EXCLUSIVE: BILIONEA WA MPUNGA, MKULIMA ALIEITWA NA BILL GATE, GARI ZA KIFAHARI, JUMBA KIWANDA

Leo naripoti kutokea Kiwandani Rapha Group Limeted hapa ni Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya, kuna watu wameweka pesa zao, akili, na kila kitu chao kwenye kilimo, nakukutanisha na Raphael Simon Ndelwa maarifa yake na maisha yake yeye ni Kilimo cha MPUNG na uzalishaji wa mchele yaani BILIONEA WA MPUNGA, Uwezo wake wa kukopesheka na BENKI NI BILIONI 3

Пікірлер: 645

  • @petermuganda7322
    @petermuganda73223 жыл бұрын

    Kama unaamini jamaa nijembe nimfano wakuigwa like hapa

  • @mustaphahamis2787

    @mustaphahamis2787

    3 жыл бұрын

    💯💯💯 nakukubali saana Rafa

  • @AbilahSalumu-qx1cb

    @AbilahSalumu-qx1cb

    Ай бұрын

    Ongela Kazinzuri Kaka Kuuza Nnichi Zawenzetu Ukunyumbanikwenu Uwo Mchele Adi sikukuu Kwer Wa Tanzania Matumainiyameshalejea Unauzagari Unanunuwagari Niyagani

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson15773 жыл бұрын

    Vijana tuskate tamaa. Mungu niwetu chamsingi juhudi tu. Amen

  • @mgosimkome9242

    @mgosimkome9242

    3 жыл бұрын

    Usilete story za Mungu kwenye mafanikio ya mtu, siri ya mafanikio huwa anayo Anaemiliki mali na watu msibeze elimu kwa kuona darasa la Saba kafanikiwa, akikuambia siri zake utakimbia. Usione mtu ana pesa ukatamani ukaanza kusema sijui na wewe unaweza kuwa hivyo, na sio kwamba vijana hawajishughulishi wanajitahidi Sana ili waondokane na umasikini ila ndo hivyo. Siri anaijua yeye wachache ndo wataelewa hii sms

  • @NTEMI-OBURUDANI

    @NTEMI-OBURUDANI

    Жыл бұрын

    Kijana unapotosha uma Mungu anasema fedha na sababu ni vyake anauma ameombae omeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni mtafunguliwa so kwenye mafanikio Mungu kwanza mengine mtaongezwa

  • @mkwizoxsafarisadventures9750
    @mkwizoxsafarisadventures97503 жыл бұрын

    Huyu ndugu Raphael ni mzalendo halafu hapendi umaskini kivitendo...Mpaka kuwashika mikono wakulima wa kawaida kuwadhamini sio kitu rahisi kabisa... Mungu aweke hii spirit miongoni mwa vijana wa Tanzania pamoja na kwangu, ameeeni...💪

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv3 жыл бұрын

    nimejifunza vitu vingi katika habari hii, thanx AYO TV , nawasihi vijana wezangu waisikilize hadi mwisho.

  • @deogratiaskambalile7729

    @deogratiaskambalile7729

    3 жыл бұрын

    Nice motivation story

  • @josephmakau7322

    @josephmakau7322

    3 жыл бұрын

    Wewe jamaa namimi nime msikia kaka

  • @hamidjuma2357
    @hamidjuma23573 жыл бұрын

    Pia kasema kweli tupu kwamba ukitaka kufika mbali jenga uaminifu ujanja ujanja haukufikishi mbali very true

  • @supervan3717
    @supervan37173 жыл бұрын

    Asanteni sana millardayo kwa kutupia jicho uyole kwenye kiwanda cha mhele kwa hakika kila aliepata nafasi ya kuangalia hii interview amejifunza jambo kubwa sana

  • @clemencejames7279

    @clemencejames7279

    3 жыл бұрын

    Exellent

  • @richardmwandali7722
    @richardmwandali77223 жыл бұрын

    Nimerudia mala 3 kusikiliza iyo story big up Sana sir Raphael

  • @nicholaskelion1180
    @nicholaskelion11803 жыл бұрын

    Mungu akutangulie Mkurugenzi,, mchango wako kwa Watanzania ni mkubwa, Mungu akupe zaidi ya hapo.

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo12013 жыл бұрын

    Mungu anavichagua vinyonge kuviabisha vikubwa ili asiwepo wa kujivuna. Inapendeza Rafael anapomtukuza Mungu ktk mafanikio yake. Na kwa ajili hiyo Mungu pia amemkweza. Kila ajishushae atakwezwa na vice versa. Barikiwa ndugu umekuwa mfano rahisi na wazi kabisa kuelewa na mzuri mno kwa vijana wote ktk Taifa hili. Play your part it can be done. Hongera sana Rafa.

  • @user-ux6eq4co6i
    @user-ux6eq4co6i3 жыл бұрын

    Ongera sana nimefurai sana kumuona mtanzania km ulivyo wewe mungu akubariki mim niko oman naipenda sana tanzania mungu aibariki tanzania

  • @gradientlife
    @gradientlife3 жыл бұрын

    This is guy is genius, akili yake kubwa sana. Very inspiring. @Raphael Ndelwa Hongera sana

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana ndg. M.Ayo, wewe unatoa habari zinazoeleweka kwa anahitaji habari zenye mafundisho.

  • @dorcasseruhere6875
    @dorcasseruhere68753 жыл бұрын

    Mingu akubariki na watu wako wote. Kama una watoto wasomeshe kwa kiwango cha juu. Nakupongeza Unaweza na Mungu awe nawe. Amina

  • @peterbillas9131

    @peterbillas9131

    Жыл бұрын

    Jamaa nimemkubali saana na mungu na wazee wetu wambariki lakini akae mbali na bill na ma gmo hawa matajiri wa ulaya hawana lolote ni mashetani wanataka kukontro mazao duniani na kufanya biashara na nchi za nje ni tishio kwao mimi nakaa sauzi na mchele huku ni mbovu tunakula maplaastiki sizani kama watapenda kuona mchele mzuri hivi ni vita vyakiuchumi

  • @edwardemmanuel5552
    @edwardemmanuel55523 жыл бұрын

    Miladi Ayo habari zenu si kitoto hongereni sana

  • @hassanhusseinally9805
    @hassanhusseinally98053 жыл бұрын

    Masha Allah ukimueka mungu mbele kila kitu kinawezekana insha Allah keep it up Mr Rafael

  • @bernadlydia296
    @bernadlydia2963 жыл бұрын

    Mungu huwainua wanaomtegemea na kumuamini, vijana tuna jambo kubwa sana la kujifunza kupitia kwa huyo kaka, Mungu akubariki Ayo tv kwa kazi nzuri ya kutuonyesha fursa vijana wenzenu.

  • @emmanuelsanga7583

    @emmanuelsanga7583

    3 жыл бұрын

    Hakika kuna habari unaweza ukaiona ukaamini kweli suala la habari ni taaruma na sio wanaodhani wakiingia kwakumweka modo wake furani wakati wanashindwa kufata masharti sheria taratibu na kanuni za taaruma ni dhahiri hakustahiri kuwa mwanahabari ninamakunyanzi moyoni mwangu juu ya wanahabari wanaoifarakanisha habari na wadau ila basi tu wameniita mlawiti muuaaji mara 2 mvamizi tena kwa vichwa vikuubwa vya habari iweje hapo

  • @africaendlesscruising
    @africaendlesscruising3 жыл бұрын

    Huyu kijana hata kama ameishia Darasa la Saba kwa sasa ana elimu ya kiwango cha digrii ya Chuo Kikuu katika biashara na uongozi. Hata anavyoongea kwa kujiamini na ufasaha ni wazi biashara anaijua vilivyo. Hongera sana Bw Rafaeli...!!

  • @fredrickallan5437
    @fredrickallan5437 Жыл бұрын

    Safi sana mtanzania mwenzetu kwa mapambano mazuri, Mungu aendelee kukutunza na kusimama imara katika kampuni yako,ufike mbali zaidi ya hapo ulipo.

  • @saidifadhil7397
    @saidifadhil73973 жыл бұрын

    Asante Ayo kwa kutuletea huyu jamaa ,nimejufunza sana mungu aendelee kuwapa nguvu ya kutuletea stori zenye mafunzo kama hii.

  • @christianchando7041
    @christianchando70413 жыл бұрын

    Kweli nimeamini Akili si elimu. Huyu jamaa anajua kujieleza, anajibu maswali yote vizuri

  • @maalimjaffar5563

    @maalimjaffar5563

    3 жыл бұрын

    Kweli usemavyo,,, kwasababu wasomi wengi wanatumia ufundi wa kupanga maneno matamu,lkn wenyewe wanakua na malengo yao ya siri,huyu jamaa anaongea kwa uwazi na kwaushahidi,,,hadanganyi.

  • @kawawamamaya8543

    @kawawamamaya8543

    3 жыл бұрын

    Na sio msomi imagine

  • @fundamengo7970

    @fundamengo7970

    3 жыл бұрын

    Sema shule sio akili lakini elimu ni Bora tofauti ni elimu ya aina gani elimu ya wazazi ni Bora Sana

  • @yusufumajinge59

    @yusufumajinge59

    3 жыл бұрын

    Sasa ndiyo ujue busara na elimu ni vitu viwili tofauti kabisa.

  • @wisperfect5320

    @wisperfect5320

    3 жыл бұрын

    Ukiwa na pesa lakizima uwe na confidence

  • @Regan_
    @Regan_2 жыл бұрын

    Interview bora zaidi ambayo nimewahi kuitazama. Mungu katika kila sentensi huyu mtu amebarikiwa sana.

  • @prettyh7509
    @prettyh75093 жыл бұрын

    Mashallah nami nimeelimika kufanya kaz kwa bidii na kumtanguliza Muumba

  • @kdpretoria780
    @kdpretoria7803 жыл бұрын

    Ni matajiri wachache wanaoamini kuwa si huwezo wao bali ni uwepo wa Mungu katika kutenda miujiza wengi huamini ni uwezo wao ila huyu kamuweka sana mbele Mungu am proud of him.

  • @immanuelkalleshi6153
    @immanuelkalleshi61533 жыл бұрын

    Mungu akupe nguvu zaidi na maarifa Na zaidi mm nimekuwa pamoja na ww kaka nimeona hekima na busara zako.Mungu akupe zaidi afya na hekima.

  • @agreyaloyce432
    @agreyaloyce4323 жыл бұрын

    I love that kila sentence Mungu yupo kwenye kichwa chake

  • @wafulatom104

    @wafulatom104

    2 жыл бұрын

    Even me iam amazed at the way he begins with God in every thing. Nashukuru saana from Uganda

  • @Maggie-yx8pw
    @Maggie-yx8pw3 жыл бұрын

    Big up Kaka Raphael ukimtanguliza Mungu hakika hakutupi Mkono.

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo36153 жыл бұрын

    Mungu akubariki niliwahi nunua kwako mchele n mzuri good package mchele mzuri safi ur my role modal

  • @benjaminsamwel5059
    @benjaminsamwel50593 жыл бұрын

    Mimi mtu wa uyole tunakua na tunaona mafanikio yako hongera sana unatumotivate

  • @Guled3
    @Guled3 Жыл бұрын

    I like the attitude of this billionare for acknowledgement of Almighty Allah in his success.

  • @dannywiston6391
    @dannywiston63913 жыл бұрын

    Namjua jamaa yuko simple Sana na roho nzuri Sana, kazini kwake kajenga mpaka sehemu ya ibada

  • @marylubuv8202

    @marylubuv8202

    3 жыл бұрын

    Kumbe aseeeeh ndo mana anabarikiwa

  • @hellenmawere9284

    @hellenmawere9284

    Жыл бұрын

    Hakikaa amejua kumtafuta Mungu Kwa bidii zote. Nimejifunza kikubwa mno Leo.🙏 imebarikiwa mikono isiyotenda Kwa ulegevu + na juhudi + unyenyekevu. Mungu atusaidie sana asee.

  • @h.rukuba7464
    @h.rukuba74643 жыл бұрын

    Jamaaaa liko vizuri hongera Raphael serekali wasupport yeni Hawa jamaaa watusaidia tu create ajira mungu akubariki

  • @getrudeambilinyi4505
    @getrudeambilinyi45053 жыл бұрын

    Hongera sana mjomba wangu namuomba Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi

  • @michaelmakaranga5877
    @michaelmakaranga5877 Жыл бұрын

    Nimefarijika sana🙏🙏🙏 Mungu Ahsante Kwa zawadi ya watu kama Hawa dunian

  • @adophndelwa4885
    @adophndelwa48853 жыл бұрын

    Big up professor keep grinding you deserve god will do the rest

  • @rajabmartojr3302
    @rajabmartojr33023 жыл бұрын

    Respect broo Millard ayo And much more respect to mr Rafa group

  • @khadijaally3742

    @khadijaally3742

    2 жыл бұрын

    Ayo we ni insperation ya kwanz then uncle mchele ur the best

  • @JamesKalisa-ht5xm

    @JamesKalisa-ht5xm

    3 ай бұрын

    Nimekuelewa kaka

  • @severinmbanza4950
    @severinmbanza4950 Жыл бұрын

    Kuna kitu nimekinukuu kwa Raphael, ni ukiamka sa mbili au sa tatu huwez kufanikiwa kwenye haya maisha kamwe❤

  • @gracerossiejohnny9887
    @gracerossiejohnny98873 жыл бұрын

    Mungu amlinde jmn...maana ukitafuta shida..ukikaa bure shida...mungu akulinde

  • @alikhamis6326
    @alikhamis63263 жыл бұрын

    Brother nimependa jinsi unavyojieleza vzr hongera kaka na ss tutajifunza kupitia jitihada zako mungu awe pamoja na ww pia nimependa kaka jinsi unavyotembea majendo yako

  • @TijoMediaCom

    @TijoMediaCom

    3 жыл бұрын

    Mzee ukishakuwa na hela hakunaga kutetemeka, tutafute pesa tuu yaan

  • @maleojoseph5272
    @maleojoseph52723 жыл бұрын

    Am sorry to say this..but Bw Rafael ana ukakamavu, uzalendo, maono ,na msisitizo chanya kama ya Rais Magufuli

  • @jamsonkanyiki6038
    @jamsonkanyiki60383 жыл бұрын

    Big up. big boss. salute kwako pamoja na watendaji wako wote. Kazi iendelee

  • @kavishe2009
    @kavishe20093 жыл бұрын

    Nimeshangaa sana jinsi ulivyo na uwezo mkubwa wa kujieleza kuliko Profesa wa chuo kikuu.

  • @kawawamamaya8543

    @kawawamamaya8543

    3 жыл бұрын

    Daaah 😁

  • @evelyneokwiri6344
    @evelyneokwiri6344 Жыл бұрын

    I read his story 2yrs ago. He is a hard working man with humanity in him

  • @Donrugi
    @Donrugi3 жыл бұрын

    WOW NAJIKUTA NAFURAHI KAMA NI MIMI VILE. Hongera sana kwake wacha na sisi tupambane 🙏🏽

  • @hamisinjuga8573

    @hamisinjuga8573

    3 жыл бұрын

    Dar jamaa namkubali sana napenda sana maendeleo Ila vizingiti vya wanadamu aisee wewe unapambana peke yako wao wanapambana na wewe aisee watu bwana

  • @wafulatom104
    @wafulatom1042 жыл бұрын

    Iam so inspired by this determined person to uplift mtu wa chini

  • @gipsonmmehwa1637
    @gipsonmmehwa16373 жыл бұрын

    NMERUDIA KUSIKILIZA MARA 3,HABARI IMENITIA MOYO SANA KATIKA MAPAMBANO YANGU

  • @rubebandihai6207
    @rubebandihai62073 жыл бұрын

    Kazi nzuri, lakini Bill Gate siyo mtu wa kuamini. Msiweke GMO tafadhali🙏🏽

  • @josaphatlukwaro2378

    @josaphatlukwaro2378

    4 ай бұрын

    GMO Ninini ndugu

  • @yusufumajinge59
    @yusufumajinge593 жыл бұрын

    Busara na elimu ni vitu viwili tofauti kabisa.

  • @abochejuniorhutingwa223
    @abochejuniorhutingwa2233 жыл бұрын

    Hongera sana kk Raphael Mungu akufanyie sawasawa na maombi yako

  • @winniewairimu3822
    @winniewairimu38223 жыл бұрын

    Ninasonga mbele sirudi nyuma tena umenitia moyo wa la7 mwenzangu,tamanio langu ni nafaka biashara,nani amemskia kama Mimi anaongea kama Godbless Lema gonga like happ

  • @SHUFEJOGROUP
    @SHUFEJOGROUP2 жыл бұрын

    Hongera sana Mr Raphael, mungu akujaalie zaid kuna kitu nimejifunza kwako.

  • @oliverkyando9897
    @oliverkyando98973 жыл бұрын

    Kweli umetoka mbali sana ,Tena unaroho ya huruma ulikuwa unatugawia hata sisi wakiwango cha chini unatupatia debe moja tunadunduliza maisha yanaenda, Ndio maana Mungu hajakuacha

  • @amaniomballa1855
    @amaniomballa18553 жыл бұрын

    Marafki sometimes wanakuwa Ni zaidi ya Ndugu Ni vema kumuheshimu kila mtu..ktk haya maishaa..

  • @godfreymsendo5812
    @godfreymsendo5812 Жыл бұрын

    Nimependa sana jinsi anavyomtanguliza MUNGU Kwa Kila jambo lake..... Am inspired to him

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo75843 жыл бұрын

    Mungu aibariki Tanzania mungu mlinde mamma yetu raisi wetu nä shari za kila kitu Kaka mungu azidi kukubariki kwani unaitanzania tanzania kwa kuwasaidia vijana

  • @monicaluziro1288
    @monicaluziro12884 ай бұрын

    Nimejifunza kitu hapa, kwamba boss wetu amesafiri. Yaani wafanyakazi wote mnakua sawa kabisa kama ni vumbi vumbi juingia kazini wa kwanza kutoka wa mwisho.

  • @katigeneralenterprises2348
    @katigeneralenterprises23483 жыл бұрын

    Rapher group yuko vizuri sana hasahasa kwenye mahusiano (lugha)na wakulima na wafanyabiashara wa mazao wote anastahili kupewa zaidi na zaidi kwani ni msaada kwa wengi ukifika ofisini kwake huwezi amini ni milioner

  • @getrudewillson308
    @getrudewillson3083 жыл бұрын

    Kiukweli kaanza viizuli namuombea kwa MUNGU wetu amalize vizuli zaidi nami naomba kazi.

  • @inomaxsemu7765
    @inomaxsemu77653 жыл бұрын

    Hizi ndio habari tunazoziitaji sio zile za nani kamshika tako nani... Binafsi amenipa motisha sanaa kama kijana, na kilichonifurahisha anaamini nguvu ya juhudi.. Big up sanaa

  • @anselmokidaboma9328
    @anselmokidaboma93283 жыл бұрын

    The guy is Soo Bright, kweli subira yavuta heri.Tz inahitaji watu Kama hawa 2 kila mkoa Tz itakuwa imenoga mno

  • @marylyimo7546
    @marylyimo75463 жыл бұрын

    Hongera sana Raphar unaonekana hunamajivuno umejibu maswali vizuri sana, MUNGU akulinde na watu wenyenia mbaya.

  • @juhudijotham6741

    @juhudijotham6741

    3 жыл бұрын

    Big up Sana Mr Ndelwa ,pambana ufikie ndoto yako, Mungu akupe ulinzi Hakika.

  • @farijanibakari9018

    @farijanibakari9018

    2 жыл бұрын

    Safi sana

  • @danielamosi2553
    @danielamosi25533 жыл бұрын

    Mafanikio hayahusiani na elimu..hongera sana wasomi wengi wanayo njaa wape mchele wakale

  • @davidmwita9472

    @davidmwita9472

    3 жыл бұрын

    nikweli unachosema ila dunia inabadilika enzi hizo sw lakini sasahivi sizani

  • @coletashirima2193

    @coletashirima2193

    3 жыл бұрын

    Hahah

  • @isikesamike

    @isikesamike

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @josephineasende9140

    @josephineasende9140

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @agnessmkoma1761
    @agnessmkoma17613 жыл бұрын

    Mr. Raphael.... uko smart akilini..... very smart... yaan unaongea vizur we baba.... uko na furaha wakati wote, unaongea kwa sauti ya ujasiri Sana......nimetambua juhudi zako baba...... endelea na safari, Mungu akawe kiongoz wako

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Жыл бұрын

    Hongera sana. Mungu Azidi Kukutangulia. Umewafungua Vijana Macho. Hongera Ayo.

  • @mwlpierre
    @mwlpierre3 жыл бұрын

    What an Excellent patriotic investor!

  • @filomenambilinyi5471

    @filomenambilinyi5471

    3 жыл бұрын

    Hongera sana ndelwa ubarikiwe na yesu mpaka ushangae.

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza27162 жыл бұрын

    Hongera sana kaka wanambeya tunajivunia sana wewe mungu akulinde! Mimi nipo ituha mbeya

  • @tajimwambole3115
    @tajimwambole31153 жыл бұрын

    Wewe una Mungu sana kaka yangu. Mungu anakupenda nawe mpende Mungu zaidi. Nimependa sana

  • @alex_james8244
    @alex_james82442 жыл бұрын

    very good entrepreneur, you are smart in talking....inspirational man ever happened 2021

  • @Pihansmo1129

    @Pihansmo1129

    Жыл бұрын

    Naomba namba zako Raphael tufanye biashara ya mchele

  • @amosicronery7730
    @amosicronery7730 Жыл бұрын

    Shukrani sana, nimemwelewa sana Rafael Group

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki56673 жыл бұрын

    Safi sana ndugu. Wewe ni mfano wa kuigwa katika biashara

  • @alexedward7709
    @alexedward77093 жыл бұрын

    Umeeleweka vizuri. Asante sana.

  • @jameskitheka5702
    @jameskitheka57023 жыл бұрын

    Millard Ayo uwa namkubali..much love from Kenya

  • @luganomwaigomole8849
    @luganomwaigomole88493 жыл бұрын

    Nimekubali Sana brother.. nimejifunza mengi kaka.. TANZANIA FUNGUKA...

  • @selekiwande64
    @selekiwande643 жыл бұрын

    Mwamba anachokitu cha ziada ndio kimemfikisha alipo Kitu uaminifu kujiamni, na Ana nyota yakupendwa kuaminiw kujituma na anandoto kubwa pia anamoyo wakusaidia wengine na ndiomaana anazid kupata baraka za mungu

  • @fideahyera2599

    @fideahyera2599

    2 жыл бұрын

    Hongera Sana. Nimependa namna unaongea. Nimejifunza Mambo mengi

  • @alextercisio5477
    @alextercisio54773 жыл бұрын

    Wow cograts heko kwako bundah ...cheers from kenya

  • @jhonchege7258
    @jhonchege72583 жыл бұрын

    Mungu ni mwema wakati wote 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @emmanuelsanga7583
    @emmanuelsanga75833 жыл бұрын

    Mimi sishangai saaana kwakuwa rapha namjua na nimpambanaji ambae natamani siku moja hata mimi nije niyafikie ayafanyayo maana nikitafakari nikiwa tandiboy nishapakia maharage yake saaana kwenye tank nikitoka malawi - dar nimempakilia kuleta uyole alikuwa na stoo maeneo ulipo mzani kyela road hapo kat leo ni habari ya mjini sijui hata kama naweza kuongea nae japo bro hana dharau anaiheahimu hela na utu hongera saana rapha pia kuna bro mmoja anaitwa mligo wa njombe madobole au kona kwa sasa ni marehemu nimekuwa nae kwa karibu mnno nikiwa malawi pale baadae najua alikuw akifanya kaz na rafa

  • @justokweka2340
    @justokweka23403 жыл бұрын

    Mr Rapha uko powa Sana bro daaaah nimejifunza Mengi Sana

  • @RaymondMahundi
    @RaymondMahundi9 ай бұрын

    Raphael brother keep going..naufaham moyo wako wewe ni mtu napo sema mtu na maanisha.hongera brother 🙏🙏

  • @mangisenya4012
    @mangisenya40123 жыл бұрын

    Hongera kwaku jiamini hata temea yako tuu inaonyesha una jiamini🤝🤝💪💪

  • @magrethelisha5460
    @magrethelisha54603 жыл бұрын

    Anatembea vizuri 😊 hongera sana Kaka👍

  • @hellenmroso6786

    @hellenmroso6786

    3 жыл бұрын

    Mwendo wa pesa 😆😆😆

  • @Josh_1194
    @Josh_11943 жыл бұрын

    Mungu kwanza nimependa hii asee hongera mtu mkuu

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali88833 жыл бұрын

    Maelezo yamenyooka ila huyo muhindi kaku push sn. Hongera

  • @juliussaibulujuliussaibulu5740
    @juliussaibulujuliussaibulu57403 жыл бұрын

    Maisha ni bidii ya mtu big up sana brother kwa bidii yako.

  • @gilbertfuria5817
    @gilbertfuria58173 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni smart na Ana uzalendo flani

  • @gloryjutta7888
    @gloryjutta78882 жыл бұрын

    Hongera Raphael endelea kumtumaini Mungu ktk ndoto zako !!! Saidia wamama pia

  • @khadeejaalmahri6217
    @khadeejaalmahri62173 жыл бұрын

    Big up kaka umejibu vizuri swali LA sangoma kama ulivyosema ukweli wavivu hawakosi sababu Mara watasema kafanikiwa sababu ya sangoma Mara watadai hela ya kukopa ilimradi hamshushe mtu

  • @aloycemwakatala2796
    @aloycemwakatala2796 Жыл бұрын

    Anaitwa Mzee wa miondoko, kwakweli huyu brother naongea kutoka moyoni Mwenyezi Mungu amuongezee, huyu brother hana hiyana na mtu yoyote, amesha saidia watu mbalimbali bila kujali kabila wala jinsia pasipo shaka hata wewe unayesoma hii sms amekusaidia na kama siyo wewe basi ndugu yako au rafiki yako zaidi kama utakuwa unaishi uyole mbeya hivyo vinakuhusu.

  • @yusuphmkapa934
    @yusuphmkapa9343 жыл бұрын

    Hongera Sana Mungu AKUBARIKI SANA

  • @buye5436
    @buye54363 жыл бұрын

    Anamwamini Mungu and that's good.

  • @1000Brain
    @1000Brain Жыл бұрын

    Kama umegundua huyu ni kiongozi makini sana. Muda wote anatumia neno "sisi", " tuna, tume" hiyo ni ishara ya uongozi bora

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama81663 жыл бұрын

    Hivi ndio vitu vya kuweka kwenye Chanel sasa

  • @agnesndetaramo7209
    @agnesndetaramo72093 жыл бұрын

    Nipo botswana kaka nakula Mchele wa Raphael kazi nzuri Sana nimejifunza mnoo kupitia huyu kaka Raphael

  • @yusuphadmin1005

    @yusuphadmin1005

    2 жыл бұрын

    😂😂😂 ya kwer hayoooooo

  • @yusuphadmin1005

    @yusuphadmin1005

    2 жыл бұрын

    mmmh wewe😂😂

  • @abdonmassawe49
    @abdonmassawe493 жыл бұрын

    Hongera sana 👏👏👏👏👏 natamani kujifunza kutoka kwake

  • @fadhilahussein3581
    @fadhilahussein35813 жыл бұрын

    Mungu akitaka Kupa hakuletey barua

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74913 жыл бұрын

    Huyu baba ame ishia darasa la saba ila ana akili kuliko mawaziri wenye degree zao 🤣🤣

  • @mnyongeiddi2454

    @mnyongeiddi2454

    3 жыл бұрын

    Degree ni akili ya makaratas siyo ya maisha ndugu hata usiogope

  • @zuhuramuhanga5400

    @zuhuramuhanga5400

    3 жыл бұрын

    Biashara cyo lazima usome ni maarifa na bidii

  • @radhiasalum7156

    @radhiasalum7156

    3 жыл бұрын

    Maisha ya hapa bongo ni juhudi zako tu unatoka cha msingi ufanye vitu na ubunifu vya kitu. Kaka kajitahidi mno

  • @MarcoMchele

    @MarcoMchele

    5 ай бұрын

    Maisha sio degree

  • @williamgilbert-rx4zv

    @williamgilbert-rx4zv

    4 ай бұрын

    Degree cio maaaan kwamba ww unaaakili sana bali n kujua jinsi ya kupambania fursa hiyo ndio ishu

  • @hassanmasoud2113
    @hassanmasoud21133 жыл бұрын

    🍒💪pga kaz brother

  • @kulwamachugu936
    @kulwamachugu9363 жыл бұрын

    Amina kaka MUNGU akisema ndio hakuna wakusema hapana, Nakuombea kwa MUNGU akutendee Yale yote unayohitaji sawasawa na mapenzi yake mwenyewe

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74913 жыл бұрын

    Daah huyo rafiki yake ni rafiki wa kwel mtu aku nunulie ardhi million 500 kwa urafiki tuu 🙏🙏🙏

  • @kingmtz5740

    @kingmtz5740

    3 жыл бұрын

    Ni ml 300

  • @ngwelesalu8348

    @ngwelesalu8348

    3 жыл бұрын

    kaka jitahid tafuta rafiki sahihi mfanye awe ndugu yako, huwa wanajitoa kuliko maelezo

  • @kennethngoleka517
    @kennethngoleka5173 жыл бұрын

    Hongera sana brother nimeona kuna kitu nilichojifunza hapo inatakiwa kufanya kazi kwa bidii,ushirikishaji,na maarifa makubwa na bila kushindwa changamoto ni moja ya kujifunza,hongera bro.

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba57473 жыл бұрын

    Hongera brother piga kazi achana na maneno ya wavivu waliokosa kazi ya kufanya kwani na mimi natamani nifike ulipofika wewe

Келесі