Huyu mama shetani kbx mama wa kambo x mama jaman nawachukia sana
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
INAUMIZA sana
@mwanaSalim-re4pn8 ай бұрын
Amecheza kialisia wallah uyu mma roho mbaya Yani we acha tu
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭🙏
@user-ph1kc7lr1v8 ай бұрын
Namim pia ameniliz😢🇦🇪
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Daah Yani huruma 😢 uyu mama jamani
@linahmacha3707 ай бұрын
Ee Mwenyezi Mungu utujalie wa mama wote maisha marefu tuwalee watoto wetu 😭😭😭
@Mdakuog8 ай бұрын
Uyu mama katili
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭
@DenGospels
Ай бұрын
Kweli
@user-bb1np6ln9l8 ай бұрын
Pole Sana mdogo wng umeniliza from 🇧🇮
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭 Ina huzinisha
@aflahabdula40848 ай бұрын
Sio wamama wote jamani msituchukie nimelea mtoto wa mume wangu sijawahi kumgusa nimekaa nae kuliko wanangu niliowazaa na yeye ananipenda sana sana sana kulikoni baba ake ambae ni mume wangu na yote nimefanya kwanza na muhofu allah na lapili kwa nini nimuonee mtoto mdogo hana hatia mimi mtu yoyote mwenye kumtesa mtoto na mchukia mama angu ameleya mtoto wa mumewe walipoachana mtoto hajataka kuondoka nyumbani kalelewa na siye anaenda kwao kutembea na kurudi tumuogopeni sana MMUNGU wanawake wenzangu tusiwe na roho za kwa nini huyu mtoto huwezi kujuwa kesho yake atakuwa nani na hatujui mwisho wetu tuthamini hawa ni watoto wetu ndio nguvu kazi ya baadae👏🏻👏🏻
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Sio wote wenye moyo kama wako wengine roho zao ndo kama hivi mwenyezi mungu akubariki sana kwa malezi mazuri❤️
@safiababu9266
7 ай бұрын
Yah sio wote Na Mungu akulipe mmy na yeye mtoto Allah amjalie akujue wewe nani kwa maana wee hao pia huwa wengi wao wana mitihani but Alhamdulillah utapata kwa Mungu
@sophiamaiga5623
7 ай бұрын
Hata wewe ni marehemu mtaraiwa kumbuka kuomba mama yake afe
Jamani mama wa jambo muwalee vyema watoto wa wenzenu
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Kabisa 😭
@user-zy6vl9rl9r8 ай бұрын
Kwa kweli ss wanawake tunajisahau kweli tujuwe yatatufika😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Kabisa 😭🙏
@user-st3wo7qi2v8 ай бұрын
Jaman 😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭
@user-ou9tf8zh2w8 ай бұрын
Mtoto anakipaji kikubwa sana kiufupi wote walicheza vizuri sana
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Shukrani sana 🙏
@user-su3np5vw4f8 ай бұрын
Jamani wanatezwa mama wa kambo si mama
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭😭
@user-gm9ci6ee7m2 ай бұрын
Aki si wote pole sana dogoo
@ubuyumediatz8 ай бұрын
Mtoto aendi shinda baba hajui
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭
@selinanimbodza29318 ай бұрын
Walai mtoto wa mwenzio mchukulie kama mtoto wako. Juu mungu halali jameni
@mariamfungamali
2 ай бұрын
Siyo wote
@nemahk23618 ай бұрын
Najikuta Nalia😢😢😢😢😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Jikaze mtoto kaniliza Huyu 😭
@selinanimbodza29318 ай бұрын
Waah uchungu wa mwana ajue ni mama 😭😭😭😭
@merryananias8 ай бұрын
Jaman we mam kua na uruma haujaenda reba hatakama ni moveee sio ivoooo😢😢😢😢😢😢😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@mwanaSalim-re4pn
8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣walai wewe
@user-oj7kd6jn7q
8 ай бұрын
True
@user-pl6et5uu6w
5 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@cathymwangi2490
2 ай бұрын
ak umeniliza 😭😭😭😭
@JosureMutisya3 күн бұрын
Wamama jameni aiii
@elizabethnzomo25178 ай бұрын
Hakuna mama wakambo mzuri hata siku moja mungu saindia watoto
@SHUNGURAPPER8 ай бұрын
GOOD IDEA
@user-nv4ox8co5w5 ай бұрын
Mama kambo ni mbaya sana.
@Maua-mj7pmАй бұрын
Jaman mm pia mama wa kambo niko na watoto 3 wa mume wangu lkn siez8 fanya watoto hivi mungu aninusuru na ili wallah wangu nawapenda sana
@latifabahati-rk5ev
Ай бұрын
Amin
@MicalOnzete
29 күн бұрын
Sio poa hvo Kwa sababu ni mbayw
@ERICKNJERU5 ай бұрын
Mama wa kambo bure kabisa 😂😂😂😂😂😂
@user-iv4ne4lp7r5 ай бұрын
Ntapambana na mwanang halelew na mama wa kambo
@Irenejelshom8 ай бұрын
Baraha
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@Irenejelshom
8 ай бұрын
Mmeua
@NaftariMapunda2 күн бұрын
Ila uyu mama ni noma anajua kuigiza
@user-do1ko3od3v8 ай бұрын
😢😢😢😢jmni ndio mna niliapa mwanangu ata nife stki alelewe n mke mwenza kher mamangu kma pia hyuko hri mpita njia 😢😢😢 mungu t
@user-eb4up7ke6g4 ай бұрын
hero kuwa na mama l love you mam so mush💯❣️💝💯💚💟
@CalebWasike-g1e9 күн бұрын
Jamani mungu asaidie uyu mtoto 🙏🙏🙏
@MariamJames-qn5gxАй бұрын
Huyo mwanamke mpumbafu sana
@user-iz4xn9rd8b5 ай бұрын
Mungu nakuomba uwabariki yatima maan si Kwa mateso hayo
@SemeniBaby-rj2he6 ай бұрын
Eeee mwenyez mungu nakuomba uniweke niwalee watt wangu hadi wafikie umri wa kujitafutia 🙏🙏🙏🙏 😢😢😢😢 sisi binadam tumeumbwa kwa kutofautiana sanaa dah 😢😢😢
@HusseinAdam-zn6iz8 ай бұрын
We mam umeza kwli
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭 Yani huruma sana
@harrietajiambo229
8 ай бұрын
Huyu tasa
@user-hm6hy6rr1h
Ай бұрын
Uyu hajaenda leb wallah lazim mung atamlan jaman daaa machoz yananitok
Waaa waenga hawakukosea kusema mama wakambo si mama...i feel the pain
@rukaka_jr45148 ай бұрын
Huyu mama mbona anareflect sura yake na tabia maana wenye sura mbaya usiombe akawa mama yako wa kambo 😂😂😂
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Kabisa yan
@user-yk7wh3or2r
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@HusseinNovatus
6 ай бұрын
Mm😂😂 nakmbuka mbali sana Kwan ata mm nimeyapitia mhhh jaman tuwe na roho za huruma
@khadijayusuf79688 ай бұрын
Hadi nimelia jaman
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Pole 😭😭
@khadijayusuf7968
8 ай бұрын
@@MOVIEMPYA Asante musichelewe mwendelezo basi
@KasimuJuma-co5wx3 ай бұрын
Mama wakambo twajua ndowarivyo
@Janeth-kv7pp3 күн бұрын
Mama wa kambo sio wote mimi mwenyew napenda mama wa kambo kuliko chochote
@user-gv9uk5bx3f6 ай бұрын
Mungu tusaidie ambao mama xetu wametagulia mbele xa haki🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@AngoreAngore4 ай бұрын
Kwa kweli mama wa kambo si mama
@SilviaMassawe3 күн бұрын
Jaman mama wa kambo nawaogopa sana😢😢
@user-mg9oq8dh8w8 ай бұрын
Mwana Muke mubaya Saaana, mama mtesi
@malandojames51517 ай бұрын
Mama wa kambo namchukia sana aise!!!
@user-uu2ij8bb3x6 ай бұрын
Siyo vizuri anavyokuwa Kigeugeu
@LovenessSifuni5 ай бұрын
Wewe mama Mungu akusamehetu mana m
@LeilaAdija11 күн бұрын
Pole Sana mdog ang umeniliza sana
@habilimediatv8 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭Aiseee aya mateso daah
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@ThomssKapep
5 ай бұрын
wanawake ni wauni sana hasa walio achika
@JacintaMapenzi25 күн бұрын
Waaaaah gai mungu amusaidie plz
@JudyJudy-ig4wl5 ай бұрын
Jaman wa mama wengine daa😮
@JacklineNassary23 күн бұрын
Daaah mama wakambo sio mama kweli
@dottokibiki89848 ай бұрын
Wanawake jamani!!!!!! Ajuaye ni Mungu
@user-bp3kp4on2r6 ай бұрын
So poa Yan daah
@ShakiraSuleimaniКүн бұрын
Yan huyu mam ana roho ya kishetan kabisa afai kuigwa katk jamii
@GasparMkude7 ай бұрын
Mama waka nimtu mubaya sana😅😅😅
@clubindangamico-yj7pp7 ай бұрын
Wamama kama hao watesi wawatoto hawastahili kusamehwa na mwenyezi Mungu kweli
@user-kl6rg4gw5g7 күн бұрын
Sura libayaaa kufa hutaki na mtumbo ule nyooooo we utakua na mrho mbaya kwel😏😏
@AdamAdinani-ic6tm5 ай бұрын
Mm nkibaini unamfanyia hvyo mwanangu nakuuwa
@priscakimburi-sl9ml7 ай бұрын
Waa maskin kumbe kweli mama wa kambo si mama 😭😭😭😭😭
@getrayakoyi91858 ай бұрын
Wewe mama una ujungu kweli na mtoto wa mwenzio
@user-pl6et5uu6w5 ай бұрын
Jaman mama wakambo ni mbay
@maryd15388 ай бұрын
Yaliza aki 😢😢😢❤❤
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Yani acha tu 😭
@user-kb2rm6sr3z7 ай бұрын
Weee mwanamke mungu upo Wewe gurue ww Kasia takataka Pepo ww
@LilianKisumbi3 ай бұрын
Jaman mama wa jambo wanaume muwe mnachunguza maisha ya watoto wenu jamaniiii
@Aminahlamranl420-hw2ie7 ай бұрын
Huy mam wa kambo sura yake kama roho yake mbaya
@GrolySilvano12 күн бұрын
Watu kama hawa siku ya mwisho hukumu yao ni kunyongwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@PatyEdo6 ай бұрын
Akika aiseee atari sanaa iyoo muv kam vp iyendeleeeee
@DenGospels
Ай бұрын
Kweli
@BoaziMfumbilwa7 ай бұрын
Pole can mtoto
@user-yf2cy2zs7d7 ай бұрын
Wewe mama Roho mbaya
@AmusedBassGuitar-bk7dm9 күн бұрын
Sura mbaya roho mbaya kufa hafi
@JemimahKago-nb9bp6 ай бұрын
Nimeyakataa haya maisha ya unyonge na pia mateso.Mungu nisaidie nisiwai tesa mtoto wa wenyewe au wetu.😂😂😂.
@SharonTumbuk6 ай бұрын
Waaah uchungu mno 😢😢
@FatumaHassan-vi5km5 ай бұрын
Usimfanyie ivo mtt was mwenzio uyui wakwako watalelewa na nani tuwapende watoto jaman inauma sanaa
@AgnesSeveline-tl8ry4 ай бұрын
Huyu mama ana roho mbaya jaman,dah!
@HadijaZabroni-pu1lt8 ай бұрын
Kweli nimeishiwa cha kusema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Ina huzinisha 😭
@charitykatuveemutheu8056
7 ай бұрын
Inaumiza sana 😭😭😭
@nakajohn9196
6 ай бұрын
Ww sema tu
@HappyRuharara
13 күн бұрын
Yani mpaka machoz yanatoka kateseka sana huyu kijana
@PriscilarKabibi2 ай бұрын
Cpoa aki
@user-bm1tg8vq3y6 ай бұрын
Jamani mwanamke huyu au mwanaume
@ZakinaZephania-kx5ol7 ай бұрын
Daah🥲🥲 hii sio movie haya watu wanaptia kabisa
@MarthaMarcko18 күн бұрын
Duuuh huyu mam anakizazi kweli
@jacklinemuthoni19186 ай бұрын
🤔Aki nimachungu😢😢
@IrankundaLiliane-ry9rd14 күн бұрын
Eehh Mama wa kambo mmi yamenikuta kusema ukweli😢😢
@LailiSaananАй бұрын
Mam katil sanaaaah jamn pol mdg ang
@ShakiraSuleimaniКүн бұрын
Yan huyu mam ana roho ya kishetan ka bisa afai kuigwa katk jamii
@khadijaseif3614Ай бұрын
😭😭😭😭😭 my mom mjalie maisha mema.amin
@user-qx3xs6zy3k4 ай бұрын
Lait WA nawake wange lijua fadhila zakumlea mtoto ambae siwake wallah huwez Hata mnyooshea kidole Yarab tuwezeshe kuwa wa mama Bora tuweze takase nafus zetu natuwe na tuwe wakufanya vitu Kwa kumuogopa Allah kwali inauma😢😢
@AlphonceNjegeremtack3 күн бұрын
Huyu mmama ata huruma hana
@shakiramshule3428 ай бұрын
Ni muvi lakini yapo
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@user-zc1nx8ve7w21 күн бұрын
Ndio maan anadela moja
@SaidiKongo7 ай бұрын
Ama kweli mama wakambo sio mama lkini Kila kitu kina mwisho
@user-sp1qi7xi9c8 ай бұрын
Mama sura mbaya roho mbaya jamani hunijui kesho mamangu
@user-vg4hw8rk6q5 ай бұрын
Ata mm ni liyabiya na mama kambo
@user-lh8mr7dz9g4 ай бұрын
Kweli nimeishiwa la kusema😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mola uturumia sisi
Пікірлер: 351
Daah uyu mtoto kaniliza
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Pole 😢
Hawa viumbe wanajiita mama w kambo nyoka sana
Huyu mama shetani kbx mama wa kambo x mama jaman nawachukia sana
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
INAUMIZA sana
Amecheza kialisia wallah uyu mma roho mbaya Yani we acha tu
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭🙏
Namim pia ameniliz😢🇦🇪
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Daah Yani huruma 😢 uyu mama jamani
Ee Mwenyezi Mungu utujalie wa mama wote maisha marefu tuwalee watoto wetu 😭😭😭
Uyu mama katili
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭
@DenGospels
Ай бұрын
Kweli
Pole Sana mdogo wng umeniliza from 🇧🇮
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭 Ina huzinisha
Sio wamama wote jamani msituchukie nimelea mtoto wa mume wangu sijawahi kumgusa nimekaa nae kuliko wanangu niliowazaa na yeye ananipenda sana sana sana kulikoni baba ake ambae ni mume wangu na yote nimefanya kwanza na muhofu allah na lapili kwa nini nimuonee mtoto mdogo hana hatia mimi mtu yoyote mwenye kumtesa mtoto na mchukia mama angu ameleya mtoto wa mumewe walipoachana mtoto hajataka kuondoka nyumbani kalelewa na siye anaenda kwao kutembea na kurudi tumuogopeni sana MMUNGU wanawake wenzangu tusiwe na roho za kwa nini huyu mtoto huwezi kujuwa kesho yake atakuwa nani na hatujui mwisho wetu tuthamini hawa ni watoto wetu ndio nguvu kazi ya baadae👏🏻👏🏻
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Sio wote wenye moyo kama wako wengine roho zao ndo kama hivi mwenyezi mungu akubariki sana kwa malezi mazuri❤️
@safiababu9266
7 ай бұрын
Yah sio wote Na Mungu akulipe mmy na yeye mtoto Allah amjalie akujue wewe nani kwa maana wee hao pia huwa wengi wao wana mitihani but Alhamdulillah utapata kwa Mungu
@sophiamaiga5623
7 ай бұрын
Hata wewe ni marehemu mtaraiwa kumbuka kuomba mama yake afe
@aflahabdula4084
5 ай бұрын
@@MOVIEMPYA Ameen yaraby
@DrLucas-gr5gs
5 ай бұрын
Aisee roho imeniuma huyu mtot mungu akubaliki wew mwenyw roh nzur❤
Niacheni jamani nimeshindwa KUANGALIA Hadi mwisho
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭😭
Mshenzi sana we mwanamke
😢 dah
@ubuyumediatz
8 ай бұрын
Imeniumiza sana
Nimelia sana Dah
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Pole
😭😭😭😭
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭😭🔥
Jamani mama wa jambo muwalee vyema watoto wa wenzenu
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Kabisa 😭
Kwa kweli ss wanawake tunajisahau kweli tujuwe yatatufika😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Kabisa 😭🙏
Jaman 😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭
Mtoto anakipaji kikubwa sana kiufupi wote walicheza vizuri sana
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Shukrani sana 🙏
Jamani wanatezwa mama wa kambo si mama
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭😭
Aki si wote pole sana dogoo
Mtoto aendi shinda baba hajui
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭
Walai mtoto wa mwenzio mchukulie kama mtoto wako. Juu mungu halali jameni
@mariamfungamali
2 ай бұрын
Siyo wote
Najikuta Nalia😢😢😢😢😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Jikaze mtoto kaniliza Huyu 😭
Waah uchungu wa mwana ajue ni mama 😭😭😭😭
Jaman we mam kua na uruma haujaenda reba hatakama ni moveee sio ivoooo😢😢😢😢😢😢😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@mwanaSalim-re4pn
8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣walai wewe
@user-oj7kd6jn7q
8 ай бұрын
True
@user-pl6et5uu6w
5 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@cathymwangi2490
2 ай бұрын
ak umeniliza 😭😭😭😭
Wamama jameni aiii
Hakuna mama wakambo mzuri hata siku moja mungu saindia watoto
GOOD IDEA
Mama kambo ni mbaya sana.
Jaman mm pia mama wa kambo niko na watoto 3 wa mume wangu lkn siez8 fanya watoto hivi mungu aninusuru na ili wallah wangu nawapenda sana
@latifabahati-rk5ev
Ай бұрын
Amin
@MicalOnzete
29 күн бұрын
Sio poa hvo Kwa sababu ni mbayw
Mama wa kambo bure kabisa 😂😂😂😂😂😂
Ntapambana na mwanang halelew na mama wa kambo
Baraha
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@Irenejelshom
8 ай бұрын
Mmeua
Ila uyu mama ni noma anajua kuigiza
😢😢😢😢jmni ndio mna niliapa mwanangu ata nife stki alelewe n mke mwenza kher mamangu kma pia hyuko hri mpita njia 😢😢😢 mungu t
hero kuwa na mama l love you mam so mush💯❣️💝💯💚💟
Jamani mungu asaidie uyu mtoto 🙏🙏🙏
Huyo mwanamke mpumbafu sana
Mungu nakuomba uwabariki yatima maan si Kwa mateso hayo
Eeee mwenyez mungu nakuomba uniweke niwalee watt wangu hadi wafikie umri wa kujitafutia 🙏🙏🙏🙏 😢😢😢😢 sisi binadam tumeumbwa kwa kutofautiana sanaa dah 😢😢😢
We mam umeza kwli
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭 Yani huruma sana
@harrietajiambo229
8 ай бұрын
Huyu tasa
@user-hm6hy6rr1h
Ай бұрын
Uyu hajaenda leb wallah lazim mung atamlan jaman daaa machoz yananitok
@HappyRuharara
13 күн бұрын
Hapana yawezekana amezaa ilatabiya yake sio zr hawez kukaa namtoto wakambo huyu dada
Mama una loo mbaya kama sura yako
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭😭
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Amuonei hata huruma
Waaa waenga hawakukosea kusema mama wakambo si mama...i feel the pain
Huyu mama mbona anareflect sura yake na tabia maana wenye sura mbaya usiombe akawa mama yako wa kambo 😂😂😂
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Kabisa yan
@user-yk7wh3or2r
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@HusseinNovatus
6 ай бұрын
Mm😂😂 nakmbuka mbali sana Kwan ata mm nimeyapitia mhhh jaman tuwe na roho za huruma
Hadi nimelia jaman
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Pole 😭😭
@khadijayusuf7968
8 ай бұрын
@@MOVIEMPYA Asante musichelewe mwendelezo basi
Mama wakambo twajua ndowarivyo
Mama wa kambo sio wote mimi mwenyew napenda mama wa kambo kuliko chochote
Mungu tusaidie ambao mama xetu wametagulia mbele xa haki🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwa kweli mama wa kambo si mama
Jaman mama wa kambo nawaogopa sana😢😢
Mwana Muke mubaya Saaana, mama mtesi
Mama wa kambo namchukia sana aise!!!
Siyo vizuri anavyokuwa Kigeugeu
Wewe mama Mungu akusamehetu mana m
Pole Sana mdog ang umeniliza sana
😭😭😭😭😭😭Aiseee aya mateso daah
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@ThomssKapep
5 ай бұрын
wanawake ni wauni sana hasa walio achika
Waaaaah gai mungu amusaidie plz
Jaman wa mama wengine daa😮
Daaah mama wakambo sio mama kweli
Wanawake jamani!!!!!! Ajuaye ni Mungu
So poa Yan daah
Yan huyu mam ana roho ya kishetan kabisa afai kuigwa katk jamii
Mama waka nimtu mubaya sana😅😅😅
Wamama kama hao watesi wawatoto hawastahili kusamehwa na mwenyezi Mungu kweli
Sura libayaaa kufa hutaki na mtumbo ule nyooooo we utakua na mrho mbaya kwel😏😏
Mm nkibaini unamfanyia hvyo mwanangu nakuuwa
Waa maskin kumbe kweli mama wa kambo si mama 😭😭😭😭😭
Wewe mama una ujungu kweli na mtoto wa mwenzio
Jaman mama wakambo ni mbay
Yaliza aki 😢😢😢❤❤
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Yani acha tu 😭
Weee mwanamke mungu upo Wewe gurue ww Kasia takataka Pepo ww
Jaman mama wa jambo wanaume muwe mnachunguza maisha ya watoto wenu jamaniiii
Huy mam wa kambo sura yake kama roho yake mbaya
Watu kama hawa siku ya mwisho hukumu yao ni kunyongwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Akika aiseee atari sanaa iyoo muv kam vp iyendeleeeee
@DenGospels
Ай бұрын
Kweli
Pole can mtoto
Wewe mama Roho mbaya
Sura mbaya roho mbaya kufa hafi
Nimeyakataa haya maisha ya unyonge na pia mateso.Mungu nisaidie nisiwai tesa mtoto wa wenyewe au wetu.😂😂😂.
Waaah uchungu mno 😢😢
Usimfanyie ivo mtt was mwenzio uyui wakwako watalelewa na nani tuwapende watoto jaman inauma sanaa
Huyu mama ana roho mbaya jaman,dah!
Kweli nimeishiwa cha kusema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Ina huzinisha 😭
@charitykatuveemutheu8056
7 ай бұрын
Inaumiza sana 😭😭😭
@nakajohn9196
6 ай бұрын
Ww sema tu
@HappyRuharara
13 күн бұрын
Yani mpaka machoz yanatoka kateseka sana huyu kijana
Cpoa aki
Jamani mwanamke huyu au mwanaume
Daah🥲🥲 hii sio movie haya watu wanaptia kabisa
Duuuh huyu mam anakizazi kweli
🤔Aki nimachungu😢😢
Eehh Mama wa kambo mmi yamenikuta kusema ukweli😢😢
Mam katil sanaaaah jamn pol mdg ang
Yan huyu mam ana roho ya kishetan ka bisa afai kuigwa katk jamii
😭😭😭😭😭 my mom mjalie maisha mema.amin
Lait WA nawake wange lijua fadhila zakumlea mtoto ambae siwake wallah huwez Hata mnyooshea kidole Yarab tuwezeshe kuwa wa mama Bora tuweze takase nafus zetu natuwe na tuwe wakufanya vitu Kwa kumuogopa Allah kwali inauma😢😢
Huyu mmama ata huruma hana
Ni muvi lakini yapo
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
Ndio maan anadela moja
Ama kweli mama wakambo sio mama lkini Kila kitu kina mwisho
Mama sura mbaya roho mbaya jamani hunijui kesho mamangu
Ata mm ni liyabiya na mama kambo
Kweli nimeishiwa la kusema😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mola uturumia sisi