Mbunge Msukuma akataa kuiacha simu yake ya miaka 10

Ойын-сауық

Пікірлер: 265

  • @mkaliwenuoriginalpleasesub9297
    @mkaliwenuoriginalpleasesub92976 жыл бұрын

    huyu ndio mbunge asiyependa misifa nimekupend bur mzee

  • @salvatormselle2393
    @salvatormselle23934 ай бұрын

    Tanzania needs such kind of leaders. Good lesson Mbunge Msukuma.

  • @peterjk4727
    @peterjk47276 жыл бұрын

    anatumia tochi lakin anatembelea V8, mwingne anatumia Samsung au IPhone lakin anapanda daladala

  • @africanhappyadventure6951

    @africanhappyadventure6951

    6 жыл бұрын

    PETER JK ..Umenena vyemaaaa maskini huwa tuna shida saanaa wee acha tuuu

  • @makasara6532

    @makasara6532

    6 жыл бұрын

    PETER JK na hyo v8 plate number ni KING

  • @alleninebway5652

    @alleninebway5652

    6 жыл бұрын

    PETER JK hahahahahha kweliii

  • @saumuhassan1365

    @saumuhassan1365

    6 жыл бұрын

    PETER JK Exactly Wallah

  • @mamahustru

    @mamahustru

    6 жыл бұрын

    Daah, BONGE LA POINT MKUU.

  • @mamahustru
    @mamahustru6 жыл бұрын

    Msukuma uko vizuri mnooo, HAKUNA UBISHOO. sAFI SANA KAKA.

  • @revixlixea3002
    @revixlixea30026 жыл бұрын

    Hyoooo.. Simu alinunua kwa masharti ya mganga... Soo akinunua mpya atapoteza Mali zake....waganga kwa mashariti hayajawahi kuwaacha watu salama....

  • @jamessalaganda2054

    @jamessalaganda2054

    6 жыл бұрын

    Revix Lixea hiyo cyo sahh n life style yake tyuuu

  • @niyimpumurizamoise2256
    @niyimpumurizamoise22562 жыл бұрын

    From Bujumbura I love msukuma.

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8096 жыл бұрын

    Good sanaa nakupenda sanaa unajua kujishusha

  • @babukoi.6947
    @babukoi.69476 жыл бұрын

    Hongera sana msukuma i like ua lyf style hauna majigambo kama kina yakhe

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank6436 жыл бұрын

    Waongo hawo Wakiingia Majumbani kwao..!!! Wana Tablet, Ma Samsung, Iphone Hawa wanacheza na akili za watu..!! ✊

  • @jamessalaganda2054

    @jamessalaganda2054

    6 жыл бұрын

    Benson Frank hiyo haipo cc tunajijua

  • @simonmajigop5890

    @simonmajigop5890

    6 жыл бұрын

    umeona ehheee

  • @jumachire3485

    @jumachire3485

    6 жыл бұрын

    Benson Frank uyu ndo maisha yake.... Ana mabasi ana miliki mali mingi sana..... Iyo ni maisha yake

  • @pauloabdala6516

    @pauloabdala6516

    5 жыл бұрын

    msukuma mmi ni mpnzni wako lakini leo umenichekesha.annalog

  • @gaudenciamsrikale956

    @gaudenciamsrikale956

    3 жыл бұрын

    This might be true

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser76346 жыл бұрын

    Mhe King nimeupenda mno msimamo wako kuhusu simu yako

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8096 жыл бұрын

    msukuma safi sanaaa nakupenda sanaa ujiamini sanaaa

  • @godfreywebiro4058
    @godfreywebiro40586 жыл бұрын

    hata dangote anatumia kitochi. kanyaga twende Maduhu

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or6 жыл бұрын

    Salute comrade!

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa42126 жыл бұрын

    wasukuma kwa ndagu,,,hongera

  • @abasimfaume1482
    @abasimfaume14826 жыл бұрын

    I like it Mr Msukuma

  • @mkwatamugisha4991
    @mkwatamugisha49916 жыл бұрын

    Hahhaaaaaaa uko sawa uzuri kaeleza ni kwa nn anatumia sim hio suala la kuendana na wakati huko hayupo

  • @amosnnko7792
    @amosnnko77923 жыл бұрын

    Congratulations san naon upend sifa onger yako

  • @wanjara4076
    @wanjara40766 жыл бұрын

    Aisee Msukuma noma sana

  • @ibrahimchambua6642
    @ibrahimchambua66426 жыл бұрын

    hahahaha umetisha sana mh mbuge

  • @yohanashombe916
    @yohanashombe9166 жыл бұрын

    Bange huwa aimuachi mtu salama 😁😁😁😁

  • @iviejustified8109

    @iviejustified8109

    6 жыл бұрын

    Yohana Shombe 😅😂😂

  • @eliaselieza2459

    @eliaselieza2459

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😅

  • @HASASON
    @HASASON6 жыл бұрын

    Wanasiasa bana sasa msukuma anasema anatumia hiyo simu sababu anataka awe kama watu wa kipato cha chini, hilo gari nalo ni la kipato cha chini? Hiyo plate number tu ni mamilioni

  • @jamessalaganda2054

    @jamessalaganda2054

    6 жыл бұрын

    HASASON hilo gar kapewa na serikal

  • @shedrackmollel1480

    @shedrackmollel1480

    6 жыл бұрын

    mamb yakizamani sanaaa msukumashikumoo

  • @makongorowassira6593

    @makongorowassira6593

    4 жыл бұрын

    HASASON ana mali lakini, hivyo sidhani kama ni siasa, ni imani za bahati tu hataki kusema. “Usitupe mbachao kwa msala upitao” “you dont fix the unbroken or Not broken, dont fix”

  • @khantv6949
    @khantv69496 жыл бұрын

    hahahah hahahahahah dadadekiiiiiiii MSUKUMA OYEEEEEEE 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @livingstoneurassa4949
    @livingstoneurassa49496 жыл бұрын

    Kama mbunge yupo kwenye analog unatazamia wananchi waweje? Msukuma badilika.

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni42586 жыл бұрын

    😂😂😂😂Msukuma we ni mafia, sim za wenye pesa hizo hahahaha

  • @omanimujsa9756

    @omanimujsa9756

    3 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @user-nt4ov4gl2o
    @user-nt4ov4gl2o6 ай бұрын

    pamoja sana king msukuma

  • @bjzee1981
    @bjzee19816 жыл бұрын

    uuuuuuwiiiiii mayoooo. KwaZulu mtindo huu inahusu 😂

  • @DanielFrankManupa
    @DanielFrankManupa6 жыл бұрын

    Millard mtu wangu wa nguvu, tuletee story au taarifa zenye mashiko kwa jamii, suala la simu gani mtu anatumia sidhani kama ni issue sana, haina tija yeyote kwa jamii. Binafsi nakuaminia sana kwa taarifa zenye mashiko kwa jamii, achana na habari za hivi focus kwenye mambo ya msingi zaidi. Ni ushauri tu unaweza kuuchukua ama ukaupotezea.

  • @athonyfrancis8889
    @athonyfrancis88896 жыл бұрын

    Huna tofauti na wapiga kura wako ina maana wao wanatembelea gari unayotembelea???acha kk.chabang

  • @hassanimazila2054
    @hassanimazila20546 жыл бұрын

    sawa kabisa maisha nivile unavyoamua.

  • @kharifamfalme8559
    @kharifamfalme85596 жыл бұрын

    duuuhh huyo ndo king m..

  • @helenjohnopundo6010
    @helenjohnopundo60105 жыл бұрын

    wow umenifurahisha saaaaana

  • @hsnsharif7877
    @hsnsharif78773 жыл бұрын

    Pafu moja mpaka ije kuisha kichwani miaka arobaini kazi kwenu tutayaona mengi tu ila vumilieni

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13656 жыл бұрын

    Umetisha sana mbunge, 😂😂😂😂

  • @rahimajuma688

    @rahimajuma688

    6 жыл бұрын

    Saumu Hassan 😂😂😂huyo ndo musukuma bwana

  • @kondoayetu8389
    @kondoayetu83896 жыл бұрын

    Uzuri namjua anatumia bangi sana

  • @viniaskadunda5768
    @viniaskadunda57686 жыл бұрын

    Nakukubali sana msukuma

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba36106 жыл бұрын

    Kumamae walahi mi natumia samsung note 5 cna hata baiskeli lkn yy anatumia simu iliyofungwa na mpira anatembelea v8 akili nywele kwa kweli

  • @simonsixbert2660

    @simonsixbert2660

    6 жыл бұрын

    Ramadhani Chilumba tatizo ni mawasiliano

  • @LM-dh1fq

    @LM-dh1fq

    5 жыл бұрын

    😆😆😆😆😆😆

  • @paulsasuma8713

    @paulsasuma8713

    5 жыл бұрын

    Na hapo ana Migodi ya Dhahabu na Mahotel ya ya Maana

  • @lizzybahati9833

    @lizzybahati9833

    3 жыл бұрын

    😃😃😃😃

  • @josephmwinuka6664

    @josephmwinuka6664

    3 жыл бұрын

    Msukumaa!

  • @Chrisslinenikweranaigizasauti
    @Chrisslinenikweranaigizasauti3 жыл бұрын

    Wewe mzee Noma lakini ndio vizuri

  • @avitrugakingirajr1669
    @avitrugakingirajr16693 жыл бұрын

    Majibu mazuri sana king Msukuma

  • @berthadaniel5864
    @berthadaniel58645 жыл бұрын

    inakaa na chaji wiki mbili kha😊... kwaa kweer ishu n mawasiliano tu

  • @alexnomba7897
    @alexnomba78975 жыл бұрын

    kali ya mwaka sasa akili nywele duuh

  • @gastordominic410
    @gastordominic4106 жыл бұрын

    Ahahaha umetishaaaaa

  • @jamesgerald7192
    @jamesgerald71926 жыл бұрын

    kila Mtu na akipendacho.

  • @dawillygene
    @dawillygene5 жыл бұрын

    Hahahahahshahahahahahahahahshahahahahahahahahahahahaha,, nimekupenda msukuma

  • @michaelbob4114
    @michaelbob41146 жыл бұрын

    Hapo kwenye chaji katujaza a see😂😂😂

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti6 жыл бұрын

    hahahha, we mtu nmekubal kwel

  • @viniaskadunda5768
    @viniaskadunda57686 жыл бұрын

    Safi sana king

  • @ancomagu8531
    @ancomagu85316 жыл бұрын

    wengine wanavaa mtepesho nakukubali msukuma myaka 1000000000000000

  • @isaacmsekefu1752
    @isaacmsekefu17526 жыл бұрын

    daaaaaaaaaahh kweli wasukuma ushamba hawajaanza leo. unawaaibisha wasukuma kama jina lako lilivyo

  • @gm7045
    @gm70454 жыл бұрын

    Eeeh mskuma kabsaa👌

  • @franaelisumari5108
    @franaelisumari51086 жыл бұрын

    If you fail to change you're self how come you can change your society and your country in order to have more steps in development. Pia mweshimiwa naona ni kujidhalilisha na kudhalilisha Taifa,kiwango chako cha maisha kiko juu,ishi kulingana na kiwango chako na uwakilishi wako Wa wananchi.Wala hiyo siyo dhambi mradi tuu hizo Pesa zimepatokana kwa haki.

  • @wemamtotochanelyusuphomari8262
    @wemamtotochanelyusuphomari82626 жыл бұрын

    Dah hahahahahahahaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @OmanOman-sm6dv
    @OmanOman-sm6dv4 жыл бұрын

    😁😁😁🤣🤣🤣🤣dah yani ata mchaga aingii ndani

  • @clementdiyay5789
    @clementdiyay57896 жыл бұрын

    Nivizuri sana kujitambua

  • @allymkamba1759
    @allymkamba17596 жыл бұрын

    nakuku bari sana ujee rufiji uwe mbunge warufiji.

  • @makorongohcchemba2490
    @makorongohcchemba24904 жыл бұрын

    Hahahah hawaamini mafundi wanaweza kumuibia

  • @user-wo8go6wc3d
    @user-wo8go6wc3d3 жыл бұрын

    Msukuma nmekupenda bule

  • @chidymswti3604
    @chidymswti36043 жыл бұрын

    Basi ata gari ungetumia angalau vitz

  • @mohamedikibasa418
    @mohamedikibasa4186 жыл бұрын

    Hatarii sanaa

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda71826 жыл бұрын

    Nakumbuka v8 yake imeandikwa king M

  • @josiahmeivukie3246
    @josiahmeivukie32465 ай бұрын

    Siasa tu utembelee IST sasa

  • @pogbadangote8355
    @pogbadangote83556 жыл бұрын

    Aiseeeee noma

  • @michaelraphael4841
    @michaelraphael48416 жыл бұрын

    Wasukuma shikamooo sanaa tena sanaa

  • @ggjghh6245
    @ggjghh62456 жыл бұрын

    Jamaniiiiiii unaniuwa mbavuu we mbunge

  • @saidsaid9463
    @saidsaid94636 жыл бұрын

    Huyu msukuma anafurahisha rababendi jabisaaa hatari

  • @michaelmchodo4887
    @michaelmchodo48876 жыл бұрын

    aisee

  • @yolakahmathews6913
    @yolakahmathews69136 жыл бұрын

    Nakuelewa!

  • @aminaabuu755
    @aminaabuu7556 жыл бұрын

    ahahahhaa jamani na kirababendi juuuu wasukuma shikamoni

  • @breymbasa8647

    @breymbasa8647

    6 жыл бұрын

    Amina Abuu marhabaa kazi kazi kwetu

  • @aminaabuu755

    @aminaabuu755

    6 жыл бұрын

    brey mbasa hahhhahhha

  • @adamgeorge5532

    @adamgeorge5532

    6 жыл бұрын

    marahaba

  • @masakakambesha4521

    @masakakambesha4521

    6 жыл бұрын

    Marahaba

  • @jamessalaganda2054

    @jamessalaganda2054

    6 жыл бұрын

    Amina Abuu marahaba

  • @lupakisyomwaisunga9027
    @lupakisyomwaisunga90273 жыл бұрын

    Sawa sawa kaka

  • @justinerevocatus2955
    @justinerevocatus29556 жыл бұрын

    Zilipendwa

  • @niyimpumurizamoise2256
    @niyimpumurizamoise22562 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni kichwa, PHD

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim84286 жыл бұрын

    Uzalendo kwanza angekuwepo j k nyerere angeweka makumbushoo walaii

  • @aggreymrema3145
    @aggreymrema31456 жыл бұрын

    hakika broo wewe ni comedy

  • @nashonshimba3614
    @nashonshimba36146 жыл бұрын

    siwaamni mafund cm naweza kuwaachia halaf ikapoteza network hahahahaa kweli we ni king

  • @amirimakarawaty3140
    @amirimakarawaty31406 жыл бұрын

    hebu muulize Mbona kavimba macho kwachini anaumwa.

  • @emmanuelsima3251
    @emmanuelsima32513 жыл бұрын

    Acheni kufeki mbele ya watu.

  • @angelfilberth5754
    @angelfilberth57545 жыл бұрын

    🙌🙌🙌🙌

  • @mayengasamasi4195
    @mayengasamasi41956 жыл бұрын

    kwer bwana kila mutu namatumizi bwana

  • @THE-HIGHWAY-VOICE
    @THE-HIGHWAY-VOICE3 жыл бұрын

    watanzania munanipa raha sana..uku kenya ni dhambi kubwa mheshimiwa kuwa na simu io

  • @babukoi.6947
    @babukoi.69476 жыл бұрын

    Tunataka wabunge kenya kama msukuma wallahi

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda71826 жыл бұрын

    Hahahaha huyo mzee bahiri kununua cm ila Gari anayotembelea ml.250

  • @justinejamangwa5979
    @justinejamangwa59796 жыл бұрын

    Uko sawa mhimu mawasiliano hahahahaaaaaa

  • @pastorm.e.mwakalonge7020
    @pastorm.e.mwakalonge70206 жыл бұрын

    na usafiri Acha tumia fonex bs

  • @jumamwangu8107
    @jumamwangu81076 жыл бұрын

    acha kusema unapenda kutumia simu ya tochi eti ni kwasababu ya mazingira na wananchi ili kuleta usawa si kweli mbona kwa upande wa usafiri hutumii baiskeli kwenda kwenye vikao vya bunge

  • @jamessalaganda2054
    @jamessalaganda20546 жыл бұрын

    nakubal king msukuma pia endelea kututetea

  • @ellybenitonyava3823
    @ellybenitonyava38233 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaaaahnoma sana

  • @mektilidamjun6638
    @mektilidamjun66386 жыл бұрын

    wengine wana sm za mamilion wanakosa hata chunvi ndani ni darasa tosha kwao bora mawasiliano baba

  • @sylviamoisso7132
    @sylviamoisso71326 жыл бұрын

    Tumia basi na baiskel hilo v8 la nan

  • @sadikiissa7756
    @sadikiissa77565 жыл бұрын

    Kwanini mmiliki wa hii channel haweki tarehe kwenye video zake?

  • @andrewrockstar2129
    @andrewrockstar21297 ай бұрын

    Mashart ya mganga

  • @abubakarsalim4188
    @abubakarsalim41886 жыл бұрын

    Wandugu huyu mkinga nini🤣

  • @bernardjustine6524
    @bernardjustine65246 жыл бұрын

    Huyu kwake ana ipad ya million mbili asituzingue

  • @obeidluhwago7471
    @obeidluhwago74716 жыл бұрын

    kipendacho roho jamani acheni matusi

  • @noelgasto7989
    @noelgasto79895 жыл бұрын

    Kama nawaona wanafunzi wa chuo especially madada na masimu yao makubwa ambayo pesa ya vocha mpk wahongwe

  • @theophileniyonkuru2116
    @theophileniyonkuru21163 жыл бұрын

    Heshima msukuma

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz62093 жыл бұрын

    Good

  • @jorossi1174
    @jorossi11745 жыл бұрын

    Msukuma happ poa hio simu yako safi

  • @stevenimory5179
    @stevenimory51796 жыл бұрын

    Kiki zinasumbua sana

  • @masudiitembele5414
    @masudiitembele54146 жыл бұрын

    ndagu huyu mtu sio bule jamani japo ni maisha yake

  • @bizulhaseketo155
    @bizulhaseketo1556 жыл бұрын

    dah nimempena bure huyu mbunge kwakweli alichokisema kama wabunge au watanzania wote tungekua na akili kama zake basi tungefika mbali ni kweli wapo watu wanamiliki cm kubwa lakink pesa ya MB wanaomba looh .... kweli akili ni nywele ... kikubwa mawasiliano tuu

  • @cosmasdaud3463
    @cosmasdaud34635 жыл бұрын

    Mashart ya Mali za madawa shkamoo wachawi

Келесі