Mwijaku Afunguka Billion 1.3 ilivyotumika kwenye Nyumba yake! BABA LEVO Hana Mipango! Part 1

Ойын-сауық

Baada ya kuwa gumzi kwa wiki hii, DC wa INSTA Mwijaku amekaa na Lil Ommy kwa Saa 2 na kuelezea nukta hadi nukta jinsi Billion 1.3 ilivyotumika katika ujenzi wa KASRi lake Kigamboni!, Tazama Full interview hapa, Subscribe, Like, Comment & Share!
Mwijaku aichambua Billioni 1.3 / amchana Baba levo Hana Mipango, alezea mambo kibao kuhusu UCHAWA ulivyomlipa na familia ilivokua inachukulia. ni stori ya kusisimua na kufurahia pia!
Muendelezo wa stori kali upo Part 2, 3 na 4!
Kijana tumia kinga, Zingatia uzazi wa mpango. #Sitetereki

Пікірлер: 64

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla33195 ай бұрын

    Daaaah!Mwijaku matataaa😂😂,muongo hatariiii😂😂😂Mwijaku kibokoo😂

  • @gataramaabdul9761
    @gataramaabdul97615 ай бұрын

    Number 1

  • @pharesdismas8876
    @pharesdismas88765 ай бұрын

    Kila interview numbers za bei zinabadilika 😂😂

  • @kitumbayork5720
    @kitumbayork57205 ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @user-fp5fp6wg9n
    @user-fp5fp6wg9n5 ай бұрын

    🛫

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb5 ай бұрын

    Hahahha uongo mwingi sana kwa hii interview 😅

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi62535 ай бұрын

    Mwanzo alisema hicho kitasa kaweka chumban kwake TU Leo anatuambia kaweka sehemu tatu😂😂😂😂😂kwel muongo siku zote huwa Hana kumbukumbu

  • @milanomilanogi
    @milanomilanogi5 ай бұрын

    Mmmmhhh

  • @jaffarmusafiri5729
    @jaffarmusafiri57295 ай бұрын

    Duh, huu Mwijaku ni muongo sana. Alafu hakuna kitu kizuri kama kuongopewa na unajuwa ukweli, Lil Ommy ametulia tu ila anacheka kimoyomoyo 😂

  • @saluuhans
    @saluuhans5 ай бұрын

    Wahenga wanasema Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu 😂😂 mshenz muhongo huyu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana hii interview Kila interview Bei zinapanda 😂😂😂

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard5 ай бұрын

    Kuma Nina skiming+ binder mil 300 acha usenge we limbukeni

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard5 ай бұрын

    Oya ril ommy huyu jamaa adanganye mafala me ni fundi(Local engineer) hyo nyumba ya mwijaku kaka Skimming Primer binder Dawa za ant fungus Rangi za no 190000-240000 White za selling board+ urembo Chuma za kudzn board kweny zege floor za juu Mbao+ board+ srew+ gypsum powder (Labor charge) Yaan namahanisha skiming ya jengo Zima+ dzn ya board jengo Zima + finishing ya rangi ni mil 30-35

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    5 ай бұрын

    Eeeeh 😅

  • @saluuhans

    @saluuhans

    5 ай бұрын

    Kk tofautisha fundi bakari na ma engineer wa mwijaku 😂 sasa wewe ni fundi bakari ndio unabajet hizo 😂😂😂😂

  • @javanwatson6675
    @javanwatson66755 ай бұрын

    11:42 😁😁uzuri wa iphone haidanganyi, kwani simu gani jamani ambayo haioneshi tarehe

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi62535 ай бұрын

    Uongo wa mwijaku hta shetan anauogopa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @maidimples8236
    @maidimples82365 ай бұрын

    Jaman one’s of his interview anasema ilibomoa nyumba ikiwa ipo kwenye renta so how come iko na wapangaj ndani

  • @josephkiwale374

    @josephkiwale374

    5 ай бұрын

    Kaisikilize Tena interview,hukusikia vzur

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws5 ай бұрын

    Haya bb bora2 una gholofa yko modo kwsha ila kote huko umedanganya mno

  • @yogwemwakulola1634
    @yogwemwakulola16345 ай бұрын

    Nyinyi waandishi Mbona msimuulize kuhusu kakayeke aliropoka kwamba taa zinatoka Kwa duka lake hapo Mbona mnafuka hamumuulizi nipate tu nafasi ya kuwauliza maswaki Hawa machawa naona uchawa utafika mwisho maana napita humohumo Hadi watoroke interview

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz5 ай бұрын

    kama kweli anavyosema kapigwa vibaya sana

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18995 ай бұрын

    Kunahitajika kampuni Ya kutengeneza kinga za mdomo kama vile comndom Ya kuchuja MANENO Ya hovyo. Unaongea hadi hueleweki tena.

  • @fathiyahmuzney7367

    @fathiyahmuzney7367

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @Yusufu940

    @Yusufu940

    5 ай бұрын

    Ungea kauli zuri sii za utu uzima

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi41865 ай бұрын

    Muongo sanaaaa

  • @BrianKyai
    @BrianKyai5 ай бұрын

    Nyumba kali ila 1.3B mh....hype tu hizi za mjini

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard5 ай бұрын

    Hyo rangi anasema dark grey price yake Ni 190000 kwa ndoo (prascon) kampuni ya kwanza kbsa kweny rangi inamaana hyo nyumba imepigwa ndoo 100+ 😅😅😅😅😅

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber75705 ай бұрын

    Sagwn hao

  • @nk.t.shabani4217
    @nk.t.shabani42175 ай бұрын

    Mwijaku muongo jamani hizo taa kwenye interview ya zamaradi tv kaka yake kampa kwa bure 😂🤣🤣🤣 bongo ukifa kwa stress basi unajitakia mwenyewe 🤣😂🤣

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi62535 ай бұрын

    Chawa kanunua kitasa cha millioni 18 sisi wengne tunafer wap?😂😂😂😂😂😂😂

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg5 ай бұрын

    Sijapata kuona uongo kama uhuu, mambo hayo amwambie mwanae.

  • @hamisijumanne4137
    @hamisijumanne41375 ай бұрын

    Mfarume

  • @Kingkongchuma
    @Kingkongchuma5 ай бұрын

    11:57 iPhone haha video ya mwaka Jana uki tumiwa Leo kwako itasema Leo urongo wa kishamba

  • @medidaudi8335
    @medidaudi83355 ай бұрын

    Umeokopa taa ya laki moja ukaendan kununuw taa la million 5. Mshenzi san mwijaku

  • @jrsingham
    @jrsingham5 ай бұрын

    Kuskim m300 kila fundi Kaskim kwa m30 😂😂😂

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard5 ай бұрын

    Lakin et skiming + binder mili 200 aah mwijaku, et rangi mil 48 duuh nimeamini Kuna binadam Ni waongo shetan akasome

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking5 ай бұрын

    Uongo pia huakisi kiwango cha ujinga

  • @ruu6592
    @ruu65925 ай бұрын

    Maskini awaijui ela ndio mana wanasema uongo ongera Aristote msechu Nandi mama pi ongeraa zenu

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan255 ай бұрын

    It's good house but it is not 1.3 B

  • @dereva0
    @dereva05 ай бұрын

    mara aseme taa elfu 45 mara milioni hamsini tuelewe vp

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi2555 ай бұрын

    Hiyo nyumba haizidi mil 200😅huyu jamaa fix saba

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan255 ай бұрын

    Ila baba muongo huyu ndio mjengo ni Bomba ila b 1.3 ni uongo uongo

  • @Broxnick
    @Broxnick5 ай бұрын

    Yaani $398,807 😂😂😂 that’s a f*king lie

  • @amarido12
    @amarido125 ай бұрын

    Kama ametumia 1.3 B atakuwa ameibiwa 1.2 B mchana kweupe

  • @Kulindwa
    @Kulindwa5 ай бұрын

    DC daka maua yako ya mgebuka, au nyuma yupo accountant wife

  • @user-lw8uk6xw2h
    @user-lw8uk6xw2h5 ай бұрын

    ona kipara chake

  • @kshayofurniture2941

    @kshayofurniture2941

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @kshayofurniture2941

    @kshayofurniture2941

    5 ай бұрын

    Kama jua 😂

  • @makengomshana8458
    @makengomshana84585 ай бұрын

    WEWE OMBA OMBA NIMUONGO ACHA UJINGA WAKO

  • @eddobiz9452
    @eddobiz94525 ай бұрын

    Uyu baba muongo jamaan

  • @rajuxcharity
    @rajuxcharity5 ай бұрын

    Hivi huu mwijaku anahisi 1.3B niutani nyumba anao ishi diamond platinum samani yake ni 1B 😝😝nyumba kama ilee hata 500M nyingi

  • @johariabdalla3319

    @johariabdalla3319

    5 ай бұрын

    Mwijaku mtu wa kufurahisha tu😂

  • @imamhussein1104

    @imamhussein1104

    5 ай бұрын

    Kwahiyo

  • @zeddybass6672

    @zeddybass6672

    5 ай бұрын

    Daimond kapanga pale

  • @FredOdemba-rw1us

    @FredOdemba-rw1us

    5 ай бұрын

    ​@@zeddybass6672alishainunua wew sema ajaijenga yey lakin sio kam amepanga sahih 😮😮

  • @faidhacute

    @faidhacute

    5 ай бұрын

    Mwijaku ni mtu ambae ana elimu lakn hajaelimika Kwa kweli Inahuzunisha sana kwakwel😢

  • @medidaudi8335
    @medidaudi83355 ай бұрын

    mwijaku muongo mtupu duuh. Gisi anaziongelea hizo millioni kama shiling 100 tu

  • @sudiabdi4400
    @sudiabdi44005 ай бұрын

    Uongo mtupu

  • @dominicngeno4227
    @dominicngeno42275 ай бұрын

    You are speaking lies hio nyumba sio B no way

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce20725 ай бұрын

    Unamaliza mabando ya wa2 paka ww.....

  • @Yusufu940
    @Yusufu9405 ай бұрын

    MUJAKU UNA ONGEZA ZERO

  • @ellymagoke6079
    @ellymagoke60795 ай бұрын

    Muongo wewe

Келесі