Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Жүктеу.....
Пікірлер: 369
@fatmaabdallah77093 ай бұрын
Mashaallah kasri mungu akupe afya na akuzidishie na sisi atupe inshaallah. Kuna watu wana pesa lkn hawana mipangilio ila wewe mheshimiwa umezitendea haki neema alokupa m.mungu
@salimkassim60203 ай бұрын
Nimewakubali wote Mbunge,,, mtangazaji,,,na camera man wote Mashallah Allah awazidishie wametulia sana,,safi kabisa nimefurahia kipindi
@missp18143 ай бұрын
Aisee hongera nampenda Huyu kiongozi,nilimsikiliza kwenye salama na,anaonekana nimtu mwenye utu sana....M. Mungu ambariki zaidi na zaidi
@RayyanRayyan-rt9cg3 ай бұрын
Iyo ni nyumba au mtaaa maashallaaah mungu kajua kuwabariki❤❤❤❤❤
@asiamerey90813 ай бұрын
😂😂😂 yani nimecheka sana nanimependa bei ya gari pekee nyumba ya mwijaku
@patimaissa85723 ай бұрын
Naishi jimbo la mpendae ni kweli kabisa kiongozi wetu ni mtu mzur
@komboomar82753 ай бұрын
*Mungu akubarik ww na familia yenu mzima na abariki zaidi company yenu mumetufuta machozi cc wapemba kwa boat yenu ya speed tunasafiri kwa wepesi na urahisi zaiidii Allah aibariki Zan fast ferries*
@ForodhaniZanzibar3 ай бұрын
Hana cheni hana kipuli hajatoboa pua hana tatoo ila anabonge la jumbaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
@nadyasalim7956
3 ай бұрын
Mashallah sio wengine wamechora matatoo wametobowa pua
@ABUUALLY-tv8rl
3 ай бұрын
Kwahiyoo unampiga kijembe mtangazaji 😂😂😂
@ForodhaniZanzibar
3 ай бұрын
@@ABUUALLY-tv8rl Kwan mtangazani ana tatoo
@JechaMakameIssa-gs2bl
3 ай бұрын
Anatokea familia ina hela usishangae hana njaa kwao
@valencesokoni3291
3 ай бұрын
@FatmaZena3 ай бұрын
Allah amlaze pema peponi mzee Turk.nililia sana alipofariki,hawa watu wana mioyo ya huruma sana,Allah awazidishie .nilifanya kazi ktk kiwanda chao mombasa unguja,yaani ni watu wenye mioyo ya imani mnoooooo
@user-bu1te3bf8p
3 ай бұрын
Amiin yarab
@user-qg4wc5dz9r
3 ай бұрын
Njaaa itakuponza
@mokeya
3 ай бұрын
@@user-qg4wc5dz9r na ww husda zitakuua
@mokeya
3 ай бұрын
@@user-qg4wc5dz9r husda zitakuua
@abdulwahidmsellem1964
3 ай бұрын
😂😂why
@tunkuh6613 ай бұрын
Mandhari ya hii nyumba ni tamu sana..... Mungu akupe maisha marefu Mh. Ufurahie mafanikio yako na familia kwa ujumla
@dorynfao3 ай бұрын
"Kuhakikisha mfereji wa kuendelea kupata unakuwepo".👏👏
@yusrasalum3 ай бұрын
Mashallah hongera kwa mbunge anajielewa! Bora tunaona vitu tofauti 😊
@fatmaabdallah77093 ай бұрын
Mtangazaji kuchanganyikiwa na jumba la kifahari mpaka viatu umeogopa kuvaa😂😂😂
@salhaothman8278
3 ай бұрын
😂😂😂halaf hana uhuru wa maswali leo Halazimishi kuingia vyumbani km anavofanya kwa wasanii
@salmamkwizu32232 ай бұрын
Mashallah mashallah maisha ni nyumba inaleta utulivu wa akili ingekua mswahili apo unhekuta ana wake kumi vijana wa kiswahili wajifunze hili
@MsJabalkiss
2 ай бұрын
Wivu wako usitutaje tuwache tajiri na mali zake masikini na watoto wake wacha tuoe tupate watoto😂😂😂
@RayyanRayyan-rt9cg3 ай бұрын
Muheshimiwa haringi umepoa mtu wamaana kabisa huna majivuno mwenyekukuelewa amekuelewa
@subirajohn7283 ай бұрын
Hongera sana Mh Mwenyezimungu akulinde❤
@vincej92753 ай бұрын
Mtu mwenye mwoyo safi. Very humble man.
@mussakhamis31493 ай бұрын
Mashaallah kka hongera sn Allah akurudhuku zaid akuekee mamaetu ale neema zako za kijana wamzazi mwenzie km yy mzazi mwenzie alivo kua famasia baba akala nema zake nayy mama ale nayma zake kupitia ww kka hongera sa uwe naramadhan Qareem na laylat-lkadir iwe juu yk nami M/mungu anijalie niwe km ww tuige mfano wako mzuri kka inshaallah 🙏
@user-pv3km8cb7s3 ай бұрын
Alhamdulillah nmesoma kitu kupitia kiongozi
@FreeGod3683 ай бұрын
Uyu jamaa yuko humble sana
@asiamerey90813 ай бұрын
Mashaallah sikutegemea kama kuna mpaka sehemu ya kuswalia kumbe nilazima ilikuwa uwe Tajiri pia kila siku unasoma juzuu moja unaimaliza Mungu akuongezee kila ulipopunguza
@omanmct1353 ай бұрын
Rahasana nimependa sana chumba chKusaliya
@markmwaghogho92263 ай бұрын
From Nairoi Kenya...mheshimiwa yupo sawa
@Officialjidaa-sn9cs3 ай бұрын
I seeee Kuna watu wanaishi alaf Kuna sisi wapiga debe insta
@MahraMansoor59693 ай бұрын
Tawfiq mtu mzuri sana lakini huyu tokea zanani yupo hivi hana tabu mashaa allah nice one from 🇬🇧
@salma0000
3 ай бұрын
Alipata malezi mazuri
@RioIpo3 ай бұрын
Hongera sana Mbunge wangu Taufiq
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azid kumbarik huyu Mheshimiwa na mtangazaji wa hii makala, Mwenyezi Mungu atujaalie wote tulio Tazama tuwe serious na malengo yetu
@OmanOman-bm1lr
3 ай бұрын
❤❤kabisa wallah 💯 Allah atunyanyuwe ktk kila kheri tunazozifanya
@feynalabdul5999
3 ай бұрын
Ameen
@MrA24G3 ай бұрын
Huyuu ndio mbunge ana provide direct kwa watu si wale wanaongea maneno mengi.Majimbo yana njaa chagueni wabunge wenye uwezo kama huyuu hii ndio style ya marekani
@nasirabdalla86463 ай бұрын
Mwiiteni aristote aseme speeeec
@user-yy6vy4xu2s3 ай бұрын
Hii si nyumba chuo kikuuuu.
@annamosha968
2 ай бұрын
Yaani daaah
@user-fl7mr4dt1p
2 ай бұрын
😂😂😂😂ndo unachosoma au
@ahmadsayyeed79102 ай бұрын
Katika vijana ambao wanamiliki mambo makubwa lakini ukimuona katika shuhuli za maarous misiba au hata uraiyani hana mambo mengi wala kujivuna namkubali🎁🥰💞💯🌹
@Leylah-pz5sc
Ай бұрын
Ni kweli hawa Turk wote wana roho nzuri na anasaidia sana pale mpendae
@mussakiziyzi4083 ай бұрын
Saleh leo kawa km sie yeye full nidham,ule ukuda wa kutaka kujua kila akionacho na kufunqua funqua draw na mafridge kakaushia. All in all Mpaka miquu chini katembea kudadek 😂
@salehcllassic2325
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimechekaaaa jmn
@sophiakassim6784
3 ай бұрын
Nimecheka sanaaaa
@KhalidNa-bn4gp
Ай бұрын
Mpaka uzungumzaj tofa hahha
@user-kh8tr8xh4v3 ай бұрын
Mashallah nimependa sana.maendeleo yako Allah azidi kukuweka.
@judithkirenga99773 ай бұрын
Viongozi wetu wote wanatakiwa kuwa inspiration kwa Watanzania wetu kama hivi❤❤
@user-dn7gn6ib4k3 ай бұрын
Mashallha beautiful place❤
@suhailaidarousahmed28793 ай бұрын
MashaAllah muheshimiwa Allah akuhifadhi nimefurahi hicho chumba cha Swalaa wallahi good usali na familis
@OmarSongoro-bp9pn3 ай бұрын
Kuna kuishiii na kuishiaaa
@user-cz1pb6zn3h3 ай бұрын
Masha Allah ... allah akulinde na Khasad... sali SUNNA rakaa 2 ... kuomba ulinzi wake... NA CHA KUSHANGAZA UPO KAWAIDA KABISA.
@aminaomary55673 ай бұрын
Zenji wana vitu vizuri sana'ongera mhe❤❤❤
@jeedymasoud42693 ай бұрын
Unaweza tafutwa mwezi mzima na usipatikane
@nailaomar48103 ай бұрын
Mashaallah tabarakaallah Allah akuhifadhi
@user-dn7gn6ib4k3 ай бұрын
He has a good heart mashallha
@gracelisso71633 ай бұрын
Kijana mdogo lakini amekuwa na njozi kubwa yaani mpaka naona wivu wa maendeleo Aristotle anasema spaceeeee
@Luweenamandal2911
3 ай бұрын
Muombe dua, ili Allah na wewe akubariki ❤
@ndogoroedson1993 ай бұрын
Aisee hakika Allah akutunze sana Mh Taufiq kwa faida ya wengi
@JJ_007553 ай бұрын
Masha'allah ✨
@ashaabdallah96723 ай бұрын
Maashallah mungu akuzidishie
@khamisshee8033 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mwantumkombo30143 ай бұрын
Manshallah ❤
@bas28233 ай бұрын
GOD BLESS U MORE N BLESS ALL THE CREATIONS OF GOD! IN HIS SWEET WORLD👌AMEEN🤲
@user-pv3km8cb7s3 ай бұрын
Shukran bro swaleh classic kwa kutusaidia kwa namna nyengine
@rahimahamad10163 ай бұрын
Frankley speaking, I like the way the garden is! It is woow and I don't expecting the weird of apart from that house.
@ZuhuraKhamis-rw1it3 ай бұрын
Mashallah Allah akubariki na pia uwe na moyo wa kusaidia wasojiweza Kwani wapo wasomiliki ata chumba 1 Allah atakuhifadh duniani na akhera
@khamismohammed1650
3 ай бұрын
Ndio nipo si hata chumba kimoja
@muddychambale58543 ай бұрын
Mungu akuzidishie zaidi na zaidi
@bentybenty23433 ай бұрын
Masha ALLAH ❤ ❤ ❤ 🎉🎉
@chybuwagwantaz80546 күн бұрын
Allah akbar aendelee kuku Bariki inshallah
@faridapandu75793 ай бұрын
Mungu akupe zaidi nazaidi muheshimiwa na salehe munguakuongoze inshaallah
@salehcllassic2325
3 ай бұрын
Amin inshallah
@HassanHassan-sr3fq
3 ай бұрын
Amin kwa sote
@Tuu20193 ай бұрын
Mashaalah
@salimalrumhy75752 ай бұрын
Kwa hio sisi tuliojiripua huku turundi Mpendae tuje tupate ruzuku ya Ramadhan na posho la mwisho wa mwezi 😂
@Chakol6823 ай бұрын
Leo hamna ubwabwa 😂😂 mfungo 😂😂😂
@mahmoudliwali19193 ай бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie ni mtu mzuri na apenda mazuri Allah ampe mazuri
@rastapeace96163 ай бұрын
Mungu akupe umri muheshimiwa
@KhalidNa-bn4gpАй бұрын
Aaaaaa unashindwaje.bwana kuongeza wake aaah lakn maaasha allah
@deega12343 ай бұрын
Allah yebarik
@MaranduMarandu3 ай бұрын
Mungu akubariki kiongozi unaonekana nimtu wa watu
@aishakambenga61913 ай бұрын
MashaAllah kama Ikulu vilee pokea MAUA yako 💐
@officialoscaroscarjrfan3 ай бұрын
Ila haya maisha sio poa yaani daah😢
@omanmct1353 ай бұрын
Mashalllah❤
@officialoscaroscarjrfan3 ай бұрын
Huyu kweli ni tajir😂😂😂
@ziadasalimu1730
3 ай бұрын
Yaani mungu huyu ha! Sisi wengine twatabika ha! Asante mungu🙏
@user-ex6sh1rl4d
3 ай бұрын
@@ziadasalimu1730omba msamaha kwa mola wako
@user-sf5lk3qo4s3 ай бұрын
Masha Allah
@FayeezAlbahassaney3 ай бұрын
MashaAllah juzu 1 kwa sik
@leaherasto9293 ай бұрын
Soaaaaceee imezingatiwa wenye pesa hawana kelele
@user-ff2ez9hj4e3 ай бұрын
❤mashallah namuomba allah anijalie na mimi
@user-yy6vy4xu2s3 ай бұрын
Mungu amuongezeee na sisi atupe vino heri na sisi.
@mahmoudhamisi6733 ай бұрын
Maashallah
@user-fe3ws4ud3m3 ай бұрын
Mungu nipe ulichowabatik wao mungu akueke na akuongezeee unapotoa
@khadijamansoor74153 ай бұрын
Mashaallah jumba la kifahati hatare
@user-nf9ck9wk5y3 ай бұрын
Mashallah allah akubariki
@bas28233 ай бұрын
I LIKE THE PLACE ITS VERY PEACEFUL N STUNNING PLACE TO LIVE N HAVE BRAKE N RELAX👌 IT IS A MARVALOUS STUNNING PLACE😆👍 I LOVE IT❤" "PEACE N QUITE" I LIKE TO LIVE AT THE FARM! THEN TOWN" FAR FROM THE NOISY N ZAHMA 👌COOL N CALM👍
@user-in4en3pu2b3 ай бұрын
Allah akujalie kheer
@hamidhajimakame37003 ай бұрын
Nyumba ina heka Kumi mashaallah
@frankngoloka25893 ай бұрын
Daaah kweli tutafute hela
@tutumarzouk98033 ай бұрын
hii sio nyumba inafaa iitwe Kasri, ina hadhi ya Presidetial house ⭐⭐⭐⭐⭐
@amourmtungo6233 ай бұрын
🤔Kuonyesha raslimali, mafanikio na kusimulia historia yako sio jambo geni, ni jambo zuri na la mfano kwasababu sisi tunaoshuhudia haya huweza kutufunua macho na kujua jambo mojaau mawili. Asanteni kwa kushea tumefarijika na kujua kidogo vipi mwenzetu amefanikiwa.
@emmanueljohn92863 ай бұрын
Umasikini kitu kibaya sana.yaani mtangazaji anatembea peku wakati tajiri kavaa sandal..😂😂😂
@eunicejohn5520
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hufai
@abdull_hafidh3 ай бұрын
Hivi mwijaku ameona hii nyumba sio anatusifia kichochoro chake
@donkhan6841
3 ай бұрын
Mtag aje aone
@silvanusngelageza7240
3 ай бұрын
Hahahaha😂
@labunaabouna61223 ай бұрын
Mashallah
@leaherasto9293 ай бұрын
Nakukubali sana tangu nilivyokusikiliza kwaSalama
@damsonwilson52023 ай бұрын
Jamaaa nimemkubali Sanaa mbunge safi
@thuweinthabit63133 ай бұрын
Maa shaa Allah
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
dah huyu mweshimiwa wa Zbar ni mtu poa sana..anajua kuji-express na ni mtu mwema mno
@HassanHassan-sr3fq
3 ай бұрын
Hana tatizo ni mtu mstaarab sana,
@fahadfahmy2 ай бұрын
Mimi nimfatiliaji mzuri wakipindi chenu,lakini leo kwamara yakwanza amehojiwa Muheshimiwa plus Tajiri nawala haringi
@jasmintanga24743 ай бұрын
Maashallah maashallah
@ReshimaAbdalla3 ай бұрын
Mwijaku anatuambia ana kasri😅sijui hii itakuwa Nini kama ile ni kasri😅😅😅
@GeorgeAkasha-zx2rj
3 ай бұрын
Ila Kuna watu wanaishi ili wale, wengine tunakula ili tuishi.
@meowzna3 ай бұрын
Masha'Allah🙏
@mbwanafeisal29043 ай бұрын
Huyu MH katisha Nadhan hata Mr white mwenyewe hajawai ishi namna hii
@HoneyBeel53 ай бұрын
Kwahy ndio ukagoma kuvaa viati😂😂😂
@user-dn7gn6ib4k3 ай бұрын
Me too like to stay in that environment
@issamanyota3 ай бұрын
MASHALLAH 🎉
@fatumahashimmcheni96103 ай бұрын
Kuna watu wsishi alafu sisi tunaishiaa Msanii mkubwa wa tz mmoja aonyeshe kama hili
@si-qm1ki3 ай бұрын
Ila nyumba ndogo na simple ni nzuri bana hlf una enjoy haikupi stress....
Пікірлер: 369
Mashaallah kasri mungu akupe afya na akuzidishie na sisi atupe inshaallah. Kuna watu wana pesa lkn hawana mipangilio ila wewe mheshimiwa umezitendea haki neema alokupa m.mungu
Nimewakubali wote Mbunge,,, mtangazaji,,,na camera man wote Mashallah Allah awazidishie wametulia sana,,safi kabisa nimefurahia kipindi
Aisee hongera nampenda Huyu kiongozi,nilimsikiliza kwenye salama na,anaonekana nimtu mwenye utu sana....M. Mungu ambariki zaidi na zaidi
Iyo ni nyumba au mtaaa maashallaaah mungu kajua kuwabariki❤❤❤❤❤
😂😂😂 yani nimecheka sana nanimependa bei ya gari pekee nyumba ya mwijaku
Naishi jimbo la mpendae ni kweli kabisa kiongozi wetu ni mtu mzur
*Mungu akubarik ww na familia yenu mzima na abariki zaidi company yenu mumetufuta machozi cc wapemba kwa boat yenu ya speed tunasafiri kwa wepesi na urahisi zaiidii Allah aibariki Zan fast ferries*
Hana cheni hana kipuli hajatoboa pua hana tatoo ila anabonge la jumbaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
@nadyasalim7956
3 ай бұрын
Mashallah sio wengine wamechora matatoo wametobowa pua
@ABUUALLY-tv8rl
3 ай бұрын
Kwahiyoo unampiga kijembe mtangazaji 😂😂😂
@ForodhaniZanzibar
3 ай бұрын
@@ABUUALLY-tv8rl Kwan mtangazani ana tatoo
@JechaMakameIssa-gs2bl
3 ай бұрын
Anatokea familia ina hela usishangae hana njaa kwao
@valencesokoni3291
3 ай бұрын
Allah amlaze pema peponi mzee Turk.nililia sana alipofariki,hawa watu wana mioyo ya huruma sana,Allah awazidishie .nilifanya kazi ktk kiwanda chao mombasa unguja,yaani ni watu wenye mioyo ya imani mnoooooo
@user-bu1te3bf8p
3 ай бұрын
Amiin yarab
@user-qg4wc5dz9r
3 ай бұрын
Njaaa itakuponza
@mokeya
3 ай бұрын
@@user-qg4wc5dz9r na ww husda zitakuua
@mokeya
3 ай бұрын
@@user-qg4wc5dz9r husda zitakuua
@abdulwahidmsellem1964
3 ай бұрын
😂😂why
Mandhari ya hii nyumba ni tamu sana..... Mungu akupe maisha marefu Mh. Ufurahie mafanikio yako na familia kwa ujumla
"Kuhakikisha mfereji wa kuendelea kupata unakuwepo".👏👏
Mashallah hongera kwa mbunge anajielewa! Bora tunaona vitu tofauti 😊
Mtangazaji kuchanganyikiwa na jumba la kifahari mpaka viatu umeogopa kuvaa😂😂😂
@salhaothman8278
3 ай бұрын
😂😂😂halaf hana uhuru wa maswali leo Halazimishi kuingia vyumbani km anavofanya kwa wasanii
Mashallah mashallah maisha ni nyumba inaleta utulivu wa akili ingekua mswahili apo unhekuta ana wake kumi vijana wa kiswahili wajifunze hili
@MsJabalkiss
2 ай бұрын
Wivu wako usitutaje tuwache tajiri na mali zake masikini na watoto wake wacha tuoe tupate watoto😂😂😂
Muheshimiwa haringi umepoa mtu wamaana kabisa huna majivuno mwenyekukuelewa amekuelewa
Hongera sana Mh Mwenyezimungu akulinde❤
Mtu mwenye mwoyo safi. Very humble man.
Mashaallah kka hongera sn Allah akurudhuku zaid akuekee mamaetu ale neema zako za kijana wamzazi mwenzie km yy mzazi mwenzie alivo kua famasia baba akala nema zake nayy mama ale nayma zake kupitia ww kka hongera sa uwe naramadhan Qareem na laylat-lkadir iwe juu yk nami M/mungu anijalie niwe km ww tuige mfano wako mzuri kka inshaallah 🙏
Alhamdulillah nmesoma kitu kupitia kiongozi
Uyu jamaa yuko humble sana
Mashaallah sikutegemea kama kuna mpaka sehemu ya kuswalia kumbe nilazima ilikuwa uwe Tajiri pia kila siku unasoma juzuu moja unaimaliza Mungu akuongezee kila ulipopunguza
Rahasana nimependa sana chumba chKusaliya
From Nairoi Kenya...mheshimiwa yupo sawa
I seeee Kuna watu wanaishi alaf Kuna sisi wapiga debe insta
Tawfiq mtu mzuri sana lakini huyu tokea zanani yupo hivi hana tabu mashaa allah nice one from 🇬🇧
@salma0000
3 ай бұрын
Alipata malezi mazuri
Hongera sana Mbunge wangu Taufiq
Mwenyezi Mungu azid kumbarik huyu Mheshimiwa na mtangazaji wa hii makala, Mwenyezi Mungu atujaalie wote tulio Tazama tuwe serious na malengo yetu
@OmanOman-bm1lr
3 ай бұрын
❤❤kabisa wallah 💯 Allah atunyanyuwe ktk kila kheri tunazozifanya
@feynalabdul5999
3 ай бұрын
Ameen
Huyuu ndio mbunge ana provide direct kwa watu si wale wanaongea maneno mengi.Majimbo yana njaa chagueni wabunge wenye uwezo kama huyuu hii ndio style ya marekani
Mwiiteni aristote aseme speeeec
Hii si nyumba chuo kikuuuu.
@annamosha968
2 ай бұрын
Yaani daaah
@user-fl7mr4dt1p
2 ай бұрын
😂😂😂😂ndo unachosoma au
Katika vijana ambao wanamiliki mambo makubwa lakini ukimuona katika shuhuli za maarous misiba au hata uraiyani hana mambo mengi wala kujivuna namkubali🎁🥰💞💯🌹
@Leylah-pz5sc
Ай бұрын
Ni kweli hawa Turk wote wana roho nzuri na anasaidia sana pale mpendae
Saleh leo kawa km sie yeye full nidham,ule ukuda wa kutaka kujua kila akionacho na kufunqua funqua draw na mafridge kakaushia. All in all Mpaka miquu chini katembea kudadek 😂
@salehcllassic2325
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimechekaaaa jmn
@sophiakassim6784
3 ай бұрын
Nimecheka sanaaaa
@KhalidNa-bn4gp
Ай бұрын
Mpaka uzungumzaj tofa hahha
Mashallah nimependa sana.maendeleo yako Allah azidi kukuweka.
Viongozi wetu wote wanatakiwa kuwa inspiration kwa Watanzania wetu kama hivi❤❤
Mashallha beautiful place❤
MashaAllah muheshimiwa Allah akuhifadhi nimefurahi hicho chumba cha Swalaa wallahi good usali na familis
Kuna kuishiii na kuishiaaa
Masha Allah ... allah akulinde na Khasad... sali SUNNA rakaa 2 ... kuomba ulinzi wake... NA CHA KUSHANGAZA UPO KAWAIDA KABISA.
Zenji wana vitu vizuri sana'ongera mhe❤❤❤
Unaweza tafutwa mwezi mzima na usipatikane
Mashaallah tabarakaallah Allah akuhifadhi
He has a good heart mashallha
Kijana mdogo lakini amekuwa na njozi kubwa yaani mpaka naona wivu wa maendeleo Aristotle anasema spaceeeee
@Luweenamandal2911
3 ай бұрын
Muombe dua, ili Allah na wewe akubariki ❤
Aisee hakika Allah akutunze sana Mh Taufiq kwa faida ya wengi
Masha'allah ✨
Maashallah mungu akuzidishie
MashaAllah ❤❤❤ AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Manshallah ❤
GOD BLESS U MORE N BLESS ALL THE CREATIONS OF GOD! IN HIS SWEET WORLD👌AMEEN🤲
Shukran bro swaleh classic kwa kutusaidia kwa namna nyengine
Frankley speaking, I like the way the garden is! It is woow and I don't expecting the weird of apart from that house.
Mashallah Allah akubariki na pia uwe na moyo wa kusaidia wasojiweza Kwani wapo wasomiliki ata chumba 1 Allah atakuhifadh duniani na akhera
@khamismohammed1650
3 ай бұрын
Ndio nipo si hata chumba kimoja
Mungu akuzidishie zaidi na zaidi
Masha ALLAH ❤ ❤ ❤ 🎉🎉
Allah akbar aendelee kuku Bariki inshallah
Mungu akupe zaidi nazaidi muheshimiwa na salehe munguakuongoze inshaallah
@salehcllassic2325
3 ай бұрын
Amin inshallah
@HassanHassan-sr3fq
3 ай бұрын
Amin kwa sote
Mashaalah
Kwa hio sisi tuliojiripua huku turundi Mpendae tuje tupate ruzuku ya Ramadhan na posho la mwisho wa mwezi 😂
Leo hamna ubwabwa 😂😂 mfungo 😂😂😂
Mashaallah Allah akuzidishie ni mtu mzuri na apenda mazuri Allah ampe mazuri
Mungu akupe umri muheshimiwa
Aaaaaa unashindwaje.bwana kuongeza wake aaah lakn maaasha allah
Allah yebarik
Mungu akubariki kiongozi unaonekana nimtu wa watu
MashaAllah kama Ikulu vilee pokea MAUA yako 💐
Ila haya maisha sio poa yaani daah😢
Mashalllah❤
Huyu kweli ni tajir😂😂😂
@ziadasalimu1730
3 ай бұрын
Yaani mungu huyu ha! Sisi wengine twatabika ha! Asante mungu🙏
@user-ex6sh1rl4d
3 ай бұрын
@@ziadasalimu1730omba msamaha kwa mola wako
Masha Allah
MashaAllah juzu 1 kwa sik
Soaaaaceee imezingatiwa wenye pesa hawana kelele
❤mashallah namuomba allah anijalie na mimi
Mungu amuongezeee na sisi atupe vino heri na sisi.
Maashallah
Mungu nipe ulichowabatik wao mungu akueke na akuongezeee unapotoa
Mashaallah jumba la kifahati hatare
Mashallah allah akubariki
I LIKE THE PLACE ITS VERY PEACEFUL N STUNNING PLACE TO LIVE N HAVE BRAKE N RELAX👌 IT IS A MARVALOUS STUNNING PLACE😆👍 I LOVE IT❤" "PEACE N QUITE" I LIKE TO LIVE AT THE FARM! THEN TOWN" FAR FROM THE NOISY N ZAHMA 👌COOL N CALM👍
Allah akujalie kheer
Nyumba ina heka Kumi mashaallah
Daaah kweli tutafute hela
hii sio nyumba inafaa iitwe Kasri, ina hadhi ya Presidetial house ⭐⭐⭐⭐⭐
🤔Kuonyesha raslimali, mafanikio na kusimulia historia yako sio jambo geni, ni jambo zuri na la mfano kwasababu sisi tunaoshuhudia haya huweza kutufunua macho na kujua jambo mojaau mawili. Asanteni kwa kushea tumefarijika na kujua kidogo vipi mwenzetu amefanikiwa.
Umasikini kitu kibaya sana.yaani mtangazaji anatembea peku wakati tajiri kavaa sandal..😂😂😂
@eunicejohn5520
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hufai
Hivi mwijaku ameona hii nyumba sio anatusifia kichochoro chake
@donkhan6841
3 ай бұрын
Mtag aje aone
@silvanusngelageza7240
3 ай бұрын
Hahahaha😂
Mashallah
Nakukubali sana tangu nilivyokusikiliza kwaSalama
Jamaaa nimemkubali Sanaa mbunge safi
Maa shaa Allah
dah huyu mweshimiwa wa Zbar ni mtu poa sana..anajua kuji-express na ni mtu mwema mno
@HassanHassan-sr3fq
3 ай бұрын
Hana tatizo ni mtu mstaarab sana,
Mimi nimfatiliaji mzuri wakipindi chenu,lakini leo kwamara yakwanza amehojiwa Muheshimiwa plus Tajiri nawala haringi
Maashallah maashallah
Mwijaku anatuambia ana kasri😅sijui hii itakuwa Nini kama ile ni kasri😅😅😅
@GeorgeAkasha-zx2rj
3 ай бұрын
Ila Kuna watu wanaishi ili wale, wengine tunakula ili tuishi.
Masha'Allah🙏
Huyu MH katisha Nadhan hata Mr white mwenyewe hajawai ishi namna hii
Kwahy ndio ukagoma kuvaa viati😂😂😂
Me too like to stay in that environment
MASHALLAH 🎉
Kuna watu wsishi alafu sisi tunaishiaa Msanii mkubwa wa tz mmoja aonyeshe kama hili
Ila nyumba ndogo na simple ni nzuri bana hlf una enjoy haikupi stress....