HUYU HAPA MTOTO WA KWANZA WA BILIONEA LAIZER ALIYESHIRIKI UPATIKANAJI WA TANZANITE MERERANI
Жүктеу.....
Пікірлер: 113
@salmaluhombero84664 жыл бұрын
Brilliant kiongozi mzuri huyu kijana nimependa alivyosema wanafanya Kazi as a team work may God bless your beautiful family I love Masai people kutoka moyoni mimi mwenyewe nawish ningekuwa mmasai
@patrickmadiwa3845
4 жыл бұрын
Njoo nikuoe , Mimi ni mmasai. Kwetu handeni
@shalomkind4575
3 жыл бұрын
Asante kwa kupenda watu wetu karibu
@fadhilasaidlukas75434 жыл бұрын
Mashallah hongereni sana Kwa familia yako mungu awabariki
@eaglecrown11014 жыл бұрын
Lingekuwa toto lingine lingepeleka jiwe moja kwa mzee, Safi Sana dogo kikubwa nizamu na uaminifu mtafika mbali
@tedymwandara5480
4 жыл бұрын
😂😂😂 kweli matoto mengine yana tamaa toka tumboni.Ila wamasai kwenye upande wa malezi wako vizuri.
@happnessjulius6383
4 жыл бұрын
Hahaha je.kama.alipata matatu akapeleka mbili?
@barakaluvanda7941
4 жыл бұрын
@@happnessjulius6383 ndy ilivyo nahis 😂😂
@barakaluvanda7941
4 жыл бұрын
@@tedymwandara5480 😂😂
@isunga19644 жыл бұрын
Naomba nafasi ya kuchimba naweza sana nina nguvu kabisa mwenye nafasi ya kuchimba madini jaman😊😊😊
@opodobedience54414 жыл бұрын
Huyu agombee ubunge awe waziri wa madini... Imeisha hiyoo
@drookiemaik8393
4 жыл бұрын
Umetisha sana na hilo wazo
@8pistons194
4 жыл бұрын
Nan atampa huo ubunge
@marckgft9764
4 жыл бұрын
@@8pistons194 hlo nalo wazo😂😂😂
@beautymasatu1200
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@rehemagisunte1271
4 жыл бұрын
Obedi Odupoi nimecheka 🤣🤣🤣
@rehemaa5974 жыл бұрын
Sio angeficha sema kabila za kimasai zinamaadili na ulezi wao ni mzuri sio machokaraa nyie wengine hamna adabu
@sportsfocus8469
4 жыл бұрын
Sasa wewe ndio Una Adabu ya. Kuita watu machokoraaa
@angelokihaka83634 жыл бұрын
Familia ya Laizer wote ma HANDSOME .jomon 😁😁😁😁
@britonngale6644
4 жыл бұрын
Hanhabhaa
@neemawayesu1771
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nuruyusuf650
4 жыл бұрын
Mumeanza
@maggieswai1623
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@abdiemajambo78424 жыл бұрын
nakubali kazi mzee LAIZER
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Laizer Heshima yako. Umelea kwa kweli 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@juliaayieta2578
4 жыл бұрын
Ali Ali 😂😂😂😂 Ali ella hizi si hadithi za bunuasi? Eti una mawe hatari na bado Millard ayo hajakufikia 🤪🤪🤪
@aishaawadhimalokimaloki9953
4 жыл бұрын
@@AliAli-rx6wu 😁😁😁😁😁😁😁
@niaanthony95884 жыл бұрын
MashaaAllah wamasai wasomi hongera
@annassuleiman4508
4 жыл бұрын
Sana tu si unamuona sumaye alivyo.
@maggiechristopher8817
4 жыл бұрын
Annas Suleiman Sumaye sio mmaasi ni mwirak
@eunicegerminus49644 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii familia wasomi 🥰🥰🥰🥰
@youngdady79014 жыл бұрын
demu wa huyo jamaa hamuachi kamwe 😊😊
@helenamfimba2049
4 жыл бұрын
Kwanini asimuache
@eastcuisines124
4 жыл бұрын
😄😄😄
@hellenmassawe7284
8 ай бұрын
Anaachwa tuu mbona
@naimanurdin89844 жыл бұрын
Mtoto wa Bilionea kama mtoto wa Bilionea Laizer
@user-im5ts7ws5d
3 жыл бұрын
Hongela.. San
@elizabethmwandu69374 жыл бұрын
Hongera sana laizer kwa kumlea kijana huyu vizuri ana nidhamu sana kama ndio yangekuwa mavijana mengine hayo mawe lingetoweka nayo ila wewe Kijana umelelewa kimaadili sana Mungu aendelee kukutunza.
@judymasunzu7517
4 жыл бұрын
Kwa Ukuta wa Mererani siyo Rahisi kutoka na mawe bila idhini ya Serikali
@Cherriechina4 жыл бұрын
His age ndo miaka ya future husband ninae muhitaji jamon🥺😍🤗🤗😂
@damg4332
4 жыл бұрын
🙆😂😂😂😂😂
@amoury1481
4 жыл бұрын
eti ee
@RomwardWM
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😅😅😅🏃njoo kwani nami mtoto wa saniniu laizer
@aishaawadhimalokimaloki9953
4 жыл бұрын
@@RomwardWM 😁😁😁😁😁
@francismngumi5125
4 жыл бұрын
Hahaha
@erickchitumbi13084 жыл бұрын
Sekta ya madini ina mambo mengi sana.bado tunahitaji sera nzuri kwa wachimbaji wetu,hasa kupewa elimu ya mlipa kodi
@saimonijonas43564 жыл бұрын
Pia wapo wamasai sio waaminigu,kikubwa ni malezi na mlelew kuyapoke malezi na maelekezo ya wanao mlea.Mimi nilimuajiri msai awe mlinzi wa eneo langu.Lakini aliniibia.Nimempa mshahara siku nimemlipa mchana.Usiku wakuamkia kesho akavunja hofisi nakukimbia nakukimbia.
@philemonmollel26924 жыл бұрын
Hongera mwandishi
@beatriceherman97484 жыл бұрын
Hongereni kwa ujumla
@allykilango6918
3 жыл бұрын
Nje
@mulikatvonleni53394 жыл бұрын
Kawaida ya madini yoyote nikama mchezo wakubahatisha hakuna choka subira muhimu kupoteza ndio changamoto hongera b leizer
@mbarikiwambarikiwa39884 жыл бұрын
Hyu anafaa kwa chakula halafu bonge la hb
@kutokaughaibuni4 жыл бұрын
kanunua na Iphone hahahahaha aweeee
@mwakaloboambele51614 жыл бұрын
Laize noma
@aybkham57954 жыл бұрын
Safi nawe ni bilionea
@alexlukumay88634 жыл бұрын
Hatarii
@christophermlaponi5344 жыл бұрын
Maswali ya mtangazaji ni mepesi mno !
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Dogo anavyoongea sio kama mmasai vile safi sana
@mohamedchorah85144 жыл бұрын
Laizer habari ya town wapi Rahim Haikatai
@innocentebarnabas46154 жыл бұрын
Hamna kazi Ayo
@123228794 жыл бұрын
Mademu ni maninja sana,badala ya kumkamata huyu nyie mnamtaka babaake 🤣
@judykavishe1703
4 жыл бұрын
Ahahah huyu mwenyew kashaoa
@kutokaughaibuni4 жыл бұрын
huyu ndo atakae bunjua mpunga wa mshua haha
@jwisetv48334 жыл бұрын
Ameulamba mapema
@benitoilulatvpilla1444 жыл бұрын
Pmilad ago huko mkirud mtakua mmenenepa naona hamtok huko
@HASASON4 жыл бұрын
Naona mzee bilionea Laizer anapiga gospel na family yake 4:21 😅👪
@aminajuma29814 жыл бұрын
Wewe mbona uvai kimasai kama baba yako
@kitonekantasha16874 жыл бұрын
Vixos amenenepa au macho yangu?
@kitonekantasha1687
4 жыл бұрын
Millard hongera sana kwa kituza vijana wako vywema
@joycejohn7754
4 жыл бұрын
Sio yeye
@asharamadhani46414 жыл бұрын
Ngoja jipite
@charlesnassary66894 жыл бұрын
duu
@crayonmaze99704 жыл бұрын
Ukipiga hesabu Tanzanite iliyopatikana ina thamani sio chini ya Billion 70, kapewa 7🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️
@msolopaganz4446
4 жыл бұрын
Nizaidi ya billioni 200 marekani ila ukisubiri mmarekani anunie watu wanakuingilia wanakupiga risasi sasa chagua billioni 7 au risasi za kichwa wewe na familia yako
@rabielmaringo4245
4 жыл бұрын
Lete 50 bilion ununue maana hujui madini umelishwa matango poli unadhani unajua zaid
Пікірлер: 113
Brilliant kiongozi mzuri huyu kijana nimependa alivyosema wanafanya Kazi as a team work may God bless your beautiful family I love Masai people kutoka moyoni mimi mwenyewe nawish ningekuwa mmasai
@patrickmadiwa3845
4 жыл бұрын
Njoo nikuoe , Mimi ni mmasai. Kwetu handeni
@shalomkind4575
3 жыл бұрын
Asante kwa kupenda watu wetu karibu
Mashallah hongereni sana Kwa familia yako mungu awabariki
Lingekuwa toto lingine lingepeleka jiwe moja kwa mzee, Safi Sana dogo kikubwa nizamu na uaminifu mtafika mbali
@tedymwandara5480
4 жыл бұрын
😂😂😂 kweli matoto mengine yana tamaa toka tumboni.Ila wamasai kwenye upande wa malezi wako vizuri.
@happnessjulius6383
4 жыл бұрын
Hahaha je.kama.alipata matatu akapeleka mbili?
@barakaluvanda7941
4 жыл бұрын
@@happnessjulius6383 ndy ilivyo nahis 😂😂
@barakaluvanda7941
4 жыл бұрын
@@tedymwandara5480 😂😂
Naomba nafasi ya kuchimba naweza sana nina nguvu kabisa mwenye nafasi ya kuchimba madini jaman😊😊😊
Huyu agombee ubunge awe waziri wa madini... Imeisha hiyoo
@drookiemaik8393
4 жыл бұрын
Umetisha sana na hilo wazo
@8pistons194
4 жыл бұрын
Nan atampa huo ubunge
@marckgft9764
4 жыл бұрын
@@8pistons194 hlo nalo wazo😂😂😂
@beautymasatu1200
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@rehemagisunte1271
4 жыл бұрын
Obedi Odupoi nimecheka 🤣🤣🤣
Sio angeficha sema kabila za kimasai zinamaadili na ulezi wao ni mzuri sio machokaraa nyie wengine hamna adabu
@sportsfocus8469
4 жыл бұрын
Sasa wewe ndio Una Adabu ya. Kuita watu machokoraaa
Familia ya Laizer wote ma HANDSOME .jomon 😁😁😁😁
@britonngale6644
4 жыл бұрын
Hanhabhaa
@neemawayesu1771
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nuruyusuf650
4 жыл бұрын
Mumeanza
@maggieswai1623
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
nakubali kazi mzee LAIZER
Laizer Heshima yako. Umelea kwa kweli 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@juliaayieta2578
4 жыл бұрын
Ali Ali 😂😂😂😂 Ali ella hizi si hadithi za bunuasi? Eti una mawe hatari na bado Millard ayo hajakufikia 🤪🤪🤪
@aishaawadhimalokimaloki9953
4 жыл бұрын
@@AliAli-rx6wu 😁😁😁😁😁😁😁
MashaaAllah wamasai wasomi hongera
@annassuleiman4508
4 жыл бұрын
Sana tu si unamuona sumaye alivyo.
@maggiechristopher8817
4 жыл бұрын
Annas Suleiman Sumaye sio mmaasi ni mwirak
Nimeipenda sana hii familia wasomi 🥰🥰🥰🥰
demu wa huyo jamaa hamuachi kamwe 😊😊
@helenamfimba2049
4 жыл бұрын
Kwanini asimuache
@eastcuisines124
4 жыл бұрын
😄😄😄
@hellenmassawe7284
8 ай бұрын
Anaachwa tuu mbona
Mtoto wa Bilionea kama mtoto wa Bilionea Laizer
@user-im5ts7ws5d
3 жыл бұрын
Hongela.. San
Hongera sana laizer kwa kumlea kijana huyu vizuri ana nidhamu sana kama ndio yangekuwa mavijana mengine hayo mawe lingetoweka nayo ila wewe Kijana umelelewa kimaadili sana Mungu aendelee kukutunza.
@judymasunzu7517
4 жыл бұрын
Kwa Ukuta wa Mererani siyo Rahisi kutoka na mawe bila idhini ya Serikali
His age ndo miaka ya future husband ninae muhitaji jamon🥺😍🤗🤗😂
@damg4332
4 жыл бұрын
🙆😂😂😂😂😂
@amoury1481
4 жыл бұрын
eti ee
@RomwardWM
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😅😅😅🏃njoo kwani nami mtoto wa saniniu laizer
@aishaawadhimalokimaloki9953
4 жыл бұрын
@@RomwardWM 😁😁😁😁😁
@francismngumi5125
4 жыл бұрын
Hahaha
Sekta ya madini ina mambo mengi sana.bado tunahitaji sera nzuri kwa wachimbaji wetu,hasa kupewa elimu ya mlipa kodi
Pia wapo wamasai sio waaminigu,kikubwa ni malezi na mlelew kuyapoke malezi na maelekezo ya wanao mlea.Mimi nilimuajiri msai awe mlinzi wa eneo langu.Lakini aliniibia.Nimempa mshahara siku nimemlipa mchana.Usiku wakuamkia kesho akavunja hofisi nakukimbia nakukimbia.
Hongera mwandishi
Hongereni kwa ujumla
@allykilango6918
3 жыл бұрын
Nje
Kawaida ya madini yoyote nikama mchezo wakubahatisha hakuna choka subira muhimu kupoteza ndio changamoto hongera b leizer
Hyu anafaa kwa chakula halafu bonge la hb
kanunua na Iphone hahahahaha aweeee
Laize noma
Safi nawe ni bilionea
Hatarii
Maswali ya mtangazaji ni mepesi mno !
Dogo anavyoongea sio kama mmasai vile safi sana
Laizer habari ya town wapi Rahim Haikatai
Hamna kazi Ayo
Mademu ni maninja sana,badala ya kumkamata huyu nyie mnamtaka babaake 🤣
@judykavishe1703
4 жыл бұрын
Ahahah huyu mwenyew kashaoa
huyu ndo atakae bunjua mpunga wa mshua haha
Ameulamba mapema
Pmilad ago huko mkirud mtakua mmenenepa naona hamtok huko
Naona mzee bilionea Laizer anapiga gospel na family yake 4:21 😅👪
Wewe mbona uvai kimasai kama baba yako
Vixos amenenepa au macho yangu?
@kitonekantasha1687
4 жыл бұрын
Millard hongera sana kwa kituza vijana wako vywema
@joycejohn7754
4 жыл бұрын
Sio yeye
Ngoja jipite
duu
Ukipiga hesabu Tanzanite iliyopatikana ina thamani sio chini ya Billion 70, kapewa 7🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️
@msolopaganz4446
4 жыл бұрын
Nizaidi ya billioni 200 marekani ila ukisubiri mmarekani anunie watu wanakuingilia wanakupiga risasi sasa chagua billioni 7 au risasi za kichwa wewe na familia yako
@rabielmaringo4245
4 жыл бұрын
Lete 50 bilion ununue maana hujui madini umelishwa matango poli unadhani unajua zaid
@videozaaj1069
4 жыл бұрын
Bongo kila mtu mtaalamu.. Haya bnh mtaalamu 🙌🙌
@faizaahamd2052
4 жыл бұрын
Yanapimwa ww mwehu nn
@helenamfimba2049
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiii mbavu zangumie Rabiel maringo usitake kutuvunja mbavu hujui kama kilambongo anajifanya mjuaji
Huyo mtoto wa laizer ameoa?😂
@jumasalawa2433
4 жыл бұрын
tyr ana mke ehe ukitaje lbda
@khamisdaima1455
4 жыл бұрын
Hehehe unataka mume au pesa ?
@salmaalimusa547
4 жыл бұрын
@@AliAli-rx6wu hehehehe hiyo nyau utakubaliwa ???
@evansokemwa6587
4 жыл бұрын
pando hajaoa
@mdeeboy846
4 жыл бұрын
Acha tamaa,kuna Ukimwi
U
Maasai huwa ni waaminifu sana, wana malezi mazuri na ni watiifu, huyu kijana apewe cheo serikalini
@lolemayjr5531
4 жыл бұрын
Kabisa yaan
@Officalnaph
4 жыл бұрын
wewe serikali haipo hivyo
@joycemodest83
4 жыл бұрын
Nani uyo ampekz
@annajohn8597
4 жыл бұрын
Mabilioni yote ayo bado apewe nafasi
28yrs old ana wadogo zake 29 dah kua ujionee
@nyamogafamily4262
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@kelvinjohn6851
4 жыл бұрын
Fyatua tu
@mackmillan2803
4 жыл бұрын
Pacha
@clevergwimile4073
4 жыл бұрын
izo pesa mbna chap tuu zinakata???!?
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Mzee anafyatua kweli. Ila kachelewa kupata watoto
Inaitwa pocket kijiolojia