GHOROFA ANALOISHI ASHABOKO/ ANA NYUMBA MBILI/ MOJA NIMEPANGISHA / MUME WANGU ALIFARIKI.

Ойын-сауық

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 270

  • @NataliaKenny-vb6os
    @NataliaKenny-vb6os5 ай бұрын

    Kama Umeona asha boko anakakumfanana kajara macho 😂gonga like

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman93345 ай бұрын

    Yaani hapo kwa misosi Saleh ndo mwake lazima ale 😂😂😂😂😂

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro51745 ай бұрын

    Ila mshauri asher uwashaji wake wa gas ni hatari.yaani antifungal ndio anaanda kiberiti ni hatar saana.alitakiwa kuwasha kiberiti kwanza.

  • @GraceSichinga-bm4fh
    @GraceSichinga-bm4fh5 ай бұрын

    Salehe ilki kipindi kinakufaaa 😂yan umesomea kwel kwel endelea kutupa raha next time nenda kwa riyama ali au kwa vyone cherry aka monalisa❤

  • @mask815

    @mask815

    5 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pGadp8yCqpCqY5M.htmlsi=ihbQK3DIjWbRGLAI

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly2 ай бұрын

    Mashallah asha boko ni mcheshi sna ❤

  • @halimasalehe1731
    @halimasalehe17315 ай бұрын

    Wa sita kucomment ndani ya dakika tano like zenu please 😅

  • @clovicemusobozi3891
    @clovicemusobozi38914 ай бұрын

    Mashaa Allah love you Asha Boko ❤️❤️❤️❤️

  • @salmaseif-rq9ux
    @salmaseif-rq9ux5 ай бұрын

    Jmn nampenda asha Boko Allah amueke nikimuona tu naskia Raha ❤❤

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82415 ай бұрын

    Salehe asante sana kwa kipiindi..unapomaliza na kumuaga interviewee kaa pembeni na utoe summary ya mahojiano ndo ufunge kipindi au sio

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki11135 ай бұрын

    Wow that's awesome you're so much better ☺️😎 ooyy kutu letea mishe mishe za abari huko ulipo 🎉❤🎉❤😊 amen amen 🥰🥰

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km5 ай бұрын

    Mimi sipendi kuangalia bongo movies but nikiona muvi alocheza huyu mama lazima niangalie nampenda sana ashaboko❤❤❤

  • @mask815

    @mask815

    5 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pGadp8yCqpCqY5M.htmlsi=ihbQK3DIjWbRGLAI

  • @Juke995
    @Juke9955 ай бұрын

    Asha hadi raha kuongea nae hapo kasahau kam ni interview 😂 dah napenda sana kuona wasanii wazaman wakiishi maisha mazuri kiukwel wameteseka sana 😢hata kama kapanga ila haombi ombi anapata kodi ndo maisha hata ulaya watu wanapanga apartment wananunua nyumba wanapangisha maisha yanasonga

  • @OmanOman-dn6dj

    @OmanOman-dn6dj

    5 ай бұрын

    Sahani inaoshwa haifutwi inawekwa chakula😅😅kufuta mikono nyuma ya makalio😅😅😅tishu bei gani kwani kama taulo za kufutia huwezi nunua?..😅😅😅

  • @salmabasil385

    @salmabasil385

    5 ай бұрын

    @@OmanOman-dn6djmaisha halisi hayo kaka waswahili hatunaga hizo mambo za tissue wala kitambaa chankufutia vyombo

  • @mamasalhat

    @mamasalhat

    8 күн бұрын

    Nawe nawe Acha zako kipindi upo Tanzania ulikua unaosha sahani kisha wapangusa na tisho?? Au Sababu upo kwa warabu ushaghala basi umekua mtumwa Leo hii wajifanya mjuaji ovyooo​@@OmanOman-dn6dj

  • @mamasalhat

    @mamasalhat

    8 күн бұрын

    Upo kwa warabu tena umesahau kabisa uwalisia WA maisha yetu ya Tanzania ama kweli utumwa mgumu khaaaaaaaa​@@OmanOman-dn6dj

  • @mamasalhat

    @mamasalhat

    8 күн бұрын

    ​@@OmanOman-dn6djlabda nikuulize wewe mwezangu ulivyo kua Tanzania ulikua unaosha na kufuta na tisho au Sababu upo kwa warabu khaaaaaaaa shaghala bwana

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius95265 ай бұрын

    Mashaallah mkongwe Dada asha❤❤❤

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82415 ай бұрын

    napenda sana hapa anapokaa..simple and so nice!

  • @user-fd2lm5uz8v
    @user-fd2lm5uz8v5 ай бұрын

    ❤❤❤❤ Asha boko huna baya,mnao mbeza mkome

  • @alimanana7564
    @alimanana75645 ай бұрын

    Mama kipunje nakupenda sana ❤

  • @Youngteo394
    @Youngteo3943 ай бұрын

    Huyu Asha nampenda sana ❤❤❤

  • @user-qn6nl4lu8j
    @user-qn6nl4lu8j5 ай бұрын

    Nampenda sana asha Boko jaman

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx5 ай бұрын

    Wabongo mpk mmuchunguze mtu!! ya nn? Kuwe kwake kusiwe hallelujah!!

  • @renypaultv8342
    @renypaultv83425 ай бұрын

    Beat Iko juu sana

  • @FedFox-fl5pw
    @FedFox-fl5pw5 ай бұрын

    Nimeipenda hiyo ayaa umeme umerudi am tz from wsuzlendi

  • @user-gb3fk1yt8n
    @user-gb3fk1yt8n5 ай бұрын

    Maashaallah

  • @faridapandu7579
    @faridapandu75795 ай бұрын

    ❤❤ nakupenda daasha

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Huyu anaonyesha hii nyumba si yake wala hajakodi muongo , labda kuna mtu anakuana nae kamwomba ajionyeshe ktk intavuu tu , hahahaha😊

  • @user-cy9bl3eu9g

    @user-cy9bl3eu9g

    4 ай бұрын

    Kwanza kunavty vnaoneshaa tu sio lake ajiamn 😂

  • @AgnesAgnes-fm8wp
    @AgnesAgnes-fm8wp5 ай бұрын

    Haha haha asa weee love you so much 😂😂

  • @lovirinaa
    @lovirinaa5 ай бұрын

    Yuko vizur in person ❤

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan62375 ай бұрын

    Asha. Na. Mwene wanafanana sna. Had vituko

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Eti umekodi nyumba kama hiyo alafu jikon una kijiko cha kilo 5 cha genius kimoja😂😂😂😂😂

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya5 ай бұрын

    Jamani Kuna watu wana maisha yawo na huwezi kuwazania maana hawajitapi kwenye mitandao

  • @zainabzain3434

    @zainabzain3434

    5 ай бұрын

    Haileti maana mitandao

  • @user-sc2eq5ub5c
    @user-sc2eq5ub5c5 ай бұрын

    Umemee wakatika ivyoooh aaah Tanesco mwatak laana nyie adi Mahojiano

  • @mamasalhat
    @mamasalhat8 күн бұрын

    Miriam kumbe mdogo wake asha boko uwi asante hiki kipindi nimejua nisiyo yajua😂😂

  • @edinalihedule7609
    @edinalihedule76095 ай бұрын

    Asha ❤❤❤❤❤

  • @simonsmithajax
    @simonsmithajax5 ай бұрын

    AsHa boko na mzee senga movie ya wema😂😂😂inachekesha sana

  • @yakfizahran4536
    @yakfizahran45365 ай бұрын

    Yan saleh anawaz kula to et ubwabwa tutakulajee😊

  • @ireneflorence2232
    @ireneflorence22325 ай бұрын

    Ashaboko kila kitu amesahau kidogo😂😂😂😂

  • @shamimageta6651

    @shamimageta6651

    5 ай бұрын

    😢😢😢😢😢

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt5 ай бұрын

    Mashallahaa

  • @user-st2ig6ds3f
    @user-st2ig6ds3f4 ай бұрын

    Mashaallah

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt5 ай бұрын

    Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha nimeipenda iyo dada ashaboko

  • @siriyangu4724
    @siriyangu47245 ай бұрын

    Mashallah ❤

  • @rosemsafiri7568
    @rosemsafiri75685 ай бұрын

    Sele wapenda kula 😅😅😅umeme nao

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Hii nyumba inaoshesha ndio kwanza imemalizika ujenzi na iko mikononi mwa madalali bado haiĵapata mpangaji ila asha book kakodi kwa masaa tu ya intavuu😂😂😂😂

  • @methodmasaka1436

    @methodmasaka1436

    4 ай бұрын

    Acha dharau na roho mbaya onyesha ya KWAKO na wewe

  • @JennyJma
    @JennyJma5 ай бұрын

    Kumbe miriam amour ni mdogo wako ndio najua leo ila mmefanana kidogo sema wewe mrefu Miriam mfupi 😀

  • @user-bc1jg8md3h
    @user-bc1jg8md3h5 ай бұрын

    Location inasoma wapi hapo nimependa hiyo apartiment

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82415 ай бұрын

    huyu Asha poa sana jmni...nimempenda sana sana

  • @user-mu7yn9gr1w
    @user-mu7yn9gr1w5 ай бұрын

    Kijana anaugeuza mpunga kama kwake😅😅😅😂

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s5 ай бұрын

    Raha ya kiporo maji huwez pasha kiporo bila maj kitakuwa sio kiporo

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 Salehe punguza uroho😂😂😂😂😂

  • @user-gx2wz1xs6d
    @user-gx2wz1xs6d5 ай бұрын

    😅😅Nimecheka jmn umenipa raha

  • @mwanamisiramadhan4773
    @mwanamisiramadhan47735 ай бұрын

    Masha allah nyumba nzr 👏👏😍🥰

  • @SashaOscar
    @SashaOscar5 ай бұрын

    Asha boko jmn nampenda sauti yake haibadiriki 😅😅😅

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy81665 ай бұрын

    Swalekhe uende ukamtembelee na bi Sabah muchacho 😊

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Sio mkazi au mwenyeji wa hapo😂😂😂dah kweli wabongo kwa uongo tumefuzu😂😂😂😂

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku20715 ай бұрын

    Hahahaha Saleh😂❤🎉Eti ubwabwa tutaula kiza😂

  • @sophiakassim6784

    @sophiakassim6784

    5 ай бұрын

    😅😅😅 kashajihesabia na mapemaaa yani nimechekaaa

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Umeliona jicho la asha alivyomkatia mhudumu yaani kama anamwambia wewe usije ukasema kitu😂😂😂😂

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Ok nimekumbuka kumbe wewe comedy😂😂😂😂😂

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Wakialikwa kwenye enter view wanatafuta nyumba sio zao😂😂😂😂😂

  • @gracepatric4371
    @gracepatric43715 ай бұрын

    Afu kweli wamefanana na mariam amour

  • @user-un9eh6xn6c
    @user-un9eh6xn6cАй бұрын

    Nakupenda bure asha boko❤😂😅

  • @denishaule6314
    @denishaule63144 ай бұрын

    Aibu sana nch yetu umeme umeme

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Mlinzi tu kakukatalia itakua majirani😂😂😂😂muongo huyooooooo😂😂😂😂😂

  • @sabrinasabrina3974
    @sabrinasabrina39745 ай бұрын

    tuletee rihama ally❤❤😊😊😊

  • @ZalhathamohdSaid-qn4jj

    @ZalhathamohdSaid-qn4jj

    4 ай бұрын

    we ndo umesema

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    😂😂😂😂eti maji kwa katuni si frij😂😂😂

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi49435 ай бұрын

    Mashaa allah 🎉❤pazuri kwake jomoni ni majirani na miye tunapoishi

  • @shantellemwanakombo3703

    @shantellemwanakombo3703

    5 ай бұрын

    Sidhan kama ni kwake hapo . Kwake bagamoyo huyu mama

  • @user-jr2qg9qp5h

    @user-jr2qg9qp5h

    5 ай бұрын

    Samahani izii nyumba zikwapi nimezipenda

  • @user-jr2qg9qp5h

    @user-jr2qg9qp5h

    5 ай бұрын

    Nipe instagram yakoo unieleweshe

  • @ArafaAmirAmir-ci7ld

    @ArafaAmirAmir-ci7ld

    5 ай бұрын

    ​@@shantellemwanakombo3703Na mie nafaham hivyo

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Wasanii wetu ni waongo sana

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt5 ай бұрын

    Ila tanescoo😅😅😅😅

  • @RASHIDHASHIM-yj3dd
    @RASHIDHASHIM-yj3dd28 күн бұрын

    Oya salehe mbona Kwa CLAM VEVO auendi nenda bas tujue maisha yake anayoish

  • @Sophia-yh4dc
    @Sophia-yh4dc5 ай бұрын

    Ila sale unapenda kula wewe njoo kwangu unihoj majirani wanione😂😂😂😂

  • @kajalamaganga1913
    @kajalamaganga19135 ай бұрын

    Wakwanza leo😂

  • @chimamilion
    @chimamilion5 ай бұрын

    Ichi kikaka kinapenda kula namwili hakina😂😂😂et mpk umekuja kuolewa na mashaallah😅😅😅mbonaivo

  • @rahimaaaaa5682

    @rahimaaaaa5682

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-bz3zk8pn7y
    @user-bz3zk8pn7y5 ай бұрын

    Labda halagi nyumbani mmmh

  • @leaherasto929
    @leaherasto9295 ай бұрын

    Nimefuraia sana interview

  • @chimamilion
    @chimamilion5 ай бұрын

    Wangp wameenda kuangalia iyotaarabu ya dda wa asha😅sema nampenda uyu mama kipind kile anaigiza nakanumba et anagombea umis tanzania😂

  • @paulinapius3184

    @paulinapius3184

    5 ай бұрын

    Mimi 😂😂😂😂

  • @erickmbega852
    @erickmbega8522 ай бұрын

    Mmesha temea mate kwenye chakula😂😂😂😂

  • @mishiomarhassan7115
    @mishiomarhassan71155 ай бұрын

    😂😂😂😂 Swaleh mpka ule 😂😂😂

  • @nishamwenendi-vh4wk
    @nishamwenendi-vh4wk5 ай бұрын

    Wapili naombeni like zangu plz😂

  • @kettylucas5557
    @kettylucas55575 ай бұрын

    Salehe na kula jaman hapana 😂😂😂 umeona ugeuze na kiporo

  • @MrsKhalid-683
    @MrsKhalid-6834 ай бұрын

    Yani huyo kaka dah 😢

  • @selinathindwa9754
    @selinathindwa97545 ай бұрын

    Mgeni kaingia jikoni 😂😂😂😂

  • @user-pi4rs4np1x
    @user-pi4rs4np1x5 ай бұрын

    Watatu mimi😂😂😂

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Ok kesho mm nakuja none uko hapo hapo ila just kabisa mm sipokei rushwa nataka UKWELI tu??????

  • @victorcephas3618
    @victorcephas36185 ай бұрын

    TANESCO wamefanya yao katikati ya interview

  • @faudhiaamour1914
    @faudhiaamour19145 ай бұрын

    😂😂huo umemee sasa ..ila tanesco jmn

  • @MariamJamal-lb3go
    @MariamJamal-lb3go5 ай бұрын

    Salehe tunaomba siku moja uwende kwa Mrs energy

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna61225 ай бұрын

    Aisee mnapasha misosi kama mpo Ulaya

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor59695 ай бұрын

    Nampenda sana sana zaid ya sana Asha boko katibu Uk 🇬🇧 mtu kama huyu unaenjoy ukikaa nae kamuwwke mungu saba mbelempeni salam zangu

  • @ts9dna862
    @ts9dna8625 ай бұрын

    I dont understand the languange but salehe anajua😂

  • @Nasmaabdala-oz2su
    @Nasmaabdala-oz2suКүн бұрын

    Ujakausha sahaniii Ina maji

  • @hamidajabu3324
    @hamidajabu33245 ай бұрын

    Yan inaonekana kabisa sio kwake yan km hajiamin jaman😂😂😂

  • @beautyibrahim8428

    @beautyibrahim8428

    5 ай бұрын

    Si kasema kapanga

  • @mwanaidimunga9099

    @mwanaidimunga9099

    5 ай бұрын

    Kwake kweli maana kwenye mpaka home alihoniwaga kipindi maisha Bado ya chini why asingefake kipindi hicho

  • @user-gt8fw9vk4c

    @user-gt8fw9vk4c

    5 ай бұрын

    Kwake bwana Kwan yeye hawezi kumiliki sehemu kama hiyo,half kingine anakigugumiz so unaweza kuhisi kama hajiamini 😂😂😂😂

  • @zuberikamote2078

    @zuberikamote2078

    5 ай бұрын

    Katanga sio nyumba yeke

  • @FatumaMuya

    @FatumaMuya

    5 ай бұрын

    Jamani yeye mwenyewe ameshasema amepanga

  • @TerrorTrove-bx4pg
    @TerrorTrove-bx4pg5 ай бұрын

    Nend kwa kwa wasanii wakubwa tuone nao maisha yao

  • @khadijaali4657
    @khadijaali46575 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asha jamani kilakitu umesahau kweli au umeamua tu 😂😂😂😂aah mm nakupenda mpaka basi tu from kenya 🇰🇪 ❤❤

  • @selinathindwa9754
    @selinathindwa97545 ай бұрын

    Mgeni kaingia jikoni 😂😂😂😂 😅 ndo maana wanakusema kuwa unapenda kula😊

  • @annakbunga8377

    @annakbunga8377

    5 ай бұрын

    Sio kula tuu mbn wanadai ni mchicha poli jamani😢

  • @sophsoph4740

    @sophsoph4740

    5 ай бұрын

    Mchicha poli ndo nin jmn​@@annakbunga8377

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    5 ай бұрын

    Hujakosea anapenda Kura siku moja arienda kwa amina dadayake dura makabira kara pirau biri kunawa mikono😂😂😂😂😃😂😃😂

  • @sikukuuchuo3093

    @sikukuuchuo3093

    5 ай бұрын

    ​@@annakbunga8377jibu unalo wewe

  • @tanzcanmediatv4473

    @tanzcanmediatv4473

    5 ай бұрын

    Hivi tatizo liko wapi basi hamna exposure ulaya mgeni akiingia anapitiliza anachukua glass anamimina wine anaendelea na stori au anatengeneza coffee wabongo ushamba tu

  • @Juke995
    @Juke9955 ай бұрын

    Nimependa mtaa anaokaa ashaboko jaman anaejua ni wapi nitafute dalali chapu

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m5 ай бұрын

    Asha pakua wali bwana😂😂

  • @janetdundul3858
    @janetdundul38585 ай бұрын

    kipindi kizr jamani ongera mtangazaji 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @scholamodestus9386
    @scholamodestus93865 ай бұрын

    Cyo kwake hapo kwa mwanae, yeye kwake bagamoyo

  • @meckraudndelwa-jv8co

    @meckraudndelwa-jv8co

    5 ай бұрын

    Pata na ww mtt ukakae kwake

  • @SafiyaJ-yw2vt

    @SafiyaJ-yw2vt

    5 ай бұрын

    Hata yy kasema kapanga hapo

  • @tanzcanmediatv4473

    @tanzcanmediatv4473

    5 ай бұрын

    Panga na wewe umuite mama yako chokooo

  • @juliethkipagile4632

    @juliethkipagile4632

    3 ай бұрын

    Mi nilijua kakodi kumbe ni Kwa mwanae afadhalii

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Ungemwambia uongee na majirani😂😂😂

  • @jasminshemsanga8727
    @jasminshemsanga87275 ай бұрын

    Msos mkavu mkavu😂😂😂 ht maji yakunywa

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir4 ай бұрын

    Wasanii wetu kuweni wakweli mnacho fanya ni kuwaharibu vijana wetu na kuwatia Tamaaa ambazo ni uongo mtupu,😮😮😮

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe58015 ай бұрын

    Salehe ndo utoke nje na mwiko 😂😂

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela39265 ай бұрын

    Ashaboko anaishi vizuri na wala hajisifii ila wangekua awa maslay queen sasa weee tungekoma 😂😂😂🙌🏻

Келесі