MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"

MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 353

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg2 ай бұрын

    Ili bunge la vp mbona wazungumzia kunywa tembo tu kwani sdhida nini ili sio la walevi tungumzuni mengine walev wacheni watajib kwa Mungu midhambi hiyo

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985Ай бұрын

    Tanzania mko vizuri. 🇰🇪

  • @NasiriAcramYusra-rf8dl
    @NasiriAcramYusra-rf8dl Жыл бұрын

    Huyu MWANAMKE nimempenda sana

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    2 ай бұрын

    Anaitwa nani

  • @frankfrancis5736
    @frankfrancis5736 Жыл бұрын

    Ana Hoja Kweli Aiseee ❤ Ajengewe Sanamu pale dodoma

  • @monicambuya-sq9ms

    @monicambuya-sq9ms

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @ibrahimuizack8244

    @ibrahimuizack8244

    8 ай бұрын

    Askari kumbukeni mlikotoka na maneno ya huyo mama niukweli mtupu

  • @LivinoMwacha
    @LivinoMwacha21 күн бұрын

    Upo vzr dada hatuoni umuhimu wa vitu vyetu big up sana

  • @daudmbwile352
    @daudmbwile352 Жыл бұрын

    Nakushukuru Sana mbunge kwa hoja nzuri, Cha msingi gongo ihararishwe na isiuzwe kwa kificho ili wananchi wajiajiri. Wasambaa wa lushoto wanatengeneza pombe ya miua ambayo haina utofauti na gongo.

  • @ManeMsenegal
    @ManeMsenegal2 ай бұрын

    Umeongea pointment madam salute

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Жыл бұрын

    Muheshmiwa hujui tu unatia watu kiu😂😂 Halafu cku nyingine uje na kopo la ulanzi kwa kutambua uwepo wa wahehe kwenye sekta ya viwnda

  • @MariamSimbe-fo1ce

    @MariamSimbe-fo1ce

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @gosbertrwezahura3645

    @gosbertrwezahura3645

    2 ай бұрын

    😅😅😅

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Жыл бұрын

    Hongera dada japo mimi natambua pombe ni dhambi

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi8 ай бұрын

    Asante sana mh mbunge samahani je umeolewa au ujaolewa nimekupendasana unahojamzuriww aisee

  • @KalomoBulugu
    @KalomoBulugu10 ай бұрын

    Wapo viongoz wanaopnda maendeleo nchini hongera sana muheshimiwa MUNGU akujaarie

  • @user-bd4uy4ck6y
    @user-bd4uy4ck6y8 ай бұрын

    Huyu mbunge jamani apewe maua yake anaujua ukweli , pia ni jasiri na hodari ,hongera sana

  • @ahmesaofficial9611
    @ahmesaofficial9611Ай бұрын

    🎉🎉🎉 upo vizur mama

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Жыл бұрын

    Tanzania nchi ya ajabu sana khaaa 😢😢😢😢😢vitu vya nje vina thamn kubwa kulko vya kwetu tunajidharau

  • @anthonysulula766
    @anthonysulula766 Жыл бұрын

    Waheshimiwa wabunge,,,hongera kwa kazi nzuri ya kutetea maslahi ya watanzania.tuko nyuma yenu,msichoke kusema juu ya utawala wa mazoea,,kwenye taaluma huku tumeingiliwa na ma bodi ya taaluma yanayojifanya kuwa yapo kwa maslahi ya mtaalam kama vile bodi ya pharmacy, maabara,engineering zote,n.k.badala yake zmeweka mashariti magumu kwa wataalam mwenyewe katika kujiajili na kunufaika na taaluma zako.anae pewa kipaumbele ni mtumishi wa serikali tu.sio mtaalam ktk sekta binafsi.

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Жыл бұрын

    Watu wako busy na ushoga, ila tz Kuna vijana wengi wanavipaji

  • @amanimakury-cv5lw
    @amanimakury-cv5lw Жыл бұрын

    Huyuu anaongea point kubwa

  • @Maichampiongirl
    @MaichampiongirlАй бұрын

    #mbunge❤❤❤❤ pokea maua yako mmy ❤❤❤❤❤❤ champion girl 💪 l love you so much we nibonge la kiongozi

  • @veronicamikoma9687
    @veronicamikoma9687 Жыл бұрын

    Halalishen gongo jaman hajui watu wanaendesha familia kupitia hiyo pombe na wengine imewasomesha. nyie hamjui tu yan

  • @BarakaMsigwa-sc5zn
    @BarakaMsigwa-sc5zn4 ай бұрын

    Point sana kiongoz

  • @AmoceMnyanyi
    @AmoceMnyanyi10 ай бұрын

    Mungu akupe maisha malefu kwa kujua ukweli

  • @user-fj3zp2qz3p
    @user-fj3zp2qz3p2 ай бұрын

    Mungu awabadilishe pombe ni dhambi achen kuwadanganya watu

  • @user-ho2vp7dq6u

    @user-ho2vp7dq6u

    Ай бұрын

    Wewe ujasikilizaaa vzl ludiaa kusikilizaa tenaa uwelewee

  • @eddyclassicfunture
    @eddyclassicfunture Жыл бұрын

    Kiumweli Tanzania tunafeli sana halalisheni gongo iuzwe madukani shida yetu nini badala muiboreshe mnaipiga vita mna kubali mpaka pombe zinazotoka mpaka Uganda hacheni izo bwana

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 Жыл бұрын

    Kweli mtupu. Maana hata wenzetu wanapotaka kulewa na wanakipato kidogo, wanakunywa gongo.

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Жыл бұрын

    Umelazimisha ni dhambi kwa mjibu wa dini lakini Mungu hana dini na serikali yetu haina dini

  • @peemsafi6068
    @peemsafi6068 Жыл бұрын

    huyu ndo kaupiga mwingi sio hao mnao wasujudu🙏

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe10362 ай бұрын

    Congratulations

  • @benjaminmwenda7976
    @benjaminmwenda7976 Жыл бұрын

    Hoja imejengwa vizuri..!!

  • @nasibukambona2586
    @nasibukambona25868 ай бұрын

    Big up kwa spika wetu kwelii yuko vizuri na msikivu saanaaa

  • @vailethkivuyo620
    @vailethkivuyo6208 ай бұрын

    Huyu mbunge anajielewa sana apewe maua yake♥️

  • @jayzeem14
    @jayzeem142 ай бұрын

    Dah!!

  • @loycenzuki7940
    @loycenzuki79402 ай бұрын

    Daaah uyi dada noma❤

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493Ай бұрын

    safi snaa sister

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Жыл бұрын

    Brand iyo unaitangaza bule🤗 tena NCHI NZIMA ipo apo bungeni

  • @meshackwilson325
    @meshackwilson325 Жыл бұрын

    Fact

  • @wilsondavid9741
    @wilsondavid9741 Жыл бұрын

    Tatzo Hii Nchi haitaki watu wenye akili inapenda watu wajanja janja Tu! Tuvipe thamani vyakwetu!

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE Жыл бұрын

    Fact..

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Жыл бұрын

    HUYU DADA MBUNGE ANASTAHILI KUWA WAZIRI WA VIWANDA!

  • @genarahaswile2990
    @genarahaswile2990 Жыл бұрын

    Munguuu akuzidishie maisha uzid kutetea

  • @eugenyraphael4334
    @eugenyraphael4334 Жыл бұрын

    Ukitoka hapo bungeni nitafute,"Mungu akifunua karatasi zao!!! Watakimbia wrote bungeni'

  • @danielnyantory5132

    @danielnyantory5132

    2 ай бұрын

    Dada Yuko vizuri sana

  • @gastonsonnymwaselela4580
    @gastonsonnymwaselela4580 Жыл бұрын

    Ajengewe Mnara pale Jamanitini 💪

  • @amaniHaji
    @amaniHaji10 ай бұрын

    Mungu akupe maisha marefu

  • @TheKaswahili
    @TheKaswahili8 ай бұрын

    Mbunge huyu amenikuna sana 👍👍👍👍👍👍

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 Жыл бұрын

    😄😄😄😄😄,,, mheshimiwa umenichekesha sana..lakin gongo inakatazwa kwasababu inamadhara makubwasana""" inachoma main"" lakin nyingine zote za kienyeji zinatumika kama kawa

  • @user-dd5vf3pl6k
    @user-dd5vf3pl6k5 ай бұрын

    Huyu mwanamke kweli anawakilisha wananchi

  • @stamalamkulungwa8708
    @stamalamkulungwa8708 Жыл бұрын

    Kiupande frani ameongea point sana

  • @EliminaSimoni
    @EliminaSimoni2 ай бұрын

    Kweli.tumeisha.mungu.tuokoe.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Жыл бұрын

    huyu mbunge atafika mbali anasemea creativity ya watanzania inadharauliwa, hii ni kweli kabisa.

  • @mertus.nestory.bishirangon4624
    @mertus.nestory.bishirangon4624 Жыл бұрын

    Hata.mimi.nimesomeswa.nagongo

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Жыл бұрын

    Sera ya viwanda ilikwenda na shujaa wa Africa JPM.

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    2 ай бұрын

    Hakika

  • @TedyChiguru-sm1nr
    @TedyChiguru-sm1nr4 ай бұрын

    Hongera muheshimiwa

  • @ThaisonMsuya
    @ThaisonMsuya10 ай бұрын

    Samaha ni no sana wahedhimiwa mnasema pom ebe pombe na wengine mnajisifia pombe dada Mimi nasema mungu aingilie kt wan

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm10 ай бұрын

    Msukuma ni mjinga kupindukia. Ni mjinga hastahili kuwa Bungeni na Atolewe. Hajaelewa nia ya huyu dada. Usomi wa Msukuma ni za kuungaunga.Anajionyesha kuwa Ana uwezo wa wa kununua. Huyu mwenye kukodisha ni mdini na kakuripuka sababu uarabu umetajwa naye ni mwislamu. Ndo udini huo tunaoukataa. Hongera dada. Elimu tunazozitafuta ndio hizi.

  • @WilsonJuma-nl7js
    @WilsonJuma-nl7js29 күн бұрын

    Iko sawa sana

  • @jamesfrances9342
    @jamesfrances9342 Жыл бұрын

    😂😂😂 umetisha sana Madam

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Жыл бұрын

    Hakika dada amenena kaanza vizuri na kamaliza vizuri.... Utekelezwaji ufanyike😅

  • @PaskaziaEmanuel-zt6ev
    @PaskaziaEmanuel-zt6ev8 ай бұрын

    Mungu akutunze Dada mzurii

  • @ritchiemuta1092
    @ritchiemuta1092 Жыл бұрын

    Agenda nzuri lakini msemaji Hana mtililiko wa mawazo haujapangwa

  • @joachimjoseph239

    @joachimjoseph239

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @neemachalamila590

    @neemachalamila590

    Жыл бұрын

    Kiukweli

  • @TheresiaJoseph-wl1dy
    @TheresiaJoseph-wl1dyАй бұрын

    👍👍😍

  • @josephinaChuma
    @josephinaChumaАй бұрын

    Dada umezungumza vizur sana maana weng wao hapo mlipo wamesomeshwa Kwa kipato cha gongo nampaka kufikia hapo mlipo sasa

  • @petermwaghania2882
    @petermwaghania28823 ай бұрын

    Good work mheshimiwa

  • @user-ho2vp7dq6u
    @user-ho2vp7dq6uАй бұрын

    Pongeziiii sanaaaaa dadaaguuu mauaaaa kwakoooo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @YusuphShabani-wk5bv
    @YusuphShabani-wk5bv2 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @edwardpasicko
    @edwardpasicko4 ай бұрын

    Kiukweli Tanzania tumeludi nyuma

  • @user-ss3fb6iv2s
    @user-ss3fb6iv2s Жыл бұрын

    Huyu mbunge wa momba kondester Ana mawazo ya kutetea wanachi, huyo mbunge anaemkashfu na kumthalalisha atumie huo muda wa kumkashifu binti wa watu, tena mtoto wake kabisa, kubtetea wapigakura wake

  • @NeemaJosephat-gv4ni
    @NeemaJosephat-gv4ni8 ай бұрын

    ❤❤❤❤ umeongea point

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Жыл бұрын

    Tatizo ni vipimo Pombe za kieyeji Sio mbaya ila zinauwa Zinafanya watu vipofu Kwa kuchanganya vitu na baadae kua sumu Kama wakaguzi wakivipitia sio vibaya

  • @richcompanyfilmtv823
    @richcompanyfilmtv823 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥 point

  • @maikojohny345
    @maikojohny345 Жыл бұрын

    Hajui kujieleza, anakula kodi za wananchi kizembe sana

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Жыл бұрын

    Kwakweli nami nimekuzwa na pombe kijijni kwetu ambayo Dada alikuwa anatengeneza na kutusomesha

  • @Emmanuelkeya-mv3mz
    @Emmanuelkeya-mv3mz4 ай бұрын

    Mhm!!!

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga9924 ай бұрын

    Huyo anayesema kanuni imevunjwa. Yeye na familia yake wanashiba KWa mshahara mkubwa. Hajui mama mhangaikaji anayeuza gongo anakula nini. Yaani bungeni kuna watu humo wanasinzia tu. Badala ya kusikiliza Hoja anapanga namba kupinga Hoja.😂😂😂😂

  • @MSHUTIMEDIA
    @MSHUTIMEDIA8 ай бұрын

    Fact kubwa ❤

  • @KuntukumuSadam
    @KuntukumuSadam Жыл бұрын

    Sioh gongo tu mamaaa kila kitu kikibuniwa na watamzania serikali inakuwa ya kwanza kupinga Hiii nchi ni ya ajabu sana

  • @Mkuya__23
    @Mkuya__232 ай бұрын

    Hakika kiongoz Leo ukipitisha Sheria yaubunifu Tanzania tutaboresha pia tutauza nje, pia ajira zitafunguka kwatu wenyeelim yachin paka juuuu

  • @officialsuccesschannel
    @officialsuccesschannel Жыл бұрын

    FACT SANA

  • @SadickSued
    @SadickSued4 ай бұрын

    Ongera sana dada

  • @babudingi-gd7pz
    @babudingi-gd7pz10 ай бұрын

    Dada uko powa njoo uku ✌️✌️

  • @naibei_Tv
    @naibei_Tv2 ай бұрын

    Kenya 🇰🇪 ukitumia tu neno "ingiza" wabunge wote wanablash 😅😅

  • @user-wl6zs4sf5p
    @user-wl6zs4sf5p3 ай бұрын

    Welaweraaa safi sana

  • @user-hm4hk5hi1c
    @user-hm4hk5hi1c8 ай бұрын

    Smart girl❤

  • @TaboraTabora-lr1dq
    @TaboraTabora-lr1dq4 ай бұрын

    Safi sana

  • @RwizaMex-fb6bq
    @RwizaMex-fb6bq8 ай бұрын

    Wengi uchukulia ukumbi huo kama Rest-house,

  • @Pizzomc-wo1qw
    @Pizzomc-wo1qwАй бұрын

    Ongere

  • @kamwagamwanjale1575
    @kamwagamwanjale1575 Жыл бұрын

    Waliopoza hapo ni watengeneza vifungashio , hebu changamkeni kutufungia HIYO YA TANZANIA drinks😂

  • @mejamiza-dx9jq
    @mejamiza-dx9jq8 ай бұрын

    kweli

  • @franciscarsongea7948
    @franciscarsongea794810 ай бұрын

    Nimefurahi sana kwa kututetea watu WA Hali ya chini

  • @user-mo7ri7gy1m
    @user-mo7ri7gy1m5 ай бұрын

    Wazo zurisaana dada angu big up

  • @suzankarambo3325
    @suzankarambo332510 ай бұрын

    Daaah. Mbunge. Wa .... Nakupenda. Kwa. Hoja. Yako. Upo. Sawa sawa. Tanzania. Tupo. Chini ya. Wakubwaa. Na wenye. Biashara. Kubwaaa Uyu. Mzee. Nae. Hajitambuwiiii Elendelea. Binti. Yetuuuu Tetea nchi. Yako

  • @user-tk6bl3xb4s
    @user-tk6bl3xb4s8 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @ismailabbas4197
    @ismailabbas41974 ай бұрын

    Kuna best angu hapa anaelekea nje ya ukumbi wa bunge kumpokea waziri hizo sample za vinywaji 😂

  • @sulemanmadahatv1691
    @sulemanmadahatv1691 Жыл бұрын

    Mwanasiasa usipomuombea ni hatari kuliko BOMU LA ATOMIC. Tuombee wanasiasa wetu.

  • @officialsuccesschannel
    @officialsuccesschannel Жыл бұрын

    fact

  • @annaemmanuel3362
    @annaemmanuel336210 ай бұрын

    😢

  • @bonifacesanagu9793
    @bonifacesanagu9793 Жыл бұрын

    Pombe ni dhambi. ila ushoga wafanyane wakubwa kwa wakubwa 😅

  • @shaniasadick3915
    @shaniasadick3915 Жыл бұрын

    Safi sañ

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Жыл бұрын

    Dada anakosea sana kutaja taja Morena...

  • @Dantaata

    @Dantaata

    Жыл бұрын

    una mawazo we jichunguze

  • @Fefetubes

    @Fefetubes

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @mwas-kg5on

    @mwas-kg5on

    Жыл бұрын

    Ukweli hafai kutaja jina ya mfanya biashara

  • @user-mk9mq7us5y
    @user-mk9mq7us5y7 ай бұрын

    Sababu za kupiga vita vutu mbalimbari nihujumma tu. lengo masikini wabaki kuwa masikini na matajili waendelee kuwa matajili.ni mfumo wa kuendelea kuwakanda miza watu wa kipato kidogo. Wanajuwa wakiwaachia wafanye bishala zao zitakosa soko. Ndo sababu.

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel33806 ай бұрын

    Umeongea vizuri sana

  • @rashidsuleiman9253
    @rashidsuleiman9253 Жыл бұрын

    Wamekosa mambo ya kuipeleka nchi mbele wanazungumza upuuzi. tusahau maendeleo

  • @ModestussMashallooh-vd7wx

    @ModestussMashallooh-vd7wx

    8 ай бұрын

    Upuuzii gani

Келесі