TAKE ONE EXCLUSIVE NA LULU (ELIZABETH MICHAEL) 2-JULY-2013 Part1

Kwenye Part 1 aelezea mengi ila moja wapo ni haya
-Sababu za ukimya wake taingia alivyotoka jela
-Aelezea kitu ambacho hatokuja kukisahau maishani mwake
-Aelezea kitu ambacho aliwahi kufanya na anakijutia hatokuja kukifanya maishani mwake
-Kwasasa akiri kwamba hana mahusiano ya kimapenzi na mtu yeyote
-Aelezea project ambayo anaifanya ambayo kwasasa yupo mbioni kwenye kuifanyia uzinduzi (foolish Age)

Пікірлер: 67

  • @stellaedward7726
    @stellaedward77266 жыл бұрын

    much respect 2 u lulu cz unakula jasho lako, no body z perfect, kip it up dada kuanza upya c ujinga na hauwez shindana na mdomo wa mwanadam ""

  • @ZebidaMaungo

    @ZebidaMaungo

    Ай бұрын

    P P

  • @irenetarimo6109
    @irenetarimo61092 жыл бұрын

    just happy lulu leveled up...hii ngeli hapana

  • @cleopatimothy
    @cleopatimothy11 жыл бұрын

    Gud to c u back lulu mungu akubariki..

  • @edwinpepela1205
    @edwinpepela12059 жыл бұрын

    It's great seeing you back.movie zake wamba sana.Wikipedia khaki but huku ni wakati wako

  • @heritier5119
    @heritier511910 жыл бұрын

    Hakuna haja ya kumuhukumu lulu juu ya yalopita coz ye ni binadamu hakuomba matatizo yamkute pia ilikuwa ni kipindi cha mpito

  • @SamwelNyangala
    @SamwelNyangala11 жыл бұрын

    Lulu jifunze kudanganya vizuri maana ukweli umekushida

  • @monica-eb7nr
    @monica-eb7nr11 жыл бұрын

    asiefunzwa nawazazi anafunzwa na dunia kweli nimekuwa nikimukomment sana hivyo hata bado hajahonja jela.na asipojituria tulia yatampata mengi zaidi ya hayo.

  • @evlyneirakoze7758
    @evlyneirakoze77586 жыл бұрын

    Dieu vous bénisse et vous garde longtemps

  • @nelsonkassena4285
    @nelsonkassena428511 жыл бұрын

    Jaman lulu kiukweli bana unahitaji kwendashule. Bado mchanga kielim nivizuri kwenda shule Kwan xafar badondefu

  • @barbiejunior2794
    @barbiejunior279411 жыл бұрын

    wawoo ili kuwa poa sn..nyc lulu!!!

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu424711 ай бұрын

    Yaani Lulu nimekupenda buuuuree

  • @SaumuBintimohammed
    @SaumuBintimohammed Жыл бұрын

  • @maulidrequelm603
    @maulidrequelm6039 жыл бұрын

    rudi chuo shoste lulu uzungu hauna jifunze ngeli za consonants & vowels upo nyuma sana!!!

  • @chawangilenguruchawange6477
    @chawangilenguruchawange647710 жыл бұрын

    maisha yanapita ww ndiye muamuzi pekee jiweka sawa

  • @janethgatoni5981
    @janethgatoni59816 жыл бұрын

    Nice my dear

  • @bahatiatarihiingomajamanik998
    @bahatiatarihiingomajamanik9986 жыл бұрын

    Uko vzr dogooo

  • @tausimussa4871
    @tausimussa48719 жыл бұрын

    GOOD

  • @jemimahjohaness2512
    @jemimahjohaness251211 жыл бұрын

    aisee,you should go to school my dear.thinking capacity bado ndogo na ya kawaida.u need to match with the world changes.work work work

  • @nimoissa1880
    @nimoissa188010 жыл бұрын

    She needs to go back to class#just saying

  • @ndanu2012
    @ndanu201211 жыл бұрын

    Is English taught in tanzanian schools really..??? cant she express her self in English?

  • @imaranoah10
    @imaranoah1010 жыл бұрын

    God help her to do wont she wont to do.

  • @jumambui5407
    @jumambui540711 жыл бұрын

    lulu acha ushamba na jifunze kuskiza swali uelewe ndo ujibu swali usitumie kizungu juu hujui kabisa labda uache tabia mbaya urudi shule

  • @senoritadida7415
    @senoritadida741510 жыл бұрын

    i love u lulu but i c no reason 4 u 2 try speak 4reign language on yo interviews wakt huwezi umebaki unastak stak, punguza kujipritend kuongea just b yourself & speak lyk ukiwa home.my love i only advise u lyk ma little sista plz never do dat next tym unajiaibisha especially huo msamiati mpya uloupata wa "actually" yani mpk inaboa!!! but all in all yo ma fans kip it up gal

  • @ernestmbala3609
    @ernestmbala36099 ай бұрын

    Zawadi ya shule ilikuwa 1,200,000.

  • @dipendijoseph873
    @dipendijoseph8733 жыл бұрын

    I love you

  • @josekulele6237
    @josekulele623710 жыл бұрын

    Mambo vipi

  • @ernestmbala3609
    @ernestmbala36099 ай бұрын

    Kisauke secondary school ilikuwaje cjui

  • @Goddess697
    @Goddess69711 жыл бұрын

    hope u gonna change 4 de beta.

  • @mamzaiya
    @mamzaiya11 жыл бұрын

    huwa hajui kuelezea siku zote kazi kung'atang'ata maneno na kuingizia vineno vya kiingereza utadhani anajifunza kiswahili

  • @aminachande3174
    @aminachande31744 жыл бұрын

    Amekua Sasa

  • @bennytheboy8412
    @bennytheboy841210 жыл бұрын

    mia

  • @amongeorge7028
    @amongeorge702810 жыл бұрын

    U luk nc

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca11 жыл бұрын

    Lulu, usitake kulazimisha maneno, Swali ni ulikuwa napangilia kuhongea nini ukiwa Kwenye interview fulani. Yaani nijambo ambalo tayari ulisha pangilia, siyo uhanze kufikiria tena ukiwa nawazia that means u didn't have any thing to say.. Lakini hongera!

  • @dmwanga1
    @dmwanga111 жыл бұрын

    The host is not asking the questions and Lulu is not answering anything. why is Lulu us talking about herself in the third person.

  • @sachumasangu3986
    @sachumasangu39869 жыл бұрын

    Like it

  • @lucysiwila6726

    @lucysiwila6726

    6 жыл бұрын

    sachu masangu nnnnn

  • @happyhans4908
    @happyhans49086 жыл бұрын

    Hyo video yamuda

  • @jumambui5407
    @jumambui540711 жыл бұрын

    shule muhim jamaa ona lulu anajichanganya tuuu

  • @mamzaiya
    @mamzaiya11 жыл бұрын

    unajua hata jamila(sophia)anakushinda kuelezea

  • @annasamo7063
    @annasamo70634 жыл бұрын

    Zama maswali yako bana

  • @Chai2574
    @Chai257411 жыл бұрын

    Did she go on trial and get acquitted or what?

  • @mohamedyswai7877
    @mohamedyswai787711 жыл бұрын

    Mburura.....kilaza kwl!

  • @yogayogatz1
    @yogayogatz111 жыл бұрын

    very sorry for erything but you have to go to school just to prosper your talent.

  • @braciakivuli7603
    @braciakivuli760311 жыл бұрын

    ilikua ni lazma kusema

  • @rehemamangala7693
    @rehemamangala76936 жыл бұрын

    mhh kwakwel skul muhimu yan hap lulu anajing'ata kuongea English anabak kuongea broken tu hapo

  • @annenyambura7654
    @annenyambura76548 жыл бұрын

    05:30 😂😂😂😂rudi shule lol

  • @selinedawns5966
    @selinedawns596611 жыл бұрын

    Kwanini haukuna kitu naelewa????????????????lol

  • @petermakaumutuku9150
    @petermakaumutuku91509 жыл бұрын

    Tanzania should come out of that cocoon and come to the the world."Speak english".

  • @JamesKimuli

    @JamesKimuli

    9 жыл бұрын

    Peter makau mutuku no need for that because Russians , Spanish , Portuguese and the others don't care if you understand them or not

  • @gracewanja5397
    @gracewanja53975 жыл бұрын

    Little knowledge

  • @jackytamarcus1517
    @jackytamarcus151711 жыл бұрын

    zam your words i cant here

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he6 жыл бұрын

    Anahitaji mwana ume kama marehemu kanumba ili nae ,,,,,,,,,,

  • @nyabarabiuwambui1078
    @nyabarabiuwambui10788 жыл бұрын

    hanjui kuongea huyu, thick mind

  • @salimuali9098
    @salimuali909811 жыл бұрын

    the show was meant for tanzanians. poor you

  • @cabdikanikelvines722
    @cabdikanikelvines7225 жыл бұрын

    Nani ako na namba ya Lulu anitumie?

  • @ppendo3611

    @ppendo3611

    6 ай бұрын

    Njoo inbox

  • @cabdikanikelvines722

    @cabdikanikelvines722

    6 ай бұрын

    @@ppendo3611 wacha masihara bwana

  • @sunrisekitchen1
    @sunrisekitchen111 жыл бұрын

    Kabadilika huyu mtoto ona hata nguo alovaa kajiheshimu kidogo lakini sijui

  • @babyskk421
    @babyskk42111 жыл бұрын

    huyu mtoto ni muongo sana ila the time will tell,,jumba bovu likidondoka atakuja tena hapa hapa kuomba msamaha

  • @nawal01
    @nawal0111 жыл бұрын

    Not satisfied with the interview..!

  • @MyShau
    @MyShau10 жыл бұрын

    hichi kilulu kiongo. hata pale alipokuwa hajapata matatizo. pia kilisema uongo akina bwana. kiongo kama kanumba

  • @salamakombo3257

    @salamakombo3257

    3 жыл бұрын

    Haaaaaa

  • @mmn7480

    @mmn7480

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂