JUMBA LA KIFAHARI ANALOISHI MBUNGE WA MPENDAE/LINA MSITU,WANYAMA PORI,NA CHUMBA CHA SINEMA NDANI

Ойын-сауық

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 369

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah77093 ай бұрын

    Mashaallah kasri mungu akupe afya na akuzidishie na sisi atupe inshaallah. Kuna watu wana pesa lkn hawana mipangilio ila wewe mheshimiwa umezitendea haki neema alokupa m.mungu

  • @salimkassim6020
    @salimkassim60203 ай бұрын

    Nimewakubali wote Mbunge,,, mtangazaji,,,na camera man wote Mashallah Allah awazidishie wametulia sana,,safi kabisa nimefurahia kipindi

  • @missp1814
    @missp18143 ай бұрын

    Aisee hongera nampenda Huyu kiongozi,nilimsikiliza kwenye salama na,anaonekana nimtu mwenye utu sana....M. Mungu ambariki zaidi na zaidi

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg3 ай бұрын

    Iyo ni nyumba au mtaaa maashallaaah mungu kajua kuwabariki❤❤❤❤❤

  • @asiamerey9081
    @asiamerey90813 ай бұрын

    😂😂😂 yani nimecheka sana nanimependa bei ya gari pekee nyumba ya mwijaku

  • @patimaissa8572
    @patimaissa85723 ай бұрын

    Naishi jimbo la mpendae ni kweli kabisa kiongozi wetu ni mtu mzur

  • @komboomar8275
    @komboomar82753 ай бұрын

    *Mungu akubarik ww na familia yenu mzima na abariki zaidi company yenu mumetufuta machozi cc wapemba kwa boat yenu ya speed tunasafiri kwa wepesi na urahisi zaiidii Allah aibariki Zan fast ferries*

  • @ForodhaniZanzibar
    @ForodhaniZanzibar3 ай бұрын

    Hana cheni hana kipuli hajatoboa pua hana tatoo ila anabonge la jumbaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂

  • @nadyasalim7956

    @nadyasalim7956

    3 ай бұрын

    Mashallah sio wengine wamechora matatoo wametobowa pua

  • @ABUUALLY-tv8rl

    @ABUUALLY-tv8rl

    3 ай бұрын

    Kwahiyoo unampiga kijembe mtangazaji 😂😂😂

  • @ForodhaniZanzibar

    @ForodhaniZanzibar

    3 ай бұрын

    @@ABUUALLY-tv8rl Kwan mtangazani ana tatoo

  • @JechaMakameIssa-gs2bl

    @JechaMakameIssa-gs2bl

    3 ай бұрын

    Anatokea familia ina hela usishangae hana njaa kwao

  • @valencesokoni3291

    @valencesokoni3291

    3 ай бұрын

  • @FatmaZena
    @FatmaZena3 ай бұрын

    Allah amlaze pema peponi mzee Turk.nililia sana alipofariki,hawa watu wana mioyo ya huruma sana,Allah awazidishie .nilifanya kazi ktk kiwanda chao mombasa unguja,yaani ni watu wenye mioyo ya imani mnoooooo

  • @user-bu1te3bf8p

    @user-bu1te3bf8p

    3 ай бұрын

    Amiin yarab

  • @user-qg4wc5dz9r

    @user-qg4wc5dz9r

    3 ай бұрын

    Njaaa itakuponza

  • @mokeya

    @mokeya

    3 ай бұрын

    @@user-qg4wc5dz9r na ww husda zitakuua

  • @mokeya

    @mokeya

    3 ай бұрын

    @@user-qg4wc5dz9r husda zitakuua

  • @abdulwahidmsellem1964

    @abdulwahidmsellem1964

    3 ай бұрын

    😂😂why

  • @tunkuh661
    @tunkuh6613 ай бұрын

    Mandhari ya hii nyumba ni tamu sana..... Mungu akupe maisha marefu Mh. Ufurahie mafanikio yako na familia kwa ujumla

  • @dorynfao
    @dorynfao3 ай бұрын

    "Kuhakikisha mfereji wa kuendelea kupata unakuwepo".👏👏

  • @yusrasalum
    @yusrasalum3 ай бұрын

    Mashallah hongera kwa mbunge anajielewa! Bora tunaona vitu tofauti 😊

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah77093 ай бұрын

    Mtangazaji kuchanganyikiwa na jumba la kifahari mpaka viatu umeogopa kuvaa😂😂😂

  • @salhaothman8278

    @salhaothman8278

    3 ай бұрын

    😂😂😂halaf hana uhuru wa maswali leo Halazimishi kuingia vyumbani km anavofanya kwa wasanii

  • @salmamkwizu3223
    @salmamkwizu32232 ай бұрын

    Mashallah mashallah maisha ni nyumba inaleta utulivu wa akili ingekua mswahili apo unhekuta ana wake kumi vijana wa kiswahili wajifunze hili

  • @MsJabalkiss

    @MsJabalkiss

    2 ай бұрын

    Wivu wako usitutaje tuwache tajiri na mali zake masikini na watoto wake wacha tuoe tupate watoto😂😂😂

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg3 ай бұрын

    Muheshimiwa haringi umepoa mtu wamaana kabisa huna majivuno mwenyekukuelewa amekuelewa

  • @subirajohn728
    @subirajohn7283 ай бұрын

    Hongera sana Mh Mwenyezimungu akulinde❤

  • @vincej9275
    @vincej92753 ай бұрын

    Mtu mwenye mwoyo safi. Very humble man.

  • @mussakhamis3149
    @mussakhamis31493 ай бұрын

    Mashaallah kka hongera sn Allah akurudhuku zaid akuekee mamaetu ale neema zako za kijana wamzazi mwenzie km yy mzazi mwenzie alivo kua famasia baba akala nema zake nayy mama ale nayma zake kupitia ww kka hongera sa uwe naramadhan Qareem na laylat-lkadir iwe juu yk nami M/mungu anijalie niwe km ww tuige mfano wako mzuri kka inshaallah 🙏

  • @user-pv3km8cb7s
    @user-pv3km8cb7s3 ай бұрын

    Alhamdulillah nmesoma kitu kupitia kiongozi

  • @FreeGod368
    @FreeGod3683 ай бұрын

    Uyu jamaa yuko humble sana

  • @asiamerey9081
    @asiamerey90813 ай бұрын

    Mashaallah sikutegemea kama kuna mpaka sehemu ya kuswalia kumbe nilazima ilikuwa uwe Tajiri pia kila siku unasoma juzuu moja unaimaliza Mungu akuongezee kila ulipopunguza

  • @omanmct135
    @omanmct1353 ай бұрын

    Rahasana nimependa sana chumba chKusaliya

  • @markmwaghogho9226
    @markmwaghogho92263 ай бұрын

    From Nairoi Kenya...mheshimiwa yupo sawa

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs3 ай бұрын

    I seeee Kuna watu wanaishi alaf Kuna sisi wapiga debe insta

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor59693 ай бұрын

    Tawfiq mtu mzuri sana lakini huyu tokea zanani yupo hivi hana tabu mashaa allah nice one from 🇬🇧

  • @salma0000

    @salma0000

    3 ай бұрын

    Alipata malezi mazuri

  • @RioIpo
    @RioIpo3 ай бұрын

    Hongera sana Mbunge wangu Taufiq

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_3 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu azid kumbarik huyu Mheshimiwa na mtangazaji wa hii makala, Mwenyezi Mungu atujaalie wote tulio Tazama tuwe serious na malengo yetu

  • @OmanOman-bm1lr

    @OmanOman-bm1lr

    3 ай бұрын

    ❤❤kabisa wallah 💯 Allah atunyanyuwe ktk kila kheri tunazozifanya

  • @feynalabdul5999

    @feynalabdul5999

    3 ай бұрын

    Ameen

  • @MrA24G
    @MrA24G3 ай бұрын

    Huyuu ndio mbunge ana provide direct kwa watu si wale wanaongea maneno mengi.Majimbo yana njaa chagueni wabunge wenye uwezo kama huyuu hii ndio style ya marekani

  • @nasirabdalla8646
    @nasirabdalla86463 ай бұрын

    Mwiiteni aristote aseme speeeec

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s3 ай бұрын

    Hii si nyumba chuo kikuuuu.

  • @annamosha968

    @annamosha968

    2 ай бұрын

    Yaani daaah

  • @user-fl7mr4dt1p

    @user-fl7mr4dt1p

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂ndo unachosoma au

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed79102 ай бұрын

    Katika vijana ambao wanamiliki mambo makubwa lakini ukimuona katika shuhuli za maarous misiba au hata uraiyani hana mambo mengi wala kujivuna namkubali🎁🥰💞💯🌹

  • @Leylah-pz5sc

    @Leylah-pz5sc

    Ай бұрын

    Ni kweli hawa Turk wote wana roho nzuri na anasaidia sana pale mpendae

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi4083 ай бұрын

    Saleh leo kawa km sie yeye full nidham,ule ukuda wa kutaka kujua kila akionacho na kufunqua funqua draw na mafridge kakaushia. All in all Mpaka miquu chini katembea kudadek 😂

  • @salehcllassic2325

    @salehcllassic2325

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 nimechekaaaa jmn

  • @sophiakassim6784

    @sophiakassim6784

    3 ай бұрын

    Nimecheka sanaaaa

  • @KhalidNa-bn4gp

    @KhalidNa-bn4gp

    Ай бұрын

    Mpaka uzungumzaj tofa hahha

  • @user-kh8tr8xh4v
    @user-kh8tr8xh4v3 ай бұрын

    Mashallah nimependa sana.maendeleo yako Allah azidi kukuweka.

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga99773 ай бұрын

    Viongozi wetu wote wanatakiwa kuwa inspiration kwa Watanzania wetu kama hivi❤❤

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k3 ай бұрын

    Mashallha beautiful place❤

  • @suhailaidarousahmed2879
    @suhailaidarousahmed28793 ай бұрын

    MashaAllah muheshimiwa Allah akuhifadhi nimefurahi hicho chumba cha Swalaa wallahi good usali na familis

  • @OmarSongoro-bp9pn
    @OmarSongoro-bp9pn3 ай бұрын

    Kuna kuishiii na kuishiaaa

  • @user-cz1pb6zn3h
    @user-cz1pb6zn3h3 ай бұрын

    Masha Allah ... allah akulinde na Khasad... sali SUNNA rakaa 2 ... kuomba ulinzi wake... NA CHA KUSHANGAZA UPO KAWAIDA KABISA.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55673 ай бұрын

    Zenji wana vitu vizuri sana'ongera mhe❤❤❤

  • @jeedymasoud4269
    @jeedymasoud42693 ай бұрын

    Unaweza tafutwa mwezi mzima na usipatikane

  • @nailaomar4810
    @nailaomar48103 ай бұрын

    Mashaallah tabarakaallah Allah akuhifadhi

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k3 ай бұрын

    He has a good heart mashallha

  • @gracelisso7163
    @gracelisso71633 ай бұрын

    Kijana mdogo lakini amekuwa na njozi kubwa yaani mpaka naona wivu wa maendeleo Aristotle anasema spaceeeee

  • @Luweenamandal2911

    @Luweenamandal2911

    3 ай бұрын

    Muombe dua, ili Allah na wewe akubariki ❤

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson1993 ай бұрын

    Aisee hakika Allah akutunze sana Mh Taufiq kwa faida ya wengi

  • @JJ_00755
    @JJ_007553 ай бұрын

    Masha'allah ✨

  • @ashaabdallah9672
    @ashaabdallah96723 ай бұрын

    Maashallah mungu akuzidishie

  • @khamisshee803
    @khamisshee8033 ай бұрын

    MashaAllah ❤❤❤ AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo30143 ай бұрын

    Manshallah ❤

  • @bas2823
    @bas28233 ай бұрын

    GOD BLESS U MORE N BLESS ALL THE CREATIONS OF GOD! IN HIS SWEET WORLD👌AMEEN🤲

  • @user-pv3km8cb7s
    @user-pv3km8cb7s3 ай бұрын

    Shukran bro swaleh classic kwa kutusaidia kwa namna nyengine

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad10163 ай бұрын

    Frankley speaking, I like the way the garden is! It is woow and I don't expecting the weird of apart from that house.

  • @ZuhuraKhamis-rw1it
    @ZuhuraKhamis-rw1it3 ай бұрын

    Mashallah Allah akubariki na pia uwe na moyo wa kusaidia wasojiweza Kwani wapo wasomiliki ata chumba 1 Allah atakuhifadh duniani na akhera

  • @khamismohammed1650

    @khamismohammed1650

    3 ай бұрын

    Ndio nipo si hata chumba kimoja

  • @muddychambale5854
    @muddychambale58543 ай бұрын

    Mungu akuzidishie zaidi na zaidi

  • @bentybenty2343
    @bentybenty23433 ай бұрын

    Masha ALLAH ❤ ❤ ❤ 🎉🎉

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz80546 күн бұрын

    Allah akbar aendelee kuku Bariki inshallah

  • @faridapandu7579
    @faridapandu75793 ай бұрын

    Mungu akupe zaidi nazaidi muheshimiwa na salehe munguakuongoze inshaallah

  • @salehcllassic2325

    @salehcllassic2325

    3 ай бұрын

    Amin inshallah

  • @HassanHassan-sr3fq

    @HassanHassan-sr3fq

    3 ай бұрын

    Amin kwa sote

  • @Tuu2019
    @Tuu20193 ай бұрын

    Mashaalah

  • @salimalrumhy7575
    @salimalrumhy75752 ай бұрын

    Kwa hio sisi tuliojiripua huku turundi Mpendae tuje tupate ruzuku ya Ramadhan na posho la mwisho wa mwezi 😂

  • @Chakol682
    @Chakol6823 ай бұрын

    Leo hamna ubwabwa 😂😂 mfungo 😂😂😂

  • @mahmoudliwali1919
    @mahmoudliwali19193 ай бұрын

    Mashaallah Allah akuzidishie ni mtu mzuri na apenda mazuri Allah ampe mazuri

  • @rastapeace9616
    @rastapeace96163 ай бұрын

    Mungu akupe umri muheshimiwa

  • @KhalidNa-bn4gp
    @KhalidNa-bn4gpАй бұрын

    Aaaaaa unashindwaje.bwana kuongeza wake aaah lakn maaasha allah

  • @deega1234
    @deega12343 ай бұрын

    Allah yebarik

  • @MaranduMarandu
    @MaranduMarandu3 ай бұрын

    Mungu akubariki kiongozi unaonekana nimtu wa watu

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga61913 ай бұрын

    MashaAllah kama Ikulu vilee pokea MAUA yako 💐

  • @officialoscaroscarjrfan
    @officialoscaroscarjrfan3 ай бұрын

    Ila haya maisha sio poa yaani daah😢

  • @omanmct135
    @omanmct1353 ай бұрын

    Mashalllah❤

  • @officialoscaroscarjrfan
    @officialoscaroscarjrfan3 ай бұрын

    Huyu kweli ni tajir😂😂😂

  • @ziadasalimu1730

    @ziadasalimu1730

    3 ай бұрын

    Yaani mungu huyu ha! Sisi wengine twatabika ha! Asante mungu🙏

  • @user-ex6sh1rl4d

    @user-ex6sh1rl4d

    3 ай бұрын

    ​@@ziadasalimu1730omba msamaha kwa mola wako

  • @user-sf5lk3qo4s
    @user-sf5lk3qo4s3 ай бұрын

    Masha Allah

  • @FayeezAlbahassaney
    @FayeezAlbahassaney3 ай бұрын

    MashaAllah juzu 1 kwa sik

  • @leaherasto929
    @leaherasto9293 ай бұрын

    Soaaaaceee imezingatiwa wenye pesa hawana kelele

  • @user-ff2ez9hj4e
    @user-ff2ez9hj4e3 ай бұрын

    ❤mashallah namuomba allah anijalie na mimi

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s3 ай бұрын

    Mungu amuongezeee na sisi atupe vino heri na sisi.

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi6733 ай бұрын

    Maashallah

  • @user-fe3ws4ud3m
    @user-fe3ws4ud3m3 ай бұрын

    Mungu nipe ulichowabatik wao mungu akueke na akuongezeee unapotoa

  • @khadijamansoor7415
    @khadijamansoor74153 ай бұрын

    Mashaallah jumba la kifahati hatare

  • @user-nf9ck9wk5y
    @user-nf9ck9wk5y3 ай бұрын

    Mashallah allah akubariki

  • @bas2823
    @bas28233 ай бұрын

    I LIKE THE PLACE ITS VERY PEACEFUL N STUNNING PLACE TO LIVE N HAVE BRAKE N RELAX👌 IT IS A MARVALOUS STUNNING PLACE😆👍 I LOVE IT❤" "PEACE N QUITE" I LIKE TO LIVE AT THE FARM! THEN TOWN" FAR FROM THE NOISY N ZAHMA 👌COOL N CALM👍

  • @user-in4en3pu2b
    @user-in4en3pu2b3 ай бұрын

    Allah akujalie kheer

  • @hamidhajimakame3700
    @hamidhajimakame37003 ай бұрын

    Nyumba ina heka Kumi mashaallah

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka25893 ай бұрын

    Daaah kweli tutafute hela

  • @tutumarzouk9803
    @tutumarzouk98033 ай бұрын

    hii sio nyumba inafaa iitwe Kasri, ina hadhi ya Presidetial house ⭐⭐⭐⭐⭐

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo6233 ай бұрын

    🤔Kuonyesha raslimali, mafanikio na kusimulia historia yako sio jambo geni, ni jambo zuri na la mfano kwasababu sisi tunaoshuhudia haya huweza kutufunua macho na kujua jambo mojaau mawili. Asanteni kwa kushea tumefarijika na kujua kidogo vipi mwenzetu amefanikiwa.

  • @emmanueljohn9286
    @emmanueljohn92863 ай бұрын

    Umasikini kitu kibaya sana.yaani mtangazaji anatembea peku wakati tajiri kavaa sandal..😂😂😂

  • @eunicejohn5520

    @eunicejohn5520

    2 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hufai

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh3 ай бұрын

    Hivi mwijaku ameona hii nyumba sio anatusifia kichochoro chake

  • @donkhan6841

    @donkhan6841

    3 ай бұрын

    Mtag aje aone

  • @silvanusngelageza7240

    @silvanusngelageza7240

    3 ай бұрын

    Hahahaha😂

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna61223 ай бұрын

    Mashallah

  • @leaherasto929
    @leaherasto9293 ай бұрын

    Nakukubali sana tangu nilivyokusikiliza kwaSalama

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson52023 ай бұрын

    Jamaaa nimemkubali Sanaa mbunge safi

  • @thuweinthabit6313
    @thuweinthabit63133 ай бұрын

    Maa shaa Allah

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82413 ай бұрын

    dah huyu mweshimiwa wa Zbar ni mtu poa sana..anajua kuji-express na ni mtu mwema mno

  • @HassanHassan-sr3fq

    @HassanHassan-sr3fq

    3 ай бұрын

    Hana tatizo ni mtu mstaarab sana,

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy2 ай бұрын

    Mimi nimfatiliaji mzuri wakipindi chenu,lakini leo kwamara yakwanza amehojiwa Muheshimiwa plus Tajiri nawala haringi

  • @jasmintanga2474
    @jasmintanga24743 ай бұрын

    Maashallah maashallah

  • @ReshimaAbdalla
    @ReshimaAbdalla3 ай бұрын

    Mwijaku anatuambia ana kasri😅sijui hii itakuwa Nini kama ile ni kasri😅😅😅

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    3 ай бұрын

    Ila Kuna watu wanaishi ili wale, wengine tunakula ili tuishi.

  • @meowzna
    @meowzna3 ай бұрын

    Masha'Allah🙏

  • @mbwanafeisal2904
    @mbwanafeisal29043 ай бұрын

    Huyu MH katisha Nadhan hata Mr white mwenyewe hajawai ishi namna hii

  • @HoneyBeel5
    @HoneyBeel53 ай бұрын

    Kwahy ndio ukagoma kuvaa viati😂😂😂

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k3 ай бұрын

    Me too like to stay in that environment

  • @issamanyota
    @issamanyota3 ай бұрын

    MASHALLAH 🎉

  • @fatumahashimmcheni9610
    @fatumahashimmcheni96103 ай бұрын

    Kuna watu wsishi alafu sisi tunaishiaa Msanii mkubwa wa tz mmoja aonyeshe kama hili

  • @si-qm1ki
    @si-qm1ki3 ай бұрын

    Ila nyumba ndogo na simple ni nzuri bana hlf una enjoy haikupi stress....

Келесі