NI ZAIDI YA UPENDO! Tazama Magufuli, Samia walivyoongea na Kenyatta 'LIVE' kupitia simu Ikulu
#Live #Ikulu #JPM
Жүктеу.....
Пікірлер: 397
@esterjeromekwai38045 жыл бұрын
kama unamkubali Prs Magu nipe like zako joh
@patricianyonda3415
3 жыл бұрын
À11qqqq1q
@jessicarasigu22203 жыл бұрын
Tz tulibarikiwa kwa kweli na maraisi 2,mwalimu nyerere na Baba yetu MAGU, 😭😭😭😭😭😭😭😭 na sasa atupo tena nao kazi nzuri umetuachia baba Magu,daima tutakukumbuka R.I.P🙏🙏
@gordonomondi30093 жыл бұрын
President Magufuli you were so real, may God continue to bless and strengthen your family.
@nhungomuya905 жыл бұрын
Tanzanian tumepata raisi ambaye hajawahi tokea tangu tupate uhuru Magufuriiiiiiiiiiiiiii ni chuma cha kilongo
@moviesseries99235 жыл бұрын
Mzee Magufuli Umenifurahisha sana😂😂😂
@learnmathematics5037
5 жыл бұрын
Dr Magu ni jembeeeee!
@paulkanja38253 жыл бұрын
I miss this guy. From Kenya
@mussaodada9629
3 жыл бұрын
Nimekumis sana raise wangu kipenzi nakukumbuka sana mungu akulaze pema peponi unajua ipo siku tutaonana mungu akipenda 👩👧👦👩👧👦👩👧👦👩👧👦👩👧👦👩👧👦
@Brotherkhassimbizimungu3 жыл бұрын
Rais JPM uliachia afrika elmu itasadia wanaota kuongoza vizuri. Utabaki katika nyoyo zetu. Much love from Rwanda 🇷🇼!
@momobakari95883 жыл бұрын
Rest in peace baba, tutakukumbuka daima😭💔🇰🇪
@dianamkita6571
3 жыл бұрын
Hakika tutamkumbuka Mpendwa wetu JPM...
@Ronald-gh6jl3 жыл бұрын
Kenya na tz ni marafiki, majirani na mandugu, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
@davidsimbeye15485 жыл бұрын
Nampenda Sana Kenyatta
@leoncebaryaherezahe97044 ай бұрын
Duniani yoyote , sijaona Mtu wa moyo mzuri kama wewe Baba wa Taifa wa Tanzania. RIP Mzee Mtumishi wa Mungu😍😍🤩
@happysanga65953 жыл бұрын
Kazi umefanya pumzika kiongoz wetu🇹🇿🇹🇿🙏🙏😭😭
@jedidahbintidaudi82413 жыл бұрын
this was so cool! Magufuli na Kenyatta wanautani mwingi sana..nafirki ni rika moja ndomana...kutaniana sana. nakumbuka clip Kenyatta akiwa Chato wakenda muonda mama Magufuli..Magufuli akawa anamuegemea Kenyatta na kumuambia mama yake; "mai, Kenyatta Rais wa Kenya huyu anakuksalimia" yaani it was so good..asanteni sana Magufuli / Kenyatta safi sana..Magufuli oyeee!! Kenyatta oyeee!!
@dr.erickjmazyala89055 жыл бұрын
This is East Africa we want! Mungu azidi ibariki EA!
@sadifa2said5675 жыл бұрын
Hongera sana rais Kenyatta na rais Magufuli na mama Samia heshima kwenu
@salomewandya72573 жыл бұрын
Jamani ndiyo maana Kenyata alisema iwe isiwe lazima aje kwenye msiba😥😥😥😥😥😭😭😭
@damarisambia1154
3 жыл бұрын
Liwe liwalo ilikua afike , East Africans we've lost a good one kabisa.
@Assam88855 жыл бұрын
Wallah nimefurahiiii uncle Magu mungu akubariki sana
@junemuchiri6093 жыл бұрын
Magufuli na kenyatta walikua marafiki sana aisee😂😂😂
@allananam66315 жыл бұрын
This is great, true spirit of kenytan.
@amtawakal5 жыл бұрын
Zama hizi za EA ni za aina yake,especially TZ na KE. Lovely and big-up to the two comrades.
@mkude5 жыл бұрын
Nimeipenda sanaaa hiii,safi sana viongozi wetu.
@nancykiwelu93705 жыл бұрын
Mungu awaongezee umri mrefu na afya njema kwenye utumishi huu aliowapa
@aloycemyovela25215 жыл бұрын
Bless ndgu yetu rais Nakupenda sana
@emmanuelsengo26015 жыл бұрын
Kwani huyu mzee magu alikuwa wapi ckuzote. Tukaweka majizi yakatuibia wee mpaka sasa tumekombolewa
@rhinakiza3 жыл бұрын
Ulisema kweli tuta kukumbuka kwa megi Baba yetu RIP rest in Peace Rais Magufuli 💕💕
@virginiamburu4335
3 жыл бұрын
Ma kweli alisema hivyo. Lalala Salama
@rhinakiza
3 жыл бұрын
I love you Magufuli no secrets about our country, If it was different president he was going to wait until home njoo amu call, but Magufuli was very open president
@faroukmutyaba5665
3 жыл бұрын
Rhina ingekua innawezekana angekuja Uganda Magufuli afundishe Museveni wetu jinsi ya kua na huruma kwa wanainchi wa Uganda
@rhinakiza
3 жыл бұрын
@@faroukmutyaba5665 I know kaka, we just pray for him to rest in Peace Rais Magufuli, God loves him mostly than us. Hata Baba amefariki Yesu ata baki kuwa Mungu tuu 🙏🏼🙏🏼
@EmanuelNicholaus-of1qg4 ай бұрын
Best President in Tanzania's history
@solomonmpuluma54855 жыл бұрын
Nimeipenda sana sana. Mungu awabariki sana!!
@eliudchipuga58515 жыл бұрын
You are the right person chosen by God for the people of Tanzania
@ridhiwaniomari7425
5 жыл бұрын
Absolute
@abdulmrisho3116
5 жыл бұрын
Duuh hatar
@fredoso15 жыл бұрын
Huu ndio undungu thabiti mwenyezi mungu aibariki Africa mashariki.
@murerwadarlene41383 жыл бұрын
I Am Rwandan but my heart is still mourning you Rais.keep resting in peace
@samwelpmbuga7735
3 жыл бұрын
T x p a share
@dianamkita6571
3 жыл бұрын
Kweli kabisa...Yaani JPM will be always in my memory...+ 255
@babytracy4221
3 жыл бұрын
Same here I’m Kenyan but I’m still mourning
@rosalindbirungi9164
3 жыл бұрын
Am a Ugandan but still mourning a great leader of the times. RIP
@agnettakamugisha49843 жыл бұрын
PRICELESS❤❤❤❤ YOU WERE GOD SENT🙏🙏 RIP JPM🙏🙏
@africanvoyagesafaris38343 ай бұрын
Magufuli hoiyee..he was a strong president. Much love from Kenya 🇰🇪.
@user-rv2tv6mt4x3 ай бұрын
Continue Resting in peace president Magufuli ..we still mourn you...your integrity, dedication and commitment to build Tanzania is a legacy the whole of Africa is proud of.Love from kenya 🇰🇪 🇰🇪
@issaibonyissaibony99343 жыл бұрын
Mzee ww bc tu mungu akuhifadhi huko uliko 😭😭😭
@kihanda25545 жыл бұрын
Huyu Raisi wetu anapiga Show Live Band na siyo kuimba kwa Back play CD. Hunipa Raha kila siku.
@rosalindbirungi91643 жыл бұрын
Thank you President Uhuru. Stay blessed
@issazakaria8633 жыл бұрын
The Comrades of East Africa love from #Tz R. I. P JEMBE letu big love Kenyatta TUSONGE PAMOJA na Rais wetu Mama Samia
@charlesjohn57924 ай бұрын
MAGUFULI where are you Mr PRESIDENT 😢😢😢😢
@priencedamdoek5085 жыл бұрын
I see, nimefurahi sana. This is more than friendly.
@monicatankini59585 жыл бұрын
kama unaitwa ,Monica popote ulipo sema oyoooo ,tumetajwa na raisi jamani.
@kifalumjanja2428Ай бұрын
Nimependa sana hiyo conversation from both side.
@cityboysdecalicas20244 ай бұрын
Nafurahi kuona hii video❤❤❤❤ Nimempeza Magufuli na kumtamani Kenyatta wetu arudi uongozini❤❤
@EzraOsiemo
4 ай бұрын
Akh
@nicholasmacharia31024 ай бұрын
I miss my President His Excellency Uhuru Muigai Kenyatta.
@kiangurajason1183
2 күн бұрын
That's Kenyatta rubbish. Let him bring billions he stashed in foreign accounts. Hiyo pesa haikuwa ya mama yake.
@donsuatv12545 жыл бұрын
Alieskia simu inaanza kuita ikisema Sajili laini kwa njia dole gumba gonga like
@King_1865 жыл бұрын
Yaa ni zaidi ya upendo, n'a JPM ukitaka kuelewana naye, mzigo upatikane
@babusadala5732
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🍺🍾
@michaeldeus193
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mwajejasson6995
5 жыл бұрын
Dr magufuli ubalikiwe sana wewe ni rais bora sana
@gloriousn6425
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo umempatia
@ernestsinje95325 жыл бұрын
Mambo ya anko Magu bwana nimecheka kwa Furaha
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@kellyyobaibe40273 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭 mi hua siamini na czani kama ntaamini labda cku moja ntaamini kama hayupo tena
@dianamkita6571
3 жыл бұрын
Amini tu Kelly,,hakuna jinsi..Mungu ndo anajua.. Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki familia ya Mh.JPM...
@stephendaniel70193 жыл бұрын
African Legend, RIP. I lack strong words to describe you my African King but it is well known that u r really the King that could have rescued Africa.
@atsachifamily45092 жыл бұрын
Ati wewe achana na huyo arudi nyumbani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@vinhardodhiambo323
4 ай бұрын
A real kamau kabisa😂😂😂😂😂
@maryemmanuelmjema99532 жыл бұрын
Tunakukumbuka magu nataman nikuamshe uwezo Sina nabaki Julia daaah mungu wew tulikukosea nin watanzania Hadi utuchukulie maguful 😭😭😭😭
@irenerogers27435 жыл бұрын
My president..... You are blessed
@thobiasjosephat7611
5 жыл бұрын
Okwi
@thobiasjosephat7611
5 жыл бұрын
Chama
@kevinmiles11892 ай бұрын
Kenyatta was aman an a half❤❤❤
@juliasibwana26073 жыл бұрын
Nilizani nimebaki yatima kumbe mzazi yupo mh rais Samia suluhu Hasan Asante mungu
@josemariafamilyАй бұрын
I didn't imagine such a call live to the people. This was great
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Hiyo ndio EA ilipaswa iwe undugu sio kuwindana ama ujanja ujanja. Tunaamini Mama Mungu atamjalia adumishe upendo EA. RIP Mwendazako. Mungu akurehemu uliko.
@mkulima_mweusi24815 жыл бұрын
Bonge moja la kolabo
@issayamshana3750
3 жыл бұрын
Hahahhahahahaha etii kolabo..... haya bwanaaa
@robertusisack36355 жыл бұрын
mwanzo nilikuwa simpendi kweli lakini this time nampenda kweli
@bjzee1981
5 жыл бұрын
Nani?
@zakayokalinga7838
5 жыл бұрын
Celyne Isack 😂😂😂miko juu mwendo wa mateka
@yayomachano2904
5 жыл бұрын
Cely😄😄😄
@josephlucas2786 Жыл бұрын
Nimejikuta naangalia tena leo 05,04,2023
@joshuaonyith20053 жыл бұрын
Continue resting in peace your Excellency. Death is too mean to African continent. Good leaders don't last longer. RIP H.E Dr. JPM
@mjahkhan22433 жыл бұрын
Pumzika mzee wetu jpm
@barakashadrack76953 жыл бұрын
Sijui ni lini itatugalimu kumpata mtu mwingine mzalendo kama huyu mm na uchungu sana hd leo nalia
@zakayokalinga78385 жыл бұрын
Ni mzur lakini anachapaa kazi Uhuru Akasema aaah wachana na huyo arudi nyumbani weeee😂😂😂😂😂😂 Magu banaaaaa
@reyjosee9390
5 жыл бұрын
Zakayo Kalinga wachana na huyo arudi bnaaaa
@zakayokalinga7838
5 жыл бұрын
hahahah
@Avianatz
Ай бұрын
Hahaa 🤣🤣🤣 magu banaaa
@denniswachira10783 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 This Was Funny...... R.I.P.Magufuli
@danielbugwema69695 жыл бұрын
Wanao kuchukia wafe kwa vijiba vyao vya mioyo yao
@williammasanja5819
5 жыл бұрын
Saaaaaana kk wafe tu
@evarkidanh1109
3 жыл бұрын
Hakika huyu ndiye alikuwa rais mpaka sas siamin kuwa umeondoka
@ndayishimiyejcn3 жыл бұрын
I miss him😭😭
@salimkipuge35115 жыл бұрын
Inaleta raha sana.
@rosalindbirungi91643 жыл бұрын
Wow amazing civility...RIP President Magufuli
@raypius18253 жыл бұрын
You will always be in our hearts! Love You Forever dear Baba!
@briansifuna37704 ай бұрын
Tanzania so far has had two presidents, Magufuli na Mwalimu..
@johnkatindasa17505 жыл бұрын
JPM LULU YA TANZANIA.
@adamapollo98594 ай бұрын
Si mungu angetuachiya huyu jamani😢😢
@kbm2415 жыл бұрын
Magufuli is one of the best presidents in africa.From Kenya.
@Donasian-ry9kh4 ай бұрын
😢 tutakukumbuka xana baba
@leodiansamba46825 жыл бұрын
Raisi wetuu we jamani mungu akupe nn uuuuuuwiiiiiiii we Raisi weeeee magufuli mungu akubaliki sanaaa
@user-xh3kx6hq6d9 ай бұрын
i am a kenyan but continue resting in peace ,,indeed u did a great job
@mathewkissima19315 жыл бұрын
Nakuelewagaaa mzee maguuu
@adammakoye41985 жыл бұрын
Rais wetu mpendwa Mh Magufuli kwanza nakupenda sana japo mwanzo nilikuchukia sana. kma utasoma comment hii nataka kuuliza bidhaa ya milioni nne ushuru wke ni milioni moja na laki mbili forodha ya Namanga hiyo
@better-healthericevatvquee777Ай бұрын
This is a pure democracy I'have ever seen
@alonsobrazzel30113 жыл бұрын
🇹🇿🕌⛪🇰🇪 - THIS WAS LIKE OUR BELOVED PRESIDENT MAGUFULI (RIP) PASSING THE BATON TO MAMA SAMIA. "MAY ALLAH, YAHWEH, GOD" HELP HER TO SERVE TANZANIANS AFTER PRESIDENT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI (RIP) PASSED AWAY. "MAY GOD ACCEPT HIS SOUL".❤✔
@GSP__3 жыл бұрын
Baba East Africa😭😭💔💔💔💔❣️❣️❣️❣️❣️
@maryamhabib4663 жыл бұрын
Wallah sichoki kuskiliza hotuba zako baba maguful rest in peas
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Hongera sana ulijua kuwatumia vizuri maprofesa na Drs ktk utawala wako. RIP na Mungu akurehemu.
@stevewanga9575 жыл бұрын
Yaani simu ya Raisi ni kimeo 😆😆.... Kweli Tanzania wako na Raisi very simple kabisa
@francepetro6768
5 жыл бұрын
steve wanga iyo maic ndio inafanya ivyo
@benardwanyonyi10803 жыл бұрын
I love this guy JPM. RIP
@kabulamhembe10243 жыл бұрын
Nalia kwa uchungu sana kuondokewa na mtu kama huyu,kazi ya mungu haina makosa rest easy dad
@alisaid4380
3 жыл бұрын
Afathali ungelikufa ww
@kabulamhembe1024
3 жыл бұрын
@@alisaid4380 mwislamu gani wewe kipindi cha ramadhani unaongea pumba kiasi hiki naomba ufe kifo kibaya iwe fundisho kwa watu wengine wenye kumdhihaki mungu kama wewe
@alisaid4380
3 жыл бұрын
Utakufa ww mbwaa
@kabulamhembe1024
3 жыл бұрын
@@alisaid4380 mbwa wazazi wako waliokojoa kiumbe kisicho na busara
@hadijamagufuli2661
3 жыл бұрын
@@alisaid4380 unateseka ukiwa wapi😒
@desiretuyisenge13083 жыл бұрын
Kizuri hakidumu ni kweli
@paschaltsaxara76545 жыл бұрын
amaizing sana
@shamshamimi76645 жыл бұрын
Here comes second sonko who agrees with me team Kenya give me likes as we go.
@allykigatta32395 жыл бұрын
HAWA SASA NDO DACTA MAGUFULI NA UHURU KENYATTA...HAWA NDO MARAIS WA UKWELI...
@munasaidi614
5 жыл бұрын
Usimsifu Uhuru Yuko na ubaguzi Uhuru wakenya wanalia
@najmagudeh203
5 жыл бұрын
Muna said.kweli kbsa
@shaibukitoga3082
5 жыл бұрын
Ndio anajifunza hivyo
@mwarishmodsalum555
5 жыл бұрын
Safi sana muheshimiwa uhuru pongezi kwako na muheshimiwa magufuli kila siku nakupenda mungu akusimamie maadui wanaokuchukia laana iwe juu yako na dhambi ziwakandamize wao ameena
@mwarishmodsalum555
5 жыл бұрын
Safi sana muheshimiwa uhuru pongezi kwako na muheshimiwa magufuli kila siku nakupenda mungu akusimamie maadui wanaokuchukia laana iwe juu yako na dhambi ziwakandamize wao ameena
@galusomuga25763 жыл бұрын
We will miss you dearly JPM
@menyajoseph97293 жыл бұрын
jpm was the great president in Africa
@yezagproducts85674 ай бұрын
Mungu akupumzishe Kwa amani JPM
@munasaidi6145 жыл бұрын
Mm maoni yangu ni kwa magufuli mm ningependa amkalishe Uhuru na kumuelimisha juu ya ufisadi Kenya imezidi maisha ya Kenya ni mabaya Sanaa wanyonge waumia Kila Jambo mpaka ulipe marupurupu. Ata ukisoma hakunafaida kazi wanapeana wakikuyu pekee ndio wanajisifu Kenya ni yao mm ningeomba uingilie kazi kwa maana ww ni raisi wa Tanzania nivema uingilie Kati ili uwasaidie wakenya wenzetu bila hivo Kenya itaharibika miaka ijayo tutajijawanya Kenya itakuwa na maraisi wawili mm ni mkenya ila siipendi Kenya kwa sababu ya ufisadi. Nikiingilia kwa upande wa Barbara Uhuru ametengeneza kwao Nairobi ila Mombasa hawakutengeneza Barbara. Ukitaka wakenya wawe na upendo na Tanzania basi tusaidie magufuli
@najmagudeh203
5 жыл бұрын
Kbsaa
@gizakazeno1688
5 жыл бұрын
zamani watu walikuwa hawamwelewi huyu magufuli...ndani ya miaka mitatu kaibadilisha tz na watu wanaanza kumuelewa sasa
@najmagudeh2035 жыл бұрын
Rais wetu uhuru fata nyayo zinazo fata mwenzako magufuli magufuli anatetea wanyonge anatembea tz yote mpaka magerezani kwaio tunakuomba ufate nyayo za mwenzako usiwe mbaguzi kwamana magufuli si mbaguzi
@RubenMmassyАй бұрын
Mzigo wote umeingia na nimeuona ndo wenyewe.
@drrrr74753 жыл бұрын
Magufuli, huyu hakutawahi kuwa na raisi kama yeye!!
@Josethekenyan4 ай бұрын
Magufuli is the best president Africa has ever had in 21st century.
@omarysauti65103 жыл бұрын
Mungu mujaliye magufuli apumuzike kwa Aman eee baba twakuomba
Пікірлер: 397
kama unamkubali Prs Magu nipe like zako joh
@patricianyonda3415
3 жыл бұрын
À11qqqq1q
Tz tulibarikiwa kwa kweli na maraisi 2,mwalimu nyerere na Baba yetu MAGU, 😭😭😭😭😭😭😭😭 na sasa atupo tena nao kazi nzuri umetuachia baba Magu,daima tutakukumbuka R.I.P🙏🙏
President Magufuli you were so real, may God continue to bless and strengthen your family.
Tanzanian tumepata raisi ambaye hajawahi tokea tangu tupate uhuru Magufuriiiiiiiiiiiiiii ni chuma cha kilongo
Mzee Magufuli Umenifurahisha sana😂😂😂
@learnmathematics5037
5 жыл бұрын
Dr Magu ni jembeeeee!
I miss this guy. From Kenya
@mussaodada9629
3 жыл бұрын
Nimekumis sana raise wangu kipenzi nakukumbuka sana mungu akulaze pema peponi unajua ipo siku tutaonana mungu akipenda 👩👧👦👩👧👦👩👧👦👩👧👦👩👧👦👩👧👦
Rais JPM uliachia afrika elmu itasadia wanaota kuongoza vizuri. Utabaki katika nyoyo zetu. Much love from Rwanda 🇷🇼!
Rest in peace baba, tutakukumbuka daima😭💔🇰🇪
@dianamkita6571
3 жыл бұрын
Hakika tutamkumbuka Mpendwa wetu JPM...
Kenya na tz ni marafiki, majirani na mandugu, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
Nampenda Sana Kenyatta
Duniani yoyote , sijaona Mtu wa moyo mzuri kama wewe Baba wa Taifa wa Tanzania. RIP Mzee Mtumishi wa Mungu😍😍🤩
Kazi umefanya pumzika kiongoz wetu🇹🇿🇹🇿🙏🙏😭😭
this was so cool! Magufuli na Kenyatta wanautani mwingi sana..nafirki ni rika moja ndomana...kutaniana sana. nakumbuka clip Kenyatta akiwa Chato wakenda muonda mama Magufuli..Magufuli akawa anamuegemea Kenyatta na kumuambia mama yake; "mai, Kenyatta Rais wa Kenya huyu anakuksalimia" yaani it was so good..asanteni sana Magufuli / Kenyatta safi sana..Magufuli oyeee!! Kenyatta oyeee!!
This is East Africa we want! Mungu azidi ibariki EA!
Hongera sana rais Kenyatta na rais Magufuli na mama Samia heshima kwenu
Jamani ndiyo maana Kenyata alisema iwe isiwe lazima aje kwenye msiba😥😥😥😥😥😭😭😭
@damarisambia1154
3 жыл бұрын
Liwe liwalo ilikua afike , East Africans we've lost a good one kabisa.
Wallah nimefurahiiii uncle Magu mungu akubariki sana
Magufuli na kenyatta walikua marafiki sana aisee😂😂😂
This is great, true spirit of kenytan.
Zama hizi za EA ni za aina yake,especially TZ na KE. Lovely and big-up to the two comrades.
Nimeipenda sanaaa hiii,safi sana viongozi wetu.
Mungu awaongezee umri mrefu na afya njema kwenye utumishi huu aliowapa
Bless ndgu yetu rais Nakupenda sana
Kwani huyu mzee magu alikuwa wapi ckuzote. Tukaweka majizi yakatuibia wee mpaka sasa tumekombolewa
Ulisema kweli tuta kukumbuka kwa megi Baba yetu RIP rest in Peace Rais Magufuli 💕💕
@virginiamburu4335
3 жыл бұрын
Ma kweli alisema hivyo. Lalala Salama
@rhinakiza
3 жыл бұрын
I love you Magufuli no secrets about our country, If it was different president he was going to wait until home njoo amu call, but Magufuli was very open president
@faroukmutyaba5665
3 жыл бұрын
Rhina ingekua innawezekana angekuja Uganda Magufuli afundishe Museveni wetu jinsi ya kua na huruma kwa wanainchi wa Uganda
@rhinakiza
3 жыл бұрын
@@faroukmutyaba5665 I know kaka, we just pray for him to rest in Peace Rais Magufuli, God loves him mostly than us. Hata Baba amefariki Yesu ata baki kuwa Mungu tuu 🙏🏼🙏🏼
Best President in Tanzania's history
Nimeipenda sana sana. Mungu awabariki sana!!
You are the right person chosen by God for the people of Tanzania
@ridhiwaniomari7425
5 жыл бұрын
Absolute
@abdulmrisho3116
5 жыл бұрын
Duuh hatar
Huu ndio undungu thabiti mwenyezi mungu aibariki Africa mashariki.
I Am Rwandan but my heart is still mourning you Rais.keep resting in peace
@samwelpmbuga7735
3 жыл бұрын
T x p a share
@dianamkita6571
3 жыл бұрын
Kweli kabisa...Yaani JPM will be always in my memory...+ 255
@babytracy4221
3 жыл бұрын
Same here I’m Kenyan but I’m still mourning
@rosalindbirungi9164
3 жыл бұрын
Am a Ugandan but still mourning a great leader of the times. RIP
PRICELESS❤❤❤❤ YOU WERE GOD SENT🙏🙏 RIP JPM🙏🙏
Magufuli hoiyee..he was a strong president. Much love from Kenya 🇰🇪.
Continue Resting in peace president Magufuli ..we still mourn you...your integrity, dedication and commitment to build Tanzania is a legacy the whole of Africa is proud of.Love from kenya 🇰🇪 🇰🇪
Mzee ww bc tu mungu akuhifadhi huko uliko 😭😭😭
Huyu Raisi wetu anapiga Show Live Band na siyo kuimba kwa Back play CD. Hunipa Raha kila siku.
Thank you President Uhuru. Stay blessed
The Comrades of East Africa love from #Tz R. I. P JEMBE letu big love Kenyatta TUSONGE PAMOJA na Rais wetu Mama Samia
MAGUFULI where are you Mr PRESIDENT 😢😢😢😢
I see, nimefurahi sana. This is more than friendly.
kama unaitwa ,Monica popote ulipo sema oyoooo ,tumetajwa na raisi jamani.
Nimependa sana hiyo conversation from both side.
Nafurahi kuona hii video❤❤❤❤ Nimempeza Magufuli na kumtamani Kenyatta wetu arudi uongozini❤❤
@EzraOsiemo
4 ай бұрын
Akh
I miss my President His Excellency Uhuru Muigai Kenyatta.
@kiangurajason1183
2 күн бұрын
That's Kenyatta rubbish. Let him bring billions he stashed in foreign accounts. Hiyo pesa haikuwa ya mama yake.
Alieskia simu inaanza kuita ikisema Sajili laini kwa njia dole gumba gonga like
Yaa ni zaidi ya upendo, n'a JPM ukitaka kuelewana naye, mzigo upatikane
@babusadala5732
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🍺🍾
@michaeldeus193
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mwajejasson6995
5 жыл бұрын
Dr magufuli ubalikiwe sana wewe ni rais bora sana
@gloriousn6425
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo umempatia
Mambo ya anko Magu bwana nimecheka kwa Furaha
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭 mi hua siamini na czani kama ntaamini labda cku moja ntaamini kama hayupo tena
@dianamkita6571
3 жыл бұрын
Amini tu Kelly,,hakuna jinsi..Mungu ndo anajua.. Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki familia ya Mh.JPM...
African Legend, RIP. I lack strong words to describe you my African King but it is well known that u r really the King that could have rescued Africa.
Ati wewe achana na huyo arudi nyumbani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@vinhardodhiambo323
4 ай бұрын
A real kamau kabisa😂😂😂😂😂
Tunakukumbuka magu nataman nikuamshe uwezo Sina nabaki Julia daaah mungu wew tulikukosea nin watanzania Hadi utuchukulie maguful 😭😭😭😭
My president..... You are blessed
@thobiasjosephat7611
5 жыл бұрын
Okwi
@thobiasjosephat7611
5 жыл бұрын
Chama
Kenyatta was aman an a half❤❤❤
Nilizani nimebaki yatima kumbe mzazi yupo mh rais Samia suluhu Hasan Asante mungu
I didn't imagine such a call live to the people. This was great
Hiyo ndio EA ilipaswa iwe undugu sio kuwindana ama ujanja ujanja. Tunaamini Mama Mungu atamjalia adumishe upendo EA. RIP Mwendazako. Mungu akurehemu uliko.
Bonge moja la kolabo
@issayamshana3750
3 жыл бұрын
Hahahhahahahaha etii kolabo..... haya bwanaaa
mwanzo nilikuwa simpendi kweli lakini this time nampenda kweli
@bjzee1981
5 жыл бұрын
Nani?
@zakayokalinga7838
5 жыл бұрын
Celyne Isack 😂😂😂miko juu mwendo wa mateka
@yayomachano2904
5 жыл бұрын
Cely😄😄😄
Nimejikuta naangalia tena leo 05,04,2023
Continue resting in peace your Excellency. Death is too mean to African continent. Good leaders don't last longer. RIP H.E Dr. JPM
Pumzika mzee wetu jpm
Sijui ni lini itatugalimu kumpata mtu mwingine mzalendo kama huyu mm na uchungu sana hd leo nalia
Ni mzur lakini anachapaa kazi Uhuru Akasema aaah wachana na huyo arudi nyumbani weeee😂😂😂😂😂😂 Magu banaaaaa
@reyjosee9390
5 жыл бұрын
Zakayo Kalinga wachana na huyo arudi bnaaaa
@zakayokalinga7838
5 жыл бұрын
hahahah
@Avianatz
Ай бұрын
Hahaa 🤣🤣🤣 magu banaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂 This Was Funny...... R.I.P.Magufuli
Wanao kuchukia wafe kwa vijiba vyao vya mioyo yao
@williammasanja5819
5 жыл бұрын
Saaaaaana kk wafe tu
@evarkidanh1109
3 жыл бұрын
Hakika huyu ndiye alikuwa rais mpaka sas siamin kuwa umeondoka
I miss him😭😭
Inaleta raha sana.
Wow amazing civility...RIP President Magufuli
You will always be in our hearts! Love You Forever dear Baba!
Tanzania so far has had two presidents, Magufuli na Mwalimu..
JPM LULU YA TANZANIA.
Si mungu angetuachiya huyu jamani😢😢
Magufuli is one of the best presidents in africa.From Kenya.
😢 tutakukumbuka xana baba
Raisi wetuu we jamani mungu akupe nn uuuuuuwiiiiiiii we Raisi weeeee magufuli mungu akubaliki sanaaa
i am a kenyan but continue resting in peace ,,indeed u did a great job
Nakuelewagaaa mzee maguuu
Rais wetu mpendwa Mh Magufuli kwanza nakupenda sana japo mwanzo nilikuchukia sana. kma utasoma comment hii nataka kuuliza bidhaa ya milioni nne ushuru wke ni milioni moja na laki mbili forodha ya Namanga hiyo
This is a pure democracy I'have ever seen
🇹🇿🕌⛪🇰🇪 - THIS WAS LIKE OUR BELOVED PRESIDENT MAGUFULI (RIP) PASSING THE BATON TO MAMA SAMIA. "MAY ALLAH, YAHWEH, GOD" HELP HER TO SERVE TANZANIANS AFTER PRESIDENT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI (RIP) PASSED AWAY. "MAY GOD ACCEPT HIS SOUL".❤✔
Baba East Africa😭😭💔💔💔💔❣️❣️❣️❣️❣️
Wallah sichoki kuskiliza hotuba zako baba maguful rest in peas
Hongera sana ulijua kuwatumia vizuri maprofesa na Drs ktk utawala wako. RIP na Mungu akurehemu.
Yaani simu ya Raisi ni kimeo 😆😆.... Kweli Tanzania wako na Raisi very simple kabisa
@francepetro6768
5 жыл бұрын
steve wanga iyo maic ndio inafanya ivyo
I love this guy JPM. RIP
Nalia kwa uchungu sana kuondokewa na mtu kama huyu,kazi ya mungu haina makosa rest easy dad
@alisaid4380
3 жыл бұрын
Afathali ungelikufa ww
@kabulamhembe1024
3 жыл бұрын
@@alisaid4380 mwislamu gani wewe kipindi cha ramadhani unaongea pumba kiasi hiki naomba ufe kifo kibaya iwe fundisho kwa watu wengine wenye kumdhihaki mungu kama wewe
@alisaid4380
3 жыл бұрын
Utakufa ww mbwaa
@kabulamhembe1024
3 жыл бұрын
@@alisaid4380 mbwa wazazi wako waliokojoa kiumbe kisicho na busara
@hadijamagufuli2661
3 жыл бұрын
@@alisaid4380 unateseka ukiwa wapi😒
Kizuri hakidumu ni kweli
amaizing sana
Here comes second sonko who agrees with me team Kenya give me likes as we go.
HAWA SASA NDO DACTA MAGUFULI NA UHURU KENYATTA...HAWA NDO MARAIS WA UKWELI...
@munasaidi614
5 жыл бұрын
Usimsifu Uhuru Yuko na ubaguzi Uhuru wakenya wanalia
@najmagudeh203
5 жыл бұрын
Muna said.kweli kbsa
@shaibukitoga3082
5 жыл бұрын
Ndio anajifunza hivyo
@mwarishmodsalum555
5 жыл бұрын
Safi sana muheshimiwa uhuru pongezi kwako na muheshimiwa magufuli kila siku nakupenda mungu akusimamie maadui wanaokuchukia laana iwe juu yako na dhambi ziwakandamize wao ameena
@mwarishmodsalum555
5 жыл бұрын
Safi sana muheshimiwa uhuru pongezi kwako na muheshimiwa magufuli kila siku nakupenda mungu akusimamie maadui wanaokuchukia laana iwe juu yako na dhambi ziwakandamize wao ameena
We will miss you dearly JPM
jpm was the great president in Africa
Mungu akupumzishe Kwa amani JPM
Mm maoni yangu ni kwa magufuli mm ningependa amkalishe Uhuru na kumuelimisha juu ya ufisadi Kenya imezidi maisha ya Kenya ni mabaya Sanaa wanyonge waumia Kila Jambo mpaka ulipe marupurupu. Ata ukisoma hakunafaida kazi wanapeana wakikuyu pekee ndio wanajisifu Kenya ni yao mm ningeomba uingilie kazi kwa maana ww ni raisi wa Tanzania nivema uingilie Kati ili uwasaidie wakenya wenzetu bila hivo Kenya itaharibika miaka ijayo tutajijawanya Kenya itakuwa na maraisi wawili mm ni mkenya ila siipendi Kenya kwa sababu ya ufisadi. Nikiingilia kwa upande wa Barbara Uhuru ametengeneza kwao Nairobi ila Mombasa hawakutengeneza Barbara. Ukitaka wakenya wawe na upendo na Tanzania basi tusaidie magufuli
@najmagudeh203
5 жыл бұрын
Kbsaa
@gizakazeno1688
5 жыл бұрын
zamani watu walikuwa hawamwelewi huyu magufuli...ndani ya miaka mitatu kaibadilisha tz na watu wanaanza kumuelewa sasa
Rais wetu uhuru fata nyayo zinazo fata mwenzako magufuli magufuli anatetea wanyonge anatembea tz yote mpaka magerezani kwaio tunakuomba ufate nyayo za mwenzako usiwe mbaguzi kwamana magufuli si mbaguzi
Mzigo wote umeingia na nimeuona ndo wenyewe.
Magufuli, huyu hakutawahi kuwa na raisi kama yeye!!
Magufuli is the best president Africa has ever had in 21st century.
Mungu mujaliye magufuli apumuzike kwa Aman eee baba twakuomba
Yeah that's the Man.
Kikulacho ki nguoni mwako,Rip JPM