Inasikitisha! Vanessa Mdee asimulia jinsi tatizo lake la kupata upofu wa jicho lilivyotokea Kenya

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 33

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema19 күн бұрын

    Amtangulize Mwenyezi Mungu atamponya. Hilo ni suala la giza na linaondolewa na Nuru ambayo ni Mungu, wote tuseme Asante Mungu

  • @user-by7xd2yd7g
    @user-by7xd2yd7g15 күн бұрын

    Vanesa mdee aende kwa mwamposa atapona mungu yupo pamoja naye atufi Tanzania aje kumuona mtumishi mwamposa ataona iyo ni nguvu ya giza 🙏🏽🙏🏽

  • @kanezajoella6663
    @kanezajoella666319 күн бұрын

    MUNGU peke alie muumba anajuwa tiba ya jicho hilo MUNGU atamsaidia atapona asikate tamaa kwajina la BWANA YESU CHRISTO

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc19 күн бұрын

    Pole dada vanesa usikate tamaa utapona tu kwa uwezo wa mungu

  • @vibetz9991
    @vibetz999119 күн бұрын

    Vanesa aachane na mambo ya makeup,,Pisi ni kali sana bila makeup

  • @hanifa9153
    @hanifa915319 күн бұрын

    Very sad situation😢😢😢

  • @tatumlala7376
    @tatumlala737619 күн бұрын

    Pole sana dada yetu

  • @chany9950
    @chany995019 күн бұрын

    Pole vi😘😘

  • @BarakababaRama
    @BarakababaRama19 күн бұрын

    Pole sana v wetu

  • @rosehaule6765
    @rosehaule676516 күн бұрын

    Mungu ni mwema sana polee

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km19 күн бұрын

    Hata mie nimepitia changamoto kama hizo mpka ikafika mahali madokt wananambia nilizaliwa chongo

  • @winfridamakonyola9887
    @winfridamakonyola988719 күн бұрын

    Hee sijawai kujua kama v jicho moja halioni😢😢

  • @Damunanunu
    @Damunanunu19 күн бұрын

    Ata alikuwa anapiga picha linakuja kengeza😢

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma850119 күн бұрын

    God bless for everyone

  • @directortwicep3028
    @directortwicep302819 күн бұрын

    Maombi tu

  • @athanasjoseph9529
    @athanasjoseph95294 күн бұрын

    Optic neuropathy au Optic Atrophy. Tatizo la macho linalopelekea kusinyaa kwa mishipa ya fahamu (Optic nerve) inayotoa taarifa za uoni kutoka kwenye macho kwenda kwenye ubongo na kutafsiriwa. Tatizo linalosababishwa na upungufu wa vitamin A mwilini,Magonjwa,Sababu tata (Idiopathic) nk. Linapelekea kupungua kwa uwezo wa kawaida wa binadamu kuona. Pengine Vee amepatwa na tatizo Hilo kwa sababu ya sababu tata ndio maana wataalamu wamepata ugumu wa kulitatua. Kwa neema ya MUNGU apone. MUNGU anajua kutatua shida za viumbe alivyoviumba. Amen

  • @mdendamono3311
    @mdendamono331117 күн бұрын

    Moigie pastor Dominickiboko ya wachawi hutaona

  • @nanajoseph2356
    @nanajoseph235617 күн бұрын

    😭😭😭pole vee wangu

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e19 күн бұрын

    Yooo labda kuna uchawi kwa hilo jicho ila mungu akakulinda

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op19 күн бұрын

    Njoo kwa kipoko ya wachawi tanzania

  • @OkoaAyub
    @OkoaAyub19 күн бұрын

    Ndele ni ndele

  • @Damunanunu
    @Damunanunu19 күн бұрын

    Mimi nilikuwa naona kama anaona makengeza🤓🙂‍↕️🙂‍↕️🙂‍↕️aliumwa kitambo sana

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn18 күн бұрын

    Wamesha tulogea mpare wetu

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi19 күн бұрын

    Mwambie aludii bongo aendee kwa kuanii musaa Lita pona ILO ludi mdeee

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela392618 күн бұрын

    Amwambie mahii wake ampeleke kwao wakamrogue uchawi uo

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk18 күн бұрын

    Walimrogaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @AllyBahsan
    @AllyBahsan19 күн бұрын

    Madawa ya kulevya hayo yamemuumbua Vanessa

  • @JosephKingwere

    @JosephKingwere

    19 күн бұрын

    Kwan alikuwa anatumia

  • @AllyBahsan

    @AllyBahsan

    19 күн бұрын

    Na pia alikua mlanguzi mkubwa

  • @JosephKingwere

    @JosephKingwere

    19 күн бұрын

    @@AllyBahsan kumbe duuu

  • @noellahgervas90

    @noellahgervas90

    18 күн бұрын

    Jaman jaman muogopeni Mungu usimshuhudie mtu uongo jaman

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    17 күн бұрын

    ​@@noellahgervas90yaani mtu anaongea kama ana uhakika 😢

Келесі