Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8
Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akieleza utajiri alionao wakati akiwajibu wanaosema kwamba amehongwa gari aina ya V8 ili atetee sakata uwekezaji kwenye Bandari.
Пікірлер: 419
msukuma ni mfanyabiashara mkongwe wa DHAHABU tangia miaka ya 80,,,,,ni mtu mwenye utajiri Long time na wala sio mtu wakujiskia saana ni mtu simpo saana pia ni mtu wa watu,,,,,ana real eastate kanda ya ziwa bab kubwa..pia ana kamuni za transport na etc
Asante sana msukuma you are a good man. May God bless you and provide for you long life. You speak the truth
Shukran msukuma swali umefanya wema mzuri sana na je wewe ni mwislam au mkristo maana naona unapendeza sana
Msukuma shikamoo!! nakupenda toka rohoni Mungu akulinde baba yetu
Hongeraa sanaaa MUNGU akufanikishe katika mambo yote
Dah.. doctor msukuma me nakuomba uje ugombee uraisi maana asaiv c.v unayo ya usomi so nakuona mbali sana ndg yangu ❤❤❤ tunataka uje kua raisi wetu bhn....
Nchi Hii Wasomi Ndio Kikwazo Hongera Sana Dr.Msukuma
Ninachukia sana kutoka moyoni Nchi yetu na Watanzania kuitwa masini,Namuombea Mungu ampe mama yetu Rais wetu Samia Suluhu Hassani ujasiri wa maamuzi mazito.
Mungu akubariki mbunge msukuma, nakupenda sana ❤
Sana Mzee Baba Kazi Iendelee Umetisha Sana Waache Majungu Watafute Pesa
Msukuma uko vizuri Sana kaka naomba nmawasiliano yako kaka
Naomba mawasiliani yako mheshimiwa uko vizuri Sana kimtazamo
Mashaallah watu heshimu msio wajua ache dharau
Hongera kaka uko vzr kiukweli huna shida
Hongera bro uraisi unakufaa chukua fomu ya mgombea
Msukuma uko vizuri umewapigilia msumari wa moto
King msukuma Ly umeuwa huo ndio ukweli Mungu akubarik %100
Safi sana msukuma.
Respect sana Mheshimiwa
Huyu mwamba namkubali sana, msukuma mungu akubariki sana wewe ni hazina muhimu sana hapa Tanzania
@ramadhanihamisi9393
11 ай бұрын
Wananchi was geita mnakila sababu ya kujivunia kwa mbunge mlie nae ni jembe msukuma namkubali Sana akisimama bungeni utafurahi mungu akulinde na Kila baya
@AndrewMasaga
10 ай бұрын
Hakuna lolote tunataka ndege yetu
Msukuma Big up🎉🎉🎉🎉
Hongera brother unamalengo mazuri sana umefika pazuri sana mbunge tajiri
Musukuma uko vizuri, huna baya mdogo wangu
Mheshimiwa Dr. Tafadhali njoo kwetu Umfundishe mbunge wa Bukoba vijijini asaidie wananchi wake hata maji hakuna watu wanakunywa maji yanayo nyweshea Ng'ombe na wakati wa kuomba........
Safi Mh Msukuma umesema ukwelii.
Hongera musukuma
Msukuma salute kula yangu kwako
MH Musukuma myooshe. From Mozambique
Hongera sana kwa majukumu ya kazi ya kuwatetea wanyonge Mheshimiwa Mbunge Msukuma
Mungu akulinde na maaadui uishi miaka ming
Hongera baba mungu akubariki sana umeaso sana
Kwa kweli Big up MP. Msukuma
Safi m'bunge ayo ndo mambo tunayo yataka bandari ya kisasa sio maneno ya kuku kashifu mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe
Hawakukujui hao kua wew ni king
Kazi kazi , Jembe kama Jembe
Kaka msukuma uko vizuri Mungu akubariki Sana tunakuombea Sana Mimi Niko Tabora mjini naomba namba zako mkuu naitwa Daniel kagoma
Msukuma hongera sana,naomba ninunulie japo IST niendee Kanisani, sio kwa utajiri huo.
@emmanuelmauki2938
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mariakibwana3700
Жыл бұрын
@@emmanuelmauki2938 Emmanuel nimechoka kutembea na boda wakati wengine wanautajiri wote huo.Msukuma anielewe tu.Yaaani IST tu na Mungu atazidi kumbariki.
Nilichokiona humu watu mna makasiriko sana tafteni hela acheni kelele mtabakia kutoa comments za kutukana bure tu hii nchi usijifanye unaijua sana we kua mzalendo tu pia fanya kazi kwa bidii 💴💸
@twiseghekisilu8845
Жыл бұрын
Kwa kweli watu wanamakasiriko na roho mbaya!
@Bikhafija
Жыл бұрын
Mungu akujaalie
Bandari sawa lakini sio kwa Mkataba huo Kaka. Povu jingi linatushangaza.
Kasheku msukuma we Ni noma PhD ilikuwa haki yako baba
Mungu akujalie Baba wa wetu achana na maneno ya wakosaji
Hongera msukuma wewe ni mbunge wa kwanza kuwajali watu wa jimbo lako na hakuna aliefanya kama wewe hata magufuli hakuwahi kufanya jimboni kwake wape ukweli hawo waliohongwa kupinga huo uwekezaji nadhani hao wanafaidika na ule wizi mkubwa unaofanya bandarini wacheni wapige kelele bandari itaingia ubia washenzi
😂aliye mchokoza msukuma kazi anayo,, Siyo Kwa michambo hiyo😂😂
@abdulsataribashiri8300
Жыл бұрын
😅😅
@PamelaJonas-dh6lg
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka nimecheka tena😂😂😂😂😂😂 yan msukuma namkubali sana
@abdulsataribashiri8300
Жыл бұрын
@@PamelaJonas-dh6lg 🤣🤣🤣🤣balaa
Ni kweli brow your a good leader
Sema umeongea sana facts your the best
@DevothaLighton-dl6zi
Жыл бұрын
Acha uninga kuna facts gani happ
Bradha msukuma mm binafusi nakukubali hoja na ushauri unao shauri serekali au mtu binafusi bigapu mungu akulinde na Kila baya zaidi akuongeze riziki zaidi
Kaka Nakuelewasana.barikiwasana
Ni kweli uliniuzia simu mbovu Ta nga ugomvi ulimalizwa na Mfanya biashara mmoja wa kiasia aliyerudisha pesa zangu na kunisihi nimwachie simu take ugomvi ukaishia hapo kumbe ni home boy wangu Swagger wazijua
Kaaah sawa baba !
Nakubali sana mbunge wangu vijijini geita
Hongera sana ndugu
Nampenda xana msukuma, Mungu ampe maisha marefu
Mskuma umetisha sana
Asanteni
Hongera sana msukuma
Acheni unafiki hivi viblog uchwara tangia lini anamiliki ndege msukuma?
Hongera sana Mh. msukuma
King msukuma
We mpigaji tu na ukianza Kwa msukuma mwenziee
Jamani aliemchokoza msukma akamuombe msamaaa
@PamelaJonas-dh6lg
Жыл бұрын
Nakweli aende tu maana kachooza moto
Men lie women lie, numbers don't lie. Kudos Msukuma, am inspired
@jdanny497
Жыл бұрын
Danganya Dar na Dodoma sio mwanza
@noramkendamunishi6902
Жыл бұрын
Si kweli. Kuwa na hela hakuzuii kupokea rushwa. Ila Kama hajapokea ni vizuri Sana. Ila swali langu kazi ya mbunge ni kutoa misaada kwa wananchi au kufikisha hoja za wananchi bungeni na kuziweka kwa ufasaha ziweze kufanyiwa kazi na serikali?
@GaudenceTesha
10 ай бұрын
Halo sawa mku
Uyu jamaa kiongoz mzur
Tajiri tu
Mwbamba upo vizuri
Kwani ukiwa tajiri unashindwa kuhongwa kubali kuwa umekula unga wa ndere kwa hilo
Mungu akubariki brother, mungu akulinde na maadui wako, mungu azibariki Mali zako, mungu akupe moyo wa huruma na upendo uwe na moyo wa kuwasaidia wasiojiweza pamoja na wananchi wako,
@kaburaprince3596
Жыл бұрын
Helo
Big up msukuma
Mzee upo asahihi kabisa unafudha watu jisi ya kuishi na watu, na kukubali mzee wangu.
Mh Msukuma .Mimi naomba Unisaidie hata mtaji wa ml 2,000,000/= Ninashida sana ..
@MaatumKadhi-dl8xg
Жыл бұрын
Mm naomba unikopeshe laki 4 tuu musukuma
@MshamAbdul-jn6rj
Жыл бұрын
Namba yako
@MaatumKadhi-dl8xg
Жыл бұрын
@@MshamAbdul-jn6rj ww ndye musukuma
Yes my boss
Nakubali kaka
Hongera
Nimekuelewa sana mbunge
Tanzania mabilionea wako wengi Sana sema wamejificha tu na awataki kujionyesha
@irhamseif
Жыл бұрын
Kama uyu nikitambo ela anayo sana madin mabasi na mfugaji mzuli sana ng'ombe kibao
@Bikhafija
Жыл бұрын
Mashaalh
King Msukuma👍
Wabunge wote wangeliikuwa kama msukuma nchi ingepiga hatua kwa mda mfupi sana hongera sana msukuma
Msukuma hongera baba chukua maua yak❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Mheshimiwa athanasius na vyako mbona kimya kuhusu bandari.
Mungu akupe umri mrefu wewe ni mtu Wa maana sana
Mmmmnh Mungu anakuona
Msukuma shikamooo, mwenye namna ya kupata namba ya msukuma ninaomba aisogeze hapa
Daaaah umetisha mzeebaba uko vizuri sana
Aisee! Acha tu. Wamekuchokoza wenyewe wape maneno
Naombeni namba ya MUSUKUMA...
Msukuma unaweza kumuelewa kama elimu yako inalingana na yake.Ukimaliza kukomenti tuandikie na level ya elimu yako pia
Nice❤
Suala la kuwa na pesa nyingi haliwezi kukuzuia wewe kuhongwa na ninafikiri kuhongwa unaweza hongwa tu hata Kama una ndege
@user-wp8yk6ow8h
3 ай бұрын
Hizo ni fitna zako na roho mbaya yako msukuma si jamaa yangu lkn ni mtu mkweli na amekinai na asili ya utajiri wake ni juhudi zake kabla ya ubunge na mwenyezi mungu akaweka baraka zake nyie ndio watu wenye siasa za kifitna fitna mtakufa vinywa wazi na laana yenu hiyo
Watu wachache bandrini unasema wewe, ajira zitaongezeka dar unasema wewe...wacha tuuzwe tu
Ukweli ni ukweli sawa baba you big up
Hawa ndo watetezi wa uma
Msukuma kwamba Mbowe anakosa nauli kwenda nje? hahahahahah msukuma kua serious kaka.
👏👏👏👏👏👏👏
Nilikuamia Sana kwenye bunge lakini kwa Sasa Niko na mashaka Sana na wewe kumbe wafanya biashara mko hivyo du
Pamoja sana ndugu yangu
Msukuma sisi tuliotokea geita tuna kujua unautitiri wa mabasi pia ww ni mfanyabiashara mkubwa. Ulikuwa ukisafirisha watu siku za weekend kwa sh 1000 kutoka geita Hadi mwanza
HONGERA SANAA NDUGU MSUKUMAA. KUSOMA SANAA , HAIMAANA NDO UNAAKILI SANAA. AKILI MTU ANAZALIWA NAYO. WAPE SIRI YA MAFANIKIO YAKOO.
Tatizo la Tanzania wengi wao awajishuhulishi 1)wanaume wazoea kuongwa 2) wanawake wamezoea kujiuza Japo c wote awapendi kazi wanaume wamezoea kumshusha suruali matakoni nywele kueka dawa starehe nyingi, nguo, Sasa Mtu anaenda kununua kiatu 70000 wakati anaweza nunua mbuzi 3 wakufuga Kwa mwaka ana mbuzi Wangapi !!!? Mtu anaenda nunua jinsi 30000 niela ya kuku wakufuga unapata kuku 6 Kwa mwaka ana kuku Wangapi na Ndo mana akiona Mtu ana maendeleo km msukuma wawatu utasikia mwinzi mara frimanson sio kununua bandar tu nunua na Zanzibar kabisa baba
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
Mimi nanunua kiatu 90,000 na suruali hata ya 45,000 au ziadi. Kununua suruali au kiatu cha gharama haikufanyi uwe masikini,ila jambo la kuzingatia ni kwamba mahitaji yaendane na kipato chako. By the way,hela ninayo ya kutosha.
@joyceassey2347
Жыл бұрын
@@detlantamarooned1809 eeeee kaka mwenye mihela tugawane basi😅
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
@@joyceassey2347 Usijali,tutagawana tu bila tatizo nikikuoa😂😂😂
@joyceassey2347
Жыл бұрын
@@detlantamarooned1809 daaah mpaka unione jmn
@joyceassey2347
Жыл бұрын
@@detlantamarooned1809 🤣🤣🤣
Tatizo la Watanzania hawapendi kusoma. Wengi wanaolalamika ukiwauliza hawana facts. Watanzania tunapenda umbea.
@josephmutalemwa1461
Жыл бұрын
Upewe maua yako mzee safi sana
Kwa hiyo kule Zanzibar wao hawataki maendeleo. Ama kwa kweli akili zenu wabunge mnazijua wenyewe. Wewe ulichokiona cha maana ni yale makontena kushushwa kisasa tu, mbona hauzubgumzii uhalali wa mkataba.
@saturinimushi4746
Жыл бұрын
Robort zitaondoa Ajira Kwa Vijana Wa Tanzania. Siyo Kila Tecnologia Inafaa Kwa Manufaa ya Wengi.
@NoelChikawe
9 ай бұрын
Kavae kwanza ndio useme sawa toto
Nimekukubali msukuma ukweli unao hili