MBUZI WAMEPANGIWA CHUMBA NYUMBANI ANAPOISHI ZAI WA KIJIWE NONGWA | WANALIPIWA NA KODI

Ойын-сауық

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 304

  • @bettiejoy-mtotowamama
    @bettiejoy-mtotowamama7 ай бұрын

    Na amejua usafi kwa nyumba👌 , ukitazama nje ya nyumba na ndani utadhani nyumba mbili tofauti

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78238 ай бұрын

    Mash Allah Zai umejitahidi Kuzuri nyumbani kwako.

  • @user-cl9hg3uc8e
    @user-cl9hg3uc8e8 ай бұрын

    Nakupenda da zai af unayakubali maisha yako napenda unatueshimisha wauswailini❤❤❤❤

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6l6 ай бұрын

    Ndani kwako kusafi Mashallah❤, maana kuna wadada wanapenda kujipodoa Ila ukiona anapoka, nyumba chafu😢.

  • @btylove1870
    @btylove18708 ай бұрын

    Zai ngozi inaglow, nywele umependeza sana. Nakupenda sana❤

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela39268 ай бұрын

    Zai me nakupenda tu yani kabda hajaongea nishaanza kucheka 😂😂😂naitamani iyo story ya mwanahamisi miziwa 😂😂😂 et huyu kiwege ndo nimeachana nae 😂😂😂😂😂😂 KUZURI MNOOO MWAYA HONGERA ZAI WETU ❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55675 ай бұрын

    Dada zai watoto aacha kulaza chini kisa wagen hapana hiyo.Labda mama yako Mzazi au Baba. Ndio watoto utawalaza chini.Wanashukran wagen hao.Nakupenda sana❤❤

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma45438 ай бұрын

    Hongera Zai unaishi maisha halisi..

  • @user-lt3iz5kb8v
    @user-lt3iz5kb8v8 ай бұрын

    Aisee...unajitahidi sana hongera,ndo maana nakupenda utafika mbali

  • @sashah_ace8598
    @sashah_ace85988 ай бұрын

    ni mkweli sana hana baya mashallah ALLAH AKUZIDISHIDIE

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela39268 ай бұрын

    Me sidondoki ndo nshafiwa nna uchungu wangu naomba mniache mm uuuwwiii mbavu zangu 😂😂😂😂

  • @user-qc9xt4dp1i
    @user-qc9xt4dp1i7 ай бұрын

    uyu kweli anakaa kijiwe nongwa mana nyumba mbaya arafu chafu ila ndani kama upo masaki vile hii inaitwa mchngnye adui yko😂

  • @aishachuma9
    @aishachuma98 ай бұрын

    Hongera dada zai Kwa kuuvaa huusika wa uswahilin na pili hongera Kwa kujipanga Kila idara sio kibiashara paka kimaendeleo waswahili kama sisi tunasema umeweza dada zai❤❤❤❤

  • @3Dshoez
    @3Dshoez7 ай бұрын

    Hongera dada maisha yako ndo hayo na huna haja ya kuficha ficha 😍

  • @vero57
    @vero578 ай бұрын

    KWELI KABISA DADA ZAI , MAPEZI YAKO TOKA EZI , SOMESHA WATOTO WAKO MWANYA, NYUMBA SAFI SANA, HONGERA SANA DADA ZAI.

  • @aminasalim8708
    @aminasalim87088 ай бұрын

    Nyumba mbaya ndani munzuriii🎉🎉❤iyo ndo vzr kuish na wanga😂

  • @hawasaid7151

    @hawasaid7151

    8 ай бұрын

    Kabisaaa yan😂😂

  • @aminasalim8708

    @aminasalim8708

    8 ай бұрын

    @@hawasaid7151 na mtangazaji mbea mmmh anauliza adi ndani ya friji kunanini😂

  • @FatimaAli-of4gh

    @FatimaAli-of4gh

    8 ай бұрын

    Kama huku UK ndugu yangu majumba nje mabaya nyengine hata plaster hazijapigwa lakini ndani kuzuri na mimi nyumba yangu nimejenga hivo hivo nje kubaya ndani ndo kuzuri😂

  • @aminasalim8708

    @aminasalim8708

    8 ай бұрын

    @@FatimaAli-of4gh umefany vzr wachaw apo awaji😅😅😅adi marafik zako wataishia nje chuki zitakua kiasi t ila wakiingia ndani umekwisha

  • @fauziasultanikilewa7602

    @fauziasultanikilewa7602

    8 ай бұрын

    ​@@aminasalim8708😂😂😂😂😂😂😂

  • @valenakomba9218
    @valenakomba92187 ай бұрын

    Eeeh Zaii, mambo siyo mabaya. Hongera sanaa. Nyumba inawakaa , heee. Kwa kwekili hongera.

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry8 ай бұрын

    Zai nakupenda sana mdogo wangu maana huna majivuno wala kujikweza unajieleza ulivyo huongezi hupunguzi. Halafu nakushauri kitu. Nyumba ni choo urembo wako wote unaangaliwa chooni. Changeni mkitengeneze vizuri. Choo raha sio karaha

  • @nasraniko-mr2lv

    @nasraniko-mr2lv

    8 ай бұрын

    Sasa ww unavyosema nyumba ni choo hiyo ya wapangaji au ya mwenye nyumba huo ushauri dada angu ungempa mama mwenye nyumba sio zai

  • @NaseebMgono-wl3bu

    @NaseebMgono-wl3bu

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @ashurajengela3926

    @ashurajengela3926

    8 ай бұрын

    @@nasraniko-mr2lv kunywa Pepsi nakuja kulipa mwaya yani akarabati choo kwenye nyumba ya kupanga badala ya kumshauri ajenge ahamie kwake ndo apaweke vizuri

  • @SuleimanKhdija

    @SuleimanKhdija

    7 ай бұрын

    Anajiamini mbon mastaa hawaonyeshi vyumba

  • @fatumahashimmcheni9610

    @fatumahashimmcheni9610

    7 ай бұрын

    Zai umesaau kumkalibisha mgeni ata ka sodaaa Basi ataa maji

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj5837 ай бұрын

    Maashaallah , da zai , Allah akuzidishiye kwjuhudizako .

  • @nenengopoos5476
    @nenengopoos54768 ай бұрын

    Mashaalah zai anaishi uhalisia

  • @user-tm5ns8hu6q
    @user-tm5ns8hu6q8 ай бұрын

    Nampenda sana daazai anachekesha sana

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂zai katika ubora wake.. Jamani siku ukianza kukaa uswahili huwezi hama kirahisi sababu Kuna raha yake uko.. kila nyumba kinapikwa kitu asubuhi 😂wengine jioni😂😂hekaheka kibao,sasa unahama vipi??

  • @user-bg9cr4pn2p

    @user-bg9cr4pn2p

    8 ай бұрын

    Alafu dazai awezi hama kirais maana Kilaeo yuwapata matukio yakutuletes ss

  • @nayfatsalim7828
    @nayfatsalim78287 ай бұрын

    nimecheka ety wkija wnakaa chni mweny nyumba nd nakaa juu hhhh..Kweny friji umekua mpole mbna😂

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11548 ай бұрын

    MAISHA HALISI YA USWAHILIN NI HAYA NAKUPENDA DADA YANGU ZAI NIMEKAA SANA BUGULUN KWA MNYAMAN MAANA UKO FULL USWAHILIN

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest2558 ай бұрын

    Dada. Zai Una mimba 😊🙄 au umenenpa jamani nakupenda you’re so real ❤😊

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    8 ай бұрын

    Alishazaa kwenye pazia alikuanayo

  • @annamwanyilu7020
    @annamwanyilu70208 ай бұрын

    Jaman zai umetisha dada Huna shda hongera kwa kuendelea kuwa maarufu Mungu akujalie mafanikio zaidi

  • @rosemaryrwabibi5908
    @rosemaryrwabibi59088 ай бұрын

    Maisha ya uswahilini raha sana nje ni tofauti na ndani

  • @edinachami4318
    @edinachami43187 ай бұрын

    My wangu zai ❤️❤️❤️🥰hufeki life dadaangu mzuri

  • @faridapandu7579
    @faridapandu75797 ай бұрын

    ❤❤❤nimependa dazai kwako pazuri mungu akujalie update njumbayako inshaallah

  • @mwanashoogobo1785
    @mwanashoogobo17857 ай бұрын

    Zai nakupenda ndiyo story zishaanza hivyo kijiwe nongwa❤️❤️🇰🇪🇰🇪

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei11337 ай бұрын

    Nakupenda sana dada zaii mungu akubariki sanaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu88458 ай бұрын

    Nyumba ndani na nje tofauti 😂😂😂kiboko kqbisa

  • @RahmaAwadh-ul9yu
    @RahmaAwadh-ul9yu8 ай бұрын

    Nimecheka hiyo mwenye nyumba nakaa kwenye kochi wanaokuja katazama tamthilia watakaa chini🤣🤣🤣

  • @JoyAgbiano-wr5cz

    @JoyAgbiano-wr5cz

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-bg9cr4pn2p
    @user-bg9cr4pn2p8 ай бұрын

    MashaAllah dazai umejipanga

  • @alodiadiocless3546
    @alodiadiocless35468 ай бұрын

    Nakupenda sana zai unajua kutufuraisha

  • @husseynomar9523
    @husseynomar95235 ай бұрын

    Eti Mwanakhamis Miziwa akikulazia maziwa anaweza kukuua... 😂😂😂

  • @Lexerjoh
    @Lexerjoh7 ай бұрын

    she is so real i love her💌💌💌

  • @shanihussein7615
    @shanihussein76157 ай бұрын

    Nakupenda sana allah azidi kujufungulia milango ya rizki kipenzi

  • @user-dn5mq3fw5s
    @user-dn5mq3fw5s7 ай бұрын

    Msafi mashaalh hadi Raha 🎉🎉🎉❤

  • @mwanjinzara8009
    @mwanjinzara80098 ай бұрын

    Mtangazaji konyo mpaka chumban mweee😅😅😅

  • @siphifahashimu9723
    @siphifahashimu97238 ай бұрын

    Msafi mashaalah❤❤

  • @user-ri4bm8ly3c
    @user-ri4bm8ly3c7 ай бұрын

    Mob lov from Kenya ❤❤

  • @faridapandu7579
    @faridapandu75797 ай бұрын

    😂😂😂 salehe jamani mmbea❤❤ unamuhijikila kitu dazai

  • @yourthebest4544
    @yourthebest45448 ай бұрын

    😅😅😅..Ila dada zai nakupenda sana

  • @Nailaty564
    @Nailaty5645 ай бұрын

    Wawooo chumba kizuri hongera zai

  • @user-sb2sb8ri6t
    @user-sb2sb8ri6t8 ай бұрын

    Mie sikujua kumbe kijiwe nogwa ipo vingunguti😂😂😂

  • @lovenessoscar4102
    @lovenessoscar41027 ай бұрын

    Ila zai😂😂😂 me nakupenda tu bure❤❤

  • @Kalthoom-ru3mq
    @Kalthoom-ru3mq8 ай бұрын

    Zai nakupenda lnshaallah nikilaliwa kulud oman takutafut kpz unazawad yako❤

  • @SalimhchialaAtilio-qj5cs

    @SalimhchialaAtilio-qj5cs

    4 ай бұрын

    Sana kabisa abaya mhimu arafu anaishi vingunguti karibu na kwetu tabata

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim67388 ай бұрын

    Nimekupenda

  • @dottohami
    @dottohami8 ай бұрын

    Mashaallh zai ndani kwako pazuri 🥰

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m7 ай бұрын

    Duh mpka room😂😂hatari Zai ww una visaa😂😂😂et godoro linatupwa kitu gan kile utasema meli😂😂😂😂

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa64158 ай бұрын

    Dada yupo simple hanaga mbambamba!😂

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u7 ай бұрын

    Mashallah da zai umejiweza jaman

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt8 ай бұрын

    Nimeabza kicheka ata sijasikuliza😂😂😂😂

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila45726 ай бұрын

    Masha allaah hongera zai

  • @dijahmbinyo7301
    @dijahmbinyo73018 ай бұрын

    Good interview. But SALEH jitahidi kusema pole mtu kama ivo kasema jambo inafaa ungesema ata “aiseee polee”

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55675 ай бұрын

    😅😂maisha yaliyochachuka😁😁❤❤❤

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly8 ай бұрын

    Waangalia TV mje na viti vyenu😂😂😂

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72798 ай бұрын

    Hongera sana

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi36948 ай бұрын

    Huyu dada hatar 😂😂

  • @sikudhanimoshi6967
    @sikudhanimoshi69678 ай бұрын

    Mashallah zai mm sina ata kitanda

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat8 ай бұрын

    Hafake jamani nimpenda wajina😂😂😂😂😂

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid24887 ай бұрын

    Mashaallah zai Msafi kwakweli

  • @user-vx1pw5dq7k
    @user-vx1pw5dq7k8 ай бұрын

    Kwa zai pasafi ongera zake ila uswahli kwengine kuchfu adi mazingira duuh

  • @fridaminja7191
    @fridaminja71915 ай бұрын

    😀😀😀😀😀😀nimefurahi sana

  • @rachelmasunga4989
    @rachelmasunga49894 ай бұрын

    Nimependa Ila for me jamani huwa sipendi mivitu mingi ndani sasa hapa anadekiije ndani Yaan usafi anafanyaje jamani

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x5 ай бұрын

    Chumba kimepangishwa mbuzi hiii kali kweli kijiwe nongwa

  • @naturelle1097
    @naturelle10977 ай бұрын

    Nice!

  • @asyamohammed5091
    @asyamohammed50917 ай бұрын

    Alaa saleh nawee mmbeaa sanaa ivo unavo ulizaa 😂😂😂 hatariiiii

  • @aminachappa8677
    @aminachappa86776 ай бұрын

    ❤❤❤zai Nakupenda bure tu Dadangu

  • @faridapandu7579
    @faridapandu75797 ай бұрын

    Mungu akuzidishie kila la heri dazai umejipanga my

  • @user-ix4tm1mx3z
    @user-ix4tm1mx3z5 ай бұрын

    Nakupenda tu

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y6 ай бұрын

    ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY SISTER FROM TZ I A. PROUD OF YOU MY DUA ALWAYS WITH YOU MY ALLAH .MAKE UR DREAM TO BECOME TRUE TRUE 👍 I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ U MY SISTER U ARE HARD WORKER I AM PROUD OF YOU REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x5 ай бұрын

    Mwambie mwenye nyumba akuwekeee vizingiti ili maji yasiiingie ndani iyo nyumba iko chini sana kiasi maji yaingie. Ndani

  • @user-yy5tm4mx4o
    @user-yy5tm4mx4o7 ай бұрын

    Hahahahaaaa nimecheka Mpaka basi naangalia hapa kipindi Daa Shoga Bonge La Duka Nimekukubali Aisee Mpaka Mbuzi Wamepangiwa Chumba!!!

  • @rachelmasunga4989

    @rachelmasunga4989

    4 ай бұрын

    😅😅😅😅Yaan jamani mbuzi walivyokuwa na halufu😅😅

  • @user-xb4lb2wh9l
    @user-xb4lb2wh9l7 ай бұрын

    Nimependaa

  • @HaniyaKisingo
    @HaniyaKisingo7 ай бұрын

    Zai love you 🎉❤❤

  • @sumaiyabakary2692
    @sumaiyabakary26928 ай бұрын

    Pazuri sana Zai hongera

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv8 ай бұрын

    Mbona raha napenda maisha hayo ningeishi nawewe ningenenepa

  • @BeatriceKaizary-jr1kf
    @BeatriceKaizary-jr1kf7 ай бұрын

    Dada yupo vizuri sana

  • @JanethJoshua-rs1ze
    @JanethJoshua-rs1ze7 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 ila zai nakupenda

  • @kibibimlaula2526
    @kibibimlaula25267 ай бұрын

    😂😂😂ila zai khaaa

  • @wahdamrisho778
    @wahdamrisho7788 ай бұрын

    Jaman nampenda sana zai❤

  • @user-lq7kv7sx3t
    @user-lq7kv7sx3t4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 dah.! Hichokipgo kwakweli

  • @annievibes8794
    @annievibes87947 ай бұрын

    Zai nakupenda sana nakuangalia kutoka Norway natamani nikija dar nikutembelee kijiwe nongwa

  • @HoneysugarPudding
    @HoneysugarPudding8 ай бұрын

    Allah akuzidishie rizki kwakweli

  • @mishkizur3205
    @mishkizur32056 ай бұрын

    jaman nampenda uyu mdadaa wallah mungu amueke

  • @saumusudi9720
    @saumusudi97207 ай бұрын

    Msafi Sana

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel8 ай бұрын

    Zai nampenda 😂😂😂

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z8 ай бұрын

    Nimependa maisha ya zai hana majigambo penda sn zai

  • @minafadhil3837

    @minafadhil3837

    7 ай бұрын

    Ni kwel

  • @mishishabani1475
    @mishishabani14758 ай бұрын

    Hongera Sana da Zai❤️❤️👏

  • @HarunAyoub
    @HarunAyoub4 ай бұрын

    Hahahah mwenye nyumba ndio anakalia kiti

  • @scolasticanalle9105
    @scolasticanalle91057 ай бұрын

    😁😁😁😁😁zai you made my day

  • @joycekalago532
    @joycekalago5326 ай бұрын

    Kwahiyo mbuzi ni wapangaji wenzio zai😊😊😊

  • @RakaPk

    @RakaPk

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂🎉

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os8 ай бұрын

    Ukaaji sasa 😊

  • @QueenGabriel-ys7eh
    @QueenGabriel-ys7eh8 ай бұрын

    Kiduka kimejaa sabuni na pipi😆😆😆😅😅zaii we kiboko

  • @sarahkundy9411
    @sarahkundy94118 ай бұрын

    Daaah zai 😂😂😂😂

  • @mercypedha5519
    @mercypedha55196 ай бұрын

    Zai amejipanga 💕

  • @halimasalehe1731
    @halimasalehe17318 ай бұрын

    Zai kama zai walah penda Sana🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice17018 ай бұрын

    Zai anasema kweli kunawatu awapendi nyumba zilizopooza kuna mpangaji alipanga kwetu akaondoka akasema hapa pamepooza nahama

  • @RakaPk

    @RakaPk

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂🎉

Келесі