Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Жүктеу.....
Пікірлер: 164
@musicheals15455 ай бұрын
huweze changanya washikaji na familiaaaa... tafuta sehem nyingine ambayo washkaji a.k.a wahuni watakuwa wanakuja na kufikiaaa mixa mashisha... ila nyumbani pabaki kuwa na heshima yakeee.
@user-yc7cx8lw8h
5 ай бұрын
Tafuta hela Binaaadam
@musicheals1545
5 ай бұрын
@@user-yc7cx8lw8h mbona nilichoandika na ulichoandika havina mahusiano mzeee🤣🤣🤣
@afrodinova
5 ай бұрын
Kwani maana ya familia ni nini Mzee???
@musicheals1545
5 ай бұрын
@@afrodinova familia inahusisha washkaji/marafiki sio... anyway tumwache na maisha yake hata akifungua bar nyumbani poa tuu🤣🤣
@user-ck7pw4fm8c
5 ай бұрын
@@musicheals1545😂😂😂
@rahymaaa43575 ай бұрын
Ooooh karibu Oman chino bro❤
@AgnesAgnes-fm8wp5 ай бұрын
Hilo jamaa lenye mtishet mwekundu linanichefua mim nafsiii yng😂😂
@chybuwagwantaz8054
5 ай бұрын
Una mimba?
@ArnoldMarley-xz1vj5 ай бұрын
Jersey Namba 13 ni bora ulivyotumwa kwa Shoe Shine Maan Too Much Kimbelembele Kimezidii..
@LinaUlaya-ze4en5 ай бұрын
Sawa bro chino jaa bress
@marymanoni55365 ай бұрын
Mungu akuongoze
@mrambadiana96784 ай бұрын
Hao mabisboo wote humo ndani wanakula wapi 😢 uwiii usanii kazi sio kwa nyomi hilo
@SenetaKilaka5 ай бұрын
Ongela sana
@jumanamwasa-iw2zn5 ай бұрын
Ilo Kabat👀👀
@salekhvidal83465 ай бұрын
Hongera bro more blessings
@user-fy9pw2zr8l5 ай бұрын
haya ndio mambo marioo hataki😅😅😅
@TheBastarrrd
5 ай бұрын
Jumba la dhambi,😂😂
@reginamluviji94056 күн бұрын
khaa wameitana kaya nzima sipendag sehem wanaka watu weng kama nyuki
@mussakimaro55885 ай бұрын
Nakuona umekua superstar faster illuminate wanapawa ya kumkuza mtu hongera sana
@syntaxsaintezzer5547
5 ай бұрын
Acha usenge wew na kama vp na wew nenda ukakuzwe na illuminati
@mussakimaro5588
5 ай бұрын
@@syntaxsaintezzer5547 nyie si mnapakuliwa wenye shobo nani kakuuliza paka mweusi wewe
@user-gn7nk7mw8v
5 ай бұрын
Vitmtkea puani
@donhussle948
5 ай бұрын
Wape ukwelikakuzwa na illuminati juu ya kumuua mwenzake
@mussakimaro5588
5 ай бұрын
@@donhussle948 kuna huyo hapo sijui ndo chakula chake chino kuna watu wasanii wanapambana na hawatoki sasa huykatokea wap
@user-op5gz7vj6w5 ай бұрын
guuudi man munguu akubaaariiikii San brother daa ur soo smart blood.... Utazidii itakuwa
@kerryestomic80995 ай бұрын
Huyo mwenye tshirt ya baseball ana kimbelembele
@halimaoman87265 ай бұрын
Hakuna kitu kubaya duniani kma kuweka mafanikio yako adharani weka ila baadhi yaifadhi sio yote systems ndugu watu wanamuangalia unavyoyatema mafanikio yako sisi binadamu ndio hawa hawa mm nakupenda
@Mkombozi255
5 ай бұрын
Nyie ndo wachawi wenyewe ,kila kitu kutishana tu.ukiona hivyo ujue hata buku huna.muache dogo aishi anvyotaja yeye.akionyesha Mali ni maamuzi yake.
@PhyinaElias-mu4wf
5 ай бұрын
Halima upo Sahihi sema binadamu hata ukiongea Kwa vzuri kabisa unaonekana mchawi,,,Ila hayo maisha ya wasanii huta yaweza Bora tuyaache kama yalivyooo ukitoa wazo waambulia kejer na matus🤐🤐🤐
@saidibanda83475 ай бұрын
Maisha yana badilika mzee acha kutumia ela nyingi kupga ga fanya mpango jenga home boy
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Usanii mzee
@SululuZungu-kx8ws5 ай бұрын
Nyie wapoli poli sana timberland haioxhwi na maji daa😂😂
@leecode6135
5 ай бұрын
Hkuna kiatu kinasafishwa kwa maji hayo ni mambo ya zamani saaana 😅
@tanzcanmediatv4473
5 ай бұрын
Wewe wa 79 bdio maana hujui
@user-so2yy8se7o5 ай бұрын
Nampendaga salehe Anaadabu sana yani kila sehemu anambia viatu mashallah
@bennamush46165 ай бұрын
Kwanni usingempangishia mamako nyumba ingine tofwaut na hapo akae na ndugu zako maana hapo mpo vijana wengi haipendezi mi naona ushaur tuu lakin
@AfricanLady889
5 ай бұрын
Amesema anamjengea mama yake nyumba, so hakuna haja ya kupanga nyumba ingine
@jamesgustav196
5 ай бұрын
😅
@faridalihondo33225 ай бұрын
😂uyo mwenye 13 asee unaweza mpa banzi
@abdulnaseermrisho43425 ай бұрын
Huyo alovaa white anazunguka kama Nesi wa zamu 😂😂😂😂😂
@rajabdibwa6415
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-hd5ey5yx1n
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Daah huyo jamaa kazi anayo
@suzanalucasemanuel7006
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mrrajjy5 ай бұрын
Chinoo 🔥🔥🔥🔥
@allymwilu80895 ай бұрын
Lake?
@pozclever8545 ай бұрын
Uyo Jamaaa ana kaz gn anatembea tu
@rajabdibwa6415
5 ай бұрын
Bodyguard wa mchongo😂😂
@happynkya97705 ай бұрын
huyo wa tshrt nyeupe namba 13 ni mshamba wa kamera ee
@badifundi60895 ай бұрын
Niozesheni uyo philomeno bwana
@reginamluviji94056 күн бұрын
khaa huyu kaka ana sifa mmnh ahahha
@user-sg1du9dp1i5 ай бұрын
Dah Nashkuru Taifa Zima Tumetambua Namna Muuni mwenye uzi namba 13 namna anaushamba mwingi😂😂😂
@patisondidas6720
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@letisiamakonda3873
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Sio ushamba bali ni mshikaj wake chino......we ndo mshamba 😢
@danielimwakilasa3952
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Soundprobeats5 ай бұрын
Kashapotea🚶huyo hamna kitu
@mrrajjy5 ай бұрын
🔥🔥🔥
@onekisstv84125 ай бұрын
Sema kuna mwamba uyo mwenye base ball anaranda sana si atulie
@mamrashdon36325 ай бұрын
Salehe Umekosea Uyo Mwenye Nguo Nyeupe Ungemfukuza Bwana Anaboa
@ZawadMussa-sd1od
5 ай бұрын
Muhudumu
@kwisa48995 ай бұрын
myumba aina privacy kabisa
@Barakatabudul5 ай бұрын
Jamaa Alovaa White" Anaushamba Anaboa sanaaa kuandama adama! watu kama hawa ni wachawii" jamaa atamani kama yy ndo Angekua Chino" dah! mshamba wa camera 😂😂😂😂😂😂
@faridalihondo3322
5 ай бұрын
Yan hawa ndo wachawi😂wenyew hawa kaaah 🙌
@frowinmgimba85135 ай бұрын
Mwenye no 13 anaziba kamera anaboa😂😂
@mamrashdon36325 ай бұрын
Kwani Uyo Kama Bodgard Vp
@mancholotrasco83505 ай бұрын
Bongo bana mchiz kafua timberland yani 😂😂😂😂
@mattmax773
5 ай бұрын
Hakuwa anajua angejua adingefanya Hvo ki ubinadamu tu Viatu sio kitu cha thaman kuzid binadam
@queenmilan20245 ай бұрын
Huyo kijana mwingine mbona anafata nyuma kama mkia 😅
@shabanponera2895
5 ай бұрын
Jamaa kazingua sana hatulii, na mnguo wake namba 13
@rajabdibwa6415
5 ай бұрын
Superstar lazima awe na mpambe😂😂
@MuviisTV
5 ай бұрын
Mpambe
@simulizi26325 ай бұрын
Washkaji ndio wamejaa. Kuna privacy kweli humu duh
@khadijamemba7855 ай бұрын
Hivi "kama kawa" ndio salam
@HanceBablo-ot8sz5 ай бұрын
Mnaekelekwa na 13 gonga like
@Official_JohnVicker5 ай бұрын
Umetisha chinno
@hassanbakari45255 ай бұрын
MKIAMBIWA KUNA BAHATI MSIWE MNABISHA😊,,HUYO CHINO HAINGII KIVYOVYOTE,,,,KWA BADI.
@hateemmerj6020
5 ай бұрын
Tutakupelekea moto
@hassanbakari4525
5 ай бұрын
@@hateemmerj6020 😆
@saidtembele30705 ай бұрын
Namba 13 mgongoni is typing and deleting.............😂😂😂😂
@afrahnawas4384
5 ай бұрын
😂😂
@Saumujames12344 ай бұрын
Uyo namba 13 mmempigilia 😂😂😂😂😂 kila comment watu wana mlalamikia 😂😂😂 mwane2 anapenda camera anachukua mafundisho ya ustar😅😅😅😅
@davidwalalason76305 ай бұрын
Currently viatu havioshwi, tumia foam
@donhussle9485 ай бұрын
Baada ya kumtoa mwenzake wa karibu sanaa kumtoa kafara ... ndo freemasonry ndo wanafanya hvyo either ,family or mtu wako wakaribu or rafiki yako wa karibu sanaa ama watu kwa live performance kisha unatajirika c pesa halali azipatazo hizo
@Happy-ef9kf5 ай бұрын
Pambana sasa ujenge yako cyo kila siku kupanga punguza stare heee make pesa tengeneza maisha bro,,,
@Official83640
5 ай бұрын
Kapanga kapangiwa na boss mpya mume wa Fety Kitasa
@pascalinajames91175 ай бұрын
Huyu nwenye mtshrt mweupe mbona anafwata kila mahal jmn ameboa
@kelvinkilale
5 ай бұрын
Si ndo maana kapewa kiatu apeleke kupiga dawa😂😂
@sabrinaraphael3474
5 ай бұрын
😂😂
@pascalinajames9117
5 ай бұрын
@@kelvinkilale kwakwel maana asingewaaacha peke yao interview isinge pendeza
@kipukatz
5 ай бұрын
Mlinzi wa boss
@leylamohamed99395 ай бұрын
ILA CHINO ANA MAMBO YA WASHKAJI SANA SANA BADO MTOTO MDOGO HUYU AKILI ZAKE, ZIMEKAA KISHKAJI KISHKAJI TU… ANASEMA AKIHAMA ANAWAGA VITU KWA WANA, HUYU ATAKUJA FULIA VIBAYA SANA MWISHO WAKE WAJA.. KAMA ANASHINDWA KUJIJENGA KWA UPEPO ALIOPATA SASA ATAFULIA SANA VIBAYA MNO
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Iman yake inaamin watu hawo aliwo kuwa nawo ndo wamechangia mchango mkubwa kweny harakat zake.. appreciate my king chino you doing well bro waliyo kusaidia kutafut kuni ndo hawo hawo ota nawo moto...wewe ni Really mengine mungu ndo refa...
@leylamohamed9939
5 ай бұрын
@@user-vu9ee7yg1j UPUUZI HAKUNA MCHANGO WOWOTE, NGOJA AFIRISIKE NDIO UTAJUA HUO MCHANGO WA WANA ULIVYO
@shabanponera28955 ай бұрын
Mchizi mwenye jezi ya base ball kaleta ushamba wa kizamani sana, mbona wenzake wametulia tu
@user-pi2zh8fg7g
5 ай бұрын
baba levo uyo
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Bro uwo sio ushamba but kaonesha upendo mkubwa appreciate broo chino uyo ndo mshikaji kweli ✌️
@shabanponera2895
5 ай бұрын
@@user-vu9ee7yg1j Acha utoto huoni alikuwa anazuia camera, halafu unajua dhima ya hicho kipindi? Bora alivyotumwa akapeleke viatu kwa fundi huyo mjinga
@user-ie6hs3ul2q5 ай бұрын
Huyu namba 13 mtafutie bwana
@ezekielmichael94315 ай бұрын
Jenga utenganishe washkaji nabfamilia
@mwinyiado11295 ай бұрын
Namba 13 anataka aonekane mwanafamiliaa 😂😂😂
@user-lw7wd8nz9g5 ай бұрын
Hongera sana chino wan man
@hanifamziray2775 ай бұрын
Hingera sn punguza marafiki wengne sio wazuri kbs
@rockyjr63145 ай бұрын
Ao masela tafta shm uwapeleke nyumba inakosa heshima
@tanzcanmediatv4473
5 ай бұрын
Aoe mara ngapi
@EmmanuelKawawa
4 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473kamaanisha sehemu sio shemu
@nelsonmaganya53915 ай бұрын
Waka miradi ndugu yangu
@ezekielmichael94315 ай бұрын
Tafuta nafasi ujenge Ili familia ikae sehem moja maana naona group kubwa ,
@naumikabila58805 ай бұрын
No 13 bwanaake nani😅 jmn
@TheBastarrrd5 ай бұрын
Ulimwosha nani miguu Chino,mbona usenge huo????
@user-zk7sc7fg1s4 ай бұрын
Sisi uku DRC🇨🇩 sisi wenye maisha ya chini ndo tuna tembeleya ma BMW kama izo.lkn tz ni za wasanii
@AlexismadimoАй бұрын
Nyumba ina watu weng sana kama wahindi yani
@Wigoz_puppy5 ай бұрын
Tunaomba NGOMA na Mavoko ❤❤❤❤ sio kila SIKU unamtaja alafu humsapiti boss wako wakitambo❤❤❤❤😂
@beatricemshiu28165 ай бұрын
Khaaa hii nyumba au ghetto 🙄
@mancholotrasco83505 ай бұрын
Zawadi ya damu ilishapita mambo yanafunguka
@arianjrstanslaus4991
5 ай бұрын
😂😂😂😂..but we not sure....speculations mzee....
@jesterfredrick9497
5 ай бұрын
@@arianjrstanslaus4991Alooooooh😂😂😂😂
@user-jj9xf7nt9k5 ай бұрын
Uyu nae anataka kuoneka maan sio kwa kufata uko kama mkia
@happy56timothy585 ай бұрын
Bora umempa kazi yakupeleka viatu kwa fundi😂😂😂😂
@abbassalum68245 ай бұрын
Kabla umeki ujenge unaanza kupanga majumba ya gharama shaulizako
@agreymbwilo5874
5 ай бұрын
Msanii huyo mkuu, acha aishi maisha yanayofanana na sanaa yake. Na kujenga anamjengea kwanza mama ake
@stanslausmathias1878
5 ай бұрын
Msanii ni tofauti na ww, vilevile maisha ni plan....mawazo ya kuwaza kuwai kujeng ni ya kimaskini saana watu wengi waliofanikiwa huanza na investment haijalishi kapanga maana kwa mji wa dar es salaam kimsingi huwezi jenga nyumba ya mil.3
@narrissajackson3869
5 ай бұрын
Kitu mtu anatafuta pesa mwenyewe na anaamua mwenyewe atumie vipi, anaweza tumia zote hata ndani ya siku moja. Tatizo tunapenda kujadili maisha ya watu wakati wao hawana habari na maisha yetu. Hatujui mipango yao na hawajui yetu
@abbassalum6824
5 ай бұрын
@@agreymbwilo5874 Duuuh saw ndio fikla zako ziliko ishia
@abbassalum6824
5 ай бұрын
@@stanslausmathias1878 Daaah blaza kwa Muonekano wako unaonekana ni mtu mmoja mwenye akilizake lakin si hivyo nilivyo tegemea Kwan kumshauli mtu kunatatz kwan nnachomwambia mim kinaubaya kwan wasanii wote lazima waishi maisha anaishi yeye au hujaona wasanii walikua wakubwa kama wakina chidi mst naisi wakowap sasaiv
@jamilaathumani54815 ай бұрын
Nimefulai sna kwakuelewana unajua wewe chino na Mario mnabond nzur Sana na mkiwa pamoja ndo mtapiga pesa Kwa pamoja kwamana mnaendana sana
@EsterMpete3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu mwenye nyeupe yaan ni kama mwanajeshi wa zamani
@jamilaathumani54815 ай бұрын
Apo chino umekosea kusema utaki mama ako kufunga ni Kwasababu atakonda? Kwer? Apo umekosea piga astakafirural kama nimuislam
@fredanthony7405 ай бұрын
Mpe kolabo mavoko sasa
@leylamohamed99395 ай бұрын
Halafu Namba 13 Falaaaaaa Anaboa Yeye utasema ndio Camera Man, NI NANI HUYU???😂😂😂😂😂 Jinga Kweliiii 😂😂😂😂😂 Kila eneo yupo anafuata fuata tuu… Yeye ndio nani kwa Chino😂😂😂😂
@AgnesAgnes-fm8wp5 ай бұрын
Chinoo punguza marafiki watakuponza
@OmanOman-bm1lr5 ай бұрын
Salehe nampenda anaheshima na nyumba za watu saana haingii tuu kama chooni
@shabanponera28955 ай бұрын
Bora mwamba katumwa apeleke viatu kwa shoe shiner
@halima_nasseb5 ай бұрын
hili li namba 13 jaman kila sehemu
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Uwo ndo upendo wa kweli kwa chino🎉
@PrinceBonnyTz85 ай бұрын
Camera man umezingua
@benahdesigner5 ай бұрын
Bola katumwa 😂
@rajabdibwa6415
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-wu8qe4fv4j5 ай бұрын
Napenda unavyo ishi na mzazi wako
@handenitakuru66965 ай бұрын
Maisha ya kufeki haya mtakuja muumbuke
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Watu wanaishi broo awafek tafuta nawew upate ili tuone kama utafek au utaishi....
@yasiniramadhani48715 ай бұрын
Bonge show
@FatimaAli-of4gh5 ай бұрын
Saleh hivo viatu kama ni mimi ningevua kisha nikashika mkononi nikapanda navo maana ulipo mbali😂😂
@user-cq5dx1vr2p
5 ай бұрын
😅😅😅kwamba ataibiwa
@FatimaAli-of4gh
5 ай бұрын
@@user-cq5dx1vr2p Ehee
@dr_godfrey5 ай бұрын
Kama ni kwako hongera sana ila kama umepanga da! POLE SANA usije laumu watu baadae
@naifathassan2607
5 ай бұрын
Anajenga kwake hapo kapanga
@narrissajackson3869
5 ай бұрын
Maisha ni yake aachwe aishi
@musicheals1545
5 ай бұрын
ushauri muhimu mwisho wa siku asije kwenye media akaomba msaada, umri unaendaaaaaaa@@narrissajackson3869
@selemanisalum7685
5 ай бұрын
Anamalizia nyumba 2.ziko pamoja
@amanimanase8798
5 ай бұрын
Usimpangie MTU maisha na matumizi ya pesa zake kwani anasaidiwa na MTU apo?
@ruu65925 ай бұрын
mbona mafanikio ya chino yanaanza kujitokeza baada ya ile ajali na kifo cha yule kijana ama nina mawazo potovu
@Saumujames12344 ай бұрын
Aahh kwer ili jumba la zambi 😂😂 watu kibao😅😅
@muzafarsharif94655 ай бұрын
alimtoa mwenzake kafara chura huyu
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Usikufur mungu Allah ndo refa wa mchezo 🖤
@BAGAMOYOMEDIATZ5 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/fadn29ifea6Wdco.htmlsi=go--XEKTOW151aga AMEN MANKOLOMATZ FT MC KIBILITI X KHAZAV ( MASNICHI )
Пікірлер: 164
huweze changanya washikaji na familiaaaa... tafuta sehem nyingine ambayo washkaji a.k.a wahuni watakuwa wanakuja na kufikiaaa mixa mashisha... ila nyumbani pabaki kuwa na heshima yakeee.
@user-yc7cx8lw8h
5 ай бұрын
Tafuta hela Binaaadam
@musicheals1545
5 ай бұрын
@@user-yc7cx8lw8h mbona nilichoandika na ulichoandika havina mahusiano mzeee🤣🤣🤣
@afrodinova
5 ай бұрын
Kwani maana ya familia ni nini Mzee???
@musicheals1545
5 ай бұрын
@@afrodinova familia inahusisha washkaji/marafiki sio... anyway tumwache na maisha yake hata akifungua bar nyumbani poa tuu🤣🤣
@user-ck7pw4fm8c
5 ай бұрын
@@musicheals1545😂😂😂
Ooooh karibu Oman chino bro❤
Hilo jamaa lenye mtishet mwekundu linanichefua mim nafsiii yng😂😂
@chybuwagwantaz8054
5 ай бұрын
Una mimba?
Jersey Namba 13 ni bora ulivyotumwa kwa Shoe Shine Maan Too Much Kimbelembele Kimezidii..
Sawa bro chino jaa bress
Mungu akuongoze
Hao mabisboo wote humo ndani wanakula wapi 😢 uwiii usanii kazi sio kwa nyomi hilo
Ongela sana
Ilo Kabat👀👀
Hongera bro more blessings
haya ndio mambo marioo hataki😅😅😅
@TheBastarrrd
5 ай бұрын
Jumba la dhambi,😂😂
khaa wameitana kaya nzima sipendag sehem wanaka watu weng kama nyuki
Nakuona umekua superstar faster illuminate wanapawa ya kumkuza mtu hongera sana
@syntaxsaintezzer5547
5 ай бұрын
Acha usenge wew na kama vp na wew nenda ukakuzwe na illuminati
@mussakimaro5588
5 ай бұрын
@@syntaxsaintezzer5547 nyie si mnapakuliwa wenye shobo nani kakuuliza paka mweusi wewe
@user-gn7nk7mw8v
5 ай бұрын
Vitmtkea puani
@donhussle948
5 ай бұрын
Wape ukwelikakuzwa na illuminati juu ya kumuua mwenzake
@mussakimaro5588
5 ай бұрын
@@donhussle948 kuna huyo hapo sijui ndo chakula chake chino kuna watu wasanii wanapambana na hawatoki sasa huykatokea wap
guuudi man munguu akubaaariiikii San brother daa ur soo smart blood.... Utazidii itakuwa
Huyo mwenye tshirt ya baseball ana kimbelembele
Hakuna kitu kubaya duniani kma kuweka mafanikio yako adharani weka ila baadhi yaifadhi sio yote systems ndugu watu wanamuangalia unavyoyatema mafanikio yako sisi binadamu ndio hawa hawa mm nakupenda
@Mkombozi255
5 ай бұрын
Nyie ndo wachawi wenyewe ,kila kitu kutishana tu.ukiona hivyo ujue hata buku huna.muache dogo aishi anvyotaja yeye.akionyesha Mali ni maamuzi yake.
@PhyinaElias-mu4wf
5 ай бұрын
Halima upo Sahihi sema binadamu hata ukiongea Kwa vzuri kabisa unaonekana mchawi,,,Ila hayo maisha ya wasanii huta yaweza Bora tuyaache kama yalivyooo ukitoa wazo waambulia kejer na matus🤐🤐🤐
Maisha yana badilika mzee acha kutumia ela nyingi kupga ga fanya mpango jenga home boy
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Usanii mzee
Nyie wapoli poli sana timberland haioxhwi na maji daa😂😂
@leecode6135
5 ай бұрын
Hkuna kiatu kinasafishwa kwa maji hayo ni mambo ya zamani saaana 😅
@tanzcanmediatv4473
5 ай бұрын
Wewe wa 79 bdio maana hujui
Nampendaga salehe Anaadabu sana yani kila sehemu anambia viatu mashallah
Kwanni usingempangishia mamako nyumba ingine tofwaut na hapo akae na ndugu zako maana hapo mpo vijana wengi haipendezi mi naona ushaur tuu lakin
@AfricanLady889
5 ай бұрын
Amesema anamjengea mama yake nyumba, so hakuna haja ya kupanga nyumba ingine
@jamesgustav196
5 ай бұрын
😅
😂uyo mwenye 13 asee unaweza mpa banzi
Huyo alovaa white anazunguka kama Nesi wa zamu 😂😂😂😂😂
@rajabdibwa6415
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-hd5ey5yx1n
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Daah huyo jamaa kazi anayo
@suzanalucasemanuel7006
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Chinoo 🔥🔥🔥🔥
Lake?
Uyo Jamaaa ana kaz gn anatembea tu
@rajabdibwa6415
5 ай бұрын
Bodyguard wa mchongo😂😂
huyo wa tshrt nyeupe namba 13 ni mshamba wa kamera ee
Niozesheni uyo philomeno bwana
khaa huyu kaka ana sifa mmnh ahahha
Dah Nashkuru Taifa Zima Tumetambua Namna Muuni mwenye uzi namba 13 namna anaushamba mwingi😂😂😂
@patisondidas6720
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@letisiamakonda3873
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Sio ushamba bali ni mshikaj wake chino......we ndo mshamba 😢
@danielimwakilasa3952
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Kashapotea🚶huyo hamna kitu
🔥🔥🔥
Sema kuna mwamba uyo mwenye base ball anaranda sana si atulie
Salehe Umekosea Uyo Mwenye Nguo Nyeupe Ungemfukuza Bwana Anaboa
@ZawadMussa-sd1od
5 ай бұрын
Muhudumu
myumba aina privacy kabisa
Jamaa Alovaa White" Anaushamba Anaboa sanaaa kuandama adama! watu kama hawa ni wachawii" jamaa atamani kama yy ndo Angekua Chino" dah! mshamba wa camera 😂😂😂😂😂😂
@faridalihondo3322
5 ай бұрын
Yan hawa ndo wachawi😂wenyew hawa kaaah 🙌
Mwenye no 13 anaziba kamera anaboa😂😂
Kwani Uyo Kama Bodgard Vp
Bongo bana mchiz kafua timberland yani 😂😂😂😂
@mattmax773
5 ай бұрын
Hakuwa anajua angejua adingefanya Hvo ki ubinadamu tu Viatu sio kitu cha thaman kuzid binadam
Huyo kijana mwingine mbona anafata nyuma kama mkia 😅
@shabanponera2895
5 ай бұрын
Jamaa kazingua sana hatulii, na mnguo wake namba 13
@rajabdibwa6415
5 ай бұрын
Superstar lazima awe na mpambe😂😂
@MuviisTV
5 ай бұрын
Mpambe
Washkaji ndio wamejaa. Kuna privacy kweli humu duh
Hivi "kama kawa" ndio salam
Mnaekelekwa na 13 gonga like
Umetisha chinno
MKIAMBIWA KUNA BAHATI MSIWE MNABISHA😊,,HUYO CHINO HAINGII KIVYOVYOTE,,,,KWA BADI.
@hateemmerj6020
5 ай бұрын
Tutakupelekea moto
@hassanbakari4525
5 ай бұрын
@@hateemmerj6020 😆
Namba 13 mgongoni is typing and deleting.............😂😂😂😂
@afrahnawas4384
5 ай бұрын
😂😂
Uyo namba 13 mmempigilia 😂😂😂😂😂 kila comment watu wana mlalamikia 😂😂😂 mwane2 anapenda camera anachukua mafundisho ya ustar😅😅😅😅
Currently viatu havioshwi, tumia foam
Baada ya kumtoa mwenzake wa karibu sanaa kumtoa kafara ... ndo freemasonry ndo wanafanya hvyo either ,family or mtu wako wakaribu or rafiki yako wa karibu sanaa ama watu kwa live performance kisha unatajirika c pesa halali azipatazo hizo
Pambana sasa ujenge yako cyo kila siku kupanga punguza stare heee make pesa tengeneza maisha bro,,,
@Official83640
5 ай бұрын
Kapanga kapangiwa na boss mpya mume wa Fety Kitasa
Huyu nwenye mtshrt mweupe mbona anafwata kila mahal jmn ameboa
@kelvinkilale
5 ай бұрын
Si ndo maana kapewa kiatu apeleke kupiga dawa😂😂
@sabrinaraphael3474
5 ай бұрын
😂😂
@pascalinajames9117
5 ай бұрын
@@kelvinkilale kwakwel maana asingewaaacha peke yao interview isinge pendeza
@kipukatz
5 ай бұрын
Mlinzi wa boss
ILA CHINO ANA MAMBO YA WASHKAJI SANA SANA BADO MTOTO MDOGO HUYU AKILI ZAKE, ZIMEKAA KISHKAJI KISHKAJI TU… ANASEMA AKIHAMA ANAWAGA VITU KWA WANA, HUYU ATAKUJA FULIA VIBAYA SANA MWISHO WAKE WAJA.. KAMA ANASHINDWA KUJIJENGA KWA UPEPO ALIOPATA SASA ATAFULIA SANA VIBAYA MNO
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Iman yake inaamin watu hawo aliwo kuwa nawo ndo wamechangia mchango mkubwa kweny harakat zake.. appreciate my king chino you doing well bro waliyo kusaidia kutafut kuni ndo hawo hawo ota nawo moto...wewe ni Really mengine mungu ndo refa...
@leylamohamed9939
5 ай бұрын
@@user-vu9ee7yg1j UPUUZI HAKUNA MCHANGO WOWOTE, NGOJA AFIRISIKE NDIO UTAJUA HUO MCHANGO WA WANA ULIVYO
Mchizi mwenye jezi ya base ball kaleta ushamba wa kizamani sana, mbona wenzake wametulia tu
@user-pi2zh8fg7g
5 ай бұрын
baba levo uyo
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Bro uwo sio ushamba but kaonesha upendo mkubwa appreciate broo chino uyo ndo mshikaji kweli ✌️
@shabanponera2895
5 ай бұрын
@@user-vu9ee7yg1j Acha utoto huoni alikuwa anazuia camera, halafu unajua dhima ya hicho kipindi? Bora alivyotumwa akapeleke viatu kwa fundi huyo mjinga
Huyu namba 13 mtafutie bwana
Jenga utenganishe washkaji nabfamilia
Namba 13 anataka aonekane mwanafamiliaa 😂😂😂
Hongera sana chino wan man
Hingera sn punguza marafiki wengne sio wazuri kbs
Ao masela tafta shm uwapeleke nyumba inakosa heshima
@tanzcanmediatv4473
5 ай бұрын
Aoe mara ngapi
@EmmanuelKawawa
4 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473kamaanisha sehemu sio shemu
Waka miradi ndugu yangu
Tafuta nafasi ujenge Ili familia ikae sehem moja maana naona group kubwa ,
No 13 bwanaake nani😅 jmn
Ulimwosha nani miguu Chino,mbona usenge huo????
Sisi uku DRC🇨🇩 sisi wenye maisha ya chini ndo tuna tembeleya ma BMW kama izo.lkn tz ni za wasanii
Nyumba ina watu weng sana kama wahindi yani
Tunaomba NGOMA na Mavoko ❤❤❤❤ sio kila SIKU unamtaja alafu humsapiti boss wako wakitambo❤❤❤❤😂
Khaaa hii nyumba au ghetto 🙄
Zawadi ya damu ilishapita mambo yanafunguka
@arianjrstanslaus4991
5 ай бұрын
😂😂😂😂..but we not sure....speculations mzee....
@jesterfredrick9497
5 ай бұрын
@@arianjrstanslaus4991Alooooooh😂😂😂😂
Uyu nae anataka kuoneka maan sio kwa kufata uko kama mkia
Bora umempa kazi yakupeleka viatu kwa fundi😂😂😂😂
Kabla umeki ujenge unaanza kupanga majumba ya gharama shaulizako
@agreymbwilo5874
5 ай бұрын
Msanii huyo mkuu, acha aishi maisha yanayofanana na sanaa yake. Na kujenga anamjengea kwanza mama ake
@stanslausmathias1878
5 ай бұрын
Msanii ni tofauti na ww, vilevile maisha ni plan....mawazo ya kuwaza kuwai kujeng ni ya kimaskini saana watu wengi waliofanikiwa huanza na investment haijalishi kapanga maana kwa mji wa dar es salaam kimsingi huwezi jenga nyumba ya mil.3
@narrissajackson3869
5 ай бұрын
Kitu mtu anatafuta pesa mwenyewe na anaamua mwenyewe atumie vipi, anaweza tumia zote hata ndani ya siku moja. Tatizo tunapenda kujadili maisha ya watu wakati wao hawana habari na maisha yetu. Hatujui mipango yao na hawajui yetu
@abbassalum6824
5 ай бұрын
@@agreymbwilo5874 Duuuh saw ndio fikla zako ziliko ishia
@abbassalum6824
5 ай бұрын
@@stanslausmathias1878 Daaah blaza kwa Muonekano wako unaonekana ni mtu mmoja mwenye akilizake lakin si hivyo nilivyo tegemea Kwan kumshauli mtu kunatatz kwan nnachomwambia mim kinaubaya kwan wasanii wote lazima waishi maisha anaishi yeye au hujaona wasanii walikua wakubwa kama wakina chidi mst naisi wakowap sasaiv
Nimefulai sna kwakuelewana unajua wewe chino na Mario mnabond nzur Sana na mkiwa pamoja ndo mtapiga pesa Kwa pamoja kwamana mnaendana sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu mwenye nyeupe yaan ni kama mwanajeshi wa zamani
Apo chino umekosea kusema utaki mama ako kufunga ni Kwasababu atakonda? Kwer? Apo umekosea piga astakafirural kama nimuislam
Mpe kolabo mavoko sasa
Halafu Namba 13 Falaaaaaa Anaboa Yeye utasema ndio Camera Man, NI NANI HUYU???😂😂😂😂😂 Jinga Kweliiii 😂😂😂😂😂 Kila eneo yupo anafuata fuata tuu… Yeye ndio nani kwa Chino😂😂😂😂
Chinoo punguza marafiki watakuponza
Salehe nampenda anaheshima na nyumba za watu saana haingii tuu kama chooni
Bora mwamba katumwa apeleke viatu kwa shoe shiner
hili li namba 13 jaman kila sehemu
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Uwo ndo upendo wa kweli kwa chino🎉
Camera man umezingua
Bola katumwa 😂
@rajabdibwa6415
5 ай бұрын
😂😂😂
Napenda unavyo ishi na mzazi wako
Maisha ya kufeki haya mtakuja muumbuke
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Watu wanaishi broo awafek tafuta nawew upate ili tuone kama utafek au utaishi....
Bonge show
Saleh hivo viatu kama ni mimi ningevua kisha nikashika mkononi nikapanda navo maana ulipo mbali😂😂
@user-cq5dx1vr2p
5 ай бұрын
😅😅😅kwamba ataibiwa
@FatimaAli-of4gh
5 ай бұрын
@@user-cq5dx1vr2p Ehee
Kama ni kwako hongera sana ila kama umepanga da! POLE SANA usije laumu watu baadae
@naifathassan2607
5 ай бұрын
Anajenga kwake hapo kapanga
@narrissajackson3869
5 ай бұрын
Maisha ni yake aachwe aishi
@musicheals1545
5 ай бұрын
ushauri muhimu mwisho wa siku asije kwenye media akaomba msaada, umri unaendaaaaaaa@@narrissajackson3869
@selemanisalum7685
5 ай бұрын
Anamalizia nyumba 2.ziko pamoja
@amanimanase8798
5 ай бұрын
Usimpangie MTU maisha na matumizi ya pesa zake kwani anasaidiwa na MTU apo?
mbona mafanikio ya chino yanaanza kujitokeza baada ya ile ajali na kifo cha yule kijana ama nina mawazo potovu
Aahh kwer ili jumba la zambi 😂😂 watu kibao😅😅
alimtoa mwenzake kafara chura huyu
@user-vu9ee7yg1j
5 ай бұрын
Usikufur mungu Allah ndo refa wa mchezo 🖤
kzread.info/dash/bejne/fadn29ifea6Wdco.htmlsi=go--XEKTOW151aga AMEN MANKOLOMATZ FT MC KIBILITI X KHAZAV ( MASNICHI )