PETER MARAHA: Kutoka KUISHI na KULALA kwenye GARI Mwanza hadi kuwa na GARAGE kubwa na maarufu zaidi
Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Пікірлер: 47
Peter maraha unajuwa sana kaka mkubwa God bless you
Safi sana brother Sinichi hachukiwi hata bible inasema tuwapende na kuwaombea kwani wanafaida sana
Sky Bora ichi kipindi kidogo,nikipindi kizur mno Ila itapendeza ikiwa utakuwa unawafata watu kazin kwao na tukawa tunaona au chukua video kiasi za mix kwenye upload zako izo juu icho wanacho eleza hao mf:ofisi zao nk.hichi kipindi kinainspire mno but kinaitaji marekebisho kiasi
@juniorsonofgod5675
Жыл бұрын
Nikweli, ushuri wako ni mzuri 🤝
@seifchui4246
Жыл бұрын
Kak true
2namkubali sana Tajir ye2 huyo pitar maraha hana baya huyoooo home boy kabisaaa anajua sana mwambaaaaaa kabisaaa 🔥 🎉🎉
@Mpakauseme
Жыл бұрын
🤣
Kazi nzuri sana brother.
My favorite hustler❤💪
Ndugu yangu Maraha safi sana kaka...
Wakwanza Leo like zengu jaman
Bro huyu navyomjua ni lazma amelipia kuwepo hapo! Na hiyo ni moja ya tangazo la biashara
❤jamaa anajua kujieleza vizuri Yuko dunia ya kwanza anaenda na wakati
@elijohofficial1049
9 ай бұрын
😂😂😂😂 dunia ya kwanza ndo ipiv😅😅
Sky uje umualike freid vunja bei kwenye hicho kipindi
@keviolotu
3 ай бұрын
kweli
inspiration
FIGHTER
Daaah!!! Aya bana
kweli kabisa hilo gali lilikuwa noma kweli
Nice interview ☺️
nakukubali mwalim wa wallpaper uko vizuri
Broo
Daah huyu jamaa anafanya kitu nlichokuwaga nakiwazaga nije kukifanya maana magari nayapenda sana aisee
Sky nimekufwatilia kwa muda kwenye brog yako nimejifunza vingi kwenye vipindi vyako kuongeza ubora wa Hali ya juu sana
🔥🔥🔥🔥
Mwanaunachonga sana,simwanza gettho ujue
Kweli Mwanza bado kijijini, hongera lkn
Safi sana Mwamba 🎉nakukubali sana
hilo halina ubishi mwalimu ni kweli unacho zungumza
kweli kaka ni mpambambanaji kweli
Garage nyingi za Mwanza mafundi wake ni wezi/matapeli ...ukiwapa gari kutengeneza wanaiba vifaa .....Sasa hiyo yake mafundi wake wanahadhi gani au ni hawa hawa mavuta bangi ???
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Acha dharau wewe
Mwamba kutoka Tarime
sawa mwalimu wangu umenfundisha kuweka wallpaper apa talime mjin
Boresha kidogo
😂😂😂😂😂kweli hela hazifugiki Ila bidhaa zinafugika mm furaha yangu n kuona kiduka changu Cha nguo kimejaa mzigo daaaaa napenda kushinda hata hapohapo dkn
Mwamba wa Tarime
Aisee nilijua nitawah😂😂
kweli kaka ni mpiganaji
Bonge la interview
Huyu mwamba namjua
@abduljuma4272
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Mpende snitch wako 😂