Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢
@rozeyousef9823
23 күн бұрын
Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊
@christinamethod2364
23 күн бұрын
Muwe mnaniita mapema😁
@AmosBudoya
23 күн бұрын
Kabisa jaman let's support likoma
@josephluomba8807
22 күн бұрын
Hatukuwa tiyari 😅😅😅
@user-sc7sn6ux2v
20 күн бұрын
together
@NipherKwamboka23 күн бұрын
Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani
@Zainab_salat
23 күн бұрын
Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂
@purityneema218
23 күн бұрын
Kufa tena ?😂😂
@PendoRobert-ph6ux
23 күн бұрын
Umekufa namba 5😂😂😂😂
@Laxy_Talent
23 күн бұрын
aya bwn
@PoliceNdizeye-rt2ml
23 күн бұрын
Musalimie yesu 😂😂😂
@user-sy9cu5ef5q23 күн бұрын
Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪
@OUTLAWDRILLERS23 күн бұрын
Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu
@user-ex6tg6di7r23 күн бұрын
Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪
@abdallahassan637823 күн бұрын
Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move
@SamuelAloo-qv3kg23 күн бұрын
Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪
@WardaMohhamed-xx9mv
6 күн бұрын
Nimeipendasana
@JohariJohari-rv5js23 күн бұрын
Nguo zashule zimewapendeza
@modostar23 күн бұрын
Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi
@Therapist_kicha
14 күн бұрын
Why message kama hii huwa hawaijibuu
@nasorohusein-uz4hv23 күн бұрын
Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa
@tobiaschirwa936423 күн бұрын
Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤
@MauaroseMauarose23 күн бұрын
Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma
@bakariomari6735
7 күн бұрын
Kwann likuume❤
@ShanBaby-dy4db23 күн бұрын
Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤
@yohanemwanzalima277723 күн бұрын
Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri
@hamzaIlunga23 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo
@madymag692623 күн бұрын
Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂
@JanetSanga-b6p23 күн бұрын
Kazi nzuri nawapenda nyote
@lucyrif-np8ik23 күн бұрын
Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@ruth137722 күн бұрын
Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯
@ZitoAntonioNhanga-ms6uj23 күн бұрын
Nampenda sana mze likoma❤
@user-xd8qy1cx2b23 күн бұрын
Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪
@simbeyrugata874523 күн бұрын
The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma
@MarcygloriaIbrahim23 күн бұрын
Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤
@UchebeUchebe-h3w
21 күн бұрын
Vp
@BaroJunio
10 күн бұрын
Mdada
@jacksonminani978223 күн бұрын
Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi
@joycemaregesi18
23 күн бұрын
Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮
@mary-lx3hr
23 күн бұрын
😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap
@joycemaregesi18
23 күн бұрын
@@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏
@jacklinefatma6263
19 күн бұрын
@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn
@joycemaregesi18
19 күн бұрын
@@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi
@user-dy2zp2iw6z23 күн бұрын
Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂
@user-yg7dy8ls9e
9 күн бұрын
😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa
@EdwardTz.23 күн бұрын
Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤
@user-md2ct5fl7h23 күн бұрын
Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana
@LinetOpio-uj2eb20 күн бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆
@johnfilbert591523 күн бұрын
Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine
@user-su5oi5wb6c23 күн бұрын
Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@FaithAdela4 күн бұрын
Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu
@user-op7tg4wq2g22 күн бұрын
Nakubali wapi like za mzee likoma
@EdalyDaud
19 күн бұрын
Dog sele
@user-dt9uc7wj1y21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤
@Asia-dq3rt23 күн бұрын
Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂
@user-lf5ud8vb5j23 күн бұрын
Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma
@user-rl5zb1jc9k23 күн бұрын
Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘
@MaryamSafi-vm6or23 күн бұрын
Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri
@PedrocesarmsuyaMsuya-k9p23 күн бұрын
Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤
@janethmshahara404820 күн бұрын
Hahhaha mawanafunzi majinga sana😂😂😂😂😂😂😂
@agapitshayo-cy7vy23 күн бұрын
Sijachelewa big up likoma
@user-gg5ed4wt2v23 күн бұрын
Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤
@GentilKakule-rd2pz23 күн бұрын
Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂
@juliusshauri449818 күн бұрын
Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma
@ThumahSalush8 күн бұрын
Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa
@user-jd9jb3ri4u23 күн бұрын
Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍
@maimunarajab682621 күн бұрын
Mzee likoma daah unanifurahisha kweli😂😂😂😂😂😂😂
@user-zo8lz3wm7n23 күн бұрын
😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja
@feisaldesign41562 күн бұрын
Likoma ume perform vzur ktk senior yko good
@paulinekombe375322 күн бұрын
Kazi safi sana mzee likoma🎉🎉
@AbdulBushiri-b6oКүн бұрын
Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh
@user-qq4zr3sk2g20 күн бұрын
Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂
@CarolinePeter-gc8fp22 күн бұрын
Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys
@user-zw7nz4nh6d12 күн бұрын
Mashabaki wa kp tumo❤❤ likoma tuko pamoja🎉🎉😂 kwanza hongera kwa likoma
@NAOMICOM-my4ql23 күн бұрын
Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane
@theopisterjovent348318 күн бұрын
Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝
@zainzain116322 күн бұрын
Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri
@metrinenyakoe176419 күн бұрын
Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪
@zawadichengokatana475022 күн бұрын
Mzee likoma umeua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeyatimba
@EstherwakioWukanda21 күн бұрын
😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤
Пікірлер: 741
Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢
@rozeyousef9823
23 күн бұрын
Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊
@christinamethod2364
23 күн бұрын
Muwe mnaniita mapema😁
@AmosBudoya
23 күн бұрын
Kabisa jaman let's support likoma
@josephluomba8807
22 күн бұрын
Hatukuwa tiyari 😅😅😅
@user-sc7sn6ux2v
20 күн бұрын
together
Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani
@Zainab_salat
23 күн бұрын
Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂
@purityneema218
23 күн бұрын
Kufa tena ?😂😂
@PendoRobert-ph6ux
23 күн бұрын
Umekufa namba 5😂😂😂😂
@Laxy_Talent
23 күн бұрын
aya bwn
@PoliceNdizeye-rt2ml
23 күн бұрын
Musalimie yesu 😂😂😂
Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪
Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu
Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪
Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move
Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪
@WardaMohhamed-xx9mv
6 күн бұрын
Nimeipendasana
Nguo zashule zimewapendeza
Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi
@Therapist_kicha
14 күн бұрын
Why message kama hii huwa hawaijibuu
Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa
Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤
Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma
@bakariomari6735
7 күн бұрын
Kwann likuume❤
Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤
Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo
Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Kazi nzuri nawapenda nyote
Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯
Nampenda sana mze likoma❤
Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪
The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma
Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤
@UchebeUchebe-h3w
21 күн бұрын
Vp
@BaroJunio
10 күн бұрын
Mdada
Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi
@joycemaregesi18
23 күн бұрын
Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮
@mary-lx3hr
23 күн бұрын
😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap
@joycemaregesi18
23 күн бұрын
@@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏
@jacklinefatma6263
19 күн бұрын
@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn
@joycemaregesi18
19 күн бұрын
@@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi
Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂
@user-yg7dy8ls9e
9 күн бұрын
😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa
Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤
Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana
😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆
Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine
Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu
Nakubali wapi like za mzee likoma
@EdalyDaud
19 күн бұрын
Dog sele
😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤
Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂
Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma
Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘
Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri
Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤
Hahhaha mawanafunzi majinga sana😂😂😂😂😂😂😂
Sijachelewa big up likoma
Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤
Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂
Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma
Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa
Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍
Mzee likoma daah unanifurahisha kweli😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja
Likoma ume perform vzur ktk senior yko good
Kazi safi sana mzee likoma🎉🎉
Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh
Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂
Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys
Mashabaki wa kp tumo❤❤ likoma tuko pamoja🎉🎉😂 kwanza hongera kwa likoma
Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane
Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝
Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri
Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪
Mzee likoma umeua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeyatimba
😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤
Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤
Likoma upo juuuuu saaaana ❤️
❤❤❤ kazi nzuri sana 👍🔥🔥
Tupe hii baba achana na plan b
Jamani Mzee likoma ayo majibu yako tuh 😂😂😂Sina usemi
😂😂 mkiwa pamoja nina imani itanoka nawapenda sana
Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen
Nawakubali sana ❤💪
Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali
Mwendo wa Rikoma unanivunjaga mbavu😂😂😂🇧🇮🇧🇮🥰🥰
Wow nimeipenda nzuri sana Kp na zebuu mmpendeza sana❤❤ aaaa had raha nawapenda nyote 😅😅😅😅🎉❤
🎉🎉🎉kazi kazi jaman
Heeeh Mzee likoma umenunua hadi kitambi😂
Likoma shamban leooo Hiii Iko vipi wadau
Hongera sana likoma nakuona mbali san kaka
Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤
Zebuu jamani hilo fuko😂😂😂🙌🥰
mzeee likoma ana vituko kweli nampenda lakn bona ukorome
Kazi nzr Sana likoma nakubali sana
Nawapenda mno jmn yaan mnajua afu mnajua tena❤❤🎉🎉🎉🎉
Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai
Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2
Kp wewe nduguyangu ningekuwa uko tz ninge jiunga na wewe tatizo niko congo
Kazi nzur vipenzi nimewapenda bule
Hahaha😂 nimeipenda sana hiii kama Mzee wagiza 😘
Zebuu umetisha na hilo kasha kubwa alafu halina nguo ❤😂😂
Kitu kipya kabisa 🎉🎉🎉
Mim Leo wa mwish
Wow alipo KP na timu yake nami nipo🎉🎉🎉❤
Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
Kazi nzuri sana🎉🎉🎉 ila nmecheka hatari 😂😂😂
Jamm honger kaka b kazi nzur😘😘
Wacha weee😂😂😂 ❤❤ from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Jamani Mzee likoma, 😂😂😂😂 unamfanyaje dibosi....
Mko vzr sana aiseee maua yenu❤❤
😂Salfate tam saana
pochi nene pochi nene 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 daaa likoma mr money
Mi nmependa iyo shangaz kaja ya zebuu🤣🤣🤣
@Stardinyo
22 күн бұрын
Yaan mi ntalitafut shangaz kaja
@EmmyMo
20 күн бұрын
Imenzidi umrii😂😂😂
From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦
Nakuaminia sana mzee kijana, fanyakaz😊
😂😂😂😂😂😂😂😂jorogurafi😂😂😂😂😂😂uwiiiiiiii