MAMA WA KAMBO
Комедия
#bhailam #Khairat#comedyplus#2023#
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Karibu kujiunga na group letu la What's app
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/IHI6QLyLTz0...
Пікірлер: 183
Karibu kujiunga na group letu la What's app BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/IHI6QLyLTz0JRP4QfAeZCJ
@nclaud.n9101
Жыл бұрын
Wageni tunaruhusiwa kujiunga?? Au ni watanzania tu 🤔🤔🤔
@ComedyPlustz
Жыл бұрын
@@nclaud.n9101 watu wote
@sophiaramadhan-bl6wo
Жыл бұрын
muache kulegeza watoto
@esterkimalio8846
Жыл бұрын
Mmeweka link ya group la whtsp mbona haifunguki
@BedasonSanga
4 ай бұрын
@@nclaud.n9101 😂😂😢😮😅
Enyi wapenzi wa Bailam munaofurahishwa na uigizaji wake mzuri na kazi nzuri anayoifanya leteni likes zenu hapa. Kaka yetu Bailam, wewe ni kipenzi chetu hakika. Mungu akupe maisha marefu na hekima.
@alicenice1711
Жыл бұрын
Tupooo
@reinatave780
Жыл бұрын
Anajua kuufanyia kaz uhusika
@MBINGATV
Жыл бұрын
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
@RebeccaMuhimba-be1pj
Жыл бұрын
Nawapenda bure fanyeni mpango mtoe SRS
Mtoto Mtihn kwel Mungu atuepushie InshAllah
Anaweza sanaa
Mtoto hatari sana huyu eee watoto wa kambo yaani ukikumbana na kuishi a watoto wakambo kikubwa ni kumuomba mungu mno
Wanaume muwe mnachunguza kabla ya kufanya maamuzi
Pole mdogo wangu mama wa kambu wana mambo lakini na watoto muwe na heshima
@neemamzande8547
Жыл бұрын
Eti mama wa kambu 🤣🤣🤣🤣🤣
@MwanamisiMohammed-uf9pi
11 күн бұрын
@@neemamzande8547 umeona eeeh mama w kambu 😂😂😂
Njamani munapaje machozi. Mungu awabariki. 😚
Ongea baba km vipi mpe mama mzazi wa mtoto ajilelee
Hawa watoto wa kambo ni Wa kuishi nao Kwa akili sana huwa wanajua kuchonganisha sana
@upendokinemela1381
Жыл бұрын
]00s
Nafurahi sana Nawa fata toka kongo
Mtoto anajua kulia adi ameniliza mashallhhh mashallhhh mashallhhh 🥰🥰🥰❤️❤️❤️ kazi nzuri bailam
@Happy-jc2ms
8 ай бұрын
Jaman😢😢😢😢😢
Nawapenda sana ♥️♥️
Pole sana mtoi mungu hata kutetea
Fanyeni mtoe kabisa movie kamili mnakipaji sana
Bhailam anakaa serious na kaz yke nkupend San from 🇰🇪🇰🇪
Wow filamu nzur 💞🥰ila khayrat mamaa umefura bichwa
@MBINGATV
Жыл бұрын
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
Bba mbon unaongea makavut kumb unakuag mukali🤣🤣🤣
Mmmmh huyu mtoto anafanana na bairam sijui ni mwanae kweli??
Mungu abariki ndoa zetu
Tuombee asante kwasababu tunajifunza vingii
Tanzania ni nchi muhimu sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 watanzania mbarikiwe🙏🏿
Hahaaaaa kumbe imesukwa
Ni kweli mama huyu anafanya vibaya lakini malipo ni hapa hapa duniani akuna kwingine😢😢😢😢❤❤❤❤😢😢
Khairat ntafadhali Usijaribu Hata Siku moja kuwa Kama Ivo mpenzi wangu
Huyu mwamba anajua sana sio siri
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mamakhairat anichekesha na macho yako machozi hayatoki 🤣🤣🤣👌👌👌🥰🥰🥰
Mtt wamwezio niwamwezio tu ata ufanye jema gan bado utaonekana mbaya duuh
Kaka basi umeua hii..... Mbwa Micky Msukuma hapa 😂
@zainabhemedy4934
Жыл бұрын
Hello
@mickymsukuma138
Жыл бұрын
Yes!!!
Yan m sna mda wakujbizana Na mtoto wa mtu yan naamka nafanya kila kitu atajua mwenyewe Na babaake
Jaman mungu anakuona we mtoto
Baba bora kabisa
Hailati mtoto mzuri
Jmn na part 2 iwep
Wewe...wewe...👉👉😂😂😂💪🇰🇪
Nampenda baba lailati namba ake plz😊
Nikimtizama bailam namuona km mrithi wa Steven Charles kanumba
Sometimes wajuba tunafeli sana daaah
❤kweli ninzuri
Amakuru mashya
Kip up
Iyo nifundisho kwa wote
Huyu hailati sidhani ni mtu mzuri,kwa maisha ya kawaida naona ni mbaya tu anavyoigiza.
@sophsoph4400
Жыл бұрын
Kwanini umesema ivo
@chikaleyangwe2200
Жыл бұрын
unamaanisha nn?
@lindauma982
Жыл бұрын
Jamani hyo ni kuigiza sasa yy anacheza hyo part ya watto wakusukumbua sio vile unafikiria
@chebetngerechi7289
Жыл бұрын
@@sophsoph4400 sijaona video yake hata moja mzuri,,yeye kama si mchawi,,utapata akiwa mtoto mtundu,..ila natumai ni igizo tu.
@chebetngerechi7289
Жыл бұрын
@@chikaleyangwe2200 siku zote mtu ujua kuigiza tabia anayoifahamu or she has been through a lot in her real life.i hope she is not a bad girl.they should try to change her role.
Very nice
Part 2 please iko poa sana
Watoto wengine ni maponza hu po nzea licha mama was kambo hata mama mzazi baba Utauponza.
Mtoto wa Kambo Ata umpe ni utaniwa unamtesa too
Daaa mbaba huyu kwenye matusi ha jambo apunguze matusi
Maendeleo mazuri ❤
Nimeipenda sana hii movie maana wanaume hudhani mama wa kambo wote ni sawa. Ila kwa atakaetizama hii movie kwa mazingatio atasoma kotu
@Happy-jc2ms
8 ай бұрын
Wooooo ninzuri sana❤❤❤❤❤
I like you bailum.....from Kenya
@MBINGATV
Жыл бұрын
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
We matako
Bhailam uko swa lakini usitusi mbele ya mtoto Hua wamfunza mabaya
Akh stepmothers God is watching
Kenya loves tz comedies sana
@Wankiba
Жыл бұрын
Safi bc
@MBINGATV
Жыл бұрын
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
Bailam 🙏
❤🎉😂❤😊
Yaan talaka mpaka wazazi sio 😄 🤣 😂
@patrickmbaji2737
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂yaone nww
Daah watoto aw 🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰
Wooohh this is so amazing...it's too short film but it has great teachings. Touches my heart....keep it up people you've done great job👍
@MBINGATV
Жыл бұрын
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
🇧🇮🤝🤝🤝🇧🇮
nakubar filam zenu kulio hata bongo move, wanamashauzi mengi kazi mbovu, mara waige Nigeria mara kongo, uzungu mungi ujumbe zero
nice movies
since I started watching this comedy. it’s get sense. good job
@MBINGATV
Жыл бұрын
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
je ume jifunza nini katika igizo hili? ( enyi mlio amini ,ikikujieni habari kutoka kwa mtu ichunguzeni msije kufanya mambo kwa ujinga kisha mkaja kujutia kwa mlio yafany)
Nimeipenda sana❤❤
The tears of this baby girl will follow this mother
Hii kazi iko poa sana, lakini inaweza ikaleta mgogoro Kwa kutumia soundtrack ya TAUSI, tuwe Origin.
Mwendelezo jamani
Nc😍😍😍😍😍
Hufai kumtusi mwanamke wako mbele ya mtoto maana mwana hatakua na heshima hata kidogo,,,wanaume jifunze hilo.
Huyu mtoto namnona ndani mwanangu kbx ukawushi wot ni yéyé. Wanawume muw munacunguza ngambo zot . Nawapnda watanzania . Kwa film mungali number one
Nimekuwa wa 9
Khayrath mwenzangu ❣️
@shufaamushil8886
Жыл бұрын
Ucwe tu na akili kama zake
Jaman wanaume mnakazi
Hapo kwa kumtukana mama mbele ya mwanae ndio umeharibu kabisa, limit ni muhimu
@sjfamily8121
Жыл бұрын
Wanaigiza lakini sio really
@alicelove710
Жыл бұрын
Kweil I didn’t like that limit
@martinmuthii1900
Жыл бұрын
Sio wao Kuna wanaume wanamna hio
@kettymaggie5202
Жыл бұрын
Ayo ni maigizo sio kwel
You guys need to go for television series, you do a very great job, i had the same case,but God is faithful i didn't kicked out my current wife. This video clip has really reminded my daughter Naomi. For this inspiring and memorable clip you've earned my subscription🙏❤️❤️
@ComedyPlustz
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@MBINGATV
Жыл бұрын
AFANDE CHUMVINI, with English subtitle
Daah co pw
Ila wee mtt Mungu anakuona
@rogerabdallah439
Жыл бұрын
Usiseme ivyo maigizo tu
Jamani hawa watoto narudia hawa watoto watu wawe makini tu mnaeza kugombanishwa adi basi
Tamu sana
Hailaty unaboa
Huyu mbona kama mwanae kweli
Khailati fanya urudi tule vyuma
Pole ❤❤❤❤
Sisi wamama jaman
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞👌👌👌👌👌👌
Dieumerci
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩✊✊
Next video
Upuuzi huo. Nani anaambianga mtoto mambo kama hayo kuhusu mamake????? Mbwa nyinyi
Daaa Mungu kwanza
🤣🤣🤣🤣
Hapo sasa unakosea kumtusi
Da,yamenikuta mm yaan cna ham kabsa,jman watoto wa kambo hawafai ata kuish nao
As
@modikojakoja1474
Жыл бұрын
Mtoto mwa mkeo mwanoa na WA mumeo mwanao ila mama huyu amezidi ,
Jaman mukilkosane mume na muke sawa so kuo ama kuolewa sawa mukae chini solve the broblem
safi😅😅
Wewe baba nawe huchunguzi kwanza