PART 1: BAADA YA MIAKA 3/ SIKUAMINI/NILIPOKUTANA NAE/ SIKATI TAMAA - LULU WA UCHUNGU

Ойын-сауық

Exclusive Interview ya Elizabeth Michael kwenye KASRI LA KIKEKE, SALIM KIKEKE, TEMIDAYO NA SARAKIKYA.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 90

  • @yjkbcdghjb
    @yjkbcdghjb21 күн бұрын

    Lulu una kipaji vingi moja wapo kuigiza, nyingine hata ungekuwa mtangazaji ukifanya vizuri maana una hekima ungekuwa unauliza watu maswali ya msingi sio hawa watangazaji . Ila hongera pia kikeke uko vizuri kwenye maswali manzuri. Hiki kipindi kinzuri sana Ila mtakiharibu mkianza kuwahoji watu ambao wahovyo kwenye jamii. Last Hongereni sana na Mungu awasimamie

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n18 күн бұрын

    HUWA NAPENDA SANA INTERVIEW ZA LULU.NI KAMAMA CHENYE KUJIELEWA❤❤❤ ALLAH AKUTUNZEE.MSANII NAMBA ONE ANAEWEZA KUJBU MASWALI KWA UFASAHA .NA LAFUDHI YKE IKO VZURI UTASEMA SIO MCHAGA.HONGERA KWAKE

  • @esterMahenge

    @esterMahenge

    9 күн бұрын

    Kanaongea vizurii sana unapata na kitu cha kujifunza 😮

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey20 күн бұрын

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

  • @witnesskessy9705
    @witnesskessy970523 күн бұрын

    Waooo nafurai kujiunga na crown KZread chanel imetulia nawapata kwa utulivu nikiwa chalinze

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha23 күн бұрын

    Napendaga the way unavyo jieleza, big up sana Elizabeth. Tume miss sana Bongo movies kwenye big platforms. However, Kama ulivyosema pole pole ndo mwendo. Mguu mmoja baada ya mwengine 💪🏾💪🏾🙌🏽💯❤️

  • @queenandchill91

    @queenandchill91

    23 күн бұрын

    Same here, napenda sana Lulu anavyojieleza. She's smart😊

  • @tupokigwemarco7584

    @tupokigwemarco7584

    21 күн бұрын

    Majizo kapata mke

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha631116 күн бұрын

    Wao I really appreciate Raisi wangu mama samia suluhu Hassan the way lulu anaelezea naona moyo mzuri wa Mama samia

  • @annaNyanda
    @annaNyanda16 күн бұрын

    Pongezu kubwa kwenu crown kipindi kizuri hongera pia kwa lulu Mungu aongoze hatua zako

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton891123 күн бұрын

    Huyu mwanamke yuko matured sana

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda22 күн бұрын

    Nachokiona lulu majizo anamfundisha baadhi ya vitu . Heshima kuchunga ulimi n.k. nahisi atakuja kupewa viti maalum huyu. Atakuja kuwa joketi part 2

  • @user-mb3ms2ik7m

    @user-mb3ms2ik7m

    18 күн бұрын

    Pp 😊p😊

  • @blandinamyinga9489

    @blandinamyinga9489

    18 күн бұрын

    Alivyo ndiyo alivyo""anajielewa cku nyingi sana

  • @yusternyirenda7231

    @yusternyirenda7231

    Күн бұрын

    Lulu hafundishwi na majizo yupo hivyo tangu mdogo huwa ana akili sana

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo218422 күн бұрын

    Wale tunaamini walioenda mwanzo ni cream tujuane 😂

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n21 күн бұрын

    Hatimae umeketishwa na wakuuu

  • @eshterjulius3408
    @eshterjulius3408Күн бұрын

    Napenda sana huyu mdada anajitambua,anabusara

  • @alimwadima254
    @alimwadima25422 күн бұрын

    Thumb up 👍 Lulu...Hiyo Hali Sawa wanaitafsiri kivyengine Kuhusu kijinsia Asilimia Kubwa lakin sivyo inavyotakikana

  • @sarah-um6vg
    @sarah-um6vg7 күн бұрын

    Great interview

  • @najatramadhani6300
    @najatramadhani630022 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Lulu mashallah

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb8 күн бұрын

    Kweli kodi za watanzania zinachezewa. Si kwa changamoto hizi zilizopo. Mahospitali hayana dawa, barabara ngo hizo, maji na umeme mtihani, mafuta, sukari, bei juu 😭😭😭 Mungu turehemu sana. Kwa hiyo bado safari yetu ni ndefu sana labda Mungu aingilie kati.

  • @joycemmari5843

    @joycemmari5843

    4 күн бұрын

    Mama anaupiga mwingi tuache😅😅

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft23 күн бұрын

    nakupenda bure mdogo wangu 👍

  • @JulianaMbeyu
    @JulianaMbeyu20 күн бұрын

    Lulu mungu akubariki akufikishe hio hekima

  • @MarryWariro
    @MarryWariro4 күн бұрын

    hongera Lili Mungu Akutunze

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k23 күн бұрын

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 😊

  • @ramadhanmanzi661
    @ramadhanmanzi66123 күн бұрын

    🎉

  • @zenashida7288
    @zenashida72886 күн бұрын

    Love much Lulu 💓💓💓💓

  • @beatricekadzo5215
    @beatricekadzo521523 күн бұрын

    nice

  • @samkimweri5893
    @samkimweri589321 күн бұрын

    ❤❤❤coool Elizabeth

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu22 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @naibusanga9416
    @naibusanga941623 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid888510 күн бұрын

    Hiyo 50 kwa 50 ni katika 5 Gender Issues: Elimu, Ajira, Kuhusishwa na Kushirikishwa katika kutoa maamuzi kuanzia ngazi ya familia mpaka nchi siyo tu kuwa wapokeaji na watekelezaji wa maamuzi, Utawala na Uongozi pamoja na kumiliki ( ardhi, uchumi etc) but tumetofautiana biologically.

  • @user-kh7bc4js1m
    @user-kh7bc4js1m23 күн бұрын

    Karibu nyumbani

  • @juliusmoivana9844
    @juliusmoivana984412 күн бұрын

    Lulu jamani mungu anakuona tangulini mwanamke na wanaume wawe Sawa ebu jiulize unaitwa Lulu Nani jibu unalo

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam249118 күн бұрын

    Uyu dada anajua kujibu maswali kiakili zaid anawashinda ad wakina wema

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k23 күн бұрын

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @dn.n4983
    @dn.n498323 күн бұрын

    Hii bahati kubwa kubwa mno mno hakuna Rais yeyote anawabeba kama Tanzania sasa kazi kwenu maana hii high light kwa kweli kwa hili hongera hongera Rais kipenzi hapa nakupa 100 percent maana hawa wasanii walitumika sana sasa mpata hiyo kazi ianze mara mojasio kesbo baadaye

  • @finah791

    @finah791

    21 күн бұрын

    Mx

  • @boscokikoti
    @boscokikoti23 күн бұрын

    Rekebisheni upande wa sauti...kuna kelele zinasikika...

  • @danielngove

    @danielngove

    23 күн бұрын

    Sio kelele thats background music...😂😂😂

  • @NibogoraLadouce

    @NibogoraLadouce

    23 күн бұрын

    Acha makasiriko ya maendeleo 😂😂😂😊

  • @AtukuzweGift0-kg1ns

    @AtukuzweGift0-kg1ns

    3 күн бұрын

    Ni simu yako dada😅😅Wala saut zipo sawa

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv11 күн бұрын

    Salimu like upo nimefulai😊

  • @esterMahenge
    @esterMahenge9 күн бұрын

    Uyu atakuja pewa uongozi maana ana akili sanaa❤

  • @JonathanHogeri
    @JonathanHogeri22 күн бұрын

    Sauti Kuna kelele🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮

  • @user-nc5pt8do3z
    @user-nc5pt8do3z21 күн бұрын

    Lulu ni mfano wa kuigwa ongera my dear

  • @janethngowi1058
    @janethngowi105817 күн бұрын

    Napenda Lulu anavyojibu na kujieleza jamani

  • @user-ds6me1eh7n
    @user-ds6me1eh7n11 күн бұрын

    😂😂😂😂waogo hao bana majigambo mengii tu😂😂😂tusubiry mange atusimuliye😂😂😂

  • @AROSFILMS

    @AROSFILMS

    8 күн бұрын

    Mange alikuepo Korea. Au ndio mungu unomuamini.

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu702719 күн бұрын

    Nampendaga sana lulu 🥰🥰

  • @aishaomary4498
    @aishaomary449821 күн бұрын

    Rais akiiweza nchi nanyie mtaweza tu

  • @lolamhanuzi410
    @lolamhanuzi41022 күн бұрын

    Alipo Lulu nipo, ninapenda unavyojieleza na majibu yako mazuri.

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1023 күн бұрын

    Hapa ni nyumbani

  • @neemathomas2008
    @neemathomas200817 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @swaiseif2989
    @swaiseif298923 күн бұрын

    Hapa ninyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @wasemavyotv7736
    @wasemavyotv773623 күн бұрын

    Kumbhe hata katoto kaweza kujieleza eeeeeeee mh amekuwa

  • @alawimohd
    @alawimohd22 күн бұрын

    Salim kikeke ameanguka sana

  • @jacqueisaac8155

    @jacqueisaac8155

    22 күн бұрын

    What do you mean?

  • @wapnewsTv
    @wapnewsTv19 күн бұрын

    Haasa😂

  • @shau78
    @shau7823 күн бұрын

    Lulu umependeza. hayo manywele ya bandia ni tatizo kidogo. wazo lakini. tupende uasili

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora18921 күн бұрын

    Mmmmm???

  • @Tupena-ov7xq
    @Tupena-ov7xq22 күн бұрын

    Yaani huyu mwanamke aliua, hili haliwezi kufutika, watoto wake na vijukuu vitakuja kujua kua she is a killer

  • @tausimohammedy

    @tausimohammedy

    22 күн бұрын

    Wewe hujielewi itakua😮

  • @ministerkresensia7888

    @ministerkresensia7888

    22 күн бұрын

    How sure you're, vingine jitahid viishie kwenye mawazo yako it's not necessary kuonyesha unavyowaza kwa watu duu

  • @user-ji6cp1ng8g

    @user-ji6cp1ng8g

    21 күн бұрын

    Mwacheni atakuwa mwezi mchanga

  • @DevothaKilanzi

    @DevothaKilanzi

    21 күн бұрын

    Dishi limeyumba apelekwe milembe akarekebishwe.

  • @margaretnyamwilahila292

    @margaretnyamwilahila292

    21 күн бұрын

    Pole sana chuki yako haikusaidii hata!! Huyu bint atafika mbali sana. Big up Elizabeth.

  • @nadhifamustapha7557
    @nadhifamustapha755713 күн бұрын

    Since way back alikua anajua kupangua maswali na sio mkurupukaji wa kujibu…japo unapokua na mtu makini anazidi kujuongezea maarifa@faridakaduguda

  • @alimwadima254
    @alimwadima25422 күн бұрын

    Thumb up 👍 Lulu...Hiyo Hali Sawa wanaitafsiri kivyengine Kuhusu kijinsia Asilimia Kubwa lakin sivyo inavyotakikana

  • @RehemaMissinzo
    @RehemaMissinzo20 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey20 күн бұрын

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

  • @user-kt8qg5pl6j
    @user-kt8qg5pl6j15 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k23 күн бұрын

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey20 күн бұрын

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey20 күн бұрын

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

Келесі