire!!.

  • @charlesnassary6689
    @charlesnassary66893 жыл бұрын

    😭😭 Dialo ni mbwa ameshalaaniwa ametuumiza sana Watanzania wengi

  • @allyiddi5866

    @allyiddi5866

    3 жыл бұрын

    Kakuumiza wewe kenge mpenda klelewa mlaum mzazi wako aliyekuzoesha na kukulea na vya kuiba

  • @samsonmkengi6972
    @samsonmkengi69723 жыл бұрын

    Kaka msukuma usihangaike na mtu mpumbavu rofa mkubwa ,

  • @machoguhameri7757

    @machoguhameri7757

    3 жыл бұрын

    Ni aibu sana kuwa na Mwenyekiti wa ccm kama huyu. Mimi nimekuwa mwanachama wa ccm tangu tarehe 18/08/1977 kadi Na. A 377845. Nimekitumikia chama zaidi ya miaka20 katika ngazi mbali mbali sijawahi kuona kituko kama hiki.Kama mwenyekiti huyu bado ana mawazo na rafiki yake, amfuate huko ACT wazalendo, badala ya kuwa ndumila kuwili Adui wa ndani ni mbaya zaidi kuliko adui wa nje. Kama yeye alikuwa na akili timamu, mbona alipewa uwaziri wizara ya Mali asili na utalii ukamshinda akatimuliwa?Nakuomba Katibu Mkuu wa CCM usiwe mzito kujibu upuuzi kama huu Unapotokea. Kwa kuwa sisi wanachama tunakutegemea sana kama mtendaji Mkuu kukihami chama wakati wote na mamuluki. .Hongera sana Mheshimiwa Musukuma.umetusemea tunakupenda Sana.

  • @enockboidy7829

    @enockboidy7829

    3 жыл бұрын

    Katba moya ndio suluhuuu 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @gervaswmigayo386

    @gervaswmigayo386

    3 жыл бұрын

    asante sana msukuma hilo,nijizi mafisad,makubwa linajifanya liwe lishauli la rais

  • @joniijovin3559
    @joniijovin35593 жыл бұрын

    Mzee mwenye elimu ya kuzaliwa

  • @KopakopaTv

    @KopakopaTv

    3 жыл бұрын

    Alizaliwa na phd huyu fala

  • @lazarodaudi1689
    @lazarodaudi16893 жыл бұрын

    Msukuma afadhali umeliongelea hili, Diallo n mpumbavu na alaaniwe maisha yake yote 😭😭😭

  • @gervinangowi5696

    @gervinangowi5696

    3 жыл бұрын

    Mungu wa mbinguni mpe pumziko la milele magufuri wetu tutakukumbuka daima magufuri huyu dialo ni mjinga sana

  • @winifridakasibu2900

    @winifridakasibu2900

    3 жыл бұрын

    Diaro olifa kubi adi nimeandika kiruga kwa uchungu nilionao wa kumpoteza baba yetu jembe ,pumzika baba

  • @richardboaz-mashagospel2346

    @richardboaz-mashagospel2346

    Жыл бұрын

    Laana anaipata yeye dialo, watoto wake, na ndugu zake woooote

  • @zachariajustine873
    @zachariajustine8733 жыл бұрын

    Akijamba huku hanafeni,atafanyaje. .bug up msukuma, Dialo bangi zinamsumbua

  • @makongoronyerere2595

    @makongoronyerere2595

    3 жыл бұрын

    Hhhhhhhhhhhhhhhh, oy xyo pw

  • @sansisansi3686
    @sansisansi36863 жыл бұрын

    haha ety kapiga faru joni ama konyagi haha mpe makavu msukumu nakuelewa sana watu wengeni ovyo sana shenzi sana

  • @augustinejohn1835
    @augustinejohn18353 жыл бұрын

    Thanks a lot Mhe Msukuma

  • @mashamnyama5213

    @mashamnyama5213

    3 жыл бұрын

    Huyo dialo mjinga hata hafai

  • @janetmichael5611
    @janetmichael56113 жыл бұрын

    waache wabaya wale nchi, kwani wataishi milele? tutakutana mbele ya haki, watapokua kitandan wakifa watajua laana iliyopo juu yao

  • @500gts___7

    @500gts___7

    3 жыл бұрын

    Neno.

  • @leonardshilatu399
    @leonardshilatu3993 жыл бұрын

    Hivi majirani zangu tarime kwann mmempatia bangi diallo?

  • @beatussagalani1397

    @beatussagalani1397

    3 жыл бұрын

    Hahahahahaha

  • @magrethgeorge9253

    @magrethgeorge9253

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁

  • @mzakirurashidi3591

    @mzakirurashidi3591

    3 жыл бұрын

    Jamani mama samia tumbua diaro

  • @stevenmsaaada.msaada.389
    @stevenmsaaada.msaada.3893 жыл бұрын

    Dialo pumbavu zake kabisa msenge hana akili mbwa mshamba hajitambui.

  • @oimermollelzephania139

    @oimermollelzephania139

    3 жыл бұрын

    Wewe kweli una akili timamu au unajisemea tu kwa sababu unajua kuandika . Tafakari usije kujuta.

  • @winifridakasibu2900

    @winifridakasibu2900

    3 жыл бұрын

    Msukuma asante kwa kutusemea uyo mbwa

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael53 жыл бұрын

    Dialo kumanyoko zake mbwa huyo

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81143 жыл бұрын

    Mungu akujalie msukuma wallah unafanya kazi kubwa

  • @ayoubkikoti6344
    @ayoubkikoti63443 жыл бұрын

    Hivi walimpa Kiti Dialo kwa sifa gani? Huyo hawezi kupita tena uchaguzi ujao,,hana akili kabsa,

  • @enosmasasi6217

    @enosmasasi6217

    3 жыл бұрын

    Ni lijinga sana ilo li Dialo

  • @jumaabdalla3798

    @jumaabdalla3798

    3 жыл бұрын

    Dialo hafai muondoeni ndio anaanza kupazwa huyo

  • @jamesselemani4562
    @jamesselemani45623 жыл бұрын

    Big up sana msukuma ,,,,,..... dialo anajifanya kidume baada JPM kufariki,, kwann asingeombia kipind mwanaume akiwa hai........pumbavu sana huyu dialo tena akafie mbele

  • @fabiansaid6847
    @fabiansaid68473 жыл бұрын

    Fact sana kiongozi,diallo yampasa atambue nafasi aliyo nayo akumbuke kuwa anaetoa mamlaka ni mungu kwa mwendo huo hawezi kudumu.

  • @samweltv2064
    @samweltv20643 жыл бұрын

    Ni haibu sana kwa mtu kama Antony diaro kuzungumza upuuzi kama ule sion ata kama kuna uthamani ya msamaha wake maana ajaikosea familia tu bali katukosea watanzania ambao tulipokea kwa mikono miwil upambanaji wa hayat dk magufuri anachofanya nikutuumiza sana😭😭😭😭😭

  • @rajabumsofe3045
    @rajabumsofe30453 жыл бұрын

    huyo dialo aachie ngazi watu wanao mchukia magufuli waliguswa kwenye kodi walikua wanataka watu wa chini wawalipie kodi na hata hivyo umri umemtupa mkono.

  • @cheppefredcheppe5049
    @cheppefredcheppe50493 жыл бұрын

    Ahsante Msukuma,tumejua sasa kumbe jamaa alikuwa kambi ya wale jamaa.....baada ya kupigwa ndo vibaya na kupotezwa ndo wameanza kuongea ongea hovyo kutukana watu!!

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15183 жыл бұрын

    Nakukubali SANAAAAA Msukuma

  • @rahabujohn739

    @rahabujohn739

    2 жыл бұрын

    Ondoka usemwe c aliwafunga mdomo Acha diaro aseme msukuma we ndo mbweha tu

  • @alfanmussa3041
    @alfanmussa30413 жыл бұрын

    Dialo nimpumbavu ambae sijawai kumshudia

  • @prisillahmasherema8564

    @prisillahmasherema8564

    3 жыл бұрын

    Mpumbafu wa mwisho

  • @kelvingwaza9142

    @kelvingwaza9142

    3 жыл бұрын

    fala dialo

  • @kelvingwaza9142

    @kelvingwaza9142

    3 жыл бұрын

    msenge sana dialo kisimi yeye

  • @kelvingwaza9142

    @kelvingwaza9142

    3 жыл бұрын

    muache baba apumzik anafikir atapewa ukubwa mbwa huyo dialo kuma sana tena sana siogop ananitafute anipeleke polis kuma mamayoo

  • @allysaid3443
    @allysaid34433 жыл бұрын

    Safi sana msukuma

  • @noelfande3983

    @noelfande3983

    3 жыл бұрын

    Jamaa anaongea content

  • @charleskagaruki8849
    @charleskagaruki88493 жыл бұрын

    Mhe Rais nakipongeza kwa juhudi ulizonazo kwa watanzania! Nakuomba Sana kwa jina la Bwn ,kwamba utuondolee uwanja wa ndege katikati ya mji wa Bukoba, ulipanuliwa na viongozi wababe wakaleta msongamano kamji kadogo nakuomba uupeleke nje ya mji vijana wa taxi na bodaboda wafanyakazi!!! Natanguliza shukrani! Bwn akubariki!!!

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30153 жыл бұрын

    Diallo huyu mzee ajiuzulu ,hatumwitaji tena hawezi kumtukana jpm,mvueni nguo za kijani

  • @martine.pumzikakwaamanmaga6771

    @martine.pumzikakwaamanmaga6771

    3 жыл бұрын

    Piga chini mazee manafiki

  • @abelmipwa9854
    @abelmipwa98543 жыл бұрын

    Huyo diallo hafai kbs

  • @magrethgeorge9253
    @magrethgeorge92533 жыл бұрын

    Uyo dialo sijuh pua yake yeye imeangalia juu,Kila binadam nimarehem mtalajiwa jamani mm mtu akimsema magufuli naumia sanaaa,msukuma one day utakua Mr president 🙏

  • @kongoweamswahili.5592
    @kongoweamswahili.55923 жыл бұрын

    Wakichaa tu ndiye atamtaja JPM kwa mabaya. JPM Haeshimiwe 👊🏾

  • @andreamakalla6000
    @andreamakalla60003 жыл бұрын

    Uko vizuri

  • @geopolitics94
    @geopolitics943 жыл бұрын

    Asante sana Mhe Musukuma kwa kulisemea hili

  • @subawaba2321
    @subawaba23213 жыл бұрын

    Safi mzee msemakweli._jpm. jembe daima hawawezi. kutupoteza kamwe jpm R.I.P baba amir jeshi mkuu. tuna kukumbuka "tuko nawachawi wanatuwangia. watashindwa kwa uwezo mungu amen

  • @clementmwaitebele7687
    @clementmwaitebele76873 жыл бұрын

    Asante sana Msukuma kwa kusema...yaani Ametutukana Wananchi wote . ..Kumtukana JPM ambaye amefanya kazi ya miaka 6 ni kama imefanyika kwa miaka 60 sasa anatukana Taifa LA Tanzania

  • @swalehemsengesi3575
    @swalehemsengesi35753 жыл бұрын

    Nimefurahi sana sana. Dialo umeota ndoto unakunya.

  • @ebraniacosmosy2072

    @ebraniacosmosy2072

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @franksam8581
    @franksam85813 жыл бұрын

    Umeongea point kabisa amelewa na madaraka huyo

  • @wangwemseti7592
    @wangwemseti75923 жыл бұрын

    Awamu za Marais wa Tanzania wote hakuna rais nilompenda na kumuelewa aliye tamka kitu na kikatekelezwa kwa vitendo mwenye misimamo isoyumbishwa kama magufuli kuondoka kwa magufuli nimeumia sana nitafalijika kama yaloanzishwa na magufuli kama yataendelezwa

  • @richardmakene7780
    @richardmakene77803 жыл бұрын

    Hyo diallo n msenge tyuuu magufuli daima ttamkumbka maisha yetu yote magufuli hakna kama yy

  • @jmalifedha479
    @jmalifedha4793 жыл бұрын

    Diallo =0% brain

  • @pauloqaymo8925
    @pauloqaymo89253 жыл бұрын

    Huyo Diallo amenikera sana yaani nimemchukia sana kwa kauli yake iliyomlenga Rais wetu hayati JPM

  • @stellahmollel7081
    @stellahmollel70813 жыл бұрын

    mimi ni mmasai, ila magufuli ni alikuwa rais wetu ,ni mwenzetu, ni ndugu yetu , na ametufanyia kazi nzuri, inatukera sana mtu anayembeza ndugu yetu rais Magufuli

  • @stellahmollel7081

    @stellahmollel7081

    3 жыл бұрын

    ametuachia alama ya pendo, amefanya kazi yake akimtanguliza Mungu, hadi huku kijijini tunaona matunda ya ndugu yetu Dr magufuli, despensaries zimejengwa, hospitali,zimejengwa, pamoja na madhaifu ya kibinadamu ya ndugu yetu Rais magufuli amefanya kaz kubwa sana inayoonekana, alikuwa mtetezi wa wanyonge kwel kwel muda mwingne nikimkumbuka machoz yanidondoka, mwacheni magufuli wetu, Mungu ampe heri mbinguni.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka84693 жыл бұрын

    Safi Sana msukuma nakupenda Sana hata bungeni uko vizr,japo Mimi mnyaturu.

  • @kilalaurio9922
    @kilalaurio99223 жыл бұрын

    Huyo aliemdhihaki JPM hafai tena kuongoza .

  • @samwelsumbuka7613
    @samwelsumbuka76133 жыл бұрын

    Daa kweli kanda ya ziwa sijui diaro sijui ngwandu beyu ametuuzi sana

  • @HusseinMwakyoma
    @HusseinMwakyomaАй бұрын

    Mm hussein mwakyoma msukuma natamani ujekuwa raisi wa hiiii nchi unaweza mmnaishi mbeya ira kati yaviongzi ninao wakubar msukuma namba 1.nakuerewa brooo mungu akuongezeee siku uwepo wa nimsaada kwetu

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika51023 жыл бұрын

    Ccm msipomfukuzaa dialoo 2025 siwapii kuraa yangu kabisa

  • @bensonjr4879
    @bensonjr48793 жыл бұрын

    True man! Rest in peace JPM

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias52923 жыл бұрын

    Msukuma nakupendaga tu, hunaga kuogopa. Wamuache JPM wetu, mpaka Leo cjawahi mtoa ndani ya moyo wangu anaishi Magu. Tuko nyuma yako kumtetea asiyeweza kuongea sasa. RIP baba yetu

  • @ignasiissaya1718
    @ignasiissaya17183 жыл бұрын

    Upo vizuri sana sana Mh.Musukums nakukubali sana.

Келесі