Rais Magufuli atinga kanisani kwa Wasabato Magomeni, awapa pesa

President John Pombe Magufuli na Mke wake Mama Janeth Magufuli September 2 2017 waliungana na Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato, usharika wa Magomeni Mwembechai Dar es Salaam kusali Ibada ya Sabato.
Ibada iliongozwa na Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Jimbo Kuu la Kusini mwa Tanzania, Baba Askofu Mark Walwa Malekana aliyekuwa pamoja na Askofu wa Jimbo la Mashariki Kati, Baba Askofu Joseph Mgwabi na Askofu wa Jimbo la Kusini Mashariki, Baba Askofu Albert Nziku.

Пікірлер: 157

  • @habelkalume9011
    @habelkalume90115 жыл бұрын

    Raisi Magufuli nambari moja Africa...ingekuwa wengine wangejipigia kura hapo kanisani....Respect for TZ from kenya

  • @isaiahstadius2383
    @isaiahstadius23834 жыл бұрын

    Mimi nimekuwa Msabato tangu jumamosi iliyopita tarehe30, hiyo ni baada ya kugundua Injili ya kweli isiyo na mapokeo ya Mwanadamu ipo SDA,sasa MUNGU ananiongoza kujua kweli ya neno lake kupitia SDA kwa kupewa mafundisho kwa njia ya kusoma Neno na kujibu maswali, Halleluiah!

  • @raphaelnkoswe3517

    @raphaelnkoswe3517

    4 жыл бұрын

    Isaiah Stadius chaguo lawatanzania

  • @charlesmiyoro8912

    @charlesmiyoro8912

    3 жыл бұрын

    Amina sana isaiah, sasa twasoma kitabu cha Isaiah mwaka huu,karibu sana Mungu akubariki.

  • @charlesmiyoro8912

    @charlesmiyoro8912

    3 жыл бұрын

    Natazama kutoka marekani.

  • @nenolakristomaisha.5611
    @nenolakristomaisha.56115 жыл бұрын

    NAMPENDA SANA MH RAISI ANAHESHIM WATU WOTE UBARIKIWE BABA

  • @estherjoseph134
    @estherjoseph1346 жыл бұрын

    Nawapenda sana wasabato maana wanamafundisho mazul na yenye kufundisha ata mionekano yao ya kiroho na kimwili wako vizuli,mbalikiwe sana na mm nipo njian naja kuwa kondoo wakwel

  • @planethakunamatata5254

    @planethakunamatata5254

    6 жыл бұрын

    Esther Joseph kumbe u kondoo wa uwongo kwa sasa.....ha ha haaaa... Joking

  • @mbularose1525

    @mbularose1525

    6 жыл бұрын

    Ni kweli Easter wasabato huhubiri Biblia lakini hawafuati mapokeo ya mwanandamu.Mimi nilikiwa mkatoriki lakini niliskiza mahubili ya wasabato ya kaniguza.

  • @cipladapretty8617

    @cipladapretty8617

    6 жыл бұрын

    Esther Joseph karbu sana zizin mama unapatkan wap?

  • @neemazabron8473

    @neemazabron8473

    5 жыл бұрын

    Esther Joseph karbu

  • @habelkalume9011

    @habelkalume9011

    5 жыл бұрын

    Mungu akuimarishe dadangu .. ...from kenya

  • @robertmajinge
    @robertmajinge4 жыл бұрын

    Hata Mimi nilikuwa katoriki lkn kwa sasa ni msabato Sabato ndio njia sahihi kwa kweli..!

  • @anodearsulusi7536

    @anodearsulusi7536

    Жыл бұрын

    Amini ukiaminicho mwisho uweze kumfikia Mungu maana dini na ibada zenu ni upuuzi mtupu kama mwisho sio kumfikia Mungu🙏🙏

  • @latefalatefa5594
    @latefalatefa55944 жыл бұрын

    Hata mimi nawapenda sana wasabato wanamuonekano wakipekee namafundisho yao ni original mubarikiwe na bwana Ameen

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly92614 жыл бұрын

    Mungu amfanye Rais wetu jua la asubuhi.Amen!

  • @catherinemnkeni8357
    @catherinemnkeni83574 жыл бұрын

    Waoo we thnk GOD kwa hili be blessd my Président on time

  • @paulinajosiah4525
    @paulinajosiah45256 жыл бұрын

    amina jina lake yesu lisonge mbele

  • @victornyoni6200
    @victornyoni62006 жыл бұрын

    Magufuli Hongera kwa moyo wa Kumcha Mungu

  • @mukankubanaperpetue4840
    @mukankubanaperpetue48403 жыл бұрын

    Wewe tutakumbuka kwa vitu mingi sana aba wa taifa TZ Mungu aendelee kuwabariki wa Tz na mke wako pia, familia.mzima wote Mungu wabarikiwe na Mungu awacunge.

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    3 жыл бұрын

    Huyu baba jamani kweli mungu Kaku Ali tuishi naye siku chache? jamani ukimtafisili kama YESU maisha yake mateja kanywa nao kahawa machinga kapiga nao SITORI kutuonyesha nao watu mama ntilie? Amesimama kwenye hekalu kukusanya pesa za Zinagogi na amesimama kwenye Sina gogi kukusanya pesa za hekalu baba wa Dini zote kweli kweli jamani MUNGU WANGU MOYO WANGU UNA UNGUA KUMPOTEZA BABA HUYU AMESIMAMA HATA SIHEMU ZISIZO ENDA A NA CHEO CHAKE KUWASIKILIZA WA HALI YA CHINI DADDY ANAUMA JAMANI 😭😭😭😭😭

  • @musagodfrey6400
    @musagodfrey64005 жыл бұрын

    Vitu vyote vitapita lakn neno la mungu litasimama milele Ee mungu ibariki Tanzania,Mbariki Raisi

  • @silverrichard2975
    @silverrichard29753 жыл бұрын

    R.I.P DR MAGUFULI WEWE ULIKUWA ZAIDI YA KIONGOZI KATIKA TAIFA HILI NITAKUKUMBUKA MILELE YOTE

  • @reginandege7196
    @reginandege71964 жыл бұрын

    Mungu akubaliki Baba

  • @godfreyjulius536
    @godfreyjulius5366 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @charlesmiyoro8912
    @charlesmiyoro89123 жыл бұрын

    Amina sana mtumishi maghufuli mungu akubariki uendelee kulitetea neno la mungu hata imedhiirika wazi hata wakati huu wa pandemia hakuna kuathirika Tanzania hata chembe dunia yote imekumbwa lakini sio Tanzania,sababu , kumcha Mungu ndio dawa, uongozi sio rahisi omba na wananchi nao pia limeandikwa kitabu cha waraka wa kwanza wa Timotheo 2: 1-4, Wananchi mwombee mtumishi.natazama kutoka marekani.sabato njema.

  • @inocentjapheti254
    @inocentjapheti2543 жыл бұрын

    Thanks god for spreads the Truth to up leaders

  • @selemussa9745
    @selemussa97453 жыл бұрын

    Asante Sana Mungu kutupatia kiongozi aliye na hofu na wewe.

  • @jackmajaliwa8265
    @jackmajaliwa82656 жыл бұрын

    hadi kikwete ashawahi kusali hapo kanisani so wanapenda kusali kwa nyimbo za wasabato zilivyokuwa nzuri

  • @halfaniland3850

    @halfaniland3850

    4 жыл бұрын

    Duh! Kumbe kikwete ni mkristo.

  • @musasabu6969

    @musasabu6969

    3 жыл бұрын

    @@halfaniland3850 ni mwislam lakn ukiwa kiongozi mkbwa wa nchi htakiw kbezi upande mmoja

  • @halfaniland3850

    @halfaniland3850

    3 жыл бұрын

    Ukienda kuabudu kanisani, we kafiri.

  • @josiahlusona4918

    @josiahlusona4918

    3 жыл бұрын

    Mungu ni mwema kwakwel

  • @selenganyagawa1358
    @selenganyagawa13583 жыл бұрын

    Amina present, Mungu wetu Kwanza rais wetu, akusimamie kwenye shughuli za kuisimamia Tanzania,🖤

  • @alfachaula2406
    @alfachaula24064 жыл бұрын

    MUNGU AIBARIKI TANZANIA YETU IENDELEE KUWA ZAWADI NZURI KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU

  • @maximiliannestor5358
    @maximiliannestor53586 жыл бұрын

    ubalikie mungu nimwema

  • @rechonasry560
    @rechonasry5606 жыл бұрын

    Ubarikiw rais wetu exactly

  • @regginaaman5032
    @regginaaman50325 жыл бұрын

    Mungu ibaliki Tanzania

  • @jacobmugeta5954
    @jacobmugeta59543 жыл бұрын

    Asante kwa kuja

  • @sunshinekamnina6312
    @sunshinekamnina63126 жыл бұрын

    Safi sana

  • @iharewisura7972
    @iharewisura797210 ай бұрын

    Kazi yako Haina makosa.mungu alikua na mpango na wewe hayati John magufuli.

  • @danielstephano6291
    @danielstephano62916 жыл бұрын

    Asante rais nimekupenda zaid kumbe unaroho njema hiv

  • @omonogerimbaka1846
    @omonogerimbaka18464 жыл бұрын

    Excellent

  • @bebefranck6834
    @bebefranck68342 жыл бұрын

    Mwuheshimiwa Magufuli yuko Mbunguni

  • @eliasathurnas5165
    @eliasathurnas51656 жыл бұрын

    Yes ndio rais tunayemtaka

  • @ericknkonya5682
    @ericknkonya5682 Жыл бұрын

    i still cant believe he is gone. Ama kweli GOD is the ultimate one

  • @neemapaul4062
    @neemapaul40626 жыл бұрын

    Amen

  • @melkizedeckabel6610
    @melkizedeckabel66106 жыл бұрын

    Amina

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad64632 жыл бұрын

    Tabasamu lako tu brother.

  • @skolaamos402
    @skolaamos4024 жыл бұрын

    Mungu a ku bali

  • @NeemaMasunga-vn8oy
    @NeemaMasunga-vn8oy10 ай бұрын

    Tutakukumbuka magufuli mungu akusamehe pale alikosea umfufue siku ya mwisho

  • @selemussa9745
    @selemussa97453 жыл бұрын

    Nzur hiyo

  • @robertndongo789
    @robertndongo7894 жыл бұрын

    kweli mungu ni mwema yote yataendelea kufunuliwa

  • @veronikmohamed3741
    @veronikmohamed37414 жыл бұрын

    Bwana awabarik

  • @josephpetermaganga2907
    @josephpetermaganga29074 жыл бұрын

    Hatari

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc6 жыл бұрын

    ubarikiwe sana

  • @salehlofy4251
    @salehlofy42516 жыл бұрын

    Aaa kanisa hilo tushalifelisha

  • @atwendakondo9264
    @atwendakondo92642 жыл бұрын

    Acheni unafiki damu zawatu zinaangamia watu wanapotezwa kila siku kilatendo litatolewa hesabu siku yamwisho!

  • @bihimomasemo4482
    @bihimomasemo44826 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi Wa mungu ndio Mungu anataka waminifu wa kweli ni neno la mungu to 17 January 2018 time 10:11pm

  • @neemamisai3598

    @neemamisai3598

    5 жыл бұрын

    huwezi kufanya lililo jema kila mtu akalifurahia piga kazi magu MUNGU atakulipa sawsaw nausafi wamikono yako ubarikiwe

  • @seifkassim5872
    @seifkassim58722 жыл бұрын

    Mi bado siamini kama uyu mwamba amefaliki dar.kweli magu umekufa au kunaseem upo? Si tunafanywa vigoda uku

  • @bihimomasemo4482
    @bihimomasemo44826 жыл бұрын

    God bless you

  • @carolineowino-si3ik
    @carolineowino-si3ik Жыл бұрын

    Baba kweli umeenda?,siamini hadi leo, basi tu

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri99055 жыл бұрын

    Pesa ngapi mbona hasemi, kibundaaa

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel26405 жыл бұрын

    Pesa pesa pesa!! Tembeza kama yoweri vile!!!!

  • @uwezohekima-qk8ss
    @uwezohekima-qk8ss Жыл бұрын

    SO SAD TO SEE SUNRISE DIE!...

  • @edwinkaris9602
    @edwinkaris96022 жыл бұрын

    Hata kenya inawahitaji @12:07

  • @samsonmwijage5301
    @samsonmwijage53016 жыл бұрын

    Abdulaziz can you justify your allegations. Avoid personal hates and don't mix political affiliations where does not work.

  • @charlesmiyoro8912

    @charlesmiyoro8912

    3 жыл бұрын

    Asante sana Mwijage,mwombee mwenzetu, ndipo tofauti ionekane .natazama toka marekani.

  • @kevmarick973
    @kevmarick9734 жыл бұрын

    Barkiwa cna raisi

  • @agnesngailo4354
    @agnesngailo43544 жыл бұрын

    Ubarikiwe baba

  • @oraionsabibi5497
    @oraionsabibi54974 жыл бұрын

    Niliona niliona ushirikiano huo hata herode mtawala wa rumi alitia dhahabu na marumaru ktk kanisa LA Jerusalem ci geni hilo

  • @danielmarko8120
    @danielmarko81206 жыл бұрын

    Magufuli mungu akubariki kwakujuwa umuimu wako.

  • @simuyangu1356
    @simuyangu13564 жыл бұрын

    Rais ni mnyenyekevu..nakupenda saaana rais wangu..naomba nikuone walao dk moja tuu

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo90966 жыл бұрын

    Hahahaa wanaoshindikana kwa neno la MUNGU.Dora!kabisaaa!

  • @suzanaturuka5664

    @suzanaturuka5664

    6 жыл бұрын

    mungu akubariki

  • @daudimaguha9447
    @daudimaguha94476 жыл бұрын

    Kumbe Tyson ni msabato

  • @halfaniland3850

    @halfaniland3850

    4 жыл бұрын

    Tyson gani?

  • @amosisamwelikisinza6473
    @amosisamwelikisinza64736 жыл бұрын

    Mchungaji upo sawasawa kabisaaaaaaaaaa mungu mwema

  • @jamesmethuselafredrick6064
    @jamesmethuselafredrick60646 жыл бұрын

    Swala sio kutinga kanisani tu,Sisi tunataka ayaishi hayo anayoyazungumza kwa kufuata Utawala wa Sheria,Vinginevyo itakuwa ni unafiki tu.

  • @imitekererezeihabanye8681
    @imitekererezeihabanye86812 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/h5ajp6-DZqW4Yqw.html Msimamo wa Kanisa la Waadventista Wasabato kuhusu chanjo umebatilishwa

  • @samweljaphet6687
    @samweljaphet66876 жыл бұрын

    Tofaut kati ya askof na mchungaj

  • @happnessmarcko3527

    @happnessmarcko3527

    6 жыл бұрын

    Samwel Japhet asikofu anafanya kazi ya kichungaji but sisi tunatumia Mchungaji kwa mm nqvyoelewa

  • @ovidiokibuga1086

    @ovidiokibuga1086

    4 жыл бұрын

    Ni msimamizi wa wachungaji wenzake katika ngazi za juu. Ni sawa na Kiranja na Mwanafunzi,au Mwl mkuu na mwalimu,Askofu na Mchungaji ni kitu kimoja ila mmoja anamsimamia mwezake.Askofu ni mlezi mkuu

  • @agneskushoka2903
    @agneskushoka29035 жыл бұрын

    natamani kuwa msabato

  • @habelkalume9011

    @habelkalume9011

    5 жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu......Philippians 4:13

  • @barnabamassawe5070

    @barnabamassawe5070

    5 жыл бұрын

    njomba vipi

  • @beatricecharles6483

    @beatricecharles6483

    5 жыл бұрын

    Karb sana

  • @esthernyabuto3845

    @esthernyabuto3845

    5 жыл бұрын

    Karibu mulango uwazi kwawote Fanya himausichelewa

  • @shimwekagwiza2300

    @shimwekagwiza2300

    5 жыл бұрын

    Karibu san

  • @mwenyehamisimsata7368
    @mwenyehamisimsata73686 жыл бұрын

    Marukio

  • @neemapaul4062

    @neemapaul4062

    6 жыл бұрын

    Amen

  • @godfreyabel9629

    @godfreyabel9629

    5 жыл бұрын

    Amen President

  • @imitekererezeihabanye8681
    @imitekererezeihabanye86812 жыл бұрын

    Mahubiri haya yanabatilisha maamuzi kuhusa chanjo yaliyochukuliwa na makundi ya uongozi wa kanisa la Waadventista Wasabato ambao waliyaamua maamuzi hayo bila mamlaka ya kuyaamua. Maamuzi hayo yanabatilishwa, washiriki wakapewa rufaa ili kuwa wa kipekee. kzread.info/dash/bejne/h5ajp6-DZqW4Yqw.html

  • @stevenmaingu2839
    @stevenmaingu28396 жыл бұрын

    amen

  • @famffamf40
    @famffamf406 жыл бұрын

    Hahaha

  • @shynejiskaka3643

    @shynejiskaka3643

    6 жыл бұрын

    Famf Famf Mungu akubariki Rais Wetu kwa Upendo wako Mungu akupe hekima zaid

  • @mosessteven1570
    @mosessteven15706 жыл бұрын

    mahubir yote ayo kwa saabu ya mifuko minne na million tano njaa zita wauwa ungepewa zaid unge mkufulu ata Mungu

  • @abelimalifedha1762

    @abelimalifedha1762

    6 жыл бұрын

    Moses Steven "kuwa mpole, ni masihi wa Bwana huyu. Usimnyoshee kidole. Acha kabisa. Pili; neno hili linamtia moyo raisi, pia limeelekezwa kwako wewe na kwangu ili tuwe waadilifu au je??. Mungu hakupendezwa na Yusufu.?? Angeliingia chini ya Dari yako kwa fadhili kama hii usingelishukuru??

  • @simonezekiel1328

    @simonezekiel1328

    6 жыл бұрын

    Wewe pimbi shetani anatawala maisha yko

  • @mosesagwena.ndioulikuwahuj3005

    @mosesagwena.ndioulikuwahuj3005

    5 жыл бұрын

    Moses Steven ulitaka atoe ngapi?

  • @alrubetoluzuwa2762

    @alrubetoluzuwa2762

    5 жыл бұрын

    Moses Steven sijakuelewa ulitaka afanye nini

  • @joycemeshack2570

    @joycemeshack2570

    5 жыл бұрын

    ubarikiw na mungu

  • @Amuka_SaSA
    @Amuka_SaSA6 жыл бұрын

    Why his he acting humble ?Its shows pettiness

  • @fx-farm6888

    @fx-farm6888

    3 жыл бұрын

    He was in the Sabbath church

  • @ramambongo4069
    @ramambongo40696 жыл бұрын

    Aachane ushamba makofi ya nn sasa amesema kipi cha maana

  • @happinessjosephat6674

    @happinessjosephat6674

    6 жыл бұрын

    Kuwa na shukurani jamani ww

  • @neemasaguda3872

    @neemasaguda3872

    4 жыл бұрын

    Ww cha mana nikip unachokijua

  • @abdulazizharthy5627
    @abdulazizharthy56276 жыл бұрын

    God almighty don't have a partner and prophet Essa peace be upon him is not son of God or God please remove this nonsense thinking, God cannot compare with any human God always will remain as a God prophet Essa will remain as prophet if you want or you don't want

  • @mbularose1525

    @mbularose1525

    6 жыл бұрын

    Abdulaziz Harthy waislamu matusi ya nini..ridhika kwa uislamu ukristo wakuwasha nini.No wonder that's why I hate Islam coz of this behaviours of using insults wherever they see Christians

  • @mutasingwajosephat1793

    @mutasingwajosephat1793

    6 жыл бұрын

    Kila ulimi utakiri kuwa Kristo ni Bwana wa majeshi.

  • @stidy4r167

    @stidy4r167

    4 жыл бұрын

    Abdulaziz harthy..hear this today, The GOD we worship is not affected by time,space and matter(is a limitless GOD),the greatest deception human has ever been in is to put a limit to GOD,...he can not do this,he can not do that...he can not.....so many he can not......and trying to forget the largest part that our GOD has no limit. May Almighty GOD help you to understand what i mean from these words.

  • @lameckmmassi6327
    @lameckmmassi63276 жыл бұрын

    We Daudi maguha wewe acha kauli yako hii.

  • @mwenyehamisimsata7368

    @mwenyehamisimsata7368

    6 жыл бұрын

    Lameck Mmassi majumosi matukio

  • @winfredcanaan582
    @winfredcanaan5826 жыл бұрын

    Ni Nini hiki!!?

  • @joshuamasunga5354

    @joshuamasunga5354

    5 жыл бұрын

    wapumbavu wamekasrika ila walokole waanglikana waislamu wapagani Na wasabato wanaompenda MUNGU watasema jina la MUNGU litukuzwe

  • @petromachanga29
    @petromachanga295 жыл бұрын

    Sabato ni siku wala sio din

  • @rafoursamiol5244

    @rafoursamiol5244

    4 жыл бұрын

    Hupingani na mwanadamu unapingana na mtoa maelekezo Mungu mwenyew kutoka 20:8

  • @ovidiokibuga1086

    @ovidiokibuga1086

    4 жыл бұрын

    Soma Kutoka20:8-11,Ezekiel20:12,20 unamtii nani Mungu au Binadamu,Mungu ni msabato Luka4:16

  • @petromachanga29

    @petromachanga29

    4 жыл бұрын

    Ovidio Kibuga hahaaaa wanafunzi wa yesu walikuwa wasabato ? Soma luka 6:1_5 aya ya 5 inasema mwana wa Adam ndiye mungu wa siku ya kupumzika ( sabato ni siku ya kupumzika )

  • @jamesmethuselafredrick6064
    @jamesmethuselafredrick60646 жыл бұрын

    Mzee fuata tu Utawala wa Sheria bila ubaguzi,Sisi hatutakuwa na tatizo na wewe maana Mwanzo ulianza vizuri wengi tulikupenda sana,Lakini kwa mwendo huu unatuvunja imani na wewe,tenda haki kwa Usawa kama kweli wewe ni mpenzi wa Mungu.

  • @abdulazizharthy5627
    @abdulazizharthy56276 жыл бұрын

    JPM Please Don't use public fund to contribute for your sabato church

  • @dadileonard2392

    @dadileonard2392

    6 жыл бұрын

    fikira za kipumbavu kusema katumia public fund for Sabbath church!kama ungejua maana Ya "Public" Usingeropoka Huenda lkn una mtindi wa Ubongo(Intellectual laziness).

  • @frankmwaipyana6021

    @frankmwaipyana6021

    6 жыл бұрын

    Tumekuelewa mtumishi wa mungu

  • @ntulimwaihola7085

    @ntulimwaihola7085

    6 жыл бұрын

    Rais wangu,Mungu akubariki saba kwa mchango wako wa kujengea kanisa

  • @simonezekiel1328

    @simonezekiel1328

    6 жыл бұрын

    Abdulaziz Harthy we ibirisi anakutafuna sio wewe

  • @tituskorir6602

    @tituskorir6602

    6 жыл бұрын

    Abdulaziz Harthy kwani wasabato Sio wananchi...

  • @dicksonkibuti8569
    @dicksonkibuti85692 ай бұрын

    Ameen

  • @rechonasry560
    @rechonasry5606 жыл бұрын

    Ubarikiw rais wetu exactly

  • @BantuTegemeo
    @BantuTegemeo4 жыл бұрын

    Amina

  • @priscamaige1612
    @priscamaige16125 жыл бұрын

    Amen

  • @erickditimo7845
    @erickditimo78454 жыл бұрын

    Amen

Келесі