MAGUFULI AWAVAA WANAOJENGA NYUMBA YA KIKWETE

Пікірлер: 55

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har87623 жыл бұрын

    Hiyo ni sheria 1999 sio Magufuli. Hata nchi nyingine Marais Wastaafu wanajengewa

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13083 жыл бұрын

    Kwakweli mh.unajua mpaka unapitiliza.kweli kizuri chajiuza siku zote.magufuli mi5 tena.

  • @richardmlebes7845
    @richardmlebes78453 жыл бұрын

    Kikwete Bhana Utatusaidia sania

  • @issackjoseph6436
    @issackjoseph64363 жыл бұрын

    Nafikiri ii sheria ilitungwa 99 alipofariki baba Wa taifa ili kuondoa ile iliyohesabiwa kama aibu kwa taifa ya kusubirisha mazishi ya hayati ili kumjengea nyumba ya kuja kumuagia,na nafikiri waliiweka kama motisha ya utendaji,ila pia kama mazingira ya uchumi na mapato ya taifa yamekuwa imaweza kufanyiwa amendment

  • @juniormwendwa2974
    @juniormwendwa29743 жыл бұрын

    Kikwete was a very humble president

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu50113 жыл бұрын

    Wanyonge wamevunjiwa majumba yao waloiba pesa za umaa wanaongezewa hii ndio Tanzania

  • @maisaalawi5399
    @maisaalawi53993 жыл бұрын

    Safi sana Rais wetu,God bless

  • @tnewssanka7640
    @tnewssanka76403 жыл бұрын

    Dahhh mpaka lini hv kikwete wakushindwa kujijengea mwenyewe

  • @predictioneasyodds2779

    @predictioneasyodds2779

    3 жыл бұрын

    msikilize vzr Rais ww

  • @emanuelshishe5695

    @emanuelshishe5695

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @TM.Sullusi

    @TM.Sullusi

    3 жыл бұрын

    Vitu vingine kama hamvielewi wadau msividakie 😂😂😂😂. Kwani Obama, Clinton na Bush hawana uwezo wa kujenga nyumba yake? Mbona wanapewa nyumba mpya baada ya kustaafu.

  • @blandinamnyinga8318

    @blandinamnyinga8318

    3 жыл бұрын

    @@predictioneasyodds2779 watu hawaelewi hizo ni moja ya favor anazopewa Raisi yeyote duniani baada ya kustaafu na ni Sheria ya mwaka 1999 kumbuka nani alikuwepo madarakani ya bunge lilipitisha""matunda ya kuitumikia nchi haijalishi utumishi ulikuwa mzuri au mbovu""

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai25083 жыл бұрын

    Sasa nyumba ya Kikwete inatuhusu nini?

  • @makongoronyerere2595

    @makongoronyerere2595

    3 жыл бұрын

    Nashangaa

  • @kibwanaMAlly

    @kibwanaMAlly

    3 жыл бұрын

    Nawewe inakuhusu nini

  • @mybrevisai2508

    @mybrevisai2508

    3 жыл бұрын

    kibwana Mohamedi Inahusu kodi yangu inayotumika

  • @makongoronyerere2595
    @makongoronyerere25953 жыл бұрын

    Mashelia yakitambo hatuyata mzee jpm

  • @newtonchamkongo283
    @newtonchamkongo2833 жыл бұрын

    Sio Sahihi kabisa na hii sio habari .

  • @georgeisdory9998
    @georgeisdory99983 жыл бұрын

    Mtu mwenye Roho safiii👏👏👏👏

  • @masterdaveprojections
    @masterdaveprojections3 жыл бұрын

    Hii Ndio inaitwa bahari kuiwekea mkondo wa maji kuingiza maji baharini

  • @dagrasmsigwa3085
    @dagrasmsigwa30853 жыл бұрын

    Siamini kama hana nyumba huyu mheshimiwa

  • @salmaathuman9156

    @salmaathuman9156

    3 жыл бұрын

    Kwani kasema hana nyumba MBONA wagumu kumwelea mtu

  • @mybrevisai2508

    @mybrevisai2508

    3 жыл бұрын

    Michezo ya kuigiza hii, kauza gesi yote Mtwara halafu akose nyumba?

  • @fatemaligalawa4151

    @fatemaligalawa4151

    3 жыл бұрын

    @@mybrevisai2508 nisheria walioitunga kupewanyumba wastaafu .kamakauza Gas zambizake usimuhukumu kunamaisha baada ya uongozi

  • @user-un3df1sl2h

    @user-un3df1sl2h

    3 жыл бұрын

    Nyumba anazo ila kishelia maraisi wastaafu lazima wajengewe mbona mkapa alijengewa

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Sheria za namna hii ni lazima tuseme hapana!!!

  • @laurentraphael5470

    @laurentraphael5470

    3 жыл бұрын

    Mwambieni Mbowe, hapana kwenye ruzuku, michango ya wabunge, pesa ya mifuko ya majimbo.Mbowe anakula kichwa, tumbo, mikia ha, ha, ha.

  • @mcheshcomedy5809

    @mcheshcomedy5809

    3 жыл бұрын

    @@laurentraphael5470 cjuh unamaana gn???

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@mcheshcomedy5809 pimbi huyo,!!!

  • @TM.Sullusi

    @TM.Sullusi

    3 жыл бұрын

    Hahahaaa, hyo hata aje Lissu. Ni jambo La kawaida ulimwenguni kote ndugu

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@TM.Sullusi hakuna kawaida ya namna hii

  • @tnewssanka7640
    @tnewssanka76403 жыл бұрын

    Hizo hela tungejenga kituo cha yatima na wajane plzzzzz

  • @titodaudi8949

    @titodaudi8949

    3 жыл бұрын

    Mimi ni ccm ila kwa hili sijapenda kabisa Ivi hawa viongozi wetu hawana majumba ya kifahari kweli? Kwanini wasijengewe wazee wasiojiweza kama alivyofanya Karume hapa Zanzibar?

  • @saidisamwesongo1159
    @saidisamwesongo11593 жыл бұрын

    Hamnajipya, Tanzania mpya, nakatiba mpya inatuhusu, izo nyumba nikwajili yakuomba fadhira za kusaidiwa kampeni, Tanzania bwana,

  • @elifurahaanuari1763
    @elifurahaanuari17633 жыл бұрын

    Kwa hali hii katiba mpya tuna taka

  • @johnmagwila3002
    @johnmagwila30023 жыл бұрын

    Hongera saana Raisi wangu kwa uchapa kazi wako,mungu akubariki na tarehe 28/10/2020 tukuchague tena ili uendeleze kuwahudumia Watanzania katika maendeleo ya kweli.Bila kupepesa macho hakika nakuombea kwa mungu ushinde kwa kishindo na Ccm tusibabaike na wapinzani wanaoshangiliwa na wahuni ambao sio wapiga kura.Wapiga kura wametulia tuu na wanakuombea kwa mungu uhai na maisha marefu ili tarehe hiyo ya kupiga kura,wakupigie kura za kishindo.CCM tutaendelea kushika dola kwani tuna viongozi makini kama wewe ndugu John Pombe Joseph Magufuli.Kidumu Chama Cha Mapinduzi.CCM Oyeeeee.

  • @mosesamosntiruchiks4042

    @mosesamosntiruchiks4042

    3 жыл бұрын

    Umchague we mwenyewe ndo yaleyale mazuzu bx tu

  • @abubakarmudir1147
    @abubakarmudir11473 жыл бұрын

    yes

  • @qadinacci
    @qadinacci3 жыл бұрын

    Kumbe ni kwa mujibu wa sheria ya Wastaafu ya Mwaka 1999, Ok...

  • @abumasoud1996
    @abumasoud19963 жыл бұрын

    Rais magufuli. pesa nyingi mnazotumia kuwajengea marais wastaafu.jumba kubwa sna ya raisi kikwete.mnawazulumu raiya wanyonge. kuna watanzania hata chumba chakulala hawana.

  • @jonathanmlinda2580

    @jonathanmlinda2580

    3 жыл бұрын

    Mtu kawatumikia kwa miaka 10, Leo kujengewa nyumba ya kuishi tu imekua ni tatizo

  • @newman1906
    @newman19063 жыл бұрын

    Yeye tayar ana uwanja wa ndege chato...hapo bado hajastaafu Tutayaona mengi katika uongozi huu...ni dhulma tu Pesa ya umma unaifanya kama yako...unaamua unavyotaka wew... Tanzania zaid ya asilimia 70 ni mackini...unahangaika na matajiri unasahau mackin ..ndo kwanz unazidi kututia umackin

  • @eliaslazaro2809

    @eliaslazaro2809

    2 жыл бұрын

    Wewe nimpumbavu wivu unakusumbuwa ningekuwa nauwezo ningeondowa matahila wote kama wewe.

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91563 жыл бұрын

    Safi sana rais wetu unafanya kazi sana💪💪

  • @dismasvalerian6165
    @dismasvalerian61653 жыл бұрын

    Uhujumu uchumi huo

  • @thomasmbungeabdullah2319
    @thomasmbungeabdullah23193 жыл бұрын

    Mpaka tushituke haw wazee washatunyonya maviiiiiiiiii tubadilishe uongoziiiiiii maraisi mnatuibiaaaaaa kikwete usipokeeeee hiyo numba ku

  • @mashakathomas9992

    @mashakathomas9992

    3 жыл бұрын

    Watu Kama wewe. Huwaga mnawanyanyasa hat wazazi wenu hujui hata maana shukran wewe 0+0 kichwan pole. San

  • @laurentraphael5470

    @laurentraphael5470

    3 жыл бұрын

    Mbona Mbowe na genge lake anawakamua ruzuku, michango ya wabunge pamoja na kuwanyonya mavii na yule wakala wa beberu hamsemi. Kuwatunza wazee ni jambo jema. Chagua Magufuli, chagua ccm.

  • @mosesamosntiruchiks4042
    @mosesamosntiruchiks40423 жыл бұрын

    Yaani we rais hujielewi kabxa basi tu kwa vile siyo nchi ya haki hufai kuna watu wamekufa na maji eti unamjengea mtu mwenye shibe kweli Hii ni haki kwweli?

  • @abubakarmudir1147

    @abubakarmudir1147

    3 жыл бұрын

    ndio sheria ilivo usimlaum mtu

  • @mosesamosntiruchiks4042

    @mosesamosntiruchiks4042

    3 жыл бұрын

    @@abubakarmudir1147 upuuzi tu wa nchi yetu kwanza raisi tunachagua watu wanaojifikilia wenyewe kwanza lakini kiongozi mzuri lazima afikilie kwanza aliyempa kura kwanza afaidike yy atakula tu lazima lakini likijifikilia lenyewe kukufikilia ww mpiga kura ni ngumu