BILIONEA LAIZER: SITOI MGAO KWA MTOTO YEYOTE "HII BILIONI 7 SIO PESA YAO"

#millardayoUPDATES #BilioneaLaizer

Пікірлер: 94

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi97614 жыл бұрын

    Huyu mzee ni mstaarabu sana anaongea kwa point sana.

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene5454 жыл бұрын

    Millard, you're the best.... From Kenya. Keep up bro!

  • @asiajuma8330
    @asiajuma83304 жыл бұрын

    Wamasai wengi ni wakristo lakin uwezi kuta ana mke mmoja

  • @oum759
    @oum7594 жыл бұрын

    Kuna watu watu hwaelewi kwn pesa nza watoto Au nza baba.. Watoto wa tafute zao baba ashawapa makao wanakaa n kazi

  • @davidnyambuche352
    @davidnyambuche3524 жыл бұрын

    Mali zote ni za kwangu na wake zangu, sio za kwenu

  • @teychriss3248
    @teychriss32484 жыл бұрын

    Safi sana kwa misimamo! Uwiii!

  • @Amneamne-qi2du

    @Amneamne-qi2du

    4 жыл бұрын

    Safi sana nawao wapamba ne wapate pesa

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta25784 жыл бұрын

    Mali ni ya laizer na wake zake 🤣🤣🤣🤣🤣 Daah!!!

  • @rajabuhamisi2940

    @rajabuhamisi2940

    4 жыл бұрын

    Wana wake wa kimasai hawana tamaa wivu kama wakezetu wa kiswahili.

  • @juliaayieta2578

    @juliaayieta2578

    4 жыл бұрын

    Rajabu Hamisi 😂😂😂😂😂 sema pole pole kipenzi......mwanzo hapo kwa kuchambana sasa 🤐🤐🤐🤐🤐

  • @markminja4307

    @markminja4307

    4 жыл бұрын

    Ehee Kama ulikuwa unajipanga na mtoto wamzee habari ndio Hi yo oo😂😂😂🤣🤣

  • @tusajigwemathias3758
    @tusajigwemathias37584 жыл бұрын

    Kabisa... Hilo neno alikuwa anapenda kusema baba angu.". Tafuteni Mali zenu hizi ni zangu na mke wangu" na kweli Mungu ametushindia rip Daddy

  • @ktravel3527

    @ktravel3527

    4 жыл бұрын

    Mzee wangu alikua ananiambia " we usisome tu tegemea vitu vyangu nikizeeka nauza vitu vyangu vyote 🤣🤣🤣🤣"

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed6244 жыл бұрын

    Saniniu mwaka wako huu saniniu😂

  • @rachelmbeyu4385
    @rachelmbeyu43854 жыл бұрын

    Congrats millard ayo pamoja na laizer

  • @janerosempeta5662
    @janerosempeta56624 жыл бұрын

    ni vizuri sana baba.maana watoto wetu wa sasa hivi ni hatari sana. umewambia vizuri kuwa Mali yako ni yako sio yao

  • @felisianlissu6878
    @felisianlissu68784 жыл бұрын

    Hatimae Bilionea afunguka waswahili kuoa mke moja kwasababu ya kusomesha 😁😁😁

  • @shehasaid1786
    @shehasaid17864 жыл бұрын

    Mahitaj unayowapatia ni mgao toxha kwa wanao

  • @dicksondeogratias4736

    @dicksondeogratias4736

    4 жыл бұрын

    🤝

  • @nonstopafrica
    @nonstopafrica4 жыл бұрын

    20 comment like za mirrad hapa

  • @naamohamed9964
    @naamohamed99644 жыл бұрын

    Hongera baba upo vzr

  • @vero57
    @vero574 жыл бұрын

    SAFI SANA BABA,WATOTO JITAFUTIE WENYEWE

  • @shamiss7712
    @shamiss77124 жыл бұрын

    Mmh ndugu tumekua wengi jaman msitusahau ach ukaidi mjomba

  • @rahimamkumbo3238
    @rahimamkumbo32384 жыл бұрын

    Sana baba umesema kweli

  • @mariamsuleiman1638
    @mariamsuleiman16384 жыл бұрын

    Nani ameona Akina mamaa wakichungulia

  • @venancekavishe9823
    @venancekavishe98234 жыл бұрын

    Nimemuelewa sana huyu Mzee, Akili yake kubwa sio kama hatowapa ila atawapa muda au pindi atakapo amua maana akitangaza sasa nagawa Pesa kwa Watoto wangu, watajitokeza watu wengine ambao sio watoto wake nao wakitaka Pesa... Hawezi kutangaza urithi kwenye media

  • @denisntamamilo8569
    @denisntamamilo85694 жыл бұрын

    Nina taarifa Millard Ago .

  • @tablatabula5866
    @tablatabula58664 жыл бұрын

    Pesa hufata penye pesa... Wanyonge tuelewane kwanza

  • @charlesnassary6689
    @charlesnassary66894 жыл бұрын

    hongera mzee

  • @markminja4307
    @markminja43074 жыл бұрын

    So true.. Mali yako ni yako na wake zako Bro..

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo10304 жыл бұрын

    Safi sana baba wa kimasai una akili mtoto atafute zake sio atolee macho za baba

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta25784 жыл бұрын

    Daah!!

  • @salummilanzi7936

    @salummilanzi7936

    4 жыл бұрын

    Julia naon unatamani nawewe ungekuwa mkewe ufaidi ela maana nimeona Daaa hahahaha

  • @juliaayieta2578

    @juliaayieta2578

    4 жыл бұрын

    Salum Milanzi 😂😂😂😂 umeona kumbe 😘😘😘😘

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu45164 жыл бұрын

    Huyu jamaa anamiakili mingi pongezi kwake

  • @jasminali5921
    @jasminali59214 жыл бұрын

    Vizur

  • @idrissabyser727
    @idrissabyser7274 жыл бұрын

    Noma

  • @aceotz2579
    @aceotz25794 жыл бұрын

    Siyo pesa yao ni ya nani sasa jmn😗😗😗❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙

  • @wilbertalfred7388

    @wilbertalfred7388

    4 жыл бұрын

    Hapo unataman kumu ibia

  • @tarakeatv4638

    @tarakeatv4638

    4 жыл бұрын

    Ni yakwake na wake zake

  • @tusajigwemathias3758

    @tusajigwemathias3758

    4 жыл бұрын

    Ni ya kwake wenyewe wasome ili waje wapate zao!!! Mali za mzazi sio zetuu

  • @unknown-vl6tz
    @unknown-vl6tz4 жыл бұрын

    Good

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu45634 жыл бұрын

    Maisha yalivyo magumu unatamani uwe mtoto wa nje wa mzee Laizer, kweli pesa haina adabu 🙌🙌🙌🙌🙌😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬

  • @juliuskato5100
    @juliuskato51004 жыл бұрын

    Sio hatoi mtt kula pesa ya mzazi ni kwd tu

  • @matarisuma9036
    @matarisuma90364 жыл бұрын

    Huyu masai anajielewa sana

  • @fazzohwakishua1591
    @fazzohwakishua15914 жыл бұрын

    Like hapa wakwanza

  • @nassirvarane1877
    @nassirvarane18774 жыл бұрын

    Wa Tanzania iyo ndo shida yetu mtu akishapata pesa mna anza kumpangia jins pesa vya kutumia

  • @mulikatvonleni5339
    @mulikatvonleni53394 жыл бұрын

    Abari za ukweli nakubar mirlad

  • @albeleenalberto158
    @albeleenalberto1584 жыл бұрын

    Millard what have you done with your face

  • @meruboytz.7025
    @meruboytz.70254 жыл бұрын

    Mi mtoto wa kwanza

  • @yusuphmsuya9976
    @yusuphmsuya99764 жыл бұрын

    Saf sana

  • @mdeeboy846
    @mdeeboy8464 жыл бұрын

    Hizo namba umempa laisaa,ushingae ukatumiwa m 100🏃‍♂️😂

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma50464 жыл бұрын

    Sei dia wachaujinga mungu mmoja

  • @keffaonchiri7813
    @keffaonchiri78134 жыл бұрын

    Kitu nimependa,mimi ni minimizi tu.

  • @edwinekahatano8472
    @edwinekahatano84724 жыл бұрын

    Duh

  • @simbomart6186
    @simbomart61864 жыл бұрын

    Hiyo cash up ni nini? Nieleweshe maana napenda Sana kukusuport

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa20524 жыл бұрын

    Ukosawa kabisa

  • @denismassawe9255
    @denismassawe92554 жыл бұрын

    Je?? Ni kweli akili ilitangulia shule ??? Hebu nijibuni nielewe

  • @chachamaheri7785

    @chachamaheri7785

    4 жыл бұрын

    Ndy Akili MUNGU ndye aliye iumba lkn shule hata ww unaweza kujenga

  • @muhammadj1998
    @muhammadj19984 жыл бұрын

    Huyu jamaa bc atakuwa mbakhili sana si vizuri

  • @SefrozaMafuru

    @SefrozaMafuru

    4 жыл бұрын

    😆😆😆🤣

  • @niaanthony9588

    @niaanthony9588

    4 жыл бұрын

    Tajiri yeyote ni habahir hatar sana kwanza hawalali hawa matajiri tofauti na ss maskini

  • @kelvinjohn6851

    @kelvinjohn6851

    4 жыл бұрын

    Sijawahi ona tajir ambaye sio bahiri. Ni maskini pekeao ambao sio mabahiri.

  • @pilimagongo7380

    @pilimagongo7380

    4 жыл бұрын

    Unataka wamuue mirathi kuna watu hawapaswi kuambiwa kabisa wataona akifa na hakuna warithi zaidi ya watoto wake ila anawafundisha watafute vya kwao

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57804 жыл бұрын

    Millard ondoka mwache jamaa basi afanya kazi zake do!!!

  • @devaxtz
    @devaxtz4 жыл бұрын

    Kama unaamini kesho nakeshokutwa utakuja kupata pesa Sana gusa hii link hapa tuinjoy wote jaman kzread.info/dash/bejne/jI6Xqq-kfba1g9I.html

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini42594 жыл бұрын

    Umenena

  • @devaxtz
    @devaxtz4 жыл бұрын

    Kama umekuja kujua njia zautajiri gusa hii link hapa 😂😂😂kzread.info/dash/bejne/jI6Xqq-kfba1g9I.html

  • @alirahma8967
    @alirahma89674 жыл бұрын

    Miladi ayo,mwambie laiza mimi niko tayari pia🤣🤣

  • @veronicanyakire9807
    @veronicanyakire98074 жыл бұрын

    Unaona siiifaaa kutuwekea nusunusu eti?!

  • @godiegodie1336

    @godiegodie1336

    4 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @teddyndungurusabnu4792

    @teddyndungurusabnu4792

    4 жыл бұрын

    Hahaha 🤣😜 😜 nimecheka eti sifa

  • @said306nyatu9

    @said306nyatu9

    4 жыл бұрын

    Ndio milard una sifa unaeeka kiduchu duchu. Mchumi uyu

  • @josephojwang4387
    @josephojwang43874 жыл бұрын

    Poa

  • @d.a.t3383
    @d.a.t33834 жыл бұрын

    Lazima uwape mgao umewaleta wewe hapa duniani na wewe hizo ng'ombe ulizouza umesema zilikua za baba yako sasa kwa nini na wao wasipate mali ya baba yao. Wazungu wanasema Sharing is caring kwa hiyo unataka wakukimbie wakaibe?? Share wewe acha hizo za ubahili

  • @nickodemmwandambo8924

    @nickodemmwandambo8924

    4 жыл бұрын

    Atawapa kwa muda wake maana akitangaza kwenye midia watajitokeza watoto wengine wa family frend

  • @user-bv2gt7tl2x

    @user-bv2gt7tl2x

    4 жыл бұрын

    Karidhi hawajampa wapohai sawa nao wasubir akifababayao watarithi pia acha ujinga usimpangie maisha hukomkuwasomesh kwahitaji pesa nana atalip siyeye mwenyew watoto 30simchezo acha awahifadhie

  • @nassirvarane1877

    @nassirvarane1877

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂nyie wa Tanzania mnachekesha mtu mkisha muona ana mali tn mna anza kumpangia mali zake atumie vp

  • @richardcharles5210

    @richardcharles5210

    4 жыл бұрын

    Wajitafutie na wao acha ulimbukeni

  • @jacquelinosmond221

    @jacquelinosmond221

    4 жыл бұрын

    Kurithi na kupewa ni tofauti..tatizo mnakurupuka ..watoto anawapatia elimu bora kwa maisha yao ya baadae, kwa hiyo awagawie wasisome?

  • @abdullaabdalla1975
    @abdullaabdalla19754 жыл бұрын

    Na nyinyi waandishi bwana hebu muacheni atafakari nini afanye mmemshika kila siku stori zimetuchosha tayari leteni mpya nyengine duuu

  • @esterwakidunda6248
    @esterwakidunda62484 жыл бұрын

    Aliyenacho ataogezewa ndio nilichojifunza

  • @ashurar2721
    @ashurar27214 жыл бұрын

    KwAni hamna stilizingine mshatuchosha😏😏😏

  • @ceninibe7622

    @ceninibe7622

    4 жыл бұрын

    Umeangalia ya nin 😏😏😏😏

  • @dalancydevin4302

    @dalancydevin4302

    4 жыл бұрын

    @@ceninibe7622 ndio hapo xx 😂😂

  • @azizisaidy8553

    @azizisaidy8553

    4 жыл бұрын

    stili zingine ndo nini sasa

  • @CyimSky
    @CyimSky4 жыл бұрын

    HIZI HAPA SABABU ZA MTU KUSHINDWA KULALA UGENINI WANASAYASI WAZIAINISHA. kzread.info/dash/bejne/X3mlq8yRnbq0mso.html

  • @MS.independent8934
    @MS.independent89344 жыл бұрын

    daaaa baba anaitaji pongrzi sn maana ameweza kujali familia yake kwa ajili ya wtt waweze kupata elimu nivizuri sana, huu ji mfano wakuigwa kwa zazi haswaa wa kiume

Келесі