Келесі
- 27:15
- 55 М.
- 15:09
- 1,6 МЛН
- 00:26
- 64 МЛН
- 9 күн бұрын
- 39:19
- 6 МЛН
- 13 күн бұрын
- 00:36
- 4,5 МЛН
- 15 күн бұрын
- 00:58
- 4,9 МЛН
- 6 күн бұрын
- 16:01
- 590 М.
- 30:06
- 4,8 МЛН
- 1:09:03
- 537 М.
- 16:59
- 3,5 МЛН
- 1:37:31
- 471 М.
- 1:20:20
- 260 М.
- 3:35:14
- 1,4 МЛН
- 1:04:13
- 1 МЛН
- 0:19
- 5 МЛН
- 0:59
- 3,8 МЛН
- 0:56
- 2,1 МЛН
- 0:58
- 311 М.
Пікірлер: 210
Jamani! Igizo nimetazama,msisimuko tosha,hata sina la kusema,ila tu kuwaombeeni msiishie katika kuigiza nguvu za Mungu,ila nguvu zake zidhihirike maishani mwenu na zaidi ya yote,murithi ufalme wa mbinguni. Kutoka Burundi,nawaenzi sana.
@KhamisAbduly-jv2lz
6 ай бұрын
I'll p
Mungu awabariki sana kwa movie nzur ya kutukumbusha kuwa na iman❤nakupenda Yesu
@robertmwandairo8629
9 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
❤❤ , Mungu baba ndiye mweza wa yote daima tukiwa upande wake akuna lakutokea lililo baya ju yetu ,kazi nzuri.
Amen hakuna mtu ako na nguvu zaidi ya mwenyezi mungu 🙏🙏🙏
@tangamwalimu514
Ай бұрын
Nauliza Yesu ndie Mungu ama Mwenyezi Mungu ni mwengine.
Yesu ni wangu leo kesho hata jana ntamkimbilia yeye tu katika maisha yang nashukur pia kwa movie nzur iliyo ambata na imani ya mungu
Mbarikiwe Kwa kazi nzuri Yesu Kristo anaokoa #JesusForLife
Yaaan hii ninzuli mno Mungu awabarikie kwakuafanya kazi hiii najua thawabu yenu ipo Mbingu kwakuwaelimisha watu Mbarikiwe sna
Hakuna linaloweza kuwa ngumu mbele za Mungu🙏🙏🙏pongezi sana kwa kazi nzuri❤❤❤
Jamani 😢nauzunika sana nikimuona jinsi huyu mkaka anavomkumbuka mkewe na kuwa na kilio cha uzuni sana. 😢ila mungu kweli ni mwanaume 🥺 Tena mola hamuachi mja wake ❤. ASANTE 😫
@godlovepawa1921
9 ай бұрын
Vip
@godlovepawa1921
9 ай бұрын
Mambo
@user-zy9qg6si8v
9 ай бұрын
Habar❤❤
@FatumaUlaya
9 ай бұрын
Pole yak
Aky kazi yko n nzuri sana baba joan.more ❤❤❤ guys
Wawoooo very nic from Burundi i like so muche ❤❤❤❤ nipe like zangu please
I like that faith indeed nothing impossible before our Lord and savior Jesus Christ 🙏
Maombi ni silaha kubwa sana asante mungu
Mungu was mbinguni Ni mwaminifu hajawahi mwacha mja wake shetani ha mamraka kwa maisha ya mtuamtumainiaye bwana
Pepo wameshidwa kwa jina l mungu ❤❤❤❤❤❤❤
Asante sana baba Joan kwa movie ii ya imani
Ee bwana wape watu Hawa kipwa zaidi kwa damu ya yesu kupitia movie hii
Nia safi hairongwi lisaa achana na mume wa watu tamaa mbaya unamtesa mwenzio kwa tamaa na hautafanikiwa utakavyo.
Congratulations ❤❤❤ more god is greater
Mungu lazima aibize madui zetu
Baba Joan ni Mwalimu Wa maisha kwli
Haleluya hatuna Kama mungu Daima, mbarikiwe sana
Safi sana 👏👏 baba joan
Aki mungu ndiyo mweza wa yote waaaah very painful movie
Lsilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana Mwamini MUNGU leo
God is the final say amen
Hongereni jaman kwa kumushirikisha Mungu
❤❤❤❤❤kizuri Kila na mwenzako me fine matokeo
🎉congratulation baba joan
Mungu ni mwaminifu
Lisa ujue mungu uko natamuokoa bibi ya boss😢😢
🙏 🙏 amen 🙏 hakuna silaha yeyote itakayotumwa kinyume chetu itakayofaulu
Mungu Ni Mukubwa🙏🙏🙏🙏 Amen. Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@elizajackson7979
6 ай бұрын
Watu wanao jifanya wapole ni hatari but yesu ni kila kitu!
Wamwaminio mungu nizaidi yawashindi ktka christo yesu
God is everything
Mabinti wa kaz shkamoo ila Mungu anaweza yote
Aksante kwamchezo tumefurayi me tu mungu Ndiaye muweza wayote
Yes mungu nimushindi
Glory be to GOD. Endeleeni kumtukuza MUNGU
😮wow so Good like amen amen 🙏 ❤❤❤❤
Kazi nzuri sana
Mungu ni mwema sana Hakuna wakumzidi Mungu
Umejia kazi au kuchukuw mume wa watu
Shetani hana mamlaka yoyot 🙏🙏🙏
Kweli mungu anaokoa ukimwamini na hata kuomba.
😂😂😂baba Joan kuigiza uhalisia uwezi. Hv kweli mfanyakazi anatoa mcheko huo nawewe upo karibu nae ndo kusema hujamsikia jmn
Mwalimu mgeni iendelee please 🥺 from kenya sehemu ya kumi na tatu
Glory be to God 🙏🙏🙏🙏❤❤🇰🇪🇰🇪
Congratulations 🎊 baba joeli🎉🎉
Amen 🙏🙏🙏🙌
Nimesimamisha kazi zote kuitazam mov hii hakika nimeipenda
Keep it up i love your work it teaches
Ety unajua wakorintho sanaa aisee😂😂😂. Et nitajie miaka ya Yesu🙌🙌🙌
Hiyo moving iko namadundizo zuri sana, I like it's ❤❤❤❤
Nguvu za Gizazitashindwa kwajina LA yesu.
A nice of actually ❤❤❤from kenyaaaa
Movie nzuri ❤❤
Nimeipenda San hii
Nimeipenda sana😢😢😢
Kaing'ang'ania hy wakorinto!!!😁
😂😂 mungu ninani haaa
Duh, utukufu kwa Mungu
Yaani baba joan wewe ni hatari sana kwa mambo ya sanaa
Hakika Mungu wetu ni muweza wa yote
Nimeipenda sana
nice movie ❤❤❤
Jamani igizoninzuri mmetudanganya mdada wakazi atapata wapi mirion 15
Jamani hongereniiiii
Aisee ni nzuri sana hii sana sana
Amen shetani umeshindwa
God is great
Mungu mwema Kila wakat❤❤❤❤
Hapa kenya tunakupenda sana
Movie nzuri ya fundisha
well acted part2 plse
Mungu anawesa
Mungu anaweza yote
Tamaa mbaya
Bado kabisa hamna uhalisia ila kazen kwenye kujifua ili mfane kitu kzr na mkiwa sirias
@emanuelichaula4292
11 ай бұрын
Duu kazi zuri
@SiwemaAmissi-yp4fh
11 ай бұрын
Thanks for the watch
@yamajina3475
6 ай бұрын
Mbn wamefny kz nzr jmn hebu tuwapen sif zao
Nimependa hii movie🎉
Glory to ALMIGHTY FATHER
Eee uchawi ni ujinga
Only pray God He will help you
Mungu nimwema
Nimepata ufunuo Kwa kweli
Mungu yupo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Niatari ukimpenda boss wako kikubwa nimkutesa mkewe niatari kwakweli 😢
God is above everything
AMEEEEN 🙏 hakuna linalomshinda MUNGU
Thanks to God 🙏🙏🙏
@klovissergioklovis
10 ай бұрын
Nikweli mwenyezi mungu ndiye mweza wayote
Nice 👍
Ameen
God is good
Glory be to God always. Nice movie baba Joan
Asante Yesu
Good job
God his good all the time
@elizabethkisawa3407
10 ай бұрын
Mungu ametukuka ameheshimiwa Na amesifiwa.Amina.
Mungu no mkubwa sana
Glory to god
Mungu ni mwema great lesson