Wawooo nashukuru Sana baba karobo amepona watu mumefurahi kwakupona baba karobo munipe like
@janetkyumbe7154
13 күн бұрын
Aki final ameona sasa Wacha tuone Bora isiwe baba karobo anaota😂😂😂😂
@juliensango8504
13 күн бұрын
Aki tume furahi sana kabisa sana 😊
@emilymarcel8172
13 күн бұрын
Huyu atakua anaota@@janetkyumbe7154
@rukcabby2572
13 күн бұрын
@@janetkyumbe7154umeona pia ww😂😂
@user-kb1rq8dx1h
13 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅@@janetkyumbe7154
@ElogeKambale-bw2zd13 күн бұрын
Ata kama wa 42 Léo nime Chelewa naombeni ata liké 10 nawapenda❤❤😂🎉 nyinyi nyote ongera baba karobo🎉 kwa movie zenu ❤🎉❤
@delvinejeruto
12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-ro1fg5ur9l13 күн бұрын
wapenzi watazamaji Leo nimewahi mapema tu wapi like za baba Joan 🎉🎉
@LuciaBukula13 күн бұрын
Hatimae baba kalobo kaona like kwake kwa waliofurahi baba kalobo kuona
@bintijumachongoa892
13 күн бұрын
kwel
@joelnyaga1985
13 күн бұрын
halafu ukute ilikuwa doto,😂
@maylucson001
13 күн бұрын
Na nindoto kweli bc😂
@LuciaBukula
13 күн бұрын
@@maylucson001 ndoto Tena jaman
@LuciaBukula
13 күн бұрын
@@joelnyaga1985 aaa nayo yawezekana ety
@Kamoste13 күн бұрын
Number one kilifi kenya mpoooo nimefika kikambala ❤❤kazi safiiii mamakalobo anaupiga mwingi😂😂
@user-xl3gx3hw2p
13 күн бұрын
Like zangu ziko wapi💕🥰🥰🥰
@gastonerobert2026
13 күн бұрын
Mtwapa nko apa
@faithkalulu13 күн бұрын
mama karobo akona roho chafu jamani😢😢,nipeni likes jameni
@graffinamisi
9 күн бұрын
Like zikusaidie na nini jamani
@faithkalulu
9 күн бұрын
@@graffinamisi none of your business braza
@faithkalulu
9 күн бұрын
@@graffinamisi na sipendi uchokozi
@graffinamisi
9 күн бұрын
@@faithkalulu failure badala ya kutafuta kazi ya kufanya ww huko uku hunaomba like
@faithkalulu
9 күн бұрын
@@graffinamisi failure ni ww,nakuhurumia sana ady,nani amekwambia niko na aja na kazi..na kitu ingine na ya mwisho achana na comment yangu la sivyo utajua mm ni mkamba na siliagi macho mshezi ww ata auna maisha
@jaycburundi25713 күн бұрын
Wa kumi na Nani kutoka Burundi Munigongeye like tumuoneshe upendo baba karobo ❤
@dorinenahimana9958
13 күн бұрын
😅😅
@jaycburundi257
13 күн бұрын
Unacheka nini dodo
@modex_037613 күн бұрын
Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa
@fredrickndangili8274
13 күн бұрын
Mie natokea Kenya naona uswahilini man warembo
@aliteezAhmed
13 күн бұрын
Kenya
@faithkemuma9113
13 күн бұрын
Apo n poa
@user-jv8cn9iz8v
13 күн бұрын
Tuko wengi hapa.
@josphatwanyeki8413
13 күн бұрын
Tupo hapa
@dianaqueen796713 күн бұрын
Wa kwanza leo naomba likes hata kumi jamani
@gaudenciasyl980913 күн бұрын
Dakika ya tatu naomben like jaman❤❤❤🎉
@user-wy8ru2pi4s13 күн бұрын
Weee mama kalobo roho mbaya natazama kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@KeristiStel
13 күн бұрын
Hi
@bridgetakuku6955
13 күн бұрын
Ako na roho mbaya sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JohnsonMwita-uz5dn
13 күн бұрын
Eeeeh mama kalobo ako na roho mbaya sana😂😂😂😂😂
@YusraSiyaleo-yk2fz
13 күн бұрын
Hivi huko kenya kaz za ndan wanaripa.shi ngap@@bridgetakuku6955
@emm-blacklight524313 күн бұрын
Baba yangu kipofu ❤❤❤so best i like from congo drc
@vallesndayishimiye239613 күн бұрын
Limama Karobo Fake nalichukia 😢😢😢 love from Burundi
@bridgetakuku6955
13 күн бұрын
Nalichukia sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fayojarso377713 күн бұрын
Baba karobo leo nimefurahi sana,baba karobo amepoona kabisa,
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin
13 күн бұрын
Ni ndoto hiyo 😂😂
@user-hb9eq2fo6z13 күн бұрын
Woiyeee 😂 wapili kutoka Kenya naomba likes jameni,, ata kamoja😂
@user-xy4kt8wk6l
13 күн бұрын
❤❤❤
@user-eo8wi2is7t13 күн бұрын
Burundi mimi wakwanza🇧🇮 munipe like zangu
@kingchiefking926513 күн бұрын
Eebaneee wakwanza kutolz🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 egzo nzuli bro
@MashMashile13 күн бұрын
Baba Joan film y mafundisho y maisha nakukubali sana
@user-dc5xm3bd9x13 күн бұрын
Eheeeee Maman Karobo Wakwel Asante Mungu Aposasa Nimwoto ❤❤❤🇧🇮 Zugati Umefikilia Mapenzi Ya Baba Karobo ❤❤❤
@Asma-hn1jk13 күн бұрын
mashaAllah nimefurh kumuon baba karobo akion tena furah ya karobo😊😊😊😊😊
@user-vo7yb6wp1m13 күн бұрын
Woow Baba karobo amepona kweli mungu ni wa ajabu aaishe leteni engine haraka iwezekanavyo🎉🎉❤
@SARIVE.LAME_12313 күн бұрын
Guys Nani amamkubali baba joan but uwaga analeta video nyuma sana tunakuwaga tumechoka kusubiri Ila good job ❤❤
@RoselineMulwa-qg4bn
13 күн бұрын
Leo wamewai jamani
@user-ie8om7kh5w13 күн бұрын
Wow congratulations team kibanio nina imani watafanikiwa wow so nice wapi likes za baba karobo kaona congrats❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-cj9pe5ts6c13 күн бұрын
Hata mm Leo nimejaribu like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Baba karobo kasha pona ❤
@kondebouy130813 күн бұрын
Wow nimewahi mapema ila saudat ameteka roho yangu from kenya nipe pia likes🤗
@RehemaKitsao13 күн бұрын
Me nawapendea ivi Yan hamcheleweshangi move yenu good work ❤❤
@niyogushimadorine608613 күн бұрын
Leo niko wakalibu kwa kutok Burundi 🇧🇮 warundi wenzangu mukikuja nyuma tujuwane😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
@DesireNiyitunga
13 күн бұрын
Nataman nikufaham
@AmonIhangane13 күн бұрын
Baba Joan nakupenda kabisa Mutu mtulivu Kutoka kwenye filamu MWALIMU MUGENI kufika huku unanifunza sana ubalikiwe
@Tikijmlengo-rj8ed13 күн бұрын
imewai hii hadi laha🎉🎉🎉🎉
@user-oj2bd9td6r13 күн бұрын
Waouh🥰🥰🥰🥰💋💋💋💋🤗🤗hapo sasa baguer oyaa itok mupusi nafurahi sana tena sana❤❤❤❤
@MosesMakokha-tg4ki13 күн бұрын
Wow baba karoboo you are number one in Tanzania I respect you na MUNGU akupe hekima na maharifa ili tuweze kuburudika hivi Kila time 💪💪🌹
@AbdulMussakabagambe-qd6lv13 күн бұрын
Duh mama karobo wa michongo atakoma kwa sasa baba karobo anaona amesaidiwa na mzimu wa mke wake ambaye ni mama karobo origino💪💪💪💪👏👏👏👍👍👍👍
@SarahBimuloko13 күн бұрын
Mama kalobo original uyoooooo Safi sana mama karobe nipende mimi sasa nikuchungiye mwanaoo vizuri from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@joygitahi380913 күн бұрын
Watching from Berlin Germany, nawapenda sana.
@babutalemituno13 күн бұрын
Baba joan toa hata episode mbili mbili kwa sku maan unatukatishia utamu brother,,,,,,
@dondeprincer952713 күн бұрын
aaah kazi safi ila wakenya mnapenda likes😂😂am kenyan tho
@user-lz6jb3nr9d
13 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@user-hm6hy6rr1h13 күн бұрын
Baba kalobo uyo ajabadilika ni nyok uyo kua makin san
@user-fk4pd6bp7j13 күн бұрын
A la 1ere minute.kutoka 🇧🇮 like kwangu
@HadijaHuseni13 күн бұрын
Mhh ayo macho yama karobo Kama feniiiii❣️❤
@user-ii3rb6uj7g
17 сағат бұрын
😂😂😂𝐲𝐚𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐤𝐚 𝐛𝐥𝐚 𝐛𝐫𝐞𝐚𝐤
@user-ff9gr2ns1c13 күн бұрын
Mashallah mashallah ❤️ ♥️ 🇰🇪 🇰🇪
@vavavava-ed7lg13 күн бұрын
Ooooh God thank you kwa baba karobo kuona .tapfazalie usioneshe uyo mama wa roho cafu Kama umeona 🙄paka uyajuwe yote 🗣️Asante enjoy mama karabo🙏 nawapenda sana .from Rwanda 🙏
@GaidiBeuchi13 күн бұрын
Asante sana baba joan kwa job yko nzuri naomba mola akuzidishie
@BrianMulari13 күн бұрын
Safi sana movie inazidi kunoga episode 15 ije haraka bwana
@user-ex6tg6di7r13 күн бұрын
Baba Joan Mimi shabiki wako sugu , hongera sana Kwa kazi nzuri👏👏👏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@glorymanga365013 күн бұрын
Ngojaa niangalie kwanza movie
@ksaskaka13 күн бұрын
Niko nafuraha sna leo mamakarobo namponya baba karobo ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@user-zm8wo1ue7e13 күн бұрын
Zujati umebarikiwa maashaallah❤❤❤❤
@niyogushimadorine608613 күн бұрын
Nafurahi sana kwasababu baba kalobo amewona🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
@NzarokalamaNzarokalama13 күн бұрын
Mama karobo bandia Hana mpango kabisa 😢😢 sheeeeeenzi sana
@HassanBambaza13 күн бұрын
Namm nimewahi Leo jmn naomba like
@marietacristovao138713 күн бұрын
Kutoka mozambique nawafatilia vizuri,hongera bakarobo na team yako kwa jumla
@FrancoIndeche13 күн бұрын
Sad swahili movie .it make sense like pete ya ajabu .watching live from Nairobi kenya❤❤❤
@Pauline-25413 күн бұрын
Weee uku hope cjachelewa sana pia mm naomba likes
@constantinndayishimiyenshu494813 күн бұрын
Eeeeeeeeeeeeeeeee mnipe like kabisa kutoka Rwanda
@morjanoman518113 күн бұрын
Wawoooo Baba karobo umepona naomba muendelezo Niko. Oman. Nafurahia ninavyo angaria filam na tz
@cishamakejoseph13 күн бұрын
Amazing film rwanda we together
@esterester362813 күн бұрын
Whaaat!! Yani ndio tayari Baba Kalobo kapona macho😂😂😂😂nimefurahi sana😂😂❤
@NelcyAfrica13 күн бұрын
Mama karobo ni mbaya kiasi hicho aaaaah
@janemoraa847013 күн бұрын
Wow amazing baba karobo umeona mmmmh mungu ni mwema aki mama karobo amekusaidia sana ❤❤❤❤
@BrandinaAntony13 күн бұрын
Kazi nzuri sana
@user-fh5ko7he2z13 күн бұрын
Hatimae baba karobo anaona 😂😂😂😂 hongereni sana mama karobo sasa naona kitamramba na hizo plan zake za kumtesa baba karobo 😮😮😮😢
@aminakenyaa933713 күн бұрын
Sasa imefika mahali pazuri sana ..tunasubiri 15 🔥🔥🔥
@macrinafuraha-zg3mi13 күн бұрын
Woooow am so happy baba karobo kaona tena🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@sweetbabymwangi837313 күн бұрын
Afadhali sasa Baba Karobo anaona. Mama Karobo chuma chako ki motoni sasa. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@EmilykuvunaKonzi13 күн бұрын
Wow spirit ya mama karobo haikua na amani😢🎉🎉🎉❤
@belysenibitanga278613 күн бұрын
Woow naomb utupatie next episode,naomb uy mama karob asijue kam umepona
@user-lv6xv6nf5j12 күн бұрын
Waah Babajoan umenikosha na team yako kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
@MwanalimaAbdallahkea13 күн бұрын
Hivi nyie wendzangu hizi like mnazipeleka wap ebu mnipe na mm nione zitanifkisha wap 😂😂😂
@user-ii3rb6uj7g
17 сағат бұрын
𝐊𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐧𝐢𝐨𝐦𝐛𝐞 𝐥𝐢𝐤𝐞 𝐧𝐚𝐦𝐦😂😂😂
@MwanalimaAbdallahkea
13 сағат бұрын
@@user-ii3rb6uj7g 🤣🤣🤣🤣
@zainaburashidi812713 күн бұрын
Aya jamani nimewahi😅
@user-help04613 күн бұрын
😂😂😂😂😂nikali sana mama kalobo ww nakuchemusiea chai yako motoni likes please hapo❤❤
@DeguerreKanyoni10 күн бұрын
Hongela sana baba yake Karobo. Nafurahia kuona macho yako yanafanya kazi kama zamani. Nina shauku ya kuyiona next period
@RashidMgeni13 күн бұрын
Ooo, jmn Tasha aongea vizur huyu yahee,
@danieldemuriah688113 күн бұрын
Demuriah kutoka Kenya Nairobi jamani mvua leo imenifungia kazini lakini tuashukuru... Nimewai❤❤❤
@amarsaod659513 күн бұрын
Baaas imeanza kua fire❤❤❤❤❤❤❤mama karobo's ghost is back mashalla lets keep going❤❤❤🎉🎉🎉
@user-ps7ur8kw8h13 күн бұрын
Asante mama karobo qwa kujitokeza na kumponya mmeo ss bac nifanyie jambo uyo katili mpe uyo uwo upofu🙄😊
@MaryJoseph-d1i13 күн бұрын
Nimewahi like zangu na mm
@HassanSeif-mh6oh13 күн бұрын
Aka katoto nako kameamua apite humo humo 😂😂😂😂 kama noma na iwe noma 😂
@amisabakari126313 күн бұрын
Leo nimekua wakwanza jamani maajabu
@kenyasloughinggags155313 күн бұрын
Hata Mimi na comment nipe likes
@philipolugoma379613 күн бұрын
Baba joan unapendwa kweli na zujat balaa ila Zujat ni mzuri jamani sio siri
@delvinejeruto
12 күн бұрын
Ni ukweli zujat ana.mpenda baba karobo awachane na huyo shetan
@hghh605613 күн бұрын
Jamani hizi vitu twaeza amini kweli viko wakati mkeo kafa na ww uwe mngonjwa napiga mkeo aje kukutokezea up one kweli viko 🤔🤔mm nabaki kushangaa ila hii movie inanitia manjodzi saana aki wanawake kma mama karobo wa Sasa sio wanake wazuri🎉🎉❤❤ kazi nzuuri baba jone
@user-rk1uq3ht4z13 күн бұрын
Waooo jmn nice plz leteni haraka uwii imenogaje
@issakabezi13 күн бұрын
Nmefurah sana baa kaloobo kuonaa
@happygalahenga78213 күн бұрын
Wa ishirini na tatu 😀
@MashMashile13 күн бұрын
Kumewaka moto plzz harakisha n part 15 thank you so much baba❤
@JosephKatana-o5e13 күн бұрын
Hongera kwako kwa kaz nzur
@fatumakushonda427713 күн бұрын
Team strong tuko ndani km kitu nyengine😂😂😂😂😂
@user-pm8vd9ni9y13 күн бұрын
Yan mam karobo wew mbingun utapasikia tu mbwa wewe😢😢😢😢
@charityngumbao13 күн бұрын
Raha iliyoje baba kalobo kaona,wale walio kuwa wakitaman aone ili mwanawe apumuzimke mateso wako wapi❤
Пікірлер: 846
Wawooo nashukuru Sana baba karobo amepona watu mumefurahi kwakupona baba karobo munipe like
@janetkyumbe7154
13 күн бұрын
Aki final ameona sasa Wacha tuone Bora isiwe baba karobo anaota😂😂😂😂
@juliensango8504
13 күн бұрын
Aki tume furahi sana kabisa sana 😊
@emilymarcel8172
13 күн бұрын
Huyu atakua anaota@@janetkyumbe7154
@rukcabby2572
13 күн бұрын
@@janetkyumbe7154umeona pia ww😂😂
@user-kb1rq8dx1h
13 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅@@janetkyumbe7154
Ata kama wa 42 Léo nime Chelewa naombeni ata liké 10 nawapenda❤❤😂🎉 nyinyi nyote ongera baba karobo🎉 kwa movie zenu ❤🎉❤
@delvinejeruto
12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
wapenzi watazamaji Leo nimewahi mapema tu wapi like za baba Joan 🎉🎉
Hatimae baba kalobo kaona like kwake kwa waliofurahi baba kalobo kuona
@bintijumachongoa892
13 күн бұрын
kwel
@joelnyaga1985
13 күн бұрын
halafu ukute ilikuwa doto,😂
@maylucson001
13 күн бұрын
Na nindoto kweli bc😂
@LuciaBukula
13 күн бұрын
@@maylucson001 ndoto Tena jaman
@LuciaBukula
13 күн бұрын
@@joelnyaga1985 aaa nayo yawezekana ety
Number one kilifi kenya mpoooo nimefika kikambala ❤❤kazi safiiii mamakalobo anaupiga mwingi😂😂
@user-xl3gx3hw2p
13 күн бұрын
Like zangu ziko wapi💕🥰🥰🥰
@gastonerobert2026
13 күн бұрын
Mtwapa nko apa
mama karobo akona roho chafu jamani😢😢,nipeni likes jameni
@graffinamisi
9 күн бұрын
Like zikusaidie na nini jamani
@faithkalulu
9 күн бұрын
@@graffinamisi none of your business braza
@faithkalulu
9 күн бұрын
@@graffinamisi na sipendi uchokozi
@graffinamisi
9 күн бұрын
@@faithkalulu failure badala ya kutafuta kazi ya kufanya ww huko uku hunaomba like
@faithkalulu
9 күн бұрын
@@graffinamisi failure ni ww,nakuhurumia sana ady,nani amekwambia niko na aja na kazi..na kitu ingine na ya mwisho achana na comment yangu la sivyo utajua mm ni mkamba na siliagi macho mshezi ww ata auna maisha
Wa kumi na Nani kutoka Burundi Munigongeye like tumuoneshe upendo baba karobo ❤
@dorinenahimana9958
13 күн бұрын
😅😅
@jaycburundi257
13 күн бұрын
Unacheka nini dodo
Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa
@fredrickndangili8274
13 күн бұрын
Mie natokea Kenya naona uswahilini man warembo
@aliteezAhmed
13 күн бұрын
Kenya
@faithkemuma9113
13 күн бұрын
Apo n poa
@user-jv8cn9iz8v
13 күн бұрын
Tuko wengi hapa.
@josphatwanyeki8413
13 күн бұрын
Tupo hapa
Wa kwanza leo naomba likes hata kumi jamani
Dakika ya tatu naomben like jaman❤❤❤🎉
Weee mama kalobo roho mbaya natazama kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@KeristiStel
13 күн бұрын
Hi
@bridgetakuku6955
13 күн бұрын
Ako na roho mbaya sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JohnsonMwita-uz5dn
13 күн бұрын
Eeeeh mama kalobo ako na roho mbaya sana😂😂😂😂😂
@YusraSiyaleo-yk2fz
13 күн бұрын
Hivi huko kenya kaz za ndan wanaripa.shi ngap@@bridgetakuku6955
Baba yangu kipofu ❤❤❤so best i like from congo drc
Limama Karobo Fake nalichukia 😢😢😢 love from Burundi
@bridgetakuku6955
13 күн бұрын
Nalichukia sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Baba karobo leo nimefurahi sana,baba karobo amepoona kabisa,
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin
13 күн бұрын
Ni ndoto hiyo 😂😂
Woiyeee 😂 wapili kutoka Kenya naomba likes jameni,, ata kamoja😂
@user-xy4kt8wk6l
13 күн бұрын
❤❤❤
Burundi mimi wakwanza🇧🇮 munipe like zangu
Eebaneee wakwanza kutolz🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 egzo nzuli bro
Baba Joan film y mafundisho y maisha nakukubali sana
Eheeeee Maman Karobo Wakwel Asante Mungu Aposasa Nimwoto ❤❤❤🇧🇮 Zugati Umefikilia Mapenzi Ya Baba Karobo ❤❤❤
mashaAllah nimefurh kumuon baba karobo akion tena furah ya karobo😊😊😊😊😊
Woow Baba karobo amepona kweli mungu ni wa ajabu aaishe leteni engine haraka iwezekanavyo🎉🎉❤
Guys Nani amamkubali baba joan but uwaga analeta video nyuma sana tunakuwaga tumechoka kusubiri Ila good job ❤❤
@RoselineMulwa-qg4bn
13 күн бұрын
Leo wamewai jamani
Wow congratulations team kibanio nina imani watafanikiwa wow so nice wapi likes za baba karobo kaona congrats❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hata mm Leo nimejaribu like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Baba karobo kasha pona ❤
Wow nimewahi mapema ila saudat ameteka roho yangu from kenya nipe pia likes🤗
Me nawapendea ivi Yan hamcheleweshangi move yenu good work ❤❤
Leo niko wakalibu kwa kutok Burundi 🇧🇮 warundi wenzangu mukikuja nyuma tujuwane😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
@DesireNiyitunga
13 күн бұрын
Nataman nikufaham
Baba Joan nakupenda kabisa Mutu mtulivu Kutoka kwenye filamu MWALIMU MUGENI kufika huku unanifunza sana ubalikiwe
imewai hii hadi laha🎉🎉🎉🎉
Waouh🥰🥰🥰🥰💋💋💋💋🤗🤗hapo sasa baguer oyaa itok mupusi nafurahi sana tena sana❤❤❤❤
Wow baba karoboo you are number one in Tanzania I respect you na MUNGU akupe hekima na maharifa ili tuweze kuburudika hivi Kila time 💪💪🌹
Duh mama karobo wa michongo atakoma kwa sasa baba karobo anaona amesaidiwa na mzimu wa mke wake ambaye ni mama karobo origino💪💪💪💪👏👏👏👍👍👍👍
Mama kalobo original uyoooooo Safi sana mama karobe nipende mimi sasa nikuchungiye mwanaoo vizuri from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Watching from Berlin Germany, nawapenda sana.
Baba joan toa hata episode mbili mbili kwa sku maan unatukatishia utamu brother,,,,,,
aaah kazi safi ila wakenya mnapenda likes😂😂am kenyan tho
@user-lz6jb3nr9d
13 күн бұрын
😅😅😅😅😅
Baba kalobo uyo ajabadilika ni nyok uyo kua makin san
A la 1ere minute.kutoka 🇧🇮 like kwangu
Mhh ayo macho yama karobo Kama feniiiii❣️❤
@user-ii3rb6uj7g
17 сағат бұрын
😂😂😂𝐲𝐚𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐤𝐚 𝐛𝐥𝐚 𝐛𝐫𝐞𝐚𝐤
Mashallah mashallah ❤️ ♥️ 🇰🇪 🇰🇪
Ooooh God thank you kwa baba karobo kuona .tapfazalie usioneshe uyo mama wa roho cafu Kama umeona 🙄paka uyajuwe yote 🗣️Asante enjoy mama karabo🙏 nawapenda sana .from Rwanda 🙏
Asante sana baba joan kwa job yko nzuri naomba mola akuzidishie
Safi sana movie inazidi kunoga episode 15 ije haraka bwana
Baba Joan Mimi shabiki wako sugu , hongera sana Kwa kazi nzuri👏👏👏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ngojaa niangalie kwanza movie
Niko nafuraha sna leo mamakarobo namponya baba karobo ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Zujati umebarikiwa maashaallah❤❤❤❤
Nafurahi sana kwasababu baba kalobo amewona🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
Mama karobo bandia Hana mpango kabisa 😢😢 sheeeeeenzi sana
Namm nimewahi Leo jmn naomba like
Kutoka mozambique nawafatilia vizuri,hongera bakarobo na team yako kwa jumla
Sad swahili movie .it make sense like pete ya ajabu .watching live from Nairobi kenya❤❤❤
Weee uku hope cjachelewa sana pia mm naomba likes
Eeeeeeeeeeeeeeeee mnipe like kabisa kutoka Rwanda
Wawoooo Baba karobo umepona naomba muendelezo Niko. Oman. Nafurahia ninavyo angaria filam na tz
Amazing film rwanda we together
Whaaat!! Yani ndio tayari Baba Kalobo kapona macho😂😂😂😂nimefurahi sana😂😂❤
Mama karobo ni mbaya kiasi hicho aaaaah
Wow amazing baba karobo umeona mmmmh mungu ni mwema aki mama karobo amekusaidia sana ❤❤❤❤
Kazi nzuri sana
Hatimae baba karobo anaona 😂😂😂😂 hongereni sana mama karobo sasa naona kitamramba na hizo plan zake za kumtesa baba karobo 😮😮😮😢
Sasa imefika mahali pazuri sana ..tunasubiri 15 🔥🔥🔥
Woooow am so happy baba karobo kaona tena🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Afadhali sasa Baba Karobo anaona. Mama Karobo chuma chako ki motoni sasa. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wow spirit ya mama karobo haikua na amani😢🎉🎉🎉❤
Woow naomb utupatie next episode,naomb uy mama karob asijue kam umepona
Waah Babajoan umenikosha na team yako kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
Hivi nyie wendzangu hizi like mnazipeleka wap ebu mnipe na mm nione zitanifkisha wap 😂😂😂
@user-ii3rb6uj7g
17 сағат бұрын
𝐊𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐧𝐢𝐨𝐦𝐛𝐞 𝐥𝐢𝐤𝐞 𝐧𝐚𝐦𝐦😂😂😂
@MwanalimaAbdallahkea
13 сағат бұрын
@@user-ii3rb6uj7g 🤣🤣🤣🤣
Aya jamani nimewahi😅
😂😂😂😂😂nikali sana mama kalobo ww nakuchemusiea chai yako motoni likes please hapo❤❤
Hongela sana baba yake Karobo. Nafurahia kuona macho yako yanafanya kazi kama zamani. Nina shauku ya kuyiona next period
Ooo, jmn Tasha aongea vizur huyu yahee,
Demuriah kutoka Kenya Nairobi jamani mvua leo imenifungia kazini lakini tuashukuru... Nimewai❤❤❤
Baaas imeanza kua fire❤❤❤❤❤❤❤mama karobo's ghost is back mashalla lets keep going❤❤❤🎉🎉🎉
Asante mama karobo qwa kujitokeza na kumponya mmeo ss bac nifanyie jambo uyo katili mpe uyo uwo upofu🙄😊
Nimewahi like zangu na mm
Aka katoto nako kameamua apite humo humo 😂😂😂😂 kama noma na iwe noma 😂
Leo nimekua wakwanza jamani maajabu
Hata Mimi na comment nipe likes
Baba joan unapendwa kweli na zujat balaa ila Zujat ni mzuri jamani sio siri
@delvinejeruto
12 күн бұрын
Ni ukweli zujat ana.mpenda baba karobo awachane na huyo shetan
Jamani hizi vitu twaeza amini kweli viko wakati mkeo kafa na ww uwe mngonjwa napiga mkeo aje kukutokezea up one kweli viko 🤔🤔mm nabaki kushangaa ila hii movie inanitia manjodzi saana aki wanawake kma mama karobo wa Sasa sio wanake wazuri🎉🎉❤❤ kazi nzuuri baba jone
Waooo jmn nice plz leteni haraka uwii imenogaje
Nmefurah sana baa kaloobo kuonaa
Wa ishirini na tatu 😀
Kumewaka moto plzz harakisha n part 15 thank you so much baba❤
Hongera kwako kwa kaz nzur
Team strong tuko ndani km kitu nyengine😂😂😂😂😂
Yan mam karobo wew mbingun utapasikia tu mbwa wewe😢😢😢😢
Raha iliyoje baba kalobo kaona,wale walio kuwa wakitaman aone ili mwanawe apumuzimke mateso wako wapi❤
Really amazing....I like it
❤❤❤❤❤baba karobo kapona jamani kesho tena
Mama karobo akoswa amecheza poa
Jamani musijeharibu stori imalize mapema stori nzuri
Tunafurahi sana baba kalobo kupona mungu akubariki namwanaho kalobo
Good mama kalobo akoze neza
Mwanamke una roho mbaya wewe mungu amusamehe
Wowwwwww mungu nuwajabu baba karobo amewona
Natazama Toka Kenya napenda sana hiyo karobo anavopenda babake🎉🎉
Leo mimi wa pili 🤙🤙🤙
Naomba like zangu from Burundi ❤❤❤