Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akieleza utajiri alionao wakati akiwajibu wanaosema kwamba amehongwa gari aina ya V8 ili atetee sakata uwekezaji kwenye Bandari.

Пікірлер: 419

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Жыл бұрын

    msukuma ni mfanyabiashara mkongwe wa DHAHABU tangia miaka ya 80,,,,,ni mtu mwenye utajiri Long time na wala sio mtu wakujiskia saana ni mtu simpo saana pia ni mtu wa watu,,,,,ana real eastate kanda ya ziwa bab kubwa..pia ana kamuni za transport na etc

  • @patriceomolo232
    @patriceomolo232Ай бұрын

    Asante sana msukuma you are a good man. May God bless you and provide for you long life. You speak the truth

  • @user-mj1hq3fn1m
    @user-mj1hq3fn1m9 ай бұрын

    Shukran msukuma swali umefanya wema mzuri sana na je wewe ni mwislam au mkristo maana naona unapendeza sana

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Жыл бұрын

    Msukuma shikamoo!! nakupenda toka rohoni Mungu akulinde baba yetu

  • @PauloPetro-nv6pi
    @PauloPetro-nv6pi7 ай бұрын

    Hongeraa sanaaa MUNGU akufanikishe katika mambo yote

  • @JohnSteven-ox3pv
    @JohnSteven-ox3pv2 ай бұрын

    Dah.. doctor msukuma me nakuomba uje ugombee uraisi maana asaiv c.v unayo ya usomi so nakuona mbali sana ndg yangu ❤❤❤ tunataka uje kua raisi wetu bhn....

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis98253 ай бұрын

    Nchi Hii Wasomi Ndio Kikwazo Hongera Sana Dr.Msukuma

  • @mosesbaruti306
    @mosesbaruti3062 ай бұрын

    Ninachukia sana kutoka moyoni Nchi yetu na Watanzania kuitwa masini,Namuombea Mungu ampe mama yetu Rais wetu Samia Suluhu Hassani ujasiri wa maamuzi mazito.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba2 ай бұрын

    Mungu akubariki mbunge msukuma, nakupenda sana ❤

  • @daudifungo5521
    @daudifungo5521Ай бұрын

    Sana Mzee Baba Kazi Iendelee Umetisha Sana Waache Majungu Watafute Pesa

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve65347 ай бұрын

    Msukuma uko vizuri Sana kaka naomba nmawasiliano yako kaka

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve65347 ай бұрын

    Naomba mawasiliani yako mheshimiwa uko vizuri Sana kimtazamo

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe Жыл бұрын

    Mashaallah watu heshimu msio wajua ache dharau

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u3 ай бұрын

    Hongera kaka uko vzr kiukweli huna shida

  • @LukasiJeremiah
    @LukasiJeremiah3 ай бұрын

    Hongera bro uraisi unakufaa chukua fomu ya mgombea

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty11 ай бұрын

    Msukuma uko vizuri umewapigilia msumari wa moto

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 Жыл бұрын

    King msukuma Ly umeuwa huo ndio ukweli Mungu akubarik %100

  • @NurudiniNdoka
    @NurudiniNdokaАй бұрын

    Safi sana msukuma.

  • @farajamwakifuna303
    @farajamwakifuna3033 ай бұрын

    Respect sana Mheshimiwa

  • @rosechuwa9493
    @rosechuwa9493 Жыл бұрын

    Huyu mwamba namkubali sana, msukuma mungu akubariki sana wewe ni hazina muhimu sana hapa Tanzania

  • @ramadhanihamisi9393

    @ramadhanihamisi9393

    11 ай бұрын

    Wananchi was geita mnakila sababu ya kujivunia kwa mbunge mlie nae ni jembe msukuma namkubali Sana akisimama bungeni utafurahi mungu akulinde na Kila baya

  • @AndrewMasaga

    @AndrewMasaga

    10 ай бұрын

    Hakuna lolote tunataka ndege yetu

  • @metusalnganga1002
    @metusalnganga1002 Жыл бұрын

    Msukuma Big up🎉🎉🎉🎉

  • @gloryjacson
    @gloryjacson7 ай бұрын

    Hongera brother unamalengo mazuri sana umefika pazuri sana mbunge tajiri

  • @musasaguti4760
    @musasaguti47604 ай бұрын

    Musukuma uko vizuri, huna baya mdogo wangu

  • @salminasalim5630
    @salminasalim563010 ай бұрын

    Mheshimiwa Dr. Tafadhali njoo kwetu Umfundishe mbunge wa Bukoba vijijini asaidie wananchi wake hata maji hakuna watu wanakunywa maji yanayo nyweshea Ng'ombe na wakati wa kuomba........

  • @mussamkumbukwa5053
    @mussamkumbukwa50532 ай бұрын

    Safi Mh Msukuma umesema ukwelii.

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u3 ай бұрын

    Hongera musukuma

  • @user-pc1cs6nd4y
    @user-pc1cs6nd4y2 ай бұрын

    Msukuma salute kula yangu kwako

  • @winnerkondejunior1890
    @winnerkondejunior18906 ай бұрын

    MH Musukuma myooshe. From Mozambique

  • @withomsigala4389
    @withomsigala438911 ай бұрын

    Hongera sana kwa majukumu ya kazi ya kuwatetea wanyonge Mheshimiwa Mbunge Msukuma

  • @user-px6px4tf2g
    @user-px6px4tf2g9 ай бұрын

    Mungu akulinde na maaadui uishi miaka ming

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi75909 ай бұрын

    Hongera baba mungu akubariki sana umeaso sana

  • @aidatimakunda387
    @aidatimakunda387 Жыл бұрын

    Kwa kweli Big up MP. Msukuma

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo Жыл бұрын

    Safi m'bunge ayo ndo mambo tunayo yataka bandari ya kisasa sio maneno ya kuku kashifu mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84552 ай бұрын

    Hawakukujui hao kua wew ni king

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Жыл бұрын

    Kazi kazi , Jembe kama Jembe

  • @DanielKagoma-nx8ff
    @DanielKagoma-nx8ff3 ай бұрын

    Kaka msukuma uko vizuri Mungu akubariki Sana tunakuombea Sana Mimi Niko Tabora mjini naomba namba zako mkuu naitwa Daniel kagoma

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Жыл бұрын

    Msukuma hongera sana,naomba ninunulie japo IST niendee Kanisani, sio kwa utajiri huo.

  • @emmanuelmauki2938

    @emmanuelmauki2938

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @mariakibwana3700

    @mariakibwana3700

    Жыл бұрын

    @@emmanuelmauki2938 Emmanuel nimechoka kutembea na boda wakati wengine wanautajiri wote huo.Msukuma anielewe tu.Yaaani IST tu na Mungu atazidi kumbariki.

  • @robertpaul7714
    @robertpaul7714 Жыл бұрын

    Nilichokiona humu watu mna makasiriko sana tafteni hela acheni kelele mtabakia kutoa comments za kutukana bure tu hii nchi usijifanye unaijua sana we kua mzalendo tu pia fanya kazi kwa bidii 💴💸

  • @twiseghekisilu8845

    @twiseghekisilu8845

    Жыл бұрын

    Kwa kweli watu wanamakasiriko na roho mbaya!

  • @Bikhafija

    @Bikhafija

    Жыл бұрын

    Mungu akujaalie

  • @deusvincent1489
    @deusvincent1489 Жыл бұрын

    Bandari sawa lakini sio kwa Mkataba huo Kaka. Povu jingi linatushangaza.

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 Жыл бұрын

    Kasheku msukuma we Ni noma PhD ilikuwa haki yako baba

  • @EdithaMgoha-jy7ev
    @EdithaMgoha-jy7ev7 ай бұрын

    Mungu akujalie Baba wa wetu achana na maneno ya wakosaji

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 Жыл бұрын

    Hongera msukuma wewe ni mbunge wa kwanza kuwajali watu wa jimbo lako na hakuna aliefanya kama wewe hata magufuli hakuwahi kufanya jimboni kwake wape ukweli hawo waliohongwa kupinga huo uwekezaji nadhani hao wanafaidika na ule wizi mkubwa unaofanya bandarini wacheni wapige kelele bandari itaingia ubia washenzi

  • @praygodmunisi8999
    @praygodmunisi8999 Жыл бұрын

    😂aliye mchokoza msukuma kazi anayo,, Siyo Kwa michambo hiyo😂😂

  • @abdulsataribashiri8300

    @abdulsataribashiri8300

    Жыл бұрын

    😅😅

  • @PamelaJonas-dh6lg

    @PamelaJonas-dh6lg

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 nimecheka nimecheka tena😂😂😂😂😂😂 yan msukuma namkubali sana

  • @abdulsataribashiri8300

    @abdulsataribashiri8300

    Жыл бұрын

    @@PamelaJonas-dh6lg 🤣🤣🤣🤣balaa

  • @BinifaceDominick
    @BinifaceDominick6 күн бұрын

    Ni kweli brow your a good leader

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын

    Sema umeongea sana facts your the best

  • @DevothaLighton-dl6zi

    @DevothaLighton-dl6zi

    Жыл бұрын

    Acha uninga kuna facts gani happ

  • @ramadhanihamisi9393
    @ramadhanihamisi939311 ай бұрын

    Bradha msukuma mm binafusi nakukubali hoja na ushauri unao shauri serekali au mtu binafusi bigapu mungu akulinde na Kila baya zaidi akuongeze riziki zaidi

  • @user-zn7vw3pj6p
    @user-zn7vw3pj6p7 ай бұрын

    Kaka Nakuelewasana.barikiwasana

  • @user-wb5pk9km5o
    @user-wb5pk9km5o7 ай бұрын

    Ni kweli uliniuzia simu mbovu Ta nga ugomvi ulimalizwa na Mfanya biashara mmoja wa kiasia aliyerudisha pesa zangu na kunisihi nimwachie simu take ugomvi ukaishia hapo kumbe ni home boy wangu Swagger wazijua

  • @sofiamfaramago3820
    @sofiamfaramago382011 ай бұрын

    Kaaah sawa baba !

  • @wachachesana
    @wachachesana Жыл бұрын

    Nakubali sana mbunge wangu vijijini geita

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32319 ай бұрын

    Hongera sana ndugu

  • @SashaOscar
    @SashaOscar3 ай бұрын

    Nampenda xana msukuma, Mungu ampe maisha marefu

  • @abadharkhamis5909
    @abadharkhamis5909 Жыл бұрын

    Mskuma umetisha sana

  • @kaburaprince3596
    @kaburaprince3596 Жыл бұрын

    Asanteni

  • @mambotv1233
    @mambotv1233 Жыл бұрын

    Hongera sana msukuma

  • @hamadmhchande5633
    @hamadmhchande56332 ай бұрын

    Acheni unafiki hivi viblog uchwara tangia lini anamiliki ndege msukuma?

  • @meroymollel9156
    @meroymollel9156 Жыл бұрын

    Hongera sana Mh. msukuma

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Жыл бұрын

    King msukuma

  • @johnginni9926
    @johnginni9926 Жыл бұрын

    We mpigaji tu na ukianza Kwa msukuma mwenziee

  • @khaalidcheo5383
    @khaalidcheo5383 Жыл бұрын

    Jamani aliemchokoza msukma akamuombe msamaaa

  • @PamelaJonas-dh6lg

    @PamelaJonas-dh6lg

    Жыл бұрын

    Nakweli aende tu maana kachooza moto

  • @gindamaster1784
    @gindamaster1784 Жыл бұрын

    Men lie women lie, numbers don't lie. Kudos Msukuma, am inspired

  • @jdanny497

    @jdanny497

    Жыл бұрын

    Danganya Dar na Dodoma sio mwanza

  • @noramkendamunishi6902

    @noramkendamunishi6902

    Жыл бұрын

    Si kweli. Kuwa na hela hakuzuii kupokea rushwa. Ila Kama hajapokea ni vizuri Sana. Ila swali langu kazi ya mbunge ni kutoa misaada kwa wananchi au kufikisha hoja za wananchi bungeni na kuziweka kwa ufasaha ziweze kufanyiwa kazi na serikali?

  • @GaudenceTesha

    @GaudenceTesha

    10 ай бұрын

    Halo sawa mku

  • @user-vy9pz7sk4z
    @user-vy9pz7sk4z6 ай бұрын

    Uyu jamaa kiongoz mzur

  • @user-hv6pc8kq5c
    @user-hv6pc8kq5c10 ай бұрын

    Tajiri tu

  • @prosperkimaro4660
    @prosperkimaro466010 ай бұрын

    Mwbamba upo vizuri

  • @FulbertFisoo
    @FulbertFisoo Жыл бұрын

    Kwani ukiwa tajiri unashindwa kuhongwa kubali kuwa umekula unga wa ndere kwa hilo

  • @hafidhbarau9981
    @hafidhbarau9981 Жыл бұрын

    Mungu akubariki brother, mungu akulinde na maadui wako, mungu azibariki Mali zako, mungu akupe moyo wa huruma na upendo uwe na moyo wa kuwasaidia wasiojiweza pamoja na wananchi wako,

  • @kaburaprince3596

    @kaburaprince3596

    Жыл бұрын

    Helo

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Жыл бұрын

    Big up msukuma

  • @amimumufaumekikwasa5921
    @amimumufaumekikwasa59219 ай бұрын

    Mzee upo asahihi kabisa unafudha watu jisi ya kuishi na watu, na kukubali mzee wangu.

  • @josephdaniel7341
    @josephdaniel7341 Жыл бұрын

    Mh Msukuma .Mimi naomba Unisaidie hata mtaji wa ml 2,000,000/= Ninashida sana ..

  • @MaatumKadhi-dl8xg

    @MaatumKadhi-dl8xg

    Жыл бұрын

    Mm naomba unikopeshe laki 4 tuu musukuma

  • @MshamAbdul-jn6rj

    @MshamAbdul-jn6rj

    Жыл бұрын

    Namba yako

  • @MaatumKadhi-dl8xg

    @MaatumKadhi-dl8xg

    Жыл бұрын

    @@MshamAbdul-jn6rj ww ndye musukuma

  • @shurungubunzari9474
    @shurungubunzari94749 ай бұрын

    Yes my boss

  • @khatimushabani3941
    @khatimushabani3941 Жыл бұрын

    Nakubali kaka

  • @user-el2qg1zj4l
    @user-el2qg1zj4l Жыл бұрын

    Hongera

  • @user-cg5ly5rg8z
    @user-cg5ly5rg8z11 ай бұрын

    Nimekuelewa sana mbunge

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Жыл бұрын

    Tanzania mabilionea wako wengi Sana sema wamejificha tu na awataki kujionyesha

  • @irhamseif

    @irhamseif

    Жыл бұрын

    Kama uyu nikitambo ela anayo sana madin mabasi na mfugaji mzuli sana ng'ombe kibao

  • @Bikhafija

    @Bikhafija

    Жыл бұрын

    Mashaalh

  • @adinanimussa5484
    @adinanimussa5484 Жыл бұрын

    King Msukuma👍

  • @user-wp8yk6ow8h
    @user-wp8yk6ow8h3 ай бұрын

    Wabunge wote wangeliikuwa kama msukuma nchi ingepiga hatua kwa mda mfupi sana hongera sana msukuma

  • @FidelisiKavishe
    @FidelisiKavishe2 ай бұрын

    Msukuma hongera baba chukua maua yak❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋

  • @user-jo3ip7zq9j
    @user-jo3ip7zq9j11 ай бұрын

    Mheshimiwa athanasius na vyako mbona kimya kuhusu bandari.

  • @HappyKiteboarder-du9th
    @HappyKiteboarder-du9thАй бұрын

    Mungu akupe umri mrefu wewe ni mtu Wa maana sana

  • @augustinomtongi711
    @augustinomtongi711 Жыл бұрын

    Mmmmnh Mungu anakuona

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 Жыл бұрын

    Msukuma shikamooo, mwenye namna ya kupata namba ya msukuma ninaomba aisogeze hapa

  • @SammitindoJeremia-jv4qb
    @SammitindoJeremia-jv4qb11 ай бұрын

    Daaaah umetisha mzeebaba uko vizuri sana

  • @SelemaniMajengo-fg7nv
    @SelemaniMajengo-fg7nv7 күн бұрын

    Aisee! Acha tu. Wamekuchokoza wenyewe wape maneno

  • @jacksonjosephmollel3833
    @jacksonjosephmollel38332 ай бұрын

    Naombeni namba ya MUSUKUMA...

  • @MrNibiru2112
    @MrNibiru2112 Жыл бұрын

    Msukuma unaweza kumuelewa kama elimu yako inalingana na yake.Ukimaliza kukomenti tuandikie na level ya elimu yako pia

  • @KisuraJohn
    @KisuraJohn3 ай бұрын

    Nice❤

  • @davidpaulbernard
    @davidpaulbernard9 ай бұрын

    Suala la kuwa na pesa nyingi haliwezi kukuzuia wewe kuhongwa na ninafikiri kuhongwa unaweza hongwa tu hata Kama una ndege

  • @user-wp8yk6ow8h

    @user-wp8yk6ow8h

    3 ай бұрын

    Hizo ni fitna zako na roho mbaya yako msukuma si jamaa yangu lkn ni mtu mkweli na amekinai na asili ya utajiri wake ni juhudi zake kabla ya ubunge na mwenyezi mungu akaweka baraka zake nyie ndio watu wenye siasa za kifitna fitna mtakufa vinywa wazi na laana yenu hiyo

  • @MrNibiru2112
    @MrNibiru2112 Жыл бұрын

    Watu wachache bandrini unasema wewe, ajira zitaongezeka dar unasema wewe...wacha tuuzwe tu

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor35693 ай бұрын

    Ukweli ni ukweli sawa baba you big up

  • @suleimanrodriguez9484
    @suleimanrodriguez948410 ай бұрын

    Hawa ndo watetezi wa uma

  • @ZionTZ09
    @ZionTZ09 Жыл бұрын

    Msukuma kwamba Mbowe anakosa nauli kwenda nje? hahahahahah msukuma kua serious kaka.

  • @MfaumeabduMfaume-bo1co
    @MfaumeabduMfaume-bo1co Жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @castorymhoja6050
    @castorymhoja6050 Жыл бұрын

    Nilikuamia Sana kwenye bunge lakini kwa Sasa Niko na mashaka Sana na wewe kumbe wafanya biashara mko hivyo du

  • @abdulkarimmgunya513
    @abdulkarimmgunya5137 ай бұрын

    Pamoja sana ndugu yangu

  • @benmpe2227
    @benmpe2227 Жыл бұрын

    Msukuma sisi tuliotokea geita tuna kujua unautitiri wa mabasi pia ww ni mfanyabiashara mkubwa. Ulikuwa ukisafirisha watu siku za weekend kwa sh 1000 kutoka geita Hadi mwanza

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76867 ай бұрын

    HONGERA SANAA NDUGU MSUKUMAA. KUSOMA SANAA , HAIMAANA NDO UNAAKILI SANAA. AKILI MTU ANAZALIWA NAYO. WAPE SIRI YA MAFANIKIO YAKOO.

  • @janethedward4631
    @janethedward4631 Жыл бұрын

    Tatizo la Tanzania wengi wao awajishuhulishi 1)wanaume wazoea kuongwa 2) wanawake wamezoea kujiuza Japo c wote awapendi kazi wanaume wamezoea kumshusha suruali matakoni nywele kueka dawa starehe nyingi, nguo, Sasa Mtu anaenda kununua kiatu 70000 wakati anaweza nunua mbuzi 3 wakufuga Kwa mwaka ana mbuzi Wangapi !!!? Mtu anaenda nunua jinsi 30000 niela ya kuku wakufuga unapata kuku 6 Kwa mwaka ana kuku Wangapi na Ndo mana akiona Mtu ana maendeleo km msukuma wawatu utasikia mwinzi mara frimanson sio kununua bandar tu nunua na Zanzibar kabisa baba

  • @detlantamarooned1809

    @detlantamarooned1809

    Жыл бұрын

    Mimi nanunua kiatu 90,000 na suruali hata ya 45,000 au ziadi. Kununua suruali au kiatu cha gharama haikufanyi uwe masikini,ila jambo la kuzingatia ni kwamba mahitaji yaendane na kipato chako. By the way,hela ninayo ya kutosha.

  • @joyceassey2347

    @joyceassey2347

    Жыл бұрын

    @@detlantamarooned1809 eeeee kaka mwenye mihela tugawane basi😅

  • @detlantamarooned1809

    @detlantamarooned1809

    Жыл бұрын

    @@joyceassey2347 Usijali,tutagawana tu bila tatizo nikikuoa😂😂😂

  • @joyceassey2347

    @joyceassey2347

    Жыл бұрын

    @@detlantamarooned1809 daaah mpaka unione jmn

  • @joyceassey2347

    @joyceassey2347

    Жыл бұрын

    @@detlantamarooned1809 🤣🤣🤣

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 Жыл бұрын

    Tatizo la Watanzania hawapendi kusoma. Wengi wanaolalamika ukiwauliza hawana facts. Watanzania tunapenda umbea.

  • @josephmutalemwa1461

    @josephmutalemwa1461

    Жыл бұрын

    Upewe maua yako mzee safi sana

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Жыл бұрын

    Kwa hiyo kule Zanzibar wao hawataki maendeleo. Ama kwa kweli akili zenu wabunge mnazijua wenyewe. Wewe ulichokiona cha maana ni yale makontena kushushwa kisasa tu, mbona hauzubgumzii uhalali wa mkataba.

  • @saturinimushi4746

    @saturinimushi4746

    Жыл бұрын

    Robort zitaondoa Ajira Kwa Vijana Wa Tanzania. Siyo Kila Tecnologia Inafaa Kwa Manufaa ya Wengi.

  • @NoelChikawe

    @NoelChikawe

    9 ай бұрын

    Kavae kwanza ndio useme sawa toto

  • @user-jy2qz8hh7w
    @user-jy2qz8hh7w9 ай бұрын

    Nimekukubali msukuma ukweli unao hili

Келесі