BILIONEA LAIZER ALIYEPATA MADINI YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 3 AFUNGUKA TUSIYOYAJUA
Sendeu Laizer Mkazi wa Mundarara Wilayani Longido Mkoani Arusha ambaye ameingia kwenye kundi la mabilionea baada yakupata madini ya ruby yenye thamani ya zaidi ya bilioni 3 amekaa kwenye exclusive na amplifaya kuhusu maisha yake ambapo amesema amewekeza mabilioni ya fedha lakini kitu kingine ambacho hajawahi kukizingumza popote nikuhusu kazi yake ya mwanzo ambayo alikuwa anaifanya yakusafirisha abiria kupitia gari yake aina ya noah ambapo hadi tunavyozungumza pamoja na utajiri wake hajawahi kubadilisha gari yake na ndio anayoitumia hadi sasa
Пікірлер: 117
Wakati mwingine unaweza kudhani Mwenyezi Mungu anapendelea;lakini sivyo ilivyo.Hayo ni maamuzi yake.Ndugu Laizer hongera sana,kikubwa usimsahau aliyekupa.Wale husuda poleni saaaana.
Mzee yko humble sana,,mungu am'bariki sana
(First comment) Jamaa ana vision kubwa sana
Jamaa yuko mbali sana yaani vision yake kubwa sana
"Kila kitu na muda wake"kweli kabisa ndugu laiser
Hizo hela anazo miliki huyu father angekuwa labda anazimiliki msanii angekuwa kama anamiliki zaidi ya hizo pesa
Mashallah boos you saying true don't deepend on one business well said you r the real bussens man well said
Leizer!mm naomba unikopeshe milioni 3 nijiajili niwe nakurudishia ndg yng mn daaaaah,au nipe kazi hapo kwenye kampun yako ht ya kupikia wafanya kazi zako
He deserve around of applause 👏👏👏
Ni mfano wa kuigwa,sasa wenzangu na mie pesa kidogo tayari unataka umiliki Benzi
@emmanuelchizenga1572
2 жыл бұрын
Kwanza jamaa anaongea point mwanzo mwisho kwa kifupi jamaa anajua kuzikontro pesa sio pesa imkotro yeye
Wamasai wazuri jamani he is so handsome and brilliant
@rehemamkalawa3801
Жыл бұрын
🤣🤣 mmeanza
Laizer kasema “Maisha ni kuchagua uanze kipi na umalizie na kipi mimi sijaona nianze na gari kuna kitu kingine naanza nayo; je unaweza sema mtu ni tajiri sababu ana nyumba ya million 400?
@cristianmwanja2918
2 жыл бұрын
Akilin yake. Hyu jamaa nikubwa sana
Madin yanapatikana na wapo wanaopiga pesa zaid ya laiza ila hawawek waz kukwepa kod maana mikodi ipo juu sana
Bless you.
Duh ana akili mno uyu masai
Jamaaa anajibu kisom hatr
Wamasai tuko bright sana! Big up
Nimejifunza kupitia hii INTERVIEW!!!!!!!!
First to comment ✔️
Huyu ana akili za kuzaliwa! Wacha tu awe billionaire! Kila mtu na fungu lake
Sitaki sifia ila uyu raiya ako na namna yakujuwa jambo kiasi chake we learn from you brother sante sana
Mshukuru Mungu kukupatia pumzi
Laizer yuko Bravo sana👏👏
Hongera sana
Na unavomwona hajawahi haya kuwaza kumiriki siraha 😂😂 lakn mm sina hata m5 nawaza tureg na kuwa na mkuu wa kuku kweli vijana tuna ujinga mwingi.
Mkipata nafasi ya kuongea na hawa wachimbaji waliofanikiwa muwe mnaandaa/mnauliza maswali ya maana!
Huyu jamaa ana Elimu ya u professor lakn usikute kaishia darasa la saba kila kitu anacho ongea ni content..kwa kifupi ukitaka kuiona pesa iliyo ingia usibadilishe matumizi wala kuongeza matumizi invest.
@paullekunka2339
11 ай бұрын
Kaishia lasaba lakini ana akili nyingi kama mtu aliye na phd
Tafuta mteja kutoka ITALY WANANUNUA SANA KWA AJILI YA TILES NA MAtumixi ya kukupa nguvu MWILINI na katika Bible ruby hitajwa kuwa na DHAMANI Sana Kwa binadi
@demycratia2567
2 жыл бұрын
Hivi HAO vijana walio wapa mimba wanafanywa niniii
jamaa akili kubwa sana kwa majibu anayotoa
Daah huyu jamaa ni kichwa sana yani majibu yake yamenyooka
Jamaa umezungumza maneno yenye akili ..wengi wakipata pesa wanatak kuji show kwa watu km wamepata lkn ww upo na fikra tofaut ukipata unata ku invest zaid ..congrat ni bilinionea wa fikra pia
Tangu awe billionea ameacha kuvaa mashuka😁😁
uko sawa
Mbona n kina laizer daily...kunanini ndan yao ...
Safi sana.
HARMONIZE KWISHA HABARI YAKE kzread.info/dash/bejne/hqOgxseuj7m_pMo.html kzread.info/dash/bejne/hqOgxseuj7m_pMo.html kzread.info/dash/bejne/hqOgxseuj7m_pMo.html
Naomba mawasiliano yake Godfrey
Bilious gani mnyonge ivi aisee
Aisee pesa inajeuri sana
Muulize katumia gharama kiasi gn mpaka kapata b3 mana hata ukuta kashindwa kujenga
Jamaa ana akili sana yani saf sana kwake
Leo amebadilika kwavile amevaa shati
@IBENGM
2 жыл бұрын
Usije kuwa unamchanganya na Saniniu Laizer
@judithmmari6316
2 жыл бұрын
unamchanganyaa na saniniu laizer
Mtu mwenye uzoefu wa madini anitafute nimpeleke sehemu privet yenye madini mbalimbali akifanikiwa asinisahau.
@mukhsintwaha5909
2 жыл бұрын
Yako wapi
@shemelaruhinda6113
2 жыл бұрын
@@mukhsintwaha5909 mmh siwezi kukwambia kiwepesi hivyo tuwe na makubaliano
@mukhsintwaha5909
2 жыл бұрын
@@shemelaruhinda6113 aya lete makubaliano
@faithzamani1965
2 жыл бұрын
Weka namba yako hapa
@BigDreamsWorldwide
2 жыл бұрын
Nahitaji kukutafuta private nakupataje
Ruby hutumika kutengeneza vito vya thamani,urembo kama pete,hereni,mikufu n.k.Pia hutumia kiroho katika kumfanya mtu afurahie maisha. Mfano huimarisha afya ya akili ki imani.
@mukhsintwaha5909
2 жыл бұрын
Huimarisha afya kivipi
@faithzamani1965
2 жыл бұрын
@@mukhsintwaha5909 😂😂😂😂
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Afya tn duu
@mukhsintwaha5909
2 жыл бұрын
@@faithzamani1965 mbn unacheka
Laizer unatuambia kuwa huwezi kuwa na kitu kimoja ni sawa kabisa, He ktk mahusiano nayo imekaaje hiyo?maoni yenu ndugu wasikilizaji
@davismnkeni7862
2 жыл бұрын
Hyo n masai hawez kuwa na mke mmoja
@wilfredelimeleki4543
2 жыл бұрын
acha umalaya
Mzungu huwez kumtukana katika hii dunia mana wao ndo wnatupambañua akir Nashangaa mwendazake
@lastgospel706
2 жыл бұрын
Pole sana manake umelala mno na unaota.ivi ww unawajua wazungu walivo wanyonyaji ww au unabwata tu
@joycekombe7052
Жыл бұрын
@@lastgospel706 kayachukue wewe hayo madini uyachakate kama una akili kuzid hao wazungu
Laizer anatumia landcruiser lx mwaka juzi alinunua kwa kijana anaitwa frank
@wilfredelimeleki4543
2 жыл бұрын
pole pole na umbea
@marthamarck3609
2 жыл бұрын
@@wilfredelimeleki4543 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 tn ajishikilie
Umepigwa
I think I am one of his Kids
@clevermngao7565
2 жыл бұрын
😀😃😆
Jesus
Mbona kina laiza tu ndo wanaonekana Mbona wingingehawaonekan wiz mwingi
Pesa humfuata mwenye pesa
Wakina laizer,,,balaaa
SHUKA liko wapi?
😂😂😂😂😂😂 mahela ya dawa hayo unamabilion ya pesa unatumia Noah aaaaah hayo ni mahera ya dawa kabisa usituambie kitu nyinge aisee daaah 😓😓😓😓
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Ndio hayo uliyoyajaza moyoni mwako
@jacksontulito864
2 жыл бұрын
Hiyo ndiyo fikra zako. Huyu ni kichwa anasaidia jamii anasomesha yatima na hiyo ndiyo matumizi ya fedh sio magar na wanawake
@frankmtei3017
2 жыл бұрын
Kwani noa sio gari?
@saraphinajoely7047
2 жыл бұрын
Tusikulaumu ndouwezo wako wakuwaza
@ndiiyolazaro4274
2 жыл бұрын
Fikra za kimasikini hayo🤣🤣🤣acha ujinga utakufa maskin
Licha ya kuwa billionea, jamaa ana contexts kwenye brain 🧠🧠🧠...
@cristianmwanja2918
2 жыл бұрын
Sana
@cristianmwanja2918
2 жыл бұрын
Sana
N kwel hatujui ndo maana uchumi co mzr
Siyo kweli anatumika.huyo. yanaibiwa wanampa ili waie wagawane
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Akili za watz
Nilikuwa naitwa mwakajoka mwambipile, kwa sasa naitwa Laizer Thomas, potelea mbali...
@OleroineKitamwasi
10 ай бұрын
😂😂 Ndungu Yangu Nimecheka Sana
Kwenye kununua hili gar walimuibia
Nimeamini Tajiri ajionyeshi
Hilo gari kwa huo mwaka ulionunua na hata 2040 halitakaa liwe million 20 wamekupiga mzee wangu halafu wamekuuzia gari bila tairi aisee watu wahuni, isijekua na kwenye hayo madini wanakupiga hivyo
@TheBastarrrd
2 жыл бұрын
Dah nimeshtuka pia man😂😂
@paulokiruwa9879
Жыл бұрын
Ndio bei yake hiyo mpumbavu wewe ukinunua gari mpya lazima ubadilishe tairi
SAhv kawa kijana af hata shuka kaacha kuvaa
Jaman ni madini yake yote Yale ??
Ukiwa unapesa akili wanakupa watu tu yaani utaskia tu jamaa ana akiliii,tafuta hela ndugu yangu akili itakuja kutoka kwa wanaokuzunguka
huyu nae au anayatengeneza mbona anapata yeye tu
Ana akili mingii sanaaa
Kwahyo huyu ni ndugu wa saniniu laizer?
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Uyo ndy yy
Huyu mwamba ni kichwa
Hatutokee Naye tushamchoka . Na nyie hayo tv
Pesa nzur jamaa katakata
Business Mentality. No Lucky!
🤣🤣🤣Watu wananiomba hela....
Ndioo nimungu kapanga
Na wala haringi
@cristianmwanja2918
2 жыл бұрын
Mungu ambariki anipe na mm
Uwiiii kzread.info/dash/bejne/qayatsiuYMK5Zrg.html