HII NDIO SIRI YA KUJENGA DARAJA LA JPM KIGONGO NA BUSISI, RAIS MAGUFULI AWEKA WAZI

Dec 28, 2020 Rais Magufuli akiwa njiani kuelekea nyumabni kwake Chato amekagua maendeleo ya Daraja la JPM Kigongo - Busisi ambalo litakuwa na urefu wa kilometa 3.2 na ndilo Daraja refu Afrika Mashariki na Kati

Пікірлер: 418

  • @mamukassim4075
    @mamukassim40753 жыл бұрын

    Mnaotaka magufuli. Asiondoke madarakani like ili tujuane

  • @pci_tanzania

    @pci_tanzania

    3 жыл бұрын

    🤣

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed26523 жыл бұрын

    Nakupenda sana mkuu kwa maongezi yako napia kwa uthubutu wako,hakika tunakoenda panaonekana mkuu hii nchi yetu.Hudumu milele milele mkuu wangu Mhe Rais wetu /wetu John Pombe Joseph Magufuli

  • @user-wc9zg6hk5s

    @user-wc9zg6hk5s

    3 жыл бұрын

    Usssitajeee chamaaa mkuuu semaa watanzania

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen71453 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu na afya njema Mtukufu Rais wetu

  • @makaveliomari7211
    @makaveliomari72113 жыл бұрын

    Mimi uwa namuita mfalme wa chato anaefanya tanzania ya watanzania kuwa bora mungu ibariki tanzania mungu ibariki Zanzibar mungu tubariki wote

  • @josephatmwambega2874
    @josephatmwambega28743 жыл бұрын

    Hongera mkuu holo ni letu wote niliwahi kupita hapo mars mbili Tunashukuru kwa maono yako Mungu akubariki sana

  • @maryammohammed5309
    @maryammohammed53093 жыл бұрын

    Mungu akubariki mzee inshaallah tupo pamoja tunakupa mkono ntalipa kodi mara mbili kujenga Tanzania

  • @sunyareh
    @sunyareh3 жыл бұрын

    Hakuna vyama vingi CCM yatosha. Vyama vingine vyote ni wabinafsi na pia wanatumiwa na wazungu wasio penda kuona maendeleo ya mwana wa afrika. Mugufuli ndio mkombozi wa bara la afrika nzima. Mungu akulinde Mh Raisi wa watu.

  • @florashauri9228
    @florashauri92283 жыл бұрын

    Hongera sana Rais wetu mpendwa Dr.JPM .MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUIPIGANIA NCHI YAKO, MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU YENYE HERI,AFYA NJEMA NA BARAKA

  • @j_gh812
    @j_gh8123 жыл бұрын

    Mungu azidi kukubariki na kulinda raisi wetu kamanda wetu mkombozi wetu....

  • @allystideforever6594
    @allystideforever65943 жыл бұрын

    Asanteee muheshimiwa nilpita juz tar 25 /12 aisee Mungu awe nawe

  • @wisemanking001
    @wisemanking0013 жыл бұрын

    Hadi natamani niombe uraia niwe mtanzania...JPM sio wa kawaida aisee! Mungu akuongoze rais wangu wa Afrika! Mimi mKenya 🇰🇪

  • @bojopa7

    @bojopa7

    3 жыл бұрын

    Tuko pa1 sana ndugu yetu cc watanzania tunakupenda sana

  • @jumachilundajr4853

    @jumachilundajr4853

    3 жыл бұрын

    @@bojopa7 omba tu uraiya hamna shida fata vigezo tu mwamba

  • @hashimabdallah673

    @hashimabdallah673

    3 жыл бұрын

    Ahsante sana uaweza kuomba kwa kigezo hicho karibu tZ

  • @lulanjamd3886

    @lulanjamd3886

    3 жыл бұрын

    Kwa mkenya kupata uraia Tanzania ni rais sana karibu Sana ndugu yetu

  • @lukandotv8101

    @lukandotv8101

    3 жыл бұрын

    Ingekuwa inawezekana tungebadilisha

  • @simonmuhoja149
    @simonmuhoja1493 жыл бұрын

    Hongera Sana Mh. Rais tunaomba Mungu akupe maisha Marefu wewe nichaguo la Mungu.

  • @zenj1986
    @zenj19863 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu ili ushuhudie Tanzania mpya. .

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu28443 жыл бұрын

    Sina shaka na uongozi wa Raisi JPM. Mungu akulinde Watanzania tunakuhitaji.

  • @rezegerezege691

    @rezegerezege691

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @johnsalyungu1570

    @johnsalyungu1570

    3 жыл бұрын

    Babababababa we !!

  • @petermanda4241
    @petermanda42413 жыл бұрын

    Pole sana mh!! Rais kwa yote hayo Mungu akutangulie katika harakati zako

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha20483 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana raisi wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuri kwa maono yako kwa watanzania

  • @mariamjackson7156

    @mariamjackson7156

    3 жыл бұрын

    Safi of job highs UK 6

  • @peterandrew2795

    @peterandrew2795

    3 жыл бұрын

    Naumia sana nikimsikiliza hyu baba

  • @elishamkasu5191
    @elishamkasu51913 жыл бұрын

    Mungu akubariki Baba(Mweshimiwa Rais Wangu)

  • @dominicikuja7392
    @dominicikuja73923 жыл бұрын

    Hongera sana mhe rais kwa uzalendo huu ulionao

  • @mrigojohn7326
    @mrigojohn73263 жыл бұрын

    Mzalendo wa kweli no hypocrisy in you our president.

  • @shimmymayeye3282

    @shimmymayeye3282

    3 жыл бұрын

    Mmmh ulisomea wap Mr Daudi

  • @peterandrew2795

    @peterandrew2795

    3 жыл бұрын

    Nakupa mfano wa yesu....umekufa kwa ajili yetu baba

  • @ipyanaamos5105
    @ipyanaamos51053 жыл бұрын

    Maisha Marefu Muheshimiwa RAIS 🙏🏿

  • @rezegerezege691

    @rezegerezege691

    3 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @bchikop
    @bchikop3 жыл бұрын

    My presider💪💪 Gonga kazi baba💪💪🤝

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene5453 жыл бұрын

    A Successful Tanzania🇹🇿🇹🇿 is Success to East Africa and Africa as a whole... 🇰🇪 🇰🇪.

  • @maikobruno6815

    @maikobruno6815

    3 жыл бұрын

    Big YESSS

  • @jonathanmaengo4281

    @jonathanmaengo4281

    3 жыл бұрын

    Umesema vyema sana jirani yangu wa Kenya na ndugu zetu 👍

  • @liliansamson674
    @liliansamson6743 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu anamakusudi na wewe rais wetu.

  • @hermanshingisha8471

    @hermanshingisha8471

    3 жыл бұрын

    MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS WETU MPENDA MAENDELEO. HONGERA SANA KIONGOZI WETU MAKINI

  • @telaamtauta2227

    @telaamtauta2227

    3 жыл бұрын

    @@hermanshingisha8471 hakika Huyu.ndio kiongozi nasiyo kidokozi

  • @marianmartin7483
    @marianmartin74833 жыл бұрын

    Mwenyezi MUNGU akubariki sana raisi wetu. Hongera sana kwa kutupigania sisi watanzani. Viongozi wa afrika tuige mfano huu wa uzalendo anaouonyesha mh. JPM. Kiukweli, hapa kazi tu.

  • @enockoward2656
    @enockoward26563 жыл бұрын

    Nasemaga huyu jamaa aongezewe Muda aiseee Kama na wewe unawaza kama mm gonga like

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74913 жыл бұрын

    Mungu ame kuepusha na kifo miaka hiyo kweli Mungu ni mwema

  • @shibilitimedia3312
    @shibilitimedia33123 жыл бұрын

    Yani nilipoona Lissu anajigamba kuwa kwa vyovyote atangazwe yeye kama Rais alinitia hasira kabisa nikaamua kufunga biashara yangu kwenda kupiga tu kura ya Rais, maana hii nchi ingeuzwa kwa mabeberu, Magufuri Mungu akulinde wewe ni Baba wa Taifa hili, ungefuatia wewe baada ya Nyerere hii nchi tungekuwa mbali

  • @jacobmakono6983

    @jacobmakono6983

    3 жыл бұрын

    Hahahaahaha!

  • @bojopa7

    @bojopa7

    3 жыл бұрын

    Hongera sana mi niliwakuta kijiweni nikawauliza mmepiga kura wakasema hapana nikasema yess atapitaje

  • @bojopa7

    @bojopa7

    3 жыл бұрын

    Atapitaje huyu Tundu wenu na hamkupiga kura

  • @hashimabdallah673

    @hashimabdallah673

    3 жыл бұрын

    Aliyepashwa kufuatia baada ya Nyerere walimuua wahujumu uchumi lakini nawao wanateseka kwa sasa Sokoine

  • @gloriakiria6096
    @gloriakiria60963 жыл бұрын

    Pongez sana mh rais mungu akupe nguvu na afya tele

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba26263 жыл бұрын

    Serikali ya mwendo Kazi duo maana ya hapa Kazi tu JPM hoyee

  • @um_185
    @um_1853 жыл бұрын

    Tanzania is truly thriving. Keep it up Mr president. May God Bless Tanzania and all Tanzanians.

  • @marianapatrick5993

    @marianapatrick5993

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @faraolion6822
    @faraolion68223 жыл бұрын

    Hongera rais wetu

  • @ashaimohammedi6754
    @ashaimohammedi67543 жыл бұрын

    Mungu akubariki raisi wetu akulinde inshaallah

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya99243 жыл бұрын

    Kiki toka chuma kinakuja chuma after magu I wish aje majaliwa Kassimu weweeeee Kama ulaya kazikazi safi Sana JPM

  • @simonjoseph1775
    @simonjoseph17753 жыл бұрын

    Sawa kabisa rais mzalendo tunaweza sisi ni matajiri ila ufisadi ulituchelewesha, tawala miaka mingi mpaka roho za kifisadi ziishe.

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv3 жыл бұрын

    THIS MAN IS MAKING US PROUD..... JPM MAKE TANZANIA GREAT AGAIN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✔

  • @alicejames893

    @alicejames893

    3 жыл бұрын

    @Darron Cherpak hhdd

  • @alicejames893

    @alicejames893

    3 жыл бұрын

    @Darron Cherpak l

  • @alicejames893

    @alicejames893

    3 жыл бұрын

    @Darron Cherpak h

  • @alicejames893

    @alicejames893

    3 жыл бұрын

    @Darron Cherpak hhhgg

  • @alicejames893

    @alicejames893

    3 жыл бұрын

    @Darron Cherpak nnn

  • @peterokalo9632
    @peterokalo96323 жыл бұрын

    Congratulations 👏🏽 Tanzania 🇹🇿 of People’s and have love 💗 of his owns people’s citizens populations country ❤️

  • @raymondanthony6207
    @raymondanthony62073 жыл бұрын

    Kweli ulikuwa ni mpango wa Mungu

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm78763 жыл бұрын

    Tujenge na ZANZIBAR rais wetu..daraja

  • @happyjohn5882

    @happyjohn5882

    3 жыл бұрын

    Nadhani atajenga la underground mpka Zanzibar kama la Uk

  • @user-rd7jt1vi5x

    @user-rd7jt1vi5x

    3 жыл бұрын

    Zanzibar akawajengea Rais wenu huko na sisi huku bara atatujengea MAGUFULI

  • @peterokalo9632
    @peterokalo96323 жыл бұрын

    Congratulations president John Magufuli 👋🏽👍🏽🪐🌍🌏❤️💗🎉🥳💐🌹🥂👏🏽🙏🏽

  • @brazilrianto7948

    @brazilrianto7948

    3 жыл бұрын

    Magufuli

  • @ramadhaniharuna8110
    @ramadhaniharuna81103 жыл бұрын

    Chuma kazini🔥🔥🔥🔥🔥

  • @omarymasalu5072
    @omarymasalu50723 жыл бұрын

    Raisi wetu mpendwa❤

  • @mushtaqdada9804
    @mushtaqdada98043 жыл бұрын

    Tanzania first magufuli beloved President

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka58393 жыл бұрын

    Mbeba maono hafiiiiii,.

  • @jacksonpeter3840
    @jacksonpeter38403 жыл бұрын

    We subiri siku moja atakuja na wazo la daraja kuunga Zanzibar na bara hii ni type nyingine kama mnategemea mipango ipangwe ulaya hapo mushafeli tunamaliza show wenyewe

  • @jamesthomas390jj

    @jamesthomas390jj

    3 жыл бұрын

    Aaah mzee huyu hashindwi.

  • @stevenfabian2208

    @stevenfabian2208

    3 жыл бұрын

    Hilo wazo lipo aliwahi kulisema bado maamuzi tuu ck akiamkaa amepanga kumaliza utata tutaona mengne

  • @mohammedally2289

    @mohammedally2289

    3 жыл бұрын

    Kiukweli jemma yuko serious kikazi honestly anamaanisha yale asemayo mungu amuongoze Amin

  • @bojopa7

    @bojopa7

    3 жыл бұрын

    Kabisa bro tuko pa1

  • @jamesthomas390jj

    @jamesthomas390jj

    3 жыл бұрын

    @@mohammedally2289 na lazima watakuja kulijenga tu hilo daraja

  • @thomastemu3332
    @thomastemu33323 жыл бұрын

    Raisi hongera Sana unapiga kazi tunaona

  • @gwajiboiboi8664
    @gwajiboiboi86643 жыл бұрын

    Sithani Kama Atakujaga Kutokea Raisi Mwenye Maono Makubwa Kama wew Mzee Wangu Upendo wangu kwako Mungu ndio anajua

  • @azizawadh5973
    @azizawadh59733 жыл бұрын

    Mzee baba na pikipiki ushagonga uko sawa

  • @kenicemkaka2824
    @kenicemkaka28243 жыл бұрын

    Dah jamani mungu atupe nini ndotumshukuru, watanzania ebu tumshukuru mungu kwakutupa kiongozi mwenye maona makubwa kama haya, mwenye udhubutu mkibwa kama huyu,aa huyu mtu cyo wakawaida inawezekana duniani hawez kutokea miaka mingi ijayo. binafisi natamani hata uongoze miaka mia aisee tubadishe katiba tusikubali watanzania kumpoteza joni asitafu tutampata nani kama yeye?

  • @jacksonpeter3840
    @jacksonpeter38403 жыл бұрын

    Na ukileta mchezo unaliwa kichwa kama mkurugenzi wa igunga

  • @marthaleonard2444
    @marthaleonard24443 жыл бұрын

    Wewe nakupenda bure !Mungu akubariki sana !Na tumbo lilokuzaa libarikiwe mno !!Nakemea kila mpango ovu juu yako !Malaika wafanye kituo kukulinda!Umenigusa moyo wangu ,naahidi kukuombea !

  • @brysonmalongoza5422

    @brysonmalongoza5422

    3 жыл бұрын

    Mungu wetu mkuu amlinde!

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther59083 жыл бұрын

    Asante sana Rais wetu JPM na Mungu akubariki kwa mawazo mema na akulinde ukamilishe kusudi la utumishi wako kwa Taifa letu Tanzania.❤🇹🇿🙏

  • @mussajohn8182
    @mussajohn81823 жыл бұрын

    Heshima kwako mtani wangu magufuli mungu akuongoze kazi zako zoooooote ilatu na sisi apo Dodoma mpunguzi tulete maendeleo hata uwanja za ndege weka mahala pazuli sana

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel46713 жыл бұрын

    Pamoja Ako Magu. Tunakuombea

  • @josephramsonmtukufu3149
    @josephramsonmtukufu31493 жыл бұрын

    I'm proud of you mr president

  • @hashimabdallah673

    @hashimabdallah673

    3 жыл бұрын

    Our president not yours alone

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari28333 жыл бұрын

    Ewe mwenyezi MUNGU nazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wangu

  • @prochesnorbert8720

    @prochesnorbert8720

    3 жыл бұрын

    Hatuponaye tena Mungu ameshamchukua. R.I.p Jpm

  • @matukionavichekesho4678
    @matukionavichekesho46783 жыл бұрын

    Dah mungu akulinde mzee

  • @dullasalim8603
    @dullasalim86033 жыл бұрын

    Mzee magu wewe nishida sijui kama tutakuja kumpata mtu kama wewe

  • @stanleyrocky2278

    @stanleyrocky2278

    3 жыл бұрын

    Hkn tena kaka

  • @simonntibaziyaremye5607
    @simonntibaziyaremye56073 жыл бұрын

    Wewe Rais Magufuli Mungu akulinde tu sina mengine .wenzako majilani kuliko kutekeleza wanainchi wawo wanawawuwa tu eti sio wanachama au wanapinga chama.Hivyo wenzako kila siku hewani safali kwenda kwa Mabelelo !!!!!

  • @batatukatotolabikay5296
    @batatukatotolabikay52963 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akulinde, kiongozi kama wewe afrika ajawayi tokeya hata mmoja. May Allah protect you all the time our hero.

  • @zakariaalfred3167
    @zakariaalfred31673 жыл бұрын

    Mfalme namuona kwenye ubora wake

  • @leverimlaki5667

    @leverimlaki5667

    3 жыл бұрын

    Ni Rais siyo mfalme. Elewa tofauti ya Rais na mfalme.

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc3 жыл бұрын

    Nakupendaga sana, nakuombea sana na Mungu akupe nguvu na hekima utuongoze

  • @chuwafamily496
    @chuwafamily4963 жыл бұрын

    Walio kuwa wanasubiri mkoa wao utajwe lakini haijatajwa naombeni like zenu😅😅😅

  • @husseinmkanga7794

    @husseinmkanga7794

    3 жыл бұрын

    Alisema Watanzania wote wamechangia. Kwahiyo ni mikoa yote.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13083 жыл бұрын

    Hakika ni kazi kubwa sana unayofanya mh.raisi.asiyekubali ni mfu.

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki89783 жыл бұрын

    "Tanzania ni tajiri" Watanzania tunaweza bila msaada kutoka kokote,isipokuwa kwa Mungu pekee. Salaam kwako Jpm.

  • @kakaziller
    @kakaziller3 жыл бұрын

    nakubali

  • @fatmamatola393
    @fatmamatola3933 жыл бұрын

    Safi baba yetu Mungu akulinde sana na akuongoze zaidi na zaidi na atawale miaka 20

  • @dicksoncario3365
    @dicksoncario33653 жыл бұрын

    indeed Tanzanians u av the very best prezo ever in the whole world hata natamani awe mkenya wetu lakini tuombeeni tupate kiongozi mwenye kuhudumia wakenya bila tamaa

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu69373 жыл бұрын

    Mungu akutunze Mh Rais 🙏

  • @adammwita3150
    @adammwita31503 жыл бұрын

    MUNGU akupe maisha marefu, 🇹🇿🙌

  • @daslamonline4665
    @daslamonline46653 жыл бұрын

    Mzee baba oyee

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga93383 жыл бұрын

    Asante sana mheshimiwa

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga73253 жыл бұрын

    Ila we mzee uko karibu sana na mungu, Apo uliponea chupu chupu, na kwenye kupewa sumu, mungu, akusimamie. Maana una nia njema na nchi yako.

  • @mohamedmuhajiri4690
    @mohamedmuhajiri46903 жыл бұрын

    Nchi inaenda kwa kasi

  • @methuselayusto9708
    @methuselayusto97083 жыл бұрын

    Mungu akulinde rais wetu

  • @williamlucas238
    @williamlucas2383 жыл бұрын

    ",DR. JPM ,RAIS WA WATANZANIA HONGERA SANA KWA MOYO WA UZALENDO"

  • @margarethorgenes4874
    @margarethorgenes48743 жыл бұрын

    Hakika Rais Magufuli Ni mtu mwenye maono ya Hali ya juu Sana. Vyote hufanya kwa hisi za maono ya MUNGU. Ninakuombea kila siku Mungu akupe uhai mrefu.

  • @exaudvahaye8873
    @exaudvahaye88733 жыл бұрын

    Tunakushukuru MUNGU kwa ajili ya Rais huyu Magufuli we love u

  • @deusrobert1343
    @deusrobert13433 жыл бұрын

    Asante sana rais wetu kutuongoza kuelekea nchi ya asali na maziwa🇹🇿🦒

  • @jastinekanjost8073
    @jastinekanjost80733 жыл бұрын

    Dream became true 🙏

  • @lisajema743
    @lisajema7433 жыл бұрын

    Magufuli ni mwanaume asee

  • @badmanwilly1784
    @badmanwilly17843 жыл бұрын

    Hujawah kosea mheshimiwa

  • @zaharaniiddy5572
    @zaharaniiddy55723 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana raisi wetu mpendwa JPM

  • @jescajulius8023
    @jescajulius80233 жыл бұрын

    Nimependa sana hii hongera mzee

  • @cephasalphaxard304
    @cephasalphaxard3043 жыл бұрын

    Kazi zako zitaishi Baba pumzika kwa amani JPM the champion.

  • @gladynicolaus956
    @gladynicolaus9563 жыл бұрын

    Mungu akubariki na akulinde raisi wetu

  • @haroungwiyamabuzohera-jk3vl
    @haroungwiyamabuzohera-jk3vl2 күн бұрын

    Kweli kabisa JPM Alikuwa mtu wa watu. Mwenyezi Mungu akulaze mahala pema peponi.

  • @filbertodilo8035
    @filbertodilo80353 жыл бұрын

    😢😢😢 ingekua ridhaa yangu ungeendelea hadi kifo

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba57623 жыл бұрын

    Anko magu kama hiyo honda kama ipo nkuomba hnipe nifanyie kazi🤣🤣🤣🤣

  • @eischerschwederm7876

    @eischerschwederm7876

    3 жыл бұрын

    🤯

  • @eliufoowiliam8882
    @eliufoowiliam88823 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana na akulinde.

  • @angelqwaray9174
    @angelqwaray91743 жыл бұрын

    Nakupenda sana mh rais wetu Mungu akupe maisha marefu baba nasisi tutaenda one day kutalii huko

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp82243 жыл бұрын

    🔥🇹🇿😜❤️ Mungu akupe maisha maref mkuu

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha8823 жыл бұрын

    Mungu airehemu roho yake hayati Rais John Pombe Magufuli Kwa maono mema Kwa wananchi wa Tanzania.

  • @jpintrospection1315
    @jpintrospection13153 жыл бұрын

    Mungu ibark Tz kw kupta kiongz mweny maon Kam huy

  • @rogatiusscarion726
    @rogatiusscarion7263 жыл бұрын

    Man of the people ✊

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar49053 жыл бұрын

    Duu magu oyeeeeee

  • @rubenisaitoti3612
    @rubenisaitoti36123 жыл бұрын

    Hongera san mungu akulinde

  • @julianacharles6014
    @julianacharles60143 жыл бұрын

    Mungu akubariki Rais wangu 😢

  • @herbertluoga5160
    @herbertluoga51603 жыл бұрын

    We mheshimiwa mungu akulinde

  • @dedankimathi4087
    @dedankimathi40873 жыл бұрын

    Huyu mtu🙏🏿

  • @johnsalyungu1570

    @johnsalyungu1570

    3 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @salvatorsalvation1455
    @salvatorsalvation14553 жыл бұрын

    Goooooooooood

Келесі