Lulu amwaga machozi Mahakamani

Ойын-сауық

Kesi ya kuua bila kukusudia inayomkabili muigizaji, Elizabeth Michael (Lulu) imeendelea Mahakama Kuu ya Tanzania, ambapo leo muigizaji huyo alipata nafasi ya kujitetea katika Mahakama hiyo.

Пікірлер: 79

  • @jamilarajabu7526
    @jamilarajabu75266 жыл бұрын

    pole sana Lulu mwenyezi mungu akufanyie wepesi kwa hili.

  • @fatumamtemvu5091
    @fatumamtemvu50916 жыл бұрын

    Allah akufanyie wepesi kwenye kesi yako Lulu.Dr Cheni Allah akubariki kwa upendo unaouonesha

  • @elizaprotas7171
    @elizaprotas71716 жыл бұрын

    Jamani mwacheni kanumba apumzike kwa Amani daah huu wimbo unatuliza jamani kipenz chetu kanumba mnatukumbusha machungu tu jamani mwacheni Alale kwa Amani 😢

  • @MdArif-or9um
    @MdArif-or9um6 жыл бұрын

    Dokta cheni mungu akupe nguvu kuisimamia kesi yahuyu bint..leo yeye kesho wew

  • @furahinimatayo7755

    @furahinimatayo7755

    5 жыл бұрын

    kweliiii

  • @kamotimwamkale3722
    @kamotimwamkale37222 жыл бұрын

    Hakimu mkuu ni Mungu mamangu,mtoto wangu, My first bon is Lulu Kamoti from Kenya

  • @rosemakange8163
    @rosemakange81636 жыл бұрын

    Lulu nakupenda cna na mungu anakupenda zaidi yangu zd kumwomba mungu Nina imani utashinda!!!

  • @lengoyamangoindakeni893
    @lengoyamangoindakeni8936 жыл бұрын

    dah!!! jamani huu wimbo umesababisha moyo wangu kusononeka Rest In Peace broo kanumba . lulu mungu akusaidie maana ndo mipango yake kwahiyo atakuto tuu😰😰😰😰

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot9796 жыл бұрын

    Love you bebe lulu mungu yupo nawewe

  • @beatricemapembe8941
    @beatricemapembe89416 жыл бұрын

    Niko pamoja na wewe Lulu, endelea kuomba Mungu atatenda.Amina.

  • @lyndermassawe9618
    @lyndermassawe96186 жыл бұрын

    Dk Chen god bless you

  • @evidencemaimu151
    @evidencemaimu1516 жыл бұрын

    daaaah jaman GOD amuinue tuuuu nothing is imposible lulu

  • @victoriajoseph3950
    @victoriajoseph39506 жыл бұрын

    pole sana mdogo angu duh! siamini kabixa nachokiona

  • @miriampaulo9027
    @miriampaulo90276 жыл бұрын

    MUNGU akusaidie ushinde hapa duniani hakuna haki mtoa haki ni MUNGU peke yke

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016
    @mamapekupekupilipilimuwash90166 жыл бұрын

    mtu kesha kufa na siku zake lakini bado mna tesa lulu roho yake naomba awatokeee kanumba kwa kivuli awaibishe awambie muachane na hiyo kesi

  • @halmasaidi6688

    @halmasaidi6688

    6 жыл бұрын

    mama peku peku pili pili muwasho kwelii huko haliko hyuko npeace ajua ameacha mambo mkubwaa

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016

    @mamapekupekupilipilimuwash9016

    6 жыл бұрын

    Halma Saidi kabisa aki ina skitisha aoteshe kila mtu usiku wakiwa usingizini waachane na kesi

  • @halmasaidi6688

    @halmasaidi6688

    6 жыл бұрын

    mama peku peku pili pili muwasho mm nataka mzimu utokee hapo mahakamaniii

  • @halmasaidi6688

    @halmasaidi6688

    6 жыл бұрын

    mama peku peku pili pili muwasho , wamuache lulu aendleze ndoto zake ata wakimyonga au wakimfunga kanumba hatofufuka

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016

    @mamapekupekupilipilimuwash9016

    6 жыл бұрын

    Halma Saidi nakwambia w m ndio naomba

  • @kadzofaith5456
    @kadzofaith54566 жыл бұрын

    Mungu wa mbinguni akufanyie wepesi dia

  • @furahinimatayo7755

    @furahinimatayo7755

    5 жыл бұрын

    jamanii

  • @sheldamwalo4403
    @sheldamwalo44036 жыл бұрын

    Miss u Lulu

  • @aishakidotigakii6157
    @aishakidotigakii61576 жыл бұрын

    The song 😭😭

  • @MariamsLifestyle

    @MariamsLifestyle

    6 жыл бұрын

    Aisha kauthar 😌😌

  • @neemamussa6134

    @neemamussa6134

    6 жыл бұрын

    pole sana lulu mungu ndio muweza wa yote

  • @veronikamwamsimbi8412
    @veronikamwamsimbi84126 жыл бұрын

    pole sana dogo lulu

  • @evangeliquehb4640
    @evangeliquehb46406 жыл бұрын

    pole lulu Allah yupo na ww

  • @selinadeogratias7727
    @selinadeogratias77276 жыл бұрын

    mungu akusaidi lulu Kwa wakat huu mgumu

  • @husnahhamisi4488
    @husnahhamisi44886 жыл бұрын

    Rest In Peace Kanumba😭

  • @eliaszephaniah9463
    @eliaszephaniah94636 жыл бұрын

    nampenda lulu👊👊👊👊👊

  • @fatumamacharia9465
    @fatumamacharia94656 жыл бұрын

    It's well with you Lulu ....

  • @sawanjema4166
    @sawanjema41666 жыл бұрын

    pole lakini ulimkosea mungu kwa kufanya umaya.mimi hata nikihuzunika sana siwezi badili matokeo

  • @quischrist9779
    @quischrist97796 жыл бұрын

    pole sana lulu

  • @JosephMichael-ln8il
    @JosephMichael-ln8il11 ай бұрын

    Mamb

  • @christinearotso8837
    @christinearotso88376 жыл бұрын

    huuu wimbo daaa😢😢😢😢😢😢

  • @sarafina6656
    @sarafina66566 жыл бұрын

    Mungu akutetee

  • @mossyahmada2188
    @mossyahmada21886 жыл бұрын

    Mungu akusimamie lulu. Binadamuu kama hujafa hujaumbika

  • @fridamasimbani8817

    @fridamasimbani8817

    5 жыл бұрын

    Pumunzika mahari pema kanumba

  • @asmeramir2371
    @asmeramir23716 жыл бұрын

    waandishi wanaboa ,,mwenzao yuko ktk kpnd kigum mnabuguzi kwa cameras zenu mie nngewapush kusud zivunjike

  • @zuwenaalamini4158
    @zuwenaalamini41584 жыл бұрын

    Mama Lulu mkorogo utamuua

  • @melon8901

    @melon8901

    3 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @zuwenaalamini4158

    @zuwenaalamini4158

    3 жыл бұрын

    @@melon8901 🤣🤣🤣🤣

  • @scolasticamwende2614
    @scolasticamwende26144 жыл бұрын

    Aki machozi yangu hadi leo hayazuiliki

  • @nnnnjj9684
    @nnnnjj96846 жыл бұрын

    Jamani munatukumbusha kanumba rip

  • @peninajuma4999
    @peninajuma49996 жыл бұрын

    kanumba jamani haki itendeke

  • @mercynkatha100
    @mercynkatha100 Жыл бұрын

    Huo nyimbo yanikumbusha majonzi ambayo bado yapo katika nyuso zetu

  • @witnessanthony691
    @witnessanthony6916 жыл бұрын

    Jmn untukumbush uchng upy duhhh

  • @nusretkoptekin4871
    @nusretkoptekin48716 жыл бұрын

    Yan wand dish wana muganda

  • @thureasalim4391
    @thureasalim43916 жыл бұрын

    mwenzenu naria eti

  • @marykuchuma6244
    @marykuchuma62446 жыл бұрын

    we mama lulu unaraha gani kujipodoa hvo kwenye wakati mgm kama huu

  • @jacquelinempwani8532

    @jacquelinempwani8532

    6 жыл бұрын

    Mary Kuchuma ulitaka aje mchafu watu wengine sijui mpoje awe mchafu!???ushamba huo ww kwan yupo mahabusu chefuuuuuu!!

  • @valentinamussa4212

    @valentinamussa4212

    6 жыл бұрын

    mbona humuulizii lulu nae mbona kapendeza zaidi umemwona mama tu,

  • @deewallance9354
    @deewallance93546 жыл бұрын

    Hakika huu wimbo unatia moyo

  • @prisca444david5

    @prisca444david5

    6 жыл бұрын

    Dee Wallance mam kanumba kapande bajaji mam

  • @leonardmagiyula18

    @leonardmagiyula18

    6 жыл бұрын

    umeona

  • @phemiarubali9708
    @phemiarubali97086 жыл бұрын

    Mungu mwema nna Imani atakusaidia

  • @MariamsLifestyle
    @MariamsLifestyle6 жыл бұрын

    Karibuni kwenye channel yangu bonyeza picha yangu hapo ili uweze ingia kwenye channel yangu nafanya video za maisha ya Italy

  • @michaelminja

    @michaelminja

    6 жыл бұрын

    Upo Italy sehemu gani

  • @MariamsLifestyle

    @MariamsLifestyle

    6 жыл бұрын

    Karibu na Florence (toscana)

  • @olivierpatrick8001

    @olivierpatrick8001

    6 жыл бұрын

    Ina uma saana

  • @michaelminja

    @michaelminja

    6 жыл бұрын

    Sawa nimekuelewa mimi nipo Ascoli Piceno mkoa wa Marche karibu sana

  • @israelivan4299

    @israelivan4299

    6 жыл бұрын

    Tupeane link na sisi tuje huko Italy Jamani! Wenzetu mlifikaje?

  • @victoriajoseph3950
    @victoriajoseph39506 жыл бұрын

    pole sana mdogo angu duh! siamini kabixa nachokiona

Келесі