MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"
MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 353
Ili bunge la vp mbona wazungumzia kunywa tembo tu kwani sdhida nini ili sio la walevi tungumzuni mengine walev wacheni watajib kwa Mungu midhambi hiyo
Tanzania mko vizuri. 🇰🇪
Huyu MWANAMKE nimempenda sana
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Anaitwa nani
Ana Hoja Kweli Aiseee ❤ Ajengewe Sanamu pale dodoma
@monicambuya-sq9ms
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@ibrahimuizack8244
8 ай бұрын
Askari kumbukeni mlikotoka na maneno ya huyo mama niukweli mtupu
Upo vzr dada hatuoni umuhimu wa vitu vyetu big up sana
Nakushukuru Sana mbunge kwa hoja nzuri, Cha msingi gongo ihararishwe na isiuzwe kwa kificho ili wananchi wajiajiri. Wasambaa wa lushoto wanatengeneza pombe ya miua ambayo haina utofauti na gongo.
Umeongea pointment madam salute
Muheshmiwa hujui tu unatia watu kiu😂😂 Halafu cku nyingine uje na kopo la ulanzi kwa kutambua uwepo wa wahehe kwenye sekta ya viwnda
@MariamSimbe-fo1ce
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@gosbertrwezahura3645
2 ай бұрын
😅😅😅
Hongera dada japo mimi natambua pombe ni dhambi
Asante sana mh mbunge samahani je umeolewa au ujaolewa nimekupendasana unahojamzuriww aisee
Wapo viongoz wanaopnda maendeleo nchini hongera sana muheshimiwa MUNGU akujaarie
Huyu mbunge jamani apewe maua yake anaujua ukweli , pia ni jasiri na hodari ,hongera sana
🎉🎉🎉 upo vizur mama
Tanzania nchi ya ajabu sana khaaa 😢😢😢😢😢vitu vya nje vina thamn kubwa kulko vya kwetu tunajidharau
Waheshimiwa wabunge,,,hongera kwa kazi nzuri ya kutetea maslahi ya watanzania.tuko nyuma yenu,msichoke kusema juu ya utawala wa mazoea,,kwenye taaluma huku tumeingiliwa na ma bodi ya taaluma yanayojifanya kuwa yapo kwa maslahi ya mtaalam kama vile bodi ya pharmacy, maabara,engineering zote,n.k.badala yake zmeweka mashariti magumu kwa wataalam mwenyewe katika kujiajili na kunufaika na taaluma zako.anae pewa kipaumbele ni mtumishi wa serikali tu.sio mtaalam ktk sekta binafsi.
Watu wako busy na ushoga, ila tz Kuna vijana wengi wanavipaji
Huyuu anaongea point kubwa
#mbunge❤❤❤❤ pokea maua yako mmy ❤❤❤❤❤❤ champion girl 💪 l love you so much we nibonge la kiongozi
Halalishen gongo jaman hajui watu wanaendesha familia kupitia hiyo pombe na wengine imewasomesha. nyie hamjui tu yan
Point sana kiongoz
Mungu akupe maisha malefu kwa kujua ukweli
Mungu awabadilishe pombe ni dhambi achen kuwadanganya watu
@user-ho2vp7dq6u
Ай бұрын
Wewe ujasikilizaaa vzl ludiaa kusikilizaa tenaa uwelewee
Kiumweli Tanzania tunafeli sana halalisheni gongo iuzwe madukani shida yetu nini badala muiboreshe mnaipiga vita mna kubali mpaka pombe zinazotoka mpaka Uganda hacheni izo bwana
Kweli mtupu. Maana hata wenzetu wanapotaka kulewa na wanakipato kidogo, wanakunywa gongo.
Umelazimisha ni dhambi kwa mjibu wa dini lakini Mungu hana dini na serikali yetu haina dini
huyu ndo kaupiga mwingi sio hao mnao wasujudu🙏
Congratulations
Hoja imejengwa vizuri..!!
Big up kwa spika wetu kwelii yuko vizuri na msikivu saanaaa
Huyu mbunge anajielewa sana apewe maua yake♥️
Dah!!
Daaah uyi dada noma❤
safi snaa sister
Brand iyo unaitangaza bule🤗 tena NCHI NZIMA ipo apo bungeni
Fact
Tatzo Hii Nchi haitaki watu wenye akili inapenda watu wajanja janja Tu! Tuvipe thamani vyakwetu!
Fact..
HUYU DADA MBUNGE ANASTAHILI KUWA WAZIRI WA VIWANDA!
Munguuu akuzidishie maisha uzid kutetea
Ukitoka hapo bungeni nitafute,"Mungu akifunua karatasi zao!!! Watakimbia wrote bungeni'
@danielnyantory5132
2 ай бұрын
Dada Yuko vizuri sana
Ajengewe Mnara pale Jamanitini 💪
Mungu akupe maisha marefu
Mbunge huyu amenikuna sana 👍👍👍👍👍👍
😄😄😄😄😄,,, mheshimiwa umenichekesha sana..lakin gongo inakatazwa kwasababu inamadhara makubwasana""" inachoma main"" lakin nyingine zote za kienyeji zinatumika kama kawa
Huyu mwanamke kweli anawakilisha wananchi
Kiupande frani ameongea point sana
Kweli.tumeisha.mungu.tuokoe.
huyu mbunge atafika mbali anasemea creativity ya watanzania inadharauliwa, hii ni kweli kabisa.
Hata.mimi.nimesomeswa.nagongo
Sera ya viwanda ilikwenda na shujaa wa Africa JPM.
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Hakika
Hongera muheshimiwa
Samaha ni no sana wahedhimiwa mnasema pom ebe pombe na wengine mnajisifia pombe dada Mimi nasema mungu aingilie kt wan
Msukuma ni mjinga kupindukia. Ni mjinga hastahili kuwa Bungeni na Atolewe. Hajaelewa nia ya huyu dada. Usomi wa Msukuma ni za kuungaunga.Anajionyesha kuwa Ana uwezo wa wa kununua. Huyu mwenye kukodisha ni mdini na kakuripuka sababu uarabu umetajwa naye ni mwislamu. Ndo udini huo tunaoukataa. Hongera dada. Elimu tunazozitafuta ndio hizi.
Iko sawa sana
😂😂😂 umetisha sana Madam
Hakika dada amenena kaanza vizuri na kamaliza vizuri.... Utekelezwaji ufanyike😅
Mungu akutunze Dada mzurii
Agenda nzuri lakini msemaji Hana mtililiko wa mawazo haujapangwa
@joachimjoseph239
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@neemachalamila590
Жыл бұрын
Kiukweli
👍👍😍
Dada umezungumza vizur sana maana weng wao hapo mlipo wamesomeshwa Kwa kipato cha gongo nampaka kufikia hapo mlipo sasa
Good work mheshimiwa
Pongeziiii sanaaaaa dadaaguuu mauaaaa kwakoooo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Kiukweli Tanzania tumeludi nyuma
Huyu mbunge wa momba kondester Ana mawazo ya kutetea wanachi, huyo mbunge anaemkashfu na kumthalalisha atumie huo muda wa kumkashifu binti wa watu, tena mtoto wake kabisa, kubtetea wapigakura wake
❤❤❤❤ umeongea point
Tatizo ni vipimo Pombe za kieyeji Sio mbaya ila zinauwa Zinafanya watu vipofu Kwa kuchanganya vitu na baadae kua sumu Kama wakaguzi wakivipitia sio vibaya
🔥🔥🔥🔥🔥 point
Hajui kujieleza, anakula kodi za wananchi kizembe sana
Kwakweli nami nimekuzwa na pombe kijijni kwetu ambayo Dada alikuwa anatengeneza na kutusomesha
Mhm!!!
Huyo anayesema kanuni imevunjwa. Yeye na familia yake wanashiba KWa mshahara mkubwa. Hajui mama mhangaikaji anayeuza gongo anakula nini. Yaani bungeni kuna watu humo wanasinzia tu. Badala ya kusikiliza Hoja anapanga namba kupinga Hoja.😂😂😂😂
Fact kubwa ❤
Sioh gongo tu mamaaa kila kitu kikibuniwa na watamzania serikali inakuwa ya kwanza kupinga Hiii nchi ni ya ajabu sana
Hakika kiongoz Leo ukipitisha Sheria yaubunifu Tanzania tutaboresha pia tutauza nje, pia ajira zitafunguka kwatu wenyeelim yachin paka juuuu
FACT SANA
Ongera sana dada
Dada uko powa njoo uku ✌️✌️
Kenya 🇰🇪 ukitumia tu neno "ingiza" wabunge wote wanablash 😅😅
Welaweraaa safi sana
Smart girl❤
Safi sana
Wengi uchukulia ukumbi huo kama Rest-house,
Ongere
Waliopoza hapo ni watengeneza vifungashio , hebu changamkeni kutufungia HIYO YA TANZANIA drinks😂
kweli
Nimefurahi sana kwa kututetea watu WA Hali ya chini
Wazo zurisaana dada angu big up
Daaah. Mbunge. Wa .... Nakupenda. Kwa. Hoja. Yako. Upo. Sawa sawa. Tanzania. Tupo. Chini ya. Wakubwaa. Na wenye. Biashara. Kubwaaa Uyu. Mzee. Nae. Hajitambuwiiii Elendelea. Binti. Yetuuuu Tetea nchi. Yako
❤❤❤❤
Kuna best angu hapa anaelekea nje ya ukumbi wa bunge kumpokea waziri hizo sample za vinywaji 😂
Mwanasiasa usipomuombea ni hatari kuliko BOMU LA ATOMIC. Tuombee wanasiasa wetu.
fact
😢
Pombe ni dhambi. ila ushoga wafanyane wakubwa kwa wakubwa 😅
Safi sañ
Dada anakosea sana kutaja taja Morena...
@Dantaata
Жыл бұрын
una mawazo we jichunguze
@Fefetubes
Жыл бұрын
😂😂😂
@mwas-kg5on
Жыл бұрын
Ukweli hafai kutaja jina ya mfanya biashara
Sababu za kupiga vita vutu mbalimbari nihujumma tu. lengo masikini wabaki kuwa masikini na matajili waendelee kuwa matajili.ni mfumo wa kuendelea kuwakanda miza watu wa kipato kidogo. Wanajuwa wakiwaachia wafanye bishala zao zitakosa soko. Ndo sababu.
Umeongea vizuri sana
Wamekosa mambo ya kuipeleka nchi mbele wanazungumza upuuzi. tusahau maendeleo
@ModestussMashallooh-vd7wx
8 ай бұрын
Upuuzii gani