PART 2: KILA NIKIKUMBUKA/ NALIA SANA/ WALINIKATISHA TAMAA/MAMA YANGU/KIMBILIO LANGU - LULU
Ойындар
Exclusive Interview ya Elizabeth Michael kwenye KASRI LA KIKEKE, SALIM KIKEKE, TEMIDAYO NA SARAKIKYA.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 178
Huyu dada anajua sana kujieleza...mpaka raha kumsikiliza ety❤
@shanimbaruku2071
22 күн бұрын
Sana 🎉
@lucykristensen7145
12 күн бұрын
True akili ya kichaga na Kihaya hatari fire.
@HelenChacha
11 күн бұрын
@ElisabethAhanamungu
11 күн бұрын
Très intelligente 🎉❤
Mungu ndio kila kitu ndugu yangu lulu hujakosea🙏Salim kikeke hongera sana kaka unaipenda sana kazi yako allah akutangulie ktk maisha yako yote na akujaalie mwisho mwema inshaallah 😘🙏
Mwanangu Mungu akunyanyue mwanangu ulitaka kupoteza ukarudi kwa kasi kuliko waliokucheka big up mamy I pay for u 2
afu kuna huyu dada mtangazaji, mkimya, maswali mazuri, sauti nzuri yeye mwenyewe mzuri to cut a long story short ni mtangazaji mzuri.
Hongera sana Lulu, Kwa Sala ,Sala,Maombi hayaendi bure pia ni Akiba,Hakika Ukimlilia Mungu anajibu🙏🏿Hongera kwa Hekima uliyonayo pia Hongera kwa Kumtegemea na Kumuweka Mungu wa Kwanza,Wewe ni Mshindi.
This young lady is very good in interview!anajua sana kujieleza!Namfuatiliaga sana interview zake!anaeza sana sana kujieleza
@gonsalvamswaga6471
20 күн бұрын
sababu nahisi a fake maisha anaongea uhalisia wake
@lucykristensen7145
12 күн бұрын
Hicho kingeraza mbona hazieleweki?😂😂😂
She's too smart , yani too much smartness
MSANII NAMBA ONE ANAEJUA KUJIELEZEA❤❤NAMPENDA AKICHEKA LULU😂😂😂MAJIZO KAPATA MKE.HESHIMU NDOA YKO ,LEA WANAO FANYA KAZI.KUDANGA KUMEPITWA NA WAKATI.hii style kila week song za dini na dunia ni mie dadaako nko ivo kwa my car😂😂😂😂enjoy eliza wangu.ila sku nyingi suka rasta au weka wigi lisiloonekana ka wigi luv uuuuuuuuuuu
Kikeke anajua san huwez amin amekaa nje zaid ya miak 20 lakn hachanganyi lugha na ana huo uwez aisee hongera kwake anajua san
@danielmllay8332
19 күн бұрын
Umeonae 👏👏👏
@veridianacharles4511
17 күн бұрын
Kwa sababu alikuwa anatumia lugha moja kwenye kufanya kazi yake
Ila kikeke wewe ni mwandishi international hongera sana sana sana upo vizuri kwenye kuhoji unahoji kama upo BBC vile no kiswanglishi kaka yangu.
Nilikuwa nampenda Lulu mpk nilienda itv kweny kipindi cha ITV cha watoto wetu kumuona nilikua sikosi kipindi chake chcht kweny TV.❤😊
Umebalikiwa sana na Mungu,Nimejifunza mengi.
Dada napendaga Interviews zake Amenenepa amependeza sana
Yaan hachoshi kumsikiliza maan anaongea Good points 👏 big up kipenz Mungu Azidi kukupa maisha marefu tuzidi kupata Nondooo ❤❤
Mungu lazima akusaidie maana unajua kumtangaza ambacho ni kitu kizuri sana. Wengi sana walilia na ww hasa ile kesi mimi mwenyew nilikaa nikalia sana huku nasali 😢. Namuomba Mungu anipe hekima na ujasiri Kama wako. Nasubiria kipindi cha oprah. Lastly kikeke uko vizur sana
Lulu Lulu Lulu nakuita ..you are just the best ..n this is point of my view..just Go ..May God Bless you.
Tunakuelewa Sana Madame Lulu National
Dada anatema madini tuuu aisee kaka majizzo amepata mke haswaaaa
YOU ARE CHOOSEN ONE BIG UP MY SISTRE
Love youuuu more lulu upo na upeo wajuuu Ustaaa hujawahi kukubadili Tabia yako live long mdogo wangu
Apewe uongozi serikalin km jokate anaakili sana na anamaelezo yaliyonyooka,,,, everything is on spot. 🎉 sichokag kumsikiliza kabsa
sema lulu anajielewa sana ni creatable
This interview was so refreshing, goo girl 🔥🔥🔥 you are doing amazing for yourself
Umeweza kubeba mambo makubwa kwa umri mdogo Mungu akuinue ❤Nakupenda
Yani mimi uwanakupenda sana dada uaunaongeya poiti❤
She is my best actress of all time in Tanzania
Great one❤
Mashaallah dd lulu nimejifuza kitu kwako🎉🎉🎉
This is the best interview ever
Kiukweli anakipaji na ana IQ kubwa sanaa. Nampenda sanaa huyu dada..
Nimefrahi kuona crown mnafatilia maoni yetu wadau kuweka logo kwenye mic zetu hongereni kwa Hilo pia..
Tumpe lulu maua yake lakini tuwape watangazaji hawa wa crown media maua mengi tafadhali....hawa sasa ndo watangazaji yaaani studio imetulia maswali yanaulizwa wa kujibu anapata muda wa kujibu kwa ufasaha na muda mrefu. Sio wale wengine keleeeeeeeeeleeee😂😂
Hapo kwenye coment za Lulu huwa napenda sana majibu yake
Lulu ana akili sana na anajua kujibu ukilinganisha umri wake na majibu anayo jibu anaonekana amekomaa na naamini akina monalisa wamemkomaza na ametulia.pia hongera sana sana unajua kuhoji wewe ni mwanahabari wa international.
Pendaaa sanaaa wewwewe Muumba akulinde 🎉
🎉
❤❤❤
My favorite actor❤
Eventually umerudia hili neno madame
I love this girl hongera sana ma g
Turagukunda lulu ❤️🇺🇸🇷🇼
#Elizabeth michael❤
👏👏
❤
Moto😊
🙏🙏🙏
Mashaallah she's beautiful always❤
God loves you Lulu.
😮😮
Kanajua kujieleza kadada
Mbona ampo live crown sport vp mnatuangusha
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤ nguvu ya maombi
Mash Allah lulu nampenda❤
Unajua sana dada
ɴɪʟɪᴄʜᴏ ᴋɪᴘᴇɴᴅᴀ ᴋᴀᴍsʜɪᴋᴀ ᴍᴜɴɢᴜ ɴᴀ ᴋᴜᴊɪᴀᴍɪɴ
❤❤❤❤
Hongera sana lulu
Big up lulu ❤
Napenda tabasamu la lulu😊
Elizabeth mchaga kutoka Kijiji cha kirongo juu usseri rombo kilimanjaro
Mim sijaona sababu yakuhojiwa mambo yaliopita kuhusu kanumba or sijui nini...kulikuwa hamna sababu ya kuongea mambo hayo...kwamana sio memory nzur
@arnhemzuid8885
10 күн бұрын
Kuna cha kujifunza lakini pia anapopata nafasi kama hii ataondoa ile guilty na pia atakuwa na ujasiri wa kuieleza jamii ukweli.
Lulu anaongeaga vzr Kina Mobeto hawamfikii
@lightnesschiwinga325
19 күн бұрын
Kwan ww unamfikia😅😅😅😅😅wabongo bhn kisa unamchukia mobbeto😂😂😂😂😂😂😂😂
@juliethmagezi3104
15 күн бұрын
Kipenzii naitwa Julieth Jeremiah Magezi
Una miaka mingp lulu wangu😘
😂😂😂😂lulu ur so charming ❤❤❤
Kiiingerezaaa bwana mbele ya kikeke usikute wanamcheki tu kikeke wala haongei mtaalamu
Mke mzuri lulu
Salim ❤❤❤
Mtangazaji wa kike.. #SautiTajika 👌
My young sister anajua kuigiza lulu ukifanya mpe chanc
Bwana mimi nakapendaga sanaaaaaa
Doctor cheni ni mtu ambaye alikua na wewe bega kwa bega hilo nalijuwa vizuri sana
Kwa kweli huyo amekomaa kiakili sana,chezea mchaga wewe.
Mama samia mpe huyu lulu ukuu wa mkoa
@zainabudadi6143
15 күн бұрын
Kwakwel anakitu atafika mbali❤❤
Lulu wewe ni mwimbaji maarufu kuliko hata tamthilia Imba Gospel utafika mbali zaidi pamoja na kwamba upo mbali. Ndiyo maneno yangu kila siku nasemaga LULU NI MWIMBAJI hata kama sikukufikia Ni mwimbaji maarufu imba imba imba kabisa.
Lulu MUNGU akutunze sana
Mapema tuuu
Mungu akuntunze katka mikono salama,maana unajua saaana
Lulu kichwa
Changanya lugha ni dalili ya kisomo finyo. Acheni hii tabia ni aibu kwa vijana wa taifa hili.
@JosiahMiraji
22 күн бұрын
Kwani shida ipo wapi akichanganya lugha!? Ndio mana tuko nyuma sana kwenye lugha ya kiingereza wakenya hoyee
@user-qh2bx5em6j
20 күн бұрын
Ndio inanoga
@Bobhov
18 күн бұрын
Kweli, Yuko vizuri sana Binti angepata tu mtu wa kumwelewesha kwamba, Lugha huwa haichanganyi, Lakin namkubali sana mdada, Mungu aendelee Kua nae, 🎉
Kweli lulu ulikuwa unawachanganya watu ulipokuwa mdogo nakumbuka ikifka jmosi watu wanaacha kazi kuangalia runinga kaole lulu kidedea anita
Penda chana wewe mdada❤
Wa-Tanzania na hususani hawa wasania kujifaragua na lugha ya kizungu ili waonekane ni wasomi ni ushamba tu unawatawala vichwa vyao.
Hi Lulu naomba nikupe lulu wa miaka hiyo ni mtoto mzuri naweza kuigiza na kuimba
Lulu anajua kujieleza lkn namshauri achague lugha ya kutumia , kama English or Swahili,
Ebu nihojini na mm jamani Nina historian yangu😢
@Jasminadamu
11 күн бұрын
Tulie mpaka tuchakae😢
Nimekuelewa momu gg.
Mbona upande wa pili hamuendi?
Ukimuambia aongee tu english hawezi... ila tuswanglish miingi rubish
@abuumohamed7090
22 күн бұрын
Mtoto wa kiume makasiriko ya nn au pungaa😂 she's the best.Be positive.Unampunguzia nn,nyau wee
@user-qh2bx5em6j
20 күн бұрын
@@abuumohamed7090👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@irenemlay9104
18 күн бұрын
Ni stage towards perfection. Au asifanye ?
Eventually 😅😅😅😅😅
Sikuwahi kumlaumu Lulu wa wakati ule kwani muda wote niliamini ni mtoto aliyehitaji si kuongozwa tu bali pia kulindwa. Nililaumu KAOLE kwa kushindwa kumlinda. hawakumlinda
@Salim kikeke bado kunakitu chakufanya tena ... kikawa nyongeza ya hiki kama makala flani ivi mahojiano yako maswali yako nitofauti sana
Salim kikeke umetoka ulaya unapumbwazwa apo ka Ali kiba 😢
Mashallah kwenda kwenye radio ya ex wake good job lulu
@lilianestephanie7881
20 күн бұрын
Ndiyo maana unaitwa zuwena😏
@paschalinaproty
16 күн бұрын
😂😂😂😂@@lilianestephanie7881
Hivi eventually maana yake nini
@Mtoto-ig5vw
15 күн бұрын
Hatimaye😂😂😂😂
Kikeke toani somo hapo mnapofanya mahojiano. Changanya English na Kiswahili ni uboya
@nataemsuya
19 күн бұрын
Yani sijawahi kuona mzungu Wa Europe kuchanganya lugha 2 ktk mahojiano🙂↔️
😂😂😂😂😂 Lulu 🎉🎉🎉🎉
Wa rombo tupewe maua yetu😂
Yaani hachoshi kabisa kumsikia eti
Eventually 😂