MR MONEY_EP 01

#mzeelikoma#mrmoney#kpnazebuu

Пікірлер: 741

  • @AnithaStiven
    @AnithaStiven23 күн бұрын

    Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢

  • @rozeyousef9823

    @rozeyousef9823

    23 күн бұрын

    Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊

  • @christinamethod2364

    @christinamethod2364

    23 күн бұрын

    Muwe mnaniita mapema😁

  • @AmosBudoya

    @AmosBudoya

    23 күн бұрын

    Kabisa jaman let's support likoma

  • @josephluomba8807

    @josephluomba8807

    22 күн бұрын

    Hatukuwa tiyari 😅😅😅

  • @user-sc7sn6ux2v

    @user-sc7sn6ux2v

    20 күн бұрын

    together

  • @NipherKwamboka
    @NipherKwamboka23 күн бұрын

    Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    23 күн бұрын

    Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂

  • @purityneema218

    @purityneema218

    23 күн бұрын

    Kufa tena ?😂😂

  • @PendoRobert-ph6ux

    @PendoRobert-ph6ux

    23 күн бұрын

    Umekufa namba 5😂😂😂😂

  • @Laxy_Talent

    @Laxy_Talent

    23 күн бұрын

    aya bwn

  • @PoliceNdizeye-rt2ml

    @PoliceNdizeye-rt2ml

    23 күн бұрын

    Musalimie yesu 😂😂😂

  • @user-sy9cu5ef5q
    @user-sy9cu5ef5q23 күн бұрын

    Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪

  • @OUTLAWDRILLERS
    @OUTLAWDRILLERS23 күн бұрын

    Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu

  • @user-ex6tg6di7r
    @user-ex6tg6di7r23 күн бұрын

    Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan637823 күн бұрын

    Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move

  • @SamuelAloo-qv3kg
    @SamuelAloo-qv3kg23 күн бұрын

    Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪

  • @WardaMohhamed-xx9mv

    @WardaMohhamed-xx9mv

    6 күн бұрын

    Nimeipendasana

  • @JohariJohari-rv5js
    @JohariJohari-rv5js23 күн бұрын

    Nguo zashule zimewapendeza

  • @modostar
    @modostar23 күн бұрын

    Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi

  • @Therapist_kicha

    @Therapist_kicha

    14 күн бұрын

    Why message kama hii huwa hawaijibuu

  • @nasorohusein-uz4hv
    @nasorohusein-uz4hv23 күн бұрын

    Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa

  • @tobiaschirwa9364
    @tobiaschirwa936423 күн бұрын

    Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤

  • @MauaroseMauarose
    @MauaroseMauarose23 күн бұрын

    Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma

  • @bakariomari6735

    @bakariomari6735

    7 күн бұрын

    Kwann likuume❤

  • @ShanBaby-dy4db
    @ShanBaby-dy4db23 күн бұрын

    Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤

  • @yohanemwanzalima2777
    @yohanemwanzalima277723 күн бұрын

    Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga23 күн бұрын

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo

  • @madymag6926
    @madymag692623 күн бұрын

    Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂

  • @JanetSanga-b6p
    @JanetSanga-b6p23 күн бұрын

    Kazi nzuri nawapenda nyote

  • @lucyrif-np8ik
    @lucyrif-np8ik23 күн бұрын

    Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ruth1377
    @ruth137722 күн бұрын

    Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯

  • @ZitoAntonioNhanga-ms6uj
    @ZitoAntonioNhanga-ms6uj23 күн бұрын

    Nampenda sana mze likoma❤

  • @user-xd8qy1cx2b
    @user-xd8qy1cx2b23 күн бұрын

    Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪

  • @simbeyrugata8745
    @simbeyrugata874523 күн бұрын

    The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma

  • @MarcygloriaIbrahim
    @MarcygloriaIbrahim23 күн бұрын

    Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤

  • @UchebeUchebe-h3w

    @UchebeUchebe-h3w

    21 күн бұрын

    Vp

  • @BaroJunio

    @BaroJunio

    10 күн бұрын

    Mdada

  • @jacksonminani9782
    @jacksonminani978223 күн бұрын

    Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi

  • @joycemaregesi18

    @joycemaregesi18

    23 күн бұрын

    Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮

  • @mary-lx3hr

    @mary-lx3hr

    23 күн бұрын

    😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap

  • @joycemaregesi18

    @joycemaregesi18

    23 күн бұрын

    @@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏

  • @jacklinefatma6263

    @jacklinefatma6263

    19 күн бұрын

    ​@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn

  • @joycemaregesi18

    @joycemaregesi18

    19 күн бұрын

    @@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi

  • @user-dy2zp2iw6z
    @user-dy2zp2iw6z23 күн бұрын

    Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂

  • @user-yg7dy8ls9e

    @user-yg7dy8ls9e

    9 күн бұрын

    😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa

  • @EdwardTz.
    @EdwardTz.23 күн бұрын

    Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤

  • @user-md2ct5fl7h
    @user-md2ct5fl7h23 күн бұрын

    Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana

  • @LinetOpio-uj2eb
    @LinetOpio-uj2eb20 күн бұрын

    😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆

  • @johnfilbert5915
    @johnfilbert591523 күн бұрын

    Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c23 күн бұрын

    Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @FaithAdela
    @FaithAdela4 күн бұрын

    Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu

  • @user-op7tg4wq2g
    @user-op7tg4wq2g22 күн бұрын

    Nakubali wapi like za mzee likoma

  • @EdalyDaud

    @EdalyDaud

    19 күн бұрын

    Dog sele

  • @user-dt9uc7wj1y
    @user-dt9uc7wj1y21 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤

  • @Asia-dq3rt
    @Asia-dq3rt23 күн бұрын

    Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂

  • @user-lf5ud8vb5j
    @user-lf5ud8vb5j23 күн бұрын

    Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma

  • @user-rl5zb1jc9k
    @user-rl5zb1jc9k23 күн бұрын

    Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘

  • @MaryamSafi-vm6or
    @MaryamSafi-vm6or23 күн бұрын

    Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri

  • @PedrocesarmsuyaMsuya-k9p
    @PedrocesarmsuyaMsuya-k9p23 күн бұрын

    Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤

  • @janethmshahara4048
    @janethmshahara404820 күн бұрын

    Hahhaha mawanafunzi majinga sana😂😂😂😂😂😂😂

  • @agapitshayo-cy7vy
    @agapitshayo-cy7vy23 күн бұрын

    Sijachelewa big up likoma

  • @user-gg5ed4wt2v
    @user-gg5ed4wt2v23 күн бұрын

    Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤

  • @GentilKakule-rd2pz
    @GentilKakule-rd2pz23 күн бұрын

    Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂

  • @juliusshauri4498
    @juliusshauri449818 күн бұрын

    Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma

  • @ThumahSalush
    @ThumahSalush8 күн бұрын

    Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa

  • @user-jd9jb3ri4u
    @user-jd9jb3ri4u23 күн бұрын

    Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍

  • @maimunarajab6826
    @maimunarajab682621 күн бұрын

    Mzee likoma daah unanifurahisha kweli😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-zo8lz3wm7n
    @user-zo8lz3wm7n23 күн бұрын

    😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign41562 күн бұрын

    Likoma ume perform vzur ktk senior yko good

  • @paulinekombe3753
    @paulinekombe375322 күн бұрын

    Kazi safi sana mzee likoma🎉🎉

  • @AbdulBushiri-b6o
    @AbdulBushiri-b6oКүн бұрын

    Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g20 күн бұрын

    Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂

  • @CarolinePeter-gc8fp
    @CarolinePeter-gc8fp22 күн бұрын

    Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys

  • @user-zw7nz4nh6d
    @user-zw7nz4nh6d12 күн бұрын

    Mashabaki wa kp tumo❤❤ likoma tuko pamoja🎉🎉😂 kwanza hongera kwa likoma

  • @NAOMICOM-my4ql
    @NAOMICOM-my4ql23 күн бұрын

    Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent348318 күн бұрын

    Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝

  • @zainzain1163
    @zainzain116322 күн бұрын

    Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri

  • @metrinenyakoe1764
    @metrinenyakoe176419 күн бұрын

    Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪

  • @zawadichengokatana4750
    @zawadichengokatana475022 күн бұрын

    Mzee likoma umeua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeyatimba

  • @EstherwakioWukanda
    @EstherwakioWukanda21 күн бұрын

    😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤

  • @user-xm4uu7he9c
    @user-xm4uu7he9c23 күн бұрын

    Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤

  • @gershomchallo
    @gershomchallo17 күн бұрын

    Likoma upo juuuuu saaaana ❤️

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g23 күн бұрын

    ❤❤❤ kazi nzuri sana 👍🔥🔥

  • @BrayMark-d3z
    @BrayMark-d3z20 күн бұрын

    Tupe hii baba achana na plan b

  • @user-bc5zw3jn2x
    @user-bc5zw3jn2x19 күн бұрын

    Jamani Mzee likoma ayo majibu yako tuh 😂😂😂Sina usemi

  • @user-dv2wl3gh4n
    @user-dv2wl3gh4n23 күн бұрын

    😂😂 mkiwa pamoja nina imani itanoka nawapenda sana

  • @brenduemmanuel7540
    @brenduemmanuel754016 күн бұрын

    Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen

  • @AnoriteMungusa
    @AnoriteMungusa23 күн бұрын

    Nawakubali sana ❤💪

  • @GentilKakule-rd2pz
    @GentilKakule-rd2pz23 күн бұрын

    Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe15 күн бұрын

    Mwendo wa Rikoma unanivunjaga mbavu😂😂😂🇧🇮🇧🇮🥰🥰

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez21 күн бұрын

    Wow nimeipenda nzuri sana Kp na zebuu mmpendeza sana❤❤ aaaa had raha nawapenda nyote 😅😅😅😅🎉❤

  • @JemaMsule
    @JemaMsule23 күн бұрын

    🎉🎉🎉kazi kazi jaman

  • @MomoDarucy-tw2ti
    @MomoDarucy-tw2ti23 күн бұрын

    Heeeh Mzee likoma umenunua hadi kitambi😂

  • @MorkidTz
    @MorkidTz23 күн бұрын

    Likoma shamban leooo Hiii Iko vipi wadau

  • @AmosBudoya
    @AmosBudoya23 күн бұрын

    Hongera sana likoma nakuona mbali san kaka

  • @isabellahchuma
    @isabellahchuma18 күн бұрын

    Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g20 күн бұрын

    Zebuu jamani hilo fuko😂😂😂🙌🥰

  • @tommroverdose1242
    @tommroverdose124223 күн бұрын

    mzeee likoma ana vituko kweli nampenda lakn bona ukorome

  • @MalakiKapesa
    @MalakiKapesa3 күн бұрын

    Kazi nzr Sana likoma nakubali sana

  • @FatumahUbwa
    @FatumahUbwa19 күн бұрын

    Nawapenda mno jmn yaan mnajua afu mnajua tena❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @philohmutua2968
    @philohmutua296822 күн бұрын

    Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai

  • @janepaul-pu3ds
    @janepaul-pu3ds23 күн бұрын

    Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2

  • @ALAINMUFUNGIZI-gb2gs
    @ALAINMUFUNGIZI-gb2gs23 күн бұрын

    Kp wewe nduguyangu ningekuwa uko tz ninge jiunga na wewe tatizo niko congo

  • @DianaKatyetye
    @DianaKatyetye23 күн бұрын

    Kazi nzur vipenzi nimewapenda bule

  • @salhatiddy
    @salhatiddy22 күн бұрын

    Hahaha😂 nimeipenda sana hiii kama Mzee wagiza 😘

  • @RehemaMwambene-nf3yh
    @RehemaMwambene-nf3yh22 күн бұрын

    Zebuu umetisha na hilo kasha kubwa alafu halina nguo ❤😂😂

  • @Tikijmlengo-rj8ed
    @Tikijmlengo-rj8ed23 күн бұрын

    Kitu kipya kabisa 🎉🎉🎉

  • @SmahgloryHamis
    @SmahgloryHamis23 күн бұрын

    Mim Leo wa mwish

  • @fatuma46ramadhan18
    @fatuma46ramadhan1823 күн бұрын

    Wow alipo KP na timu yake nami nipo🎉🎉🎉❤

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu22 күн бұрын

    Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @LayanLayan-np6qb
    @LayanLayan-np6qb23 күн бұрын

    Kazi nzuri sana🎉🎉🎉 ila nmecheka hatari 😂😂😂

  • @neemamichael-iv3jp
    @neemamichael-iv3jp21 күн бұрын

    Jamm honger kaka b kazi nzur😘😘

  • @user-tu2sk1mo8q
    @user-tu2sk1mo8q22 күн бұрын

    Wacha weee😂😂😂 ❤❤ from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @floramacheva5855
    @floramacheva585520 күн бұрын

    Jamani Mzee likoma, 😂😂😂😂 unamfanyaje dibosi....

  • @furahandalu4765
    @furahandalu476520 күн бұрын

    Mko vzr sana aiseee maua yenu❤❤

  • @issakabezi
    @issakabezi21 күн бұрын

    😂Salfate tam saana

  • @user-qv9ju5jc7u
    @user-qv9ju5jc7u18 күн бұрын

    pochi nene pochi nene 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 daaa likoma mr money

  • @user-ck7fi3bh3i
    @user-ck7fi3bh3i23 күн бұрын

    Mi nmependa iyo shangaz kaja ya zebuu🤣🤣🤣

  • @Stardinyo

    @Stardinyo

    22 күн бұрын

    Yaan mi ntalitafut shangaz kaja

  • @EmmyMo

    @EmmyMo

    20 күн бұрын

    Imenzidi umrii😂😂😂

  • @JerryGebiyr-dv6jp
    @JerryGebiyr-dv6jp23 күн бұрын

    From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦

  • @AyubuMalando
    @AyubuMalando20 күн бұрын

    Nakuaminia sana mzee kijana, fanyakaz😊

  • @lidyakinono9917
    @lidyakinono991721 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂jorogurafi😂😂😂😂😂😂uwiiiiiiii