HII NDIO SIRI YA KUJENGA DARAJA LA JPM KIGONGO NA BUSISI, RAIS MAGUFULI AWEKA WAZI
Dec 28, 2020 Rais Magufuli akiwa njiani kuelekea nyumabni kwake Chato amekagua maendeleo ya Daraja la JPM Kigongo - Busisi ambalo litakuwa na urefu wa kilometa 3.2 na ndilo Daraja refu Afrika Mashariki na Kati
Пікірлер: 418
Mnaotaka magufuli. Asiondoke madarakani like ili tujuane
@pci_tanzania
3 жыл бұрын
🤣
Nakupenda sana mkuu kwa maongezi yako napia kwa uthubutu wako,hakika tunakoenda panaonekana mkuu hii nchi yetu.Hudumu milele milele mkuu wangu Mhe Rais wetu /wetu John Pombe Joseph Magufuli
@user-wc9zg6hk5s
3 жыл бұрын
Usssitajeee chamaaa mkuuu semaa watanzania
Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu na afya njema Mtukufu Rais wetu
Mimi uwa namuita mfalme wa chato anaefanya tanzania ya watanzania kuwa bora mungu ibariki tanzania mungu ibariki Zanzibar mungu tubariki wote
Hongera mkuu holo ni letu wote niliwahi kupita hapo mars mbili Tunashukuru kwa maono yako Mungu akubariki sana
Mungu akubariki mzee inshaallah tupo pamoja tunakupa mkono ntalipa kodi mara mbili kujenga Tanzania
Hakuna vyama vingi CCM yatosha. Vyama vingine vyote ni wabinafsi na pia wanatumiwa na wazungu wasio penda kuona maendeleo ya mwana wa afrika. Mugufuli ndio mkombozi wa bara la afrika nzima. Mungu akulinde Mh Raisi wa watu.
Hongera sana Rais wetu mpendwa Dr.JPM .MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUIPIGANIA NCHI YAKO, MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU YENYE HERI,AFYA NJEMA NA BARAKA
Mungu azidi kukubariki na kulinda raisi wetu kamanda wetu mkombozi wetu....
Asanteee muheshimiwa nilpita juz tar 25 /12 aisee Mungu awe nawe
Hadi natamani niombe uraia niwe mtanzania...JPM sio wa kawaida aisee! Mungu akuongoze rais wangu wa Afrika! Mimi mKenya 🇰🇪
@bojopa7
3 жыл бұрын
Tuko pa1 sana ndugu yetu cc watanzania tunakupenda sana
@jumachilundajr4853
3 жыл бұрын
@@bojopa7 omba tu uraiya hamna shida fata vigezo tu mwamba
@hashimabdallah673
3 жыл бұрын
Ahsante sana uaweza kuomba kwa kigezo hicho karibu tZ
@lulanjamd3886
3 жыл бұрын
Kwa mkenya kupata uraia Tanzania ni rais sana karibu Sana ndugu yetu
@lukandotv8101
3 жыл бұрын
Ingekuwa inawezekana tungebadilisha
Hongera Sana Mh. Rais tunaomba Mungu akupe maisha Marefu wewe nichaguo la Mungu.
Mungu akupe maisha marefu ili ushuhudie Tanzania mpya. .
Sina shaka na uongozi wa Raisi JPM. Mungu akulinde Watanzania tunakuhitaji.
@rezegerezege691
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@johnsalyungu1570
3 жыл бұрын
Babababababa we !!
Pole sana mh!! Rais kwa yote hayo Mungu akutangulie katika harakati zako
Mungu akubariki Sana raisi wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuri kwa maono yako kwa watanzania
@mariamjackson7156
3 жыл бұрын
Safi of job highs UK 6
@peterandrew2795
3 жыл бұрын
Naumia sana nikimsikiliza hyu baba
Mungu akubariki Baba(Mweshimiwa Rais Wangu)
Hongera sana mhe rais kwa uzalendo huu ulionao
Mzalendo wa kweli no hypocrisy in you our president.
@shimmymayeye3282
3 жыл бұрын
Mmmh ulisomea wap Mr Daudi
@peterandrew2795
3 жыл бұрын
Nakupa mfano wa yesu....umekufa kwa ajili yetu baba
Maisha Marefu Muheshimiwa RAIS 🙏🏿
@rezegerezege691
3 жыл бұрын
😭😭😭
My presider💪💪 Gonga kazi baba💪💪🤝
A Successful Tanzania🇹🇿🇹🇿 is Success to East Africa and Africa as a whole... 🇰🇪 🇰🇪.
@maikobruno6815
3 жыл бұрын
Big YESSS
@jonathanmaengo4281
3 жыл бұрын
Umesema vyema sana jirani yangu wa Kenya na ndugu zetu 👍
Mwenyezi Mungu anamakusudi na wewe rais wetu.
@hermanshingisha8471
3 жыл бұрын
MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS WETU MPENDA MAENDELEO. HONGERA SANA KIONGOZI WETU MAKINI
@telaamtauta2227
3 жыл бұрын
@@hermanshingisha8471 hakika Huyu.ndio kiongozi nasiyo kidokozi
Mwenyezi MUNGU akubariki sana raisi wetu. Hongera sana kwa kutupigania sisi watanzani. Viongozi wa afrika tuige mfano huu wa uzalendo anaouonyesha mh. JPM. Kiukweli, hapa kazi tu.
Nasemaga huyu jamaa aongezewe Muda aiseee Kama na wewe unawaza kama mm gonga like
Mungu ame kuepusha na kifo miaka hiyo kweli Mungu ni mwema
Yani nilipoona Lissu anajigamba kuwa kwa vyovyote atangazwe yeye kama Rais alinitia hasira kabisa nikaamua kufunga biashara yangu kwenda kupiga tu kura ya Rais, maana hii nchi ingeuzwa kwa mabeberu, Magufuri Mungu akulinde wewe ni Baba wa Taifa hili, ungefuatia wewe baada ya Nyerere hii nchi tungekuwa mbali
@jacobmakono6983
3 жыл бұрын
Hahahaahaha!
@bojopa7
3 жыл бұрын
Hongera sana mi niliwakuta kijiweni nikawauliza mmepiga kura wakasema hapana nikasema yess atapitaje
@bojopa7
3 жыл бұрын
Atapitaje huyu Tundu wenu na hamkupiga kura
@hashimabdallah673
3 жыл бұрын
Aliyepashwa kufuatia baada ya Nyerere walimuua wahujumu uchumi lakini nawao wanateseka kwa sasa Sokoine
Pongez sana mh rais mungu akupe nguvu na afya tele
Serikali ya mwendo Kazi duo maana ya hapa Kazi tu JPM hoyee
Tanzania is truly thriving. Keep it up Mr president. May God Bless Tanzania and all Tanzanians.
@marianapatrick5993
3 жыл бұрын
Amen
Hongera rais wetu
Mungu akubariki raisi wetu akulinde inshaallah
Kiki toka chuma kinakuja chuma after magu I wish aje majaliwa Kassimu weweeeee Kama ulaya kazikazi safi Sana JPM
Sawa kabisa rais mzalendo tunaweza sisi ni matajiri ila ufisadi ulituchelewesha, tawala miaka mingi mpaka roho za kifisadi ziishe.
THIS MAN IS MAKING US PROUD..... JPM MAKE TANZANIA GREAT AGAIN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✔
@alicejames893
3 жыл бұрын
@Darron Cherpak hhdd
@alicejames893
3 жыл бұрын
@Darron Cherpak l
@alicejames893
3 жыл бұрын
@Darron Cherpak h
@alicejames893
3 жыл бұрын
@Darron Cherpak hhhgg
@alicejames893
3 жыл бұрын
@Darron Cherpak nnn
Congratulations 👏🏽 Tanzania 🇹🇿 of People’s and have love 💗 of his owns people’s citizens populations country ❤️
Kweli ulikuwa ni mpango wa Mungu
Tujenge na ZANZIBAR rais wetu..daraja
@happyjohn5882
3 жыл бұрын
Nadhani atajenga la underground mpka Zanzibar kama la Uk
@user-rd7jt1vi5x
3 жыл бұрын
Zanzibar akawajengea Rais wenu huko na sisi huku bara atatujengea MAGUFULI
Congratulations president John Magufuli 👋🏽👍🏽🪐🌍🌏❤️💗🎉🥳💐🌹🥂👏🏽🙏🏽
@brazilrianto7948
3 жыл бұрын
Magufuli
Chuma kazini🔥🔥🔥🔥🔥
Raisi wetu mpendwa❤
Tanzania first magufuli beloved President
Mbeba maono hafiiiiii,.
We subiri siku moja atakuja na wazo la daraja kuunga Zanzibar na bara hii ni type nyingine kama mnategemea mipango ipangwe ulaya hapo mushafeli tunamaliza show wenyewe
@jamesthomas390jj
3 жыл бұрын
Aaah mzee huyu hashindwi.
@stevenfabian2208
3 жыл бұрын
Hilo wazo lipo aliwahi kulisema bado maamuzi tuu ck akiamkaa amepanga kumaliza utata tutaona mengne
@mohammedally2289
3 жыл бұрын
Kiukweli jemma yuko serious kikazi honestly anamaanisha yale asemayo mungu amuongoze Amin
@bojopa7
3 жыл бұрын
Kabisa bro tuko pa1
@jamesthomas390jj
3 жыл бұрын
@@mohammedally2289 na lazima watakuja kulijenga tu hilo daraja
Raisi hongera Sana unapiga kazi tunaona
Sithani Kama Atakujaga Kutokea Raisi Mwenye Maono Makubwa Kama wew Mzee Wangu Upendo wangu kwako Mungu ndio anajua
Mzee baba na pikipiki ushagonga uko sawa
Dah jamani mungu atupe nini ndotumshukuru, watanzania ebu tumshukuru mungu kwakutupa kiongozi mwenye maona makubwa kama haya, mwenye udhubutu mkibwa kama huyu,aa huyu mtu cyo wakawaida inawezekana duniani hawez kutokea miaka mingi ijayo. binafisi natamani hata uongoze miaka mia aisee tubadishe katiba tusikubali watanzania kumpoteza joni asitafu tutampata nani kama yeye?
Na ukileta mchezo unaliwa kichwa kama mkurugenzi wa igunga
Wewe nakupenda bure !Mungu akubariki sana !Na tumbo lilokuzaa libarikiwe mno !!Nakemea kila mpango ovu juu yako !Malaika wafanye kituo kukulinda!Umenigusa moyo wangu ,naahidi kukuombea !
@brysonmalongoza5422
3 жыл бұрын
Mungu wetu mkuu amlinde!
Asante sana Rais wetu JPM na Mungu akubariki kwa mawazo mema na akulinde ukamilishe kusudi la utumishi wako kwa Taifa letu Tanzania.❤🇹🇿🙏
Heshima kwako mtani wangu magufuli mungu akuongoze kazi zako zoooooote ilatu na sisi apo Dodoma mpunguzi tulete maendeleo hata uwanja za ndege weka mahala pazuli sana
Pamoja Ako Magu. Tunakuombea
I'm proud of you mr president
@hashimabdallah673
3 жыл бұрын
Our president not yours alone
Ewe mwenyezi MUNGU nazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wangu
@prochesnorbert8720
3 жыл бұрын
Hatuponaye tena Mungu ameshamchukua. R.I.p Jpm
Dah mungu akulinde mzee
Mzee magu wewe nishida sijui kama tutakuja kumpata mtu kama wewe
@stanleyrocky2278
3 жыл бұрын
Hkn tena kaka
Wewe Rais Magufuli Mungu akulinde tu sina mengine .wenzako majilani kuliko kutekeleza wanainchi wawo wanawawuwa tu eti sio wanachama au wanapinga chama.Hivyo wenzako kila siku hewani safali kwenda kwa Mabelelo !!!!!
Mwenyezi mungu akulinde, kiongozi kama wewe afrika ajawayi tokeya hata mmoja. May Allah protect you all the time our hero.
Mfalme namuona kwenye ubora wake
@leverimlaki5667
3 жыл бұрын
Ni Rais siyo mfalme. Elewa tofauti ya Rais na mfalme.
Nakupendaga sana, nakuombea sana na Mungu akupe nguvu na hekima utuongoze
Walio kuwa wanasubiri mkoa wao utajwe lakini haijatajwa naombeni like zenu😅😅😅
@husseinmkanga7794
3 жыл бұрын
Alisema Watanzania wote wamechangia. Kwahiyo ni mikoa yote.
Hakika ni kazi kubwa sana unayofanya mh.raisi.asiyekubali ni mfu.
"Tanzania ni tajiri" Watanzania tunaweza bila msaada kutoka kokote,isipokuwa kwa Mungu pekee. Salaam kwako Jpm.
nakubali
Safi baba yetu Mungu akulinde sana na akuongoze zaidi na zaidi na atawale miaka 20
indeed Tanzanians u av the very best prezo ever in the whole world hata natamani awe mkenya wetu lakini tuombeeni tupate kiongozi mwenye kuhudumia wakenya bila tamaa
Mungu akutunze Mh Rais 🙏
MUNGU akupe maisha marefu, 🇹🇿🙌
Mzee baba oyee
Asante sana mheshimiwa
Ila we mzee uko karibu sana na mungu, Apo uliponea chupu chupu, na kwenye kupewa sumu, mungu, akusimamie. Maana una nia njema na nchi yako.
Nchi inaenda kwa kasi
Mungu akulinde rais wetu
",DR. JPM ,RAIS WA WATANZANIA HONGERA SANA KWA MOYO WA UZALENDO"
Hakika Rais Magufuli Ni mtu mwenye maono ya Hali ya juu Sana. Vyote hufanya kwa hisi za maono ya MUNGU. Ninakuombea kila siku Mungu akupe uhai mrefu.
Tunakushukuru MUNGU kwa ajili ya Rais huyu Magufuli we love u
Asante sana rais wetu kutuongoza kuelekea nchi ya asali na maziwa🇹🇿🦒
Dream became true 🙏
Magufuli ni mwanaume asee
Hujawah kosea mheshimiwa
Mungu akubariki sana raisi wetu mpendwa JPM
Nimependa sana hii hongera mzee
Kazi zako zitaishi Baba pumzika kwa amani JPM the champion.
Mungu akubariki na akulinde raisi wetu
Kweli kabisa JPM Alikuwa mtu wa watu. Mwenyezi Mungu akulaze mahala pema peponi.
😢😢😢 ingekua ridhaa yangu ungeendelea hadi kifo
Anko magu kama hiyo honda kama ipo nkuomba hnipe nifanyie kazi🤣🤣🤣🤣
@eischerschwederm7876
3 жыл бұрын
🤯
Mungu akubariki sana na akulinde.
Nakupenda sana mh rais wetu Mungu akupe maisha marefu baba nasisi tutaenda one day kutalii huko
🔥🇹🇿😜❤️ Mungu akupe maisha maref mkuu
Mungu airehemu roho yake hayati Rais John Pombe Magufuli Kwa maono mema Kwa wananchi wa Tanzania.
Mungu ibark Tz kw kupta kiongz mweny maon Kam huy
Man of the people ✊
Duu magu oyeeeeee
Hongera san mungu akulinde
Mungu akubariki Rais wangu 😢
We mheshimiwa mungu akulinde
Huyu mtu🙏🏿
@johnsalyungu1570
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
Goooooooooood