Agizo la Rais Magufuli kuhusu Wamachinga

Ni agizo la Rais Magufuli Ikulu Dar es salaam kuhusu Wafanyabiashara ndogondogo kwenye maeneo mbalimbali ya Tanzania maarufu kama Wamachinga.

Пікірлер: 446

  • @zuwenaabdi1670
    @zuwenaabdi16702 жыл бұрын

    Walikuja hapa baada ya machinga kufukunzwa gonga like hapa! hapo mama alivaa ngozi ya kondoo

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba61992 жыл бұрын

    Ungepunguza kupost inauma sana unaposikiliza speech za jpm baba mwenye upendo wa kweli na watu wake.

  • @hamzaallymwaihojo
    @hamzaallymwaihojo2 жыл бұрын

    Kumbe mzee alishamuagiza awatunze machinga hawa, Wanawake, Mungu anawaona😭😭.

  • @bonydemaria2030
    @bonydemaria20307 жыл бұрын

    Kauli ya "hapa kazi tu" ni ngumu sana kueleweka. Tupo nyuma yako Mh. Rais... ! Best work ever seen in Tanzania!

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins25762 жыл бұрын

    Siwezi kuacha kukulilia Baba. Ningekuwa na uwezo ningezuia kifo chako. Lakini kila mwanadamu ana ukomo. Mungu atupe mwisho mwema.

  • @adelinajonsony5802
    @adelinajonsony58022 жыл бұрын

    Rip tunakukumbuka Sana baba sema tangu umeondoka mama amekiuka kila kitu amekusaliti kwa kiwango Cha Hali ya juu Sana

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu45137 жыл бұрын

    nimefurahishwa sana na kauli ya Rais Wangu Magufuli, na agizo lake kwa wafanya biashara wadogowadogo, wachimbaji wadogo, wananchi waliopo kwenye maeneo ya hifadhi za wanyama.UTU, UBINADAMU, ILANI, vizingatiwe! MUNGU AKULINDE SANA RAISI WANGU, NA WANAOKUSAIDIA! Umetibu majeraha ya watu wengi waliokuwa wananyanyaswa kwenye nchi yao! WE LOVE YOU MAGUFULI. tuna njaa lakini tupo salama!

  • @felixjilalajilala8398
    @felixjilalajilala83987 жыл бұрын

    mungu atupe nini sisi watanzania katupatia rais mwenye busara nyingi ewe mwenyez mungu mbariki magufuri awe na maisha malefu awe na moyo huohuo wa kuwasaidia watanzania

  • @kahemamzava1608
    @kahemamzava16082 жыл бұрын

    Mapumziko mema baba Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @amosmichael487
    @amosmichael4872 жыл бұрын

    Wewe mwanamke Mungu anakuona Mungu yupo

  • @thomasmwamkinga4018

    @thomasmwamkinga4018

    2 жыл бұрын

    Da huyu mama simuelewi hata kidovo hana huruma

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha7567 жыл бұрын

    da sihakosea kabisa kumpa huyu mtu kura yangu Allah akulinde baba

  • @jasbirswaran4338
    @jasbirswaran43387 жыл бұрын

    big president JJPM,salute kubwa mkubwa wa nchi,maneno kuntu

  • @matanamaduhu8699
    @matanamaduhu86992 жыл бұрын

    RIP JPM. You will forever remain in hour hearts. You truly devoted your life to serve the poor. Mama seems to forget all these 😭😭😭😭💔💔💔

  • @ruhumbikabundala2214

    @ruhumbikabundala2214

    2 жыл бұрын

    the guy will remain my President even though he is not alive

  • @hawamabira1499

    @hawamabira1499

    2 жыл бұрын

    @@ruhumbikabundala2214 me too💔

  • @nassorokatuga7465
    @nassorokatuga74656 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha malefu rais wetu mpendw

  • @mwajumajuma2999

    @mwajumajuma2999

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @oswardjunior7310
    @oswardjunior73102 жыл бұрын

    Delila alikuwa yuko makini kumsikiliza kumbe ki moyo nafsi yake ilikuwa inamuuma

  • @mukhsintwaha5909
    @mukhsintwaha59092 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani JPM ulithubutu daima uliyaishi maneno yko

  • @kisianganijob1068
    @kisianganijob10687 жыл бұрын

    how i wish we had this kind of leadership in Kenya....God bless you Mr.President,one of a kind.Long live your excellency and long live Africa!

  • @clt9914

    @clt9914

    7 жыл бұрын

    For sure, the kind of hyena-like leaders we have in Africa, makes one feel having a commanding president of this caliber. Pretending to be men of rule of law while squandering resources and humiliating their very citizenry is a proof of their insanity.

  • @allysultani1089

    @allysultani1089

    2 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akupe rehema nyingi ulipo dokta magufuli.

  • @karanibonge5906

    @karanibonge5906

    2 жыл бұрын

    Ruto is coming there mtakua poa

  • @shijalupondeja908
    @shijalupondeja9082 жыл бұрын

    Dah hadi inauma sana,pumzika kwa Amani Baba.

  • @japhetselestine2156
    @japhetselestine21562 жыл бұрын

    Tunakukumbuka baba, tena Tunakukumbuka kwa mazuri siyo kwa mabaya, RIP my president

  • @josephhuberty8248
    @josephhuberty82487 жыл бұрын

    This is leadership we want ,proud of u son of Africa

  • @tanzaniaonfoot8641
    @tanzaniaonfoot86417 жыл бұрын

    Kwa miaba ya wamachinga wote napenda kusema kuwa tulimuomba Mungu atupe raisi atakaye tetea wanyongi, kweli Mungu katusikia na kujibu maombi yetu! Mungu akujalia maisha malefu yenye afya njema mheshimiwa Dr. J Pombe Magufuli.

  • @amirlove8036

    @amirlove8036

    7 жыл бұрын

    asante RAIS wetu

  • @amirlove8036

    @amirlove8036

    7 жыл бұрын

    RAIS magufur we we ni jembe tutetee baba hata bodaboda tunazinguliwa kinoma sana!

  • @ramlaothman5771
    @ramlaothman57712 жыл бұрын

    Kabla ya hapa tulipo mwanamke Ali play part ya usaliti akamsaliti Adam the same to madam president,, inshort wanawake ni wasalitii... Allah atuondolee hiyo roho inshallah

  • @johanithajacob8715
    @johanithajacob87152 жыл бұрын

    Tulioxkia hotuba ya samia khc machnga tkard tena hapa kwa baba tujuane rest in peace my president

  • @sengeremaxleo9295

    @sengeremaxleo9295

    2 жыл бұрын

    Hahahah Daaaaaah 😩😩

  • @sengeremaxleo9295

    @sengeremaxleo9295

    2 жыл бұрын

    Magu alikuwa side ya watu wa hali ya chini lakin mama sio kabxaaaa

  • @kuhandajoshua8688
    @kuhandajoshua86887 жыл бұрын

    Hakika Mungu anapotaka kujibu maombi ya vilio vya wanadamu hapa duniani, huinua kiongozi aliye na moyo wa Mungu ambaye atawatumikia wanadamu ili kutimiza kusudi la Mungu katika taifa husika. WATANZANIA, TUMWOMBEE JPM...

  • @athewinersdone731
    @athewinersdone7317 жыл бұрын

    Wewe ni rulu ya Tanzania pia Africa nimeipenda debate yako kweli you is my true President I'm loving you Mr President

  • @saromejusto9587
    @saromejusto95872 жыл бұрын

    Jmni inaima mbona,na inakua ngumu kwangu kuukubali ukweli kua haupo baba

  • @masterdaudi7683
    @masterdaudi76832 жыл бұрын

    Huyu mama kaja tofauti nawewe daaaah pumzika kwa amani magufuli..

  • @husseinswahili7382
    @husseinswahili73827 жыл бұрын

    Asant baba Asant baba Natamani katiba ya Tanzania ibadilishwe ili ukae madarakani miaka yote ya uhai wako. Ewe mungu tulindie Rais wetu na mpe hekma nyingi.

  • @rukayyawendo1268

    @rukayyawendo1268

    2 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @gloryidelya9899

    @gloryidelya9899

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭MUNGUAmempenda Zaidi Yetu

  • @elmediano8125
    @elmediano81252 жыл бұрын

    Mungu azidi kukuifadhi my G daima tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭😭

  • @universalcreativestudio8488
    @universalcreativestudio84887 жыл бұрын

    Heshima kwako!.. Mhe, Rais wetu JONH POMBE JOSEPH MAGUFULI...... Mwenyezi Mungu akulinde... kungekua na uwezekano wakugombea Urasi wa Dunia tunaamin ungepata..... hapa wasio kuelewa ni wazembe wa fikra!... (Viliza). na tunavyokufaham huwezi kukwamishwa na watu wa Design hiyo!.. tuko pamoja na wewe katika maombi!..

  • @alecsbiggz418
    @alecsbiggz4187 жыл бұрын

    MR.President i salute you! you are more than a President well done good job and may God bless ,protect and guide you . we need more Magufulis in Africa to transform the Continent. the only african Head of state who really worry about the poor. Go on Mr.President the whole continent loves and apreciate what you are doing to the Country.

  • @kubyjuma4843
    @kubyjuma48432 жыл бұрын

    Rest in internal peace my president of all time..........😭😭😭

  • @cleopatraayhankandal6041
    @cleopatraayhankandal60412 жыл бұрын

    Lait mtu angekuwa anakufa na kurudi tena walah tz kingewaka

  • @mamacompyu5925
    @mamacompyu59257 жыл бұрын

    katika cku ulionifurahisha magufuli leo umenifurahisha Sana Shikmoh bba kweli wwe ni mtetezi WA wanyonge mungu akupe afya njema

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri51352 жыл бұрын

    Tutakukumbuka sana raisi wa wanyonge kipenzi cha mtetezi wa Tanzania

  • @abduladhimually3542
    @abduladhimually35427 жыл бұрын

    Hongeera mh.......ila umeongea muda mrefu ila sijaona hata glasi ya maji

  • @piusemma1
    @piusemma17 жыл бұрын

    This is a Credit. This man is powerful.

  • @fipa1823
    @fipa18232 жыл бұрын

    Magufuli alikuwa one king of Tanzanian pamoja na Africa......

  • @simonkiwise4454
    @simonkiwise44542 жыл бұрын

    Mzee tutakukumbuka sana kama ulivyosema mwenyewe! R.i.p

  • @barakamachard1944

    @barakamachard1944

    2 жыл бұрын

    Daah

  • @allyfaki7862

    @allyfaki7862

    2 жыл бұрын

    Umeona Mama anavyoitikia na kinachotokea sasa mmmh!

  • @homeboysinstallers8794

    @homeboysinstallers8794

    2 жыл бұрын

    Police wangu cina comment!

  • @daudimariseli3627
    @daudimariseli36277 жыл бұрын

    asante mh rais Allah akupe nguvu na akupe maisha marefu na uongozi uliotukuka baba tupo nyuma yako tukikuombea uzid kutufurahisha baba yetu asante sana kwa maelekezo kwa viongozi wote.....mungu akubariki na mungu aibariki afrika

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi16782 жыл бұрын

    R.l.P our lovely President. Tutakukumbuka daima.

  • @shakirarashid9181
    @shakirarashid91817 жыл бұрын

    shikamoo rais wangu Ni Kweli watu tunakimbia nchi yetu kisa maisha magumu ila kwa ninavyo ona tutaludi na ss nchi kwetu tueshimiwe tumechoka kuitwa mashaghara duuuh Asante mungu kwa kumuleta magufuli

  • @mickidardyjacksonh4456

    @mickidardyjacksonh4456

    2 жыл бұрын

    Nikwel tutamkumbuka sana aisee

  • @ajeydevgan7108
    @ajeydevgan71087 жыл бұрын

    Nimemuelewa mkuu wa nchi yuko vizuri sana Mungu ambariki sana.

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi61912 жыл бұрын

    “Sisi ndiyo wenye serikali, siyo wao”, napenda sana kiongozi anayetambua mamlaka yake na kuyatumia vizuri, the big JPM!.

  • @malopemaliyamungu5243

    @malopemaliyamungu5243

    2 жыл бұрын

    Hiyo the big alipotosha sana

  • @goalsworldwide5583
    @goalsworldwide55837 жыл бұрын

    Magufuli oyeeeee Mungu akupe maisha marefu Mh.Rais

  • @reubenjackson7327
    @reubenjackson73277 жыл бұрын

    ua the best president in Africa,,, swala la wawekezaji hilo cc kama wananchi linatuuma sana,,, tunaomba ulifanyie kaz kwa sababu watanzania weng c wawekezaj na hata wakitafuta uwekezaj hawapew kulipaumbele kama wagen, jpm Fanya kaz!!

  • @officialkinghezekiah2094
    @officialkinghezekiah20947 жыл бұрын

    sikukupa kuraa mkuu,,bt in the end i realize that yooo the great one,God Bless U

  • @fatumashabani5341

    @fatumashabani5341

    4 жыл бұрын

    Allah akupe maisha malef rais wetu hatuna cha kukurip ira Mungu atakurip

  • @bigmaneliudy1906
    @bigmaneliudy19062 жыл бұрын

    Baba tuta kukumbuka leo tume ambiwa tuondoke

  • @HabibaHabiba-mi1ez
    @HabibaHabiba-mi1ez7 жыл бұрын

    Nimeamin Kweli Sasa Tanzania Inakiongoz Mwenye Upendo Na Wananchi Wake Mungu Akubalik

  • @samwelhintay669

    @samwelhintay669

    7 жыл бұрын

    kuepusha matamko ya kila uchao ni lazima mfuate sheria mlizotunga na pia mheshimiwa ingekuwa vizuri ukajenga taifa lenye dira ili hata wewe ukitoka ajaye ataifuata

  • @denistarange5580

    @denistarange5580

    2 жыл бұрын

    @@samwelhintay669 dah

  • @boniphacemshigito2199
    @boniphacemshigito21997 жыл бұрын

    love this speach ,Mungu akupe hekima zaid

  • @paulmasansi1815
    @paulmasansi18152 жыл бұрын

    Rest in the perfect Paradise Hon.JPM

  • @BennyChristian
    @BennyChristian7 жыл бұрын

    huyu ndo raisi wallahi, hata hela ikipotea vipi mtaani huyu ndo anafaaa miaka 50 mbele

  • @simonlulenga2530

    @simonlulenga2530

    6 жыл бұрын

    Asante mheshimiwa unauwezo mkubwa wa kufanya analysis na kumake decision mkubwa na Mungu akubariki Rais wetu. Na siai waendesha pikipiki kwa shughuli za kila Siku tumepigwa marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam, mpaka kwa kibali na kibali ni sh. 170,000/= kwa mwaka! Mh. Rais kwanza ifahamike kwamba tunaendesha pikipiki badala ya magari kwa sababu ya kuwa na kipato chetu kidogo 170,000/= tunazitoa wapi? Na kwa mini pikipiki tu na siyo wamiliki wa magari nao waingie katkati ya jiji kwa vibali??? Huu ni ubaguzi ni ukaburu mkubwa sana. Tunaomba utuangalie na sisi.

  • @joashnyabange8830
    @joashnyabange88307 жыл бұрын

    Rais, Rais, Rais, Rais, Rais, mh magufuli wewe ni kiongozi wa kuigwa kweli kweli tunakupenda sana baba yetu 2020 utapata 100% ya wapiga kura, ila Waziri wa elimu atufungulie mkopo na sisi wenye diploma tupate kuanzia mwakani!

  • @johanesbina1302
    @johanesbina13022 жыл бұрын

    Samia anavyochangia kama MTU vilee😂😂😂😂😂😂 duuh haya maisha si powa

  • @abrah_li5797

    @abrah_li5797

    2 жыл бұрын

    Anaitikia kinafki

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias77622 жыл бұрын

    Tutakukumbuka sana mzee wetu.

  • @shadrackfidel809
    @shadrackfidel8092 жыл бұрын

    Once upon a time, Tanzania ilimpata kiongozi..

  • @charlesmwamlima3923

    @charlesmwamlima3923

    2 жыл бұрын

    🤔🤔

  • @babiornewton1008
    @babiornewton10087 жыл бұрын

    This guy speaks alot of sense,In Kenya Hwakers are being humiliated,tossed left and right.I wish we had this kind of president

  • @kasimuwesu2620
    @kasimuwesu26202 жыл бұрын

    John pombe lala kwa aman lakin hawa ulio waacha huku wamekueka het marehem hana hak ......

  • @omarimkwama6902
    @omarimkwama69022 жыл бұрын

    Mmeniona lakini nilivyo tulia kama naelewa vile uku nikiambulia ambulia neno moja moja utanitaka 😂😂

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @shakurfakii5458
    @shakurfakii54582 жыл бұрын

    Alaf kumbe na mam alkuwa pemben akiitikia dah😂😂nlisahau

  • @alfinmbilinyi1326
    @alfinmbilinyi13262 жыл бұрын

    Yeah!huyo ndiyo JPM hasara kubwa ya Tanzania kumpoteza duu tutakukumbuka daima.

  • @izeman7633
    @izeman76337 жыл бұрын

    haijawahi kutokea maamuzi km hayo upo sawa kabisa u re the right president

  • @simplissamba1943
    @simplissamba19432 жыл бұрын

    dah kwann mung alimchukua lkniiiiii😰😰😰😰😰😰😰😰😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @hudumayakufunguliwanakuwek1366
    @hudumayakufunguliwanakuwek13662 жыл бұрын

    NO WAY ICAN FORGET YOU DAD UR KIND LIKE

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty88192 жыл бұрын

    Apa lazima tuuu kila mtu atakukumbk wewe ndo ulitambua shida za wananchi Ila Sasaiv washabomolewa Pumzika kwa Amani JPM

  • @mabugabm7708
    @mabugabm77082 жыл бұрын

    Maisha yanaenda kasi saana jamani aise, duh...?!!! Watetezi wa jana, leo wamegeuka kuwa watesaji tena...!!!

  • @emmanuelrugambwa588
    @emmanuelrugambwa5884 жыл бұрын

    Mungu ibariki Tanzania na Rais Magufuli. From Rwanda

  • @musamgutu7760

    @musamgutu7760

    4 жыл бұрын

    Alafu eti nikapigie kura upinzani subutuu apa jpm tuuu

  • @rashidijulius6511
    @rashidijulius65117 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha mareefu na yenye furaha. na akuongezee utekelezaji mwingine wa mambo mengine. asante saana mh Rais JPM.

  • @mwajumajuma2999

    @mwajumajuma2999

    2 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @alimachiusaugustine1445
    @alimachiusaugustine14452 жыл бұрын

    Sasa najiuliza maswali mengi kwanini urifariki mtetezi wa wanyonnge

  • @mginyaboy3727

    @mginyaboy3727

    2 жыл бұрын

    Kwann jaman

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    Rais yoyote yule mpime kwa yamtokayo mdomoni ( hotuba zisizo za kuandikiwa) maana mdomo huongea ya moyoni na dhamira. Kama matendo hayafanani na yamtokayo basi huyo wa namna yake

  • @sunny_banksfx
    @sunny_banksfx2 жыл бұрын

    Wangapi tumekuja hapa Leo baada ya miaka minne? Rest in peace #JPM

  • @veronicasweets4360
    @veronicasweets43607 жыл бұрын

    Eee Mungu mbariki huyu baba. Mjalie maisha marefu

  • @pastorychokala2795
    @pastorychokala27957 жыл бұрын

    ivi anaemsema vibaya huyu rais anaakili au tope? mungu akubariki sana rais wa nchi yangu.

  • @jacksonkagwala9144
    @jacksonkagwala91447 жыл бұрын

    mungu akuongoze uzidi kuwatetea wanyonge

  • @expensivecrew3159
    @expensivecrew31592 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba etu

  • @abdallahmagera9160
    @abdallahmagera91605 жыл бұрын

    MUNGU nimipango yako atukujua kama tutampata mtanzania mwenye kuwapenda watu wake tunakuomba MUNGU wetu mtie nguvu na afya njema Amina

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam43252 жыл бұрын

    Kwa Sasa Hali sio shwali

  • @estareliya5818
    @estareliya58182 жыл бұрын

    Lala salama baba

  • @manenomohamed592
    @manenomohamed5927 жыл бұрын

    asante ww ndiye rais wa kwel safi sana nimependa.

  • @thobiasboniface338
    @thobiasboniface3387 жыл бұрын

    ahsante rais wetu kwa kaz nzur

  • @paulosadoi8309
    @paulosadoi83097 жыл бұрын

    magufuri kwanini hatukukupata kama wewe miaka 30 iliyo pita????? tunge kuwa wapi sasa

  • @ashaissakambona8560
    @ashaissakambona85607 жыл бұрын

    Asante bb ww.ndie Rais wasaidie wamachiga.hao.wafukuze watendaji zako wa kz.ivi amuwaonei.uluma jamani.wanavoagaika wanawadhalilisha.sana

  • @ashaissakambona8560

    @ashaissakambona8560

    7 жыл бұрын

    jamani mbona ata uku.dubai wamachiga wapo

  • @barutwatv8308
    @barutwatv83082 жыл бұрын

    Baba saiz amesha sahau ushaul ako mtokee BC ata kwa ndoto mkumbushe

  • @rosetui6070
    @rosetui60703 жыл бұрын

    I wish there is translations on the screen. would be nice to listen

  • @fabiandaud8717
    @fabiandaud87172 жыл бұрын

    Baba tunazidi kukukumbuka tunatamani Tena uludi ndunia uone kinacho endelea baba magufuli

  • @buddahpest4686
    @buddahpest46862 жыл бұрын

    Chuma kama Chuma kime pumzka ila Mungu Mwema atakatika moto tuta ishi

  • @shafiimpilika8264
    @shafiimpilika82644 жыл бұрын

    huyu sio Rais tu! Bali ni Mtume wa Mungu kwa sisi watanzania

  • @igobekomagessa4430
    @igobekomagessa44307 жыл бұрын

    Mungu wetu tunakushukuru kutupa Rais ambaye kwakweli hatukujua wala hatukutarajia ni kwa upendo wako kwetu mlinde Rais wetu na endelea kumpa ujasiri na maelekezo yatokayo kwako ili kusudi lako litimie Tanzania na kwawatanzania Amen!!!!

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    Hii hotuba ni kitabu cha sulihisho la umachinga RIP Dk JPM . Hotuba zako ni ushaidi. Upendeke, usipendeke , uenziwe, usienziwe hotuba zako zitabaki kuwa ushaidi.

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha7567 жыл бұрын

    asante baba mungu akuongoze ktk maamuzi yako

  • @allymapinda8804
    @allymapinda88047 жыл бұрын

    Huyu Rais sio mchezo aisee! speaks to their faces straight.

  • @alfredymakuru8333
    @alfredymakuru83332 жыл бұрын

    Pumzika kwa amen baba...taifa linakukumbuka kwa memaa yako

  • @festoignas4146
    @festoignas41467 жыл бұрын

    Naomba Mungu akupe Bodyguard wake malaika wakulinde mana Mungu ameyaoma maonevu ya watanzania kutokana na viongoz bas may God direct you towards victory yote yanayokuandamana yakukose isipokuwa mema tu. Mungu tulindie rais wetu Mh. Dr. John Pombe Mgufuli .

  • @philbertmgaza5434
    @philbertmgaza54342 жыл бұрын

    Mjomba tunakukumbuka na ulisema tutakukumbuka siku moja sasa yametimia RIP MJOMBA

  • @daudimakaya9240
    @daudimakaya92407 жыл бұрын

    kuna watu wanajuashida za watanzania kama huyu raisi wetu magufur ndo maana nakukubal

  • @mubarikmohammed557

    @mubarikmohammed557

    4 жыл бұрын

    I'm Ghanaian I love this man he did a great job May almighty ALLAH let him win again because he can fight for Africans,rest of the African presidents should look at him and change,all African leader should stop taking loans from china Africa is rich

  • @mrpambatv3420
    @mrpambatv34202 жыл бұрын

    Yani huyo mama ametulila kama binadam kumbe moyoni mwake!!!!!????? RIP JPM

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam43252 жыл бұрын

    Jpm .😭Tutakukumbuka tumeanza kuona dar

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita98942 жыл бұрын

    Viongozi wengi waliokulia mjini hawawezi kumuelewa Huyu magu

  • @renatussima5274
    @renatussima52742 жыл бұрын

    Sasa Yako wapi haya, mbona ka hakuwepo, iv mda wa kupitia kauli za Magufuli anao aundo basi tena. Ee Mpe pumziko la amani..

  • @jacktonmakau3397
    @jacktonmakau33972 жыл бұрын

    Leo mama amekuwa wehu kabisa ..wamachinga wanafukunzwa

Келесі