Zai me nakupenda tu yani kabda hajaongea nishaanza kucheka 😂😂😂naitamani iyo story ya mwanahamisi miziwa 😂😂😂 et huyu kiwege ndo nimeachana nae 😂😂😂😂😂😂 KUZURI MNOOO MWAYA HONGERA ZAI WETU ❤
@aminaomary55675 ай бұрын
Dada zai watoto aacha kulaza chini kisa wagen hapana hiyo.Labda mama yako Mzazi au Baba. Ndio watoto utawalaza chini.Wanashukran wagen hao.Nakupenda sana❤❤
@sumayaishengoma45438 ай бұрын
Hongera Zai unaishi maisha halisi..
@user-lt3iz5kb8v8 ай бұрын
Aisee...unajitahidi sana hongera,ndo maana nakupenda utafika mbali
@sashah_ace85988 ай бұрын
ni mkweli sana hana baya mashallah ALLAH AKUZIDISHIDIE
@ashurajengela39268 ай бұрын
Me sidondoki ndo nshafiwa nna uchungu wangu naomba mniache mm uuuwwiii mbavu zangu 😂😂😂😂
@user-qc9xt4dp1i7 ай бұрын
uyu kweli anakaa kijiwe nongwa mana nyumba mbaya arafu chafu ila ndani kama upo masaki vile hii inaitwa mchngnye adui yko😂
@aishachuma98 ай бұрын
Hongera dada zai Kwa kuuvaa huusika wa uswahilin na pili hongera Kwa kujipanga Kila idara sio kibiashara paka kimaendeleo waswahili kama sisi tunasema umeweza dada zai❤❤❤❤
@3Dshoez7 ай бұрын
Hongera dada maisha yako ndo hayo na huna haja ya kuficha ficha 😍
@vero578 ай бұрын
KWELI KABISA DADA ZAI , MAPEZI YAKO TOKA EZI , SOMESHA WATOTO WAKO MWANYA, NYUMBA SAFI SANA, HONGERA SANA DADA ZAI.
@aminasalim87088 ай бұрын
Nyumba mbaya ndani munzuriii🎉🎉❤iyo ndo vzr kuish na wanga😂
@hawasaid7151
8 ай бұрын
Kabisaaa yan😂😂
@aminasalim8708
8 ай бұрын
@@hawasaid7151 na mtangazaji mbea mmmh anauliza adi ndani ya friji kunanini😂
@FatimaAli-of4gh
8 ай бұрын
Kama huku UK ndugu yangu majumba nje mabaya nyengine hata plaster hazijapigwa lakini ndani kuzuri na mimi nyumba yangu nimejenga hivo hivo nje kubaya ndani ndo kuzuri😂
@aminasalim8708
8 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh umefany vzr wachaw apo awaji😅😅😅adi marafik zako wataishia nje chuki zitakua kiasi t ila wakiingia ndani umekwisha
@fauziasultanikilewa7602
8 ай бұрын
@@aminasalim8708😂😂😂😂😂😂😂
@valenakomba92187 ай бұрын
Eeeh Zaii, mambo siyo mabaya. Hongera sanaa. Nyumba inawakaa , heee. Kwa kwekili hongera.
@MwanaishaShattry8 ай бұрын
Zai nakupenda sana mdogo wangu maana huna majivuno wala kujikweza unajieleza ulivyo huongezi hupunguzi. Halafu nakushauri kitu. Nyumba ni choo urembo wako wote unaangaliwa chooni. Changeni mkitengeneze vizuri. Choo raha sio karaha
@nasraniko-mr2lv
8 ай бұрын
Sasa ww unavyosema nyumba ni choo hiyo ya wapangaji au ya mwenye nyumba huo ushauri dada angu ungempa mama mwenye nyumba sio zai
@NaseebMgono-wl3bu
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@ashurajengela3926
8 ай бұрын
@@nasraniko-mr2lv kunywa Pepsi nakuja kulipa mwaya yani akarabati choo kwenye nyumba ya kupanga badala ya kumshauri ajenge ahamie kwake ndo apaweke vizuri
@SuleimanKhdija
7 ай бұрын
Anajiamini mbon mastaa hawaonyeshi vyumba
@fatumahashimmcheni9610
7 ай бұрын
Zai umesaau kumkalibisha mgeni ata ka sodaaa Basi ataa maji
@jahsjjsj5837 ай бұрын
Maashaallah , da zai , Allah akuzidishiye kwjuhudizako .
@nenengopoos54768 ай бұрын
Mashaalah zai anaishi uhalisia
@user-tm5ns8hu6q8 ай бұрын
Nampenda sana daazai anachekesha sana
@kekiplus1andonly8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂zai katika ubora wake.. Jamani siku ukianza kukaa uswahili huwezi hama kirahisi sababu Kuna raha yake uko.. kila nyumba kinapikwa kitu asubuhi 😂wengine jioni😂😂hekaheka kibao,sasa unahama vipi??
@user-bg9cr4pn2p
8 ай бұрын
Alafu dazai awezi hama kirais maana Kilaeo yuwapata matukio yakutuletes ss
@nayfatsalim78287 ай бұрын
nimecheka ety wkija wnakaa chni mweny nyumba nd nakaa juu hhhh..Kweny friji umekua mpole mbna😂
@ukhutfatumah11548 ай бұрын
MAISHA HALISI YA USWAHILIN NI HAYA NAKUPENDA DADA YANGU ZAI NIMEKAA SANA BUGULUN KWA MNYAMAN MAANA UKO FULL USWAHILIN
@Thebaddest2558 ай бұрын
Dada. Zai Una mimba 😊🙄 au umenenpa jamani nakupenda you’re so real ❤😊
@m.mmarckus6298
8 ай бұрын
Alishazaa kwenye pazia alikuanayo
@annamwanyilu70208 ай бұрын
Jaman zai umetisha dada Huna shda hongera kwa kuendelea kuwa maarufu Mungu akujalie mafanikio zaidi
@rosemaryrwabibi59088 ай бұрын
Maisha ya uswahilini raha sana nje ni tofauti na ndani
@edinachami43187 ай бұрын
My wangu zai ❤️❤️❤️🥰hufeki life dadaangu mzuri
@faridapandu75797 ай бұрын
❤❤❤nimependa dazai kwako pazuri mungu akujalie update njumbayako inshaallah
@mwanashoogobo17857 ай бұрын
Zai nakupenda ndiyo story zishaanza hivyo kijiwe nongwa❤️❤️🇰🇪🇰🇪
@aminahhuawei11337 ай бұрын
Nakupenda sana dada zaii mungu akubariki sanaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@twiseghekisilu88458 ай бұрын
Nyumba ndani na nje tofauti 😂😂😂kiboko kqbisa
@RahmaAwadh-ul9yu8 ай бұрын
Nimecheka hiyo mwenye nyumba nakaa kwenye kochi wanaokuja katazama tamthilia watakaa chini🤣🤣🤣
@JoyAgbiano-wr5cz
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-bg9cr4pn2p8 ай бұрын
MashaAllah dazai umejipanga
@alodiadiocless35468 ай бұрын
Nakupenda sana zai unajua kutufuraisha
@husseynomar95235 ай бұрын
Eti Mwanakhamis Miziwa akikulazia maziwa anaweza kukuua... 😂😂😂
@Lexerjoh7 ай бұрын
she is so real i love her💌💌💌
@shanihussein76157 ай бұрын
Nakupenda sana allah azidi kujufungulia milango ya rizki kipenzi
@user-dn5mq3fw5s7 ай бұрын
Msafi mashaalh hadi Raha 🎉🎉🎉❤
@mwanjinzara80098 ай бұрын
Mtangazaji konyo mpaka chumban mweee😅😅😅
@siphifahashimu97238 ай бұрын
Msafi mashaalah❤❤
@user-ri4bm8ly3c7 ай бұрын
Mob lov from Kenya ❤❤
@faridapandu75797 ай бұрын
😂😂😂 salehe jamani mmbea❤❤ unamuhijikila kitu dazai
@yourthebest45448 ай бұрын
😅😅😅..Ila dada zai nakupenda sana
@Nailaty5645 ай бұрын
Wawooo chumba kizuri hongera zai
@user-sb2sb8ri6t8 ай бұрын
Mie sikujua kumbe kijiwe nogwa ipo vingunguti😂😂😂
@lovenessoscar41027 ай бұрын
Ila zai😂😂😂 me nakupenda tu bure❤❤
@Kalthoom-ru3mq8 ай бұрын
Zai nakupenda lnshaallah nikilaliwa kulud oman takutafut kpz unazawad yako❤
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
4 ай бұрын
Sana kabisa abaya mhimu arafu anaishi vingunguti karibu na kwetu tabata
@mariamibrahim67388 ай бұрын
Nimekupenda
@dottohami8 ай бұрын
Mashaallh zai ndani kwako pazuri 🥰
@user-tt6jt8pz5m7 ай бұрын
Duh mpka room😂😂hatari Zai ww una visaa😂😂😂et godoro linatupwa kitu gan kile utasema meli😂😂😂😂
@rajabdibwa64158 ай бұрын
Dada yupo simple hanaga mbambamba!😂
@user-mr7gl5ox6u7 ай бұрын
Mashallah da zai umejiweza jaman
@HadijaZabroni-pu1lt8 ай бұрын
Nimeabza kicheka ata sijasikuliza😂😂😂😂
@jamilajamila45726 ай бұрын
Masha allaah hongera zai
@dijahmbinyo73018 ай бұрын
Good interview. But SALEH jitahidi kusema pole mtu kama ivo kasema jambo inafaa ungesema ata “aiseee polee”
@aminaomary55675 ай бұрын
😅😂maisha yaliyochachuka😁😁❤❤❤
@kekiplus1andonly8 ай бұрын
Waangalia TV mje na viti vyenu😂😂😂
@faudhiasalum72798 ай бұрын
Hongera sana
@gradnessshitindi36948 ай бұрын
Huyu dada hatar 😂😂
@sikudhanimoshi69678 ай бұрын
Mashallah zai mm sina ata kitanda
@Zainab_salat8 ай бұрын
Hafake jamani nimpenda wajina😂😂😂😂😂
@sistertrashid24887 ай бұрын
Mashaallah zai Msafi kwakweli
@user-vx1pw5dq7k8 ай бұрын
Kwa zai pasafi ongera zake ila uswahli kwengine kuchfu adi mazingira duuh
@fridaminja71915 ай бұрын
😀😀😀😀😀😀nimefurahi sana
@rachelmasunga49894 ай бұрын
Nimependa Ila for me jamani huwa sipendi mivitu mingi ndani sasa hapa anadekiije ndani Yaan usafi anafanyaje jamani
@user-mo1ui4qm7x5 ай бұрын
Chumba kimepangishwa mbuzi hiii kali kweli kijiwe nongwa
@naturelle10977 ай бұрын
Nice!
@asyamohammed50917 ай бұрын
Alaa saleh nawee mmbeaa sanaa ivo unavo ulizaa 😂😂😂 hatariiiii
@aminachappa86776 ай бұрын
❤❤❤zai Nakupenda bure tu Dadangu
@faridapandu75797 ай бұрын
Mungu akuzidishie kila la heri dazai umejipanga my
@user-ix4tm1mx3z5 ай бұрын
Nakupenda tu
@user-dl3ep1ow3y6 ай бұрын
ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY SISTER FROM TZ I A. PROUD OF YOU MY DUA ALWAYS WITH YOU MY ALLAH .MAKE UR DREAM TO BECOME TRUE TRUE 👍 I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ U MY SISTER U ARE HARD WORKER I AM PROUD OF YOU REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-mo1ui4qm7x5 ай бұрын
Mwambie mwenye nyumba akuwekeee vizingiti ili maji yasiiingie ndani iyo nyumba iko chini sana kiasi maji yaingie. Ndani
@user-yy5tm4mx4o7 ай бұрын
Hahahahaaaa nimecheka Mpaka basi naangalia hapa kipindi Daa Shoga Bonge La Duka Nimekukubali Aisee Mpaka Mbuzi Wamepangiwa Chumba!!!
@rachelmasunga4989
4 ай бұрын
😅😅😅😅Yaan jamani mbuzi walivyokuwa na halufu😅😅
@user-xb4lb2wh9l7 ай бұрын
Nimependaa
@HaniyaKisingo7 ай бұрын
Zai love you 🎉❤❤
@sumaiyabakary26928 ай бұрын
Pazuri sana Zai hongera
@EsterShirima-vr7cv8 ай бұрын
Mbona raha napenda maisha hayo ningeishi nawewe ningenenepa
@BeatriceKaizary-jr1kf7 ай бұрын
Dada yupo vizuri sana
@JanethJoshua-rs1ze7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 ila zai nakupenda
@kibibimlaula25267 ай бұрын
😂😂😂ila zai khaaa
@wahdamrisho7788 ай бұрын
Jaman nampenda sana zai❤
@user-lq7kv7sx3t4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 dah.! Hichokipgo kwakweli
@annievibes87947 ай бұрын
Zai nakupenda sana nakuangalia kutoka Norway natamani nikija dar nikutembelee kijiwe nongwa
@HoneysugarPudding8 ай бұрын
Allah akuzidishie rizki kwakweli
@mishkizur32056 ай бұрын
jaman nampenda uyu mdadaa wallah mungu amueke
@saumusudi97207 ай бұрын
Msafi Sana
@TaarabChannel8 ай бұрын
Zai nampenda 😂😂😂
@user-uh7to2kw2z8 ай бұрын
Nimependa maisha ya zai hana majigambo penda sn zai
@minafadhil3837
7 ай бұрын
Ni kwel
@mishishabani14758 ай бұрын
Hongera Sana da Zai❤️❤️👏
@HarunAyoub4 ай бұрын
Hahahah mwenye nyumba ndio anakalia kiti
@scolasticanalle91057 ай бұрын
😁😁😁😁😁zai you made my day
@joycekalago5326 ай бұрын
Kwahiyo mbuzi ni wapangaji wenzio zai😊😊😊
@RakaPk
5 ай бұрын
😂😂😂😂🎉
@Mundi-oz7os8 ай бұрын
Ukaaji sasa 😊
@QueenGabriel-ys7eh8 ай бұрын
Kiduka kimejaa sabuni na pipi😆😆😆😅😅zaii we kiboko
@sarahkundy94118 ай бұрын
Daaah zai 😂😂😂😂
@mercypedha55196 ай бұрын
Zai amejipanga 💕
@halimasalehe17318 ай бұрын
Zai kama zai walah penda Sana🤣🤣🤣🤣🤣
@ngowibeatrice17018 ай бұрын
Zai anasema kweli kunawatu awapendi nyumba zilizopooza kuna mpangaji alipanga kwetu akaondoka akasema hapa pamepooza nahama
Пікірлер: 304
Na amejua usafi kwa nyumba👌 , ukitazama nje ya nyumba na ndani utadhani nyumba mbili tofauti
Mash Allah Zai umejitahidi Kuzuri nyumbani kwako.
Nakupenda da zai af unayakubali maisha yako napenda unatueshimisha wauswailini❤❤❤❤
Ndani kwako kusafi Mashallah❤, maana kuna wadada wanapenda kujipodoa Ila ukiona anapoka, nyumba chafu😢.
Zai ngozi inaglow, nywele umependeza sana. Nakupenda sana❤
Zai me nakupenda tu yani kabda hajaongea nishaanza kucheka 😂😂😂naitamani iyo story ya mwanahamisi miziwa 😂😂😂 et huyu kiwege ndo nimeachana nae 😂😂😂😂😂😂 KUZURI MNOOO MWAYA HONGERA ZAI WETU ❤
Dada zai watoto aacha kulaza chini kisa wagen hapana hiyo.Labda mama yako Mzazi au Baba. Ndio watoto utawalaza chini.Wanashukran wagen hao.Nakupenda sana❤❤
Hongera Zai unaishi maisha halisi..
Aisee...unajitahidi sana hongera,ndo maana nakupenda utafika mbali
ni mkweli sana hana baya mashallah ALLAH AKUZIDISHIDIE
Me sidondoki ndo nshafiwa nna uchungu wangu naomba mniache mm uuuwwiii mbavu zangu 😂😂😂😂
uyu kweli anakaa kijiwe nongwa mana nyumba mbaya arafu chafu ila ndani kama upo masaki vile hii inaitwa mchngnye adui yko😂
Hongera dada zai Kwa kuuvaa huusika wa uswahilin na pili hongera Kwa kujipanga Kila idara sio kibiashara paka kimaendeleo waswahili kama sisi tunasema umeweza dada zai❤❤❤❤
Hongera dada maisha yako ndo hayo na huna haja ya kuficha ficha 😍
KWELI KABISA DADA ZAI , MAPEZI YAKO TOKA EZI , SOMESHA WATOTO WAKO MWANYA, NYUMBA SAFI SANA, HONGERA SANA DADA ZAI.
Nyumba mbaya ndani munzuriii🎉🎉❤iyo ndo vzr kuish na wanga😂
@hawasaid7151
8 ай бұрын
Kabisaaa yan😂😂
@aminasalim8708
8 ай бұрын
@@hawasaid7151 na mtangazaji mbea mmmh anauliza adi ndani ya friji kunanini😂
@FatimaAli-of4gh
8 ай бұрын
Kama huku UK ndugu yangu majumba nje mabaya nyengine hata plaster hazijapigwa lakini ndani kuzuri na mimi nyumba yangu nimejenga hivo hivo nje kubaya ndani ndo kuzuri😂
@aminasalim8708
8 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh umefany vzr wachaw apo awaji😅😅😅adi marafik zako wataishia nje chuki zitakua kiasi t ila wakiingia ndani umekwisha
@fauziasultanikilewa7602
8 ай бұрын
@@aminasalim8708😂😂😂😂😂😂😂
Eeeh Zaii, mambo siyo mabaya. Hongera sanaa. Nyumba inawakaa , heee. Kwa kwekili hongera.
Zai nakupenda sana mdogo wangu maana huna majivuno wala kujikweza unajieleza ulivyo huongezi hupunguzi. Halafu nakushauri kitu. Nyumba ni choo urembo wako wote unaangaliwa chooni. Changeni mkitengeneze vizuri. Choo raha sio karaha
@nasraniko-mr2lv
8 ай бұрын
Sasa ww unavyosema nyumba ni choo hiyo ya wapangaji au ya mwenye nyumba huo ushauri dada angu ungempa mama mwenye nyumba sio zai
@NaseebMgono-wl3bu
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@ashurajengela3926
8 ай бұрын
@@nasraniko-mr2lv kunywa Pepsi nakuja kulipa mwaya yani akarabati choo kwenye nyumba ya kupanga badala ya kumshauri ajenge ahamie kwake ndo apaweke vizuri
@SuleimanKhdija
7 ай бұрын
Anajiamini mbon mastaa hawaonyeshi vyumba
@fatumahashimmcheni9610
7 ай бұрын
Zai umesaau kumkalibisha mgeni ata ka sodaaa Basi ataa maji
Maashaallah , da zai , Allah akuzidishiye kwjuhudizako .
Mashaalah zai anaishi uhalisia
Nampenda sana daazai anachekesha sana
😂😂😂😂😂😂😂😂zai katika ubora wake.. Jamani siku ukianza kukaa uswahili huwezi hama kirahisi sababu Kuna raha yake uko.. kila nyumba kinapikwa kitu asubuhi 😂wengine jioni😂😂hekaheka kibao,sasa unahama vipi??
@user-bg9cr4pn2p
8 ай бұрын
Alafu dazai awezi hama kirais maana Kilaeo yuwapata matukio yakutuletes ss
nimecheka ety wkija wnakaa chni mweny nyumba nd nakaa juu hhhh..Kweny friji umekua mpole mbna😂
MAISHA HALISI YA USWAHILIN NI HAYA NAKUPENDA DADA YANGU ZAI NIMEKAA SANA BUGULUN KWA MNYAMAN MAANA UKO FULL USWAHILIN
Dada. Zai Una mimba 😊🙄 au umenenpa jamani nakupenda you’re so real ❤😊
@m.mmarckus6298
8 ай бұрын
Alishazaa kwenye pazia alikuanayo
Jaman zai umetisha dada Huna shda hongera kwa kuendelea kuwa maarufu Mungu akujalie mafanikio zaidi
Maisha ya uswahilini raha sana nje ni tofauti na ndani
My wangu zai ❤️❤️❤️🥰hufeki life dadaangu mzuri
❤❤❤nimependa dazai kwako pazuri mungu akujalie update njumbayako inshaallah
Zai nakupenda ndiyo story zishaanza hivyo kijiwe nongwa❤️❤️🇰🇪🇰🇪
Nakupenda sana dada zaii mungu akubariki sanaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Nyumba ndani na nje tofauti 😂😂😂kiboko kqbisa
Nimecheka hiyo mwenye nyumba nakaa kwenye kochi wanaokuja katazama tamthilia watakaa chini🤣🤣🤣
@JoyAgbiano-wr5cz
6 ай бұрын
😂😂😂😂
MashaAllah dazai umejipanga
Nakupenda sana zai unajua kutufuraisha
Eti Mwanakhamis Miziwa akikulazia maziwa anaweza kukuua... 😂😂😂
she is so real i love her💌💌💌
Nakupenda sana allah azidi kujufungulia milango ya rizki kipenzi
Msafi mashaalh hadi Raha 🎉🎉🎉❤
Mtangazaji konyo mpaka chumban mweee😅😅😅
Msafi mashaalah❤❤
Mob lov from Kenya ❤❤
😂😂😂 salehe jamani mmbea❤❤ unamuhijikila kitu dazai
😅😅😅..Ila dada zai nakupenda sana
Wawooo chumba kizuri hongera zai
Mie sikujua kumbe kijiwe nogwa ipo vingunguti😂😂😂
Ila zai😂😂😂 me nakupenda tu bure❤❤
Zai nakupenda lnshaallah nikilaliwa kulud oman takutafut kpz unazawad yako❤
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
4 ай бұрын
Sana kabisa abaya mhimu arafu anaishi vingunguti karibu na kwetu tabata
Nimekupenda
Mashaallh zai ndani kwako pazuri 🥰
Duh mpka room😂😂hatari Zai ww una visaa😂😂😂et godoro linatupwa kitu gan kile utasema meli😂😂😂😂
Dada yupo simple hanaga mbambamba!😂
Mashallah da zai umejiweza jaman
Nimeabza kicheka ata sijasikuliza😂😂😂😂
Masha allaah hongera zai
Good interview. But SALEH jitahidi kusema pole mtu kama ivo kasema jambo inafaa ungesema ata “aiseee polee”
😅😂maisha yaliyochachuka😁😁❤❤❤
Waangalia TV mje na viti vyenu😂😂😂
Hongera sana
Huyu dada hatar 😂😂
Mashallah zai mm sina ata kitanda
Hafake jamani nimpenda wajina😂😂😂😂😂
Mashaallah zai Msafi kwakweli
Kwa zai pasafi ongera zake ila uswahli kwengine kuchfu adi mazingira duuh
😀😀😀😀😀😀nimefurahi sana
Nimependa Ila for me jamani huwa sipendi mivitu mingi ndani sasa hapa anadekiije ndani Yaan usafi anafanyaje jamani
Chumba kimepangishwa mbuzi hiii kali kweli kijiwe nongwa
Nice!
Alaa saleh nawee mmbeaa sanaa ivo unavo ulizaa 😂😂😂 hatariiiii
❤❤❤zai Nakupenda bure tu Dadangu
Mungu akuzidishie kila la heri dazai umejipanga my
Nakupenda tu
ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY SISTER FROM TZ I A. PROUD OF YOU MY DUA ALWAYS WITH YOU MY ALLAH .MAKE UR DREAM TO BECOME TRUE TRUE 👍 I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ U MY SISTER U ARE HARD WORKER I AM PROUD OF YOU REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwambie mwenye nyumba akuwekeee vizingiti ili maji yasiiingie ndani iyo nyumba iko chini sana kiasi maji yaingie. Ndani
Hahahahaaaa nimecheka Mpaka basi naangalia hapa kipindi Daa Shoga Bonge La Duka Nimekukubali Aisee Mpaka Mbuzi Wamepangiwa Chumba!!!
@rachelmasunga4989
4 ай бұрын
😅😅😅😅Yaan jamani mbuzi walivyokuwa na halufu😅😅
Nimependaa
Zai love you 🎉❤❤
Pazuri sana Zai hongera
Mbona raha napenda maisha hayo ningeishi nawewe ningenenepa
Dada yupo vizuri sana
😂😂😂😂😂😂 ila zai nakupenda
😂😂😂ila zai khaaa
Jaman nampenda sana zai❤
😂😂😂😂😂 dah.! Hichokipgo kwakweli
Zai nakupenda sana nakuangalia kutoka Norway natamani nikija dar nikutembelee kijiwe nongwa
Allah akuzidishie rizki kwakweli
jaman nampenda uyu mdadaa wallah mungu amueke
Msafi Sana
Zai nampenda 😂😂😂
Nimependa maisha ya zai hana majigambo penda sn zai
@minafadhil3837
7 ай бұрын
Ni kwel
Hongera Sana da Zai❤️❤️👏
Hahahah mwenye nyumba ndio anakalia kiti
😁😁😁😁😁zai you made my day
Kwahiyo mbuzi ni wapangaji wenzio zai😊😊😊
@RakaPk
5 ай бұрын
😂😂😂😂🎉
Ukaaji sasa 😊
Kiduka kimejaa sabuni na pipi😆😆😆😅😅zaii we kiboko
Daaah zai 😂😂😂😂
Zai amejipanga 💕
Zai kama zai walah penda Sana🤣🤣🤣🤣🤣
Zai anasema kweli kunawatu awapendi nyumba zilizopooza kuna mpangaji alipanga kwetu akaondoka akasema hapa pamepooza nahama
@RakaPk
5 ай бұрын
😂😂😂😂🎉