Alianza na MTAJI wa simu na ELFU 20 tu, sasa anamiliki duka la vyombo KARIAKOO la zaidi ya MIL. 50

Follow Account ya Instagram ya Boma Kitchen Ware hapa
/ boma_kitcheni_ware

Пікірлер: 115

  • @clevermngao7565
    @clevermngao75653 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu kikubwa Sana aisee! Hebu tuletee watu wengine kama hawa sio kuleta udaku wa mapenzi! Mapenzi tu! Big up brother!

  • @frezamapunda4273

    @frezamapunda4273

    3 жыл бұрын

    Nimejifunza mambo meng sana iseee naomba niunganishe nae nijifunze zaid

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi10833 жыл бұрын

    Ukiwa na mwanamke supportive kama wa huyu Jamaa ndoa inakuwa tamu sana...

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar3 жыл бұрын

    Interview nzuri , ninejifunza mengi hapa leo

  • @zeliamnyoge7340

    @zeliamnyoge7340

    3 жыл бұрын

    Jamon shule yangu mungu atie nguvu

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace9792 жыл бұрын

    Nina mtaji nilikuwa nawaza ishu ya kuuza vyombo, i got something here. Thanks Bro

  • @amosmahona433
    @amosmahona4333 жыл бұрын

    Sns ni channel nzurisana.kweli mwanamke anasaidia sana Mimi kipindi nipo pekee yangu hela sijui hata zilikuwa zinaenda wapi unapata milioni lakini nikitoka out siku 2 tu Sina hata Mia. Sasa nimeoa miezi miwili akili imenikaa naweka akiba, KIWANJA kimenunulika, hiace ya kuingiza hela ya CHAKULA.

  • @husseinmrisho8980

    @husseinmrisho8980

    3 жыл бұрын

    Tusaidiane vjana na izo fursa Plz🙏

  • @cadhimberec1286

    @cadhimberec1286

    3 жыл бұрын

    Umepata mke mwema kuna wanawake majambazi wakiona hela wanachanganyikiwa??

  • @salamagat4784

    @salamagat4784

    3 жыл бұрын

    @@cadhimberec1286 ww jamani

  • @akshaydavid159

    @akshaydavid159

    3 жыл бұрын

    Hahahaaa

  • @tedymwandara5480

    @tedymwandara5480

    3 жыл бұрын

    Watu wengi sana wanafikiri kua peke Yao ndio watafanikiwa sana kumbe ni kupoteza muda bure.Umoja ni kitu kizuri hata Mwenyezi Mungu anafanya kazi ktk utatu mtakatifu.Vijana msiogope kuoa.Usioe mwanamke sababu ya uziri wake.Oa mwanamke mwenye hofu ya Mungu na anapenda mafanikio.

  • @advocatekarama4917
    @advocatekarama49173 жыл бұрын

    Nimeipenda hii interview, God bless you all 🙏🥂

  • @geraldjoel5727
    @geraldjoel57273 жыл бұрын

    Brother muite na Sirjeff Dennis

  • @Kulimagolddrc
    @Kulimagolddrc3 жыл бұрын

    When I started following this interview I thought that you deliver even overseas but not, we miss those products in Australia many thanks

  • @asiasabua2346
    @asiasabua2346 Жыл бұрын

    Mashaallah nimependa kaka kumsifia mwanamkewake wachache wenyekupata wakajuwa sapotizaweziwao upo vizur kaka

  • @renatuskweyamba6460
    @renatuskweyamba64603 жыл бұрын

    Yaani nimejifunza kitu kikubwa sana.. Mungu akubariki hata mb zangu hazikwenda bure.. Bless bless bless much.

  • @zakstv7368
    @zakstv73683 жыл бұрын

    Sky umenifurahisha sana leo umetuletea kitu tunapenda

  • @johnmligo6966
    @johnmligo69663 жыл бұрын

    Aaaa classmate big up sana Fr Jbmligo hapaa!

  • @owlbig
    @owlbig3 жыл бұрын

    Thx a lot boss

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu35383 жыл бұрын

    Facts indeed big up

  • @saumurashid5232
    @saumurashid52323 жыл бұрын

    👌 mashaallah ♥️nimejifunza kitu hapa 🌟🌟

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo833 жыл бұрын

    Thanks Sns nimejifunza kitu ❤🇹🇿🇨🇭

  • @izzynevin3443
    @izzynevin34432 жыл бұрын

    The best enterview ever seen

  • @aminakupila3079
    @aminakupila30793 жыл бұрын

    Thank you 🙏 Kaka Sky tumejifunza.

  • @mamunote3507
    @mamunote35073 жыл бұрын

    Hongera sana kwa upambanaji Mungu Azidi kukubariki

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman64233 жыл бұрын

    Thanx🙏

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah36443 жыл бұрын

    Nice interview 👌 bless on bless

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah70833 жыл бұрын

    Shukran sns

  • @diyaosman6268
    @diyaosman62683 жыл бұрын

    Asante nimefurahi sana

  • @willymfilima9936
    @willymfilima99363 жыл бұрын

    Umetisha bro,uko smart sana

  • @daktarij381
    @daktarij3813 жыл бұрын

    very educative interview,,,big up sky

  • @arestiusbanks7182
    @arestiusbanks71823 жыл бұрын

    Brother umetema nondo sana be blessed

  • @msalikemediaonline
    @msalikemediaonline3 жыл бұрын

    Yaan nimejifunza kitu kikubwa sana asante kaka sky kwa kutuletea watu kama hawa

  • @mwajomaessa7513
    @mwajomaessa75133 жыл бұрын

    Mashaallah nimeipenda sana🇹🇿🇴🇲

  • @aminamrisho3620
    @aminamrisho36203 жыл бұрын

    Good interview hapana najifunza kitu safi bro

  • @lizzyjulie1604
    @lizzyjulie16043 жыл бұрын

    Great interview, huyo anaongea ukweli kabisa. Kitu kilichomsaisia kujenga uaminifu kwa wateja wake mwanzo ni kukubali kufikisha mzigo kwanza kwa mteja ndipo alipwe kitu ambacho wauzaji wengi wa online hawafanyi

  • @muhammehusna3384

    @muhammehusna3384

    2 жыл бұрын

    Hakika uaminiifu ndio mafanikio y mfany biashaara

  • @phinerjulius8487
    @phinerjulius84872 жыл бұрын

    Asante sn kaka

  • @bestmedia_tz
    @bestmedia_tz3 жыл бұрын

    Life is war Big up sana Kaka

  • @harriethkisese3945
    @harriethkisese39453 жыл бұрын

    Hapo kwenye kusapot account ndio mtihani na ndio maana wengi tunajaribu biashara kwenye mitandao na tunashindwa kumbe kuna kusaport acoustic jamani...

  • @verynicethifilmnuur1alrahb887
    @verynicethifilmnuur1alrahb8873 жыл бұрын

    Mashaallah hakika iko vzr

  • @khaulatmohammed3765
    @khaulatmohammed37653 жыл бұрын

    Ma sha allah

  • @nikhatkhan8362
    @nikhatkhan83623 жыл бұрын

    Allah amjalie ndugu yetu

  • @mwajumatwalib260
    @mwajumatwalib2603 жыл бұрын

    Brother shukran Sana nimejifunza kitu kupitia wewe ongera Sana

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora11803 жыл бұрын

    Mashaa'Allah jaman mm mbona nimependa hlo somo

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile96063 жыл бұрын

    Expose those clowns Sky, hao wa marketing networks na online businesses ambao sio waamifinifu uokoe kizazi cha wengi wasio kuwa na uelewa. It might help a lot bro. Shout out to Mapunda for sure he's deserves to prosper also big up to madam on his side, God bless their hustles with you too guys hapo mjengoni SNS. Love!

  • @ayishaayishayisha4465

    @ayishaayishayisha4465

    3 жыл бұрын

    Hongera kaka

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms34643 жыл бұрын

    MWAKANI NAMIMI NIITE

  • @donaldkawacha9875
    @donaldkawacha98753 жыл бұрын

    Ubarikiwe kaka

  • @cciddccudd2845
    @cciddccudd28453 жыл бұрын

    Kwahiyo....mwaka na miezi mi4=16 months....50,000,000÷16=3,125,000/=.....bila ya kuwa na duka wala nn!!!Mungu tupe maarifa

  • @kizakadafi4649
    @kizakadafi46499 ай бұрын

    Uyu brother ni level ingine

  • @khadijakassim730
    @khadijakassim7303 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa76013 жыл бұрын

    Huyu kaka kaongea point mno...kubadili marafiki

  • @shanitito6470
    @shanitito6470 Жыл бұрын

    Kaka napenda sana bishala ya vyombo niganye Nini na Mimi Niko mwanza?

  • @dn.n4983
    @dn.n49833 жыл бұрын

    Kuheshimu waminifu imani bidii kazi usikate tamaaa ni kweli kabisa unachosema la kweli kabisa watu wafiri kupewa pesa bdio dili lakini dill la kweli mtu kupa njia kuambia kuhusu maendeleo ubarikiwe zaidi

  • @lenatawinchilaus7688
    @lenatawinchilaus76883 жыл бұрын

    Nimependa sana historia yake

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo2 ай бұрын

    Kaka awezekani Mimi myaka18 kwenye gem lakini Bado kutoboa nasijawai kuishi maisha yanasa

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48373 жыл бұрын

    Tuletee watu kama hawa wengi

  • @tynercolin5060
    @tynercolin50603 жыл бұрын

    Wooow

  • @siriyangu4724
    @siriyangu47243 жыл бұрын

    Kweli kbs

  • @zakyahya4645
    @zakyahya46453 жыл бұрын

    Nimependa

  • @athumanimhanga2053

    @athumanimhanga2053

    3 жыл бұрын

    jamani tupo wengi sanaa tuliepambana.mm nipo Dodoma.namba yangu hiyo.0717130010.nipigieni.na mm nitakuja.nimjasiliamali pia

  • @nahengadesempy8555
    @nahengadesempy85553 жыл бұрын

    Sky bonge moja la mtangazaji

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Жыл бұрын

    Sky embu nisaidie jina la duka la huyu mentor

  • @keviombni3289
    @keviombni3289 Жыл бұрын

    kaka xhikamo samahani Sana kaka nakuomba namba ya simu

  • @mrmhando9819
    @mrmhando98193 жыл бұрын

    Naomba namba bro

  • @samangupatrick9960
    @samangupatrick99603 жыл бұрын

    Wanawake mjifunze hapo na siyo kusema tuma na yakutolea

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace9792 жыл бұрын

    Namba za duka plz, nahitaji kuagiza mzigo, nipo Dodoma.

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi79503 жыл бұрын

    "NDIVYO ILIVYO...SHIDA UZALISHA FURSA"

  • @janejohn4704
    @janejohn47042 жыл бұрын

    Kaka nipe namba yako

  • @shadrickmbamba4521
    @shadrickmbamba45212 жыл бұрын

    Kitu kilicho nifurahisha amemtaja jamaa nilie soma nae Shule moja Meta Secondary High school nimekaa nae bweni Room moja kwajina la utani tulimwita mseminary jina lake Jeovin

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g3 жыл бұрын

    Naitaji namba yake nije nifate vyombo

  • @jamesimsokwa5867
    @jamesimsokwa58672 жыл бұрын

    Jamaa yuko poa sana

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan52413 жыл бұрын

    Mnambilie nataka machine 2 za juis niko Igunga

  • @esterjimmy7573
    @esterjimmy75733 жыл бұрын

    Nimejifunza mengi hasa katika utafutaji

  • @queenbhanji7223
    @queenbhanji72233 жыл бұрын

    Mm nshakutan na mtu mmoja hv nilipenda bidhaa yake akatak ntume pesa fasta yaan ulikuwa ucku lkn nkatuma cku ya pili akantumia mzigo wang lkn alituma mzigo nusu huo ulobak mpaka leo hii tunasumbuana2 kweny cmu had naogop kuorder bidhaa online

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama38993 жыл бұрын

    Huwezi kuhifadhi pesa bank alafu, ukawa unafanya saving, awa watu wanao fanyiwaga interview kuna vitu huwa hawasemi ,hawafunguki ukweli, kuna mmmoja umu juzi apa kaijiwa akasema alianza na laki tatu na ana biashara kubwa sana ,

  • @isamaboe3495

    @isamaboe3495

    3 жыл бұрын

    Naomba unifafanulie

  • @agathathobias8690

    @agathathobias8690

    3 жыл бұрын

    Kidogo kidogo hujaza kibaba

  • @isamaboe3495

    @isamaboe3495

    3 жыл бұрын

    Kwahy ni vyema kuhifadhi kawaida t Na sio kweny bank au una maana gan mkuu

  • @nasrasalim1897
    @nasrasalim18973 жыл бұрын

    Nimewahi Leo🥰🥰🥰

  • @lameckmichaelmagazi6345
    @lameckmichaelmagazi63453 жыл бұрын

    Wanawake mjifunzekituhapo siyo unakuwa Mwanaume akipata mzigo unaanza kupigamzinga nakujenga kwenu.hiyosiyopoa

  • @kathyrinesimbeye4449
    @kathyrinesimbeye44493 жыл бұрын

    Mmh xijaelewa hapo kweny kusponsor account ya Instagram

  • @haskao77

    @haskao77

    3 жыл бұрын

    I think he meant promoting, (kuitangaza page/biashara)

  • @kathyrinesimbeye4449

    @kathyrinesimbeye4449

    3 жыл бұрын

    @@haskao77 unaitangazaje Sasa kupitia account ya bank???

  • @haskao77

    @haskao77

    3 жыл бұрын

    @@kathyrinesimbeye4449 kama unatumia Instagram ujue kuna account aina mbili. Kuna personal na business account. Kama account yako umeiset kama business account kila ukipost picha inakupa option ya kuipromote hiyo picha na hiyo promotion inalipiwa kwa kutumia bank card (credit au debit card) na kama ilivyokawaida kupata kadi lazima uwe na account benki. Hopefully umenielewa.

  • @samsungj7pro64gb5

    @samsungj7pro64gb5

    3 жыл бұрын

    @@haskao77mh kwakweri inatakiwa upate mafunzo hasaa

  • @amzamrid3571
    @amzamrid35713 жыл бұрын

    Tutajifunza mengi

  • @chamomedia920
    @chamomedia9203 жыл бұрын

    Alitumia muda gani hadi kufungua duka

  • @khadijahajji716
    @khadijahajji7163 жыл бұрын

    Kama una namba ,za huyu jamaa nipe maan nafanya kitu kama hichi

  • @user-bj9rm1nf5v
    @user-bj9rm1nf5v6 ай бұрын

    ahahaha imenifurahisha history Yako nashangaa unasimulia history ambayo mlie toroka Naye alikua akitusimulia tulikaa bweni pamoja room Moja tukiwa nae META SECONDARY mbeya pale

  • @advocatekarama4917
    @advocatekarama49173 жыл бұрын

    SAUT 🥂🥂

  • @mkakampole7802
    @mkakampole78023 жыл бұрын

    Shetani mbaya sana nimefika apo kwenye vyombo vya million tatu si sim ikazima bhana... Kweli kwenye njia ya mafanikio kuna changamoto nyingi

  • @SimuliziNaSauti

    @SimuliziNaSauti

    3 жыл бұрын

    ha ha ha!

  • @aminajuma1435

    @aminajuma1435

    3 жыл бұрын

    Mkaka mpole 😂😂😂 umesababisha nimecheka kijingasana hahahahaha

  • @mkakampole7802

    @mkakampole7802

    3 жыл бұрын

    @@SimuliziNaSauti hahahah!! sio poa kaka sky nusu nizimie yani.

  • @mkakampole7802

    @mkakampole7802

    3 жыл бұрын

    @@aminajuma1435 😂😂 ilibaki kidogo nilie et...

  • @fatinasudi3806

    @fatinasudi3806

    3 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara54803 жыл бұрын

    We jamaa unanikumbusha walimu wa biashara walahi tunazingua.

  • @khadijahajji716

    @khadijahajji716

    3 жыл бұрын

    Commerce .bookiping ,enterprenuership ,haaaa hatari

  • @hopeobeth9806
    @hopeobeth98063 жыл бұрын

    Mwakani na Mimi niite jamanii

  • @highthemetv7857
    @highthemetv78573 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/imuDsNiMg67AfNY.html 👆👆👆👆👆👆👆 Kama ni muoga usifungue hii video 😨Tazama Kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera 😭😨

  • @robertsalu6551
    @robertsalu65513 жыл бұрын

    Muite na Jeff Bezos

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali93713 жыл бұрын

    Ina maana hukua na bank accounts

  • @geofreykatangamoyo6806

    @geofreykatangamoyo6806

    Жыл бұрын

    Apo nilijiuliza sanaa ila nikabaki najibu la labda account yake haikuwa na pesa labda hivyo.

  • @muniramunira401
    @muniramunira4013 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @shanitito6470

    @shanitito6470

    Жыл бұрын

    Nataman sana niganye biashala na ww kaka lakini niko mkoani na mm naifanya nitawezaje kukupata

  • @shanitito6470
    @shanitito6470 Жыл бұрын

    Kaka napenda sana bishala ya vyombo niganye Nini na Mimi Niko mwanza?

Келесі