BILIONEA LAIZER: SITOI MGAO KWA MTOTO YEYOTE "HII BILIONI 7 SIO PESA YAO"
#millardayoUPDATES #BilioneaLaizer
Жүктеу.....
Пікірлер: 94
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Huyu mzee ni mstaarabu sana anaongea kwa point sana.
@rugendorunene5454 жыл бұрын
Millard, you're the best.... From Kenya. Keep up bro!
@asiajuma83304 жыл бұрын
Wamasai wengi ni wakristo lakin uwezi kuta ana mke mmoja
@oum7594 жыл бұрын
Kuna watu watu hwaelewi kwn pesa nza watoto Au nza baba.. Watoto wa tafute zao baba ashawapa makao wanakaa n kazi
@davidnyambuche3524 жыл бұрын
Mali zote ni za kwangu na wake zangu, sio za kwenu
@teychriss32484 жыл бұрын
Safi sana kwa misimamo! Uwiii!
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Safi sana nawao wapamba ne wapate pesa
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Mali ni ya laizer na wake zake 🤣🤣🤣🤣🤣 Daah!!!
@rajabuhamisi2940
4 жыл бұрын
Wana wake wa kimasai hawana tamaa wivu kama wakezetu wa kiswahili.
@juliaayieta2578
4 жыл бұрын
Rajabu Hamisi 😂😂😂😂😂 sema pole pole kipenzi......mwanzo hapo kwa kuchambana sasa 🤐🤐🤐🤐🤐
@markminja4307
4 жыл бұрын
Ehee Kama ulikuwa unajipanga na mtoto wamzee habari ndio Hi yo oo😂😂😂🤣🤣
@tusajigwemathias37584 жыл бұрын
Kabisa... Hilo neno alikuwa anapenda kusema baba angu.". Tafuteni Mali zenu hizi ni zangu na mke wangu" na kweli Mungu ametushindia rip Daddy
@ktravel3527
4 жыл бұрын
Mzee wangu alikua ananiambia " we usisome tu tegemea vitu vyangu nikizeeka nauza vitu vyangu vyote 🤣🤣🤣🤣"
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Saniniu mwaka wako huu saniniu😂
@rachelmbeyu43854 жыл бұрын
Congrats millard ayo pamoja na laizer
@janerosempeta56624 жыл бұрын
ni vizuri sana baba.maana watoto wetu wa sasa hivi ni hatari sana. umewambia vizuri kuwa Mali yako ni yako sio yao
@felisianlissu68784 жыл бұрын
Hatimae Bilionea afunguka waswahili kuoa mke moja kwasababu ya kusomesha 😁😁😁
@shehasaid17864 жыл бұрын
Mahitaj unayowapatia ni mgao toxha kwa wanao
@dicksondeogratias4736
4 жыл бұрын
🤝
@nonstopafrica4 жыл бұрын
20 comment like za mirrad hapa
@naamohamed99644 жыл бұрын
Hongera baba upo vzr
@vero574 жыл бұрын
SAFI SANA BABA,WATOTO JITAFUTIE WENYEWE
@shamiss77124 жыл бұрын
Mmh ndugu tumekua wengi jaman msitusahau ach ukaidi mjomba
@rahimamkumbo32384 жыл бұрын
Sana baba umesema kweli
@mariamsuleiman16384 жыл бұрын
Nani ameona Akina mamaa wakichungulia
@venancekavishe98234 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu Mzee, Akili yake kubwa sio kama hatowapa ila atawapa muda au pindi atakapo amua maana akitangaza sasa nagawa Pesa kwa Watoto wangu, watajitokeza watu wengine ambao sio watoto wake nao wakitaka Pesa... Hawezi kutangaza urithi kwenye media
@denisntamamilo85694 жыл бұрын
Nina taarifa Millard Ago .
@tablatabula58664 жыл бұрын
Pesa hufata penye pesa... Wanyonge tuelewane kwanza
@charlesnassary66894 жыл бұрын
hongera mzee
@markminja43074 жыл бұрын
So true.. Mali yako ni yako na wake zako Bro..
@priscambwambo10304 жыл бұрын
Safi sana baba wa kimasai una akili mtoto atafute zake sio atolee macho za baba
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Daah!!
@salummilanzi7936
4 жыл бұрын
Julia naon unatamani nawewe ungekuwa mkewe ufaidi ela maana nimeona Daaa hahahaha
@juliaayieta2578
4 жыл бұрын
Salum Milanzi 😂😂😂😂 umeona kumbe 😘😘😘😘
@dianamalingumu45164 жыл бұрын
Huyu jamaa anamiakili mingi pongezi kwake
@jasminali59214 жыл бұрын
Vizur
@idrissabyser7274 жыл бұрын
Noma
@aceotz25794 жыл бұрын
Siyo pesa yao ni ya nani sasa jmn😗😗😗❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙
@wilbertalfred7388
4 жыл бұрын
Hapo unataman kumu ibia
@tarakeatv4638
4 жыл бұрын
Ni yakwake na wake zake
@tusajigwemathias3758
4 жыл бұрын
Ni ya kwake wenyewe wasome ili waje wapate zao!!! Mali za mzazi sio zetuu
@unknown-vl6tz4 жыл бұрын
Good
@timothmwakakusyu45634 жыл бұрын
Maisha yalivyo magumu unatamani uwe mtoto wa nje wa mzee Laizer, kweli pesa haina adabu 🙌🙌🙌🙌🙌😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬
@juliuskato51004 жыл бұрын
Sio hatoi mtt kula pesa ya mzazi ni kwd tu
@matarisuma90364 жыл бұрын
Huyu masai anajielewa sana
@fazzohwakishua15914 жыл бұрын
Like hapa wakwanza
@nassirvarane18774 жыл бұрын
Wa Tanzania iyo ndo shida yetu mtu akishapata pesa mna anza kumpangia jins pesa vya kutumia
@mulikatvonleni53394 жыл бұрын
Abari za ukweli nakubar mirlad
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
Millard what have you done with your face
@meruboytz.70254 жыл бұрын
Mi mtoto wa kwanza
@yusuphmsuya99764 жыл бұрын
Saf sana
@mdeeboy8464 жыл бұрын
Hizo namba umempa laisaa,ushingae ukatumiwa m 100🏃♂️😂
@khamisjuma50464 жыл бұрын
Sei dia wachaujinga mungu mmoja
@keffaonchiri78134 жыл бұрын
Kitu nimependa,mimi ni minimizi tu.
@edwinekahatano84724 жыл бұрын
Duh
@simbomart61864 жыл бұрын
Hiyo cash up ni nini? Nieleweshe maana napenda Sana kukusuport
@khneesajumaa20524 жыл бұрын
Ukosawa kabisa
@denismassawe92554 жыл бұрын
Je?? Ni kweli akili ilitangulia shule ??? Hebu nijibuni nielewe
@chachamaheri7785
4 жыл бұрын
Ndy Akili MUNGU ndye aliye iumba lkn shule hata ww unaweza kujenga
@muhammadj19984 жыл бұрын
Huyu jamaa bc atakuwa mbakhili sana si vizuri
@SefrozaMafuru
4 жыл бұрын
😆😆😆🤣
@niaanthony9588
4 жыл бұрын
Tajiri yeyote ni habahir hatar sana kwanza hawalali hawa matajiri tofauti na ss maskini
@kelvinjohn6851
4 жыл бұрын
Sijawahi ona tajir ambaye sio bahiri. Ni maskini pekeao ambao sio mabahiri.
@pilimagongo7380
4 жыл бұрын
Unataka wamuue mirathi kuna watu hawapaswi kuambiwa kabisa wataona akifa na hakuna warithi zaidi ya watoto wake ila anawafundisha watafute vya kwao
@selemankishema57804 жыл бұрын
Millard ondoka mwache jamaa basi afanya kazi zake do!!!
@devaxtz4 жыл бұрын
Kama unaamini kesho nakeshokutwa utakuja kupata pesa Sana gusa hii link hapa tuinjoy wote jaman kzread.info/dash/bejne/jI6Xqq-kfba1g9I.html
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Umenena
@devaxtz4 жыл бұрын
Kama umekuja kujua njia zautajiri gusa hii link hapa 😂😂😂kzread.info/dash/bejne/jI6Xqq-kfba1g9I.html
@alirahma89674 жыл бұрын
Miladi ayo,mwambie laiza mimi niko tayari pia🤣🤣
@veronicanyakire98074 жыл бұрын
Unaona siiifaaa kutuwekea nusunusu eti?!
@godiegodie1336
4 жыл бұрын
😀😀😀
@teddyndungurusabnu4792
4 жыл бұрын
Hahaha 🤣😜 😜 nimecheka eti sifa
@said306nyatu9
4 жыл бұрын
Ndio milard una sifa unaeeka kiduchu duchu. Mchumi uyu
@josephojwang43874 жыл бұрын
Poa
@d.a.t33834 жыл бұрын
Lazima uwape mgao umewaleta wewe hapa duniani na wewe hizo ng'ombe ulizouza umesema zilikua za baba yako sasa kwa nini na wao wasipate mali ya baba yao. Wazungu wanasema Sharing is caring kwa hiyo unataka wakukimbie wakaibe?? Share wewe acha hizo za ubahili
@nickodemmwandambo8924
4 жыл бұрын
Atawapa kwa muda wake maana akitangaza kwenye midia watajitokeza watoto wengine wa family frend
@user-bv2gt7tl2x
4 жыл бұрын
Karidhi hawajampa wapohai sawa nao wasubir akifababayao watarithi pia acha ujinga usimpangie maisha hukomkuwasomesh kwahitaji pesa nana atalip siyeye mwenyew watoto 30simchezo acha awahifadhie
@nassirvarane1877
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂nyie wa Tanzania mnachekesha mtu mkisha muona ana mali tn mna anza kumpangia mali zake atumie vp
@richardcharles5210
4 жыл бұрын
Wajitafutie na wao acha ulimbukeni
@jacquelinosmond221
4 жыл бұрын
Kurithi na kupewa ni tofauti..tatizo mnakurupuka ..watoto anawapatia elimu bora kwa maisha yao ya baadae, kwa hiyo awagawie wasisome?
@abdullaabdalla19754 жыл бұрын
Na nyinyi waandishi bwana hebu muacheni atafakari nini afanye mmemshika kila siku stori zimetuchosha tayari leteni mpya nyengine duuu
@esterwakidunda62484 жыл бұрын
Aliyenacho ataogezewa ndio nilichojifunza
@ashurar27214 жыл бұрын
KwAni hamna stilizingine mshatuchosha😏😏😏
@ceninibe7622
4 жыл бұрын
Umeangalia ya nin 😏😏😏😏
@dalancydevin4302
4 жыл бұрын
@@ceninibe7622 ndio hapo xx 😂😂
@azizisaidy8553
4 жыл бұрын
stili zingine ndo nini sasa
@CyimSky4 жыл бұрын
HIZI HAPA SABABU ZA MTU KUSHINDWA KULALA UGENINI WANASAYASI WAZIAINISHA. kzread.info/dash/bejne/X3mlq8yRnbq0mso.html
@MS.independent89344 жыл бұрын
daaaa baba anaitaji pongrzi sn maana ameweza kujali familia yake kwa ajili ya wtt waweze kupata elimu nivizuri sana, huu ji mfano wakuigwa kwa zazi haswaa wa kiume
Пікірлер: 94
Huyu mzee ni mstaarabu sana anaongea kwa point sana.
Millard, you're the best.... From Kenya. Keep up bro!
Wamasai wengi ni wakristo lakin uwezi kuta ana mke mmoja
Kuna watu watu hwaelewi kwn pesa nza watoto Au nza baba.. Watoto wa tafute zao baba ashawapa makao wanakaa n kazi
Mali zote ni za kwangu na wake zangu, sio za kwenu
Safi sana kwa misimamo! Uwiii!
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Safi sana nawao wapamba ne wapate pesa
Mali ni ya laizer na wake zake 🤣🤣🤣🤣🤣 Daah!!!
@rajabuhamisi2940
4 жыл бұрын
Wana wake wa kimasai hawana tamaa wivu kama wakezetu wa kiswahili.
@juliaayieta2578
4 жыл бұрын
Rajabu Hamisi 😂😂😂😂😂 sema pole pole kipenzi......mwanzo hapo kwa kuchambana sasa 🤐🤐🤐🤐🤐
@markminja4307
4 жыл бұрын
Ehee Kama ulikuwa unajipanga na mtoto wamzee habari ndio Hi yo oo😂😂😂🤣🤣
Kabisa... Hilo neno alikuwa anapenda kusema baba angu.". Tafuteni Mali zenu hizi ni zangu na mke wangu" na kweli Mungu ametushindia rip Daddy
@ktravel3527
4 жыл бұрын
Mzee wangu alikua ananiambia " we usisome tu tegemea vitu vyangu nikizeeka nauza vitu vyangu vyote 🤣🤣🤣🤣"
Saniniu mwaka wako huu saniniu😂
Congrats millard ayo pamoja na laizer
ni vizuri sana baba.maana watoto wetu wa sasa hivi ni hatari sana. umewambia vizuri kuwa Mali yako ni yako sio yao
Hatimae Bilionea afunguka waswahili kuoa mke moja kwasababu ya kusomesha 😁😁😁
Mahitaj unayowapatia ni mgao toxha kwa wanao
@dicksondeogratias4736
4 жыл бұрын
🤝
20 comment like za mirrad hapa
Hongera baba upo vzr
SAFI SANA BABA,WATOTO JITAFUTIE WENYEWE
Mmh ndugu tumekua wengi jaman msitusahau ach ukaidi mjomba
Sana baba umesema kweli
Nani ameona Akina mamaa wakichungulia
Nimemuelewa sana huyu Mzee, Akili yake kubwa sio kama hatowapa ila atawapa muda au pindi atakapo amua maana akitangaza sasa nagawa Pesa kwa Watoto wangu, watajitokeza watu wengine ambao sio watoto wake nao wakitaka Pesa... Hawezi kutangaza urithi kwenye media
Nina taarifa Millard Ago .
Pesa hufata penye pesa... Wanyonge tuelewane kwanza
hongera mzee
So true.. Mali yako ni yako na wake zako Bro..
Safi sana baba wa kimasai una akili mtoto atafute zake sio atolee macho za baba
Daah!!
@salummilanzi7936
4 жыл бұрын
Julia naon unatamani nawewe ungekuwa mkewe ufaidi ela maana nimeona Daaa hahahaha
@juliaayieta2578
4 жыл бұрын
Salum Milanzi 😂😂😂😂 umeona kumbe 😘😘😘😘
Huyu jamaa anamiakili mingi pongezi kwake
Vizur
Noma
Siyo pesa yao ni ya nani sasa jmn😗😗😗❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙
@wilbertalfred7388
4 жыл бұрын
Hapo unataman kumu ibia
@tarakeatv4638
4 жыл бұрын
Ni yakwake na wake zake
@tusajigwemathias3758
4 жыл бұрын
Ni ya kwake wenyewe wasome ili waje wapate zao!!! Mali za mzazi sio zetuu
Good
Maisha yalivyo magumu unatamani uwe mtoto wa nje wa mzee Laizer, kweli pesa haina adabu 🙌🙌🙌🙌🙌😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬
Sio hatoi mtt kula pesa ya mzazi ni kwd tu
Huyu masai anajielewa sana
Like hapa wakwanza
Wa Tanzania iyo ndo shida yetu mtu akishapata pesa mna anza kumpangia jins pesa vya kutumia
Abari za ukweli nakubar mirlad
Millard what have you done with your face
Mi mtoto wa kwanza
Saf sana
Hizo namba umempa laisaa,ushingae ukatumiwa m 100🏃♂️😂
Sei dia wachaujinga mungu mmoja
Kitu nimependa,mimi ni minimizi tu.
Duh
Hiyo cash up ni nini? Nieleweshe maana napenda Sana kukusuport
Ukosawa kabisa
Je?? Ni kweli akili ilitangulia shule ??? Hebu nijibuni nielewe
@chachamaheri7785
4 жыл бұрын
Ndy Akili MUNGU ndye aliye iumba lkn shule hata ww unaweza kujenga
Huyu jamaa bc atakuwa mbakhili sana si vizuri
@SefrozaMafuru
4 жыл бұрын
😆😆😆🤣
@niaanthony9588
4 жыл бұрын
Tajiri yeyote ni habahir hatar sana kwanza hawalali hawa matajiri tofauti na ss maskini
@kelvinjohn6851
4 жыл бұрын
Sijawahi ona tajir ambaye sio bahiri. Ni maskini pekeao ambao sio mabahiri.
@pilimagongo7380
4 жыл бұрын
Unataka wamuue mirathi kuna watu hawapaswi kuambiwa kabisa wataona akifa na hakuna warithi zaidi ya watoto wake ila anawafundisha watafute vya kwao
Millard ondoka mwache jamaa basi afanya kazi zake do!!!
Kama unaamini kesho nakeshokutwa utakuja kupata pesa Sana gusa hii link hapa tuinjoy wote jaman kzread.info/dash/bejne/jI6Xqq-kfba1g9I.html
Umenena
Kama umekuja kujua njia zautajiri gusa hii link hapa 😂😂😂kzread.info/dash/bejne/jI6Xqq-kfba1g9I.html
Miladi ayo,mwambie laiza mimi niko tayari pia🤣🤣
Unaona siiifaaa kutuwekea nusunusu eti?!
@godiegodie1336
4 жыл бұрын
😀😀😀
@teddyndungurusabnu4792
4 жыл бұрын
Hahaha 🤣😜 😜 nimecheka eti sifa
@said306nyatu9
4 жыл бұрын
Ndio milard una sifa unaeeka kiduchu duchu. Mchumi uyu
Poa
Lazima uwape mgao umewaleta wewe hapa duniani na wewe hizo ng'ombe ulizouza umesema zilikua za baba yako sasa kwa nini na wao wasipate mali ya baba yao. Wazungu wanasema Sharing is caring kwa hiyo unataka wakukimbie wakaibe?? Share wewe acha hizo za ubahili
@nickodemmwandambo8924
4 жыл бұрын
Atawapa kwa muda wake maana akitangaza kwenye midia watajitokeza watoto wengine wa family frend
@user-bv2gt7tl2x
4 жыл бұрын
Karidhi hawajampa wapohai sawa nao wasubir akifababayao watarithi pia acha ujinga usimpangie maisha hukomkuwasomesh kwahitaji pesa nana atalip siyeye mwenyew watoto 30simchezo acha awahifadhie
@nassirvarane1877
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂nyie wa Tanzania mnachekesha mtu mkisha muona ana mali tn mna anza kumpangia mali zake atumie vp
@richardcharles5210
4 жыл бұрын
Wajitafutie na wao acha ulimbukeni
@jacquelinosmond221
4 жыл бұрын
Kurithi na kupewa ni tofauti..tatizo mnakurupuka ..watoto anawapatia elimu bora kwa maisha yao ya baadae, kwa hiyo awagawie wasisome?
Na nyinyi waandishi bwana hebu muacheni atafakari nini afanye mmemshika kila siku stori zimetuchosha tayari leteni mpya nyengine duuu
Aliyenacho ataogezewa ndio nilichojifunza
KwAni hamna stilizingine mshatuchosha😏😏😏
@ceninibe7622
4 жыл бұрын
Umeangalia ya nin 😏😏😏😏
@dalancydevin4302
4 жыл бұрын
@@ceninibe7622 ndio hapo xx 😂😂
@azizisaidy8553
4 жыл бұрын
stili zingine ndo nini sasa
HIZI HAPA SABABU ZA MTU KUSHINDWA KULALA UGENINI WANASAYASI WAZIAINISHA. kzread.info/dash/bejne/X3mlq8yRnbq0mso.html
daaaa baba anaitaji pongrzi sn maana ameweza kujali familia yake kwa ajili ya wtt waweze kupata elimu nivizuri sana, huu ji mfano wakuigwa kwa zazi haswaa wa kiume