MALI ZA BILIONEA MSUYA ZAITESA FAMILIA,SERIKALI YAINGILIA KATI
Жүктеу.....
Пікірлер: 287
@evamlay89974 жыл бұрын
Bibi babu mashangazi wote wezi tu wanatamaaa zakupata pesa
@dalianakerefu4904 жыл бұрын
Nyie hamna aibu watoto wa kubwa hivo bado mnaingilia Mali zao kumbukeni na nyie ni marehemu watarajiwa pumbavu
@susanafabiani3468
2 жыл бұрын
Aibu mno.sass hivi hata wao hawana kitu
@Sppah6974 жыл бұрын
Aibu! Bibi kasema amemfuts Erasto na watoto wake lakini mpesa na mali za watoto wa Erasto anazitaka.
@naimatemba8061
4 ай бұрын
Hii nchi jamani
@RachelLeonard4 жыл бұрын
Jamani muheshimiwa uko vizuri sana
@sadiqnasir92784 жыл бұрын
Tukipata viongozi km hawa tz tutapenya karibuni bless
@helenkambi39184 жыл бұрын
Sazingine Luna watu kusema urongo na waka aminiwa. Waachieni watoto Mali zao. Mwogopeni Mwenyezi Mungu
@helenkambi39184 жыл бұрын
God is great nimefurahi watoto mmerudi nyumbani
@ziadaalute68364 жыл бұрын
Marehemu Msuya pumzika kwa Amani,familia imepata pigo imepoteza ,baba,shangazi,mama anaozea jela,kwei mali ni fitina kubwa.
@mussanjit5124 ай бұрын
Dhaa kwel Tz ukifa watu wanagombania mali nakuto kujua uliishi vp mungu atuongoz 😢🙏
@karimabdul39284 жыл бұрын
Wanandugu kuweni na haya na mumuogope mungu.hayo yote ni kwaajili ya Mali za marehemu. angelikua masikini jr mngegombea kulea hiyo familia yake kama mnavyofanya sasa?
@chamwinoduka7446
4 жыл бұрын
Karim Abdul .hahahaaaa karim km wana mali wananyang'anywa mackin c ndo wangelkuwa wanakata majan ya ng'mbe km watumwa kabsa
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Ajabu
@naimanurdin28464 жыл бұрын
Dhuluma tu kama mna uchungu na watoto wa marehemu mnafungaje nyumba yao ambayo kaacha baba yao,,,,mimi kama hakimu nasema kama siyo mtoto wa marehemu izo mali hazikuhusu kapambane na hali yako
@catherineshirima3906
4 жыл бұрын
Wacheni kungangania mali za watoto kwani walishakuwa watu wazima hamna haya
@neemakatunzi1114
4 жыл бұрын
Wakapambane na hali zao,, ya hao dada zake si wameolewa wana waume zao waende wakaridhi zakwao wako after money tu,, watu wana miji yao mali za kaka yao za mini,, Aibu Tu
@naimanurdin2846
4 жыл бұрын
@@neemakatunzi1114 inauma my sana kuna Tv nyengine niliona eti wadada hao wamechukua milion 73 kila mmoja na mama kachukua milioni mia mbili na baba milioni mia mbili nikashangaa huu urithi wa aje adi kina dada wanarithi mali za marehemu kama hajaacha watoto jamani alafu pesa zote izo bado wanataka na zengine zilizopo kweny mabenk mengine
@neemakatunzi1114
4 жыл бұрын
@@naimanurdin2846 niliona mbona ata mimi hapo ndio nikajua wanatamaa tu uliona wapi Mali za kaka wakapewa mpaka madada wakati jamaa kaacha familia
@naimanurdin2846
4 жыл бұрын
@@neemakatunzi1114 kumbe umeona na wewe shoga😂😂😂Jamani mimi nimeshangaa na mgodi wamachukua alafu mgodi kumbe marehemu alishamuandikisha mwanawe kabla hajafa mtoto anasema ana dokment zote wao bado wameung'ang'ania bado haitoshi mmefunga nyumba yao baado haijatosha wamemweka ndani mama yao kha yaani mungu atawalaani vibaya hiyo familia
@missmoona44974 жыл бұрын
Hao kina bib na babu na watt wake wakike majiz matapeli hakuna chochote kinachowasumbua ni TAMAA2 waachien vyao watt mkatafute vyenu
@hechihechie5558
4 жыл бұрын
kabisaaaaa
@nemesitarimo6481
4 жыл бұрын
mimi naona hili suala lifanyike kimaandishi ili iwe kwa ajili ya kizazi na kizazi ya kwamba ni mali ya watoto wa marehemu na siivinginevyo.
@news8805
4 жыл бұрын
Dah! Dunia
@samsungj89444 жыл бұрын
Yaan we mama nimekuchukia mpk bc kufungia wajukuu zako nje miaka 2 mpk sababu ya mali za baba yao na angali mmepewa milioni Mia nne we na mmeo looooo lilivyo liroho eti linaitika ndio baba ndio baba kweli we ndo upepo wa kisulisuli
@isikesamike
4 жыл бұрын
Hahahaaa 😂😂😂😂
@damariszuckschwert9489
4 жыл бұрын
Yani bibi na babu na mashangazi wachawi wa mwisho.
@estherrobert345
4 жыл бұрын
mm yao yuko gerezan kwa kosa gani ?
@biggiebonge4231
4 жыл бұрын
@@estherrobert345 kwa jinsi inavyo onyesha ni ili wadhulumu mali za watoto. Maana kwenye video nyingine Mtoto amesema hata yeye aliwekwa ndani...
@EdithMtundu
19 күн бұрын
Yaani
@obecksimkwai95444 жыл бұрын
Tafuteni chenu, acheni Aibu
@gabrielisack77864 жыл бұрын
Utafute mali halafu wagombanie wengine yaani the world is not fair.
@damariszuckschwert9489
4 жыл бұрын
Inaniuma sana. Mali ya mwanaume mwenye mke na watoto inagombaniwa vipi na bibi na babu na mashangazi?
@leokamil6284
4 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 ajabu iwish ningekuwepo niwahukumie hawa inavyostahili kama mwanasheria Jerry Muro Mkuu wetu wapare hao walafi
@geographyteacher.2961
4 жыл бұрын
The world is fair but people are not fair
@nellymatalanga5033
4 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 inashangaza when some dies then his family starts fighting over his wealth forgetting tht marehemu ana watoto thy is sickening. Kupigania mali sio yako ni uzembe na tamaa
@damariszuckschwert9489
4 жыл бұрын
@@nellymatalanga5033 Inauma sana. Lakini pia inabidi watu tujifunze kuandika urith mapema we never know. Pesa ni shetani kabisa, zimemfanya mpaka bibi na babu wanawakana wajukuu.
@mohammedabdallah63904 жыл бұрын
Ukiwa huna kitu tabu ukiwa nacho pia tabu daaah dunia hii tamaa inaongzwa kuliko watu kuangalia umauti wao ikiwa alievitafuta ameviwacha si kma amependa il wakati ukifika hakuna kungoja
@morogorodoll397
4 жыл бұрын
Ukiwa huna kitu raha tu unajilalia zako kaburini kimya
@nicholausmakundi26634 жыл бұрын
Ni aibu sana kwa familia kugombea mali za marehemu.
@emmanuelmajele57844 жыл бұрын
Mkuu wakoa Mungu akubariki kwaekima yako mungu akupe miaka mingi yakuishi
@maryamm77654 жыл бұрын
Dah mtihan Mungu awafanyie wepes
@joseygaudence18864 жыл бұрын
Hao wamama wawaache watoto na mali za baba yao huyo Kijana ni mkubwa wanataka mgawanyo wa nini mi nachukia nataka kuingia kwenye simu niwazabe vibao hao wavivu wagombea mali
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Kama mimi ningekuwepo Arusha iswear ningewasaidia hawa watoto free staki chochote maana wanaonewa
@lihoyaalexander9555
4 жыл бұрын
Daaa dunia hii, ni bora hela yako ule bata kuliko haya mambo, si mutafute za kwenu, kumbukeni jasho la mtu haliliwi, acheni roho mbaya na dhulma, wazazi wakifa tuu munaanza kugombania Mali hamuna ht haya, ni wengi wanapitia hiyo hali hadi kupelekea mzazi anasusiwa watoto wa merehemu, jueni kwamba Kila nafsi itaonja umauti, hamuna utu hata kidogo, Mungu awape pigo kubwa muache kuwazulumu watoto wa marehemu
@mumyhendry31264 жыл бұрын
Yaan Mama,Baba na mashangazi sjui ukooo....wote mnaowadhulumu hawa watoto kwa sababu ya tamaaa na sio kwamba ni shida,mtakufa bila kutumia hzo hela ....yaan mama unapenda hela kuliko wajukuu wakoo????Mlaaaniwe milele😭😭😭
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Ameen
@ototek8037
4 жыл бұрын
Ameeeeeen
@FINGATanzania4 жыл бұрын
yan acha tu nipite mana iyo miela wanayogombania hapo,, mm na familia yangu yote tunaishiaga kusikia kwenye taarifa za habari tu,,,,,
@tamaraeliz71144 жыл бұрын
Bibi bibi unawageukia wajukuu zako
@stellapaul5795
4 жыл бұрын
Wewe Bibi
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Ati duh hawana utu
@africanhappyadventure6951
4 жыл бұрын
Usishangae kuna Hata watu wanamchochea hiyo Bibi afanye Hivyo..
@lafjob71994 жыл бұрын
Ivi kuel uyo mze nauwo bibi habawenzi kujieshimiya afazali waeshimiye umuli wao wakumbuke kama kifo kinawakalibiya
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Wamesahau wanaona mali ndio kila kitu
@lafjob7199
4 жыл бұрын
Hatali bro
@zesootv67264 жыл бұрын
Hii dunia changamoto sana ukiwa maskini udhaminiki katika jamii na ukiwa tajiri ukifa Mali ndugu wanagombania.
@godwincharles2484 жыл бұрын
Family inahitaji ulizi wakutosha mana mmmh
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Haswa yaani wasinywe hata chai na hao watamaa inshallah Mungu atawasaidia loh Dunia hii wazee mmezeeka bado mnauchu na mali ziwapeleke wapi?
@joasitz95594 жыл бұрын
Du roho inaumia sana, kufiwa tukusikie tu jamani.
@news8805
4 жыл бұрын
Hakika
@godwinsamora98714 жыл бұрын
Yaani wote wajanja yule mwanaume amepambana na kutafuta pesa halafu wengine wanapiga kelele mali za familia yake
@ashaslaa31854 жыл бұрын
hongera sana mkuu ,Jamani tuwe na utu
@najimshaib93064 жыл бұрын
Hongera mkuu wa wly mashaallah
@hassaniabdul714 жыл бұрын
Watu kama hawa ndo wanafanya wapale na wachaga waonekane wanapenda sana pesa
@stelladomani44294 жыл бұрын
Waschieni watoto mali zao shame on u" hamna hata hofu ya Mungu.
@leokamil62844 жыл бұрын
Bibi anachanganya maneno na kigugumizi cha unyanganyi.Pesa kashagaiwa kila kitu anataka kivipi jamani Dunia simama ati anadai mashamba na manyumba muogopeni Mungu mgodi ni wa Bbake mnasema haya mashamba na nyumba mnadai shea gani nyinyi Mrungu anawavona harika
@lightnessmmbando42294 жыл бұрын
Asante Mungu
@klaragreen79994 жыл бұрын
Hapo inaonanwkana WAZAZI tatizo wana uroho wa mali..
@chamwinoduka7446
4 жыл бұрын
Klara Green kibay unagombania leo hzo mal unafaliki miez miwil ijayo xx ndo nn i dhambi tu?!!! wat wazama hvo hekma hakuna duuuuu
@aishaisondo5928
4 жыл бұрын
Klara Green waachieni Mali zao nanyi tafuteni zenu hamna aibu
@husnaameen93092 жыл бұрын
Huyu Bibi kichefu chefu penda wajuu kuu zako pambana mkweo Kama kweli alishiriki kuumuua mwanao Kama pia amesingiziwa basi hukum ya mungu itamshikia kwani dam ya mtuu haipoteii bure
@abdulmtitu74784 жыл бұрын
Dah,aibu xn,respect marehm ngurumo& tx moshi,,mliona mbl xn,,,,"kwny msiba wa fukara mambo hua xaf,lkn kw mwny mali n matatzo,ufkia ht ndg kutoelewana,,tunatoana roho ya raby ii kw mali alzoacha baba"
@bertinkimati26744 жыл бұрын
Kimsingi marehemu alichuma mali zake na mkewe. Labda tu kama alikuwa biashara ya familia nzima hapo ndugu wana haki ya kudai gawio vinginevyo iwe marehemu ukiacha usia jinsi Mali zake zitagawiwa. Acheni kushulumu watoto na mke wa marehemu
@esabelfadhili84324 жыл бұрын
Hao ndugu Vipi?Waachie watoto vitu vyao....Watoto wa watu jamaniii
@alvinerick16224 жыл бұрын
Ila familiya za kipare ndivyo walivyo Hata mimi na familiya yangu imeshayakuta mpaka leo tulifuta undugu nao walitupora kila kitu
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Pare chagga ndio shida zetu mkoani kwetu ni kweli yetooo
@lizzynkifu4179
4 жыл бұрын
Wakatil yaan duh
@tanaboy51514 жыл бұрын
maamae hizi zurma kabisa eti bado kuna hisa za hotelini wew mama izo hisa za kwako tafuteni za kwenu yani apo mkuu wa wilaya jerry muro,, aina haja ya kukaa na wanasheria wakabizi watoto mali zao wao wenyew ndio watakao pendekeza kuchagua msimamizi,,, wizi tu
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
Dooh sas ww bib unatakaje mali za baba yao alafu watoto wapate Shid inakuwaje
@chamwinoduka7446
4 жыл бұрын
Khadija khadija .yan huyu bib anatak kucmamia mal za watot km nan? kwan wakil zikaisha c watajua zimeisha ni haki yao? kwn hapo wanapokaa hotel miaka mitatu mbona hawawasaidii km wanajua kuwa ni wajukuu wao? jmn mali hiz!
@leokamil6284
4 жыл бұрын
@@chamwinoduka7446 mimi nilishawaambia ndugu nikifa mali zangu ni wa wanangu labda wawagaie kwa hiari yao si vinginevyo na mirathi kabisa mapema.Maana Baba yangu alifanya hivyo hivyo aligawa kwa wanae tu hakuna ndugu wala Bbake mdogo na wala hakuna kikao cha ndugu kila kitu tulimaliza mgao Mahakama wtt kila mtu akapata chake sasa hii familia naishangaa walowezi
@senguolucy8550
4 жыл бұрын
Khadija khadija ...kumbe tajiri...akifa watu ni kuhaha tuu...
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
@@senguolucy8550 Chezea mali wew wako radhi wauwane
@josephgeorge76174 жыл бұрын
Binadamu binadamu jmn daaaaaaah dhuluma ya nn uyuuu Bibi inaonekan Ana kitu ndaniiiii yanguuuu ili swala n kubwa Sana mungu pia aingilie katiiii uyu mama duuuuuuu
@lilianlukeisa27394 жыл бұрын
Daaaah hiii familia bnaaa sahv wanajikuta wanauchungu na Hawa watt wangekua wanaumia kuhusu watt wasinge wafungia nyumba Hawa watto daaaah inauma cooo poaaaaa alafu kenge itoke huko ety nyo yaaaan Mali atafte baba yangu daaaah magufuri baba naomba ushughulike na hiii familia nataka I we fundishooo kwa wngne
@lovenessbernard39364 жыл бұрын
Ebu mkuu wa wilaya unawaita ofisini kwake wakafanye nn sheria Mali za marehem ni haki ya watoto swala linaeleweka na uyo dogo mwekee ulinzi watamtwanga tu wanauwana hao wachaga hao wazee ingekua mm ningewaloga tu hao wazeee
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Nashangaa hii si issue ya ofsini ni angekwenda nao Mkuu Mahakamani ikamalizike kisheria
@selemanjumanne48604 жыл бұрын
Mim ndo mana najilia bata tuuu ili nikifika nisiwaachie watu shida
@saffiahmisiko6358
4 жыл бұрын
Seleman Jumanne 😂😂😂😂😂😂SubhanAllah
@abdullasalim2794 жыл бұрын
Huyo babu na bibi hawajui nini wanafanya isipokua moyo yao wanataka kutenda dhulma....
@biggiebonge42314 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaya kama dhuluma na kutokua na haya kwa ndugu. Kijana ni mtu mzima na ana akili timamu mwacheni endelee na wale anao taka kuishi nao.
@aminathaabubakarmasoud5658 ай бұрын
Natafuta mali zangu mwenyewe kwa jasho langu kisha naacha wosia kuwa 60% ya mke na watoto na 40% ya Ndugu mali ni za watoto wako na mke labda watoto wenyewe waamue kugawia familia
@aslaylocationaslaylocation35694 жыл бұрын
Mali ni ya watoto nimekuelewaa muheshimiwa
@ramadhansylvesta19524 жыл бұрын
Hili suala liamriwe kisheria likiamliwa kisiasa litakuja kuibuka tena baadae
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Ithink the same thing cos hawa wapare wenzangu wanatia aibu mali imewafanya wawe vichaa wa tamaa.Hawa watoto wanaitaji wakili mzuri wa haki za watoto Mkuu wa Wilaya please maliza hili shauri kisheria ya kimahakama kwani hawa ni watata si unaona mwenyewe hawa wadada wanarithi wanarithi nini ni haki yao? Wakarithi kwa waumme zao.Ukimaliza kibila Mahakama watawarudi tena hawa watoto.Please na Serekali yetu tukufu tunaomba muwalinde hawa watoto hii familia ina utata.Ndio maana ilipelekea yule mke sjui ni kweli kuua maana watu wa aina hii ni mtihani ebu ona wanavyojiona wanahaki mbona wasidai hizo haki marehemu akiwa hai?
@africanhappyadventure6951
4 жыл бұрын
Ndio Maana akassema waende Ofisi watakuwa Mkuu Atakuwa na Wanasheria Wake watatatuaa tuu..Hiyo Kesi Haiwezi kuamuriwa Kisiasa..kwa Jinsi ilivyo Muro Pamoja Na Mambo Yale Haiwezi Fanya Hivyoo
@estermwambuzi87284 жыл бұрын
Hiv huyu mama ni bibi halali kweli wa hawa watoto!anawaza mali badala awe na uchungu wa kuondokewa na mwanae na kuwafariji wajukuu
@ZulfaJuma-hf7gr
11 ай бұрын
wachaga au😂
@annachales96234 жыл бұрын
Hadi machozi yamenitoka.. Naomba muwasaidie hawa watoto.
@maryclaralema25774 жыл бұрын
hili ni funzo kwa watu wote kwambaa ukiwa hai hakikisha mali zako zote unaziandikia urithi ili kuwakomesha watu wanaosubiri ufe ili wapate
@leokamil6284
4 жыл бұрын
True
@miambayankeba10844 жыл бұрын
Iyo makosa ya marehemu Kwasababu kama alivio kuwa tajiri alipashwa kujianda na suluhisho za mali yake kwasababu alikuwa najuwa kama kifo kinaweza kutokeya mda wowote
@prophetessmarylight4344 жыл бұрын
Kwanini hayo amkuyasema wakati Erasto yuko hai. Mali si zenu mali ni za watoto. Wewe shangazi mitandao hipo kuwakomesha wachawi Kama nyie. Tena mkome mkomae makafili nyie msio jua vibaya. Asanteni kwa kumfunga mama mkwe hila hakifa mtamla nyama.
@crissernest72694 жыл бұрын
Bora masikin Jaman...... Hiv Pesa, Pesa Pesa mkifa mtaenda Nazoooo.... Million 200 ni nying sana unauwezo wakujidhalishia Mali zako kupitia hiyo mln 200.... Lakin Bado hamtosheki.
@shijalameckmpemba45293 жыл бұрын
Acheni Mali ya watoto Hadi wakue jamani ila kijana huyo awe msimamizi na asiuze chochote ndio point
@smartonlinetv51444 ай бұрын
Mtu katafuta mali na mke wake kwa uchungu then leo hii inatokea mijitu fulani inataka kudhulumu mali huku marehemu kaacha mke na watoto hivi hii ni sawa kweli? Ndugu zangu wapare kwani tuna shida gani? Alieturoga ni nani kuhusu kupenda umiliki? Hii ni tabia mbaya sana.
@noonelike63824 жыл бұрын
Mmh! . Jamani! . Hao wote wakati marehemu ana Pambana yeye na mke wake. Kwa kuji nyima kwa kula ugali na chumvi ... Huenda hata pia mke wa marehemu alikuwa ana funga na kuiombea baraka kwa familia yake. .. Leo hii watu wengine ambao hata pia yawezekana walikuwa wakiwa wabeza. .. Mungu onekana kwa hawa watoto.
@madamekrst49994 жыл бұрын
Kwa muonekano nidhuruma tu.
@laussanga14964 жыл бұрын
Mheshimiwa muangalie Kwa undani zaidi watoto wawe naulinzi Bibi anavyo ongea inadhihirisha wazi nimuongo walimuekelea kesi mjane iliwapore Mali inauma Sana kwakweli nakesi yamjane ichunguzwe huenda wamemubandikizia kesi wakule hela poleni Sana watoto kiukweli inauma kutoka huku🇰🇪254 inaniuma sana
@mjukuumaiige85594 жыл бұрын
Wanatolea macho mali za erasto wanasahau kama erasto alizaa mijinga hiyo
@silverrichard29754 жыл бұрын
wachaga ni shida kwenye pesa
@user-pe9uo4ec6y
4 жыл бұрын
Hujielewi wewe hao ni wachaga au wapare?
@rammietv49074 жыл бұрын
HII K2 BHNA ITAUWA NDUGU WENGI SANA
@hashymharun93374 жыл бұрын
Dah Mali hizi ... mtu anageuka mpaka wajukuu zake
@zaharajuma50194 жыл бұрын
Ivi kama huyu Bibi au Babu mumezeeka hivi mnataka Mali zanini unakufa uziache na madada subirieni nanyinyi huko mliko olewa chamuko mtakipata malipo nihapahapa tuniani ahera esabu
@celebratingunited40644 жыл бұрын
yaan hii kali sasa dada anaingiaje jaman mali za watoto na mke wake
@samwelimashaka89974 жыл бұрын
Walitaka kuwadhuruma bwana kwani mali zakwao zawatoto bwana
@rahimaaaaa86994 жыл бұрын
Wewe mama wa miwani ni lijizi
@priscasilayo80964 жыл бұрын
yan bib unasubutu kupigania Mali za vijana unauzunisha sana watunziweje MKUBWA uyo mnaboa mpaka mzalilishwe mtandaon ndio mrudishe nyumban
@zubynyaku62694 жыл бұрын
Safi haki sawaa
@hawaafrica8034 жыл бұрын
Tena hao ndugu wangeshkuru sana kupewa urithi wa kakaayao hapo wangesali tu kumuombea ndugu yao apumzike kwa Amani
@lailmeeea49084 жыл бұрын
Khaaaaah! jmn vilivyopo dunia vyote ni mali ya Mungu
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Bibi na babu waenjoy mali kwa Nini?????? Yaani simple hesabu kwani kisheria baba akifa akaacha watoto nani wanachukua Mali???? Eti mmepokea asilimia 40 tu nyie mnataka asilimia ngapi na wakati kaacha familia? Mungu aingilie Kati jmn
@asteriashios18529 ай бұрын
Wapare wana matatinzo ya kupenda kesi sana lakini nyie ndugu wa marehemu hamna kwenu? Kwanini mnangangania mali za marehemu? Mali iliyobaki ni mali ya familia yake mama na watoto nyie mnataka nini tena? Na mnasema watoto wa marehu siyo wenu bc kaeni mbali
@seifmohamedseif94674 жыл бұрын
Kesi hii ngumu mashemeji naona wameshika masikio wajomba zao wanufaike na upande wa marehem nao wanataka wanaona wale wanakula haiwahusu hyo yote tamaa tu pande zote na watoto watapotea zaid huku watapata laana huku watalia pesa tu na mali kwisha
@maisaalawi53994 жыл бұрын
Very good
@angelmasala95684 жыл бұрын
Knawatu wanakua mabilioneyaa kwasababu ya ndunguu
@evamlay89974 жыл бұрын
Kwani uwongo bana
@samsonkaboko51374 жыл бұрын
We mama mwenye miwani nikibadikika na kuwa terminator nikaja hapo utanikoma
@carolinemlay533
4 жыл бұрын
Hahaaaaaaa
@jenniferkayoza96184 жыл бұрын
apo Mali niza watoto amna cha mm wala ndugu wala nani
@nuuringoogle41042 жыл бұрын
Halafu ninyi baadhi ya watansania mbona akili zenu ndogosana,, Huyu Marehem amewacha watoto wake,, Kishelia kabla ya yote selikali huangalia Kwanza je huyumarehem anamadeni aneyaacha! Ethen ndio watoto kila moja wao hupatiwamali Hizi msmbo shangazi mjomba hazipo kabisa wao watoto ndio wanaweza kuamua Nani apewe hivi kwanini mizunguko mingi hivyo 😳😩😩😢
@mr.machange13774 жыл бұрын
Umaskini shida utajiri shida.. Mambo yote Ni ubatili mtupu na kujilisha upepo Suleiman alisema
nimeamin pesa ni shetan mkuu hata iweje. yesu alisaltiwa kwa 7bu ya pesa hizi. ila watt wawe makin xn.hyo familia dam ya mauaji inaizunguka wacje poteza maisha kwa vtu vya kutafta. huyo kijana waombe hata milion mia achana nao waachie hilo jumba kapambane na biashara utapata tu kijana mwenzangu waache kabsa
@shairanadam14434 жыл бұрын
Acheni dhulumaa bhnaa
@jumaiddy40494 жыл бұрын
Hapo watatoana roho
@ashamwandu37814 жыл бұрын
Mapaka shume,sula kama kajambiwa na inzi,jitu zima haya huna,Mali ni za watoto ,
@abwevincent14384 ай бұрын
Kuna makabila kweli
@alexchungu95054 жыл бұрын
Huyu bibi mbona anaongea sana
@neemakatunzi1114
4 жыл бұрын
Bibi huyu anaongea kuliko ata mume wake hapo kuna Shida,, mzee kashikwa sikio
@alexchungu9505
4 жыл бұрын
Neema Katunzi , yani hatulii mbka ana boa.. 40% wameshapata, kilicho baki wangewaachia watoto..
@samkoka34 жыл бұрын
Hii kesi mara nying naisikia why hamtaki kutoa kauli ya kishujaaa
@brigitahaule68504 ай бұрын
jmn its so sad daah! sina hta chakuandka lakini inasikitsha
@florenciahashimu61955 ай бұрын
Yan Unakufa unaacha Mali zinagombaniwa😂😂😂
@valenakomba76864 жыл бұрын
GRANDRATHER LOOK THE SAME LIKE GRANDSON,
@moricembunda52844 жыл бұрын
Jamani adi icho kibibi kinangangania Mali duh wachaga mnapenda pesa
@mjukuumaiige85594 жыл бұрын
Yani watoto wanaishi hotel!
@priscadaniel73 жыл бұрын
Hatari jamani
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Huenda na huyo mama yao wame mfanyia figisu figisu ili akae mbali na haya mambo ya haki zake na watoto
Пікірлер: 287
Bibi babu mashangazi wote wezi tu wanatamaaa zakupata pesa
Nyie hamna aibu watoto wa kubwa hivo bado mnaingilia Mali zao kumbukeni na nyie ni marehemu watarajiwa pumbavu
@susanafabiani3468
2 жыл бұрын
Aibu mno.sass hivi hata wao hawana kitu
Aibu! Bibi kasema amemfuts Erasto na watoto wake lakini mpesa na mali za watoto wa Erasto anazitaka.
@naimatemba8061
4 ай бұрын
Hii nchi jamani
Jamani muheshimiwa uko vizuri sana
Tukipata viongozi km hawa tz tutapenya karibuni bless
Sazingine Luna watu kusema urongo na waka aminiwa. Waachieni watoto Mali zao. Mwogopeni Mwenyezi Mungu
God is great nimefurahi watoto mmerudi nyumbani
Marehemu Msuya pumzika kwa Amani,familia imepata pigo imepoteza ,baba,shangazi,mama anaozea jela,kwei mali ni fitina kubwa.
Dhaa kwel Tz ukifa watu wanagombania mali nakuto kujua uliishi vp mungu atuongoz 😢🙏
Wanandugu kuweni na haya na mumuogope mungu.hayo yote ni kwaajili ya Mali za marehemu. angelikua masikini jr mngegombea kulea hiyo familia yake kama mnavyofanya sasa?
@chamwinoduka7446
4 жыл бұрын
Karim Abdul .hahahaaaa karim km wana mali wananyang'anywa mackin c ndo wangelkuwa wanakata majan ya ng'mbe km watumwa kabsa
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Ajabu
Dhuluma tu kama mna uchungu na watoto wa marehemu mnafungaje nyumba yao ambayo kaacha baba yao,,,,mimi kama hakimu nasema kama siyo mtoto wa marehemu izo mali hazikuhusu kapambane na hali yako
@catherineshirima3906
4 жыл бұрын
Wacheni kungangania mali za watoto kwani walishakuwa watu wazima hamna haya
@neemakatunzi1114
4 жыл бұрын
Wakapambane na hali zao,, ya hao dada zake si wameolewa wana waume zao waende wakaridhi zakwao wako after money tu,, watu wana miji yao mali za kaka yao za mini,, Aibu Tu
@naimanurdin2846
4 жыл бұрын
@@neemakatunzi1114 inauma my sana kuna Tv nyengine niliona eti wadada hao wamechukua milion 73 kila mmoja na mama kachukua milioni mia mbili na baba milioni mia mbili nikashangaa huu urithi wa aje adi kina dada wanarithi mali za marehemu kama hajaacha watoto jamani alafu pesa zote izo bado wanataka na zengine zilizopo kweny mabenk mengine
@neemakatunzi1114
4 жыл бұрын
@@naimanurdin2846 niliona mbona ata mimi hapo ndio nikajua wanatamaa tu uliona wapi Mali za kaka wakapewa mpaka madada wakati jamaa kaacha familia
@naimanurdin2846
4 жыл бұрын
@@neemakatunzi1114 kumbe umeona na wewe shoga😂😂😂Jamani mimi nimeshangaa na mgodi wamachukua alafu mgodi kumbe marehemu alishamuandikisha mwanawe kabla hajafa mtoto anasema ana dokment zote wao bado wameung'ang'ania bado haitoshi mmefunga nyumba yao baado haijatosha wamemweka ndani mama yao kha yaani mungu atawalaani vibaya hiyo familia
Hao kina bib na babu na watt wake wakike majiz matapeli hakuna chochote kinachowasumbua ni TAMAA2 waachien vyao watt mkatafute vyenu
@hechihechie5558
4 жыл бұрын
kabisaaaaa
@nemesitarimo6481
4 жыл бұрын
mimi naona hili suala lifanyike kimaandishi ili iwe kwa ajili ya kizazi na kizazi ya kwamba ni mali ya watoto wa marehemu na siivinginevyo.
@news8805
4 жыл бұрын
Dah! Dunia
Yaan we mama nimekuchukia mpk bc kufungia wajukuu zako nje miaka 2 mpk sababu ya mali za baba yao na angali mmepewa milioni Mia nne we na mmeo looooo lilivyo liroho eti linaitika ndio baba ndio baba kweli we ndo upepo wa kisulisuli
@isikesamike
4 жыл бұрын
Hahahaaa 😂😂😂😂
@damariszuckschwert9489
4 жыл бұрын
Yani bibi na babu na mashangazi wachawi wa mwisho.
@estherrobert345
4 жыл бұрын
mm yao yuko gerezan kwa kosa gani ?
@biggiebonge4231
4 жыл бұрын
@@estherrobert345 kwa jinsi inavyo onyesha ni ili wadhulumu mali za watoto. Maana kwenye video nyingine Mtoto amesema hata yeye aliwekwa ndani...
@EdithMtundu
19 күн бұрын
Yaani
Tafuteni chenu, acheni Aibu
Utafute mali halafu wagombanie wengine yaani the world is not fair.
@damariszuckschwert9489
4 жыл бұрын
Inaniuma sana. Mali ya mwanaume mwenye mke na watoto inagombaniwa vipi na bibi na babu na mashangazi?
@leokamil6284
4 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 ajabu iwish ningekuwepo niwahukumie hawa inavyostahili kama mwanasheria Jerry Muro Mkuu wetu wapare hao walafi
@geographyteacher.2961
4 жыл бұрын
The world is fair but people are not fair
@nellymatalanga5033
4 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 inashangaza when some dies then his family starts fighting over his wealth forgetting tht marehemu ana watoto thy is sickening. Kupigania mali sio yako ni uzembe na tamaa
@damariszuckschwert9489
4 жыл бұрын
@@nellymatalanga5033 Inauma sana. Lakini pia inabidi watu tujifunze kuandika urith mapema we never know. Pesa ni shetani kabisa, zimemfanya mpaka bibi na babu wanawakana wajukuu.
Ukiwa huna kitu tabu ukiwa nacho pia tabu daaah dunia hii tamaa inaongzwa kuliko watu kuangalia umauti wao ikiwa alievitafuta ameviwacha si kma amependa il wakati ukifika hakuna kungoja
@morogorodoll397
4 жыл бұрын
Ukiwa huna kitu raha tu unajilalia zako kaburini kimya
Ni aibu sana kwa familia kugombea mali za marehemu.
Mkuu wakoa Mungu akubariki kwaekima yako mungu akupe miaka mingi yakuishi
Dah mtihan Mungu awafanyie wepes
Hao wamama wawaache watoto na mali za baba yao huyo Kijana ni mkubwa wanataka mgawanyo wa nini mi nachukia nataka kuingia kwenye simu niwazabe vibao hao wavivu wagombea mali
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Kama mimi ningekuwepo Arusha iswear ningewasaidia hawa watoto free staki chochote maana wanaonewa
@lihoyaalexander9555
4 жыл бұрын
Daaa dunia hii, ni bora hela yako ule bata kuliko haya mambo, si mutafute za kwenu, kumbukeni jasho la mtu haliliwi, acheni roho mbaya na dhulma, wazazi wakifa tuu munaanza kugombania Mali hamuna ht haya, ni wengi wanapitia hiyo hali hadi kupelekea mzazi anasusiwa watoto wa merehemu, jueni kwamba Kila nafsi itaonja umauti, hamuna utu hata kidogo, Mungu awape pigo kubwa muache kuwazulumu watoto wa marehemu
Yaan Mama,Baba na mashangazi sjui ukooo....wote mnaowadhulumu hawa watoto kwa sababu ya tamaaa na sio kwamba ni shida,mtakufa bila kutumia hzo hela ....yaan mama unapenda hela kuliko wajukuu wakoo????Mlaaaniwe milele😭😭😭
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Ameen
@ototek8037
4 жыл бұрын
Ameeeeeen
yan acha tu nipite mana iyo miela wanayogombania hapo,, mm na familia yangu yote tunaishiaga kusikia kwenye taarifa za habari tu,,,,,
Bibi bibi unawageukia wajukuu zako
@stellapaul5795
4 жыл бұрын
Wewe Bibi
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Ati duh hawana utu
@africanhappyadventure6951
4 жыл бұрын
Usishangae kuna Hata watu wanamchochea hiyo Bibi afanye Hivyo..
Ivi kuel uyo mze nauwo bibi habawenzi kujieshimiya afazali waeshimiye umuli wao wakumbuke kama kifo kinawakalibiya
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Wamesahau wanaona mali ndio kila kitu
@lafjob7199
4 жыл бұрын
Hatali bro
Hii dunia changamoto sana ukiwa maskini udhaminiki katika jamii na ukiwa tajiri ukifa Mali ndugu wanagombania.
Family inahitaji ulizi wakutosha mana mmmh
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Haswa yaani wasinywe hata chai na hao watamaa inshallah Mungu atawasaidia loh Dunia hii wazee mmezeeka bado mnauchu na mali ziwapeleke wapi?
Du roho inaumia sana, kufiwa tukusikie tu jamani.
@news8805
4 жыл бұрын
Hakika
Yaani wote wajanja yule mwanaume amepambana na kutafuta pesa halafu wengine wanapiga kelele mali za familia yake
hongera sana mkuu ,Jamani tuwe na utu
Hongera mkuu wa wly mashaallah
Watu kama hawa ndo wanafanya wapale na wachaga waonekane wanapenda sana pesa
Waschieni watoto mali zao shame on u" hamna hata hofu ya Mungu.
Bibi anachanganya maneno na kigugumizi cha unyanganyi.Pesa kashagaiwa kila kitu anataka kivipi jamani Dunia simama ati anadai mashamba na manyumba muogopeni Mungu mgodi ni wa Bbake mnasema haya mashamba na nyumba mnadai shea gani nyinyi Mrungu anawavona harika
Asante Mungu
Hapo inaonanwkana WAZAZI tatizo wana uroho wa mali..
@chamwinoduka7446
4 жыл бұрын
Klara Green kibay unagombania leo hzo mal unafaliki miez miwil ijayo xx ndo nn i dhambi tu?!!! wat wazama hvo hekma hakuna duuuuu
@aishaisondo5928
4 жыл бұрын
Klara Green waachieni Mali zao nanyi tafuteni zenu hamna aibu
Huyu Bibi kichefu chefu penda wajuu kuu zako pambana mkweo Kama kweli alishiriki kuumuua mwanao Kama pia amesingiziwa basi hukum ya mungu itamshikia kwani dam ya mtuu haipoteii bure
Dah,aibu xn,respect marehm ngurumo& tx moshi,,mliona mbl xn,,,,"kwny msiba wa fukara mambo hua xaf,lkn kw mwny mali n matatzo,ufkia ht ndg kutoelewana,,tunatoana roho ya raby ii kw mali alzoacha baba"
Kimsingi marehemu alichuma mali zake na mkewe. Labda tu kama alikuwa biashara ya familia nzima hapo ndugu wana haki ya kudai gawio vinginevyo iwe marehemu ukiacha usia jinsi Mali zake zitagawiwa. Acheni kushulumu watoto na mke wa marehemu
Hao ndugu Vipi?Waachie watoto vitu vyao....Watoto wa watu jamaniii
Ila familiya za kipare ndivyo walivyo Hata mimi na familiya yangu imeshayakuta mpaka leo tulifuta undugu nao walitupora kila kitu
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Pare chagga ndio shida zetu mkoani kwetu ni kweli yetooo
@lizzynkifu4179
4 жыл бұрын
Wakatil yaan duh
maamae hizi zurma kabisa eti bado kuna hisa za hotelini wew mama izo hisa za kwako tafuteni za kwenu yani apo mkuu wa wilaya jerry muro,, aina haja ya kukaa na wanasheria wakabizi watoto mali zao wao wenyew ndio watakao pendekeza kuchagua msimamizi,,, wizi tu
Dooh sas ww bib unatakaje mali za baba yao alafu watoto wapate Shid inakuwaje
@chamwinoduka7446
4 жыл бұрын
Khadija khadija .yan huyu bib anatak kucmamia mal za watot km nan? kwan wakil zikaisha c watajua zimeisha ni haki yao? kwn hapo wanapokaa hotel miaka mitatu mbona hawawasaidii km wanajua kuwa ni wajukuu wao? jmn mali hiz!
@leokamil6284
4 жыл бұрын
@@chamwinoduka7446 mimi nilishawaambia ndugu nikifa mali zangu ni wa wanangu labda wawagaie kwa hiari yao si vinginevyo na mirathi kabisa mapema.Maana Baba yangu alifanya hivyo hivyo aligawa kwa wanae tu hakuna ndugu wala Bbake mdogo na wala hakuna kikao cha ndugu kila kitu tulimaliza mgao Mahakama wtt kila mtu akapata chake sasa hii familia naishangaa walowezi
@senguolucy8550
4 жыл бұрын
Khadija khadija ...kumbe tajiri...akifa watu ni kuhaha tuu...
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
@@senguolucy8550 Chezea mali wew wako radhi wauwane
Binadamu binadamu jmn daaaaaaah dhuluma ya nn uyuuu Bibi inaonekan Ana kitu ndaniiiii yanguuuu ili swala n kubwa Sana mungu pia aingilie katiiii uyu mama duuuuuuu
Daaaah hiii familia bnaaa sahv wanajikuta wanauchungu na Hawa watt wangekua wanaumia kuhusu watt wasinge wafungia nyumba Hawa watto daaaah inauma cooo poaaaaa alafu kenge itoke huko ety nyo yaaaan Mali atafte baba yangu daaaah magufuri baba naomba ushughulike na hiii familia nataka I we fundishooo kwa wngne
Ebu mkuu wa wilaya unawaita ofisini kwake wakafanye nn sheria Mali za marehem ni haki ya watoto swala linaeleweka na uyo dogo mwekee ulinzi watamtwanga tu wanauwana hao wachaga hao wazee ingekua mm ningewaloga tu hao wazeee
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Nashangaa hii si issue ya ofsini ni angekwenda nao Mkuu Mahakamani ikamalizike kisheria
Mim ndo mana najilia bata tuuu ili nikifika nisiwaachie watu shida
@saffiahmisiko6358
4 жыл бұрын
Seleman Jumanne 😂😂😂😂😂😂SubhanAllah
Huyo babu na bibi hawajui nini wanafanya isipokua moyo yao wanataka kutenda dhulma....
Hakuna kitu kibaya kama dhuluma na kutokua na haya kwa ndugu. Kijana ni mtu mzima na ana akili timamu mwacheni endelee na wale anao taka kuishi nao.
Natafuta mali zangu mwenyewe kwa jasho langu kisha naacha wosia kuwa 60% ya mke na watoto na 40% ya Ndugu mali ni za watoto wako na mke labda watoto wenyewe waamue kugawia familia
Mali ni ya watoto nimekuelewaa muheshimiwa
Hili suala liamriwe kisheria likiamliwa kisiasa litakuja kuibuka tena baadae
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Ithink the same thing cos hawa wapare wenzangu wanatia aibu mali imewafanya wawe vichaa wa tamaa.Hawa watoto wanaitaji wakili mzuri wa haki za watoto Mkuu wa Wilaya please maliza hili shauri kisheria ya kimahakama kwani hawa ni watata si unaona mwenyewe hawa wadada wanarithi wanarithi nini ni haki yao? Wakarithi kwa waumme zao.Ukimaliza kibila Mahakama watawarudi tena hawa watoto.Please na Serekali yetu tukufu tunaomba muwalinde hawa watoto hii familia ina utata.Ndio maana ilipelekea yule mke sjui ni kweli kuua maana watu wa aina hii ni mtihani ebu ona wanavyojiona wanahaki mbona wasidai hizo haki marehemu akiwa hai?
@africanhappyadventure6951
4 жыл бұрын
Ndio Maana akassema waende Ofisi watakuwa Mkuu Atakuwa na Wanasheria Wake watatatuaa tuu..Hiyo Kesi Haiwezi kuamuriwa Kisiasa..kwa Jinsi ilivyo Muro Pamoja Na Mambo Yale Haiwezi Fanya Hivyoo
Hiv huyu mama ni bibi halali kweli wa hawa watoto!anawaza mali badala awe na uchungu wa kuondokewa na mwanae na kuwafariji wajukuu
@ZulfaJuma-hf7gr
11 ай бұрын
wachaga au😂
Hadi machozi yamenitoka.. Naomba muwasaidie hawa watoto.
hili ni funzo kwa watu wote kwambaa ukiwa hai hakikisha mali zako zote unaziandikia urithi ili kuwakomesha watu wanaosubiri ufe ili wapate
@leokamil6284
4 жыл бұрын
True
Iyo makosa ya marehemu Kwasababu kama alivio kuwa tajiri alipashwa kujianda na suluhisho za mali yake kwasababu alikuwa najuwa kama kifo kinaweza kutokeya mda wowote
Kwanini hayo amkuyasema wakati Erasto yuko hai. Mali si zenu mali ni za watoto. Wewe shangazi mitandao hipo kuwakomesha wachawi Kama nyie. Tena mkome mkomae makafili nyie msio jua vibaya. Asanteni kwa kumfunga mama mkwe hila hakifa mtamla nyama.
Bora masikin Jaman...... Hiv Pesa, Pesa Pesa mkifa mtaenda Nazoooo.... Million 200 ni nying sana unauwezo wakujidhalishia Mali zako kupitia hiyo mln 200.... Lakin Bado hamtosheki.
Acheni Mali ya watoto Hadi wakue jamani ila kijana huyo awe msimamizi na asiuze chochote ndio point
Mtu katafuta mali na mke wake kwa uchungu then leo hii inatokea mijitu fulani inataka kudhulumu mali huku marehemu kaacha mke na watoto hivi hii ni sawa kweli? Ndugu zangu wapare kwani tuna shida gani? Alieturoga ni nani kuhusu kupenda umiliki? Hii ni tabia mbaya sana.
Mmh! . Jamani! . Hao wote wakati marehemu ana Pambana yeye na mke wake. Kwa kuji nyima kwa kula ugali na chumvi ... Huenda hata pia mke wa marehemu alikuwa ana funga na kuiombea baraka kwa familia yake. .. Leo hii watu wengine ambao hata pia yawezekana walikuwa wakiwa wabeza. .. Mungu onekana kwa hawa watoto.
Kwa muonekano nidhuruma tu.
Mheshimiwa muangalie Kwa undani zaidi watoto wawe naulinzi Bibi anavyo ongea inadhihirisha wazi nimuongo walimuekelea kesi mjane iliwapore Mali inauma Sana kwakweli nakesi yamjane ichunguzwe huenda wamemubandikizia kesi wakule hela poleni Sana watoto kiukweli inauma kutoka huku🇰🇪254 inaniuma sana
Wanatolea macho mali za erasto wanasahau kama erasto alizaa mijinga hiyo
wachaga ni shida kwenye pesa
@user-pe9uo4ec6y
4 жыл бұрын
Hujielewi wewe hao ni wachaga au wapare?
HII K2 BHNA ITAUWA NDUGU WENGI SANA
Dah Mali hizi ... mtu anageuka mpaka wajukuu zake
Ivi kama huyu Bibi au Babu mumezeeka hivi mnataka Mali zanini unakufa uziache na madada subirieni nanyinyi huko mliko olewa chamuko mtakipata malipo nihapahapa tuniani ahera esabu
yaan hii kali sasa dada anaingiaje jaman mali za watoto na mke wake
Walitaka kuwadhuruma bwana kwani mali zakwao zawatoto bwana
Wewe mama wa miwani ni lijizi
yan bib unasubutu kupigania Mali za vijana unauzunisha sana watunziweje MKUBWA uyo mnaboa mpaka mzalilishwe mtandaon ndio mrudishe nyumban
Safi haki sawaa
Tena hao ndugu wangeshkuru sana kupewa urithi wa kakaayao hapo wangesali tu kumuombea ndugu yao apumzike kwa Amani
Khaaaaah! jmn vilivyopo dunia vyote ni mali ya Mungu
Bibi na babu waenjoy mali kwa Nini?????? Yaani simple hesabu kwani kisheria baba akifa akaacha watoto nani wanachukua Mali???? Eti mmepokea asilimia 40 tu nyie mnataka asilimia ngapi na wakati kaacha familia? Mungu aingilie Kati jmn
Wapare wana matatinzo ya kupenda kesi sana lakini nyie ndugu wa marehemu hamna kwenu? Kwanini mnangangania mali za marehemu? Mali iliyobaki ni mali ya familia yake mama na watoto nyie mnataka nini tena? Na mnasema watoto wa marehu siyo wenu bc kaeni mbali
Kesi hii ngumu mashemeji naona wameshika masikio wajomba zao wanufaike na upande wa marehem nao wanataka wanaona wale wanakula haiwahusu hyo yote tamaa tu pande zote na watoto watapotea zaid huku watapata laana huku watalia pesa tu na mali kwisha
Very good
Knawatu wanakua mabilioneyaa kwasababu ya ndunguu
Kwani uwongo bana
We mama mwenye miwani nikibadikika na kuwa terminator nikaja hapo utanikoma
@carolinemlay533
4 жыл бұрын
Hahaaaaaaa
apo Mali niza watoto amna cha mm wala ndugu wala nani
Halafu ninyi baadhi ya watansania mbona akili zenu ndogosana,, Huyu Marehem amewacha watoto wake,, Kishelia kabla ya yote selikali huangalia Kwanza je huyumarehem anamadeni aneyaacha! Ethen ndio watoto kila moja wao hupatiwamali Hizi msmbo shangazi mjomba hazipo kabisa wao watoto ndio wanaweza kuamua Nani apewe hivi kwanini mizunguko mingi hivyo 😳😩😩😢
Umaskini shida utajiri shida.. Mambo yote Ni ubatili mtupu na kujilisha upepo Suleiman alisema
Wazazi jifunzeni kuandika urithi ndugu acheni mnatafuta laana
Wachen watoto wamarehem na mali zao
nimeamin pesa ni shetan mkuu hata iweje. yesu alisaltiwa kwa 7bu ya pesa hizi. ila watt wawe makin xn.hyo familia dam ya mauaji inaizunguka wacje poteza maisha kwa vtu vya kutafta. huyo kijana waombe hata milion mia achana nao waachie hilo jumba kapambane na biashara utapata tu kijana mwenzangu waache kabsa
Acheni dhulumaa bhnaa
Hapo watatoana roho
Mapaka shume,sula kama kajambiwa na inzi,jitu zima haya huna,Mali ni za watoto ,
Kuna makabila kweli
Huyu bibi mbona anaongea sana
@neemakatunzi1114
4 жыл бұрын
Bibi huyu anaongea kuliko ata mume wake hapo kuna Shida,, mzee kashikwa sikio
@alexchungu9505
4 жыл бұрын
Neema Katunzi , yani hatulii mbka ana boa.. 40% wameshapata, kilicho baki wangewaachia watoto..
Hii kesi mara nying naisikia why hamtaki kutoa kauli ya kishujaaa
jmn its so sad daah! sina hta chakuandka lakini inasikitsha
Yan Unakufa unaacha Mali zinagombaniwa😂😂😂
GRANDRATHER LOOK THE SAME LIKE GRANDSON,
Jamani adi icho kibibi kinangangania Mali duh wachaga mnapenda pesa
Yani watoto wanaishi hotel!
Hatari jamani
Huenda na huyo mama yao wame mfanyia figisu figisu ili akae mbali na haya mambo ya haki zake na watoto