MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.

Mbunge wa Mbulu Vijijini aruka Sarakasi Bungeni, akidai barabara.

Пікірлер: 56

  • @user-vr5rj4hu5r
    @user-vr5rj4hu5r19 күн бұрын

    Ana akil mno mtajuaje😊😊😊😊❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Jemsiisaya-x6h
    @Jemsiisaya-x6h2 күн бұрын

    Atuewi

  • @fkirumba1463
    @fkirumba14632 жыл бұрын

    Huyu anaelewa anachokifanya Waliomchagua hawajakosea

  • @Nyoni_Tv
    @Nyoni_Tv2 жыл бұрын

    Nataman awe mbunge wetu 🙌🙌

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud60012 ай бұрын

    Wasipotimiza Piga misarakasi bunge zima , mpk Kwa Spika

  • @SamwelJoseph-yk3cw

    @SamwelJoseph-yk3cw

    3 күн бұрын

    Hahahahahaha

  • @AnentBuhangwi
    @AnentBuhangwi4 күн бұрын

    Jmn kina maty muonen mbung wen

  • @rithaurassa
    @rithaurassa5 күн бұрын

    Mtajua hamjui. Mpaka apewe haki zake.mnaona kila mtu hapo bungen ni mafara

  • @siliviamashaka4326
    @siliviamashaka43262 жыл бұрын

    Hongera unatumia Kura yawanainch wako vizuri

  • @rajabushilingi4272
    @rajabushilingi42722 жыл бұрын

    Ewaaaaaa safii sana

  • @neemajulius1256
    @neemajulius12562 жыл бұрын

    Hongera Sana watakuelewa tu

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын

    Sawa,maana anaonesha msisitizo na kukumbusha serikali kuwa wananchi anaowawakilisha wanahitaji vitendo sio ahadi.

  • @bennyjohn1412
    @bennyjohn14122 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂Safi sana

  • @hoseajoseph
    @hoseajoseph2 жыл бұрын

    Nakupongeza Sana mheshimiwa natamani nikuone nikupe heshima yako

  • @NaaalsGroup-us8bq
    @NaaalsGroup-us8bq Жыл бұрын

    Asante mungu akupe umri sana kwakweli yani raaa anachangamsha bunge yy na halima wako mbele 😂😂😂😂😂😂

  • @gaspermolell5776
    @gaspermolell57762 жыл бұрын

    2ngekuwa na viongozi kama haw kama20 tz 2ngepiga hatua sanaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @rastalukumai
    @rastalukumai2 жыл бұрын

    Mwanaumeeeeee

  • @kubwadrray403
    @kubwadrray4032 жыл бұрын

    Uhakika nakubali unaweza

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131926 күн бұрын

    Stady of discuss so many challenges facing tanzania people outcome this are type of mp we have in palament hit table celebration everything gavment give them lnstruction whale ather country palament stand for peaple give gavment lnstruction Sasa ndio Hawa wabunge waruka sarakasi

  • @johnmichael4535
    @johnmichael45352 жыл бұрын

    Hahahahah umetshaa wataelewa2

  • @jacquelinelekule426
    @jacquelinelekule4262 жыл бұрын

    Nimempenda bure muheshimiwa

  • @mctikisa5316
    @mctikisa53162 жыл бұрын

    hahahhahhaa hii nchii bhnaaa daaah

  • @rastalukumai
    @rastalukumai2 жыл бұрын

    Wewenimwanaume ongea baba tukusikie nawengine waige kutoka kwako

  • @f.a6043
    @f.a60432 жыл бұрын

    inabidi watu waonyeshane kua sasa watu hawana mchezo sio mizaha ambayo haina tija kabisa ,🤣🤣

  • @mohamedially5330
    @mohamedially53302 жыл бұрын

    Kweli mkuu

  • @limbukitulanhawa4109
    @limbukitulanhawa41092 жыл бұрын

    Naona bunge haliko sawa jamani tofauti na mwaka 2017,,

  • @surusuru1994
    @surusuru19942 жыл бұрын

    Nikwli kabisa🔥🔥💞

  • @glorympuwa9599
    @glorympuwa95992 жыл бұрын

    Mbunge ni kwamba unahasira!!!!!!! Au

  • @abuushaymaatz
    @abuushaymaatz2 жыл бұрын

    Safi

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus13472 жыл бұрын

    inauma kwa kweli, watu wana shida, ilibidi asisitize ki hivyo

  • @gozbeelaurenty7812
    @gozbeelaurenty78122 жыл бұрын

    Kweli huyo ni kiongozi wa. Wananchi anafatilia majukumu yake. Ongera sana

  • @tazamamaajabuyaulimwengu2786

    @tazamamaajabuyaulimwengu2786

    2 жыл бұрын

    Wangepaswa kumuwajibisha amelikosea Sana bunge

  • @limbukitulanhawa4109
    @limbukitulanhawa41092 жыл бұрын

    Nikweli kabisa mmbuge wetu,,

  • @lusajooden5185
    @lusajooden51852 жыл бұрын

    Kweli sana inaburudisha,inaelimisha na pia inatumika kukosoa,,da mh mbunge umenifulaisha sana kwa kutumia sanaa kufikisha ujumbe na pia umeniburudisha kisawa sawa yani nimecheka adi machozi yamenitoka,yani umenichekesha kuliko ata masanja joti na mpoki walivyokuwa wakinichekesha,,asante sana kwa kunipunguzia mastress,auna baya.Nakuunga mkono kwa harakati zako za kuwapigania wananchi wako

  • @hamisikisuju8223

    @hamisikisuju8223

    2 жыл бұрын

    Daah! Mbunge kaongea point tupu na kutuburudisha

  • @lydiavegula7641
    @lydiavegula7641Ай бұрын

    Daaa so sad

  • @elineemamchomemchome9992
    @elineemamchomemchome99922 жыл бұрын

    Jamani limekuwa mbunge ganihilo

  • @pasichalmartin9386
    @pasichalmartin93862 жыл бұрын

    Clauds fm

  • @mariamally1244
    @mariamally12442 жыл бұрын

    Haaaaa kuna myeleka

  • @user-hv5sz6wj8m
    @user-hv5sz6wj8m6 ай бұрын

    😮😮😢😢😢😂😂😂😂

  • @surusuru1994
    @surusuru19942 жыл бұрын

    😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏🤗🤗👌👌Good

  • @janemfinanga8258
    @janemfinanga82582 жыл бұрын

    Angekuwa na uwezo angemchapa makofi mtu hapo

  • @hamadiabdallah3906
    @hamadiabdallah39062 жыл бұрын

    Ujumbe umefika

  • @swalehbakari2667
    @swalehbakari2667Ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅

  • @mamuguda1704
    @mamuguda17042 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Ukiona hivyoo hamnaachakulaa upoo

  • @mewasemanuel8413
    @mewasemanuel84132 жыл бұрын

    😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @oscarsakilu2494
    @oscarsakilu24942 жыл бұрын

    Hakuna lolote hapo unafki tu analeta masiara kwenye Amna watu wanateseka we unapiga sarakasi mi namjua vzur huyu mtu

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @wallesmdoe9164
    @wallesmdoe91642 жыл бұрын

    Huuuuwiiiiii kzread.info/dash/bejne/lmFnzbOIg7qTfqw.html&feature=share

  • @lanlady2504
    @lanlady25042 жыл бұрын

    Wanasiasa wengi ni sanguine personalities, yaani wanapokuwa mbele ya umati wa watu wanaweza kufanya chochote. Hata kama ni baba/mama yako, wewe ndio utabaki unaona aibu. Rejea wabunge waliowahi kulia hadharani, kutishia kuvua nguo, kupiga magoti, kugalagala chini nk. Yaani ni haiba zao; na wala hawajutii au kuona aibu. 😄😄😛

  • @ayshabirali5335

    @ayshabirali5335

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @magotikamese7951

    @magotikamese7951

    2 жыл бұрын

    Wabunge kama hawa wanashusha hadhi ya Bunge!

  • @fulgencemark7640
    @fulgencemark76402 жыл бұрын

    Huyu alitakiwa kufukuzwa mle mjebgoni saaa ileile lakini kwa kuwa zizi ndio zizi kazi na iendelee kwani iko nini?

  • @masterngao5538
    @masterngao55382 жыл бұрын

    Safi

  • @dalilaally6118
    @dalilaally61182 жыл бұрын

    Hahahahahaa

Келесі