Karibu kwenye channel ya Movie Mpya! Hapa ndipo unapoweza kufurahia Movie Nzuri na Tamthilia Zenye Ubora Na kuvutia.
Kila video ni ya kipekee na itakuacha na burudani ya kipekee. Jiunge nami kwenye safari hii ya kusisimua na bonyeza SUBSCRIBE ili usikose video mpya za kusisimua!"
Пікірлер
Mm ciezi achia bwana mtoto wangu mateso haya pooh
N uchungu ak
Na ni huyo tu atakaye kukusaidia,lakini wako watakua jambazi na wezi sugu.
Kweli kabsa
So kweli hat mm inaniuma san
Du looombay
So sad 😔 😢😢
Inaauma kweli jamn
Hii movie inakumbusha watu maisha yanayo nitokea na dada yangu uyumdongi, lakini ipo siku😢😢🎉
Mungu tusamehe sisi wajako umetuma viung viriny kamiri rakini atuvifanyii kauzi mungu tusamehe waja wako
Mmmh.jmn mwenzenu nmeshindwa kuyazuia machozi hatakama niloho mbaya hii sasa imezidi ndo wakoivyo kweli bac kama nihivyo kazi ipo
Du wamama tuwe nahuruma watoto hao hawana hatia jamani roho mbaya haijengi
Mungu amsaidie mtoto huyu😢
Gai so painful mtu awezi tesa wangu ivo walai
🎉muchawi mama wa kambo
Lakin I
Ll
Duuuh inauma jamani miezi tisa mama wakambo nipepo kamapepo wengine
Most women getting married to men who were already married before meeting with them although their first wives are late but had kid/kids together. Most of these kinds of wives are only good before they give birth to their own children. These women are so cruel to their fellow women's kids.
Mbn huyu mama mbaya Alf na roho mbaya duuuh, Mungu anisamehe bure
Eehh hyo mama n ngulusumu jamani
nice❤
Acha mungu akuonekanie
Najikita namwambia kula sasa jaman inauma
Saf
Dah inauma sana kunalakujivunza sanaaa
Cool❤❤❤❤❤
Wa mama tuacheni mateso
Daaah
Nzur jamani
🔥🔥🔥
Haa jamaa nalo linaiba hat uluma ilimama nalo making
Daah inaumiza san. Nakushauli ww ulie na mam tafadhali mwombee San maisha malefu🙏
Wazeeee mje muone kitu kipya
Pôle sana mudogo wangu
Jaman Bora ukatae kumlea
We shida ni BAYA 13:19
Huyu mshes anapatikana wapi anae mtesa huyu kijana nimuone tu
Unyamaa
Kali
Wengine Wana utu,Sio wote Ni nyoka
🔥🔥🔥🔥
🔥🔥
Mungu walinde wamama wote walee wtt wao
Mama wa kambo si mama
James apa mzee waknection
Ahaaaaa tecno mtamuuu
Nimeumiya sana jamani
Jaman tuwe na huruma akina mam
Nmeumia mungu saidia yatima