SamMisago

SamMisago

Radio & TV Personality | Blogger | SamMisagoTV

Пікірлер

  • @georgekamau9855
    @georgekamau9855Күн бұрын

    This isn't funny. You call her a hero 'cause she did beat a police officer, but when a police officer defends himself, it's news. Please, you Kenyan youth give Kenyans a break.

  • @user-ot4uk1rz5i
    @user-ot4uk1rz5i2 күн бұрын

    Pumzika Kwa Amani shujaa wetu tunakukumbuka mungu ailaze roho yako mahali pema peponi AMINA.

  • @mudrickkisinda1515
    @mudrickkisinda15152 күн бұрын

    Huyu akili yake sio nzuri mama Samia Hawa ndio watu unawachangua kweli unatarajia mwakan utakuwepo?

  • @lucasMwanjabike
    @lucasMwanjabike2 күн бұрын

    Umetuachia pengo kubwa sana baba mungu ailaze roho yako pema pepon Ameeen!

  • @TrustGirl-y6u
    @TrustGirl-y6u2 күн бұрын

    I😂😂😂😂😂😂 upumzike salama Salam president baba yetu mangu mtetezi wa nchi jemedat wetu mungu akupumzishe salama

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c3 күн бұрын

    Nchi ya vitisho hii ipo siku kenya itakuja Tanzania shauri yenu

  • @mfaumeally4476
    @mfaumeally44764 күн бұрын

    Ongea na wazazi wetu vizuri ndugu yetu.

  • @mfaumeally4476
    @mfaumeally44764 күн бұрын

    Tatua shida za watu sio mikwara...

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven4 күн бұрын

    Duh

  • @zidani-p4u
    @zidani-p4u4 күн бұрын

    Eee mwenyez mungu ilazeroho ya rais wangu mahala pena peponi amina

  • @RahabuJohn-b2f
    @RahabuJohn-b2f6 күн бұрын

    Kwan anaishi maeneo gan

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x6 күн бұрын

    Mdomo nyumba ya maneno semeni mnayotaka wewe utasema hivyo mwengine atasema vyengine

  • @brightmboya596
    @brightmboya5967 күн бұрын

    True

  • @TresorZakwani
    @TresorZakwani7 күн бұрын

    Kwanini iyo yote dada?

  • @pablohpaul560
    @pablohpaul5608 күн бұрын

    Hii couple iliisha tu hivi mondi tu sahii wang'ang'ania king'ang'a

  • @Kelvin-g6e
    @Kelvin-g6e8 күн бұрын

    Nitajaribu niwareje pamoja ama niaji wakuu Kama unahamini bonyesha kidole moja Dani ya ewa🎉❤❤

  • @user-xn1kn3it8w
    @user-xn1kn3it8w8 күн бұрын

    Love you lioness

  • @alphonceokoth6381
    @alphonceokoth63817 күн бұрын

    Lioness indeed in the footsteps of the great Mekatilili wa Menza GenZ oyeee ❤

  • @moherbalistismadan7267
    @moherbalistismadan72678 күн бұрын

    I love you Shakira Wafula, what a lioness 👀 from 🇬🇧 xxx

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it8 күн бұрын

    R I p

  • @hajikassim3707
    @hajikassim37079 күн бұрын

    Km nimemuelewa zaidi

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z9 күн бұрын

    Huyo mda da yupo na ujasiri, I like her

  • @HajiPazzy-oc6bi
    @HajiPazzy-oc6bi10 күн бұрын

    Mwambieni huyo mmakonde aache unafk

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody561810 күн бұрын

    Rayvanny mzee wa remix😂🎉

  • @wennybarny168
    @wennybarny16811 күн бұрын

    Okey😊

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md11 күн бұрын

    Mungu wangu inauma hayo mambo yanakela sana kwa nini kijana wa kitanzania atendewe udhalimu mkuu namna hii ni nini eti tuigeuze tz kama somalia tuliowapigia mifano leo twataka watupigie mifano sisi? nani huwaghalimia wadhalimia wadhalimu watuchafue kwa viwango hivi nani huwatuma wachafue taswila yetu mbele ya mataifa yote tuonekane miongoni mwa nchi zisizothamini uhai wala utu? Hebu kwa pamoja tuwakatae wadhalimu kwa nguvu zetu zote tanzania ni yetu sote tuipende na kuitakia amani ee mungu ibaliki Tanzania utuludishie amani yetu wadhalimu wote wavikwe aibu na fedheha na damu za waliowadhulumu ziwe juu ya vichwa vyao wenyewe

  • @EsterLyatuu-h3g
    @EsterLyatuu-h3g12 күн бұрын

    Huyo mwijaku hana lolote anataka tu kuajiliwa kwa diamond yeye anavyo mpondea mwenzie hapo ana nin kamzidi kwa jina hadi kimaisha yeye mpaka aseme umbeya ndo ale jaman

  • @user-gu8wv4bn4o
    @user-gu8wv4bn4o12 күн бұрын

    Ali kiba fund,diamond utabaki kua Abdul kiba

  • @MjuniProtase
    @MjuniProtase12 күн бұрын

    Tumuenzi Kwa mema yote aliyotenda mwinj mjuni

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv672813 күн бұрын

    Jamaa amekua sana sikuhz.🔨

  • @ibrahimkimweri2329
    @ibrahimkimweri232912 күн бұрын

    😂😂😂

  • @73chengosaro4
    @73chengosaro413 күн бұрын

    HUYU M'makonde wivu utamuua - mtovu wa hisani na shukrani

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s14 күн бұрын

    Pole sana sativa ,Hawa askari,mungu anawaona wanatumwa kuuwa watu kwa maslahi yasio ya kwao,

  • @chidi_don
    @chidi_don14 күн бұрын

    Dah Kwa Kweli Ali Kiba Anaongea Point Sana Yani 🫡🔥💯

  • @IgnacioGunda
    @IgnacioGunda14 күн бұрын

    Nataka niya file

  • @IgnacioGunda
    @IgnacioGunda14 күн бұрын

    Matamuuu

  • @habibamaguru2722
    @habibamaguru272214 күн бұрын

    Unavyoongea ili iweje ww siunasema unapesa muache Barnaba afanye kazi

  • @PanyaBuku-qo7tu
    @PanyaBuku-qo7tu14 күн бұрын

    Wacha uzushi wewe bibi malaya mshapigwa wote miti tubu saiv umalaya uwache uchafu mtupu pumbaaafff

  • @theophilyedward2448
    @theophilyedward244814 күн бұрын

    Uhakika

  • @davideditz2049
    @davideditz204914 күн бұрын

    Hii ndo kitachokutokea ukipigia police kama upo na shida

  • @lulurubby2235
    @lulurubby223514 күн бұрын

    Ali kiba baada ya hii interview mambo yako yatabadilika insha allah biashara na uswahili haviendi umebadili game kwa sasa

  • @fasterdeule9668
    @fasterdeule966815 күн бұрын

    Acha upuuzi wewe ndio unataka kujifanya na ww unaimba mziki ili mgao uwe sawa acha kufunga watu macho huna lolote😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢🎉kula keki ya chama unyamaze huna mpya

  • @EstherJoram-gt4lt
    @EstherJoram-gt4lt15 күн бұрын

    Polee jaman 😢

  • @Boyluke-luke
    @Boyluke-luke15 күн бұрын

    Ni noma sana oyo jaamaaaa 🎉 Simba

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph931615 күн бұрын

    King hana kinyongo na mtuuu❤❤

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta542115 күн бұрын

    Ckufagilii ila leo umejua kwenda na upepo😂

  • @Boyluke-luke
    @Boyluke-luke15 күн бұрын

    Diamond platnumz ni noma sana

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk15 күн бұрын

    Mi sio shabiki yako lakini umeongea point.😅😅

  • @Boyluke-luke
    @Boyluke-luke15 күн бұрын

    Ni kweliii diamond platnumz ana mpinzaniii

  • @mr.daisamdaisam1319
    @mr.daisamdaisam131915 күн бұрын

    Good King 👑

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn209015 күн бұрын

    Mshamb wee unatafuta kiki tu