HII SASA NDIO HISTORIA YA BILIONEA LAIZER, MSOTO MIAKA 10, WAKE WANNE, WATOTO 30, NYUMBA 4

#millardayoUPDATES#BilioneaLaizer

Пікірлер: 366

  • @eliasmakala9181
    @eliasmakala91814 жыл бұрын

    Money makes money..ni hivo tuu masai hakuwa na njaa hela since way back..kama unakubali gonga like twende sawaa

  • @itsvipi

    @itsvipi

    4 жыл бұрын

    In English we say, Money begets Money. Meaning, the more money you make, the easier it becomes to make still more. You're right though, it means the same thing. Congratulations to the old man.

  • @newmuscat1698

    @newmuscat1698

    4 жыл бұрын

    Pont bro

  • @kidotanne429
    @kidotanne4294 жыл бұрын

    Namkubali Millard Ayo jamani😍twende pamoja taarifa zake ziko straight from bottom of my heart I like this guy please like for Millard Ayo 👍🤝🙏

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    4 жыл бұрын

    Kweli

  • @lilianestephanie7881

    @lilianestephanie7881

    4 жыл бұрын

    Me hunizidi

  • @hopesheby7344

    @hopesheby7344

    3 жыл бұрын

    Yaani me nikiona habari yoyote iliniwe na hakika Kama ni kweli naithibitisha kwa millad ikiwepo najua ni kweli kabisa Sina mashaka na Millad kajipanga kweli na atafika mbali sana inshallah

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara54804 жыл бұрын

    Mara nyingi wanaofanikiwa sana ktk maisha wana elimu kidogo tu.Ila wanaongozwa na nidhamu, kumcha Mungu na busara kubwa.Vijana wengi hasa wasomi mkipata tu elimu kidogo,mnadharau hadi ndugu na wazazi wenu, yes na no kibao mnakua mnaona dunia yote hakuna aliesoma.Muoneni milionea, very humble.Hana mambo mengi.Kavaa shuka lake ni simple tu.

  • @amanimanase5794

    @amanimanase5794

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaa wakati wao wanajidai na vijisuti vyao

  • @kissarungereuwalemuuya1715

    @kissarungereuwalemuuya1715

    4 жыл бұрын

    Nikweli kabisa nimeamini Maneno yako ndugu yangu mchangiaji asante sana kwa mchango wako mzuri sana na Maneno uyasemayo ni sahihi kabisa

  • @naimanurdin8984

    @naimanurdin8984

    4 жыл бұрын

    Nimekuelewa Sana Tedy Ila Kwa Sasa laizar Sio Milionea Ni bilionea Ujuee hakika Waja tuzid kuwa Ni Wenye khofu Ya Mungu Yote Inawezekana

  • @saumuhassan6365

    @saumuhassan6365

    4 жыл бұрын

    True

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    4 жыл бұрын

    Upo sahihii kabisa ndugu yanguuu

  • @nafisaabdalla2599
    @nafisaabdalla25994 жыл бұрын

    wangapi wanawakubali hawa watu wawili ayo+lizer ayolizer gonga like zako apa.

  • @tonkud2111

    @tonkud2111

    4 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @mistere6601

    @mistere6601

    4 жыл бұрын

    Ayolizer😁😁

  • @lazaromaria5334

    @lazaromaria5334

    4 жыл бұрын

    we jamaa umetisha

  • @ananiamkasu8847
    @ananiamkasu88474 жыл бұрын

    Kumbe maombi yanachelewa ila majibu yake yana kishindo!! Amenipa moyo na hamu ya kumcha Mungu!

  • @claudiangowi9585

    @claudiangowi9585

    4 жыл бұрын

    Kabisa Mungu akikubariki watu wataacha midomo wazi

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    4 жыл бұрын

    Kweli

  • @sumaiyamahamoud2488

    @sumaiyamahamoud2488

    4 жыл бұрын

    Inatakiwa imani dhabiti

  • @josephmulle7708

    @josephmulle7708

    4 жыл бұрын

    Fagan

  • @fettymussa5932

    @fettymussa5932

    4 жыл бұрын

    Kwel kabsa!!mungu hamtupi mja waje naamin na me siku moja🙏🙏

  • @ttuhgtygyyygg237
    @ttuhgtygyyygg2374 жыл бұрын

    Nimeamini mungu yupo watu wa maombi gonga tukisema hallelujah

  • @khalfanikimanta6663

    @khalfanikimanta6663

    2 жыл бұрын

    Wake wa nne fikiria hilo kwanza kuna hekma hapo

  • @khalfanikimanta6663

    @khalfanikimanta6663

    2 жыл бұрын

    Watoto 30 pia kuna hekma hapo fikiria

  • @upendomndeme9478
    @upendomndeme94784 жыл бұрын

    Leizer anajibu kisomi na kwa utulivu kama msomi mwenye phd. Millard pia hongera sana kwa maswali mazuri, nakumbuka pia yule billionea wa Shinyanga aliyeuza madini ulimfata kumuhoji. Upo makini na vizuri Millard

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    Hakika

  • @nickalreadyknows

    @nickalreadyknows

    4 жыл бұрын

    hahahaha ukiwa na hela bhn

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    4 жыл бұрын

    Jida

  • @noahakyoo4595

    @noahakyoo4595

    4 жыл бұрын

    Millard Ayo napenda sana kazi yako na nakuombea Mungu akuinue zaidi

  • @noahakyoo4595

    @noahakyoo4595

    4 жыл бұрын

    Millard Ayo napenda sana kazi yako na nakuombea Mungu akuinue zaidi

  • @vero57
    @vero574 жыл бұрын

    Huyu mzee mstarabu sana, MUNGU AKUZIDISHIE

  • @khadijaomari9344

    @khadijaomari9344

    4 жыл бұрын

    amini

  • @iviejustified8109

    @iviejustified8109

    4 жыл бұрын

    Kabisa hata hana makuuu

  • @berthasanga8076

    @berthasanga8076

    4 жыл бұрын

    Hakika,amen

  • @vickyshayo7880

    @vickyshayo7880

    4 жыл бұрын

    Huyu ana hofu ya Mungu Acha Mungu amlipe ujira wake hongera sanà

  • @felistasiwale7582

    @felistasiwale7582

    4 жыл бұрын

    Nkweli aisee, ana busara sana na hekima

  • @naftalikisaka4380
    @naftalikisaka43804 жыл бұрын

    Good interview hongera sana mmasai mwenye hofu ya mungu

  • @imaculatadominic7005
    @imaculatadominic70054 жыл бұрын

    ana hekima , mtii ,mvumilivu , anamcha Mungu , si mkatji tamaa , wakati wakuinuliwa ulishatimia

  • @sylivesterandrewsylvester9120

    @sylivesterandrewsylvester9120

    4 жыл бұрын

    Ishi utu Kaza buti, Mutangulize Yehova Mungu mbele.

  • @kissarungereuwalemuuya1715
    @kissarungereuwalemuuya17154 жыл бұрын

    Tumuamini mwenyezi Mungu kwa kila jambo kwani hakuna lisilo na wakati wake mtafutaji hupaswi kukata tamaa kwani Mungu yupo.na mbarikiwe wale wote mtakao muamini Mungu. Like kama unaamini Mungu anaweza

  • @evarnyoni6535
    @evarnyoni65354 жыл бұрын

    Millard ayo mpole san mkalim mnoo kaka angu nakupnda buree maswali yko ata mtot anayaelewa😙😙😙

  • @saidthomas8072
    @saidthomas80724 жыл бұрын

    Huyu mzee nimejifunza kitu kikubwa sana toka kwake hana papara na hizo pesa ila yuko na mipango mingi na pesa hawezi ipoteza kirahisi mana haendeshwi na hiyo pesa ila yeye ndo anaiendesha hapo ndo mana ya mtu makini kama lina phd kumbe ni darasa la saba ongera sana

  • @friminamkenda7405
    @friminamkenda74054 жыл бұрын

    The man is gentle na mnyenyekevu hongera

  • @mwimamagasta2299

    @mwimamagasta2299

    4 жыл бұрын

    Fģ9ifo

  • @ginavlodrick4424
    @ginavlodrick44244 жыл бұрын

    Hakunaaa Cha kukata tamaa nikufanya kazi na kumuomba mungu Ayeeeee piga kelele ake

  • @ummuadam2423
    @ummuadam24234 жыл бұрын

    Kma umeona mzee Hanaga haraka ya kujibu mpka umuulize gonga like

  • @mimiapa8436

    @mimiapa8436

    4 жыл бұрын

    Kwa kweli mtulivu sana pia kapata mtu mzuri wa kumuhoji

  • @mariamfritsi9761

    @mariamfritsi9761

    4 жыл бұрын

    Hana hamaki ya kujibu hakurupuki kujibu.

  • @bjzee1981

    @bjzee1981

    4 жыл бұрын

    Wa Masai hawanaga mbwembwe. Angekua mzaramo hapo, au mdigo. Mamaaaaa

  • @neemamayco3238

    @neemamayco3238

    4 жыл бұрын

    Mstaarabu sana

  • @salimusaid7309
    @salimusaid73094 жыл бұрын

    Hili ni darasa Kwangu wacha niendelee kupambana ubilionea nitaukuta mbele inshaallah🙏

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    4 жыл бұрын

    Salimu Saidi umenichekesha sana wallah basi inshallah

  • @sonianzotunga8575

    @sonianzotunga8575

    4 жыл бұрын

    InshaAllah Mungu wetu yupo

  • @salmaismail2363

    @salmaismail2363

    4 жыл бұрын

    Kikubwa kutokata tamaa na Kumtegemea Mungu Inshaallah Allah ataleta kheri

  • @petrozacharia1047
    @petrozacharia10474 жыл бұрын

    Interview nzuri sana muulizaji mzuri anayejibu yupo makini,

  • @carptentv6848
    @carptentv68484 жыл бұрын

    Hongera Mdogo Wangu milady nmeona ile Habari ya watu waivyojazana Kwa biionea aliyoifanya Kijana wako wa Arusha godii nakuona kama Bilionea ajaye

  • @khadijajuma3887
    @khadijajuma38874 жыл бұрын

    Bilionea kaishia darasa la Saba tu hakika mungu humpa amtakae bila ya hesabu tusikate Tamara hongera bilionea laizer

  • @allymatilda7519
    @allymatilda75194 жыл бұрын

    THE KING OF INTERVIEW MILLARD AYOO 🙏🖤

  • @sponsor7882
    @sponsor78824 жыл бұрын

    MZEE HANA BODY GUARD HATA MMOJA, WASANII WETU WAJIFUNZE.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63654 жыл бұрын

    Mashallah, Interview ya kizazi sana, Baba *SANINIU* uko vizur sana 😘🙏

  • @priscamlyuka5531

    @priscamlyuka5531

    4 жыл бұрын

    Nimetafuta coment ako nmeiona upooo jmn? Huwa napenda coment zako

  • @neemambega4752
    @neemambega47524 жыл бұрын

    Mungu huwashusha wenye kiburi bali huwapa wanyenyekevu wa moyo neema, hakika Mungu ameuona unyenyekevu wa huyu baba.Hata anavyoongea unajua tu hapa kuna hekima na busara.hongera sana baba Laizer.Tunacho cha kujifunza kutoka kwako baba hatakama sio ktk mafanikia makubwa kama hayo basi hata kwahaya madogo tuliyonayo.

  • @thadeimsoma7295
    @thadeimsoma72954 жыл бұрын

    hongera sana mzee laizer,ila mimi ushauri wangu kwako,najua serekali imeshachukua kodi yake, ila umkumbuke mungu fungu la kumi tena umtolee jinsi ilivyo ili ubarikiwe zaidi ktk maisha yako, Mungu akubariki sana,

  • @fridaykwama7715

    @fridaykwama7715

    4 жыл бұрын

    Mzee kumbuka kutoa fungu la kumi na hakikisha unatoa mahali panapohubiriwa Injili ya kweli ili Mungu aendelee kuwekeza kwako mzee.

  • @beatricekingsley5062

    @beatricekingsley5062

    4 жыл бұрын

    Anajenga kanisa ilo nifungu lakumi toshaa

  • @africavibe8467

    @africavibe8467

    4 жыл бұрын

    Hahahahha ww wa fungu la kumi utabak ivo ivo mungu akuna mahal anaimiza ilo

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    @@beatricekingsley5062 Hahaha aisee

  • @johanajoseph878

    @johanajoseph878

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa ila Mungu wa kweli haandikwi hivyo mungu❌ Mungu ✅

  • @tomaaslkinyaaasitajwekwnin348
    @tomaaslkinyaaasitajwekwnin3484 жыл бұрын

    Uyu baba ni tajiri tangu kitambo

  • @comfycare1214
    @comfycare12144 жыл бұрын

    Such a humble man. Eeh kweli Mungu alisema ujishushe then yeye ndyo atakukweza.

  • @lifepathtve2033
    @lifepathtve20334 жыл бұрын

    👍👍👍maombi ni silaha

  • @mackmillan2803
    @mackmillan28034 жыл бұрын

    Nimefrah Sana kusikia unampenda mungu,,,Mungu Amekushangaz hakika,,,Na hatakwacha we Endelea tu kumwamini...Amen

  • @locallinks8156
    @locallinks81564 жыл бұрын

    Thumbs up for Tanzanian govt officials. Ingekua hapa kwetu, maafisa waserikali hao ndo wangekutoa uhai. Pongezi wa Tanzania.

  • @shalomkind4575

    @shalomkind4575

    3 жыл бұрын

    Nakwambia ingekua kenya!maafisa ndio wangemuua kiunyama sana .

  • @kiariedavid8370
    @kiariedavid83704 жыл бұрын

    ushirikina wake nikumuomba Mungu nduuu neema hiyo

  • @mariaamosy2701
    @mariaamosy27014 жыл бұрын

    Kaka Millard mwenyez mungu aendelee kukupigania ktk kazi yako hakika ww nimtangazaji no1 nakupenda sn na napenda sn kufatilia channel yako God bless u my brother ❤❤❤❤

  • @stellajapheti3262
    @stellajapheti32624 жыл бұрын

    Kumtegemea mungu Kuna faida

  • @sdamusictz
    @sdamusictz4 жыл бұрын

    Kuomba Mungu ni Kitu Kubwa Sana🙏

  • @kastokyando5347
    @kastokyando53474 жыл бұрын

    yupo vizuri sana kuweka ibada every day

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi41224 жыл бұрын

    Hongera sana mmasai unaongea vzr

  • @rubenisaitoti3612
    @rubenisaitoti36124 жыл бұрын

    Miladi nakukubalisan kwan wewe ni wewe nimt2 wapekee mungu akulindee

  • @khadijaomari9344

    @khadijaomari9344

    4 жыл бұрын

    anampinzani

  • @filomenamashina5935
    @filomenamashina59354 жыл бұрын

    Mungu NI Mungu tuu hajawahii kumwacha anayemwamini. Kakujibu Laizer

  • @josephmasarie1204
    @josephmasarie12044 жыл бұрын

    asante mwenyezi mungu kwa hii jambo umeifanyia brother na tz mungu akubariki kwa uaminifu juu mara wa kwanza mliamini ya kwamba akuna ugonjwa ya corona kwa jina la yesu Kristo juu makazi yenu inaendelea vzuri

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd20524 жыл бұрын

    Kaka milad Uko Vizury sana nakupenda sana Sana💕💞💕💕❤❤❤❤❤

  • @janethcharles7432
    @janethcharles74324 жыл бұрын

    Mashalah,hongera cn mzee kwa kumcha mung,,na kutokata tamaa,,umenifundish kitu xn,,umeishia la saba lkn km una hpd,,,,,,duh,ama kweli mung mwema na hhamtupi mja wake,,hongera xn millad ayo kwa maswali mazur,,na mzee kajibu kwa ufaxaha na unyenyekevu mzr,,,glory to god any time,,🙏🏼🙏🏼👏🏻

  • @jenifajafari7670
    @jenifajafari76704 жыл бұрын

    Nimejifunza usikate tamaa kamwe💕blessed you

  • @loningologelieki1306
    @loningologelieki13064 жыл бұрын

    Pamoj sana Millard upon vzr

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv67384 жыл бұрын

    Huyu mtu ni mnyenyekevu sana! Hongera Laizer!

  • @kulthumtwalipo2952
    @kulthumtwalipo29524 жыл бұрын

    Usikivu wa hekima. Na kumtanguliza Mungu. Ni mafanikio

  • @jessicabrown5885
    @jessicabrown58854 жыл бұрын

    😅😅 millard bwana anauliza mpaka raha

  • @douglaskomba2304

    @douglaskomba2304

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @laylertalpha8226

    @laylertalpha8226

    4 жыл бұрын

    Kabsaaaaa nampenda buree

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    Hadi raha

  • @lilianernest4284
    @lilianernest42844 жыл бұрын

    Nimependa hajaacha asil ake ingekua wengne apo keshabadilisha muonekano wonderful enough he is educated masai without going to school

  • @elisantenjau4352
    @elisantenjau43524 жыл бұрын

    Hongera sana mzee kwa kutambua uwepo wa mungu na ukweli unaonekana una hofu ya mungu,,barikiwa sana

  • @mathewkissima717
    @mathewkissima7174 жыл бұрын

    Ushirikina wangu ni kumuba sana mungu nimekulewa mzeeee 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @siriyangu4724
    @siriyangu47244 жыл бұрын

    Mungu ndio funguo ya misha

  • @jicholafursa7058
    @jicholafursa70584 жыл бұрын

    Sasa bwana Millard unge upload mapema nisingemaliza mb zangu kule kwenye tv mbao,asante.

  • @vailetaron5717
    @vailetaron57174 жыл бұрын

    Big up bro utangazaji wako Safi

  • @mdeeboy846
    @mdeeboy8464 жыл бұрын

    Karibu sana ndugu yangu😀😀, Millard laisaaa😀😀😂😂 Shikamoo pesa

  • @dreamonlinetv1493
    @dreamonlinetv14934 жыл бұрын

    watu wenye pesa huwa hawaongei sana 😂😂😂😂😂😂

  • @niaanthony9588

    @niaanthony9588

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣Wangekuwa kina gigy money tungekoma

  • @bahatynyamboz9321

    @bahatynyamboz9321

    4 жыл бұрын

    Diamond

  • @neemamayco3238

    @neemamayco3238

    4 жыл бұрын

    Sanaaa wanaongea kwa point

  • @ashuuuaisha9122

    @ashuuuaisha9122

    4 жыл бұрын

    😀😂😀😂

  • @suleimanali5270

    @suleimanali5270

    4 жыл бұрын

    Roho ya huyo mzee ni njema sana

  • @chekaextra5807
    @chekaextra58074 жыл бұрын

    Wanawakubali Laizer wAGonga Like 🔥🔥 👇🔥 Subscribe Hapa Twende Sawa Wadau 🔥👇 kzread.info/dron/aS8hsEQnwQSMEQCT_GJIVQ.html 🔥🔥🔥 Nouuma na Nusu 🔥🔥🔥

  • @jessicabrown5885

    @jessicabrown5885

    4 жыл бұрын

    Nice Unafanyaje kuweka link ya KZread channel kama ulivyo weka

  • @judithchinga7349
    @judithchinga73494 жыл бұрын

    mtu wa Mungu, Mungu aendelee kukubariki sana mzee laizer

  • @ebinssports5377
    @ebinssports53774 жыл бұрын

    jamaa kaishia lasaba unaweza ukadhani ana phd.... anaufaham mkubwa mno.

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    4 жыл бұрын

    Yaaan kabisaa nduguu anajibu kisomi nani mnyenyekevuu saanaa

  • @mwagotimwanamvua5883
    @mwagotimwanamvua58834 жыл бұрын

    Millard Ayo wee ni handsome 💋💋💋😍😍alafu ur voice nayo, it's amazing 💝

  • @idayagifty4651
    @idayagifty46514 жыл бұрын

    Kumbe Millard ayo in mzuri hivi

  • @peaduuundugukwashidamarsha9385

    @peaduuundugukwashidamarsha9385

    4 жыл бұрын

    Idaya mwambie akuoe

  • @mercyshilako9102

    @mercyshilako9102

    4 жыл бұрын

    Pia mm nammezea mate Sana ,😂😂😂😂😂😂,namwitaji siku moja atutembelee huku kenya

  • @nurulaizer3687
    @nurulaizer36874 жыл бұрын

    Wisdom is everything!God bless you more!

  • @johnshilunga6784
    @johnshilunga67844 жыл бұрын

    Darasa la saba like hapa tujuane

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui7294 жыл бұрын

    Ila mzee ana busara sana.Napenda jinsi anavyojieleza na ni mtu mwenye hekima na busara kubwa.Angekuwa mtu mwingine kichwa kingepata moto sana.

  • @vanessalaizer4363

    @vanessalaizer4363

    4 жыл бұрын

    Angepata msanii fulani hapo tungekoma

  • @priscamlyuka5531

    @priscamlyuka5531

    4 жыл бұрын

    @@vanessalaizer4363 hahahaha kwaa kweli yaniii

  • @rachelelias1923

    @rachelelias1923

    4 жыл бұрын

    Laizer katulia sana.. maana alishazoa kushika hela.. Hata familia aliyona kubwa na anaijali vzr.. na kuisomesha.. lazima mungu angempa rizik asingemuacha.. mungu alishauona Mayo wake.. pia ni mpambanaj.. amenitia moyo sana....

  • @aisha-ro5fr
    @aisha-ro5fr4 жыл бұрын

    @Millad ana sauti nzuri pia ana maswali ya hekima sanaa hongera bro we love youu kwa kazi yako ktk jmii

  • @esterester5612
    @esterester56124 жыл бұрын

    Saut ya Millard jaman tamu kuskiliza😊

  • @lukasanga685
    @lukasanga6854 жыл бұрын

    Hongera sana @millardayo kwa habar za nguvu daima

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi97614 жыл бұрын

    Mzee Laizzer nakupenda kwa jinsi unavyojibu kisomi zaidi na huna pupa hongera na pongezi kwako.

  • @naimanurdin8984
    @naimanurdin89844 жыл бұрын

    Walah Millard Una Sauti Nzuri jamani MashaAllah

  • @tumeerewamiki7490

    @tumeerewamiki7490

    4 жыл бұрын

    Inavutia wallah

  • @mgenisalim6947

    @mgenisalim6947

    4 жыл бұрын

    Sana Wallah

  • @naimanurdin8984

    @naimanurdin8984

    4 жыл бұрын

    Kumbe tupo wengi Tunaovutiwa na Sauti Ya Ayo😁😁Mi Mara Nyingi hata sisikizi mahojiano nasikiza Sauti tu Ya Ayo Inavutia Sana😂😂

  • @dickmalove5544

    @dickmalove5544

    4 жыл бұрын

    Mkampe sasa

  • @firibertmuya7012
    @firibertmuya70124 жыл бұрын

    Maisha ni mzunguko Kuna kupta na kukosa hivoo hongera yake Masai lizer kwa kupta ubilionea huo tz apa💪💪

  • @vincentkiprotich7959
    @vincentkiprotich79594 жыл бұрын

    Millard ayo anabobea kwa mahojiano.

  • @moussashamba719
    @moussashamba7194 жыл бұрын

    UZURI WA MAHUJIANO,,NI MASWALI..NAKUBALI SANA BRO BINGWA WA KUHOJI..IT'S EXCLUSIVE INTERVIEW

  • @shaabansoma7661
    @shaabansoma76614 жыл бұрын

    You have got money, Allah bless you and your family a new billioner of masai people.

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi51964 жыл бұрын

    Hongera sana mtangazaji na bilionea TZ

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai31194 жыл бұрын

    Nimejifunza sana kwako na nitafuata nyayo mzee . Mungu ni mkuu sana. Huyu baba ni mnyenyekevu na ana hekima zoote.

  • @ashambarouk879
    @ashambarouk8794 жыл бұрын

    Dah mzee laizer wwe ni mfano mzur kwa jamii ya watanzania hongera bilionea

  • @ramlabaruani4202
    @ramlabaruani42024 жыл бұрын

    Mmasai mwenye busara Sana much lov

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed75564 жыл бұрын

    Millard naona hili umeenda kuhoji mwenywe hujataka mchezo kbsaa maana umepeleka vjana bt mzee umemuhoji mwenywe

  • @leonsakia6127
    @leonsakia61274 жыл бұрын

    Humility is everything.

  • @benjaminkisemei7863
    @benjaminkisemei78634 жыл бұрын

    Hongera sana mzee laiza uko mpole na kuonekana mtilivu sana ijapo ww billionaire

  • @neemamayco3238
    @neemamayco32384 жыл бұрын

    Mungu akusimamie baba hapa angekua mswahili yaan sahv angekua dubai huyu mzee amehastle miak 20 tuseme maan ameanza kupat manufaa 2015

  • @philemonmollel2692
    @philemonmollel26924 жыл бұрын

    Hongera Millard na kijana wako Gody na team yenu mmefanya makubwa sana,unawapa nafasi namkubali sana huyo dogo

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    4 жыл бұрын

    Darasa la Saba oyeeee

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    4 жыл бұрын

    Watu wengi wavumilivu wa maisha ni walioishia darasa la 7

  • @nickmwambene8800
    @nickmwambene88004 жыл бұрын

    Good interview

  • @sylivesterandrewsylvester9120
    @sylivesterandrewsylvester91204 жыл бұрын

    Nice interview Serikali imupatie ulinzi wataalamu na fursa awekeze

  • @issaomary4612
    @issaomary46124 жыл бұрын

    Kusoma sana haikufanyi ufanikiwe. Maisha hayana short cut aisee.. Wengi wenye mafanikio elim zao ni kidogo.👏👏 laizer

  • @muddymkamba352
    @muddymkamba3524 жыл бұрын

    Mungu ndiyo chanzo cha utajiri mzuri,utajiri bila Mungu ni mateso..

  • @mathematicsforlife783
    @mathematicsforlife7834 жыл бұрын

    Hongera bro Millard kazi nzur

  • @DavidMMKing
    @DavidMMKing4 жыл бұрын

    Alifanya vizuri kutoenda shule maana shule zenyewe ni kama kupoteza muda tu. Hukute angekuwa mwalimu au daktari sasa 🤔 Mambo yenyewe yanayofundishwa shule yameshapitwa na wakati. Kinachotakiwa ni maarifa tu sio hizi shule za kutafuta cheti na sifa na kuongea Kiingereza cha ujanjajanja. Mungu habariki jitihada zake. Maarifa tu ndio muhimu na mtu unaweza kuwa na maarifa bila kupoteza muda ati kwenda shule

  • @lilianwilfred3271
    @lilianwilfred32714 жыл бұрын

    Hela zina mpangilio ...😂😂

  • @angelmassawe7034
    @angelmassawe70344 жыл бұрын

    Hongera sana Mr Laizer..Unajibu kisomi sana,,,Tangazo la joti jamanii lachekesha eti jamanii kama Boxer 🤣🤣🤣

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri85014 жыл бұрын

    hongera sana millard unafanya kazi nzur sana sana

  • @mirhatiealamin8255
    @mirhatiealamin82554 жыл бұрын

    Good interview..laizer anajibu maswal vizur sana

  • @shaniahrachma3114
    @shaniahrachma31144 жыл бұрын

    😍😍🙌🙌🙌💘💘🇰🇪🇰🇪🇰🇪laizer ongeza kislay queen mke wa tano 😝😝😝

  • @abuukiogwe6806

    @abuukiogwe6806

    4 жыл бұрын

    😁😀😀😀😀

  • @dottocharles1636
    @dottocharles16364 жыл бұрын

    Du Kama kunamwingine kaona watoto wengi kama mimi gonga Like twende sawa

  • @amosmahona433
    @amosmahona4334 жыл бұрын

    Milard nilikuwa najua sauti YAKO Ni mitambo kumbe Ni yako

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei11334 жыл бұрын

    Nakupenda sana bilion aidhak

  • @bjzee1981
    @bjzee19814 жыл бұрын

    Kweli huyu jamaa handsome Sana. Cheki huo mwanya. Halafu sikio 😘

  • @alshabje7185
    @alshabje71853 жыл бұрын

    Hongera Sana baba kweli maneno yako

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama40004 жыл бұрын

    Hongera Sana millad kwa interview nzuri upo update sana

  • @Miro255
    @Miro2554 жыл бұрын

    Kilometa 1.8 duuuuh, hatar yaan viwanja 18 vya mpira mbal sana

  • @rumibarton2359
    @rumibarton23594 жыл бұрын

    Yupo humble sana na inaonekana pesa haijamtia mawenge

  • @deboramrema2861
    @deboramrema28614 жыл бұрын

    Kwelikweli mwomba Mungu hachoki nimejifunza kitu hapa

Келесі