HII SASA NDIO HISTORIA YA BILIONEA LAIZER, MSOTO MIAKA 10, WAKE WANNE, WATOTO 30, NYUMBA 4
#millardayoUPDATES#BilioneaLaizer
Жүктеу.....
Пікірлер: 366
@eliasmakala91814 жыл бұрын
Money makes money..ni hivo tuu masai hakuwa na njaa hela since way back..kama unakubali gonga like twende sawaa
@itsvipi
4 жыл бұрын
In English we say, Money begets Money. Meaning, the more money you make, the easier it becomes to make still more. You're right though, it means the same thing. Congratulations to the old man.
@newmuscat1698
4 жыл бұрын
Pont bro
@kidotanne4294 жыл бұрын
Namkubali Millard Ayo jamani😍twende pamoja taarifa zake ziko straight from bottom of my heart I like this guy please like for Millard Ayo 👍🤝🙏
@allthingdranabeauty
4 жыл бұрын
Kweli
@lilianestephanie7881
4 жыл бұрын
Me hunizidi
@hopesheby7344
3 жыл бұрын
Yaani me nikiona habari yoyote iliniwe na hakika Kama ni kweli naithibitisha kwa millad ikiwepo najua ni kweli kabisa Sina mashaka na Millad kajipanga kweli na atafika mbali sana inshallah
@tedymwandara54804 жыл бұрын
Mara nyingi wanaofanikiwa sana ktk maisha wana elimu kidogo tu.Ila wanaongozwa na nidhamu, kumcha Mungu na busara kubwa.Vijana wengi hasa wasomi mkipata tu elimu kidogo,mnadharau hadi ndugu na wazazi wenu, yes na no kibao mnakua mnaona dunia yote hakuna aliesoma.Muoneni milionea, very humble.Hana mambo mengi.Kavaa shuka lake ni simple tu.
@amanimanase5794
4 жыл бұрын
Hahahaaaa wakati wao wanajidai na vijisuti vyao
@kissarungereuwalemuuya1715
4 жыл бұрын
Nikweli kabisa nimeamini Maneno yako ndugu yangu mchangiaji asante sana kwa mchango wako mzuri sana na Maneno uyasemayo ni sahihi kabisa
@naimanurdin8984
4 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana Tedy Ila Kwa Sasa laizar Sio Milionea Ni bilionea Ujuee hakika Waja tuzid kuwa Ni Wenye khofu Ya Mungu Yote Inawezekana
@saumuhassan6365
4 жыл бұрын
True
@ramsikhamis7083
4 жыл бұрын
Upo sahihii kabisa ndugu yanguuu
@nafisaabdalla25994 жыл бұрын
wangapi wanawakubali hawa watu wawili ayo+lizer ayolizer gonga like zako apa.
@tonkud2111
4 жыл бұрын
😁😁😁
@mistere6601
4 жыл бұрын
Ayolizer😁😁
@lazaromaria5334
4 жыл бұрын
we jamaa umetisha
@ananiamkasu88474 жыл бұрын
Kumbe maombi yanachelewa ila majibu yake yana kishindo!! Amenipa moyo na hamu ya kumcha Mungu!
@claudiangowi9585
4 жыл бұрын
Kabisa Mungu akikubariki watu wataacha midomo wazi
@allthingdranabeauty
4 жыл бұрын
Kweli
@sumaiyamahamoud2488
4 жыл бұрын
Inatakiwa imani dhabiti
@josephmulle7708
4 жыл бұрын
Fagan
@fettymussa5932
4 жыл бұрын
Kwel kabsa!!mungu hamtupi mja waje naamin na me siku moja🙏🙏
@ttuhgtygyyygg2374 жыл бұрын
Nimeamini mungu yupo watu wa maombi gonga tukisema hallelujah
@khalfanikimanta6663
2 жыл бұрын
Wake wa nne fikiria hilo kwanza kuna hekma hapo
@khalfanikimanta6663
2 жыл бұрын
Watoto 30 pia kuna hekma hapo fikiria
@upendomndeme94784 жыл бұрын
Leizer anajibu kisomi na kwa utulivu kama msomi mwenye phd. Millard pia hongera sana kwa maswali mazuri, nakumbuka pia yule billionea wa Shinyanga aliyeuza madini ulimfata kumuhoji. Upo makini na vizuri Millard
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
Hakika
@nickalreadyknows
4 жыл бұрын
hahahaha ukiwa na hela bhn
@sidratybinkhamis2837
4 жыл бұрын
Jida
@noahakyoo4595
4 жыл бұрын
Millard Ayo napenda sana kazi yako na nakuombea Mungu akuinue zaidi
@noahakyoo4595
4 жыл бұрын
Millard Ayo napenda sana kazi yako na nakuombea Mungu akuinue zaidi
@vero574 жыл бұрын
Huyu mzee mstarabu sana, MUNGU AKUZIDISHIE
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
amini
@iviejustified8109
4 жыл бұрын
Kabisa hata hana makuuu
@berthasanga8076
4 жыл бұрын
Hakika,amen
@vickyshayo7880
4 жыл бұрын
Huyu ana hofu ya Mungu Acha Mungu amlipe ujira wake hongera sanà
@felistasiwale7582
4 жыл бұрын
Nkweli aisee, ana busara sana na hekima
@naftalikisaka43804 жыл бұрын
Good interview hongera sana mmasai mwenye hofu ya mungu
@imaculatadominic70054 жыл бұрын
ana hekima , mtii ,mvumilivu , anamcha Mungu , si mkatji tamaa , wakati wakuinuliwa ulishatimia
@sylivesterandrewsylvester9120
4 жыл бұрын
Ishi utu Kaza buti, Mutangulize Yehova Mungu mbele.
@kissarungereuwalemuuya17154 жыл бұрын
Tumuamini mwenyezi Mungu kwa kila jambo kwani hakuna lisilo na wakati wake mtafutaji hupaswi kukata tamaa kwani Mungu yupo.na mbarikiwe wale wote mtakao muamini Mungu. Like kama unaamini Mungu anaweza
@evarnyoni65354 жыл бұрын
Millard ayo mpole san mkalim mnoo kaka angu nakupnda buree maswali yko ata mtot anayaelewa😙😙😙
@saidthomas80724 жыл бұрын
Huyu mzee nimejifunza kitu kikubwa sana toka kwake hana papara na hizo pesa ila yuko na mipango mingi na pesa hawezi ipoteza kirahisi mana haendeshwi na hiyo pesa ila yeye ndo anaiendesha hapo ndo mana ya mtu makini kama lina phd kumbe ni darasa la saba ongera sana
@friminamkenda74054 жыл бұрын
The man is gentle na mnyenyekevu hongera
@mwimamagasta2299
4 жыл бұрын
Fģ9ifo
@ginavlodrick44244 жыл бұрын
Hakunaaa Cha kukata tamaa nikufanya kazi na kumuomba mungu Ayeeeee piga kelele ake
@ummuadam24234 жыл бұрын
Kma umeona mzee Hanaga haraka ya kujibu mpka umuulize gonga like
@mimiapa8436
4 жыл бұрын
Kwa kweli mtulivu sana pia kapata mtu mzuri wa kumuhoji
@mariamfritsi9761
4 жыл бұрын
Hana hamaki ya kujibu hakurupuki kujibu.
@bjzee1981
4 жыл бұрын
Wa Masai hawanaga mbwembwe. Angekua mzaramo hapo, au mdigo. Mamaaaaa
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Mstaarabu sana
@salimusaid73094 жыл бұрын
Hili ni darasa Kwangu wacha niendelee kupambana ubilionea nitaukuta mbele inshaallah🙏
@fatmazullu4933
4 жыл бұрын
Salimu Saidi umenichekesha sana wallah basi inshallah
@sonianzotunga8575
4 жыл бұрын
InshaAllah Mungu wetu yupo
@salmaismail2363
4 жыл бұрын
Kikubwa kutokata tamaa na Kumtegemea Mungu Inshaallah Allah ataleta kheri
@petrozacharia10474 жыл бұрын
Interview nzuri sana muulizaji mzuri anayejibu yupo makini,
@carptentv68484 жыл бұрын
Hongera Mdogo Wangu milady nmeona ile Habari ya watu waivyojazana Kwa biionea aliyoifanya Kijana wako wa Arusha godii nakuona kama Bilionea ajaye
@khadijajuma38874 жыл бұрын
Bilionea kaishia darasa la Saba tu hakika mungu humpa amtakae bila ya hesabu tusikate Tamara hongera bilionea laizer
@allymatilda75194 жыл бұрын
THE KING OF INTERVIEW MILLARD AYOO 🙏🖤
@sponsor78824 жыл бұрын
MZEE HANA BODY GUARD HATA MMOJA, WASANII WETU WAJIFUNZE.
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Mashallah, Interview ya kizazi sana, Baba *SANINIU* uko vizur sana 😘🙏
@priscamlyuka5531
4 жыл бұрын
Nimetafuta coment ako nmeiona upooo jmn? Huwa napenda coment zako
@neemambega47524 жыл бұрын
Mungu huwashusha wenye kiburi bali huwapa wanyenyekevu wa moyo neema, hakika Mungu ameuona unyenyekevu wa huyu baba.Hata anavyoongea unajua tu hapa kuna hekima na busara.hongera sana baba Laizer.Tunacho cha kujifunza kutoka kwako baba hatakama sio ktk mafanikia makubwa kama hayo basi hata kwahaya madogo tuliyonayo.
@thadeimsoma72954 жыл бұрын
hongera sana mzee laizer,ila mimi ushauri wangu kwako,najua serekali imeshachukua kodi yake, ila umkumbuke mungu fungu la kumi tena umtolee jinsi ilivyo ili ubarikiwe zaidi ktk maisha yako, Mungu akubariki sana,
@fridaykwama7715
4 жыл бұрын
Mzee kumbuka kutoa fungu la kumi na hakikisha unatoa mahali panapohubiriwa Injili ya kweli ili Mungu aendelee kuwekeza kwako mzee.
@beatricekingsley5062
4 жыл бұрын
Anajenga kanisa ilo nifungu lakumi toshaa
@africavibe8467
4 жыл бұрын
Hahahahha ww wa fungu la kumi utabak ivo ivo mungu akuna mahal anaimiza ilo
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
@@beatricekingsley5062 Hahaha aisee
@johanajoseph878
4 жыл бұрын
Kweli kabisa ila Mungu wa kweli haandikwi hivyo mungu❌ Mungu ✅
@tomaaslkinyaaasitajwekwnin3484 жыл бұрын
Uyu baba ni tajiri tangu kitambo
@comfycare12144 жыл бұрын
Such a humble man. Eeh kweli Mungu alisema ujishushe then yeye ndyo atakukweza.
@lifepathtve20334 жыл бұрын
👍👍👍maombi ni silaha
@mackmillan28034 жыл бұрын
Nimefrah Sana kusikia unampenda mungu,,,Mungu Amekushangaz hakika,,,Na hatakwacha we Endelea tu kumwamini...Amen
@locallinks81564 жыл бұрын
Thumbs up for Tanzanian govt officials. Ingekua hapa kwetu, maafisa waserikali hao ndo wangekutoa uhai. Pongezi wa Tanzania.
@shalomkind4575
3 жыл бұрын
Nakwambia ingekua kenya!maafisa ndio wangemuua kiunyama sana .
@kiariedavid83704 жыл бұрын
ushirikina wake nikumuomba Mungu nduuu neema hiyo
@mariaamosy27014 жыл бұрын
Kaka Millard mwenyez mungu aendelee kukupigania ktk kazi yako hakika ww nimtangazaji no1 nakupenda sn na napenda sn kufatilia channel yako God bless u my brother ❤❤❤❤
@stellajapheti32624 жыл бұрын
Kumtegemea mungu Kuna faida
@sdamusictz4 жыл бұрын
Kuomba Mungu ni Kitu Kubwa Sana🙏
@kastokyando53474 жыл бұрын
yupo vizuri sana kuweka ibada every day
@jacksonngusi41224 жыл бұрын
Hongera sana mmasai unaongea vzr
@rubenisaitoti36124 жыл бұрын
Miladi nakukubalisan kwan wewe ni wewe nimt2 wapekee mungu akulindee
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
anampinzani
@filomenamashina59354 жыл бұрын
Mungu NI Mungu tuu hajawahii kumwacha anayemwamini. Kakujibu Laizer
@josephmasarie12044 жыл бұрын
asante mwenyezi mungu kwa hii jambo umeifanyia brother na tz mungu akubariki kwa uaminifu juu mara wa kwanza mliamini ya kwamba akuna ugonjwa ya corona kwa jina la yesu Kristo juu makazi yenu inaendelea vzuri
@faizaahamd20524 жыл бұрын
Kaka milad Uko Vizury sana nakupenda sana Sana💕💞💕💕❤❤❤❤❤
@janethcharles74324 жыл бұрын
Mashalah,hongera cn mzee kwa kumcha mung,,na kutokata tamaa,,umenifundish kitu xn,,umeishia la saba lkn km una hpd,,,,,,duh,ama kweli mung mwema na hhamtupi mja wake,,hongera xn millad ayo kwa maswali mazur,,na mzee kajibu kwa ufaxaha na unyenyekevu mzr,,,glory to god any time,,🙏🏼🙏🏼👏🏻
@jenifajafari76704 жыл бұрын
Nimejifunza usikate tamaa kamwe💕blessed you
@loningologelieki13064 жыл бұрын
Pamoj sana Millard upon vzr
@mandyfitnesstv67384 жыл бұрын
Huyu mtu ni mnyenyekevu sana! Hongera Laizer!
@kulthumtwalipo29524 жыл бұрын
Usikivu wa hekima. Na kumtanguliza Mungu. Ni mafanikio
@jessicabrown58854 жыл бұрын
😅😅 millard bwana anauliza mpaka raha
@douglaskomba2304
4 жыл бұрын
Kabisa
@laylertalpha8226
4 жыл бұрын
Kabsaaaaa nampenda buree
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
Hadi raha
@lilianernest42844 жыл бұрын
Nimependa hajaacha asil ake ingekua wengne apo keshabadilisha muonekano wonderful enough he is educated masai without going to school
@elisantenjau43524 жыл бұрын
Hongera sana mzee kwa kutambua uwepo wa mungu na ukweli unaonekana una hofu ya mungu,,barikiwa sana
@mathewkissima7174 жыл бұрын
Ushirikina wangu ni kumuba sana mungu nimekulewa mzeeee 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@siriyangu47244 жыл бұрын
Mungu ndio funguo ya misha
@jicholafursa70584 жыл бұрын
Sasa bwana Millard unge upload mapema nisingemaliza mb zangu kule kwenye tv mbao,asante.
@vailetaron57174 жыл бұрын
Big up bro utangazaji wako Safi
@mdeeboy8464 жыл бұрын
Karibu sana ndugu yangu😀😀, Millard laisaaa😀😀😂😂 Shikamoo pesa
@dreamonlinetv14934 жыл бұрын
watu wenye pesa huwa hawaongei sana 😂😂😂😂😂😂
@niaanthony9588
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Wangekuwa kina gigy money tungekoma
@bahatynyamboz9321
4 жыл бұрын
Diamond
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Sanaaa wanaongea kwa point
@ashuuuaisha9122
4 жыл бұрын
😀😂😀😂
@suleimanali5270
4 жыл бұрын
Roho ya huyo mzee ni njema sana
@chekaextra58074 жыл бұрын
Wanawakubali Laizer wAGonga Like 🔥🔥 👇🔥 Subscribe Hapa Twende Sawa Wadau 🔥👇 kzread.info/dron/aS8hsEQnwQSMEQCT_GJIVQ.html 🔥🔥🔥 Nouuma na Nusu 🔥🔥🔥
@jessicabrown5885
4 жыл бұрын
Nice Unafanyaje kuweka link ya KZread channel kama ulivyo weka
@judithchinga73494 жыл бұрын
mtu wa Mungu, Mungu aendelee kukubariki sana mzee laizer
@ebinssports53774 жыл бұрын
jamaa kaishia lasaba unaweza ukadhani ana phd.... anaufaham mkubwa mno.
Millard Ayo wee ni handsome 💋💋💋😍😍alafu ur voice nayo, it's amazing 💝
@idayagifty46514 жыл бұрын
Kumbe Millard ayo in mzuri hivi
@peaduuundugukwashidamarsha9385
4 жыл бұрын
Idaya mwambie akuoe
@mercyshilako9102
4 жыл бұрын
Pia mm nammezea mate Sana ,😂😂😂😂😂😂,namwitaji siku moja atutembelee huku kenya
@nurulaizer36874 жыл бұрын
Wisdom is everything!God bless you more!
@johnshilunga67844 жыл бұрын
Darasa la saba like hapa tujuane
@dismasmtui7294 жыл бұрын
Ila mzee ana busara sana.Napenda jinsi anavyojieleza na ni mtu mwenye hekima na busara kubwa.Angekuwa mtu mwingine kichwa kingepata moto sana.
@vanessalaizer4363
4 жыл бұрын
Angepata msanii fulani hapo tungekoma
@priscamlyuka5531
4 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 hahahaha kwaa kweli yaniii
@rachelelias1923
4 жыл бұрын
Laizer katulia sana.. maana alishazoa kushika hela.. Hata familia aliyona kubwa na anaijali vzr.. na kuisomesha.. lazima mungu angempa rizik asingemuacha.. mungu alishauona Mayo wake.. pia ni mpambanaj.. amenitia moyo sana....
@aisha-ro5fr4 жыл бұрын
@Millad ana sauti nzuri pia ana maswali ya hekima sanaa hongera bro we love youu kwa kazi yako ktk jmii
@esterester56124 жыл бұрын
Saut ya Millard jaman tamu kuskiliza😊
@lukasanga6854 жыл бұрын
Hongera sana @millardayo kwa habar za nguvu daima
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Mzee Laizzer nakupenda kwa jinsi unavyojibu kisomi zaidi na huna pupa hongera na pongezi kwako.
@naimanurdin89844 жыл бұрын
Walah Millard Una Sauti Nzuri jamani MashaAllah
@tumeerewamiki7490
4 жыл бұрын
Inavutia wallah
@mgenisalim6947
4 жыл бұрын
Sana Wallah
@naimanurdin8984
4 жыл бұрын
Kumbe tupo wengi Tunaovutiwa na Sauti Ya Ayo😁😁Mi Mara Nyingi hata sisikizi mahojiano nasikiza Sauti tu Ya Ayo Inavutia Sana😂😂
@dickmalove5544
4 жыл бұрын
Mkampe sasa
@firibertmuya70124 жыл бұрын
Maisha ni mzunguko Kuna kupta na kukosa hivoo hongera yake Masai lizer kwa kupta ubilionea huo tz apa💪💪
@vincentkiprotich79594 жыл бұрын
Millard ayo anabobea kwa mahojiano.
@moussashamba7194 жыл бұрын
UZURI WA MAHUJIANO,,NI MASWALI..NAKUBALI SANA BRO BINGWA WA KUHOJI..IT'S EXCLUSIVE INTERVIEW
@shaabansoma76614 жыл бұрын
You have got money, Allah bless you and your family a new billioner of masai people.
@upendoeliudi51964 жыл бұрын
Hongera sana mtangazaji na bilionea TZ
@hidayaswai31194 жыл бұрын
Nimejifunza sana kwako na nitafuata nyayo mzee . Mungu ni mkuu sana. Huyu baba ni mnyenyekevu na ana hekima zoote.
@ashambarouk8794 жыл бұрын
Dah mzee laizer wwe ni mfano mzur kwa jamii ya watanzania hongera bilionea
@ramlabaruani42024 жыл бұрын
Mmasai mwenye busara Sana much lov
@nasrimohamed75564 жыл бұрын
Millard naona hili umeenda kuhoji mwenywe hujataka mchezo kbsaa maana umepeleka vjana bt mzee umemuhoji mwenywe
@leonsakia61274 жыл бұрын
Humility is everything.
@benjaminkisemei78634 жыл бұрын
Hongera sana mzee laiza uko mpole na kuonekana mtilivu sana ijapo ww billionaire
@neemamayco32384 жыл бұрын
Mungu akusimamie baba hapa angekua mswahili yaan sahv angekua dubai huyu mzee amehastle miak 20 tuseme maan ameanza kupat manufaa 2015
@philemonmollel26924 жыл бұрын
Hongera Millard na kijana wako Gody na team yenu mmefanya makubwa sana,unawapa nafasi namkubali sana huyo dogo
@abuuramadhan8093
4 жыл бұрын
Darasa la Saba oyeeee
@abuuramadhan8093
4 жыл бұрын
Watu wengi wavumilivu wa maisha ni walioishia darasa la 7
@nickmwambene88004 жыл бұрын
Good interview
@sylivesterandrewsylvester91204 жыл бұрын
Nice interview Serikali imupatie ulinzi wataalamu na fursa awekeze
@issaomary46124 жыл бұрын
Kusoma sana haikufanyi ufanikiwe. Maisha hayana short cut aisee.. Wengi wenye mafanikio elim zao ni kidogo.👏👏 laizer
@muddymkamba3524 жыл бұрын
Mungu ndiyo chanzo cha utajiri mzuri,utajiri bila Mungu ni mateso..
@mathematicsforlife7834 жыл бұрын
Hongera bro Millard kazi nzur
@DavidMMKing4 жыл бұрын
Alifanya vizuri kutoenda shule maana shule zenyewe ni kama kupoteza muda tu. Hukute angekuwa mwalimu au daktari sasa 🤔 Mambo yenyewe yanayofundishwa shule yameshapitwa na wakati. Kinachotakiwa ni maarifa tu sio hizi shule za kutafuta cheti na sifa na kuongea Kiingereza cha ujanjajanja. Mungu habariki jitihada zake. Maarifa tu ndio muhimu na mtu unaweza kuwa na maarifa bila kupoteza muda ati kwenda shule
@lilianwilfred32714 жыл бұрын
Hela zina mpangilio ...😂😂
@angelmassawe70344 жыл бұрын
Hongera sana Mr Laizer..Unajibu kisomi sana,,,Tangazo la joti jamanii lachekesha eti jamanii kama Boxer 🤣🤣🤣
@jumawaziri85014 жыл бұрын
hongera sana millard unafanya kazi nzur sana sana
@mirhatiealamin82554 жыл бұрын
Good interview..laizer anajibu maswal vizur sana
@shaniahrachma31144 жыл бұрын
😍😍🙌🙌🙌💘💘🇰🇪🇰🇪🇰🇪laizer ongeza kislay queen mke wa tano 😝😝😝
@abuukiogwe6806
4 жыл бұрын
😁😀😀😀😀
@dottocharles16364 жыл бұрын
Du Kama kunamwingine kaona watoto wengi kama mimi gonga Like twende sawa
@amosmahona4334 жыл бұрын
Milard nilikuwa najua sauti YAKO Ni mitambo kumbe Ni yako
@aminahhuawei11334 жыл бұрын
Nakupenda sana bilion aidhak
@bjzee19814 жыл бұрын
Kweli huyu jamaa handsome Sana. Cheki huo mwanya. Halafu sikio 😘
@alshabje71853 жыл бұрын
Hongera Sana baba kweli maneno yako
@geofreybarama40004 жыл бұрын
Hongera Sana millad kwa interview nzuri upo update sana
@Miro2554 жыл бұрын
Kilometa 1.8 duuuuh, hatar yaan viwanja 18 vya mpira mbal sana
@rumibarton23594 жыл бұрын
Yupo humble sana na inaonekana pesa haijamtia mawenge
@deboramrema28614 жыл бұрын
Kwelikweli mwomba Mungu hachoki nimejifunza kitu hapa
Пікірлер: 366
Money makes money..ni hivo tuu masai hakuwa na njaa hela since way back..kama unakubali gonga like twende sawaa
@itsvipi
4 жыл бұрын
In English we say, Money begets Money. Meaning, the more money you make, the easier it becomes to make still more. You're right though, it means the same thing. Congratulations to the old man.
@newmuscat1698
4 жыл бұрын
Pont bro
Namkubali Millard Ayo jamani😍twende pamoja taarifa zake ziko straight from bottom of my heart I like this guy please like for Millard Ayo 👍🤝🙏
@allthingdranabeauty
4 жыл бұрын
Kweli
@lilianestephanie7881
4 жыл бұрын
Me hunizidi
@hopesheby7344
3 жыл бұрын
Yaani me nikiona habari yoyote iliniwe na hakika Kama ni kweli naithibitisha kwa millad ikiwepo najua ni kweli kabisa Sina mashaka na Millad kajipanga kweli na atafika mbali sana inshallah
Mara nyingi wanaofanikiwa sana ktk maisha wana elimu kidogo tu.Ila wanaongozwa na nidhamu, kumcha Mungu na busara kubwa.Vijana wengi hasa wasomi mkipata tu elimu kidogo,mnadharau hadi ndugu na wazazi wenu, yes na no kibao mnakua mnaona dunia yote hakuna aliesoma.Muoneni milionea, very humble.Hana mambo mengi.Kavaa shuka lake ni simple tu.
@amanimanase5794
4 жыл бұрын
Hahahaaaa wakati wao wanajidai na vijisuti vyao
@kissarungereuwalemuuya1715
4 жыл бұрын
Nikweli kabisa nimeamini Maneno yako ndugu yangu mchangiaji asante sana kwa mchango wako mzuri sana na Maneno uyasemayo ni sahihi kabisa
@naimanurdin8984
4 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana Tedy Ila Kwa Sasa laizar Sio Milionea Ni bilionea Ujuee hakika Waja tuzid kuwa Ni Wenye khofu Ya Mungu Yote Inawezekana
@saumuhassan6365
4 жыл бұрын
True
@ramsikhamis7083
4 жыл бұрын
Upo sahihii kabisa ndugu yanguuu
wangapi wanawakubali hawa watu wawili ayo+lizer ayolizer gonga like zako apa.
@tonkud2111
4 жыл бұрын
😁😁😁
@mistere6601
4 жыл бұрын
Ayolizer😁😁
@lazaromaria5334
4 жыл бұрын
we jamaa umetisha
Kumbe maombi yanachelewa ila majibu yake yana kishindo!! Amenipa moyo na hamu ya kumcha Mungu!
@claudiangowi9585
4 жыл бұрын
Kabisa Mungu akikubariki watu wataacha midomo wazi
@allthingdranabeauty
4 жыл бұрын
Kweli
@sumaiyamahamoud2488
4 жыл бұрын
Inatakiwa imani dhabiti
@josephmulle7708
4 жыл бұрын
Fagan
@fettymussa5932
4 жыл бұрын
Kwel kabsa!!mungu hamtupi mja waje naamin na me siku moja🙏🙏
Nimeamini mungu yupo watu wa maombi gonga tukisema hallelujah
@khalfanikimanta6663
2 жыл бұрын
Wake wa nne fikiria hilo kwanza kuna hekma hapo
@khalfanikimanta6663
2 жыл бұрын
Watoto 30 pia kuna hekma hapo fikiria
Leizer anajibu kisomi na kwa utulivu kama msomi mwenye phd. Millard pia hongera sana kwa maswali mazuri, nakumbuka pia yule billionea wa Shinyanga aliyeuza madini ulimfata kumuhoji. Upo makini na vizuri Millard
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
Hakika
@nickalreadyknows
4 жыл бұрын
hahahaha ukiwa na hela bhn
@sidratybinkhamis2837
4 жыл бұрын
Jida
@noahakyoo4595
4 жыл бұрын
Millard Ayo napenda sana kazi yako na nakuombea Mungu akuinue zaidi
@noahakyoo4595
4 жыл бұрын
Millard Ayo napenda sana kazi yako na nakuombea Mungu akuinue zaidi
Huyu mzee mstarabu sana, MUNGU AKUZIDISHIE
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
amini
@iviejustified8109
4 жыл бұрын
Kabisa hata hana makuuu
@berthasanga8076
4 жыл бұрын
Hakika,amen
@vickyshayo7880
4 жыл бұрын
Huyu ana hofu ya Mungu Acha Mungu amlipe ujira wake hongera sanà
@felistasiwale7582
4 жыл бұрын
Nkweli aisee, ana busara sana na hekima
Good interview hongera sana mmasai mwenye hofu ya mungu
ana hekima , mtii ,mvumilivu , anamcha Mungu , si mkatji tamaa , wakati wakuinuliwa ulishatimia
@sylivesterandrewsylvester9120
4 жыл бұрын
Ishi utu Kaza buti, Mutangulize Yehova Mungu mbele.
Tumuamini mwenyezi Mungu kwa kila jambo kwani hakuna lisilo na wakati wake mtafutaji hupaswi kukata tamaa kwani Mungu yupo.na mbarikiwe wale wote mtakao muamini Mungu. Like kama unaamini Mungu anaweza
Millard ayo mpole san mkalim mnoo kaka angu nakupnda buree maswali yko ata mtot anayaelewa😙😙😙
Huyu mzee nimejifunza kitu kikubwa sana toka kwake hana papara na hizo pesa ila yuko na mipango mingi na pesa hawezi ipoteza kirahisi mana haendeshwi na hiyo pesa ila yeye ndo anaiendesha hapo ndo mana ya mtu makini kama lina phd kumbe ni darasa la saba ongera sana
The man is gentle na mnyenyekevu hongera
@mwimamagasta2299
4 жыл бұрын
Fģ9ifo
Hakunaaa Cha kukata tamaa nikufanya kazi na kumuomba mungu Ayeeeee piga kelele ake
Kma umeona mzee Hanaga haraka ya kujibu mpka umuulize gonga like
@mimiapa8436
4 жыл бұрын
Kwa kweli mtulivu sana pia kapata mtu mzuri wa kumuhoji
@mariamfritsi9761
4 жыл бұрын
Hana hamaki ya kujibu hakurupuki kujibu.
@bjzee1981
4 жыл бұрын
Wa Masai hawanaga mbwembwe. Angekua mzaramo hapo, au mdigo. Mamaaaaa
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Mstaarabu sana
Hili ni darasa Kwangu wacha niendelee kupambana ubilionea nitaukuta mbele inshaallah🙏
@fatmazullu4933
4 жыл бұрын
Salimu Saidi umenichekesha sana wallah basi inshallah
@sonianzotunga8575
4 жыл бұрын
InshaAllah Mungu wetu yupo
@salmaismail2363
4 жыл бұрын
Kikubwa kutokata tamaa na Kumtegemea Mungu Inshaallah Allah ataleta kheri
Interview nzuri sana muulizaji mzuri anayejibu yupo makini,
Hongera Mdogo Wangu milady nmeona ile Habari ya watu waivyojazana Kwa biionea aliyoifanya Kijana wako wa Arusha godii nakuona kama Bilionea ajaye
Bilionea kaishia darasa la Saba tu hakika mungu humpa amtakae bila ya hesabu tusikate Tamara hongera bilionea laizer
THE KING OF INTERVIEW MILLARD AYOO 🙏🖤
MZEE HANA BODY GUARD HATA MMOJA, WASANII WETU WAJIFUNZE.
Mashallah, Interview ya kizazi sana, Baba *SANINIU* uko vizur sana 😘🙏
@priscamlyuka5531
4 жыл бұрын
Nimetafuta coment ako nmeiona upooo jmn? Huwa napenda coment zako
Mungu huwashusha wenye kiburi bali huwapa wanyenyekevu wa moyo neema, hakika Mungu ameuona unyenyekevu wa huyu baba.Hata anavyoongea unajua tu hapa kuna hekima na busara.hongera sana baba Laizer.Tunacho cha kujifunza kutoka kwako baba hatakama sio ktk mafanikia makubwa kama hayo basi hata kwahaya madogo tuliyonayo.
hongera sana mzee laizer,ila mimi ushauri wangu kwako,najua serekali imeshachukua kodi yake, ila umkumbuke mungu fungu la kumi tena umtolee jinsi ilivyo ili ubarikiwe zaidi ktk maisha yako, Mungu akubariki sana,
@fridaykwama7715
4 жыл бұрын
Mzee kumbuka kutoa fungu la kumi na hakikisha unatoa mahali panapohubiriwa Injili ya kweli ili Mungu aendelee kuwekeza kwako mzee.
@beatricekingsley5062
4 жыл бұрын
Anajenga kanisa ilo nifungu lakumi toshaa
@africavibe8467
4 жыл бұрын
Hahahahha ww wa fungu la kumi utabak ivo ivo mungu akuna mahal anaimiza ilo
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
@@beatricekingsley5062 Hahaha aisee
@johanajoseph878
4 жыл бұрын
Kweli kabisa ila Mungu wa kweli haandikwi hivyo mungu❌ Mungu ✅
Uyu baba ni tajiri tangu kitambo
Such a humble man. Eeh kweli Mungu alisema ujishushe then yeye ndyo atakukweza.
👍👍👍maombi ni silaha
Nimefrah Sana kusikia unampenda mungu,,,Mungu Amekushangaz hakika,,,Na hatakwacha we Endelea tu kumwamini...Amen
Thumbs up for Tanzanian govt officials. Ingekua hapa kwetu, maafisa waserikali hao ndo wangekutoa uhai. Pongezi wa Tanzania.
@shalomkind4575
3 жыл бұрын
Nakwambia ingekua kenya!maafisa ndio wangemuua kiunyama sana .
ushirikina wake nikumuomba Mungu nduuu neema hiyo
Kaka Millard mwenyez mungu aendelee kukupigania ktk kazi yako hakika ww nimtangazaji no1 nakupenda sn na napenda sn kufatilia channel yako God bless u my brother ❤❤❤❤
Kumtegemea mungu Kuna faida
Kuomba Mungu ni Kitu Kubwa Sana🙏
yupo vizuri sana kuweka ibada every day
Hongera sana mmasai unaongea vzr
Miladi nakukubalisan kwan wewe ni wewe nimt2 wapekee mungu akulindee
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
anampinzani
Mungu NI Mungu tuu hajawahii kumwacha anayemwamini. Kakujibu Laizer
asante mwenyezi mungu kwa hii jambo umeifanyia brother na tz mungu akubariki kwa uaminifu juu mara wa kwanza mliamini ya kwamba akuna ugonjwa ya corona kwa jina la yesu Kristo juu makazi yenu inaendelea vzuri
Kaka milad Uko Vizury sana nakupenda sana Sana💕💞💕💕❤❤❤❤❤
Mashalah,hongera cn mzee kwa kumcha mung,,na kutokata tamaa,,umenifundish kitu xn,,umeishia la saba lkn km una hpd,,,,,,duh,ama kweli mung mwema na hhamtupi mja wake,,hongera xn millad ayo kwa maswali mazur,,na mzee kajibu kwa ufaxaha na unyenyekevu mzr,,,glory to god any time,,🙏🏼🙏🏼👏🏻
Nimejifunza usikate tamaa kamwe💕blessed you
Pamoj sana Millard upon vzr
Huyu mtu ni mnyenyekevu sana! Hongera Laizer!
Usikivu wa hekima. Na kumtanguliza Mungu. Ni mafanikio
😅😅 millard bwana anauliza mpaka raha
@douglaskomba2304
4 жыл бұрын
Kabisa
@laylertalpha8226
4 жыл бұрын
Kabsaaaaa nampenda buree
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
Hadi raha
Nimependa hajaacha asil ake ingekua wengne apo keshabadilisha muonekano wonderful enough he is educated masai without going to school
Hongera sana mzee kwa kutambua uwepo wa mungu na ukweli unaonekana una hofu ya mungu,,barikiwa sana
Ushirikina wangu ni kumuba sana mungu nimekulewa mzeeee 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mungu ndio funguo ya misha
Sasa bwana Millard unge upload mapema nisingemaliza mb zangu kule kwenye tv mbao,asante.
Big up bro utangazaji wako Safi
Karibu sana ndugu yangu😀😀, Millard laisaaa😀😀😂😂 Shikamoo pesa
watu wenye pesa huwa hawaongei sana 😂😂😂😂😂😂
@niaanthony9588
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Wangekuwa kina gigy money tungekoma
@bahatynyamboz9321
4 жыл бұрын
Diamond
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Sanaaa wanaongea kwa point
@ashuuuaisha9122
4 жыл бұрын
😀😂😀😂
@suleimanali5270
4 жыл бұрын
Roho ya huyo mzee ni njema sana
Wanawakubali Laizer wAGonga Like 🔥🔥 👇🔥 Subscribe Hapa Twende Sawa Wadau 🔥👇 kzread.info/dron/aS8hsEQnwQSMEQCT_GJIVQ.html 🔥🔥🔥 Nouuma na Nusu 🔥🔥🔥
@jessicabrown5885
4 жыл бұрын
Nice Unafanyaje kuweka link ya KZread channel kama ulivyo weka
mtu wa Mungu, Mungu aendelee kukubariki sana mzee laizer
jamaa kaishia lasaba unaweza ukadhani ana phd.... anaufaham mkubwa mno.
@ramsikhamis7083
4 жыл бұрын
Yaaan kabisaa nduguu anajibu kisomi nani mnyenyekevuu saanaa
Millard Ayo wee ni handsome 💋💋💋😍😍alafu ur voice nayo, it's amazing 💝
Kumbe Millard ayo in mzuri hivi
@peaduuundugukwashidamarsha9385
4 жыл бұрын
Idaya mwambie akuoe
@mercyshilako9102
4 жыл бұрын
Pia mm nammezea mate Sana ,😂😂😂😂😂😂,namwitaji siku moja atutembelee huku kenya
Wisdom is everything!God bless you more!
Darasa la saba like hapa tujuane
Ila mzee ana busara sana.Napenda jinsi anavyojieleza na ni mtu mwenye hekima na busara kubwa.Angekuwa mtu mwingine kichwa kingepata moto sana.
@vanessalaizer4363
4 жыл бұрын
Angepata msanii fulani hapo tungekoma
@priscamlyuka5531
4 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 hahahaha kwaa kweli yaniii
@rachelelias1923
4 жыл бұрын
Laizer katulia sana.. maana alishazoa kushika hela.. Hata familia aliyona kubwa na anaijali vzr.. na kuisomesha.. lazima mungu angempa rizik asingemuacha.. mungu alishauona Mayo wake.. pia ni mpambanaj.. amenitia moyo sana....
@Millad ana sauti nzuri pia ana maswali ya hekima sanaa hongera bro we love youu kwa kazi yako ktk jmii
Saut ya Millard jaman tamu kuskiliza😊
Hongera sana @millardayo kwa habar za nguvu daima
Mzee Laizzer nakupenda kwa jinsi unavyojibu kisomi zaidi na huna pupa hongera na pongezi kwako.
Walah Millard Una Sauti Nzuri jamani MashaAllah
@tumeerewamiki7490
4 жыл бұрын
Inavutia wallah
@mgenisalim6947
4 жыл бұрын
Sana Wallah
@naimanurdin8984
4 жыл бұрын
Kumbe tupo wengi Tunaovutiwa na Sauti Ya Ayo😁😁Mi Mara Nyingi hata sisikizi mahojiano nasikiza Sauti tu Ya Ayo Inavutia Sana😂😂
@dickmalove5544
4 жыл бұрын
Mkampe sasa
Maisha ni mzunguko Kuna kupta na kukosa hivoo hongera yake Masai lizer kwa kupta ubilionea huo tz apa💪💪
Millard ayo anabobea kwa mahojiano.
UZURI WA MAHUJIANO,,NI MASWALI..NAKUBALI SANA BRO BINGWA WA KUHOJI..IT'S EXCLUSIVE INTERVIEW
You have got money, Allah bless you and your family a new billioner of masai people.
Hongera sana mtangazaji na bilionea TZ
Nimejifunza sana kwako na nitafuata nyayo mzee . Mungu ni mkuu sana. Huyu baba ni mnyenyekevu na ana hekima zoote.
Dah mzee laizer wwe ni mfano mzur kwa jamii ya watanzania hongera bilionea
Mmasai mwenye busara Sana much lov
Millard naona hili umeenda kuhoji mwenywe hujataka mchezo kbsaa maana umepeleka vjana bt mzee umemuhoji mwenywe
Humility is everything.
Hongera sana mzee laiza uko mpole na kuonekana mtilivu sana ijapo ww billionaire
Mungu akusimamie baba hapa angekua mswahili yaan sahv angekua dubai huyu mzee amehastle miak 20 tuseme maan ameanza kupat manufaa 2015
Hongera Millard na kijana wako Gody na team yenu mmefanya makubwa sana,unawapa nafasi namkubali sana huyo dogo
@abuuramadhan8093
4 жыл бұрын
Darasa la Saba oyeeee
@abuuramadhan8093
4 жыл бұрын
Watu wengi wavumilivu wa maisha ni walioishia darasa la 7
Good interview
Nice interview Serikali imupatie ulinzi wataalamu na fursa awekeze
Kusoma sana haikufanyi ufanikiwe. Maisha hayana short cut aisee.. Wengi wenye mafanikio elim zao ni kidogo.👏👏 laizer
Mungu ndiyo chanzo cha utajiri mzuri,utajiri bila Mungu ni mateso..
Hongera bro Millard kazi nzur
Alifanya vizuri kutoenda shule maana shule zenyewe ni kama kupoteza muda tu. Hukute angekuwa mwalimu au daktari sasa 🤔 Mambo yenyewe yanayofundishwa shule yameshapitwa na wakati. Kinachotakiwa ni maarifa tu sio hizi shule za kutafuta cheti na sifa na kuongea Kiingereza cha ujanjajanja. Mungu habariki jitihada zake. Maarifa tu ndio muhimu na mtu unaweza kuwa na maarifa bila kupoteza muda ati kwenda shule
Hela zina mpangilio ...😂😂
Hongera sana Mr Laizer..Unajibu kisomi sana,,,Tangazo la joti jamanii lachekesha eti jamanii kama Boxer 🤣🤣🤣
hongera sana millard unafanya kazi nzur sana sana
Good interview..laizer anajibu maswal vizur sana
😍😍🙌🙌🙌💘💘🇰🇪🇰🇪🇰🇪laizer ongeza kislay queen mke wa tano 😝😝😝
@abuukiogwe6806
4 жыл бұрын
😁😀😀😀😀
Du Kama kunamwingine kaona watoto wengi kama mimi gonga Like twende sawa
Milard nilikuwa najua sauti YAKO Ni mitambo kumbe Ni yako
Nakupenda sana bilion aidhak
Kweli huyu jamaa handsome Sana. Cheki huo mwanya. Halafu sikio 😘
Hongera Sana baba kweli maneno yako
Hongera Sana millad kwa interview nzuri upo update sana
Kilometa 1.8 duuuuh, hatar yaan viwanja 18 vya mpira mbal sana
Yupo humble sana na inaonekana pesa haijamtia mawenge
Kwelikweli mwomba Mungu hachoki nimejifunza kitu hapa