Umetuacha njia panda mpendwa baba yetu tutakukumbuka kila siku kwa mema uliyo tutendea Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi amen
@peterchristopher3555
3 жыл бұрын
Aaaà
@abelahadi18383 жыл бұрын
Bwana tusaidie watanzania tunapita katika wakati mgumu sana ulitupatia ndg.yetu kipenzi ndg.Dr john Joseph pombe magufuli kuwa rais wa taifa hili teule la Tanzania lkn ghafla sana tukiwa tunamhitaji zaidi ndipo nawe umeamua kumtwaa ,Bwana ulitoa na umetwaa jina lako libarikiwe hakika wewe ni mungu hatuna cha kusema Amen.....
@geofreymfumbilwa2659
2 жыл бұрын
L
@geofreymfumbilwa2659
2 жыл бұрын
L
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuweke mahala pema peponi aaamin,na Raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, aamina, Nilikupenda zaidi ya Sana
@jmeliasshanelle43033 жыл бұрын
Nawaomba Watanzania WOTE jueni Kama vile Rais Magufuli alivyo waambia jueni Raìs Magufuli aliweza kuwatendea mambo mengi mema, sio kwa ajili ya uwezo wake, bali kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Mkisahau Mwenyezi Mungu mtadidimia. Rais wenu amewaachia mfano mzuri wa vile kuendelea, mkianza kuwasikiza Wazungu mtapotea. Poleni familia na nyinyi nyote
@aairraahseif5648
3 жыл бұрын
It'is true,wakumbuke hilo sana
@meryanmwailakale670
3 жыл бұрын
Watanzania baadhi wanafurahia sasa yabaadae hawajui, pumzika kwa AMANI Raisi wa wanyonge kazi umeifanya
@abdulbora39613 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭ewe mwenyezi mungu nakuomba mpokee babaetu magufuli kwenye uzima wa milele amin.lala salama baba🙏🙏
@mariamuhussein1407
3 жыл бұрын
Pumzka salama raisi wetu tulikupenda Sana Ila mwenyeezmungu amekupenda Zaid mungu akjlaze mahali pema peponiii
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
"Unapoona tatizo huliwezi kulitatua mlilie Mungu"
@pacifiqueheri17673 жыл бұрын
Suja wa Africa île sauti hatutaisikiyaka tena, hongera kwa kazi ulifanyiya Tanzania na Africa kwa ujumla. Uko mufiya Africa
@augustinejohnnyakatoma8591
2 жыл бұрын
Sauti yenye mamlaka na mvuto. Iliyo mtaja Mungu KILA wakati
@nectasummary12983 жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu john Joseph magufuli maala pema peponi, tangulia mbele ya haki, ukaketi katika kiti cha enzi tulikupenda ila mungu kakupenda zaid
@tiffahkidoti89543 жыл бұрын
Allah ailaze Roho ya Hayati JPM mahala pema peponi kwa huruma na wingi wa REHEMA zake. Amin
@benjaminmakega4432
2 жыл бұрын
Makegz
@jacklinejosam3713
Жыл бұрын
Ila webaba tupate wapi mtu kama wewe magufuli jamani?
@bebisheni43803 жыл бұрын
Baba magufuli baba umetacha nimeumia mimi baba namuomba mwenyezi mungu akuweke mahala pema
@theo-xc3rz3 жыл бұрын
Huna doa baba pumzika kwa amani mwenyez mungu atawaadhibu mmoja mmja walioamua kutuzimia shujaa wetu wew ni kiongoz bado hadi sahv sjaoona wakukufikia.Baba we pumzk me napitia tu speech zako naon bdo unaongz nchi
@lydianyamoma38663 жыл бұрын
😭😭😭pumzika baba umelala magufuli Mungu akulipe sawasawa na matendo yako, usamehewe dhambi za sirini na hadharani 🙏
@rahmanguzo9270
2 жыл бұрын
Rahma
@rahmanguzo9270
2 жыл бұрын
Rahma
@berthambizo46466 ай бұрын
Baba alikua mnyenyekevu huyu Daaaa...Mungu ampe pumziko la Milele Dr John Pombe Josephu Magufuli
@mankamushi45882 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la milele baba Mimi nakukumbuka kila inapoitwa leo .na nitakukumbuka na kukuombea kila siku
@amanimwidowe46323 жыл бұрын
NI ngumu kuelewa hata kuamini kumbe hata msiba wa kijazi ulikuwa hata huumwi Nini kimeingia hapa kati kati rais wangu hii Dunia iniambie bas wapi inatupeleka angalau nijue maana imetubeba basi iniambie inamaana Mungu ndy alikupenda Zaid magu 😭😭😭😭 Mungu huna hasira wewe unajua mengi kuliko tujuavyo Pumzika kwa Amani Magufuli.
@juliethhope7281
3 жыл бұрын
Naumiaaaaa jmn 😭😭😭
@juliethhope7281
3 жыл бұрын
Amen
@rashidymhina8242 жыл бұрын
Tanzania tunakumis Sana baba yetu. Kila nikisikia sauti yako ninafarijika. Rest in peace MAGUFULI.
@matridafamatwi8781
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@jairosjulius9447
Жыл бұрын
P
@marthagwelino18973 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana rais wetu
@Pen9602 жыл бұрын
Yani hapa mzee alikua anaonesha kujikaza kabisa!!! Hata sura ilishaanza kubadilika. He was a best leader!
@rosenelima86183 жыл бұрын
Rip shujaa wa Africa,😭😭😭😭mungu akulaze mahala pema raisi mpendwa😭😭😭😭😭😭😭
@jessicarasigu22202 жыл бұрын
Mlio muuwa magufuli,machozi ya WATANZANA wanyonge 😭 😭😭😭 na Africa kwa ujumla imewalaani wote waliousika na kifo chake JPM wetu make bado tunamlilia tu sana, naamini hanna Amani miyoni mwenu,
@chomasongidion6047
2 жыл бұрын
Nawao watakufa tena vibaya
@williumjackob8361
2 жыл бұрын
Hakika hatutaacha kumlilia kwamwe na mungu awape adhab isiyo na mwisho
@rajabjuma277
Жыл бұрын
Unao ushahidi au unakurupuka
@amanmyolo5359
Жыл бұрын
Mungu anawaona na hawana amani na mungu wameachana njia wenyewe kwa wenyewe mungu ni mwema
@user-io1lt7my4i
7 ай бұрын
Sasa walanchi wamefulahi na wanakula tuu nchi inasikitisha😭😭😭
@uwasemaureenangel4773 жыл бұрын
RIP magufuri. Hatutokusahau kamwe. Wewe urikuwa shujaa na mukakamavu pia na mapenzi kwa Tanzania.
@juliethhope72813 жыл бұрын
Jmniii kamfata rafik yake.alimpenda sana mwenzie..inaumiza mno jmn😷😭😭😭
@jessicastephano59743 жыл бұрын
Rais John pombe magufuli. Shujaa wetu mtoto wa Africa mpambanaji asie teteleka pumzika kwa Amani Baba yangu mpendwa nilikupenda sana,
@ustzhadilimuhamadi3028
3 жыл бұрын
Amen mungu amlaze mapema
@jacklinjosam5566
2 жыл бұрын
Dah kamaunaishi vile, ila wewenishujaatuuu halitapingikahilo, rest in peace our Dady
Mungu akupe pumziko lanmilele mbinguni raha ya milele umpe ebwana 🤲 na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amin 🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🙏🙏🙏❤️🤍
@mwanzashinyanga80603 жыл бұрын
kweli kizuri hakidumu daah 🙏🙏🙏
@rhodahleopord2581
3 жыл бұрын
kweli😭😭😭
@williamkirway46202 жыл бұрын
Ukweli,uvumilivu,ukarimu,unyenyekevu ni vipaji kutoka kwa mungu,havifundishwi shuleni,bali vyote vya toka Kwa mungu tuvipokee Kwa furaha kwani hata mazuri mbona twashukuru,hata magumu na mabaya tusimchukie mungu,bali tumshukuru.
@dianamahendekamahendeka13442 жыл бұрын
Dar nashindwa niangalieje naishia kulia maana hapa ulikua umebajiwa na siku chache sana 😭😭😭😭😭😭😭
@robertnyandwaro80402 жыл бұрын
This Man, president JPM, a man of the people. An exceptional leader. This world is not our permanent home for sure. Am a Kenyan citizen but i loved the type of a leader he was.....
@user-ot4uk1rz5i7 күн бұрын
Pumzika Kwa Amani shujaa wetu tunakukumbuka mungu ailaze roho yako mahali pema peponi AMINA.
@user-fq2xj9nt3g8 ай бұрын
Uncle magu jamani katuacha wanyonge mungu akulaze mahala pema peponi umecha historia ya milele
@annamtapila57613 жыл бұрын
Ahsante baba kwa kututia nguvu na moyo wa maombi. Pumzika kwa amani baba.
@edwardouma16302 жыл бұрын
Mungu aibariki Tanzania na watto wa Tanzania 🇹🇿 by Fosill nikiwa jijini Nairobi Kenya
@iminzaiminza58133 жыл бұрын
Hakuna president aliyekuwa akisema ukweli Na kumcha Mungu kama wewe Mkuu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭I can't stop my tears😭😭😭😭🇰🇪😭😭😭
@marrymenas3 жыл бұрын
Hapo ni yy alikuwa akiongea lakini kwa nguvu za roho mtakatifu alimshukia kimiujiza bila hata yy kujua...Tutakukumbuka daima Baba 💔🙏
@PantaleoBundala-tl2kd9 ай бұрын
Hakika tulipoteza hazina kubwa sana hizi za Taifa. Mungu awape pumziko la milele........Amina
Tulikupenda sana lakin mungu kukupenda zaid R.I.P our best leader ever JPM we still ❤❤❤❤ you
@mankamushi45882 жыл бұрын
Asante mungu kwa zawadi ya huyu baba najua ulimleta hapa duniani ukatuonyesha mazuri yake baba kidogo ukamchukua.🙏 Asante kwa zawadi za huyu baba.
@alimdoe83073 жыл бұрын
R.I.P,Jpm!! Hakika nchi imeumia sana!! Sasa hivi tuko na makamu wako,haya!!
@benjaminsamuel46413 жыл бұрын
We 'll never forget you.may God Rest in peace, bodly we're not together but spiritually we shall meet.MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI BYE BYE.umetuacha ktk majonzi na simanzi kubwa jemedali wetu.
@kulwammbwambwa40893 жыл бұрын
Mwenyezi mungu mpokee mwanao
@user-sc8un9qh3t8 ай бұрын
Mungu akupe wepesi ktk safar yako baba
@gaspercharles4242 Жыл бұрын
The most clever leader in Tanzania and Africa time running out R.I.P Magufulification of Africa.
@mimimoop26173 жыл бұрын
Pumnzika kwa amani magufuli wetu daima tutakukumbuka amina
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@rwenenahomechannel1634
2 жыл бұрын
I really like your comment brother.
@mutijimacedrick1622
2 жыл бұрын
in this generation ,no one like him....African hero...we miss prophet ....been killed by big men of this world criminals
@simonedward244
2 жыл бұрын
I real love president
@mashambosheby2063
2 жыл бұрын
@@mutijimacedrick1622 💯
@jeanbaptistetwizerimana3149
Жыл бұрын
House yyhhgguuuu;; uo3se,08inpnbhubn?❤v❤❤😢tyuyuu1uujllsdaaasqqhbhhefyipo9umiuui😂àuuykoàatà k 1bbhjaslllkkfyuv ❤,
@EvalistChriss-fk8yj8 ай бұрын
Habari nzuri sana kwa kunisikiliza na kujua BY WU&YTCNEWS
@lucymumbimuriithi14163 жыл бұрын
😭😭😭😭😭huyu prezo alikuwa shujaaa RIP
@ashrafakimaro24275 ай бұрын
Dr.Magufuli he was a good president he ofeared Allah and he loved his country
@annerafaela4073 жыл бұрын
Nikama ndoto naota, kama nawaona wapiga pesa wanavyosherekea
@user-bf3hc6we7j
3 жыл бұрын
acha tu nawao ila wakubuke kuwa wataziacha tu zina mwisho
@SimonKitaly9 ай бұрын
Mungu sio dhalimu..
@faithmbeyela95532 жыл бұрын
Mawazo na maneno yako yanaishi nasi Kila siku upumzike kwa Aman tulikupenda sana rais wetu, tumekumisi mno
@paulmkimani61342 жыл бұрын
Asante kwa Imani kwa Mwenyenzi Mungu! Lala pema Mhe Rai's.
@user-nl8ej7le2c8 ай бұрын
Tu étais un président exemplaires
@joycephillip89263 жыл бұрын
Mungu wewe ni mwanzo na mwisho wetu ,pumzika kwa amani baba yetu kipenzi,safari yako baba ilianzia hapa kwa muonekano wa huzuni kubwa inayojidhirisha usoni
@nurukiingu9012
3 жыл бұрын
Kwawale wajuzi tu.
@chakiraibrahima1751
2 жыл бұрын
Nimehupenda sana
@JovithaGeorge-zq5dh Жыл бұрын
Pumzika Kwa Amani,mungu akuchague kulinda malaika wake,maana mungu anaitji walio safi wa moyo🙏🙏🙏 tutakukumbuka sana.
@sophiamapunda90542 жыл бұрын
Pamoja sana, hongera kwa lasi nzuri. tutakukumbuka baba yetu mpendwa.!
@user-yh3oo7yt3h8 ай бұрын
Mpunzika Kwa amani rais wetu magufuli
@ChristerJotham-gr6ww9 ай бұрын
Nimemkumbuka sana baba yetu magufuri
@user-ys7li6cg7l4 ай бұрын
Kiongozi mwenye bidii na mchapa kazi poleni sana ndugu zetu wa tz mungu awarehemu sana na ailaze roho yake mahala pema kule aendako Amen.
@esternyamhanga8556 Жыл бұрын
Ee mwenyezi Mungu umulaze hayati baba yetu mahali pema peponi sababu ameleta mabadiliko makubwa Sana nchini nitakukumbuka Sana magufuli!
@lydiagray33232 жыл бұрын
Ntakupenda daima baba angu mungu akulaze mahali pema peponi 🙏🙏🙏🙏🙏
@darusiulenge3348 Жыл бұрын
Kazi yake mola haina makosa mbele yake nyuma yetu hakuna atakayeishi milele maisha baada ya kifo Mungu anatosha Mungu wetu sote
@zidani-p4u9 күн бұрын
Eee mwenyez mungu ilazeroho ya rais wangu mahala pena peponi amina
@user-dv4xl2fn1t9 ай бұрын
Le président John Pombe Magufuli a marqué toute l'Afrique en général,et en particulier la Tanzanie,pays qu'il a dirigé pendant plus ou moins cinq à six ans
@user-iv4eg1cv2f10 ай бұрын
Ni muwazi sana uyu baba
@FahamLongo-tp3yb9 ай бұрын
Tunakumbuka sana baba yetu atutakusahau kamwe
@piusthomas38652 жыл бұрын
Tulikupenda.sana daima tutakukumbuka umetuachia usia baba mbele yako yuma yetu
@teresiamwita17883 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Tutakukumbuka Daima
@user-wq8th9jv8e9 ай бұрын
Mungu akulaze pema pepon makufur
@shukurunongele14103 жыл бұрын
Safi sana kwa kumbumbu hii
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Physical appearance yake hapo bado anaonyesha Hana uchangamfu wa siku zote,Mungu alimjua toka tumboni mama yake
@trissateddy99092 жыл бұрын
May your soul Continue to resting in eternal life...🙏🙏😔😭😭😭😭
@ushiwamarandu74332 ай бұрын
NIKWELI NA SISI TUPO NJIANI YYAMETIMIA NA YATAENDELEA KUTIMIA MBAKA MWISHO WA DUNIA HII....! AMIN.....
@wilhelminajob3581 Жыл бұрын
Life has never been the same since you left us Tanzanians
@kiazikitamu39853 ай бұрын
Magufuli anaonekana amechoka hapa mwonekano wake hauridhishi, Mungu amlaze mahali pema peponi ❤🎉
@charlessymussa4460 Жыл бұрын
Hata mimi naungana na ninyi kumukumbuka kila nikisikia Sauti yake mungu amuweke mahala pema peonies aminaa R.PJ
@JoyceMwita-vm3pv Жыл бұрын
Mimi ni mkenya lakini nmlilia Mzee John pm magufuri namuombea mungu ailaze roho yake pema pazuri naitwa chacha mwita kutoka Kenya county ya migori
@secyngweta5710 Жыл бұрын
l miss you magufuri pumzika kwa amani tunakukumbuka watanzania.😭😭
@jumamstapha95587 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢 dah umetisha bro sanaaaaa mana bado anaishi myoyoni mwetu daima 😭😭😭😭😭
@chichyjiih67885 ай бұрын
OMG huwa spendi kuangalia clip zako sababu machungu nayohisi nashindwa kujizuia. May your soul keep resting in an eternal peace, till we meet again. I was here in 2024, Feb
@user-gd8mp3sq3z
5 ай бұрын
Poreni sana na kifo Cha magu
@joycemgaya1605 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe pumuziko la milee
@Myboy_10327 ай бұрын
Daima tutakukumbuka😢😢😢😢
@esterchananji26573 жыл бұрын
Tangu magufuli afariki cjackia tena viongozi wanakufa,,cjui kulikuwa na nn kipindi hicho...!!
@geofreybilasho721
3 жыл бұрын
Vip bado hujaskia Msiba wa Waziri Wa Ulinzi
@augustinejohnnyakatoma8591
2 жыл бұрын
Kidogo inashangaza
@faustineathanas83112 жыл бұрын
Rest in peace Dady Dr John Pombe Magufuli, Tanzania missed you 😭😭😭😭
@user-mq4fv7mi9o10 ай бұрын
tumekumis baba god bless u
@rosaliebati84933 жыл бұрын
Quel sagesse Mr le Président, t'es unique,lala salama
@veronicalucumay269 ай бұрын
baba ulemtanguliza Mungu uliyekuwa unamsikiliza kila mmojaaa ulijalii utu kuliko chochote 😢tutakukumbukaaa kilaaa mara
@monilaumutoni18433 жыл бұрын
A life well lived &worth to celebrate 💔🕊🙏🏾 only God knows why our good great leaders with good intentions goes too soon 💔
@JohanesJosephati-uj8fh8 ай бұрын
Mungu akubariki
@tausimgasa43223 жыл бұрын
Jmn, mlio baki ebu mjifunze kupitia magu, hekima na busara, mnapopata, madalaka ya kuongoza basi fateni nyayo zake ili vizaz vinavyo bak viishi kwa Aman pia Tanzania yetu iwe Salama.
@gersonmsoffe5817
3 жыл бұрын
Haufananishwi na chochote uncle magu tunakuombea upumzk kwa Aman!!! Mama samiha suluh nakuomb uwe mfano kwetu cc watanzania ukafanye alo yafanya hayati doctor john pombe mahuful
@emmypeter35932 жыл бұрын
Daah kila nikisikia sauti yako baba yetu John Joseph pombe magufuli nafarijika Sana kwa kwli mungu akuweke mahalo pema peponi:RIP magufuli 😭😭😭
@RashidiEusebio3 ай бұрын
Tunakukumbuka mwamba wetu mungu akuwekemahala pema peponi aamin
@skyonlinetv83013 жыл бұрын
Tangu umeondoka 🤦♂️🤦♂️🤦♂️ mambo yapo ovyo cnaaaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Пікірлер: 715
Pumzika kwa amani daima, tulikupenda sana baba. Ulale salama, MUNGU akupe pumziko njema ya milele 😭😭😭😭
RIP Baba mpenzi Rais Magufuli. Wamekuondoa. Watajua tayari ulitunywesha maadili mema. Watajua mawazo yako tutayapeleka mbele.
@aishaarusha894
3 ай бұрын
We naye nani alie muondoa mungu mwenyewe kamuitaji
@elijahgichumbi9971
3 ай бұрын
@@aishaarusha894 hatutabishana aisee
Kifo ni fumbo kubwa sana,Mwenyezi Mungu tusaidie tuvuke salama kwenye hii dunia tunamuombea jpm apokelewe kwa amani huko mbinguni😭😭
@DottoMloso
2 ай бұрын
🎉❤😮🎉❤😮🎉❤😮🎉❤😮😊😊😊🎉❤😮😢🎉❤😮🎉❤😮🎉❤😮😢😊😮😊😮❤🎉🎉❤😮🎉❤😮🎉😊🎉❤😮🎉🎉❤😮🎉😊🎉❤😮😅😢🎉😢🎉😊😮🎉🎉❤😮😊🎉❤😮
Umetuacha njia panda mpendwa baba yetu tutakukumbuka kila siku kwa mema uliyo tutendea Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi amen
@peterchristopher3555
3 жыл бұрын
Aaaà
Bwana tusaidie watanzania tunapita katika wakati mgumu sana ulitupatia ndg.yetu kipenzi ndg.Dr john Joseph pombe magufuli kuwa rais wa taifa hili teule la Tanzania lkn ghafla sana tukiwa tunamhitaji zaidi ndipo nawe umeamua kumtwaa ,Bwana ulitoa na umetwaa jina lako libarikiwe hakika wewe ni mungu hatuna cha kusema Amen.....
@geofreymfumbilwa2659
2 жыл бұрын
L
@geofreymfumbilwa2659
2 жыл бұрын
L
Mwenyezi mungu akuweke mahala pema peponi aaamin,na Raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, aamina, Nilikupenda zaidi ya Sana
Nawaomba Watanzania WOTE jueni Kama vile Rais Magufuli alivyo waambia jueni Raìs Magufuli aliweza kuwatendea mambo mengi mema, sio kwa ajili ya uwezo wake, bali kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Mkisahau Mwenyezi Mungu mtadidimia. Rais wenu amewaachia mfano mzuri wa vile kuendelea, mkianza kuwasikiza Wazungu mtapotea. Poleni familia na nyinyi nyote
@aairraahseif5648
3 жыл бұрын
It'is true,wakumbuke hilo sana
@meryanmwailakale670
3 жыл бұрын
Watanzania baadhi wanafurahia sasa yabaadae hawajui, pumzika kwa AMANI Raisi wa wanyonge kazi umeifanya
😭😭😭😭😭😭😭ewe mwenyezi mungu nakuomba mpokee babaetu magufuli kwenye uzima wa milele amin.lala salama baba🙏🙏
@mariamuhussein1407
3 жыл бұрын
Pumzka salama raisi wetu tulikupenda Sana Ila mwenyeezmungu amekupenda Zaid mungu akjlaze mahali pema peponiii
"Unapoona tatizo huliwezi kulitatua mlilie Mungu"
Suja wa Africa île sauti hatutaisikiyaka tena, hongera kwa kazi ulifanyiya Tanzania na Africa kwa ujumla. Uko mufiya Africa
@augustinejohnnyakatoma8591
2 жыл бұрын
Sauti yenye mamlaka na mvuto. Iliyo mtaja Mungu KILA wakati
Mungu ailaze roho ya marehemu john Joseph magufuli maala pema peponi, tangulia mbele ya haki, ukaketi katika kiti cha enzi tulikupenda ila mungu kakupenda zaid
Allah ailaze Roho ya Hayati JPM mahala pema peponi kwa huruma na wingi wa REHEMA zake. Amin
@benjaminmakega4432
2 жыл бұрын
Makegz
@jacklinejosam3713
Жыл бұрын
Ila webaba tupate wapi mtu kama wewe magufuli jamani?
Baba magufuli baba umetacha nimeumia mimi baba namuomba mwenyezi mungu akuweke mahala pema
Huna doa baba pumzika kwa amani mwenyez mungu atawaadhibu mmoja mmja walioamua kutuzimia shujaa wetu wew ni kiongoz bado hadi sahv sjaoona wakukufikia.Baba we pumzk me napitia tu speech zako naon bdo unaongz nchi
😭😭😭pumzika baba umelala magufuli Mungu akulipe sawasawa na matendo yako, usamehewe dhambi za sirini na hadharani 🙏
@rahmanguzo9270
2 жыл бұрын
Rahma
@rahmanguzo9270
2 жыл бұрын
Rahma
Baba alikua mnyenyekevu huyu Daaaa...Mungu ampe pumziko la Milele Dr John Pombe Josephu Magufuli
Mungu akupe pumziko la milele baba Mimi nakukumbuka kila inapoitwa leo .na nitakukumbuka na kukuombea kila siku
NI ngumu kuelewa hata kuamini kumbe hata msiba wa kijazi ulikuwa hata huumwi Nini kimeingia hapa kati kati rais wangu hii Dunia iniambie bas wapi inatupeleka angalau nijue maana imetubeba basi iniambie inamaana Mungu ndy alikupenda Zaid magu 😭😭😭😭 Mungu huna hasira wewe unajua mengi kuliko tujuavyo Pumzika kwa Amani Magufuli.
@juliethhope7281
3 жыл бұрын
Naumiaaaaa jmn 😭😭😭
@juliethhope7281
3 жыл бұрын
Amen
Tanzania tunakumis Sana baba yetu. Kila nikisikia sauti yako ninafarijika. Rest in peace MAGUFULI.
@matridafamatwi8781
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@jairosjulius9447
Жыл бұрын
P
Tunakukumbuka sana rais wetu
Yani hapa mzee alikua anaonesha kujikaza kabisa!!! Hata sura ilishaanza kubadilika. He was a best leader!
Rip shujaa wa Africa,😭😭😭😭mungu akulaze mahala pema raisi mpendwa😭😭😭😭😭😭😭
Mlio muuwa magufuli,machozi ya WATANZANA wanyonge 😭 😭😭😭 na Africa kwa ujumla imewalaani wote waliousika na kifo chake JPM wetu make bado tunamlilia tu sana, naamini hanna Amani miyoni mwenu,
@chomasongidion6047
2 жыл бұрын
Nawao watakufa tena vibaya
@williumjackob8361
2 жыл бұрын
Hakika hatutaacha kumlilia kwamwe na mungu awape adhab isiyo na mwisho
@rajabjuma277
Жыл бұрын
Unao ushahidi au unakurupuka
@amanmyolo5359
Жыл бұрын
Mungu anawaona na hawana amani na mungu wameachana njia wenyewe kwa wenyewe mungu ni mwema
@user-io1lt7my4i
7 ай бұрын
Sasa walanchi wamefulahi na wanakula tuu nchi inasikitisha😭😭😭
RIP magufuri. Hatutokusahau kamwe. Wewe urikuwa shujaa na mukakamavu pia na mapenzi kwa Tanzania.
Jmniii kamfata rafik yake.alimpenda sana mwenzie..inaumiza mno jmn😷😭😭😭
Rais John pombe magufuli. Shujaa wetu mtoto wa Africa mpambanaji asie teteleka pumzika kwa Amani Baba yangu mpendwa nilikupenda sana,
@ustzhadilimuhamadi3028
3 жыл бұрын
Amen mungu amlaze mapema
@jacklinjosam5566
2 жыл бұрын
Dah kamaunaishi vile, ila wewenishujaatuuu halitapingikahilo, rest in peace our Dady
Tumekukumbuka sana
Kweri Rais magufuri uliamua kutufia watanzania
Mungu amlaze pema peponi Wajna wangu Maalim Seif Sharif Hamadi (Amin)
Mungu akupe pumziko lanmilele mbinguni raha ya milele umpe ebwana 🤲 na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amin 🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🙏🙏🙏❤️🤍
kweli kizuri hakidumu daah 🙏🙏🙏
@rhodahleopord2581
3 жыл бұрын
kweli😭😭😭
Ukweli,uvumilivu,ukarimu,unyenyekevu ni vipaji kutoka kwa mungu,havifundishwi shuleni,bali vyote vya toka Kwa mungu tuvipokee Kwa furaha kwani hata mazuri mbona twashukuru,hata magumu na mabaya tusimchukie mungu,bali tumshukuru.
Dar nashindwa niangalieje naishia kulia maana hapa ulikua umebajiwa na siku chache sana 😭😭😭😭😭😭😭
This Man, president JPM, a man of the people. An exceptional leader. This world is not our permanent home for sure. Am a Kenyan citizen but i loved the type of a leader he was.....
Pumzika Kwa Amani shujaa wetu tunakukumbuka mungu ailaze roho yako mahali pema peponi AMINA.
Uncle magu jamani katuacha wanyonge mungu akulaze mahala pema peponi umecha historia ya milele
Ahsante baba kwa kututia nguvu na moyo wa maombi. Pumzika kwa amani baba.
Mungu aibariki Tanzania na watto wa Tanzania 🇹🇿 by Fosill nikiwa jijini Nairobi Kenya
Hakuna president aliyekuwa akisema ukweli Na kumcha Mungu kama wewe Mkuu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭I can't stop my tears😭😭😭😭🇰🇪😭😭😭
Hapo ni yy alikuwa akiongea lakini kwa nguvu za roho mtakatifu alimshukia kimiujiza bila hata yy kujua...Tutakukumbuka daima Baba 💔🙏
Hakika tulipoteza hazina kubwa sana hizi za Taifa. Mungu awape pumziko la milele........Amina
Tutaendelea kumuenzi uncle Magufuli milele daima 😭😭😭😭
😢❤ nitakukumbuka daima jpm uliyewapa ujasiri watanzani mungu akulaze pema peponi aamiin
Tulikupenda sana lakin mungu kukupenda zaid R.I.P our best leader ever JPM we still ❤❤❤❤ you
Asante mungu kwa zawadi ya huyu baba najua ulimleta hapa duniani ukatuonyesha mazuri yake baba kidogo ukamchukua.🙏 Asante kwa zawadi za huyu baba.
R.I.P,Jpm!! Hakika nchi imeumia sana!! Sasa hivi tuko na makamu wako,haya!!
We 'll never forget you.may God Rest in peace, bodly we're not together but spiritually we shall meet.MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI BYE BYE.umetuacha ktk majonzi na simanzi kubwa jemedali wetu.
Mwenyezi mungu mpokee mwanao
Mungu akupe wepesi ktk safar yako baba
The most clever leader in Tanzania and Africa time running out R.I.P Magufulification of Africa.
Pumnzika kwa amani magufuli wetu daima tutakukumbuka amina
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@rwenenahomechannel1634
2 жыл бұрын
I really like your comment brother.
@mutijimacedrick1622
2 жыл бұрын
in this generation ,no one like him....African hero...we miss prophet ....been killed by big men of this world criminals
@simonedward244
2 жыл бұрын
I real love president
@mashambosheby2063
2 жыл бұрын
@@mutijimacedrick1622 💯
@jeanbaptistetwizerimana3149
Жыл бұрын
House yyhhgguuuu;; uo3se,08inpnbhubn?❤v❤❤😢tyuyuu1uujllsdaaasqqhbhhefyipo9umiuui😂àuuykoàatà k 1bbhjaslllkkfyuv ❤,
Habari nzuri sana kwa kunisikiliza na kujua BY WU&YTCNEWS
😭😭😭😭😭huyu prezo alikuwa shujaaa RIP
Dr.Magufuli he was a good president he ofeared Allah and he loved his country
Nikama ndoto naota, kama nawaona wapiga pesa wanavyosherekea
@user-bf3hc6we7j
3 жыл бұрын
acha tu nawao ila wakubuke kuwa wataziacha tu zina mwisho
Mungu sio dhalimu..
Mawazo na maneno yako yanaishi nasi Kila siku upumzike kwa Aman tulikupenda sana rais wetu, tumekumisi mno
Asante kwa Imani kwa Mwenyenzi Mungu! Lala pema Mhe Rai's.
Tu étais un président exemplaires
Mungu wewe ni mwanzo na mwisho wetu ,pumzika kwa amani baba yetu kipenzi,safari yako baba ilianzia hapa kwa muonekano wa huzuni kubwa inayojidhirisha usoni
@nurukiingu9012
3 жыл бұрын
Kwawale wajuzi tu.
@chakiraibrahima1751
2 жыл бұрын
Nimehupenda sana
Pumzika Kwa Amani,mungu akuchague kulinda malaika wake,maana mungu anaitji walio safi wa moyo🙏🙏🙏 tutakukumbuka sana.
Pamoja sana, hongera kwa lasi nzuri. tutakukumbuka baba yetu mpendwa.!
Mpunzika Kwa amani rais wetu magufuli
Nimemkumbuka sana baba yetu magufuri
Kiongozi mwenye bidii na mchapa kazi poleni sana ndugu zetu wa tz mungu awarehemu sana na ailaze roho yake mahala pema kule aendako Amen.
Ee mwenyezi Mungu umulaze hayati baba yetu mahali pema peponi sababu ameleta mabadiliko makubwa Sana nchini nitakukumbuka Sana magufuli!
Ntakupenda daima baba angu mungu akulaze mahali pema peponi 🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi yake mola haina makosa mbele yake nyuma yetu hakuna atakayeishi milele maisha baada ya kifo Mungu anatosha Mungu wetu sote
Eee mwenyez mungu ilazeroho ya rais wangu mahala pena peponi amina
Le président John Pombe Magufuli a marqué toute l'Afrique en général,et en particulier la Tanzanie,pays qu'il a dirigé pendant plus ou moins cinq à six ans
Ni muwazi sana uyu baba
Tunakumbuka sana baba yetu atutakusahau kamwe
Tulikupenda.sana daima tutakukumbuka umetuachia usia baba mbele yako yuma yetu
Pumzika kwa amani Tutakukumbuka Daima
Mungu akulaze pema pepon makufur
Safi sana kwa kumbumbu hii
Physical appearance yake hapo bado anaonyesha Hana uchangamfu wa siku zote,Mungu alimjua toka tumboni mama yake
May your soul Continue to resting in eternal life...🙏🙏😔😭😭😭😭
NIKWELI NA SISI TUPO NJIANI YYAMETIMIA NA YATAENDELEA KUTIMIA MBAKA MWISHO WA DUNIA HII....! AMIN.....
Life has never been the same since you left us Tanzanians
Magufuli anaonekana amechoka hapa mwonekano wake hauridhishi, Mungu amlaze mahali pema peponi ❤🎉
Hata mimi naungana na ninyi kumukumbuka kila nikisikia Sauti yake mungu amuweke mahala pema peonies aminaa R.PJ
Mimi ni mkenya lakini nmlilia Mzee John pm magufuri namuombea mungu ailaze roho yake pema pazuri naitwa chacha mwita kutoka Kenya county ya migori
l miss you magufuri pumzika kwa amani tunakukumbuka watanzania.😭😭
😢😢😢😢😢😢😢😢 dah umetisha bro sanaaaaa mana bado anaishi myoyoni mwetu daima 😭😭😭😭😭
OMG huwa spendi kuangalia clip zako sababu machungu nayohisi nashindwa kujizuia. May your soul keep resting in an eternal peace, till we meet again. I was here in 2024, Feb
@user-gd8mp3sq3z
5 ай бұрын
Poreni sana na kifo Cha magu
Mwenyezi mungu akupe pumuziko la milee
Daima tutakukumbuka😢😢😢😢
Tangu magufuli afariki cjackia tena viongozi wanakufa,,cjui kulikuwa na nn kipindi hicho...!!
@geofreybilasho721
3 жыл бұрын
Vip bado hujaskia Msiba wa Waziri Wa Ulinzi
@augustinejohnnyakatoma8591
2 жыл бұрын
Kidogo inashangaza
Rest in peace Dady Dr John Pombe Magufuli, Tanzania missed you 😭😭😭😭
tumekumis baba god bless u
Quel sagesse Mr le Président, t'es unique,lala salama
baba ulemtanguliza Mungu uliyekuwa unamsikiliza kila mmojaaa ulijalii utu kuliko chochote 😢tutakukumbukaaa kilaaa mara
A life well lived &worth to celebrate 💔🕊🙏🏾 only God knows why our good great leaders with good intentions goes too soon 💔
Mungu akubariki
Jmn, mlio baki ebu mjifunze kupitia magu, hekima na busara, mnapopata, madalaka ya kuongoza basi fateni nyayo zake ili vizaz vinavyo bak viishi kwa Aman pia Tanzania yetu iwe Salama.
@gersonmsoffe5817
3 жыл бұрын
Haufananishwi na chochote uncle magu tunakuombea upumzk kwa Aman!!! Mama samiha suluh nakuomb uwe mfano kwetu cc watanzania ukafanye alo yafanya hayati doctor john pombe mahuful
Daah kila nikisikia sauti yako baba yetu John Joseph pombe magufuli nafarijika Sana kwa kwli mungu akuweke mahalo pema peponi:RIP magufuli 😭😭😭
Tunakukumbuka mwamba wetu mungu akuwekemahala pema peponi aamin
Tangu umeondoka 🤦♂️🤦♂️🤦♂️ mambo yapo ovyo cnaaaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭