BILIONEA LAIZER ALIYEPATA MADINI YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 3 AFUNGUKA TUSIYOYAJUA

Sendeu Laizer Mkazi wa Mundarara Wilayani Longido Mkoani Arusha ambaye ameingia kwenye kundi la mabilionea baada yakupata madini ya ruby yenye thamani ya zaidi ya bilioni 3 amekaa kwenye exclusive na amplifaya kuhusu maisha yake ambapo amesema amewekeza mabilioni ya fedha lakini kitu kingine ambacho hajawahi kukizingumza popote nikuhusu kazi yake ya mwanzo ambayo alikuwa anaifanya yakusafirisha abiria kupitia gari yake aina ya noah ambapo hadi tunavyozungumza pamoja na utajiri wake hajawahi kubadilisha gari yake na ndio anayoitumia hadi sasa

Пікірлер: 117

  • @mweyoms5548
    @mweyoms55482 жыл бұрын

    Wakati mwingine unaweza kudhani Mwenyezi Mungu anapendelea;lakini sivyo ilivyo.Hayo ni maamuzi yake.Ndugu Laizer hongera sana,kikubwa usimsahau aliyekupa.Wale husuda poleni saaaana.

  • @mungatanamedia5157
    @mungatanamedia51572 жыл бұрын

    Mzee yko humble sana,,mungu am'bariki sana

  • @clintondabana7021
    @clintondabana70212 жыл бұрын

    (First comment) Jamaa ana vision kubwa sana

  • @ivanross8302
    @ivanross83022 жыл бұрын

    Jamaa yuko mbali sana yaani vision yake kubwa sana

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69612 жыл бұрын

    "Kila kitu na muda wake"kweli kabisa ndugu laiser

  • @selemanjuma1595
    @selemanjuma15952 жыл бұрын

    Hizo hela anazo miliki huyu father angekuwa labda anazimiliki msanii angekuwa kama anamiliki zaidi ya hizo pesa

  • @mubinaledroos7642
    @mubinaledroos76422 жыл бұрын

    Mashallah boos you saying true don't deepend on one business well said you r the real bussens man well said

  • @josephvisenti1888
    @josephvisenti18882 жыл бұрын

    Leizer!mm naomba unikopeshe milioni 3 nijiajili niwe nakurudishia ndg yng mn daaaaah,au nipe kazi hapo kwenye kampun yako ht ya kupikia wafanya kazi zako

  • @daniellaizer8590
    @daniellaizer85902 жыл бұрын

    He deserve around of applause 👏👏👏

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv73052 жыл бұрын

    Ni mfano wa kuigwa,sasa wenzangu na mie pesa kidogo tayari unataka umiliki Benzi

  • @emmanuelchizenga1572

    @emmanuelchizenga1572

    2 жыл бұрын

    Kwanza jamaa anaongea point mwanzo mwisho kwa kifupi jamaa anajua kuzikontro pesa sio pesa imkotro yeye

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19992 жыл бұрын

    Wamasai wazuri jamani he is so handsome and brilliant

  • @rehemamkalawa3801

    @rehemamkalawa3801

    Жыл бұрын

    🤣🤣 mmeanza

  • @kazkaz1943
    @kazkaz19432 жыл бұрын

    Laizer kasema “Maisha ni kuchagua uanze kipi na umalizie na kipi mimi sijaona nianze na gari kuna kitu kingine naanza nayo; je unaweza sema mtu ni tajiri sababu ana nyumba ya million 400?

  • @cristianmwanja2918

    @cristianmwanja2918

    2 жыл бұрын

    Akilin yake. Hyu jamaa nikubwa sana

  • @larickmtui2852
    @larickmtui28522 жыл бұрын

    Madin yanapatikana na wapo wanaopiga pesa zaid ya laiza ila hawawek waz kukwepa kod maana mikodi ipo juu sana

  • @ellybrown5989
    @ellybrown59892 жыл бұрын

    Bless you.

  • @filismpangala2146
    @filismpangala21462 жыл бұрын

    Duh ana akili mno uyu masai

  • @raquiztv4948
    @raquiztv49482 жыл бұрын

    Jamaaa anajibu kisom hatr

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae22212 жыл бұрын

    Wamasai tuko bright sana! Big up

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb18142 жыл бұрын

    Nimejifunza kupitia hii INTERVIEW!!!!!!!!

  • @imanmodern
    @imanmodern2 жыл бұрын

    First to comment ✔️

  • @emmamsamba4256
    @emmamsamba42562 жыл бұрын

    Huyu ana akili za kuzaliwa! Wacha tu awe billionaire! Kila mtu na fungu lake

  • @agreyaloyce432
    @agreyaloyce4322 жыл бұрын

    Sitaki sifia ila uyu raiya ako na namna yakujuwa jambo kiasi chake we learn from you brother sante sana

  • @majutofrancisco4106
    @majutofrancisco41062 жыл бұрын

    Mshukuru Mungu kukupatia pumzi

  • @jacquelinegideon1122
    @jacquelinegideon11222 жыл бұрын

    Laizer yuko Bravo sana👏👏

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti68392 жыл бұрын

    Hongera sana

  • @musason1680
    @musason16802 жыл бұрын

    Na unavomwona hajawahi haya kuwaza kumiriki siraha 😂😂 lakn mm sina hata m5 nawaza tureg na kuwa na mkuu wa kuku kweli vijana tuna ujinga mwingi.

  • @IBENGM
    @IBENGM2 жыл бұрын

    Mkipata nafasi ya kuongea na hawa wachimbaji waliofanikiwa muwe mnaandaa/mnauliza maswali ya maana!

  • @amaniomballa1855
    @amaniomballa18552 жыл бұрын

    Huyu jamaa ana Elimu ya u professor lakn usikute kaishia darasa la saba kila kitu anacho ongea ni content..kwa kifupi ukitaka kuiona pesa iliyo ingia usibadilishe matumizi wala kuongeza matumizi invest.

  • @paullekunka2339

    @paullekunka2339

    11 ай бұрын

    Kaishia lasaba lakini ana akili nyingi kama mtu aliye na phd

  • @demycratia2567
    @demycratia25672 жыл бұрын

    Tafuta mteja kutoka ITALY WANANUNUA SANA KWA AJILI YA TILES NA MAtumixi ya kukupa nguvu MWILINI na katika Bible ruby hitajwa kuwa na DHAMANI Sana Kwa binadi

  • @demycratia2567

    @demycratia2567

    2 жыл бұрын

    Hivi HAO vijana walio wapa mimba wanafanywa niniii

  • @methodmwenda1373
    @methodmwenda13732 жыл бұрын

    jamaa akili kubwa sana kwa majibu anayotoa

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman64232 жыл бұрын

    Daah huyu jamaa ni kichwa sana yani majibu yake yamenyooka

  • @saidhamad9723
    @saidhamad97232 жыл бұрын

    Jamaa umezungumza maneno yenye akili ..wengi wakipata pesa wanatak kuji show kwa watu km wamepata lkn ww upo na fikra tofaut ukipata unata ku invest zaid ..congrat ni bilinionea wa fikra pia

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo37032 жыл бұрын

    Tangu awe billionea ameacha kuvaa mashuka😁😁

  • @kanzimili66
    @kanzimili662 жыл бұрын

    uko sawa

  • @macksonmagambo2197
    @macksonmagambo21972 жыл бұрын

    Mbona n kina laizer daily...kunanini ndan yao ...

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Жыл бұрын

    Safi sana.

  • @udakutv6973
    @udakutv69732 жыл бұрын

    HARMONIZE KWISHA HABARI YAKE kzread.info/dash/bejne/hqOgxseuj7m_pMo.html kzread.info/dash/bejne/hqOgxseuj7m_pMo.html kzread.info/dash/bejne/hqOgxseuj7m_pMo.html

  • @jamesmlokozi3545
    @jamesmlokozi35452 жыл бұрын

    Naomba mawasiliano yake Godfrey

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin9412 жыл бұрын

    Bilious gani mnyonge ivi aisee

  • @samaboy2592
    @samaboy25922 жыл бұрын

    Aisee pesa inajeuri sana

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan80932 жыл бұрын

    Muulize katumia gharama kiasi gn mpaka kapata b3 mana hata ukuta kashindwa kujenga

  • @kennethdc2577
    @kennethdc25772 жыл бұрын

    Jamaa ana akili sana yani saf sana kwake

  • @janemhango5884
    @janemhango58842 жыл бұрын

    Leo amebadilika kwavile amevaa shati

  • @IBENGM

    @IBENGM

    2 жыл бұрын

    Usije kuwa unamchanganya na Saniniu Laizer

  • @judithmmari6316

    @judithmmari6316

    2 жыл бұрын

    unamchanganyaa na saniniu laizer

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda61132 жыл бұрын

    Mtu mwenye uzoefu wa madini anitafute nimpeleke sehemu privet yenye madini mbalimbali akifanikiwa asinisahau.

  • @mukhsintwaha5909

    @mukhsintwaha5909

    2 жыл бұрын

    Yako wapi

  • @shemelaruhinda6113

    @shemelaruhinda6113

    2 жыл бұрын

    @@mukhsintwaha5909 mmh siwezi kukwambia kiwepesi hivyo tuwe na makubaliano

  • @mukhsintwaha5909

    @mukhsintwaha5909

    2 жыл бұрын

    @@shemelaruhinda6113 aya lete makubaliano

  • @faithzamani1965

    @faithzamani1965

    2 жыл бұрын

    Weka namba yako hapa

  • @BigDreamsWorldwide

    @BigDreamsWorldwide

    2 жыл бұрын

    Nahitaji kukutafuta private nakupataje

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya38142 жыл бұрын

    Ruby hutumika kutengeneza vito vya thamani,urembo kama pete,hereni,mikufu n.k.Pia hutumia kiroho katika kumfanya mtu afurahie maisha. Mfano huimarisha afya ya akili ki imani.

  • @mukhsintwaha5909

    @mukhsintwaha5909

    2 жыл бұрын

    Huimarisha afya kivipi

  • @faithzamani1965

    @faithzamani1965

    2 жыл бұрын

    @@mukhsintwaha5909 😂😂😂😂

  • @samwelimoshi5614

    @samwelimoshi5614

    2 жыл бұрын

    Afya tn duu

  • @mukhsintwaha5909

    @mukhsintwaha5909

    2 жыл бұрын

    @@faithzamani1965 mbn unacheka

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv73052 жыл бұрын

    Laizer unatuambia kuwa huwezi kuwa na kitu kimoja ni sawa kabisa, He ktk mahusiano nayo imekaaje hiyo?maoni yenu ndugu wasikilizaji

  • @davismnkeni7862

    @davismnkeni7862

    2 жыл бұрын

    Hyo n masai hawez kuwa na mke mmoja

  • @wilfredelimeleki4543

    @wilfredelimeleki4543

    2 жыл бұрын

    acha umalaya

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan80932 жыл бұрын

    Mzungu huwez kumtukana katika hii dunia mana wao ndo wnatupambañua akir Nashangaa mwendazake

  • @lastgospel706

    @lastgospel706

    2 жыл бұрын

    Pole sana manake umelala mno na unaota.ivi ww unawajua wazungu walivo wanyonyaji ww au unabwata tu

  • @joycekombe7052

    @joycekombe7052

    Жыл бұрын

    @@lastgospel706 kayachukue wewe hayo madini uyachakate kama una akili kuzid hao wazungu

  • @stevenminja8628
    @stevenminja86282 жыл бұрын

    Laizer anatumia landcruiser lx mwaka juzi alinunua kwa kijana anaitwa frank

  • @wilfredelimeleki4543

    @wilfredelimeleki4543

    2 жыл бұрын

    pole pole na umbea

  • @marthamarck3609

    @marthamarck3609

    2 жыл бұрын

    @@wilfredelimeleki4543 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 tn ajishikilie

  • @jumakhalid5554
    @jumakhalid5554 Жыл бұрын

    Umepigwa

  • @vononlinetv6396
    @vononlinetv63962 жыл бұрын

    I think I am one of his Kids

  • @clevermngao7565

    @clevermngao7565

    2 жыл бұрын

    😀😃😆

  • @pastormzirayofficial2048
    @pastormzirayofficial20482 жыл бұрын

    Jesus

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed62632 жыл бұрын

    Mbona kina laiza tu ndo wanaonekana Mbona wingingehawaonekan wiz mwingi

  • @edinachami4318
    @edinachami43182 жыл бұрын

    Pesa humfuata mwenye pesa

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony25092 жыл бұрын

    Wakina laizer,,,balaaa

  • @saxannjo6173
    @saxannjo61732 жыл бұрын

    SHUKA liko wapi?

  • @barakanestory7366
    @barakanestory73662 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 mahela ya dawa hayo unamabilion ya pesa unatumia Noah aaaaah hayo ni mahera ya dawa kabisa usituambie kitu nyinge aisee daaah 😓😓😓😓

  • @devothasimbi1055

    @devothasimbi1055

    2 жыл бұрын

    Ndio hayo uliyoyajaza moyoni mwako

  • @jacksontulito864

    @jacksontulito864

    2 жыл бұрын

    Hiyo ndiyo fikra zako. Huyu ni kichwa anasaidia jamii anasomesha yatima na hiyo ndiyo matumizi ya fedh sio magar na wanawake

  • @frankmtei3017

    @frankmtei3017

    2 жыл бұрын

    Kwani noa sio gari?

  • @saraphinajoely7047

    @saraphinajoely7047

    2 жыл бұрын

    Tusikulaumu ndouwezo wako wakuwaza

  • @ndiiyolazaro4274

    @ndiiyolazaro4274

    2 жыл бұрын

    Fikra za kimasikini hayo🤣🤣🤣acha ujinga utakufa maskin

  • @ramadhanjuma5526
    @ramadhanjuma55262 жыл бұрын

    Licha ya kuwa billionea, jamaa ana contexts kwenye brain 🧠🧠🧠...

  • @cristianmwanja2918

    @cristianmwanja2918

    2 жыл бұрын

    Sana

  • @cristianmwanja2918

    @cristianmwanja2918

    2 жыл бұрын

    Sana

  • @placidiasilvanus9113
    @placidiasilvanus91132 жыл бұрын

    N kwel hatujui ndo maana uchumi co mzr

  • @rinaldaoman7892
    @rinaldaoman78922 жыл бұрын

    Siyo kweli anatumika.huyo. yanaibiwa wanampa ili waie wagawane

  • @samwelimoshi5614

    @samwelimoshi5614

    2 жыл бұрын

    Akili za watz

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton77602 жыл бұрын

    Nilikuwa naitwa mwakajoka mwambipile, kwa sasa naitwa Laizer Thomas, potelea mbali...

  • @OleroineKitamwasi

    @OleroineKitamwasi

    10 ай бұрын

    😂😂 Ndungu Yangu Nimecheka Sana

  • @larickmtui2852
    @larickmtui28522 жыл бұрын

    Kwenye kununua hili gar walimuibia

  • @alexprotas40
    @alexprotas402 жыл бұрын

    Nimeamini Tajiri ajionyeshi

  • @mcback4384
    @mcback43842 жыл бұрын

    Hilo gari kwa huo mwaka ulionunua na hata 2040 halitakaa liwe million 20 wamekupiga mzee wangu halafu wamekuuzia gari bila tairi aisee watu wahuni, isijekua na kwenye hayo madini wanakupiga hivyo

  • @TheBastarrrd

    @TheBastarrrd

    2 жыл бұрын

    Dah nimeshtuka pia man😂😂

  • @paulokiruwa9879

    @paulokiruwa9879

    Жыл бұрын

    Ndio bei yake hiyo mpumbavu wewe ukinunua gari mpya lazima ubadilishe tairi

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi43482 жыл бұрын

    SAhv kawa kijana af hata shuka kaacha kuvaa

  • @jumaharuna9899
    @jumaharuna98992 жыл бұрын

    Jaman ni madini yake yote Yale ??

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir99652 жыл бұрын

    Ukiwa unapesa akili wanakupa watu tu yaani utaskia tu jamaa ana akiliii,tafuta hela ndugu yangu akili itakuja kutoka kwa wanaokuzunguka

  • @dille_td
    @dille_td2 жыл бұрын

    huyu nae au anayatengeneza mbona anapata yeye tu

  • @aminaj.mkwizu2497
    @aminaj.mkwizu24972 жыл бұрын

    Ana akili mingii sanaaa

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok48232 жыл бұрын

    Kwahyo huyu ni ndugu wa saniniu laizer?

  • @samwelimoshi5614

    @samwelimoshi5614

    2 жыл бұрын

    Uyo ndy yy

  • @perfectchoiceenterprises
    @perfectchoiceenterprises2 жыл бұрын

    Huyu mwamba ni kichwa

  • @berthandollo3227
    @berthandollo32272 жыл бұрын

    Hatutokee Naye tushamchoka . Na nyie hayo tv

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc83422 жыл бұрын

    Pesa nzur jamaa katakata

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.88442 жыл бұрын

    Business Mentality. No Lucky!

  • @phillipmatola6964
    @phillipmatola69642 жыл бұрын

    🤣🤣🤣Watu wananiomba hela....

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline63662 жыл бұрын

    Ndioo nimungu kapanga

  • @thehunter5920
    @thehunter59202 жыл бұрын

    Na wala haringi

  • @cristianmwanja2918

    @cristianmwanja2918

    2 жыл бұрын

    Mungu ambariki anipe na mm

  • @janemapoz6360
    @janemapoz63602 жыл бұрын

    Uwiiii kzread.info/dash/bejne/qayatsiuYMK5Zrg.html

Келесі