Alianza na MTAJI wa simu na ELFU 20 tu, sasa anamiliki duka la vyombo KARIAKOO la zaidi ya MIL. 50
Follow Account ya Instagram ya Boma Kitchen Ware hapa / boma_kitcheni_ware
Жүктеу.....
Пікірлер: 115
@clevermngao75653 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa Sana aisee! Hebu tuletee watu wengine kama hawa sio kuleta udaku wa mapenzi! Mapenzi tu! Big up brother!
@frezamapunda4273
3 жыл бұрын
Nimejifunza mambo meng sana iseee naomba niunganishe nae nijifunze zaid
@wilsonchishomi10833 жыл бұрын
Ukiwa na mwanamke supportive kama wa huyu Jamaa ndoa inakuwa tamu sana...
@aromaofzanzibar3 жыл бұрын
Interview nzuri , ninejifunza mengi hapa leo
@zeliamnyoge7340
3 жыл бұрын
Jamon shule yangu mungu atie nguvu
@Thisisgrace9792 жыл бұрын
Nina mtaji nilikuwa nawaza ishu ya kuuza vyombo, i got something here. Thanks Bro
@amosmahona4333 жыл бұрын
Sns ni channel nzurisana.kweli mwanamke anasaidia sana Mimi kipindi nipo pekee yangu hela sijui hata zilikuwa zinaenda wapi unapata milioni lakini nikitoka out siku 2 tu Sina hata Mia. Sasa nimeoa miezi miwili akili imenikaa naweka akiba, KIWANJA kimenunulika, hiace ya kuingiza hela ya CHAKULA.
@husseinmrisho8980
3 жыл бұрын
Tusaidiane vjana na izo fursa Plz🙏
@cadhimberec1286
3 жыл бұрын
Umepata mke mwema kuna wanawake majambazi wakiona hela wanachanganyikiwa??
@salamagat4784
3 жыл бұрын
@@cadhimberec1286 ww jamani
@akshaydavid159
3 жыл бұрын
Hahahaaa
@tedymwandara5480
3 жыл бұрын
Watu wengi sana wanafikiri kua peke Yao ndio watafanikiwa sana kumbe ni kupoteza muda bure.Umoja ni kitu kizuri hata Mwenyezi Mungu anafanya kazi ktk utatu mtakatifu.Vijana msiogope kuoa.Usioe mwanamke sababu ya uziri wake.Oa mwanamke mwenye hofu ya Mungu na anapenda mafanikio.
@advocatekarama49173 жыл бұрын
Nimeipenda hii interview, God bless you all 🙏🥂
@geraldjoel57273 жыл бұрын
Brother muite na Sirjeff Dennis
@Kulimagolddrc3 жыл бұрын
When I started following this interview I thought that you deliver even overseas but not, we miss those products in Australia many thanks
Yaani nimejifunza kitu kikubwa sana.. Mungu akubariki hata mb zangu hazikwenda bure.. Bless bless bless much.
@zakstv73683 жыл бұрын
Sky umenifurahisha sana leo umetuletea kitu tunapenda
@johnmligo69663 жыл бұрын
Aaaa classmate big up sana Fr Jbmligo hapaa!
@owlbig3 жыл бұрын
Thx a lot boss
@wemakalamu35383 жыл бұрын
Facts indeed big up
@saumurashid52323 жыл бұрын
👌 mashaallah ♥️nimejifunza kitu hapa 🌟🌟
@aminanamoyo833 жыл бұрын
Thanks Sns nimejifunza kitu ❤🇹🇿🇨🇭
@izzynevin34432 жыл бұрын
The best enterview ever seen
@aminakupila30793 жыл бұрын
Thank you 🙏 Kaka Sky tumejifunza.
@mamunote35073 жыл бұрын
Hongera sana kwa upambanaji Mungu Azidi kukubariki
@tanzaniaoman64233 жыл бұрын
Thanx🙏
@aminaabdallah36443 жыл бұрын
Nice interview 👌 bless on bless
@khadeejaabdullah70833 жыл бұрын
Shukran sns
@diyaosman62683 жыл бұрын
Asante nimefurahi sana
@willymfilima99363 жыл бұрын
Umetisha bro,uko smart sana
@daktarij3813 жыл бұрын
very educative interview,,,big up sky
@arestiusbanks71823 жыл бұрын
Brother umetema nondo sana be blessed
@msalikemediaonline3 жыл бұрын
Yaan nimejifunza kitu kikubwa sana asante kaka sky kwa kutuletea watu kama hawa
@mwajomaessa75133 жыл бұрын
Mashaallah nimeipenda sana🇹🇿🇴🇲
@aminamrisho36203 жыл бұрын
Good interview hapana najifunza kitu safi bro
@lizzyjulie16043 жыл бұрын
Great interview, huyo anaongea ukweli kabisa. Kitu kilichomsaisia kujenga uaminifu kwa wateja wake mwanzo ni kukubali kufikisha mzigo kwanza kwa mteja ndipo alipwe kitu ambacho wauzaji wengi wa online hawafanyi
@muhammehusna3384
2 жыл бұрын
Hakika uaminiifu ndio mafanikio y mfany biashaara
@phinerjulius84872 жыл бұрын
Asante sn kaka
@bestmedia_tz3 жыл бұрын
Life is war Big up sana Kaka
@harriethkisese39453 жыл бұрын
Hapo kwenye kusapot account ndio mtihani na ndio maana wengi tunajaribu biashara kwenye mitandao na tunashindwa kumbe kuna kusaport acoustic jamani...
@verynicethifilmnuur1alrahb8873 жыл бұрын
Mashaallah hakika iko vzr
@khaulatmohammed37653 жыл бұрын
Ma sha allah
@nikhatkhan83623 жыл бұрын
Allah amjalie ndugu yetu
@mwajumatwalib2603 жыл бұрын
Brother shukran Sana nimejifunza kitu kupitia wewe ongera Sana
@ashooraashoora11803 жыл бұрын
Mashaa'Allah jaman mm mbona nimependa hlo somo
@bensonkaile96063 жыл бұрын
Expose those clowns Sky, hao wa marketing networks na online businesses ambao sio waamifinifu uokoe kizazi cha wengi wasio kuwa na uelewa. It might help a lot bro. Shout out to Mapunda for sure he's deserves to prosper also big up to madam on his side, God bless their hustles with you too guys hapo mjengoni SNS. Love!
@ayishaayishayisha4465
3 жыл бұрын
Hongera kaka
@twentyacresfarms34643 жыл бұрын
MWAKANI NAMIMI NIITE
@donaldkawacha98753 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka
@cciddccudd28453 жыл бұрын
Kwahiyo....mwaka na miezi mi4=16 months....50,000,000÷16=3,125,000/=.....bila ya kuwa na duka wala nn!!!Mungu tupe maarifa
@kizakadafi46499 ай бұрын
Uyu brother ni level ingine
@khadijakassim7303 жыл бұрын
Mashaallah
@masalakulwa76013 жыл бұрын
Huyu kaka kaongea point mno...kubadili marafiki
@shanitito6470 Жыл бұрын
Kaka napenda sana bishala ya vyombo niganye Nini na Mimi Niko mwanza?
@dn.n49833 жыл бұрын
Kuheshimu waminifu imani bidii kazi usikate tamaaa ni kweli kabisa unachosema la kweli kabisa watu wafiri kupewa pesa bdio dili lakini dill la kweli mtu kupa njia kuambia kuhusu maendeleo ubarikiwe zaidi
@lenatawinchilaus76883 жыл бұрын
Nimependa sana historia yake
@MisheckSiame-si1yo2 ай бұрын
Kaka awezekani Mimi myaka18 kwenye gem lakini Bado kutoboa nasijawai kuishi maisha yanasa
@khadijahali48373 жыл бұрын
Tuletee watu kama hawa wengi
@tynercolin50603 жыл бұрын
Wooow
@siriyangu47243 жыл бұрын
Kweli kbs
@zakyahya46453 жыл бұрын
Nimependa
@athumanimhanga2053
3 жыл бұрын
jamani tupo wengi sanaa tuliepambana.mm nipo Dodoma.namba yangu hiyo.0717130010.nipigieni.na mm nitakuja.nimjasiliamali pia
@nahengadesempy85553 жыл бұрын
Sky bonge moja la mtangazaji
@heavenlight5084 Жыл бұрын
Sky embu nisaidie jina la duka la huyu mentor
@keviombni3289 Жыл бұрын
kaka xhikamo samahani Sana kaka nakuomba namba ya simu
@mrmhando98193 жыл бұрын
Naomba namba bro
@samangupatrick99603 жыл бұрын
Wanawake mjifunze hapo na siyo kusema tuma na yakutolea
@Thisisgrace9792 жыл бұрын
Namba za duka plz, nahitaji kuagiza mzigo, nipo Dodoma.
@shenjamamzingi79503 жыл бұрын
"NDIVYO ILIVYO...SHIDA UZALISHA FURSA"
@janejohn47042 жыл бұрын
Kaka nipe namba yako
@shadrickmbamba45212 жыл бұрын
Kitu kilicho nifurahisha amemtaja jamaa nilie soma nae Shule moja Meta Secondary High school nimekaa nae bweni Room moja kwajina la utani tulimwita mseminary jina lake Jeovin
@user-nn5sq8ol4g3 жыл бұрын
Naitaji namba yake nije nifate vyombo
@jamesimsokwa58672 жыл бұрын
Jamaa yuko poa sana
@nadrahassan52413 жыл бұрын
Mnambilie nataka machine 2 za juis niko Igunga
@esterjimmy75733 жыл бұрын
Nimejifunza mengi hasa katika utafutaji
@queenbhanji72233 жыл бұрын
Mm nshakutan na mtu mmoja hv nilipenda bidhaa yake akatak ntume pesa fasta yaan ulikuwa ucku lkn nkatuma cku ya pili akantumia mzigo wang lkn alituma mzigo nusu huo ulobak mpaka leo hii tunasumbuana2 kweny cmu had naogop kuorder bidhaa online
@emanuelmoshama38993 жыл бұрын
Huwezi kuhifadhi pesa bank alafu, ukawa unafanya saving, awa watu wanao fanyiwaga interview kuna vitu huwa hawasemi ,hawafunguki ukweli, kuna mmmoja umu juzi apa kaijiwa akasema alianza na laki tatu na ana biashara kubwa sana ,
@isamaboe3495
3 жыл бұрын
Naomba unifafanulie
@agathathobias8690
3 жыл бұрын
Kidogo kidogo hujaza kibaba
@isamaboe3495
3 жыл бұрын
Kwahy ni vyema kuhifadhi kawaida t Na sio kweny bank au una maana gan mkuu
Mmh xijaelewa hapo kweny kusponsor account ya Instagram
@haskao77
3 жыл бұрын
I think he meant promoting, (kuitangaza page/biashara)
@kathyrinesimbeye4449
3 жыл бұрын
@@haskao77 unaitangazaje Sasa kupitia account ya bank???
@haskao77
3 жыл бұрын
@@kathyrinesimbeye4449 kama unatumia Instagram ujue kuna account aina mbili. Kuna personal na business account. Kama account yako umeiset kama business account kila ukipost picha inakupa option ya kuipromote hiyo picha na hiyo promotion inalipiwa kwa kutumia bank card (credit au debit card) na kama ilivyokawaida kupata kadi lazima uwe na account benki. Hopefully umenielewa.
Kama una namba ,za huyu jamaa nipe maan nafanya kitu kama hichi
@user-bj9rm1nf5v6 ай бұрын
ahahaha imenifurahisha history Yako nashangaa unasimulia history ambayo mlie toroka Naye alikua akitusimulia tulikaa bweni pamoja room Moja tukiwa nae META SECONDARY mbeya pale
@advocatekarama49173 жыл бұрын
SAUT 🥂🥂
@mkakampole78023 жыл бұрын
Shetani mbaya sana nimefika apo kwenye vyombo vya million tatu si sim ikazima bhana... Kweli kwenye njia ya mafanikio kuna changamoto nyingi
We jamaa unanikumbusha walimu wa biashara walahi tunazingua.
@khadijahajji716
3 жыл бұрын
Commerce .bookiping ,enterprenuership ,haaaa hatari
@hopeobeth98063 жыл бұрын
Mwakani na Mimi niite jamanii
@highthemetv78573 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/imuDsNiMg67AfNY.html 👆👆👆👆👆👆👆 Kama ni muoga usifungue hii video 😨Tazama Kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera 😭😨
@robertsalu65513 жыл бұрын
Muite na Jeff Bezos
@gloriamwanjali93713 жыл бұрын
Ina maana hukua na bank accounts
@geofreykatangamoyo6806
Жыл бұрын
Apo nilijiuliza sanaa ila nikabaki najibu la labda account yake haikuwa na pesa labda hivyo.
@muniramunira4013 жыл бұрын
Mashaallah
@shanitito6470
Жыл бұрын
Nataman sana niganye biashala na ww kaka lakini niko mkoani na mm naifanya nitawezaje kukupata
@shanitito6470 Жыл бұрын
Kaka napenda sana bishala ya vyombo niganye Nini na Mimi Niko mwanza?
Пікірлер: 115
Nimejifunza kitu kikubwa Sana aisee! Hebu tuletee watu wengine kama hawa sio kuleta udaku wa mapenzi! Mapenzi tu! Big up brother!
@frezamapunda4273
3 жыл бұрын
Nimejifunza mambo meng sana iseee naomba niunganishe nae nijifunze zaid
Ukiwa na mwanamke supportive kama wa huyu Jamaa ndoa inakuwa tamu sana...
Interview nzuri , ninejifunza mengi hapa leo
@zeliamnyoge7340
3 жыл бұрын
Jamon shule yangu mungu atie nguvu
Nina mtaji nilikuwa nawaza ishu ya kuuza vyombo, i got something here. Thanks Bro
Sns ni channel nzurisana.kweli mwanamke anasaidia sana Mimi kipindi nipo pekee yangu hela sijui hata zilikuwa zinaenda wapi unapata milioni lakini nikitoka out siku 2 tu Sina hata Mia. Sasa nimeoa miezi miwili akili imenikaa naweka akiba, KIWANJA kimenunulika, hiace ya kuingiza hela ya CHAKULA.
@husseinmrisho8980
3 жыл бұрын
Tusaidiane vjana na izo fursa Plz🙏
@cadhimberec1286
3 жыл бұрын
Umepata mke mwema kuna wanawake majambazi wakiona hela wanachanganyikiwa??
@salamagat4784
3 жыл бұрын
@@cadhimberec1286 ww jamani
@akshaydavid159
3 жыл бұрын
Hahahaaa
@tedymwandara5480
3 жыл бұрын
Watu wengi sana wanafikiri kua peke Yao ndio watafanikiwa sana kumbe ni kupoteza muda bure.Umoja ni kitu kizuri hata Mwenyezi Mungu anafanya kazi ktk utatu mtakatifu.Vijana msiogope kuoa.Usioe mwanamke sababu ya uziri wake.Oa mwanamke mwenye hofu ya Mungu na anapenda mafanikio.
Nimeipenda hii interview, God bless you all 🙏🥂
Brother muite na Sirjeff Dennis
When I started following this interview I thought that you deliver even overseas but not, we miss those products in Australia many thanks
Mashaallah nimependa kaka kumsifia mwanamkewake wachache wenyekupata wakajuwa sapotizaweziwao upo vizur kaka
Yaani nimejifunza kitu kikubwa sana.. Mungu akubariki hata mb zangu hazikwenda bure.. Bless bless bless much.
Sky umenifurahisha sana leo umetuletea kitu tunapenda
Aaaa classmate big up sana Fr Jbmligo hapaa!
Thx a lot boss
Facts indeed big up
👌 mashaallah ♥️nimejifunza kitu hapa 🌟🌟
Thanks Sns nimejifunza kitu ❤🇹🇿🇨🇭
The best enterview ever seen
Thank you 🙏 Kaka Sky tumejifunza.
Hongera sana kwa upambanaji Mungu Azidi kukubariki
Thanx🙏
Nice interview 👌 bless on bless
Shukran sns
Asante nimefurahi sana
Umetisha bro,uko smart sana
very educative interview,,,big up sky
Brother umetema nondo sana be blessed
Yaan nimejifunza kitu kikubwa sana asante kaka sky kwa kutuletea watu kama hawa
Mashaallah nimeipenda sana🇹🇿🇴🇲
Good interview hapana najifunza kitu safi bro
Great interview, huyo anaongea ukweli kabisa. Kitu kilichomsaisia kujenga uaminifu kwa wateja wake mwanzo ni kukubali kufikisha mzigo kwanza kwa mteja ndipo alipwe kitu ambacho wauzaji wengi wa online hawafanyi
@muhammehusna3384
2 жыл бұрын
Hakika uaminiifu ndio mafanikio y mfany biashaara
Asante sn kaka
Life is war Big up sana Kaka
Hapo kwenye kusapot account ndio mtihani na ndio maana wengi tunajaribu biashara kwenye mitandao na tunashindwa kumbe kuna kusaport acoustic jamani...
Mashaallah hakika iko vzr
Ma sha allah
Allah amjalie ndugu yetu
Brother shukran Sana nimejifunza kitu kupitia wewe ongera Sana
Mashaa'Allah jaman mm mbona nimependa hlo somo
Expose those clowns Sky, hao wa marketing networks na online businesses ambao sio waamifinifu uokoe kizazi cha wengi wasio kuwa na uelewa. It might help a lot bro. Shout out to Mapunda for sure he's deserves to prosper also big up to madam on his side, God bless their hustles with you too guys hapo mjengoni SNS. Love!
@ayishaayishayisha4465
3 жыл бұрын
Hongera kaka
MWAKANI NAMIMI NIITE
Ubarikiwe kaka
Kwahiyo....mwaka na miezi mi4=16 months....50,000,000÷16=3,125,000/=.....bila ya kuwa na duka wala nn!!!Mungu tupe maarifa
Uyu brother ni level ingine
Mashaallah
Huyu kaka kaongea point mno...kubadili marafiki
Kaka napenda sana bishala ya vyombo niganye Nini na Mimi Niko mwanza?
Kuheshimu waminifu imani bidii kazi usikate tamaaa ni kweli kabisa unachosema la kweli kabisa watu wafiri kupewa pesa bdio dili lakini dill la kweli mtu kupa njia kuambia kuhusu maendeleo ubarikiwe zaidi
Nimependa sana historia yake
Kaka awezekani Mimi myaka18 kwenye gem lakini Bado kutoboa nasijawai kuishi maisha yanasa
Tuletee watu kama hawa wengi
Wooow
Kweli kbs
Nimependa
@athumanimhanga2053
3 жыл бұрын
jamani tupo wengi sanaa tuliepambana.mm nipo Dodoma.namba yangu hiyo.0717130010.nipigieni.na mm nitakuja.nimjasiliamali pia
Sky bonge moja la mtangazaji
Sky embu nisaidie jina la duka la huyu mentor
kaka xhikamo samahani Sana kaka nakuomba namba ya simu
Naomba namba bro
Wanawake mjifunze hapo na siyo kusema tuma na yakutolea
Namba za duka plz, nahitaji kuagiza mzigo, nipo Dodoma.
"NDIVYO ILIVYO...SHIDA UZALISHA FURSA"
Kaka nipe namba yako
Kitu kilicho nifurahisha amemtaja jamaa nilie soma nae Shule moja Meta Secondary High school nimekaa nae bweni Room moja kwajina la utani tulimwita mseminary jina lake Jeovin
Naitaji namba yake nije nifate vyombo
Jamaa yuko poa sana
Mnambilie nataka machine 2 za juis niko Igunga
Nimejifunza mengi hasa katika utafutaji
Mm nshakutan na mtu mmoja hv nilipenda bidhaa yake akatak ntume pesa fasta yaan ulikuwa ucku lkn nkatuma cku ya pili akantumia mzigo wang lkn alituma mzigo nusu huo ulobak mpaka leo hii tunasumbuana2 kweny cmu had naogop kuorder bidhaa online
Huwezi kuhifadhi pesa bank alafu, ukawa unafanya saving, awa watu wanao fanyiwaga interview kuna vitu huwa hawasemi ,hawafunguki ukweli, kuna mmmoja umu juzi apa kaijiwa akasema alianza na laki tatu na ana biashara kubwa sana ,
@isamaboe3495
3 жыл бұрын
Naomba unifafanulie
@agathathobias8690
3 жыл бұрын
Kidogo kidogo hujaza kibaba
@isamaboe3495
3 жыл бұрын
Kwahy ni vyema kuhifadhi kawaida t Na sio kweny bank au una maana gan mkuu
Nimewahi Leo🥰🥰🥰
Wanawake mjifunzekituhapo siyo unakuwa Mwanaume akipata mzigo unaanza kupigamzinga nakujenga kwenu.hiyosiyopoa
Mmh xijaelewa hapo kweny kusponsor account ya Instagram
@haskao77
3 жыл бұрын
I think he meant promoting, (kuitangaza page/biashara)
@kathyrinesimbeye4449
3 жыл бұрын
@@haskao77 unaitangazaje Sasa kupitia account ya bank???
@haskao77
3 жыл бұрын
@@kathyrinesimbeye4449 kama unatumia Instagram ujue kuna account aina mbili. Kuna personal na business account. Kama account yako umeiset kama business account kila ukipost picha inakupa option ya kuipromote hiyo picha na hiyo promotion inalipiwa kwa kutumia bank card (credit au debit card) na kama ilivyokawaida kupata kadi lazima uwe na account benki. Hopefully umenielewa.
@samsungj7pro64gb5
3 жыл бұрын
@@haskao77mh kwakweri inatakiwa upate mafunzo hasaa
Tutajifunza mengi
Alitumia muda gani hadi kufungua duka
Kama una namba ,za huyu jamaa nipe maan nafanya kitu kama hichi
ahahaha imenifurahisha history Yako nashangaa unasimulia history ambayo mlie toroka Naye alikua akitusimulia tulikaa bweni pamoja room Moja tukiwa nae META SECONDARY mbeya pale
SAUT 🥂🥂
Shetani mbaya sana nimefika apo kwenye vyombo vya million tatu si sim ikazima bhana... Kweli kwenye njia ya mafanikio kuna changamoto nyingi
@SimuliziNaSauti
3 жыл бұрын
ha ha ha!
@aminajuma1435
3 жыл бұрын
Mkaka mpole 😂😂😂 umesababisha nimecheka kijingasana hahahahaha
@mkakampole7802
3 жыл бұрын
@@SimuliziNaSauti hahahah!! sio poa kaka sky nusu nizimie yani.
@mkakampole7802
3 жыл бұрын
@@aminajuma1435 😂😂 ilibaki kidogo nilie et...
@fatinasudi3806
3 жыл бұрын
Hahahahaha
We jamaa unanikumbusha walimu wa biashara walahi tunazingua.
@khadijahajji716
3 жыл бұрын
Commerce .bookiping ,enterprenuership ,haaaa hatari
Mwakani na Mimi niite jamanii
kzread.info/dash/bejne/imuDsNiMg67AfNY.html 👆👆👆👆👆👆👆 Kama ni muoga usifungue hii video 😨Tazama Kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera 😭😨
Muite na Jeff Bezos
Ina maana hukua na bank accounts
@geofreykatangamoyo6806
Жыл бұрын
Apo nilijiuliza sanaa ila nikabaki najibu la labda account yake haikuwa na pesa labda hivyo.
Mashaallah
@shanitito6470
Жыл бұрын
Nataman sana niganye biashala na ww kaka lakini niko mkoani na mm naifanya nitawezaje kukupata
Kaka napenda sana bishala ya vyombo niganye Nini na Mimi Niko mwanza?