PART 1: BAADA YA MIAKA 3/ SIKUAMINI/NILIPOKUTANA NAE/ SIKATI TAMAA - LULU WA UCHUNGU
Ойын-сауық
Exclusive Interview ya Elizabeth Michael kwenye KASRI LA KIKEKE, SALIM KIKEKE, TEMIDAYO NA SARAKIKYA.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 90
Lulu una kipaji vingi moja wapo kuigiza, nyingine hata ungekuwa mtangazaji ukifanya vizuri maana una hekima ungekuwa unauliza watu maswali ya msingi sio hawa watangazaji . Ila hongera pia kikeke uko vizuri kwenye maswali manzuri. Hiki kipindi kinzuri sana Ila mtakiharibu mkianza kuwahoji watu ambao wahovyo kwenye jamii. Last Hongereni sana na Mungu awasimamie
HUWA NAPENDA SANA INTERVIEW ZA LULU.NI KAMAMA CHENYE KUJIELEWA❤❤❤ ALLAH AKUTUNZEE.MSANII NAMBA ONE ANAEWEZA KUJBU MASWALI KWA UFASAHA .NA LAFUDHI YKE IKO VZURI UTASEMA SIO MCHAGA.HONGERA KWAKE
@esterMahenge
9 күн бұрын
Kanaongea vizurii sana unapata na kitu cha kujifunza 😮
Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake
Waooo nafurai kujiunga na crown KZread chanel imetulia nawapata kwa utulivu nikiwa chalinze
Napendaga the way unavyo jieleza, big up sana Elizabeth. Tume miss sana Bongo movies kwenye big platforms. However, Kama ulivyosema pole pole ndo mwendo. Mguu mmoja baada ya mwengine 💪🏾💪🏾🙌🏽💯❤️
@queenandchill91
23 күн бұрын
Same here, napenda sana Lulu anavyojieleza. She's smart😊
@tupokigwemarco7584
21 күн бұрын
Majizo kapata mke
Wao I really appreciate Raisi wangu mama samia suluhu Hassan the way lulu anaelezea naona moyo mzuri wa Mama samia
Pongezu kubwa kwenu crown kipindi kizuri hongera pia kwa lulu Mungu aongoze hatua zako
Huyu mwanamke yuko matured sana
Nachokiona lulu majizo anamfundisha baadhi ya vitu . Heshima kuchunga ulimi n.k. nahisi atakuja kupewa viti maalum huyu. Atakuja kuwa joketi part 2
@user-mb3ms2ik7m
18 күн бұрын
Pp 😊p😊
@blandinamyinga9489
18 күн бұрын
Alivyo ndiyo alivyo""anajielewa cku nyingi sana
@yusternyirenda7231
Күн бұрын
Lulu hafundishwi na majizo yupo hivyo tangu mdogo huwa ana akili sana
Wale tunaamini walioenda mwanzo ni cream tujuane 😂
Hatimae umeketishwa na wakuuu
Napenda sana huyu mdada anajitambua,anabusara
Thumb up 👍 Lulu...Hiyo Hali Sawa wanaitafsiri kivyengine Kuhusu kijinsia Asilimia Kubwa lakin sivyo inavyotakikana
Great interview
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Lulu mashallah
Kweli kodi za watanzania zinachezewa. Si kwa changamoto hizi zilizopo. Mahospitali hayana dawa, barabara ngo hizo, maji na umeme mtihani, mafuta, sukari, bei juu 😭😭😭 Mungu turehemu sana. Kwa hiyo bado safari yetu ni ndefu sana labda Mungu aingilie kati.
@joycemmari5843
4 күн бұрын
Mama anaupiga mwingi tuache😅😅
nakupenda bure mdogo wangu 👍
Lulu mungu akubariki akufikishe hio hekima
hongera Lili Mungu Akutunze
Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 😊
🎉
Love much Lulu 💓💓💓💓
nice
❤❤❤coool Elizabeth
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
Hiyo 50 kwa 50 ni katika 5 Gender Issues: Elimu, Ajira, Kuhusishwa na Kushirikishwa katika kutoa maamuzi kuanzia ngazi ya familia mpaka nchi siyo tu kuwa wapokeaji na watekelezaji wa maamuzi, Utawala na Uongozi pamoja na kumiliki ( ardhi, uchumi etc) but tumetofautiana biologically.
Karibu nyumbani
Lulu jamani mungu anakuona tangulini mwanamke na wanaume wawe Sawa ebu jiulize unaitwa Lulu Nani jibu unalo
Uyu dada anajua kujibu maswali kiakili zaid anawashinda ad wakina wema
Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hii bahati kubwa kubwa mno mno hakuna Rais yeyote anawabeba kama Tanzania sasa kazi kwenu maana hii high light kwa kweli kwa hili hongera hongera Rais kipenzi hapa nakupa 100 percent maana hawa wasanii walitumika sana sasa mpata hiyo kazi ianze mara mojasio kesbo baadaye
@finah791
21 күн бұрын
Mx
Rekebisheni upande wa sauti...kuna kelele zinasikika...
@danielngove
23 күн бұрын
Sio kelele thats background music...😂😂😂
@NibogoraLadouce
23 күн бұрын
Acha makasiriko ya maendeleo 😂😂😂😊
@AtukuzweGift0-kg1ns
3 күн бұрын
Ni simu yako dada😅😅Wala saut zipo sawa
Salimu like upo nimefulai😊
Uyu atakuja pewa uongozi maana ana akili sanaa❤
Sauti Kuna kelele🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮
Lulu ni mfano wa kuigwa ongera my dear
Napenda Lulu anavyojibu na kujieleza jamani
😂😂😂😂waogo hao bana majigambo mengii tu😂😂😂tusubiry mange atusimuliye😂😂😂
@AROSFILMS
8 күн бұрын
Mange alikuepo Korea. Au ndio mungu unomuamini.
Nampendaga sana lulu 🥰🥰
Rais akiiweza nchi nanyie mtaweza tu
Alipo Lulu nipo, ninapenda unavyojieleza na majibu yako mazuri.
Hapa ni nyumbani
❤❤❤❤❤
Hapa ninyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kumbhe hata katoto kaweza kujieleza eeeeeeee mh amekuwa
Salim kikeke ameanguka sana
@jacqueisaac8155
22 күн бұрын
What do you mean?
Haasa😂
Lulu umependeza. hayo manywele ya bandia ni tatizo kidogo. wazo lakini. tupende uasili
Mmmmm???
Yaani huyu mwanamke aliua, hili haliwezi kufutika, watoto wake na vijukuu vitakuja kujua kua she is a killer
@tausimohammedy
22 күн бұрын
Wewe hujielewi itakua😮
@ministerkresensia7888
22 күн бұрын
How sure you're, vingine jitahid viishie kwenye mawazo yako it's not necessary kuonyesha unavyowaza kwa watu duu
@user-ji6cp1ng8g
21 күн бұрын
Mwacheni atakuwa mwezi mchanga
@DevothaKilanzi
21 күн бұрын
Dishi limeyumba apelekwe milembe akarekebishwe.
@margaretnyamwilahila292
21 күн бұрын
Pole sana chuki yako haikusaidii hata!! Huyu bint atafika mbali sana. Big up Elizabeth.
Since way back alikua anajua kupangua maswali na sio mkurupukaji wa kujibu…japo unapokua na mtu makini anazidi kujuongezea maarifa@faridakaduguda
Thumb up 👍 Lulu...Hiyo Hali Sawa wanaitafsiri kivyengine Kuhusu kijinsia Asilimia Kubwa lakin sivyo inavyotakikana
❤❤❤❤
Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake
❤❤❤❤❤❤❤
Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake
Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake