LUKAMBA ANAISHI KAMA MFALME GHOROFA LAKE KAMA HEKALU/ANALIPA MILIONI 36 KWA MWAKA -

Ойын-сауық

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi #showbizz

Пікірлер: 260

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous163610 ай бұрын

    Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani

  • @Noah-zt5zf

    @Noah-zt5zf

    10 ай бұрын

    Kwan tray inaliwa pia?

  • @tikaeddie7284
    @tikaeddie72849 ай бұрын

    Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo

  • @lisauroble31
    @lisauroble314 ай бұрын

    Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo

  • @husnaameen9309
    @husnaameen930910 ай бұрын

    Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake

  • @husnaameen9309
    @husnaameen930910 ай бұрын

    Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    10 ай бұрын

    milioni 36 mchezoo

  • @philemonmagesa5548

    @philemonmagesa5548

    10 ай бұрын

    Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu

  • @modycombo7421

    @modycombo7421

    10 ай бұрын

    labda kapewa alinde😂😂

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    10 ай бұрын

    Upo sahihi maneno yako na una kili sana2

  • @stevensimon5642

    @stevensimon5642

    10 ай бұрын

    @@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul321210 ай бұрын

    Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid571210 ай бұрын

    Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni

  • @faithfaith-zr6gz

    @faithfaith-zr6gz

    10 ай бұрын

    Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    7 ай бұрын

    Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.

  • @salmabasil385

    @salmabasil385

    6 ай бұрын

    Lukamba anapenda wanao weza kumlea

  • @cdeleo9336
    @cdeleo93369 ай бұрын

    Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu

  • @christinatemba
    @christinatemba10 ай бұрын

    Good life❤

  • @user-ml9yi5sd6o
    @user-ml9yi5sd6o9 ай бұрын

    Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid571210 ай бұрын

    Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure

  • @Ndiminijunior

    @Ndiminijunior

    10 ай бұрын

    Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?

  • @babiddi8620

    @babiddi8620

    10 ай бұрын

    Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha

  • @joycechaz2840

    @joycechaz2840

    9 ай бұрын

    Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr7 ай бұрын

    Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy

  • @user-qb3hx2ku9v
    @user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын

    Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au

  • @mypsychology185

    @mypsychology185

    4 ай бұрын

    We una magari mangapi?

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa58967 ай бұрын

    Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri

  • @user-bj8gi2hn4l
    @user-bj8gi2hn4l10 ай бұрын

    Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi1186 ай бұрын

    Kwaiyo ujaona pakuaa au😊😊😊

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa58967 ай бұрын

    Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo

  • @abdillahrashidnassor7973

    @abdillahrashidnassor7973

    5 ай бұрын

    Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum230210 ай бұрын

    Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu

  • @Lululemon55

    @Lululemon55

    10 ай бұрын

    Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo

  • @stevensimon5642

    @stevensimon5642

    10 ай бұрын

    @@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe

  • @NaseebMgono-wl3bu
    @NaseebMgono-wl3bu10 ай бұрын

    Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr

  • @barakatabdul3212

    @barakatabdul3212

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 kweli

  • @aishamossile6336
    @aishamossile633610 ай бұрын

    Demu ana kiherehere

  • @ndrwdotts4347
    @ndrwdotts434710 ай бұрын

    Wasanii bwana😂😂😂😂😂

  • @upendommbaga7070
    @upendommbaga70706 ай бұрын

    Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂

  • @bimkubwaali1605
    @bimkubwaali160510 ай бұрын

    ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅

  • @agriparose3942
    @agriparose394210 ай бұрын

    Mwajuma ndala ndefu

  • @hasani565
    @hasani56510 ай бұрын

    Hongera lukamba ..ingawa kuna Roho za korosho hawazezi Hata kukupa hongera zako .

  • @faithfaith-zr6gz

    @faithfaith-zr6gz

    8 ай бұрын

    Roho za korosho wapi wewe!! Yaani roho ya korosho Kisa kuolewa ndio watu wamuonee wivu!!! Tchaaaa

  • @sarahmcharo1548

    @sarahmcharo1548

    8 ай бұрын

    kwasababu pia ni usanii na uongo mtupu

  • @rosemarykipesha4242

    @rosemarykipesha4242

    7 ай бұрын

    Kweli bwana hongera zake kwakutokua namahesabu

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid37438 ай бұрын

    Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o5 ай бұрын

    Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa58967 ай бұрын

    Kweli huyu dada mja mzito

  • @user-jk3or1xw2d
    @user-jk3or1xw2d6 ай бұрын

    Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂

  • @5Multpurpose
    @5Multpurpose10 ай бұрын

    Hana akiri uyo😅😅😅😂

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q10 ай бұрын

    Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki

  • @bakariomari8758

    @bakariomari8758

    10 ай бұрын

    😂😂😂

  • @MariamSalim-wd3nz

    @MariamSalim-wd3nz

    10 ай бұрын

    Hehehee kwakweli

  • @scholamodestus9386

    @scholamodestus9386

    10 ай бұрын

    Hahahah jamni

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza811710 ай бұрын

    Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅

  • @salmanassor8732

    @salmanassor8732

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @FestinaMlelwa
    @FestinaMlelwa10 ай бұрын

    Wakiumwa wanataka mchango saizi wanaonekana mastaa chamana mwisho wakiumwa mchango wanataka..

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu7 ай бұрын

    Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani

  • @zenachuo2963
    @zenachuo296310 ай бұрын

    Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu

  • @FaridaNdege-cc4dm

    @FaridaNdege-cc4dm

    10 ай бұрын

    Ndy

  • @nasraniko-mr2lv

    @nasraniko-mr2lv

    10 ай бұрын

    Ndo yeye huyoooo😅😅😅😅😅

  • @emeranceekondo3865

    @emeranceekondo3865

    10 ай бұрын

    Jesca wa jaraha

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo17353 ай бұрын

    Dada amekauka km mimi😂😂

  • @user-rh2ei5wg8x
    @user-rh2ei5wg8x9 ай бұрын

    Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂

  • @user-bd2hl6yo5j
    @user-bd2hl6yo5j6 ай бұрын

    Mbona kama imesimama😂😊

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz10 ай бұрын

    Weee acha kujishaua eti nani anavaa nywele ya millon moja,, weee zipo sana tena OG. zinavaliwa vzr tu.

  • @deboramartin8111
    @deboramartin811110 ай бұрын

    Wigi mweeee 😂

  • @kerryestomic8099
    @kerryestomic80998 ай бұрын

    Mwanamke ndo Ana hela hapo

  • @msolekaonlinemedia
    @msolekaonlinemedia4 ай бұрын

    cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂

  • @sumecute2513
    @sumecute251310 ай бұрын

    Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho

  • @SUZANSUZAN-fb9bh
    @SUZANSUZAN-fb9bh10 ай бұрын

    Yani daaa wanatakaga kutupa Dhabi tu

  • @hidayadaymiss4386
    @hidayadaymiss438610 ай бұрын

    Mm nilijua jumbo Lao!!!

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta84397 ай бұрын

    Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂

  • @user-jy8hi7lf4m
    @user-jy8hi7lf4m4 ай бұрын

    Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman

  • @everlyne8595
    @everlyne85958 ай бұрын

    Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo17353 ай бұрын

    Wigi la kijani khaaa😂😂😂

  • @WlkmkeissBriana
    @WlkmkeissBriana5 ай бұрын

    Nimechek na uyo dada

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid72328 ай бұрын

    Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂

  • @Yunis-hn9hn
    @Yunis-hn9hn10 ай бұрын

    Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂

  • @zenadaudzena2849

    @zenadaudzena2849

    7 ай бұрын

    😂😂😂

  • @chany9950
    @chany995010 ай бұрын

    Ona kafriji jmn😂

  • @akiraaudreille6043
    @akiraaudreille60438 ай бұрын

    naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮

  • @angelmaige-yc5gb
    @angelmaige-yc5gb8 ай бұрын

    Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla89468 ай бұрын

    Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜

  • @hashymharun9337
    @hashymharun93378 ай бұрын

    Muongo mamaee🤣🤣

  • @user-ml9yi5sd6o
    @user-ml9yi5sd6o9 ай бұрын

    Camera mbovu sana jamani

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q10 ай бұрын

    Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar289210 ай бұрын

    Mama kijacho Ndio anaitwa nani

  • @priscajohn6090
    @priscajohn609010 ай бұрын

    Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba

  • @ikramalmas7039
    @ikramalmas703910 ай бұрын

    Hizo nywele sasa

  • @zahra5267
    @zahra52678 ай бұрын

    Decoration sifuri kabisa!!

  • @sarahmcharo1548

    @sarahmcharo1548

    8 ай бұрын

    kama akili zao tu ahhaha

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila45726 ай бұрын

    Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake

  • @user-qb3hx2ku9v
    @user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын

    Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55675 ай бұрын

    Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr7 ай бұрын

    Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san

  • @khamisbk8569
    @khamisbk85699 ай бұрын

    Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake

  • @zenachuo2963
    @zenachuo296310 ай бұрын

    Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A

  • @user-vv1te9fu8q

    @user-vv1te9fu8q

    10 ай бұрын

    Duuh na A ndio nini 😂😂😂

  • @Yunis-hn9hn

    @Yunis-hn9hn

    10 ай бұрын

    Hahaaa😂😂😂

  • @Yunis-hn9hn

    @Yunis-hn9hn

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂Wooyii

  • @user-fz8cq4ff6i

    @user-fz8cq4ff6i

    10 ай бұрын

    Kumbe yale mapenz ya jeraha yamekuwa kweli

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    10 ай бұрын

    ​@@user-fz8cq4ff6itulijua wanadanganya kumbe kweli

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi242510 ай бұрын

    pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu

  • @ummukulthummohd5403
    @ummukulthummohd540310 ай бұрын

    Uyu dada sjui kavaa nn 😢

  • @salmanassor8732

    @salmanassor8732

    7 ай бұрын

    Kituko 😂😂

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi242510 ай бұрын

    Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond

  • @AishaFerous-jp8oq
    @AishaFerous-jp8oq7 ай бұрын

    Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .

  • @mariammpamka

    @mariammpamka

    6 ай бұрын

    😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani79538 ай бұрын

    Kunajiko na kitchen!!!!kazi ipo mwaka huu!!!!

  • @Mina.15

    @Mina.15

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @deborahsamwel-ss2wb
    @deborahsamwel-ss2wb10 ай бұрын

    Yani nunueni furniture jmn mnatia aibu

  • @lailalaila8206
    @lailalaila820610 ай бұрын

    Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako

  • @ruu6592
    @ruu65927 ай бұрын

    Kakodisha kwa mda gani😮

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba320810 ай бұрын

    umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.

  • @neemasabarabridalissa8336
    @neemasabarabridalissa83367 ай бұрын

    Hiyo pesa ni bora ajenge

  • @husnazahorohusna3905
    @husnazahorohusna39059 ай бұрын

    Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?

  • @mrsawadh5716
    @mrsawadh571610 ай бұрын

    Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli

  • @sarahedwin9841

    @sarahedwin9841

    10 ай бұрын

    Jmn khaa 🤣🤣🤣

  • @malak-lz6kx

    @malak-lz6kx

    10 ай бұрын

    😂😂😂

  • @sarapy3163

    @sarapy3163

    8 ай бұрын

    😂😂

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th5 ай бұрын

    hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani

  • @abdillahrashidnassor7973

    @abdillahrashidnassor7973

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 wewe ni fala

  • @IreneMwenda-nl2hu
    @IreneMwenda-nl2hu10 ай бұрын

    Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech

  • @stevensimon5642

    @stevensimon5642

    10 ай бұрын

    Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu

  • @ShekhaAzizi-yb1ow
    @ShekhaAzizi-yb1ow4 ай бұрын

    Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig

  • @roqayaro9439
    @roqayaro94397 ай бұрын

    Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya65976 ай бұрын

    Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya950610 ай бұрын

    😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma

  • @rehemakimambo5363

    @rehemakimambo5363

    10 ай бұрын

    Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake

  • @modestajamada3496

    @modestajamada3496

    10 ай бұрын

    ​@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry7 ай бұрын

    Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe

  • @user-lq3bg6lj3h
    @user-lq3bg6lj3h5 ай бұрын

    Nyumba ina furniture 10 sijui

  • @amanimanase8798
    @amanimanase879810 ай бұрын

    Sasa pesa ambazo mnapanga majumba makubwa ivyo kwann msijipange ukusanye hizo pesa ujenge yako ? Àisee

  • @pinkyg8861
    @pinkyg886110 ай бұрын

    Milonjo hiyo

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud600110 ай бұрын

    Mkiumwa Muombe MICHANGO

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta84397 ай бұрын

    Daaah imbomboo ngafuuu

  • @upendojames5378
    @upendojames537810 ай бұрын

    😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn

  • @sitiabubakar2892

    @sitiabubakar2892

    10 ай бұрын

    Kma vya motels 😂

  • @consomahanga9269

    @consomahanga9269

    10 ай бұрын

    Ghorofa kubwa vitu hawanaaa

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi36948 ай бұрын

    Siamin labda kwa ndg yake kaona afanyie interview

  • @happynelson1136
    @happynelson11366 ай бұрын

    Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu

  • @vdhhhgduue3577
    @vdhhhgduue357710 ай бұрын

    Ushamba huo kuonyesha mambo ya ndani

  • @HasaniRamadhani-gh5rp

    @HasaniRamadhani-gh5rp

    10 ай бұрын

    Huna siku ukiwanacho utaonyeshatu nikawaida kwakira ariyekuanacho

  • @zahra5267
    @zahra52678 ай бұрын

    Mzee wa kulelewa

  • @Kharua-pw8fw
    @Kharua-pw8fw5 ай бұрын

    Wasenge hao

  • @ngwaleseif8586
    @ngwaleseif85867 ай бұрын

    Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?

Келесі