HUYU HAPA MTOTO WA KWANZA WA BILIONEA LAIZER ALIYESHIRIKI UPATIKANAJI WA TANZANITE MERERANI

Пікірлер: 113

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero84664 жыл бұрын

    Brilliant kiongozi mzuri huyu kijana nimependa alivyosema wanafanya Kazi as a team work may God bless your beautiful family I love Masai people kutoka moyoni mimi mwenyewe nawish ningekuwa mmasai

  • @patrickmadiwa3845

    @patrickmadiwa3845

    4 жыл бұрын

    Njoo nikuoe , Mimi ni mmasai. Kwetu handeni

  • @shalomkind4575

    @shalomkind4575

    3 жыл бұрын

    Asante kwa kupenda watu wetu karibu

  • @fadhilasaidlukas7543
    @fadhilasaidlukas75434 жыл бұрын

    Mashallah hongereni sana Kwa familia yako mungu awabariki

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown11014 жыл бұрын

    Lingekuwa toto lingine lingepeleka jiwe moja kwa mzee, Safi Sana dogo kikubwa nizamu na uaminifu mtafika mbali

  • @tedymwandara5480

    @tedymwandara5480

    4 жыл бұрын

    😂😂😂 kweli matoto mengine yana tamaa toka tumboni.Ila wamasai kwenye upande wa malezi wako vizuri.

  • @happnessjulius6383

    @happnessjulius6383

    4 жыл бұрын

    Hahaha je.kama.alipata matatu akapeleka mbili?

  • @barakaluvanda7941

    @barakaluvanda7941

    4 жыл бұрын

    @@happnessjulius6383 ndy ilivyo nahis 😂😂

  • @barakaluvanda7941

    @barakaluvanda7941

    4 жыл бұрын

    @@tedymwandara5480 😂😂

  • @isunga1964
    @isunga19644 жыл бұрын

    Naomba nafasi ya kuchimba naweza sana nina nguvu kabisa mwenye nafasi ya kuchimba madini jaman😊😊😊

  • @opodobedience5441
    @opodobedience54414 жыл бұрын

    Huyu agombee ubunge awe waziri wa madini... Imeisha hiyoo

  • @drookiemaik8393

    @drookiemaik8393

    4 жыл бұрын

    Umetisha sana na hilo wazo

  • @8pistons194

    @8pistons194

    4 жыл бұрын

    Nan atampa huo ubunge

  • @marckgft9764

    @marckgft9764

    4 жыл бұрын

    @@8pistons194 hlo nalo wazo😂😂😂

  • @beautymasatu1200

    @beautymasatu1200

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @rehemagisunte1271

    @rehemagisunte1271

    4 жыл бұрын

    Obedi Odupoi nimecheka 🤣🤣🤣

  • @rehemaa597
    @rehemaa5974 жыл бұрын

    Sio angeficha sema kabila za kimasai zinamaadili na ulezi wao ni mzuri sio machokaraa nyie wengine hamna adabu

  • @sportsfocus8469

    @sportsfocus8469

    4 жыл бұрын

    Sasa wewe ndio Una Adabu ya. Kuita watu machokoraaa

  • @angelokihaka8363
    @angelokihaka83634 жыл бұрын

    Familia ya Laizer wote ma HANDSOME .jomon 😁😁😁😁

  • @britonngale6644

    @britonngale6644

    4 жыл бұрын

    Hanhabhaa

  • @neemawayesu1771

    @neemawayesu1771

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @nuruyusuf650

    @nuruyusuf650

    4 жыл бұрын

    Mumeanza

  • @maggieswai1623

    @maggieswai1623

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @abdiemajambo7842
    @abdiemajambo78424 жыл бұрын

    nakubali kazi mzee LAIZER

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta25784 жыл бұрын

    Laizer Heshima yako. Umelea kwa kweli 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @juliaayieta2578

    @juliaayieta2578

    4 жыл бұрын

    Ali Ali 😂😂😂😂 Ali ella hizi si hadithi za bunuasi? Eti una mawe hatari na bado Millard ayo hajakufikia 🤪🤪🤪

  • @aishaawadhimalokimaloki9953

    @aishaawadhimalokimaloki9953

    4 жыл бұрын

    @@AliAli-rx6wu 😁😁😁😁😁😁😁

  • @niaanthony9588
    @niaanthony95884 жыл бұрын

    MashaaAllah wamasai wasomi hongera

  • @annassuleiman4508

    @annassuleiman4508

    4 жыл бұрын

    Sana tu si unamuona sumaye alivyo.

  • @maggiechristopher8817

    @maggiechristopher8817

    4 жыл бұрын

    Annas Suleiman Sumaye sio mmaasi ni mwirak

  • @eunicegerminus4964
    @eunicegerminus49644 жыл бұрын

    Nimeipenda sana hii familia wasomi 🥰🥰🥰🥰

  • @youngdady7901
    @youngdady79014 жыл бұрын

    demu wa huyo jamaa hamuachi kamwe 😊😊

  • @helenamfimba2049

    @helenamfimba2049

    4 жыл бұрын

    Kwanini asimuache

  • @eastcuisines124

    @eastcuisines124

    4 жыл бұрын

    😄😄😄

  • @hellenmassawe7284

    @hellenmassawe7284

    8 ай бұрын

    Anaachwa tuu mbona

  • @naimanurdin8984
    @naimanurdin89844 жыл бұрын

    Mtoto wa Bilionea kama mtoto wa Bilionea Laizer

  • @user-im5ts7ws5d

    @user-im5ts7ws5d

    3 жыл бұрын

    Hongela.. San

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu69374 жыл бұрын

    Hongera sana laizer kwa kumlea kijana huyu vizuri ana nidhamu sana kama ndio yangekuwa mavijana mengine hayo mawe lingetoweka nayo ila wewe Kijana umelelewa kimaadili sana Mungu aendelee kukutunza.

  • @judymasunzu7517

    @judymasunzu7517

    4 жыл бұрын

    Kwa Ukuta wa Mererani siyo Rahisi kutoka na mawe bila idhini ya Serikali

  • @Cherriechina
    @Cherriechina4 жыл бұрын

    His age ndo miaka ya future husband ninae muhitaji jamon🥺😍🤗🤗😂

  • @damg4332

    @damg4332

    4 жыл бұрын

    🙆😂😂😂😂😂

  • @amoury1481

    @amoury1481

    4 жыл бұрын

    eti ee

  • @RomwardWM

    @RomwardWM

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣😅😅😅🏃njoo kwani nami mtoto wa saniniu laizer

  • @aishaawadhimalokimaloki9953

    @aishaawadhimalokimaloki9953

    4 жыл бұрын

    @@RomwardWM 😁😁😁😁😁

  • @francismngumi5125

    @francismngumi5125

    4 жыл бұрын

    Hahaha

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13084 жыл бұрын

    Sekta ya madini ina mambo mengi sana.bado tunahitaji sera nzuri kwa wachimbaji wetu,hasa kupewa elimu ya mlipa kodi

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas43564 жыл бұрын

    Pia wapo wamasai sio waaminigu,kikubwa ni malezi na mlelew kuyapoke malezi na maelekezo ya wanao mlea.Mimi nilimuajiri msai awe mlinzi wa eneo langu.Lakini aliniibia.Nimempa mshahara siku nimemlipa mchana.Usiku wakuamkia kesho akavunja hofisi nakukimbia nakukimbia.

  • @philemonmollel2692
    @philemonmollel26924 жыл бұрын

    Hongera mwandishi

  • @beatriceherman9748
    @beatriceherman97484 жыл бұрын

    Hongereni kwa ujumla

  • @allykilango6918

    @allykilango6918

    3 жыл бұрын

    Nje

  • @mulikatvonleni5339
    @mulikatvonleni53394 жыл бұрын

    Kawaida ya madini yoyote nikama mchezo wakubahatisha hakuna choka subira muhimu kupoteza ndio changamoto hongera b leizer

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa39884 жыл бұрын

    Hyu anafaa kwa chakula halafu bonge la hb

  • @kutokaughaibuni
    @kutokaughaibuni4 жыл бұрын

    kanunua na Iphone hahahahaha aweeee

  • @mwakaloboambele5161
    @mwakaloboambele51614 жыл бұрын

    Laize noma

  • @aybkham5795
    @aybkham57954 жыл бұрын

    Safi nawe ni bilionea

  • @alexlukumay8863
    @alexlukumay88634 жыл бұрын

    Hatarii

  • @christophermlaponi534
    @christophermlaponi5344 жыл бұрын

    Maswali ya mtangazaji ni mepesi mno !

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde16904 жыл бұрын

    Dogo anavyoongea sio kama mmasai vile safi sana

  • @mohamedchorah8514
    @mohamedchorah85144 жыл бұрын

    Laizer habari ya town wapi Rahim Haikatai

  • @innocentebarnabas4615
    @innocentebarnabas46154 жыл бұрын

    Hamna kazi Ayo

  • @12322879
    @123228794 жыл бұрын

    Mademu ni maninja sana,badala ya kumkamata huyu nyie mnamtaka babaake 🤣

  • @judykavishe1703

    @judykavishe1703

    4 жыл бұрын

    Ahahah huyu mwenyew kashaoa

  • @kutokaughaibuni
    @kutokaughaibuni4 жыл бұрын

    huyu ndo atakae bunjua mpunga wa mshua haha

  • @jwisetv4833
    @jwisetv48334 жыл бұрын

    Ameulamba mapema

  • @benitoilulatvpilla144
    @benitoilulatvpilla1444 жыл бұрын

    Pmilad ago huko mkirud mtakua mmenenepa naona hamtok huko

  • @HASASON
    @HASASON4 жыл бұрын

    Naona mzee bilionea Laizer anapiga gospel na family yake 4:21 😅👪

  • @aminajuma2981
    @aminajuma29814 жыл бұрын

    Wewe mbona uvai kimasai kama baba yako

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha16874 жыл бұрын

    Vixos amenenepa au macho yangu?

  • @kitonekantasha1687

    @kitonekantasha1687

    4 жыл бұрын

    Millard hongera sana kwa kituza vijana wako vywema

  • @joycejohn7754

    @joycejohn7754

    4 жыл бұрын

    Sio yeye

  • @asharamadhani4641
    @asharamadhani46414 жыл бұрын

    Ngoja jipite

  • @charlesnassary6689
    @charlesnassary66894 жыл бұрын

    duu

  • @crayonmaze9970
    @crayonmaze99704 жыл бұрын

    Ukipiga hesabu Tanzanite iliyopatikana ina thamani sio chini ya Billion 70, kapewa 7🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️

  • @msolopaganz4446

    @msolopaganz4446

    4 жыл бұрын

    Nizaidi ya billioni 200 marekani ila ukisubiri mmarekani anunie watu wanakuingilia wanakupiga risasi sasa chagua billioni 7 au risasi za kichwa wewe na familia yako

  • @rabielmaringo4245

    @rabielmaringo4245

    4 жыл бұрын

    Lete 50 bilion ununue maana hujui madini umelishwa matango poli unadhani unajua zaid

  • @videozaaj1069

    @videozaaj1069

    4 жыл бұрын

    Bongo kila mtu mtaalamu.. Haya bnh mtaalamu 🙌🙌

  • @faizaahamd2052

    @faizaahamd2052

    4 жыл бұрын

    Yanapimwa ww mwehu nn

  • @helenamfimba2049

    @helenamfimba2049

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiii mbavu zangumie Rabiel maringo usitake kutuvunja mbavu hujui kama kilambongo anajifanya mjuaji

  • @halimamwajuma9208
    @halimamwajuma92084 жыл бұрын

    Huyo mtoto wa laizer ameoa?😂

  • @jumasalawa2433

    @jumasalawa2433

    4 жыл бұрын

    tyr ana mke ehe ukitaje lbda

  • @khamisdaima1455

    @khamisdaima1455

    4 жыл бұрын

    Hehehe unataka mume au pesa ?

  • @salmaalimusa547

    @salmaalimusa547

    4 жыл бұрын

    @@AliAli-rx6wu hehehehe hiyo nyau utakubaliwa ???

  • @evansokemwa6587

    @evansokemwa6587

    4 жыл бұрын

    pando hajaoa

  • @mdeeboy846

    @mdeeboy846

    4 жыл бұрын

    Acha tamaa,kuna Ukimwi

  • @cosimamianga728
    @cosimamianga7284 жыл бұрын

    U

  • @joycekokunula9137
    @joycekokunula91374 жыл бұрын

    Maasai huwa ni waaminifu sana, wana malezi mazuri na ni watiifu, huyu kijana apewe cheo serikalini

  • @lolemayjr5531

    @lolemayjr5531

    4 жыл бұрын

    Kabisa yaan

  • @Officalnaph

    @Officalnaph

    4 жыл бұрын

    wewe serikali haipo hivyo

  • @joycemodest83

    @joycemodest83

    4 жыл бұрын

    Nani uyo ampekz

  • @annajohn8597

    @annajohn8597

    4 жыл бұрын

    Mabilioni yote ayo bado apewe nafasi

  • @mrs2918
    @mrs29184 жыл бұрын

    28yrs old ana wadogo zake 29 dah kua ujionee

  • @nyamogafamily4262

    @nyamogafamily4262

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @kelvinjohn6851

    @kelvinjohn6851

    4 жыл бұрын

    Fyatua tu

  • @mackmillan2803

    @mackmillan2803

    4 жыл бұрын

    Pacha

  • @clevergwimile4073

    @clevergwimile4073

    4 жыл бұрын

    izo pesa mbna chap tuu zinakata???!?

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    4 жыл бұрын

    Mzee anafyatua kweli. Ila kachelewa kupata watoto

  • @deniseliuter8288
    @deniseliuter82884 жыл бұрын

    Inaitwa pocket kijiolojia

Келесі