BALAA..!!Rais JPM Ampokonya Ardhi Mfanyabiashara Huyu Hadharani
BALAA..!!Rais JPM Ampokonya Ardhi Mfanyabiashara Huyu Hadharani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli leo Juni 7 2019 amekutana na Wafanyabiashara kutoka kila mkoa Ikulu jijini Dar es salaam.
Miongoni mwa wafanyabiashara waliofika Ikulu ni Mohammed Kiluwa ambae amejikuta akinyang'anywa ardhi ya Heka 1000.
#JPM #WAFANYABIASHARA
/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 129
lukuvi uko vizuri sana mzee
@geraldbenjamin9302
5 жыл бұрын
Moja Kati ya Mawaziri Bora kuwahi kuwashuhudia Tangu nijitambue na kuanza kuyajua mambo ya nchi yangu. Live long Lukuvi
Nakukubari mzee wangu lukuvi upo vizuri auteteleki mzee kwenye haki
@islamsadiki2381
5 жыл бұрын
Moshi Mipene
Kama umesikia viwanda vipo kwenye makontena twende sawa gonga like zakutosha
@geraldbenjamin9302
5 жыл бұрын
Hahahahaha! Afukuzwe Mara moja
Safi sana , now days ufatiliaji unaonekana pongezi kwako waziri !
Mh.Rais hakika mungu amekujalia akili sana.Familia yako inajivunia kuwa na wewe sana akili mingi sna
Mungu akubariki Magufuli.Lukuvi Rais wa 2025
umetisha mh Rais upo vzr
Lukuvi is very smart amweza kujua Raisi anataka nini
magufuli oyeeee oyeeee
unajishauwa kumbe tapeli mtakoma huyu mzee hataki mchezo
@audifasmassera1289
4 жыл бұрын
Huyu jamaa hajui zama zimebadilika!!! Bado anaishi enzi zileee!😁😁😁😁
Ee Mwenyezi Mungu tunakuomba umbariki rais wetu na Watanzania wote
Magu Nakukubali Cna Yan 2mepata Raisi Haswa 🙏👏🙏👏
Mweee angenyamaza tu
Nyarubanja amekiona cha moto leo. Kajishauwa shauwa weee mwishowe kapigwa chini!!!!!!!
@afidhuhassan7117
5 жыл бұрын
Gvj7piooo888833334 the same
Mwangalie mwizi alifikiri Magufuli ni mujinga. Hawa ndiyo waliokuwa wakivuna bila shamba.
Moja Kati ya mawaziri ambao mheshimiwa Rais anapaswa kujivunia ni waziri wa ardhi mheshimiwa lukuvi safi sana
Safi sana magufuli. Watakuelewatu taratibu.
Mimi pia ni TEAM LUKUVI JAMANI
Kama umeona mdomo wa lukuvi akiongea point unasonga mbele kama tarumbeta nyoosha mkono
@alphamtweve725
5 жыл бұрын
Nimeonaaaa😂😂😂😂😂
Aisee ila Waziri Lukuvi amenyooka mno...Hongera Mh Rais
Kumbe kiwanda huwa inasafirishwa kwenye kontena?
@matzvlog4364
5 жыл бұрын
adeni Halisi 😂😂😂😂😂😂😂
kiwanda chakujengwa miezi mi4 mmm
Upon vzr magu
Mie nakuaminia mgufuli huwa hutafuni maneno
@islamsadiki2381
5 жыл бұрын
Mohd Salum
@islamsadiki2381
5 жыл бұрын
Mohd Salum.
very authoritative remarks from honourable lukuvi
Duh majanga haya! Ila nakereka sana sana Watanzania kutumiwa na wachina na kusaliti nchi yao jamani kisa unapokea Cha juu. Hao wajukuu zako wataishi wapi? Watajenga wapi?
@chumizola1847
5 жыл бұрын
Umesema vyema ndugu! Tuwaunge mkono viongozi wetu wenye uchungu wa nchi hii
@clarakalepo1338
5 жыл бұрын
Mmm mungu atusaidie wanadamu tukumbuke hapa duniani maisha ni mafupi tuishi katika ukweli tuu
@godlovekasaka4166
5 жыл бұрын
Dah!! unachowaza ni kama mimi huwa nawaza sana hawa watu wanawaza nn?? hebu pata picha spika wa bunge kiongozi wa muhimili mikuu ya serikali alikuwa anaenda kuuza nchi kwa manufaa yake binasfi.. kiukweli Mungu atusaidie sana awape macho yakuona jamani
@mawazomawazo959
5 жыл бұрын
Huyu mfanyabiashara uchwara,atakuwa Dalali wakimataifa. Mtaji Billion 1 faida billion 3.
@mamachris6811
5 жыл бұрын
Kweli kizazi hiki ubinafsi umezidi Mtu anafikiria leo tu bila kujua kuna kesho ya Watoto wako
Hongera sana Raisi wetu mwenyezi mungua azidi kuku linda
Rais mwenyewe alikuwa ardhi halafu chezea wewe.!!!! Hongereni Waziri na mh Jpm,mna akili sana
Lukuviiiiiiiiiiiiiii Pambana Mzee nakuelewa saana watu wamaalifa wataisoma namba.
@mkongojoseph7886
5 жыл бұрын
Cjaelewa
@magreth7981
5 жыл бұрын
😂😂☝
Hata sheria ya dini hairuusu hivyo unahangamiza nchi yako kwa ajil ya tumbo lk kuw mzalendo kk
Ulipeleka utapeli ikulu. Leo umekomeshwa.
@ezradaniel4613
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
Huyo lukuvi mnafiki tu
Viwanda vipo kwenye makontena vinaliwa na mapanya🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wazir making sana huyu....
👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@khadijamanzi670
5 жыл бұрын
Duuh karua angekaa kimya tu Lukuvi msema kweli Mungu wa awape maisha marefu
kwa kweli lukuvi hafanyi kazi kwa sifa afanya kwa kujua wajibu wake anafit vizuri sana kwenye hii position
Hii inatwa Governance......
Wamrudishe kwenye wizara ya ardhi ...namheshimu sana abarikiwe
Hakika mungu akubariki Sana mh rais uweze kutenda haki kira siku tunakuombea san mh rais
Lakini kwani shida ipo wapi yeye kuwa na ubia na wawekezaji halafu akamiliki ardhi anayo taka bila kuvunja sheria!! Naona kuna figisu figisu ya kuona atafanikiwa cha msingi anunue ardhi kwa bei sahihi na alipe kodi Inavyo takiwa. Maana kama kutakuwa na shida yeye ndiyo atawajibika na si mwingine. Ikumbukwe amesafiri mabara kwenda kutafuta watu atakao fanya nao biashara.
@mufasamufas6023
5 жыл бұрын
Hujaelewa labda tatizo sio hilo tu ndio mana hata magu alisema yeye anachojali viwanda vifunguliwe watanzania wapate ajira sasa yeye anawatumia watu wenye vyeo serikalini akiwemo mkuu wa mkoa ili anunue heka 1000 kwa milioni moja halafu yeye kachukua bilioni nne sasa huoni kama alikua anaidhulumu serikali yetu kuendelea kuwa masikini pesa zote anakula yeye mambo haya ymefanywa sana ma viongozi waliopita ndio maana tanzania ina kila kitu lakini bado masikini sababu ya watu kama hawa
@msuredesigner1206
5 жыл бұрын
Kalua????¿?
@dicksonjohn4141
5 жыл бұрын
Kazi kwelikweli
Duh kaumbuka jamaa
Magufuli is smart!
safi mzee magu
Hahaha! Dalali kaumbuka
Hii jamaa mmmh ati itajenga viwanda......alisema kama ni uongo afukuzwe nchini.....timuaaaaa huyo
@streetview3045
5 жыл бұрын
Fanuel Kanalo sasa aende wapi nakati ni mtanzania ? hakuna wa kuweza kumfukuza mtu nchinii
@MsAggie5
5 жыл бұрын
Trust channel Aliahidi kama hata janga viwanda afukuzwe. Kama viwanda viko kwenye makontena na sio vyake basi alichoomba apewe. Tatizo watanzania tumezoea maisha ya uongo uongo. Amechelewa angefanya utapeli huo huko nyuma wakati serikali ilipo kuwa imelala kila Mtu anajifanyia yake
@streetview3045
5 жыл бұрын
Aggi Bibi Angel haahaha kweli
Magufur ww sio fitina wala sio muongo.karua kapatwa na shetani😁😁😁magufuri ww ninoma
Hongera my president magufuli
Gwiji Magufuli kweli tulimpoteza ...tumpate wapi tena Magufuli II???
Asante sana Rais wetu haki zetu zilikuwa zimeshapotea tupo tunakuombea kila siku
@thobiasndichaye4861
5 жыл бұрын
Nampenda mh na wazili wake
saf sana mh William Lukuvi na mh magufuli
lukuvi nomaaaaa
lukuvi anajiamini mno sio yule prof kabugi
😂😂😂 jamaa alijiamini sana yaani kujitamba eti viwanda vipo kwenye kontena
Hahaha ungewaapisha Tu Hao wafanya biashara wawe wabunge maana kumenoga hatali
lukuvi uko vizur Hata mie nakuelewa
Kwakweli Rais tunaye. Kwa mtu kama Lukuvi siku akiingia kwa skendo atanisikitisha sana. Ni waziri wa mfano katika mawaziri wa JPM.
Ungekua rais miakajapo50 ndo raha sasa vimiaka10tu vichache ayupo atakaeiweza nchi hii. ilikua km dodoki liloochakaa
@elimishanyamoga1301
5 жыл бұрын
Huna akili ww
@designdesign4426
5 жыл бұрын
Elimisha Nyamoga .akili unazo ww
@eaglecrown3872
5 жыл бұрын
@@elimishanyamoga1301 ww ndio una hakili tahila mkubwa ww!
@susanraphael5894
5 жыл бұрын
hakika nice comment
Upo vyema mkuu safii
Safi sanaaaaaaaaaaaaaaa
God forgive me l know it is wrong to declare this: Jpm is a black Jesus
@theleo3899
5 жыл бұрын
Blasphemy!!😥 please delete your comment
Likuvi anajikomba sana kwa raisi kwa sababu akipoteza uteuzi hana atakachofanya elimu yake darasa la saba
Kalua Dalali aliejimix ktk ya watu makini wamemuumbua😀😀😀
Matapeli bado wapo wengi
Huyu jamaa alidhani mkuu ni mwepesi kwa vijisifa alivyokuwa anampa mkuu.JPM the president hakuja kimchezomchezo watz tuliumizwa Sana na watu Kama Hawa wakina kiru...wa.
mi sijaelewa
Duuuuu
Lukuvi na Magufuli hoyeee mdumu mdumu
@fredrickmsaki3042
5 жыл бұрын
Waziri wangu bora kabisa wa hii serikali ya sasa
Mzee wanyooshe
Jpm tunaomba utawale mpaka uchoke mwenyewe mzee wetu
@elimishanyamoga1301
5 жыл бұрын
Una akili ww yaani huo mda ulizaliwa ww bora yangetikea hata mafuriko
@elimishanyamoga1301
5 жыл бұрын
Yaani wew jamaaa huna akili kaka
@zittotv9972
5 жыл бұрын
Rashid Malilo weeechizinn
@susanraphael5894
5 жыл бұрын
elimisha monga usidwe kwa jina la Yesu nahuyo pepo mchafu akutoke haraka amen
Huyu mzee hajui hata anachoongea eti "alikuwa anazunguka kuiuza nchi" sasa sijui alikuwa anaenda kumuuzia nani nchi na sisi tupo wenye nchi! Pole sana mzee dili limeungua! Duh!
Uhujumu uchumi in anamsubiri pakashume mkubwa
Kiluwa hvyo viwanda cyo vyako kama Ni vyako mbona hata kwenu mtwara haupeleki hata2 acha kuzingua kibaraka mtwara hata nyumba hauna hapo kwenu chikongola
@mohamedjasmin5749
5 жыл бұрын
Nawe umeonaa eeeeee.
@iddisheshambo9944
5 жыл бұрын
Du! Aende kwao akawekeze kwenye korosho
Watanzania mujue km awamu hii ndio wanaoimba kuliko awamu zote
@godfreymbwambo4460
5 жыл бұрын
WEWE MWENDAWAZIMU SANA, SASA HIYO KODI ILIYOONGEZEKA ZAIDI YA MARA MBILI YA KIKWETE IMETOKEA WAPI?
@salimamri9488
5 жыл бұрын
@@godfreymbwambo4460 Achananae huyo jamaa jingasana
@omarmuhammed9655
5 жыл бұрын
Tatizo la watanzania
@omarmuhammed9655
5 жыл бұрын
Wajinga nyie munao itwa wanyonge.unyonge nilaana kubwa ndio tukafika hapa hakuna mradi hata moja awamu hii uliyofanya zaid ya kuweka majiwe ya msingi tu et viwanda munajua umeme ngani unaohitajika musiwe watu wakulishwa uongo wa kisiasa tu
@godlovekasaka4166
5 жыл бұрын
Omar Muhammed nyie ndoo wale wale kila tra na karua kaeni na njia yenu... unataka kunambia ile flyover ya tazara jiwe uliweka wewe na ujenga wewe.. msitufanye watu kama hatuna akili kila kitu tunakiona kwa macho hakuna mtakachotushawishi tuone awamu zilizopita ni bora kuliko hii... hapo mmefeli
nishida mtanyoka 2 utawala wa magu
ALLAH akulinde Rais wetu ,he tumuulize hiyo jamaa akienda china atakuwa ardhi.. Asante the Lukuvi
Watu kama hawa ndiyo walikuwa wana sauti, na walikuwa wanachanuwa kwa wizi wao.kwenye serikali zilizopita. Smart men in suits wanaiuza nchi bila ya mutaji. Ukiwagusa wanahamia upinzani kwa kukwama kuendelea na uwongo na wizi wao. Takukuru ifanye kazi pesa alizopata kwa udanganyifu ziende kwa wazawa. Huu ni wizi kabisa wa udanganyifu.
Tatizo kujipendekeza kumezidi. Masifa mengi hadi anamfanya kama Mungu, hata Mungu hajaeah kumsifu hivyo. Mh. Kamuonesha kuwa yy si wa misifa ya kijinga. piga chini.
Hawa wanaoendelea na njia panya wakishapatikanan amkono wa serikali utasikia wakiilaum serikali kwa kila jambo hata kama zuri ila tulio na utimamu tumeshajua kwanini watu wengine huwa hawaoni mema ila kuponda tu ndio kama huyu kalua baadae anaweza kuanza kuilaum serikali
Mkuu wa mkoa kaingia mtegoni kijinga sana
Aibu yaani bora ungenyaaza acheni utapeli unaamua kuwafanya watanzania wajinga magu sio mjinga njaa itakuweka pabaya na most matapeli ni waislam sijui kwa nn uwo ndio ukweli
@abuuhafsah9630
5 жыл бұрын
Sijakuelewa hapo uislam unaingiaje ...?...jibu tafadhali
Ahaha hii inaitwa kumualika mgeni nyumbani kwako kisha unaanza kumwambia hili ndo jiko hapa ni toilet ya watoto wangu wakati huyo mgeni mwenyewe anajua mpk chumbani kuwa una kapeti la njano na pia mwenye mjengo halali yuko Zimbabwe😀😀
@mufasamufas6023
5 жыл бұрын
Ndio kumbe rais ana habari zake zoooote yeye hana habari😀😀😀😀
Lukuvi c alikuwa na beef na Kiluwa au anamlipa? Maana alimsingizia kampa rushwa
@leopoldkaswezi9780
5 жыл бұрын
Kiluwa mmwaga mpunga kinoma namfahamu ila mambo ya mahakamani lazima uthibishe. Wengi wanashindwa mahakamani si kwa sababu hawana haki Bali ushahidi ndo shughuli. Na hata kama ana bifu naye bado ni kweli Kiluwa analeta udalali kinyume na sheria za nchi.