Amtangulize Mwenyezi Mungu atamponya. Hilo ni suala la giza na linaondolewa na Nuru ambayo ni Mungu, wote tuseme Asante Mungu
@user-by7xd2yd7g15 күн бұрын
Vanesa mdee aende kwa mwamposa atapona mungu yupo pamoja naye atufi Tanzania aje kumuona mtumishi mwamposa ataona iyo ni nguvu ya giza 🙏🏽🙏🏽
@kanezajoella666319 күн бұрын
MUNGU peke alie muumba anajuwa tiba ya jicho hilo MUNGU atamsaidia atapona asikate tamaa kwajina la BWANA YESU CHRISTO
@NeemaSamson-ti8pc19 күн бұрын
Pole dada vanesa usikate tamaa utapona tu kwa uwezo wa mungu
@vibetz999119 күн бұрын
Vanesa aachane na mambo ya makeup,,Pisi ni kali sana bila makeup
@hanifa915319 күн бұрын
Very sad situation😢😢😢
@tatumlala737619 күн бұрын
Pole sana dada yetu
@chany995019 күн бұрын
Pole vi😘😘
@BarakababaRama19 күн бұрын
Pole sana v wetu
@rosehaule676516 күн бұрын
Mungu ni mwema sana polee
@Chettymlambalipsi-lb9km19 күн бұрын
Hata mie nimepitia changamoto kama hizo mpka ikafika mahali madokt wananambia nilizaliwa chongo
@winfridamakonyola988719 күн бұрын
Hee sijawai kujua kama v jicho moja halioni😢😢
@Damunanunu19 күн бұрын
Ata alikuwa anapiga picha linakuja kengeza😢
@khamisjuma850119 күн бұрын
God bless for everyone
@directortwicep302819 күн бұрын
Maombi tu
@athanasjoseph95294 күн бұрын
Optic neuropathy au Optic Atrophy. Tatizo la macho linalopelekea kusinyaa kwa mishipa ya fahamu (Optic nerve) inayotoa taarifa za uoni kutoka kwenye macho kwenda kwenye ubongo na kutafsiriwa. Tatizo linalosababishwa na upungufu wa vitamin A mwilini,Magonjwa,Sababu tata (Idiopathic) nk. Linapelekea kupungua kwa uwezo wa kawaida wa binadamu kuona. Pengine Vee amepatwa na tatizo Hilo kwa sababu ya sababu tata ndio maana wataalamu wamepata ugumu wa kulitatua. Kwa neema ya MUNGU apone. MUNGU anajua kutatua shida za viumbe alivyoviumba. Amen
@mdendamono331117 күн бұрын
Moigie pastor Dominickiboko ya wachawi hutaona
@nanajoseph235617 күн бұрын
😭😭😭pole vee wangu
@user-qq6mv6vh3e19 күн бұрын
Yooo labda kuna uchawi kwa hilo jicho ila mungu akakulinda
@DeoKimbe-gt4op19 күн бұрын
Njoo kwa kipoko ya wachawi tanzania
@OkoaAyub19 күн бұрын
Ndele ni ndele
@Damunanunu19 күн бұрын
Mimi nilikuwa naona kama anaona makengeza🤓🙂↕️🙂↕️🙂↕️aliumwa kitambo sana
@GraceMakenga-zd1vn18 күн бұрын
Wamesha tulogea mpare wetu
@RomanMwinyi19 күн бұрын
Mwambie aludii bongo aendee kwa kuanii musaa Lita pona ILO ludi mdeee
@ashurajengela392618 күн бұрын
Amwambie mahii wake ampeleke kwao wakamrogue uchawi uo
Пікірлер: 33
Amtangulize Mwenyezi Mungu atamponya. Hilo ni suala la giza na linaondolewa na Nuru ambayo ni Mungu, wote tuseme Asante Mungu
Vanesa mdee aende kwa mwamposa atapona mungu yupo pamoja naye atufi Tanzania aje kumuona mtumishi mwamposa ataona iyo ni nguvu ya giza 🙏🏽🙏🏽
MUNGU peke alie muumba anajuwa tiba ya jicho hilo MUNGU atamsaidia atapona asikate tamaa kwajina la BWANA YESU CHRISTO
Pole dada vanesa usikate tamaa utapona tu kwa uwezo wa mungu
Vanesa aachane na mambo ya makeup,,Pisi ni kali sana bila makeup
Very sad situation😢😢😢
Pole sana dada yetu
Pole vi😘😘
Pole sana v wetu
Mungu ni mwema sana polee
Hata mie nimepitia changamoto kama hizo mpka ikafika mahali madokt wananambia nilizaliwa chongo
Hee sijawai kujua kama v jicho moja halioni😢😢
Ata alikuwa anapiga picha linakuja kengeza😢
God bless for everyone
Maombi tu
Optic neuropathy au Optic Atrophy. Tatizo la macho linalopelekea kusinyaa kwa mishipa ya fahamu (Optic nerve) inayotoa taarifa za uoni kutoka kwenye macho kwenda kwenye ubongo na kutafsiriwa. Tatizo linalosababishwa na upungufu wa vitamin A mwilini,Magonjwa,Sababu tata (Idiopathic) nk. Linapelekea kupungua kwa uwezo wa kawaida wa binadamu kuona. Pengine Vee amepatwa na tatizo Hilo kwa sababu ya sababu tata ndio maana wataalamu wamepata ugumu wa kulitatua. Kwa neema ya MUNGU apone. MUNGU anajua kutatua shida za viumbe alivyoviumba. Amen
Moigie pastor Dominickiboko ya wachawi hutaona
😭😭😭pole vee wangu
Yooo labda kuna uchawi kwa hilo jicho ila mungu akakulinda
Njoo kwa kipoko ya wachawi tanzania
Ndele ni ndele
Mimi nilikuwa naona kama anaona makengeza🤓🙂↕️🙂↕️🙂↕️aliumwa kitambo sana
Wamesha tulogea mpare wetu
Mwambie aludii bongo aendee kwa kuanii musaa Lita pona ILO ludi mdeee
Amwambie mahii wake ampeleke kwao wakamrogue uchawi uo
Walimrogaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Madawa ya kulevya hayo yamemuumbua Vanessa
@JosephKingwere
19 күн бұрын
Kwan alikuwa anatumia
@AllyBahsan
19 күн бұрын
Na pia alikua mlanguzi mkubwa
@JosephKingwere
19 күн бұрын
@@AllyBahsan kumbe duuu
@noellahgervas90
18 күн бұрын
Jaman jaman muogopeni Mungu usimshuhudie mtu uongo jaman
@salmaalimusa6809
17 күн бұрын
@@noellahgervas90yaani mtu anaongea kama ana uhakika 😢