EXCLUSIVE: HAYA NDIO MAGARI ANAYOTEMBELEA BILIONEA MULOKOZI "HIYO HUMMER NAENDEA SHAMBANI TU"
Жүктеу.....
Пікірлер: 293
@sacaintertaiment3615 ай бұрын
Jamaa ameni inspire sana Asante sana brother Millard kwakutufanya vijana kujifunza kupitia hawa waliofanikiwa Ubarikiwe sana kaka
@amoskagika88845 ай бұрын
Millard Hongera kwa kazi nzuri. Nimependa hiyo ya kuficha namba za usajili za magari ya muhusika kwa ajili ya usalama. That’s professionalism ❤
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA AMOS.
@josamwilliam4105
5 ай бұрын
Kitambo sana jamaa uwa yko vzr rejea maojiano yake na mmiliki wa diamond bar mwanza . Ndyo maana tunatofautisha ayo na wengine
@amoskagika8884
5 ай бұрын
@@millardayoTZA pamoja sana brother. Mwambie Boss Mulokozi kama kuna kazi yoyote ya kumfanyia China nipo tayari bila malipo atalipia nauli tu ya mji anaotaka niende nikafanye kazi. Nipo huku kimasomo.
@FayeezAlbahassaney
5 ай бұрын
@@millardayoTZA kaka
@user-vg5fm5gv1p
5 ай бұрын
Same to I nakupongeza ila ongeza umakini zaidi my bro coz hapo Kuna muda umejisahau namba zikaonekana ila tupo pamoja siku zote pia kama hautojali naomba uongeze au uanzishe inspiration series maana vijana wengi tunao jitafuta tunapenda kusikia positive ways za mafanikio kutoka kwa walio fanikiwa #code@@millardayoTZA
@peterjohnbahhi15655 ай бұрын
Jamaa namfaha..so humble afu hana wenge pamoja na hela alizonazo
@graceandrew39884 ай бұрын
Hongera pia kwa kuwa kijana msomi asiye n majivuno,watu wamekariri wasomi hawawezi kuwa matajiri you are the living testimony,big up sana.Endelea kuwainspire vijana wa Kitanzania na EA❤
@sir_ENOCKMACHA
4 ай бұрын
Utakuwa msomi asiyetajiri endapo utauona usomi pekee ndio muujiza ila utakuwa tajiri utapoamua kufanya kazi kwa nguvu na bidii
@Supershopdubai-ck8td5 ай бұрын
Niliisubili kwaham kubwa part 2 naichunga part3 asanteni from 🇧🇮🙏
@user-wb2eg6ry6u5 ай бұрын
Ongera sana kaka mlokozi, kwa bidii za kazi zako. Jumba Zuri sana umepambana, Mungu azidi kukuinua viwango vingine nasi tunapata nguvu ya kupambana kuona tunafikia malengo yetu na tumejifunza k2 barikiwa sana kaka mlokozi.
@user-kp5xd7wx5r5 ай бұрын
Kaka your the best tunakuelewa vizur Sana mirlad uko vzury aisee uyo ndugu Hana Mambo mengi Sana ana hela Yan Yuko comftable kweny Mal zake big up broo watanzania Kama hawa awaongelewi sanaaaa lakn wapo❤❤❤❤❤
@potentinusdidas90555 ай бұрын
Ongera kakangu Mulokozi, Ila ingependeza Sanaa tena Sanaa, kama ukitenga hata chumba kimoja kwaajiri yakumtukuza Mungu, kwan kakujalia utajiri mkubwa. Kama utaona ujumbe wangu naomba umtukuze Mungu kwakumpa nafas ktk nyumba yako🙏🙏
@siaammo1104
5 ай бұрын
Hata miniliwaza hivyo hivyo
@donkaloza69855 ай бұрын
As Long Us Bado Napumua Na Mimi IPO Siku ntakua Kama Mlokozi Namuomba MUNGU anijaalie Afya njema na Uhai Mrefu Amina🙏🏽🙏🏽
@HakizimanaFiston
5 ай бұрын
Amiin 🤲🏻
@user-de2rg9kk7u5 ай бұрын
AISEE WATANZANIA TUNAWEZA SANA SANAA 💪 🇹🇿 let's keep it up
@KS-iw7qv5 ай бұрын
Tajiri kawaida hana mambo mengi wala dharau..... 😂😂😂 gari sio kitu cha maana...... Big up Brother kuna watu wanapenda saana vitu hivi
@furahamtweve42225 ай бұрын
Mungu mwenyezi akubariki kaka Millard kazi yako ni njema sana mimi huwa unanimotivate sana kupitia interview zako
@malikzafarani1725 ай бұрын
Hammer ni gari yakuendea shamba daah mwamba kanimaliza 🙌, big up sn Ayo umetisha saana 👊🇶🇦.
@katabaroonlinetv9688
5 ай бұрын
😀😀😀yupo sahihi hummer gari ya kazi
@emmalyanga3726
5 ай бұрын
Ndio maana ikaitwa nyundo😅@@katabaroonlinetv9688
@user-rg5sg1xz8p
5 ай бұрын
Yuko sahihi hummer gari ya kazi saaaana
@frankngoloka2589
5 ай бұрын
Gari ya kazi hiyo kanda ziwa watu wa migodi gari yenu hiyo inaingia popote achana na kurruger
@justinemagige1439
5 ай бұрын
Halafu jamaa haringi wala nini✌
@loishiyekitwana25895 ай бұрын
Aendelee kubarikiwa sana mwenye nayo wacha apewe tu...hongera mlcz..
@AnordRubanga5 ай бұрын
hongera big brother kwa kaz kubwa unayonya, nimependa jinsi unavo muoji bwana mulokozi
@elizabethjakobo2794 ай бұрын
Uyo mtu ako na malisana Mungu amsaidie pya awasaidie nawale wasiyo jiweza atazidi kupata. Thawabu Kwa mung Wake ❤❤
@chrissowino21455 ай бұрын
Total inspirations
@shyfettymtunda46195 ай бұрын
Ni hatariiiiiiiiii, ogopaaaaa🎉
@user-gj2wl6cw3u5 ай бұрын
Thanks my brother,, millard
@frankvianey24385 ай бұрын
Brother yupo vizur sana
@user-sj9ob8vb3s5 ай бұрын
nakuku bari brother mloko navyo kuerewa gari kwako si chochote na wara wewe si rimbukeni wa magari heshima kwako brother
@smartonlinetv51445 ай бұрын
Kaka Millard hongera Kwa mahojiano mazuri yenye kuleta tija kwa vijana. Pia muombe atoe contact zake ili vijana waweze kuzipata na kujifunza mengi Zaid kutoka kwake. Hongera kwake kaka David kwa hatua ya kimaisha.
Kumbe Kuna wanaume wa hivi,?! Ambao uleta shobo kisa mali
@user-kn8pw7vk4e5 ай бұрын
Jamani mmeskia ...Hammer ni gari ya kuendea shamba, sio ya kulia bata
@mbachoclassic7818
5 ай бұрын
Hatari kaka. Hummer ya kuendea shamba🙈
@EmmmaTembo5 ай бұрын
Huyu jama nawaza kumuzidi pesa
@muharamiesther59084 ай бұрын
Range pia ni gari za shambani😀
@gracemima52347 күн бұрын
Serikali za Afrika wawamulike hawa wezi wanaitumia bibilia kudanganya wasioelewa. Huwezi kuwa mtumishi wa Mungu huwezi ku
@michaelndilima62105 ай бұрын
Mungu baba namuomba akubariki sana katika maisha yako.
@user-ky5wu4gc9g4 ай бұрын
Dah! Mungu nijalie na mimi nipate ambae sina hata baiskeli bariki uzao wa tumbo langu amen!
@binti_chiraka5 ай бұрын
Inshaallah hata sisi tutatoboa naombeni 1k subs
@maryhadson41575 ай бұрын
Mm ningepata ata IST ningefurahi sana
@francomwacha22625 ай бұрын
Millard natamani pia cku ufanye mahojiano na Davis mosha nae anaonekana ana ukwasi mkubwa.. walau tutajifunza sana kwa Hawa watu
@barakasamwel81744 ай бұрын
Mungu akubariki father nasii mola atuvushe dubai ndo ndoto yangu siku zote tukawekeze uki nasisi mola akijalia n kutuvusha pakuishi nimemisi san kukaa ufaransa pamoj kuishi angalau pamoja n wote wenye ndoto ya mafanikio mungu watangulie amina ee menyezi mungu nikumbuke namimi n wote wakupendao amina🎉🎉🎉🎉
@graceandrew39884 ай бұрын
Najiambatanisha na mafanikio yako kaka Mulokozi its just a matter of time,we believe in one living God❤
@naelijwanaelijwamdee-jw7cx5 ай бұрын
Hongera kwa kupambana uko vzr
@jumannehussein66165 ай бұрын
Nenda na kwa chief godlove
@muhibukesh7121
5 ай бұрын
Hana pesa huyo 😂
@desolz3809
5 ай бұрын
😂😂😂
@johnsonenock3773
4 ай бұрын
😂😂😂
@davielubuyih-yh7sx
4 ай бұрын
hahahaha anazingua tu
@Kabwela7765 ай бұрын
Kweli maisha daima ni katili sana kuna wengi hawajui kesho watakula nini Na familia zao
@abuuquudaamah39394 ай бұрын
Nimeipenda sana hii ya kuinua vipaji vya Mafundi na ya kuanzisha simu au software za kitanzania itakuwa excellent kwa hili tupo pamoja kwa maombi
@user-gl4xt3he6v5 ай бұрын
watanzania mukisikia bilionea ndio huyo hana majigambo nimependa anaongea vizuri sana tena mm amenifuza kitu Mungu amjalie uzimauyo namm pia Mungu anipe anipe pesa zakunitowa kwenye umasikini ami amiiiii
@suleimanamani64135 ай бұрын
Kaka Blue boy full interview unaiachia lini aisee
@Ndegejrtz5 ай бұрын
Hama chuma ya shambani😂😂kwako brother😅kipanya
@JamalYahaya-xv7mu5 ай бұрын
Mungu ampe maisha malef
@MagrethMussa-hm3qm4 ай бұрын
Hongera sana mungu akuenue zaidi
@kbdmsafi_tz80945 ай бұрын
Hahahahaha Watu Wa Babati Manyara Wana Dharau Anaendea Shambani
@sawackoswald9322
5 ай бұрын
Nikweli hiyo hama Mimi binafisi nilimuona nayo toka 2014 nahapo ndio nilimfaham nasijajua alikua nayo toka miaka mingapi kabla so kwa kauli hiyo sishangai kabisa
@augustuss4503
5 ай бұрын
Ni kweli kwa watu ambao wameish nje humer zinatumika kwa kazi ngumu, ni vizuri kuwa na gari , lakin kama unajielewa gari sio kitu muhimu sana katika maisha .
@kbdmsafi_tz8094
5 ай бұрын
Ast Imenishinda Sasa Wacha Nikae Kimya Tuu
@millardayoTZA
5 ай бұрын
HAHAHHA TUTAFUTE HELA MKUU
@kbdmsafi_tz8094
5 ай бұрын
@@millardayoTZA Hamna Namna Kwakweli
@user-lb9fc8ln3t5 ай бұрын
Nimefulahi sana maongezi mazuli sana
@ZulayfaSalum-ws2rj5 ай бұрын
Kaka Millard Ayo mwambie atusaidie vijanaa mtajii maana daah 😅
@ustawiwetu
5 ай бұрын
Ninyi wa kusaidiwa mitaji huwa hamfiki mbali, pambana mwenyewe kama Yakobo
@DavalsonMarlony5 ай бұрын
kwel nomaa sanaa 🔥🔥🔥
@ashachitemo78165 ай бұрын
Hii hummer ni gari yangu ya kuendea shamba kulima😅😅😅
@millardayoTZA
5 ай бұрын
HAHAHHA NOMA SANA
@adkajisi4536
5 ай бұрын
@@millardayoTZA Naomba umtembelee huyu jamaa
@jumarajab53165 ай бұрын
masoud kipanya anasumbua na hammer we unaendea shambani
@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI5 ай бұрын
Na hata haringi au kutamba😊😊😊
@michaelndilima62105 ай бұрын
Watanznia wote tungekuwa kama huyu kijana Tanzania 🇹🇿 ♥️ ingendelea sana
@SimonSamson-me2bo5 ай бұрын
Nimekua inspired a lot, thank Millard.
@Dodoma_Supplement_Store5 ай бұрын
LEVELS
@hashimmziray74164 ай бұрын
excellent
@user-de2rg9kk7u5 ай бұрын
HAYA WALE WANAOSEMA DIAMOND Ana ELA sijui HARMONIZE Ana ELA NJOONI huku muone Watu wanaenda na HAMMER shambani
@FaridaRamadhan-de1ys
5 ай бұрын
Ongeza saut nyuma hawasikii huko
@nyakatongongo42925 ай бұрын
Kaka kweli una utu na ni unaelewa hauna mambo ya kujiinua jua uko tu kawaida safi sana Elimu au pesa visikubadilishe endelea hivohivo Mungu atazidi kukuinua ila Mulokozi kumbuka uwasaidie wenye uitaji maisha haya ni maguma
@eliezerwamungu46145 ай бұрын
Hiy V8 nyeusi daaah
@hasanselekilongoji26695 ай бұрын
Mashaallah kaka mlokoz
@tassyulimwengu40495 ай бұрын
Millad for sure tunahitaji interview kama hizi nyingi sana....hizi ndio interview zenye faida sana kutoka kwa watu waliofanikiwa tena watanzania wenzetu... pls pls pls Ayo tunaomba interview za hivi huyu jamaa ameni-inspire sana
@missdija49595 ай бұрын
Millard napendekeza uwe unahoji sana hawa wajasiriamali wenye mafanikio makubwa tunapata madini sana kutoka kwao 🔥🔥
@kondoatown87655 ай бұрын
Kwann? Sitaki kuwa bilionea niwe tu na maisha ya kawaida kumudu bills mbalimbali nk yaani hivyo tu .
@kondoatown8765
5 ай бұрын
@vallencymacdonalds4176 kundi LA maskini mm sipo
@KelvinMasoud
5 ай бұрын
Ndo maana upo hivyo
@tzcruiseralteza2039
5 ай бұрын
same bro hata mm kuishi simple tu make uwezo wa kua tajiri mkubwa labda kwa miujiza
@poulnyamgoncho2152
5 ай бұрын
umeamua kunyosha mikono
@mosescharles1921
5 ай бұрын
Mimi stamani kua tajiri wa kawaida
@user-qj3hk5zt5p5 ай бұрын
Naomba nikumbuke mh tajiri hata kwa gari moja by REV Manchu arusha
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
5 ай бұрын
Unajua alivozipata izo gari? Acha tamaa eti nikumbuke utafumuliwa luako au utajikuta tu msukule mnapenda vya kupewa pewa utaolewa na kufanywa vibaya
@Likes_comment_share5 ай бұрын
Katika vitu Matajiri wetu wanafeli sana ni swala la INTERIOR and EXTERIOR of their houses ,, Alafu kingine ni Uchafu wa Mali zao. Unakuta Magari machafu kha
@kanankirannko6174
5 ай бұрын
Umepatia kuna gari hadi zimeviziwa na watu kwa siri zinaandikwa nioshe,utafikiri zinalima
@amonywilliams5 ай бұрын
Kaka hata me ni bilionea ninayekuja ayo tv mtakuja kunihoji to
@fahadfaraj6474
5 ай бұрын
Simamia unachoomini utakua mzee
@kennethbenjamin275
5 ай бұрын
Ayo TV wao watakuja kukuhoji tu wao kazi yao kuwahoji mabilionea mzee so usijali😂
@darkplatnum9006
5 ай бұрын
Usikute na wew una chimba pi maana mnavyo jiamini
@johnshango5651
5 ай бұрын
@@darkplatnum9006😂😂😂watu pi network wanajiamini balaa
@frankub81075 ай бұрын
From 🇲🇼 🏠 🇧🇮
@shomaryramadhan2005 ай бұрын
Me naomba bro anambie ninjia Gani sahh amabayo unaweza kumake pesa na kwa mtaji mdgo kama 1million nibiashara Gani naeza Fanya nakuweza kubiga hatua kimaisha
@hassanomar10415 ай бұрын
Utaona watu watamfananisha na Mondi kisa magari. Lakini mukumbuke huyu sio msanii, kwa msanii ni lazma show off ndio maana huyu watu hawamjui lakini wanamjua mondi global.
@steverudy19545 ай бұрын
humility
@vibetz99915 ай бұрын
Millard Maswali mengi kuhusu magari yake na amekwambia magari sio kitu cha muimu, ,, 😂utafukuzwa kwenye nyumba za watu bure
Kati ya gari nitakalokuja kumiliki ni hiyo hummer naipenda sana sema mungu anijalie afya njema na mafanikio lukuki. 🙏🙏
@bakirsammaa57775 ай бұрын
Nimefurahishwa na millard kuitambua mark x katika maongezibyake.😊
@marthagabriel34175 ай бұрын
Hapo penye kugawa Mlokozi nigaie na mimi jamani plz
@niriacatering1725 ай бұрын
Safi sana
@RihanaEdwin-pk1ip5 ай бұрын
Ongera sana my brother lakini pia naomba kazi bc
@razackaigarula22915 ай бұрын
Kama umeona pickup ya Benz like hapa
@komboarts71105 ай бұрын
Me only happy maana comments zenu ndugu zangu zinatosha kile ningesema. Ila nimependa jamaa Mmoja anasema anawaza kumpita jamaa Kipato hii imenifurahi❤
@mohamedlegacy2555 ай бұрын
Ila mulokozi umetuheshimisha wahaya jamani.. tena wajina wangu nimekupenda bure🤣🤣🤣
@vanjizzle1225 ай бұрын
Me naombi moja tu kwake naomba kuwa agency wa vinywaji vyake upande wa serengeti
@landiismollel40753 ай бұрын
Chief Godlove typing and delete his comment 😂😂. Hii ni baada ya kumuona tajiri wa kweli kweli akiwa hana kelele
@happinesstesha70615 ай бұрын
Duh hadi magari mengine unagawa, naomba apo😊
@engribertinnocent75365 ай бұрын
Millard mbona suala la gar unaliforce saana?
@saididodi39885 ай бұрын
Hama yakuendea shamba sio watu wanavimbia na v8
@mutaumemevunjabei5585 ай бұрын
Na.bado mshiksji ni mhaya mamaeeeee
@pinielefraem41595 ай бұрын
Hama niyakwenda nayo shambani
@abasiyahya91984 ай бұрын
Hammer ni gari ya kwendea shamba 😮
@husseiniddy20675 ай бұрын
Daaah huyu jamaa ningepata fursa ya kukutana nae ningemuomba gari moja hilo ya bei chini anizawadie angalau niwe na kipandwa namim
@HumphreyRKwayu5 ай бұрын
7:47 ningependa kufahamu amefanya biashara vipi mpaka kufikia hapo pia.
@andrewraphael30985 ай бұрын
Blue boy ❤
@amonalexander1513
5 ай бұрын
Wakishua
@singujoseph28965 ай бұрын
Bosi hbr me naomba tu niajir kwenye kampun yako ili na mm.nitimize ndoto zang
@aklanhassan29175 ай бұрын
Hiki chakula cha leo kina mchanganyiko wa majigambo, upuuzi, mapepe, papara na mawenge mengi 🍲🥙
@onekisstv84125 ай бұрын
Sema alitakiwa awe na gari ya hadhi yake macadilac Bentley benz apo mimi naona v8 unyama hammer unyama iyo hard board unyama pia ila icho kiferrar cha mchongo
@user-zo9ti2xe1z5 ай бұрын
gari,za kawaida unasema wakat ww ulie sema kawaida huna hata laki
@robertoguda44434 ай бұрын
Huyu mulokozi ni zaidi ya sonko wa kenya,aswa upande wa mjengo wake.
@STKMwihomeke5 ай бұрын
Ayo hui interview ya Mulokozi bado hujatupatia alipoanzia...na turning points zake za maisha ..itatusaidia badala yakuona matokeo bila kujua hatua alizopita...hicho kipande mhimu sana
@goodlucktemu31494 ай бұрын
Uwa nacheka sana nikiona tajiri anasema yeye sio mchawi wala mshilikina😁
Пікірлер: 293
Jamaa ameni inspire sana Asante sana brother Millard kwakutufanya vijana kujifunza kupitia hawa waliofanikiwa Ubarikiwe sana kaka
Millard Hongera kwa kazi nzuri. Nimependa hiyo ya kuficha namba za usajili za magari ya muhusika kwa ajili ya usalama. That’s professionalism ❤
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA AMOS.
@josamwilliam4105
5 ай бұрын
Kitambo sana jamaa uwa yko vzr rejea maojiano yake na mmiliki wa diamond bar mwanza . Ndyo maana tunatofautisha ayo na wengine
@amoskagika8884
5 ай бұрын
@@millardayoTZA pamoja sana brother. Mwambie Boss Mulokozi kama kuna kazi yoyote ya kumfanyia China nipo tayari bila malipo atalipia nauli tu ya mji anaotaka niende nikafanye kazi. Nipo huku kimasomo.
@FayeezAlbahassaney
5 ай бұрын
@@millardayoTZA kaka
@user-vg5fm5gv1p
5 ай бұрын
Same to I nakupongeza ila ongeza umakini zaidi my bro coz hapo Kuna muda umejisahau namba zikaonekana ila tupo pamoja siku zote pia kama hautojali naomba uongeze au uanzishe inspiration series maana vijana wengi tunao jitafuta tunapenda kusikia positive ways za mafanikio kutoka kwa walio fanikiwa #code@@millardayoTZA
Jamaa namfaha..so humble afu hana wenge pamoja na hela alizonazo
Hongera pia kwa kuwa kijana msomi asiye n majivuno,watu wamekariri wasomi hawawezi kuwa matajiri you are the living testimony,big up sana.Endelea kuwainspire vijana wa Kitanzania na EA❤
@sir_ENOCKMACHA
4 ай бұрын
Utakuwa msomi asiyetajiri endapo utauona usomi pekee ndio muujiza ila utakuwa tajiri utapoamua kufanya kazi kwa nguvu na bidii
Niliisubili kwaham kubwa part 2 naichunga part3 asanteni from 🇧🇮🙏
Ongera sana kaka mlokozi, kwa bidii za kazi zako. Jumba Zuri sana umepambana, Mungu azidi kukuinua viwango vingine nasi tunapata nguvu ya kupambana kuona tunafikia malengo yetu na tumejifunza k2 barikiwa sana kaka mlokozi.
Kaka your the best tunakuelewa vizur Sana mirlad uko vzury aisee uyo ndugu Hana Mambo mengi Sana ana hela Yan Yuko comftable kweny Mal zake big up broo watanzania Kama hawa awaongelewi sanaaaa lakn wapo❤❤❤❤❤
Ongera kakangu Mulokozi, Ila ingependeza Sanaa tena Sanaa, kama ukitenga hata chumba kimoja kwaajiri yakumtukuza Mungu, kwan kakujalia utajiri mkubwa. Kama utaona ujumbe wangu naomba umtukuze Mungu kwakumpa nafas ktk nyumba yako🙏🙏
@siaammo1104
5 ай бұрын
Hata miniliwaza hivyo hivyo
As Long Us Bado Napumua Na Mimi IPO Siku ntakua Kama Mlokozi Namuomba MUNGU anijaalie Afya njema na Uhai Mrefu Amina🙏🏽🙏🏽
@HakizimanaFiston
5 ай бұрын
Amiin 🤲🏻
AISEE WATANZANIA TUNAWEZA SANA SANAA 💪 🇹🇿 let's keep it up
Tajiri kawaida hana mambo mengi wala dharau..... 😂😂😂 gari sio kitu cha maana...... Big up Brother kuna watu wanapenda saana vitu hivi
Mungu mwenyezi akubariki kaka Millard kazi yako ni njema sana mimi huwa unanimotivate sana kupitia interview zako
Hammer ni gari yakuendea shamba daah mwamba kanimaliza 🙌, big up sn Ayo umetisha saana 👊🇶🇦.
@katabaroonlinetv9688
5 ай бұрын
😀😀😀yupo sahihi hummer gari ya kazi
@emmalyanga3726
5 ай бұрын
Ndio maana ikaitwa nyundo😅@@katabaroonlinetv9688
@user-rg5sg1xz8p
5 ай бұрын
Yuko sahihi hummer gari ya kazi saaaana
@frankngoloka2589
5 ай бұрын
Gari ya kazi hiyo kanda ziwa watu wa migodi gari yenu hiyo inaingia popote achana na kurruger
@justinemagige1439
5 ай бұрын
Halafu jamaa haringi wala nini✌
Aendelee kubarikiwa sana mwenye nayo wacha apewe tu...hongera mlcz..
hongera big brother kwa kaz kubwa unayonya, nimependa jinsi unavo muoji bwana mulokozi
Uyo mtu ako na malisana Mungu amsaidie pya awasaidie nawale wasiyo jiweza atazidi kupata. Thawabu Kwa mung Wake ❤❤
Total inspirations
Ni hatariiiiiiiiii, ogopaaaaa🎉
Thanks my brother,, millard
Brother yupo vizur sana
nakuku bari brother mloko navyo kuerewa gari kwako si chochote na wara wewe si rimbukeni wa magari heshima kwako brother
Kaka Millard hongera Kwa mahojiano mazuri yenye kuleta tija kwa vijana. Pia muombe atoe contact zake ili vijana waweze kuzipata na kujifunza mengi Zaid kutoka kwake. Hongera kwake kaka David kwa hatua ya kimaisha.
Uyu mulokozi sindo brother angu mzee alinambiaga nimtafute ikiwa changamoto kumpata...jmn😢😢😢
@clarajohn469
5 ай бұрын
😂 mtafute tu mpunga upo
@Michoarbah
5 ай бұрын
@@clarajohn469 apokei cm🥺🥺🥺
@user-so3gy2io8l
5 ай бұрын
Kumbe sisi ni ndugu
@Michoarbah
5 ай бұрын
@@user-so3gy2io8l haha
@edwardtrigga5701
5 ай бұрын
Kumbe Kuna wanaume wa hivi,?! Ambao uleta shobo kisa mali
Jamani mmeskia ...Hammer ni gari ya kuendea shamba, sio ya kulia bata
@mbachoclassic7818
5 ай бұрын
Hatari kaka. Hummer ya kuendea shamba🙈
Huyu jama nawaza kumuzidi pesa
Range pia ni gari za shambani😀
Serikali za Afrika wawamulike hawa wezi wanaitumia bibilia kudanganya wasioelewa. Huwezi kuwa mtumishi wa Mungu huwezi ku
Mungu baba namuomba akubariki sana katika maisha yako.
Dah! Mungu nijalie na mimi nipate ambae sina hata baiskeli bariki uzao wa tumbo langu amen!
Inshaallah hata sisi tutatoboa naombeni 1k subs
Mm ningepata ata IST ningefurahi sana
Millard natamani pia cku ufanye mahojiano na Davis mosha nae anaonekana ana ukwasi mkubwa.. walau tutajifunza sana kwa Hawa watu
Mungu akubariki father nasii mola atuvushe dubai ndo ndoto yangu siku zote tukawekeze uki nasisi mola akijalia n kutuvusha pakuishi nimemisi san kukaa ufaransa pamoj kuishi angalau pamoja n wote wenye ndoto ya mafanikio mungu watangulie amina ee menyezi mungu nikumbuke namimi n wote wakupendao amina🎉🎉🎉🎉
Najiambatanisha na mafanikio yako kaka Mulokozi its just a matter of time,we believe in one living God❤
Hongera kwa kupambana uko vzr
Nenda na kwa chief godlove
@muhibukesh7121
5 ай бұрын
Hana pesa huyo 😂
@desolz3809
5 ай бұрын
😂😂😂
@johnsonenock3773
4 ай бұрын
😂😂😂
@davielubuyih-yh7sx
4 ай бұрын
hahahaha anazingua tu
Kweli maisha daima ni katili sana kuna wengi hawajui kesho watakula nini Na familia zao
Nimeipenda sana hii ya kuinua vipaji vya Mafundi na ya kuanzisha simu au software za kitanzania itakuwa excellent kwa hili tupo pamoja kwa maombi
watanzania mukisikia bilionea ndio huyo hana majigambo nimependa anaongea vizuri sana tena mm amenifuza kitu Mungu amjalie uzimauyo namm pia Mungu anipe anipe pesa zakunitowa kwenye umasikini ami amiiiii
Kaka Blue boy full interview unaiachia lini aisee
Hama chuma ya shambani😂😂kwako brother😅kipanya
Mungu ampe maisha malef
Hongera sana mungu akuenue zaidi
Hahahahaha Watu Wa Babati Manyara Wana Dharau Anaendea Shambani
@sawackoswald9322
5 ай бұрын
Nikweli hiyo hama Mimi binafisi nilimuona nayo toka 2014 nahapo ndio nilimfaham nasijajua alikua nayo toka miaka mingapi kabla so kwa kauli hiyo sishangai kabisa
@augustuss4503
5 ай бұрын
Ni kweli kwa watu ambao wameish nje humer zinatumika kwa kazi ngumu, ni vizuri kuwa na gari , lakin kama unajielewa gari sio kitu muhimu sana katika maisha .
@kbdmsafi_tz8094
5 ай бұрын
Ast Imenishinda Sasa Wacha Nikae Kimya Tuu
@millardayoTZA
5 ай бұрын
HAHAHHA TUTAFUTE HELA MKUU
@kbdmsafi_tz8094
5 ай бұрын
@@millardayoTZA Hamna Namna Kwakweli
Nimefulahi sana maongezi mazuli sana
Kaka Millard Ayo mwambie atusaidie vijanaa mtajii maana daah 😅
@ustawiwetu
5 ай бұрын
Ninyi wa kusaidiwa mitaji huwa hamfiki mbali, pambana mwenyewe kama Yakobo
kwel nomaa sanaa 🔥🔥🔥
Hii hummer ni gari yangu ya kuendea shamba kulima😅😅😅
@millardayoTZA
5 ай бұрын
HAHAHHA NOMA SANA
@adkajisi4536
5 ай бұрын
@@millardayoTZA Naomba umtembelee huyu jamaa
masoud kipanya anasumbua na hammer we unaendea shambani
Na hata haringi au kutamba😊😊😊
Watanznia wote tungekuwa kama huyu kijana Tanzania 🇹🇿 ♥️ ingendelea sana
Nimekua inspired a lot, thank Millard.
LEVELS
excellent
HAYA WALE WANAOSEMA DIAMOND Ana ELA sijui HARMONIZE Ana ELA NJOONI huku muone Watu wanaenda na HAMMER shambani
@FaridaRamadhan-de1ys
5 ай бұрын
Ongeza saut nyuma hawasikii huko
Kaka kweli una utu na ni unaelewa hauna mambo ya kujiinua jua uko tu kawaida safi sana Elimu au pesa visikubadilishe endelea hivohivo Mungu atazidi kukuinua ila Mulokozi kumbuka uwasaidie wenye uitaji maisha haya ni maguma
Hiy V8 nyeusi daaah
Mashaallah kaka mlokoz
Millad for sure tunahitaji interview kama hizi nyingi sana....hizi ndio interview zenye faida sana kutoka kwa watu waliofanikiwa tena watanzania wenzetu... pls pls pls Ayo tunaomba interview za hivi huyu jamaa ameni-inspire sana
Millard napendekeza uwe unahoji sana hawa wajasiriamali wenye mafanikio makubwa tunapata madini sana kutoka kwao 🔥🔥
Kwann? Sitaki kuwa bilionea niwe tu na maisha ya kawaida kumudu bills mbalimbali nk yaani hivyo tu .
@kondoatown8765
5 ай бұрын
@vallencymacdonalds4176 kundi LA maskini mm sipo
@KelvinMasoud
5 ай бұрын
Ndo maana upo hivyo
@tzcruiseralteza2039
5 ай бұрын
same bro hata mm kuishi simple tu make uwezo wa kua tajiri mkubwa labda kwa miujiza
@poulnyamgoncho2152
5 ай бұрын
umeamua kunyosha mikono
@mosescharles1921
5 ай бұрын
Mimi stamani kua tajiri wa kawaida
Naomba nikumbuke mh tajiri hata kwa gari moja by REV Manchu arusha
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
5 ай бұрын
Unajua alivozipata izo gari? Acha tamaa eti nikumbuke utafumuliwa luako au utajikuta tu msukule mnapenda vya kupewa pewa utaolewa na kufanywa vibaya
Katika vitu Matajiri wetu wanafeli sana ni swala la INTERIOR and EXTERIOR of their houses ,, Alafu kingine ni Uchafu wa Mali zao. Unakuta Magari machafu kha
@kanankirannko6174
5 ай бұрын
Umepatia kuna gari hadi zimeviziwa na watu kwa siri zinaandikwa nioshe,utafikiri zinalima
Kaka hata me ni bilionea ninayekuja ayo tv mtakuja kunihoji to
@fahadfaraj6474
5 ай бұрын
Simamia unachoomini utakua mzee
@kennethbenjamin275
5 ай бұрын
Ayo TV wao watakuja kukuhoji tu wao kazi yao kuwahoji mabilionea mzee so usijali😂
@darkplatnum9006
5 ай бұрын
Usikute na wew una chimba pi maana mnavyo jiamini
@johnshango5651
5 ай бұрын
@@darkplatnum9006😂😂😂watu pi network wanajiamini balaa
From 🇲🇼 🏠 🇧🇮
Me naomba bro anambie ninjia Gani sahh amabayo unaweza kumake pesa na kwa mtaji mdgo kama 1million nibiashara Gani naeza Fanya nakuweza kubiga hatua kimaisha
Utaona watu watamfananisha na Mondi kisa magari. Lakini mukumbuke huyu sio msanii, kwa msanii ni lazma show off ndio maana huyu watu hawamjui lakini wanamjua mondi global.
humility
Millard Maswali mengi kuhusu magari yake na amekwambia magari sio kitu cha muimu, ,, 😂utafukuzwa kwenye nyumba za watu bure
@furahachuma9039
4 ай бұрын
😂😂
Asante sana wajina Mulokozi😊
Hongera sana kwa mafanikio na wala sio mjivuni.
Huyu mwamba yuko vizuri mashaaluh hebu niitieni wale wasanii wenu wanao jisifu n matajiri waje wajionee 😂😂😂😂
Kaka naomba kazi
Bilionea hana Bwebwe kabisa❤
@theleague4217
5 ай бұрын
bwebwe hana, bwingi
Kati ya gari nitakalokuja kumiliki ni hiyo hummer naipenda sana sema mungu anijalie afya njema na mafanikio lukuki. 🙏🙏
Nimefurahishwa na millard kuitambua mark x katika maongezibyake.😊
Hapo penye kugawa Mlokozi nigaie na mimi jamani plz
Safi sana
Ongera sana my brother lakini pia naomba kazi bc
Kama umeona pickup ya Benz like hapa
Me only happy maana comments zenu ndugu zangu zinatosha kile ningesema. Ila nimependa jamaa Mmoja anasema anawaza kumpita jamaa Kipato hii imenifurahi❤
Ila mulokozi umetuheshimisha wahaya jamani.. tena wajina wangu nimekupenda bure🤣🤣🤣
Me naombi moja tu kwake naomba kuwa agency wa vinywaji vyake upande wa serengeti
Chief Godlove typing and delete his comment 😂😂. Hii ni baada ya kumuona tajiri wa kweli kweli akiwa hana kelele
Duh hadi magari mengine unagawa, naomba apo😊
Millard mbona suala la gar unaliforce saana?
Hama yakuendea shamba sio watu wanavimbia na v8
Na.bado mshiksji ni mhaya mamaeeeee
Hama niyakwenda nayo shambani
Hammer ni gari ya kwendea shamba 😮
Daaah huyu jamaa ningepata fursa ya kukutana nae ningemuomba gari moja hilo ya bei chini anizawadie angalau niwe na kipandwa namim
7:47 ningependa kufahamu amefanya biashara vipi mpaka kufikia hapo pia.
Blue boy ❤
@amonalexander1513
5 ай бұрын
Wakishua
Bosi hbr me naomba tu niajir kwenye kampun yako ili na mm.nitimize ndoto zang
Hiki chakula cha leo kina mchanganyiko wa majigambo, upuuzi, mapepe, papara na mawenge mengi 🍲🥙
Sema alitakiwa awe na gari ya hadhi yake macadilac Bentley benz apo mimi naona v8 unyama hammer unyama iyo hard board unyama pia ila icho kiferrar cha mchongo
gari,za kawaida unasema wakat ww ulie sema kawaida huna hata laki
Huyu mulokozi ni zaidi ya sonko wa kenya,aswa upande wa mjengo wake.
Ayo hui interview ya Mulokozi bado hujatupatia alipoanzia...na turning points zake za maisha ..itatusaidia badala yakuona matokeo bila kujua hatua alizopita...hicho kipande mhimu sana
Uwa nacheka sana nikiona tajiri anasema yeye sio mchawi wala mshilikina😁