DADA WA KAZI MCHAWI (full movie)

Комедия

Пікірлер: 210

  • @onedibonufeli1538
    @onedibonufeli15389 ай бұрын

    Jamani! Igizo nimetazama,msisimuko tosha,hata sina la kusema,ila tu kuwaombeeni msiishie katika kuigiza nguvu za Mungu,ila nguvu zake zidhihirike maishani mwenu na zaidi ya yote,murithi ufalme wa mbinguni. Kutoka Burundi,nawaenzi sana.

  • @KhamisAbduly-jv2lz

    @KhamisAbduly-jv2lz

    6 ай бұрын

    I'll p

  • @Bintluckas3918
    @Bintluckas391810 ай бұрын

    Mungu awabariki sana kwa movie nzur ya kutukumbusha kuwa na iman❤nakupenda Yesu

  • @robertmwandairo8629

    @robertmwandairo8629

    9 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @user-kz4wd7nr8l
    @user-kz4wd7nr8l9 ай бұрын

    ❤❤ , Mungu baba ndiye mweza wa yote daima tukiwa upande wake akuna lakutokea lililo baya ju yetu ,kazi nzuri.

  • @kondebouy1308
    @kondebouy130810 ай бұрын

    Amen hakuna mtu ako na nguvu zaidi ya mwenyezi mungu 🙏🙏🙏

  • @tangamwalimu514

    @tangamwalimu514

    Ай бұрын

    Nauliza Yesu ndie Mungu ama Mwenyezi Mungu ni mwengine.

  • @Faines-qj1nt
    @Faines-qj1nt2 ай бұрын

    Yesu ni wangu leo kesho hata jana ntamkimbilia yeye tu katika maisha yang nashukur pia kwa movie nzur iliyo ambata na imani ya mungu

  • @victorcephas3618
    @victorcephas361811 ай бұрын

    Mbarikiwe Kwa kazi nzuri Yesu Kristo anaokoa #JesusForLife

  • @Kingjoashwelding
    @Kingjoashwelding10 ай бұрын

    Yaaan hii ninzuli mno Mungu awabarikie kwakuafanya kazi hiii najua thawabu yenu ipo Mbingu kwakuwaelimisha watu Mbarikiwe sna

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu3 ай бұрын

    Hakuna linaloweza kuwa ngumu mbele za Mungu🙏🙏🙏pongezi sana kwa kazi nzuri❤❤❤

  • @queennyarieh3973
    @queennyarieh397310 ай бұрын

    Jamani 😢nauzunika sana nikimuona jinsi huyu mkaka anavomkumbuka mkewe na kuwa na kilio cha uzuni sana. 😢ila mungu kweli ni mwanaume 🥺 Tena mola hamuachi mja wake ❤. ASANTE 😫

  • @godlovepawa1921

    @godlovepawa1921

    9 ай бұрын

    Vip

  • @godlovepawa1921

    @godlovepawa1921

    9 ай бұрын

    Mambo

  • @user-zy9qg6si8v

    @user-zy9qg6si8v

    9 ай бұрын

    Habar❤❤

  • @FatumaUlaya

    @FatumaUlaya

    9 ай бұрын

    Pole yak

  • @user-eb3zt3wc4b
    @user-eb3zt3wc4b7 ай бұрын

    Aky kazi yko n nzuri sana baba joan.more ❤❤❤ guys

  • @jollymunezero4629
    @jollymunezero462911 ай бұрын

    Wawoooo very nic from Burundi i like so muche ❤❤❤❤ nipe like zangu please

  • @estherwanjiku3305
    @estherwanjiku330511 ай бұрын

    I like that faith indeed nothing impossible before our Lord and savior Jesus Christ 🙏

  • @HaikaMlay-lt9nd
    @HaikaMlay-lt9nd10 ай бұрын

    Maombi ni silaha kubwa sana asante mungu

  • @user-wy3oh2zd4s
    @user-wy3oh2zd4s10 ай бұрын

    Mungu was mbinguni Ni mwaminifu hajawahi mwacha mja wake shetani ha mamraka kwa maisha ya mtuamtumainiaye bwana

  • @user-ok9oq3rg5m
    @user-ok9oq3rg5m11 ай бұрын

    Pepo wameshidwa kwa jina l mungu ❤❤❤❤❤❤❤

  • @fredkiptoo-rq4tj
    @fredkiptoo-rq4tj9 ай бұрын

    Asante sana baba Joan kwa movie ii ya imani

  • @IsackaKiyalo-lv4jl
    @IsackaKiyalo-lv4jl10 ай бұрын

    Ee bwana wape watu Hawa kipwa zaidi kwa damu ya yesu kupitia movie hii

  • @user-hw1vd8qk1q
    @user-hw1vd8qk1q11 ай бұрын

    Nia safi hairongwi lisaa achana na mume wa watu tamaa mbaya unamtesa mwenzio kwa tamaa na hautafanikiwa utakavyo.

  • @user-oe9xv3sl2p
    @user-oe9xv3sl2p7 ай бұрын

    Congratulations ❤❤❤ more god is greater

  • @rosekendi-xd5wx
    @rosekendi-xd5wx9 ай бұрын

    Mungu lazima aibize madui zetu

  • @Masengesho267
    @Masengesho2672 ай бұрын

    Baba Joan ni Mwalimu Wa maisha kwli

  • @EverlynKenneth
    @EverlynKenneth10 ай бұрын

    Haleluya hatuna Kama mungu Daima, mbarikiwe sana

  • @Jenniferjuma-dj7ew
    @Jenniferjuma-dj7ew5 ай бұрын

    Safi sana 👏👏 baba joan

  • @user-ts2bt2wr3r
    @user-ts2bt2wr3r4 ай бұрын

    Aki mungu ndiyo mweza wa yote waaaah very painful movie

  • @charleslyimo8372
    @charleslyimo837210 ай бұрын

    Lsilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana Mwamini MUNGU leo

  • @amjedsalam2856
    @amjedsalam285610 ай бұрын

    God is the final say amen

  • @YoungsHilary-xd2ml
    @YoungsHilary-xd2ml10 ай бұрын

    Hongereni jaman kwa kumushirikisha Mungu

  • @BashiriMsoma-ly2su
    @BashiriMsoma-ly2su11 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤kizuri Kila na mwenzako me fine matokeo

  • @juliusmshenga7718
    @juliusmshenga77189 ай бұрын

    🎉congratulation baba joan

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis389311 ай бұрын

    Mungu ni mwaminifu

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is11 ай бұрын

    Lisa ujue mungu uko natamuokoa bibi ya boss😢😢

  • @Jacklinemwikali773
    @Jacklinemwikali77310 ай бұрын

    🙏 🙏 amen 🙏 hakuna silaha yeyote itakayotumwa kinyume chetu itakayofaulu

  • @jajakajaniri5813
    @jajakajaniri581311 ай бұрын

    Mungu Ni Mukubwa🙏🙏🙏🙏 Amen. Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @elizajackson7979

    @elizajackson7979

    6 ай бұрын

    Watu wanao jifanya wapole ni hatari but yesu ni kila kitu!

  • @SonierShindo
    @SonierShindoАй бұрын

    Wamwaminio mungu nizaidi yawashindi ktka christo yesu

  • @user-rq9kv9iq4m
    @user-rq9kv9iq4m10 ай бұрын

    God is everything

  • @LilianJulius-px9qh
    @LilianJulius-px9qh11 ай бұрын

    Mabinti wa kaz shkamoo ila Mungu anaweza yote

  • @OliveKavugho
    @OliveKavugho2 ай бұрын

    Aksante kwamchezo tumefurayi me tu mungu Ndiaye muweza wayote

  • @user-xu2fz1dd8j
    @user-xu2fz1dd8j9 ай бұрын

    Yes mungu nimushindi

  • @Franciskalume-fy4ox
    @Franciskalume-fy4ox5 ай бұрын

    Glory be to GOD. Endeleeni kumtukuza MUNGU

  • @user-fn6in4nd9l
    @user-fn6in4nd9lАй бұрын

    😮wow so Good like amen amen 🙏 ❤❤❤❤

  • @HajiKitego
    @HajiKitego10 ай бұрын

    Kazi nzuri sana

  • @merymahu4500
    @merymahu450010 ай бұрын

    Mungu ni mwema sana Hakuna wakumzidi Mungu

  • @hanibaishak2342
    @hanibaishak23428 ай бұрын

    Umejia kazi au kuchukuw mume wa watu

  • @fatumaphylian
    @fatumaphylian11 ай бұрын

    Shetani hana mamlaka yoyot 🙏🙏🙏

  • @Benardobey
    @Benardobey2 ай бұрын

    Kweli mungu anaokoa ukimwamini na hata kuomba.

  • @nancyg8664
    @nancyg86642 ай бұрын

    😂😂😂baba Joan kuigiza uhalisia uwezi. Hv kweli mfanyakazi anatoa mcheko huo nawewe upo karibu nae ndo kusema hujamsikia jmn

  • @christinearegai8092
    @christinearegai809210 ай бұрын

    Mwalimu mgeni iendelee please 🥺 from kenya sehemu ya kumi na tatu

  • @marthawanjiru6675
    @marthawanjiru66757 күн бұрын

    Glory be to God 🙏🙏🙏🙏❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @user-op7tg4wq2g
    @user-op7tg4wq2gАй бұрын

    Congratulations 🎊 baba joeli🎉🎉

  • @estaphone
    @estaphone11 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙌

  • @lucasmachibya6551
    @lucasmachibya65518 ай бұрын

    Nimesimamisha kazi zote kuitazam mov hii hakika nimeipenda

  • @carolkiptoo8703
    @carolkiptoo87036 ай бұрын

    Keep it up i love your work it teaches

  • @joyfullykilewa8992
    @joyfullykilewa89928 ай бұрын

    Ety unajua wakorintho sanaa aisee😂😂😂. Et nitajie miaka ya Yesu🙌🙌🙌

  • @monicahnjoroge5075
    @monicahnjoroge5075 Жыл бұрын

    Hiyo moving iko namadundizo zuri sana, I like it's ❤❤❤❤

  • @WanjjalaMwachinga
    @WanjjalaMwachinga22 күн бұрын

    Nguvu za Gizazitashindwa kwajina LA yesu.

  • @josemaxwelltheeactor2726
    @josemaxwelltheeactor272610 ай бұрын

    A nice of actually ❤❤❤from kenyaaaa

  • @ReallyBoy-dx4uv
    @ReallyBoy-dx4uvАй бұрын

    Movie nzuri ❤❤

  • @ombenurio211
    @ombenurio21110 ай бұрын

    Nimeipenda San hii

  • @Moseskutuku-69579
    @Moseskutuku-6957911 ай бұрын

    Nimeipenda sana😢😢😢

  • @jasminisharifu7446
    @jasminisharifu744611 ай бұрын

    Kaing'ang'ania hy wakorinto!!!😁

  • @user-xv7xh1ur6g
    @user-xv7xh1ur6g10 ай бұрын

    😂😂 mungu ninani haaa

  • @user-dk6gy8vt2e
    @user-dk6gy8vt2e10 ай бұрын

    Duh, utukufu kwa Mungu

  • @user-zg8lr7ur5k
    @user-zg8lr7ur5k8 ай бұрын

    Yaani baba joan wewe ni hatari sana kwa mambo ya sanaa

  • @SarahKalinga-qm9xt
    @SarahKalinga-qm9xt2 ай бұрын

    Hakika Mungu wetu ni muweza wa yote

  • @FRANKTIBYANGE
    @FRANKTIBYANGE11 ай бұрын

    Nimeipenda sana

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY365611 ай бұрын

    nice movie ❤❤❤

  • @MalobyaOdelo
    @MalobyaOdeloАй бұрын

    Jamani igizoninzuri mmetudanganya mdada wakazi atapata wapi mirion 15

  • @EsterGodson-dw8io
    @EsterGodson-dw8io10 ай бұрын

    Jamani hongereniiiii

  • @ElisanteMmbise-dx9ss
    @ElisanteMmbise-dx9ss8 ай бұрын

    Aisee ni nzuri sana hii sana sana

  • @user-mr9np5hs9r
    @user-mr9np5hs9r11 ай бұрын

    Amen shetani umeshindwa

  • @beatricecherotich6792
    @beatricecherotich679210 ай бұрын

    God is great

  • @MercySilvester
    @MercySilvester10 ай бұрын

    Mungu mwema Kila wakat❤❤❤❤

  • @JosephNdungu-gw8qy
    @JosephNdungu-gw8qyАй бұрын

    Hapa kenya tunakupenda sana

  • @naomihamisi1502
    @naomihamisi150210 ай бұрын

    Movie nzuri ya fundisha

  • @victorngombo9934
    @victorngombo993411 ай бұрын

    well acted part2 plse

  • @raelsimiyu3983
    @raelsimiyu398311 ай бұрын

    Mungu anawesa

  • @user-pg7ns4nm8t
    @user-pg7ns4nm8t27 күн бұрын

    Mungu anaweza yote

  • @user-jm4iv1gf1e
    @user-jm4iv1gf1e26 күн бұрын

    Tamaa mbaya

  • @husnaabdullah3009
    @husnaabdullah3009 Жыл бұрын

    Bado kabisa hamna uhalisia ila kazen kwenye kujifua ili mfane kitu kzr na mkiwa sirias

  • @emanuelichaula4292

    @emanuelichaula4292

    11 ай бұрын

    Duu kazi zuri

  • @SiwemaAmissi-yp4fh

    @SiwemaAmissi-yp4fh

    11 ай бұрын

    Thanks for the watch

  • @yamajina3475

    @yamajina3475

    6 ай бұрын

    Mbn wamefny kz nzr jmn hebu tuwapen sif zao

  • @officialhamiboykenya674
    @officialhamiboykenya67410 ай бұрын

    Nimependa hii movie🎉

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya65447 ай бұрын

    Glory to ALMIGHTY FATHER

  • @kiookimolo
    @kiookimolo10 ай бұрын

    Eee uchawi ni ujinga

  • @JuliusRyoba-er8bd
    @JuliusRyoba-er8bd10 ай бұрын

    Only pray God He will help you

  • @GHgh-hq3zj
    @GHgh-hq3zj10 ай бұрын

    Mungu nimwema

  • @user-dk6fh2cs4u
    @user-dk6fh2cs4u10 ай бұрын

    Nimepata ufunuo Kwa kweli

  • @SalomeMwadongo
    @SalomeMwadongo11 ай бұрын

    Mungu yupo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki10 ай бұрын

    Niatari ukimpenda boss wako kikubwa nimkutesa mkewe niatari kwakweli 😢

  • @ScolaChelsea
    @ScolaChelsea5 ай бұрын

    God is above everything

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo39388 ай бұрын

    AMEEEEN 🙏 hakuna linalomshinda MUNGU

  • @hilderchebet3898
    @hilderchebet389811 ай бұрын

    Thanks to God 🙏🙏🙏

  • @klovissergioklovis

    @klovissergioklovis

    10 ай бұрын

    Nikweli mwenyezi mungu ndiye mweza wayote

  • @AugustinoYonga
    @AugustinoYonga4 ай бұрын

    Nice 👍

  • @magrethmbaga1089
    @magrethmbaga108910 ай бұрын

    Ameen

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe40612 ай бұрын

    God is good

  • @glaxwelbuyali7652
    @glaxwelbuyali76529 ай бұрын

    Glory be to God always. Nice movie baba Joan

  • @user-fw3sb9it9q
    @user-fw3sb9it9q10 ай бұрын

    Asante Yesu

  • @user-oj2zp8yt3r
    @user-oj2zp8yt3r10 ай бұрын

    Good job

  • @savannamarshall9411
    @savannamarshall941110 ай бұрын

    God his good all the time

  • @elizabethkisawa3407

    @elizabethkisawa3407

    10 ай бұрын

    Mungu ametukuka ameheshimiwa Na amesifiwa.Amina.

  • @user-wk3jp6gc2v
    @user-wk3jp6gc2v10 ай бұрын

    Mungu no mkubwa sana

  • @FaustineCletus-sr5on
    @FaustineCletus-sr5on10 ай бұрын

    Glory to god

  • @kerrylazarus2024
    @kerrylazarus202411 ай бұрын

    Mungu ni mwema great lesson

Келесі