Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
@Noah-zt5zf
10 ай бұрын
Kwan tray inaliwa pia?
@tikaeddie72849 ай бұрын
Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo
@lisauroble314 ай бұрын
Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo
@husnaameen930910 ай бұрын
Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake
@husnaameen930910 ай бұрын
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
@sabihaibrahim143
10 ай бұрын
milioni 36 mchezoo
@philemonmagesa5548
10 ай бұрын
Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu
@modycombo7421
10 ай бұрын
labda kapewa alinde😂😂
@binaljabirmshihirzanzibar8369
10 ай бұрын
Upo sahihi maneno yako na una kili sana2
@stevensimon5642
10 ай бұрын
@@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
@faithfaith-zr6gz
10 ай бұрын
Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.
@nassercurtis9579
7 ай бұрын
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
@salmabasil385
6 ай бұрын
Lukamba anapenda wanao weza kumlea
@cdeleo93369 ай бұрын
Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu
@christinatemba10 ай бұрын
Good life❤
@user-ml9yi5sd6o9 ай бұрын
Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana
@wahidaabeid571210 ай бұрын
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
@Ndiminijunior
10 ай бұрын
Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?
@babiddi8620
10 ай бұрын
Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha
@joycechaz2840
9 ай бұрын
Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔
@NancyBrayan-wi2lr7 ай бұрын
Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy
@user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын
Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au
@mypsychology185
4 ай бұрын
We una magari mangapi?
@hamisahamisa58967 ай бұрын
Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri
@user-bj8gi2hn4l10 ай бұрын
Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅
@rayahamisi1186 ай бұрын
Kwaiyo ujaona pakuaa au😊😊😊
@hamisahamisa58967 ай бұрын
Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo
Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman
@everlyne85958 ай бұрын
Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida
@matridamwalyoyo17353 ай бұрын
Wigi la kijani khaaa😂😂😂
@WlkmkeissBriana5 ай бұрын
Nimechek na uyo dada
@fawzalbusayid72328 ай бұрын
Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂
@Yunis-hn9hn10 ай бұрын
Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂
@zenadaudzena2849
7 ай бұрын
😂😂😂
@chany995010 ай бұрын
Ona kafriji jmn😂
@akiraaudreille60438 ай бұрын
naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮
@angelmaige-yc5gb8 ай бұрын
Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu
@ashminaabdulla89468 ай бұрын
Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜
@hashymharun93378 ай бұрын
Muongo mamaee🤣🤣
@user-ml9yi5sd6o9 ай бұрын
Camera mbovu sana jamani
@user-vv1te9fu8q10 ай бұрын
Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo
@sitiabubakar289210 ай бұрын
Mama kijacho Ndio anaitwa nani
@priscajohn609010 ай бұрын
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
@ikramalmas703910 ай бұрын
Hizo nywele sasa
@zahra52678 ай бұрын
Decoration sifuri kabisa!!
@sarahmcharo1548
8 ай бұрын
kama akili zao tu ahhaha
@jamilajamila45726 ай бұрын
Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake
@user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын
Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅
@aminaomary55675 ай бұрын
Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.
@NancyBrayan-wi2lr7 ай бұрын
Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san
@khamisbk85699 ай бұрын
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
@zenachuo296310 ай бұрын
Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A
pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu
@ummukulthummohd540310 ай бұрын
Uyu dada sjui kavaa nn 😢
@salmanassor8732
7 ай бұрын
Kituko 😂😂
@zenawahindi242510 ай бұрын
Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond
@AishaFerous-jp8oq7 ай бұрын
Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .
@mariammpamka
6 ай бұрын
😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani
@taturajabukhalfani79538 ай бұрын
Kunajiko na kitchen!!!!kazi ipo mwaka huu!!!!
@Mina.15
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@deborahsamwel-ss2wb10 ай бұрын
Yani nunueni furniture jmn mnatia aibu
@lailalaila820610 ай бұрын
Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako
@ruu65927 ай бұрын
Kakodisha kwa mda gani😮
@anoldamkumba320810 ай бұрын
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
@neemasabarabridalissa83367 ай бұрын
Hiyo pesa ni bora ajenge
@husnazahorohusna39059 ай бұрын
Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?
@mrsawadh571610 ай бұрын
Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli
@sarahedwin9841
10 ай бұрын
Jmn khaa 🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
10 ай бұрын
😂😂😂
@sarapy3163
8 ай бұрын
😂😂
@wemaMichael-fr4th5 ай бұрын
hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani
@abdillahrashidnassor7973
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wewe ni fala
@IreneMwenda-nl2hu10 ай бұрын
Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech
@stevensimon5642
10 ай бұрын
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
@ShekhaAzizi-yb1ow4 ай бұрын
Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig
@roqayaro94397 ай бұрын
Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu
@dottomsuya65976 ай бұрын
Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo
@rukiaiddyyahaya950610 ай бұрын
😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma
@rehemakimambo5363
10 ай бұрын
Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake
@modestajamada3496
10 ай бұрын
@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂
@MwanaishaShattry7 ай бұрын
Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe
@user-lq3bg6lj3h5 ай бұрын
Nyumba ina furniture 10 sijui
@amanimanase879810 ай бұрын
Sasa pesa ambazo mnapanga majumba makubwa ivyo kwann msijipange ukusanye hizo pesa ujenge yako ? Àisee
@pinkyg886110 ай бұрын
Milonjo hiyo
@ismailmasoud600110 ай бұрын
Mkiumwa Muombe MICHANGO
@adamkisheta84397 ай бұрын
Daaah imbomboo ngafuuu
@upendojames537810 ай бұрын
😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn
@sitiabubakar2892
10 ай бұрын
Kma vya motels 😂
@consomahanga9269
10 ай бұрын
Ghorofa kubwa vitu hawanaaa
@gradnessshitindi36948 ай бұрын
Siamin labda kwa ndg yake kaona afanyie interview
@happynelson11366 ай бұрын
Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu
@vdhhhgduue357710 ай бұрын
Ushamba huo kuonyesha mambo ya ndani
@HasaniRamadhani-gh5rp
10 ай бұрын
Huna siku ukiwanacho utaonyeshatu nikawaida kwakira ariyekuanacho
Пікірлер: 260
Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
@Noah-zt5zf
10 ай бұрын
Kwan tray inaliwa pia?
Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo
Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo
Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
@sabihaibrahim143
10 ай бұрын
milioni 36 mchezoo
@philemonmagesa5548
10 ай бұрын
Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu
@modycombo7421
10 ай бұрын
labda kapewa alinde😂😂
@binaljabirmshihirzanzibar8369
10 ай бұрын
Upo sahihi maneno yako na una kili sana2
@stevensimon5642
10 ай бұрын
@@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo
Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
@faithfaith-zr6gz
10 ай бұрын
Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.
@nassercurtis9579
7 ай бұрын
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
@salmabasil385
6 ай бұрын
Lukamba anapenda wanao weza kumlea
Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu
Good life❤
Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
@Ndiminijunior
10 ай бұрын
Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?
@babiddi8620
10 ай бұрын
Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha
@joycechaz2840
9 ай бұрын
Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔
Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy
Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au
@mypsychology185
4 ай бұрын
We una magari mangapi?
Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri
Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅
Kwaiyo ujaona pakuaa au😊😊😊
Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo
@abdillahrashidnassor7973
5 ай бұрын
Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂
Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu
@Lululemon55
10 ай бұрын
Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo
@stevensimon5642
10 ай бұрын
@@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe
Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr
@barakatabdul3212
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kweli
Demu ana kiherehere
Wasanii bwana😂😂😂😂😂
Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂
ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅
Mwajuma ndala ndefu
Hongera lukamba ..ingawa kuna Roho za korosho hawazezi Hata kukupa hongera zako .
@faithfaith-zr6gz
8 ай бұрын
Roho za korosho wapi wewe!! Yaani roho ya korosho Kisa kuolewa ndio watu wamuonee wivu!!! Tchaaaa
@sarahmcharo1548
8 ай бұрын
kwasababu pia ni usanii na uongo mtupu
@rosemarykipesha4242
7 ай бұрын
Kweli bwana hongera zake kwakutokua namahesabu
Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi
Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa
Kweli huyu dada mja mzito
Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂
Hana akiri uyo😅😅😅😂
Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki
@bakariomari8758
10 ай бұрын
😂😂😂
@MariamSalim-wd3nz
10 ай бұрын
Hehehee kwakweli
@scholamodestus9386
10 ай бұрын
Hahahah jamni
Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅
@salmanassor8732
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Wakiumwa wanataka mchango saizi wanaonekana mastaa chamana mwisho wakiumwa mchango wanataka..
Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani
Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu
@FaridaNdege-cc4dm
10 ай бұрын
Ndy
@nasraniko-mr2lv
10 ай бұрын
Ndo yeye huyoooo😅😅😅😅😅
@emeranceekondo3865
10 ай бұрын
Jesca wa jaraha
Dada amekauka km mimi😂😂
Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂
Mbona kama imesimama😂😊
Weee acha kujishaua eti nani anavaa nywele ya millon moja,, weee zipo sana tena OG. zinavaliwa vzr tu.
Wigi mweeee 😂
Mwanamke ndo Ana hela hapo
cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂
Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho
Yani daaa wanatakaga kutupa Dhabi tu
Mm nilijua jumbo Lao!!!
Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂
Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman
Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida
Wigi la kijani khaaa😂😂😂
Nimechek na uyo dada
Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂
Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂
@zenadaudzena2849
7 ай бұрын
😂😂😂
Ona kafriji jmn😂
naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮
Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu
Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜
Muongo mamaee🤣🤣
Camera mbovu sana jamani
Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo
Mama kijacho Ndio anaitwa nani
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
Hizo nywele sasa
Decoration sifuri kabisa!!
@sarahmcharo1548
8 ай бұрын
kama akili zao tu ahhaha
Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake
Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅
Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.
Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A
@user-vv1te9fu8q
10 ай бұрын
Duuh na A ndio nini 😂😂😂
@Yunis-hn9hn
10 ай бұрын
Hahaaa😂😂😂
@Yunis-hn9hn
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Wooyii
@user-fz8cq4ff6i
10 ай бұрын
Kumbe yale mapenz ya jeraha yamekuwa kweli
@m.mmarckus6298
10 ай бұрын
@@user-fz8cq4ff6itulijua wanadanganya kumbe kweli
pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu
Uyu dada sjui kavaa nn 😢
@salmanassor8732
7 ай бұрын
Kituko 😂😂
Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond
Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .
@mariammpamka
6 ай бұрын
😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani
Kunajiko na kitchen!!!!kazi ipo mwaka huu!!!!
@Mina.15
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Yani nunueni furniture jmn mnatia aibu
Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako
Kakodisha kwa mda gani😮
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
Hiyo pesa ni bora ajenge
Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?
Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli
@sarahedwin9841
10 ай бұрын
Jmn khaa 🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
10 ай бұрын
😂😂😂
@sarapy3163
8 ай бұрын
😂😂
hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani
@abdillahrashidnassor7973
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wewe ni fala
Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech
@stevensimon5642
10 ай бұрын
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig
Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu
Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo
😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma
@rehemakimambo5363
10 ай бұрын
Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake
@modestajamada3496
10 ай бұрын
@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂
Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe
Nyumba ina furniture 10 sijui
Sasa pesa ambazo mnapanga majumba makubwa ivyo kwann msijipange ukusanye hizo pesa ujenge yako ? Àisee
Milonjo hiyo
Mkiumwa Muombe MICHANGO
Daaah imbomboo ngafuuu
😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn
@sitiabubakar2892
10 ай бұрын
Kma vya motels 😂
@consomahanga9269
10 ай бұрын
Ghorofa kubwa vitu hawanaaa
Siamin labda kwa ndg yake kaona afanyie interview
Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu
Ushamba huo kuonyesha mambo ya ndani
@HasaniRamadhani-gh5rp
10 ай бұрын
Huna siku ukiwanacho utaonyeshatu nikawaida kwakira ariyekuanacho
Mzee wa kulelewa
Wasenge hao
Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?