Asha hadi raha kuongea nae hapo kasahau kam ni interview 😂 dah napenda sana kuona wasanii wazaman wakiishi maisha mazuri kiukwel wameteseka sana 😢hata kama kapanga ila haombi ombi anapata kodi ndo maisha hata ulaya watu wanapanga apartment wananunua nyumba wanapangisha maisha yanasonga
@OmanOman-dn6dj
5 ай бұрын
Sahani inaoshwa haifutwi inawekwa chakula😅😅kufuta mikono nyuma ya makalio😅😅😅tishu bei gani kwani kama taulo za kufutia huwezi nunua?..😅😅😅
@salmabasil385
5 ай бұрын
@@OmanOman-dn6djmaisha halisi hayo kaka waswahili hatunaga hizo mambo za tissue wala kitambaa chankufutia vyombo
@mamasalhat
8 күн бұрын
Nawe nawe Acha zako kipindi upo Tanzania ulikua unaosha sahani kisha wapangusa na tisho?? Au Sababu upo kwa warabu ushaghala basi umekua mtumwa Leo hii wajifanya mjuaji ovyooo@@OmanOman-dn6dj
@mamasalhat
8 күн бұрын
Upo kwa warabu tena umesahau kabisa uwalisia WA maisha yetu ya Tanzania ama kweli utumwa mgumu khaaaaaaaa@@OmanOman-dn6dj
@mamasalhat
8 күн бұрын
@@OmanOman-dn6djlabda nikuulize wewe mwezangu ulivyo kua Tanzania ulikua unaosha na kufuta na tisho au Sababu upo kwa warabu khaaaaaaaa shaghala bwana
@shukranjulius95265 ай бұрын
Mashaallah mkongwe Dada asha❤❤❤
@jedidahbintidaudi82415 ай бұрын
napenda sana hapa anapokaa..simple and so nice!
@user-fd2lm5uz8v5 ай бұрын
❤❤❤❤ Asha boko huna baya,mnao mbeza mkome
@alimanana75645 ай бұрын
Mama kipunje nakupenda sana ❤
@Youngteo3943 ай бұрын
Huyu Asha nampenda sana ❤❤❤
@user-qn6nl4lu8j5 ай бұрын
Nampenda sana asha Boko jaman
@BeullahBujah-lk3sx5 ай бұрын
Wabongo mpk mmuchunguze mtu!! ya nn? Kuwe kwake kusiwe hallelujah!!
@renypaultv83425 ай бұрын
Beat Iko juu sana
@FedFox-fl5pw5 ай бұрын
Nimeipenda hiyo ayaa umeme umerudi am tz from wsuzlendi
@user-gb3fk1yt8n5 ай бұрын
Maashaallah
@faridapandu75795 ай бұрын
❤❤ nakupenda daasha
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Huyu anaonyesha hii nyumba si yake wala hajakodi muongo , labda kuna mtu anakuana nae kamwomba ajionyeshe ktk intavuu tu , hahahaha😊
@user-cy9bl3eu9g
4 ай бұрын
Kwanza kunavty vnaoneshaa tu sio lake ajiamn 😂
@AgnesAgnes-fm8wp5 ай бұрын
Haha haha asa weee love you so much 😂😂
@lovirinaa5 ай бұрын
Yuko vizur in person ❤
@baimarrajahbuayan62375 ай бұрын
Asha. Na. Mwene wanafanana sna. Had vituko
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Eti umekodi nyumba kama hiyo alafu jikon una kijiko cha kilo 5 cha genius kimoja😂😂😂😂😂
@khadjamhozya5 ай бұрын
Jamani Kuna watu wana maisha yawo na huwezi kuwazania maana hawajitapi kwenye mitandao
@zainabzain3434
5 ай бұрын
Haileti maana mitandao
@user-sc2eq5ub5c5 ай бұрын
Umemee wakatika ivyoooh aaah Tanesco mwatak laana nyie adi Mahojiano
@mamasalhat8 күн бұрын
Miriam kumbe mdogo wake asha boko uwi asante hiki kipindi nimejua nisiyo yajua😂😂
@edinalihedule76095 ай бұрын
Asha ❤❤❤❤❤
@simonsmithajax5 ай бұрын
AsHa boko na mzee senga movie ya wema😂😂😂inachekesha sana
Hii nyumba inaoshesha ndio kwanza imemalizika ujenzi na iko mikononi mwa madalali bado haiĵapata mpangaji ila asha book kakodi kwa masaa tu ya intavuu😂😂😂😂
@methodmasaka1436
4 ай бұрын
Acha dharau na roho mbaya onyesha ya KWAKO na wewe
@JennyJma5 ай бұрын
Kumbe miriam amour ni mdogo wako ndio najua leo ila mmefanana kidogo sema wewe mrefu Miriam mfupi 😀
@user-bc1jg8md3h5 ай бұрын
Location inasoma wapi hapo nimependa hiyo apartiment
@jedidahbintidaudi82415 ай бұрын
huyu Asha poa sana jmni...nimempenda sana sana
@user-mu7yn9gr1w5 ай бұрын
Kijana anaugeuza mpunga kama kwake😅😅😅😂
@Chakol123-k7s5 ай бұрын
Raha ya kiporo maji huwez pasha kiporo bila maj kitakuwa sio kiporo
@SalamaNauthar5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Salehe punguza uroho😂😂😂😂😂
@user-gx2wz1xs6d5 ай бұрын
😅😅Nimecheka jmn umenipa raha
@mwanamisiramadhan47735 ай бұрын
Masha allah nyumba nzr 👏👏😍🥰
@SashaOscar5 ай бұрын
Asha boko jmn nampenda sauti yake haibadiriki 😅😅😅
@mariamdullazy81665 ай бұрын
Swalekhe uende ukamtembelee na bi Sabah muchacho 😊
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Sio mkazi au mwenyeji wa hapo😂😂😂dah kweli wabongo kwa uongo tumefuzu😂😂😂😂
@shanimbaruku20715 ай бұрын
Hahahaha Saleh😂❤🎉Eti ubwabwa tutaula kiza😂
@sophiakassim6784
5 ай бұрын
😅😅😅 kashajihesabia na mapemaaa yani nimechekaaa
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Umeliona jicho la asha alivyomkatia mhudumu yaani kama anamwambia wewe usije ukasema kitu😂😂😂😂
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Ok nimekumbuka kumbe wewe comedy😂😂😂😂😂
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Wakialikwa kwenye enter view wanatafuta nyumba sio zao😂😂😂😂😂
@gracepatric43715 ай бұрын
Afu kweli wamefanana na mariam amour
@user-un9eh6xn6cАй бұрын
Nakupenda bure asha boko❤😂😅
@denishaule63144 ай бұрын
Aibu sana nch yetu umeme umeme
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Mlinzi tu kakukatalia itakua majirani😂😂😂😂muongo huyooooooo😂😂😂😂😂
@sabrinasabrina39745 ай бұрын
tuletee rihama ally❤❤😊😊😊
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
4 ай бұрын
we ndo umesema
@nurubinjubeir4 ай бұрын
😂😂😂😂eti maji kwa katuni si frij😂😂😂
@salhamrishoi49435 ай бұрын
Mashaa allah 🎉❤pazuri kwake jomoni ni majirani na miye tunapoishi
@shantellemwanakombo3703
5 ай бұрын
Sidhan kama ni kwake hapo . Kwake bagamoyo huyu mama
@user-jr2qg9qp5h
5 ай бұрын
Samahani izii nyumba zikwapi nimezipenda
@user-jr2qg9qp5h
5 ай бұрын
Nipe instagram yakoo unieleweshe
@ArafaAmirAmir-ci7ld
5 ай бұрын
@@shantellemwanakombo3703Na mie nafaham hivyo
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Wasanii wetu ni waongo sana
@Tyughcdrbdt5 ай бұрын
Ila tanescoo😅😅😅😅
@RASHIDHASHIM-yj3dd28 күн бұрын
Oya salehe mbona Kwa CLAM VEVO auendi nenda bas tujue maisha yake anayoish
@Sophia-yh4dc5 ай бұрын
Ila sale unapenda kula wewe njoo kwangu unihoj majirani wanione😂😂😂😂
Wangp wameenda kuangalia iyotaarabu ya dda wa asha😅sema nampenda uyu mama kipind kile anaigiza nakanumba et anagombea umis tanzania😂
@paulinapius3184
5 ай бұрын
Mimi 😂😂😂😂
@erickmbega8522 ай бұрын
Mmesha temea mate kwenye chakula😂😂😂😂
@mishiomarhassan71155 ай бұрын
😂😂😂😂 Swaleh mpka ule 😂😂😂
@nishamwenendi-vh4wk5 ай бұрын
Wapili naombeni like zangu plz😂
@kettylucas55575 ай бұрын
Salehe na kula jaman hapana 😂😂😂 umeona ugeuze na kiporo
@MrsKhalid-6834 ай бұрын
Yani huyo kaka dah 😢
@selinathindwa97545 ай бұрын
Mgeni kaingia jikoni 😂😂😂😂
@user-pi4rs4np1x5 ай бұрын
Watatu mimi😂😂😂
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Ok kesho mm nakuja none uko hapo hapo ila just kabisa mm sipokei rushwa nataka UKWELI tu??????
@victorcephas36185 ай бұрын
TANESCO wamefanya yao katikati ya interview
@faudhiaamour19145 ай бұрын
😂😂huo umemee sasa ..ila tanesco jmn
@MariamJamal-lb3go5 ай бұрын
Salehe tunaomba siku moja uwende kwa Mrs energy
@labunaabouna61225 ай бұрын
Aisee mnapasha misosi kama mpo Ulaya
@MahraMansoor59695 ай бұрын
Nampenda sana sana zaid ya sana Asha boko katibu Uk 🇬🇧 mtu kama huyu unaenjoy ukikaa nae kamuwwke mungu saba mbelempeni salam zangu
@ts9dna8625 ай бұрын
I dont understand the languange but salehe anajua😂
@Nasmaabdala-oz2suКүн бұрын
Ujakausha sahaniii Ina maji
@hamidajabu33245 ай бұрын
Yan inaonekana kabisa sio kwake yan km hajiamin jaman😂😂😂
@beautyibrahim8428
5 ай бұрын
Si kasema kapanga
@mwanaidimunga9099
5 ай бұрын
Kwake kweli maana kwenye mpaka home alihoniwaga kipindi maisha Bado ya chini why asingefake kipindi hicho
@user-gt8fw9vk4c
5 ай бұрын
Kwake bwana Kwan yeye hawezi kumiliki sehemu kama hiyo,half kingine anakigugumiz so unaweza kuhisi kama hajiamini 😂😂😂😂
@zuberikamote2078
5 ай бұрын
Katanga sio nyumba yeke
@FatumaMuya
5 ай бұрын
Jamani yeye mwenyewe ameshasema amepanga
@TerrorTrove-bx4pg5 ай бұрын
Nend kwa kwa wasanii wakubwa tuone nao maisha yao
@khadijaali46575 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asha jamani kilakitu umesahau kweli au umeamua tu 😂😂😂😂aah mm nakupenda mpaka basi tu from kenya 🇰🇪 ❤❤
@selinathindwa97545 ай бұрын
Mgeni kaingia jikoni 😂😂😂😂 😅 ndo maana wanakusema kuwa unapenda kula😊
@annakbunga8377
5 ай бұрын
Sio kula tuu mbn wanadai ni mchicha poli jamani😢
@sophsoph4740
5 ай бұрын
Mchicha poli ndo nin jmn@@annakbunga8377
@khadjamhozya
5 ай бұрын
Hujakosea anapenda Kura siku moja arienda kwa amina dadayake dura makabira kara pirau biri kunawa mikono😂😂😂😂😃😂😃😂
@sikukuuchuo3093
5 ай бұрын
@@annakbunga8377jibu unalo wewe
@tanzcanmediatv4473
5 ай бұрын
Hivi tatizo liko wapi basi hamna exposure ulaya mgeni akiingia anapitiliza anachukua glass anamimina wine anaendelea na stori au anatengeneza coffee wabongo ushamba tu
@Juke9955 ай бұрын
Nimependa mtaa anaokaa ashaboko jaman anaejua ni wapi nitafute dalali chapu
@user-yb1mv2nx6m5 ай бұрын
Asha pakua wali bwana😂😂
@janetdundul38585 ай бұрын
kipindi kizr jamani ongera mtangazaji 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@scholamodestus93865 ай бұрын
Cyo kwake hapo kwa mwanae, yeye kwake bagamoyo
@meckraudndelwa-jv8co
5 ай бұрын
Pata na ww mtt ukakae kwake
@SafiyaJ-yw2vt
5 ай бұрын
Hata yy kasema kapanga hapo
@tanzcanmediatv4473
5 ай бұрын
Panga na wewe umuite mama yako chokooo
@juliethkipagile4632
3 ай бұрын
Mi nilijua kakodi kumbe ni Kwa mwanae afadhalii
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Ungemwambia uongee na majirani😂😂😂
@jasminshemsanga87275 ай бұрын
Msos mkavu mkavu😂😂😂 ht maji yakunywa
@nurubinjubeir4 ай бұрын
Wasanii wetu kuweni wakweli mnacho fanya ni kuwaharibu vijana wetu na kuwatia Tamaaa ambazo ni uongo mtupu,😮😮😮
@maryammdoe58015 ай бұрын
Salehe ndo utoke nje na mwiko 😂😂
@ashurajengela39265 ай бұрын
Ashaboko anaishi vizuri na wala hajisifii ila wangekua awa maslay queen sasa weee tungekoma 😂😂😂🙌🏻
Пікірлер: 270
Kama Umeona asha boko anakakumfanana kajara macho 😂gonga like
Yaani hapo kwa misosi Saleh ndo mwake lazima ale 😂😂😂😂😂
Ila mshauri asher uwashaji wake wa gas ni hatari.yaani antifungal ndio anaanda kiberiti ni hatar saana.alitakiwa kuwasha kiberiti kwanza.
Salehe ilki kipindi kinakufaaa 😂yan umesomea kwel kwel endelea kutupa raha next time nenda kwa riyama ali au kwa vyone cherry aka monalisa❤
@mask815
5 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/pGadp8yCqpCqY5M.htmlsi=ihbQK3DIjWbRGLAI
Mashallah asha boko ni mcheshi sna ❤
Wa sita kucomment ndani ya dakika tano like zenu please 😅
Mashaa Allah love you Asha Boko ❤️❤️❤️❤️
Jmn nampenda asha Boko Allah amueke nikimuona tu naskia Raha ❤❤
Salehe asante sana kwa kipiindi..unapomaliza na kumuaga interviewee kaa pembeni na utoe summary ya mahojiano ndo ufunge kipindi au sio
Wow that's awesome you're so much better ☺️😎 ooyy kutu letea mishe mishe za abari huko ulipo 🎉❤🎉❤😊 amen amen 🥰🥰
Mimi sipendi kuangalia bongo movies but nikiona muvi alocheza huyu mama lazima niangalie nampenda sana ashaboko❤❤❤
@mask815
5 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/pGadp8yCqpCqY5M.htmlsi=ihbQK3DIjWbRGLAI
Asha hadi raha kuongea nae hapo kasahau kam ni interview 😂 dah napenda sana kuona wasanii wazaman wakiishi maisha mazuri kiukwel wameteseka sana 😢hata kama kapanga ila haombi ombi anapata kodi ndo maisha hata ulaya watu wanapanga apartment wananunua nyumba wanapangisha maisha yanasonga
@OmanOman-dn6dj
5 ай бұрын
Sahani inaoshwa haifutwi inawekwa chakula😅😅kufuta mikono nyuma ya makalio😅😅😅tishu bei gani kwani kama taulo za kufutia huwezi nunua?..😅😅😅
@salmabasil385
5 ай бұрын
@@OmanOman-dn6djmaisha halisi hayo kaka waswahili hatunaga hizo mambo za tissue wala kitambaa chankufutia vyombo
@mamasalhat
8 күн бұрын
Nawe nawe Acha zako kipindi upo Tanzania ulikua unaosha sahani kisha wapangusa na tisho?? Au Sababu upo kwa warabu ushaghala basi umekua mtumwa Leo hii wajifanya mjuaji ovyooo@@OmanOman-dn6dj
@mamasalhat
8 күн бұрын
Upo kwa warabu tena umesahau kabisa uwalisia WA maisha yetu ya Tanzania ama kweli utumwa mgumu khaaaaaaaa@@OmanOman-dn6dj
@mamasalhat
8 күн бұрын
@@OmanOman-dn6djlabda nikuulize wewe mwezangu ulivyo kua Tanzania ulikua unaosha na kufuta na tisho au Sababu upo kwa warabu khaaaaaaaa shaghala bwana
Mashaallah mkongwe Dada asha❤❤❤
napenda sana hapa anapokaa..simple and so nice!
❤❤❤❤ Asha boko huna baya,mnao mbeza mkome
Mama kipunje nakupenda sana ❤
Huyu Asha nampenda sana ❤❤❤
Nampenda sana asha Boko jaman
Wabongo mpk mmuchunguze mtu!! ya nn? Kuwe kwake kusiwe hallelujah!!
Beat Iko juu sana
Nimeipenda hiyo ayaa umeme umerudi am tz from wsuzlendi
Maashaallah
❤❤ nakupenda daasha
Huyu anaonyesha hii nyumba si yake wala hajakodi muongo , labda kuna mtu anakuana nae kamwomba ajionyeshe ktk intavuu tu , hahahaha😊
@user-cy9bl3eu9g
4 ай бұрын
Kwanza kunavty vnaoneshaa tu sio lake ajiamn 😂
Haha haha asa weee love you so much 😂😂
Yuko vizur in person ❤
Asha. Na. Mwene wanafanana sna. Had vituko
Eti umekodi nyumba kama hiyo alafu jikon una kijiko cha kilo 5 cha genius kimoja😂😂😂😂😂
Jamani Kuna watu wana maisha yawo na huwezi kuwazania maana hawajitapi kwenye mitandao
@zainabzain3434
5 ай бұрын
Haileti maana mitandao
Umemee wakatika ivyoooh aaah Tanesco mwatak laana nyie adi Mahojiano
Miriam kumbe mdogo wake asha boko uwi asante hiki kipindi nimejua nisiyo yajua😂😂
Asha ❤❤❤❤❤
AsHa boko na mzee senga movie ya wema😂😂😂inachekesha sana
Yan saleh anawaz kula to et ubwabwa tutakulajee😊
Ashaboko kila kitu amesahau kidogo😂😂😂😂
@shamimageta6651
5 ай бұрын
😢😢😢😢😢
Mashallahaa
Mashaallah
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha nimeipenda iyo dada ashaboko
Mashallah ❤
Sele wapenda kula 😅😅😅umeme nao
Hii nyumba inaoshesha ndio kwanza imemalizika ujenzi na iko mikononi mwa madalali bado haiĵapata mpangaji ila asha book kakodi kwa masaa tu ya intavuu😂😂😂😂
@methodmasaka1436
4 ай бұрын
Acha dharau na roho mbaya onyesha ya KWAKO na wewe
Kumbe miriam amour ni mdogo wako ndio najua leo ila mmefanana kidogo sema wewe mrefu Miriam mfupi 😀
Location inasoma wapi hapo nimependa hiyo apartiment
huyu Asha poa sana jmni...nimempenda sana sana
Kijana anaugeuza mpunga kama kwake😅😅😅😂
Raha ya kiporo maji huwez pasha kiporo bila maj kitakuwa sio kiporo
😂😂😂😂😂 Salehe punguza uroho😂😂😂😂😂
😅😅Nimecheka jmn umenipa raha
Masha allah nyumba nzr 👏👏😍🥰
Asha boko jmn nampenda sauti yake haibadiriki 😅😅😅
Swalekhe uende ukamtembelee na bi Sabah muchacho 😊
Sio mkazi au mwenyeji wa hapo😂😂😂dah kweli wabongo kwa uongo tumefuzu😂😂😂😂
Hahahaha Saleh😂❤🎉Eti ubwabwa tutaula kiza😂
@sophiakassim6784
5 ай бұрын
😅😅😅 kashajihesabia na mapemaaa yani nimechekaaa
Umeliona jicho la asha alivyomkatia mhudumu yaani kama anamwambia wewe usije ukasema kitu😂😂😂😂
Ok nimekumbuka kumbe wewe comedy😂😂😂😂😂
Wakialikwa kwenye enter view wanatafuta nyumba sio zao😂😂😂😂😂
Afu kweli wamefanana na mariam amour
Nakupenda bure asha boko❤😂😅
Aibu sana nch yetu umeme umeme
Mlinzi tu kakukatalia itakua majirani😂😂😂😂muongo huyooooooo😂😂😂😂😂
tuletee rihama ally❤❤😊😊😊
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
4 ай бұрын
we ndo umesema
😂😂😂😂eti maji kwa katuni si frij😂😂😂
Mashaa allah 🎉❤pazuri kwake jomoni ni majirani na miye tunapoishi
@shantellemwanakombo3703
5 ай бұрын
Sidhan kama ni kwake hapo . Kwake bagamoyo huyu mama
@user-jr2qg9qp5h
5 ай бұрын
Samahani izii nyumba zikwapi nimezipenda
@user-jr2qg9qp5h
5 ай бұрын
Nipe instagram yakoo unieleweshe
@ArafaAmirAmir-ci7ld
5 ай бұрын
@@shantellemwanakombo3703Na mie nafaham hivyo
Wasanii wetu ni waongo sana
Ila tanescoo😅😅😅😅
Oya salehe mbona Kwa CLAM VEVO auendi nenda bas tujue maisha yake anayoish
Ila sale unapenda kula wewe njoo kwangu unihoj majirani wanione😂😂😂😂
Wakwanza leo😂
Ichi kikaka kinapenda kula namwili hakina😂😂😂et mpk umekuja kuolewa na mashaallah😅😅😅mbonaivo
@rahimaaaaa5682
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Labda halagi nyumbani mmmh
Nimefuraia sana interview
Wangp wameenda kuangalia iyotaarabu ya dda wa asha😅sema nampenda uyu mama kipind kile anaigiza nakanumba et anagombea umis tanzania😂
@paulinapius3184
5 ай бұрын
Mimi 😂😂😂😂
Mmesha temea mate kwenye chakula😂😂😂😂
😂😂😂😂 Swaleh mpka ule 😂😂😂
Wapili naombeni like zangu plz😂
Salehe na kula jaman hapana 😂😂😂 umeona ugeuze na kiporo
Yani huyo kaka dah 😢
Mgeni kaingia jikoni 😂😂😂😂
Watatu mimi😂😂😂
Ok kesho mm nakuja none uko hapo hapo ila just kabisa mm sipokei rushwa nataka UKWELI tu??????
TANESCO wamefanya yao katikati ya interview
😂😂huo umemee sasa ..ila tanesco jmn
Salehe tunaomba siku moja uwende kwa Mrs energy
Aisee mnapasha misosi kama mpo Ulaya
Nampenda sana sana zaid ya sana Asha boko katibu Uk 🇬🇧 mtu kama huyu unaenjoy ukikaa nae kamuwwke mungu saba mbelempeni salam zangu
I dont understand the languange but salehe anajua😂
Ujakausha sahaniii Ina maji
Yan inaonekana kabisa sio kwake yan km hajiamin jaman😂😂😂
@beautyibrahim8428
5 ай бұрын
Si kasema kapanga
@mwanaidimunga9099
5 ай бұрын
Kwake kweli maana kwenye mpaka home alihoniwaga kipindi maisha Bado ya chini why asingefake kipindi hicho
@user-gt8fw9vk4c
5 ай бұрын
Kwake bwana Kwan yeye hawezi kumiliki sehemu kama hiyo,half kingine anakigugumiz so unaweza kuhisi kama hajiamini 😂😂😂😂
@zuberikamote2078
5 ай бұрын
Katanga sio nyumba yeke
@FatumaMuya
5 ай бұрын
Jamani yeye mwenyewe ameshasema amepanga
Nend kwa kwa wasanii wakubwa tuone nao maisha yao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asha jamani kilakitu umesahau kweli au umeamua tu 😂😂😂😂aah mm nakupenda mpaka basi tu from kenya 🇰🇪 ❤❤
Mgeni kaingia jikoni 😂😂😂😂 😅 ndo maana wanakusema kuwa unapenda kula😊
@annakbunga8377
5 ай бұрын
Sio kula tuu mbn wanadai ni mchicha poli jamani😢
@sophsoph4740
5 ай бұрын
Mchicha poli ndo nin jmn@@annakbunga8377
@khadjamhozya
5 ай бұрын
Hujakosea anapenda Kura siku moja arienda kwa amina dadayake dura makabira kara pirau biri kunawa mikono😂😂😂😂😃😂😃😂
@sikukuuchuo3093
5 ай бұрын
@@annakbunga8377jibu unalo wewe
@tanzcanmediatv4473
5 ай бұрын
Hivi tatizo liko wapi basi hamna exposure ulaya mgeni akiingia anapitiliza anachukua glass anamimina wine anaendelea na stori au anatengeneza coffee wabongo ushamba tu
Nimependa mtaa anaokaa ashaboko jaman anaejua ni wapi nitafute dalali chapu
Asha pakua wali bwana😂😂
kipindi kizr jamani ongera mtangazaji 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Cyo kwake hapo kwa mwanae, yeye kwake bagamoyo
@meckraudndelwa-jv8co
5 ай бұрын
Pata na ww mtt ukakae kwake
@SafiyaJ-yw2vt
5 ай бұрын
Hata yy kasema kapanga hapo
@tanzcanmediatv4473
5 ай бұрын
Panga na wewe umuite mama yako chokooo
@juliethkipagile4632
3 ай бұрын
Mi nilijua kakodi kumbe ni Kwa mwanae afadhalii
Ungemwambia uongee na majirani😂😂😂
Msos mkavu mkavu😂😂😂 ht maji yakunywa
Wasanii wetu kuweni wakweli mnacho fanya ni kuwaharibu vijana wetu na kuwatia Tamaaa ambazo ni uongo mtupu,😮😮😮
Salehe ndo utoke nje na mwiko 😂😂
Ashaboko anaishi vizuri na wala hajisifii ila wangekua awa maslay queen sasa weee tungekoma 😂😂😂🙌🏻