This isn't funny. You call her a hero 'cause she did beat a police officer, but when a police officer defends himself, it's news. Please, you Kenyan youth give Kenyans a break.
@user-ot4uk1rz5i2 күн бұрын
Pumzika Kwa Amani shujaa wetu tunakukumbuka mungu ailaze roho yako mahali pema peponi AMINA.
@mudrickkisinda15152 күн бұрын
Huyu akili yake sio nzuri mama Samia Hawa ndio watu unawachangua kweli unatarajia mwakan utakuwepo?
@lucasMwanjabike2 күн бұрын
Umetuachia pengo kubwa sana baba mungu ailaze roho yako pema pepon Ameeen!
@TrustGirl-y6u2 күн бұрын
I😂😂😂😂😂😂 upumzike salama Salam president baba yetu mangu mtetezi wa nchi jemedat wetu mungu akupumzishe salama
@user-fl1xz3ln3c3 күн бұрын
Nchi ya vitisho hii ipo siku kenya itakuja Tanzania shauri yenu
@mfaumeally44764 күн бұрын
Ongea na wazazi wetu vizuri ndugu yetu.
@mfaumeally44764 күн бұрын
Tatua shida za watu sio mikwara...
@KelvinEmersonSteven4 күн бұрын
Duh
@zidani-p4u4 күн бұрын
Eee mwenyez mungu ilazeroho ya rais wangu mahala pena peponi amina
@RahabuJohn-b2f6 күн бұрын
Kwan anaishi maeneo gan
@user-cy1od5xr8x6 күн бұрын
Mdomo nyumba ya maneno semeni mnayotaka wewe utasema hivyo mwengine atasema vyengine
@brightmboya5967 күн бұрын
True
@TresorZakwani7 күн бұрын
Kwanini iyo yote dada?
@pablohpaul5608 күн бұрын
Hii couple iliisha tu hivi mondi tu sahii wang'ang'ania king'ang'a
@Kelvin-g6e8 күн бұрын
Nitajaribu niwareje pamoja ama niaji wakuu Kama unahamini bonyesha kidole moja Dani ya ewa🎉❤❤
@user-xn1kn3it8w8 күн бұрын
Love you lioness
@alphonceokoth63817 күн бұрын
Lioness indeed in the footsteps of the great Mekatilili wa Menza GenZ oyeee ❤
@moherbalistismadan72678 күн бұрын
I love you Shakira Wafula, what a lioness 👀 from 🇬🇧 xxx
@DidaAlly-iz1it8 күн бұрын
R I p
@hajikassim37079 күн бұрын
Km nimemuelewa zaidi
@user-xl5xi1uq9z9 күн бұрын
Huyo mda da yupo na ujasiri, I like her
@HajiPazzy-oc6bi10 күн бұрын
Mwambieni huyo mmakonde aache unafk
@mohammedkidody561810 күн бұрын
Rayvanny mzee wa remix😂🎉
@wennybarny16811 күн бұрын
Okey😊
@SmilingCityMap-xb9md11 күн бұрын
Mungu wangu inauma hayo mambo yanakela sana kwa nini kijana wa kitanzania atendewe udhalimu mkuu namna hii ni nini eti tuigeuze tz kama somalia tuliowapigia mifano leo twataka watupigie mifano sisi? nani huwaghalimia wadhalimia wadhalimu watuchafue kwa viwango hivi nani huwatuma wachafue taswila yetu mbele ya mataifa yote tuonekane miongoni mwa nchi zisizothamini uhai wala utu? Hebu kwa pamoja tuwakatae wadhalimu kwa nguvu zetu zote tanzania ni yetu sote tuipende na kuitakia amani ee mungu ibaliki Tanzania utuludishie amani yetu wadhalimu wote wavikwe aibu na fedheha na damu za waliowadhulumu ziwe juu ya vichwa vyao wenyewe
@EsterLyatuu-h3g12 күн бұрын
Huyo mwijaku hana lolote anataka tu kuajiliwa kwa diamond yeye anavyo mpondea mwenzie hapo ana nin kamzidi kwa jina hadi kimaisha yeye mpaka aseme umbeya ndo ale jaman
@user-gu8wv4bn4o12 күн бұрын
Ali kiba fund,diamond utabaki kua Abdul kiba
@MjuniProtase12 күн бұрын
Tumuenzi Kwa mema yote aliyotenda mwinj mjuni
@tabasamtv672813 күн бұрын
Jamaa amekua sana sikuhz.🔨
@ibrahimkimweri232912 күн бұрын
😂😂😂
@73chengosaro413 күн бұрын
HUYU M'makonde wivu utamuua - mtovu wa hisani na shukrani
@user-ze6lx9ng6s14 күн бұрын
Pole sana sativa ,Hawa askari,mungu anawaona wanatumwa kuuwa watu kwa maslahi yasio ya kwao,
@chidi_don14 күн бұрын
Dah Kwa Kweli Ali Kiba Anaongea Point Sana Yani 🫡🔥💯
@IgnacioGunda14 күн бұрын
Nataka niya file
@IgnacioGunda14 күн бұрын
Matamuuu
@habibamaguru272214 күн бұрын
Unavyoongea ili iweje ww siunasema unapesa muache Barnaba afanye kazi
Hii ndo kitachokutokea ukipigia police kama upo na shida
@lulurubby223514 күн бұрын
Ali kiba baada ya hii interview mambo yako yatabadilika insha allah biashara na uswahili haviendi umebadili game kwa sasa
@fasterdeule966815 күн бұрын
Acha upuuzi wewe ndio unataka kujifanya na ww unaimba mziki ili mgao uwe sawa acha kufunga watu macho huna lolote😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢🎉kula keki ya chama unyamaze huna mpya
Пікірлер
This isn't funny. You call her a hero 'cause she did beat a police officer, but when a police officer defends himself, it's news. Please, you Kenyan youth give Kenyans a break.
Pumzika Kwa Amani shujaa wetu tunakukumbuka mungu ailaze roho yako mahali pema peponi AMINA.
Huyu akili yake sio nzuri mama Samia Hawa ndio watu unawachangua kweli unatarajia mwakan utakuwepo?
Umetuachia pengo kubwa sana baba mungu ailaze roho yako pema pepon Ameeen!
I😂😂😂😂😂😂 upumzike salama Salam president baba yetu mangu mtetezi wa nchi jemedat wetu mungu akupumzishe salama
Nchi ya vitisho hii ipo siku kenya itakuja Tanzania shauri yenu
Ongea na wazazi wetu vizuri ndugu yetu.
Tatua shida za watu sio mikwara...
Duh
Eee mwenyez mungu ilazeroho ya rais wangu mahala pena peponi amina
Kwan anaishi maeneo gan
Mdomo nyumba ya maneno semeni mnayotaka wewe utasema hivyo mwengine atasema vyengine
True
Kwanini iyo yote dada?
Hii couple iliisha tu hivi mondi tu sahii wang'ang'ania king'ang'a
Nitajaribu niwareje pamoja ama niaji wakuu Kama unahamini bonyesha kidole moja Dani ya ewa🎉❤❤
Love you lioness
Lioness indeed in the footsteps of the great Mekatilili wa Menza GenZ oyeee ❤
I love you Shakira Wafula, what a lioness 👀 from 🇬🇧 xxx
R I p
Km nimemuelewa zaidi
Huyo mda da yupo na ujasiri, I like her
Mwambieni huyo mmakonde aache unafk
Rayvanny mzee wa remix😂🎉
Okey😊
Mungu wangu inauma hayo mambo yanakela sana kwa nini kijana wa kitanzania atendewe udhalimu mkuu namna hii ni nini eti tuigeuze tz kama somalia tuliowapigia mifano leo twataka watupigie mifano sisi? nani huwaghalimia wadhalimia wadhalimu watuchafue kwa viwango hivi nani huwatuma wachafue taswila yetu mbele ya mataifa yote tuonekane miongoni mwa nchi zisizothamini uhai wala utu? Hebu kwa pamoja tuwakatae wadhalimu kwa nguvu zetu zote tanzania ni yetu sote tuipende na kuitakia amani ee mungu ibaliki Tanzania utuludishie amani yetu wadhalimu wote wavikwe aibu na fedheha na damu za waliowadhulumu ziwe juu ya vichwa vyao wenyewe
Huyo mwijaku hana lolote anataka tu kuajiliwa kwa diamond yeye anavyo mpondea mwenzie hapo ana nin kamzidi kwa jina hadi kimaisha yeye mpaka aseme umbeya ndo ale jaman
Ali kiba fund,diamond utabaki kua Abdul kiba
Tumuenzi Kwa mema yote aliyotenda mwinj mjuni
Jamaa amekua sana sikuhz.🔨
😂😂😂
HUYU M'makonde wivu utamuua - mtovu wa hisani na shukrani
Pole sana sativa ,Hawa askari,mungu anawaona wanatumwa kuuwa watu kwa maslahi yasio ya kwao,
Dah Kwa Kweli Ali Kiba Anaongea Point Sana Yani 🫡🔥💯
Nataka niya file
Matamuuu
Unavyoongea ili iweje ww siunasema unapesa muache Barnaba afanye kazi
Wacha uzushi wewe bibi malaya mshapigwa wote miti tubu saiv umalaya uwache uchafu mtupu pumbaaafff
Uhakika
Hii ndo kitachokutokea ukipigia police kama upo na shida
Ali kiba baada ya hii interview mambo yako yatabadilika insha allah biashara na uswahili haviendi umebadili game kwa sasa
Acha upuuzi wewe ndio unataka kujifanya na ww unaimba mziki ili mgao uwe sawa acha kufunga watu macho huna lolote😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢🎉kula keki ya chama unyamaze huna mpya
Polee jaman 😢
Ni noma sana oyo jaamaaaa 🎉 Simba
King hana kinyongo na mtuuu❤❤
Ckufagilii ila leo umejua kwenda na upepo😂
Diamond platnumz ni noma sana
Mi sio shabiki yako lakini umeongea point.😅😅
Ni kweliii diamond platnumz ana mpinzaniii
Good King 👑
Mshamb wee unatafuta kiki tu