Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!

Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
Rais Dkt John Magufuli, leo Desemba 23, anapokea Ndege ya kwanza kati ndege mbili aina ya Air-Bus A220 zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania.
Katika hafla hiyo Rais magufuli amemkabidhi captain wa kwanza wa shirika la ndege kwa kitendo chake cha ujasiri kwa kuruka na ndege kutoka Nairobi hadi Dar es salaam kwa nguvu bila kujali kulipuliwa.
Ndege hiyo imewasiri leo majira ya saa 10:30 jioni na kupokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
#RAISMAGUFULI
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 407

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga9923 ай бұрын

    Daaaaah Jpm alikumbuka watu waliotoa maisha kwa ajili ya Nchi. Jaman 😢😢😢😢😢😢😢.LALA BABA HAKIKA ILE KAULI YA UPENDO WEWE NDO ULIIONESHA DHAHILI.

  • @johnkiyaga1615
    @johnkiyaga16153 жыл бұрын

    We always missing u mzee John pombe joseph magufuli

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga9923 ай бұрын

    Daaaaah JPM 😢😢😢😢 mwamba umelala. Ila roho yako inaishi Baba

  • @blackvirus8740
    @blackvirus87403 жыл бұрын

    Nimelia jaman kwa Furaha😭😭😂😂😂😂R.I.P Rais wetu

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar26194 жыл бұрын

    Hongera Rais magufuli kumkubuka mzee mapunda mzalendo hongera sana rais safi Kenya subutu hakuna wakuwakubuka wazalendo ata ufanye nn utojulikana na yoyote yule family yko tu ndio watakubuka i salute u Mr.orezo bigup muheshimiwa from saudi Arabia

  • @eveimbusi5940
    @eveimbusi59405 жыл бұрын

    Wow congratulations nikawie moja sir Mr Mapunda ukikuja Kenya unirushie Mungu akuongezee mara mia

  • @robinsonrespicius2713
    @robinsonrespicius27134 жыл бұрын

    JOHN MAGUFULI IS THE BREATH OF FRESH AIR , JPM HOYE

  • @keithochieng8805
    @keithochieng88053 жыл бұрын

    My president from another country. May your soul Rest in Perfect Peace!.

  • @samwelmurro3498

    @samwelmurro3498

    3 жыл бұрын

    Amen. Be blessed ndg

  • @viviantenai4599
    @viviantenai45994 жыл бұрын

    Ongera sana rais wa Tanzania kwakua unawatambua mashujaa wa nchi yako nakuwatetea wananchi bila kuwabakua. Naamini kenya mungu atatujalia raisi ambae atakua wa hekima na mwenye roho wa utu 2022 .twakupenda nchini Kenya kwa kazi yako nzuri. Mungu aibariki Tanzania.

  • @rajabusungi5050
    @rajabusungi50504 жыл бұрын

    Mh.yaani kazi yako ni ya tofauti Sana..!! Sijawahi kuona uongozi wa aina hii,super sana mzee

  • @choosenempire7772

    @choosenempire7772

    2 жыл бұрын

    tangia dunia ianzee sijawai onaa this man had a rare character. Stay blessed wherever you are magufuli

  • @tendatanzania9483
    @tendatanzania94835 жыл бұрын

    Hapa mzee MAGUFULI nimekuelewa sana..barikiwa

  • @mohamedakrabi4801
    @mohamedakrabi48013 жыл бұрын

    Much respect to Mr. President. You never forget where we were and those devoted to our country. Capt Mapunda and Mfugale are live examples. May you continue with same spirit and strength. Will continue to pray for you, future leaders and our beloved country. Mungu Ibariki Tanzania.

  • @seadogs4460
    @seadogs44604 жыл бұрын

    Wallahi kweli ni Rais wa watanzania,im so proud of you Mr president,you deserve the 2nd term kuwa Rais wa Tanzania na mungu akubariki,2020 kura yangu wewe chukuwa

  • @peterndossy3008
    @peterndossy30084 жыл бұрын

    Hakika Uncle Magu nakuelewa sana MUNGU Aendelee kukutunza👏👏👏

  • @lauraabass1077
    @lauraabass10774 жыл бұрын

    Yaani mhe Magufuli mie nafurahi ndani ya roho. Hakika umebarikiwa Imani na Fadhila. I cant wait to meet you hakika watapata kigugumzi walotuonea haki yetu mimi na wenzangu. Najua siku itafika Inshallah.

  • @issahhussein1922
    @issahhussein19225 жыл бұрын

    Huyu raisi tutakuja kumkumbuka sana

  • @sakinayusuf5072

    @sakinayusuf5072

    5 жыл бұрын

    Saaanaaaa tena zaidi ya sana

  • @user-os9ul5iu5y

    @user-os9ul5iu5y

    4 жыл бұрын

    Natamani guhamia Tanzania

  • @abdullysige8740

    @abdullysige8740

    3 жыл бұрын

    Tayar tuna mkumbuka

  • @dalaliamanidar3004

    @dalaliamanidar3004

    3 жыл бұрын

    Asee we Jamaa uliona mbali sana asee R.I.P JPM ntakupenda milele

  • @kensaty111

    @kensaty111

    3 жыл бұрын

    Tusha mkumbuka

  • @seraphinembila6745
    @seraphinembila67454 жыл бұрын

    Naipenda tanzania Mungu akubarikisana magufuli

  • @user-je1id1tx1u
    @user-je1id1tx1u5 жыл бұрын

    Sijawahi tuma comment Leo numeguswa baba kwa stahili hii songa mbele daima ni vizuri Sana kukumbuka wazalendo na wahasisi wa nchi hiii nasema asante

  • @hezy7595
    @hezy75953 жыл бұрын

    Safiri salama Baba Magufuli.Mimi mkenya lakini nitakukumbuka sana kwa mfano mwema ulionyesha duniani.God bless you

  • @christinesulle5051

    @christinesulle5051

    3 жыл бұрын

    Safiri salama baba yetu Rais wa Africa yetu Milele utabaki mioyoni mwetu daima J.P.M

  • @seraphinembila6745
    @seraphinembila67454 жыл бұрын

    akika nahamini tanzania mumebarikiwa kiongozi bora duniani raisi anayependa watu wake bila ubaguzi natamani niwe mtanzania ilabasi tena congo inabowa ata raisi wangu anijue

  • @eliaisaya514

    @eliaisaya514

    4 жыл бұрын

    Karibu sana

  • @HP-du9tn

    @HP-du9tn

    3 жыл бұрын

    Poleni

  • @roselinendegwa2158
    @roselinendegwa21583 жыл бұрын

    Waaaw you'll be remembered generation to generation. JPM rest in peace

  • @robertkizito8656

    @robertkizito8656

    2 жыл бұрын

    Rest In peace JPM

  • @agesag.m2476
    @agesag.m24764 жыл бұрын

    Hon Magufuli, hehehehe, I like the way he recognises his patriots one by one.....

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day1093 жыл бұрын

    What a President he was💞 🎩👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @khatibalamin401
    @khatibalamin4015 жыл бұрын

    Apo wadau watatengeneza fursa. Siti ya mapunda atapewa Juma 😤😅😅 ole wenu😣😮😮

  • @josphatkirui7732
    @josphatkirui77325 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂,hapo nakubali Makufuli!,unawakumbuka kule mumetoka.Mungu akubariki !.

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын

    nawapenda Sana wazalendo woteee, TANZANIA kwanza kwani huwezi jua kesho Asante JPM Asante mzee mapumda

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley41605 жыл бұрын

    Mzee naomba tusaidie sisi , kwa safari za ndani nauli iwechini kidogo

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe91004 жыл бұрын

    Da mimi sijui nisemeje magufuli Mungu akulinde sana kwa kuwakumbuka mashujaa wetu love you saaaaaana Rais wangu magufuli

  • @mmaahsayyid1858
    @mmaahsayyid18585 жыл бұрын

    Raha sanaaar....Ebu Mke wa mapunda aje hapa 😍😍😍😍😍😍

  • @allymohamed3090
    @allymohamed30903 жыл бұрын

    We will forever mic u our president, magufuli "gone but never forgotten"

  • @wanjiruwathuo3643
    @wanjiruwathuo36434 жыл бұрын

    Rais Magufuli Wakenya Twakupenda Bure. ..Hongera Baba Taifa

  • @sebastianngimba4850
    @sebastianngimba48505 жыл бұрын

    dooo miaka mingi sana alipo Iba ndege kule kenya,maRais woote wamepita kimya kama hawamjui,magu kiboko yao mafisaidi.ocd mlinde sana mzee wetu aliyetuibia ndege kenya.

  • @honourableboy6106

    @honourableboy6106

    5 жыл бұрын

    kweli

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy70474 жыл бұрын

    Nani kama huyu Tanzania. Jibu-hakuna Mungu akuone. Amiin

  • @sylvanussebastian6209
    @sylvanussebastian62095 жыл бұрын

    Kwa kweli sion ubaya wako kwa sababu baya moja mazuri 99 lini na saa ngapi nitaona ubaya wako!!!ni wakwanza kulipa fadhira na kumpa mtu heshima anayostahili akiwa bado anaishi hivyo kumfanya mtu ajivunie kuwa mzalendo wa Taiga lake

  • @bosszulu245
    @bosszulu2453 жыл бұрын

    Heaven sent,Mr Maghufuli.

  • @khalfanabdallah5360
    @khalfanabdallah53604 жыл бұрын

    Kiongozi bora ni yule anaewapenda watu wake nawao kumpenda yeye 🇹🇿 twakuombea kila jema na iwe mfano kwa watakao kuja

  • @hassanmpwepwe8258
    @hassanmpwepwe82583 жыл бұрын

    God bless my present jpm god bless Tanzania

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa29624 жыл бұрын

    Nataman awe anasoma comments asee mzee wetu ww Ni binadam wakipekee sana Mungu akupe umri mrefu uzidi kusaidia wanyonge na waliosahaulika

  • @shadjimmy2766
    @shadjimmy27662 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani raisi wangu hakika nina kidonda😭😭😭😭🙏🏻🙏🏻

  • @afandehassan1
    @afandehassan14 жыл бұрын

    Mwenyeezi Mungu akupe afya na umri mrefu rais wa Marais JPM

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Ewe mwenyez MUNGU enderea kuimarisha afya yake raisu wetu

  • @sakinayusuf5072

    @sakinayusuf5072

    5 жыл бұрын

    Aamin

  • @jamesgitahikahuro2443
    @jamesgitahikahuro24434 жыл бұрын

    Magufuli wewe! Mingi akubariki sana. Kuna wengi viongozi hawajali mwingine ila wao na jamii zao wenyewe.

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg19 күн бұрын

    KWELI WASUKUMA TUNAUPENDO.

  • @mohaz612
    @mohaz6125 жыл бұрын

    Kapande za jeshii.....😂😂😂hamna rais kama magufuli namkubali sana mheshimiwa

  • @johnmorrisnyagado6364
    @johnmorrisnyagado63645 жыл бұрын

    I love this.

  • @iconnectafrica1840
    @iconnectafrica18405 жыл бұрын

    Napenda sana kutoka Kenya

  • @hemed4064
    @hemed40644 жыл бұрын

    hahah, eti asiwe anasafiri kila siku, nimecheka mwe...

  • @maasaione6474
    @maasaione64743 жыл бұрын

    God give us another one like this one.The last breed of good African leader

  • @christopherowino1816
    @christopherowino18165 жыл бұрын

    Global TV, pia mubarikiwe kwa kazi mzuri,

  • @sulaimankalisa7247
    @sulaimankalisa72473 жыл бұрын

    Kind hearted president RIP@JPM u will always be remembered dear

  • @shammoha5297
    @shammoha52975 жыл бұрын

    MashaAllah. Safi kabisa!😘🤩🤗👍

  • @josphatmichori1455
    @josphatmichori14553 жыл бұрын

    Lala salama Magufuli 🙏

  • @muganziivankaganzi.7300
    @muganziivankaganzi.73005 жыл бұрын

    Asante Sana mshimiwa

  • @nickyrude5766
    @nickyrude57665 жыл бұрын

    wat do we have to do to get such leaders??? much love from +254

  • @e.jack.47
    @e.jack.473 жыл бұрын

    Rewarding experience and merit promote n provokes patriotism

  • @ukombozimiracle8332
    @ukombozimiracle83324 жыл бұрын

    Tanzania tuna kila sababu kumshukulu Mungu kwa Ris alie tupatia

  • @lomulendavid8283
    @lomulendavid82834 жыл бұрын

    Always excellent

  • @ramadhanimsuya842
    @ramadhanimsuya8424 жыл бұрын

    Maguful you are the best

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g4 жыл бұрын

    DAH : MZEE HUJA TEGEMEA HATA NDOTONI

  • @jumbeink3173

    @jumbeink3173

    4 жыл бұрын

    Dah sio mchezo

  • @Mburu_FX
    @Mburu_FX5 жыл бұрын

    10m za tz ni laki 5 za Kenya..pesa yenye tunakuywa usiku moja hapa Nairobi

  • @endruwguzula5993

    @endruwguzula5993

    5 жыл бұрын

    acha ushoga wewe unywe usiku mmoja wakt hela zenu wanagawana mafisadi nchi yenyewe wameshagawa watu wachachee acha ufala ongea kam mtu timam

  • @endruwguzula5993

    @endruwguzula5993

    5 жыл бұрын

    watu wenyewe mmejaa ukabila mnajifanya mmesoma ila ujinga waukabila hauwaishi maandazi nyie

  • @endruwguzula5993

    @endruwguzula5993

    5 жыл бұрын

    @Tafari Kassai acheni ukabila kwanza ndomuongee nasisi nyie mnaujinga waasili hata msome mpaka yesu arudi hilo halitawatoka

  • @benjaminikijanhomi2034

    @benjaminikijanhomi2034

    5 жыл бұрын

    Ko haujaona maana ya uyo mtu kupewa M10 ama izo laki tano za Kenya?? Lengo hapo si hela Bali ni mcctizo wa watu wajitoe kwa moyo katika kazi upo??

  • @lavenderlucy3444
    @lavenderlucy34445 жыл бұрын

    Nakupenda tu bure raise makafuli

  • @sylvestermsafiri4372
    @sylvestermsafiri43725 жыл бұрын

    Kwa kweli anastahili sana huyu mzee kupata tuzo na heshima hiyo!

  • @ellyayieko357
    @ellyayieko3573 жыл бұрын

    In my country the ones who would be entrusted with guarding the man would be the first to betray him

  • @yagadizzo8632
    @yagadizzo86323 жыл бұрын

    We will miss u forever😢😢😢😢😢

  • @christopherowino1816
    @christopherowino18165 жыл бұрын

    Magufuli, nadhani mungu anakutumia kwa njia ya kuing'arisha TV, nitakuita Musa aliye ongoza manaisraeli jangwani.

  • @manselimartni5608
    @manselimartni56085 жыл бұрын

    Mzee mapunda anza safari moja kupanda Air bus kwenda ughaibuni Ila hongera sana Mr presdaaa

  • @saloujohn3639
    @saloujohn36395 жыл бұрын

    Hhehehehehe Mzee mapunda wa kwetu songea ,mjomba magu asante sana kwa kazi nzuri

  • @wanjauanthony9582

    @wanjauanthony9582

    5 жыл бұрын

    Hii ni pesa ya raia, angetunzwa kwa meadli wala si pesa.

  • @halisiaisaya7832
    @halisiaisaya78325 жыл бұрын

    Mungu hakubariki Rais wetu

  • @saalimmohammed3256

    @saalimmohammed3256

    5 жыл бұрын

    Halisia Isaya : complicated speech or bad writing " hakubariki".

  • @user-fi9ot6xk8l
    @user-fi9ot6xk8l4 ай бұрын

    Mungu amrehem jpm

  • @omarmsellem9969
    @omarmsellem99694 жыл бұрын

    Hongera magu saluti

  • @chechelawasafi3409
    @chechelawasafi34095 жыл бұрын

    Bonge moja la Rais atokuja tokea kama ww

  • @missmoresa8854

    @missmoresa8854

    5 жыл бұрын

    na kweli wengine tulikuwa atujui leo tumejua abarikiwe sana

  • @edwinshigongo3213

    @edwinshigongo3213

    4 жыл бұрын

    Nakubaliana nawew

  • @kennedykenney8201
    @kennedykenney82015 жыл бұрын

    Brother,you are the best president l have seen in Africa,may God bless you.we are live in diaspora supervising what's up in Africa mama,keep the candles burning

  • @lavenderlucy3444

    @lavenderlucy3444

    5 жыл бұрын

    Amen amen

  • @cyrilmarish6263

    @cyrilmarish6263

    5 жыл бұрын

    supervising so that you do what with that supervision report?

  • @zachariahtomemba9070
    @zachariahtomemba90703 жыл бұрын

    Hongera Sana Mtukufu Rais

  • @sengendotwaha9333
    @sengendotwaha93335 жыл бұрын

    Thx Mr president

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Ewe mwenyez MUNGU mkuu zidi kuturindia raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @joshuasabasi3118

    @joshuasabasi3118

    5 жыл бұрын

    Athuman Omary mungu wa mabomu au

  • @malikamanara4076
    @malikamanara40765 жыл бұрын

    🤣🤣🤣mi ndio maana nakupenda mzee magu .mungu akubariki raisi wangu akunusuru na maaduwi na mungu aibariki tanzania na mungu ambariki mzee wetu mapunda .inaonyesha jinsi gani wazee wetu makomandoo .na huo ndio uzalendo . 🤣🤣🤣 wanafki mmeiyoona eeh mtapata tabu sanaaa

  • @barakaakyoo1905
    @barakaakyoo19054 жыл бұрын

    Nimefrayi Sana ila nawew mzemapunda usiwe unasafiri kila siku

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo17125 жыл бұрын

    Nimegundua kit kwa Bab Magu ni Rais anaei wataft watu waliosahauliwa ambao walifany kazi ngum San katk Kuwa Wazalendo wa nchi yao Honger San kiongoz unae jali wanyonge walio sahauliw

  • @kamugishajackson5501

    @kamugishajackson5501

    4 жыл бұрын

    Umeonae

  • @karhikalembo3014
    @karhikalembo30145 жыл бұрын

    Naomba Mapunda aje atembeleye Majeshi ya Congo na Wafanya siasa wa Congo, pia na wewe Magufuli, Ubaya gani tunayo kwako? kuje tembeleya DRC tunakupenda!!!! na Uchunge kijana wako Felix...

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila22333 жыл бұрын

    Mimi nazani maombolezo yangu yatakuwa tofauti ni ya milele mpaka mungu na mimi atakapo ni chukua nilimpenda sana magufuli my president

  • @mathewbahati2831

    @mathewbahati2831

    3 жыл бұрын

    Alikuwa kiongozi wa kugusa mioyo ya watu sana. Alipenda nchi yake na watu wake

  • @gibsonndegwa9205
    @gibsonndegwa92055 жыл бұрын

    Hilikuwa ndege ya East African community wakati muungano ulifunyika

  • @enosokothetyang
    @enosokothetyang3 жыл бұрын

    Wooow! John Pombe Joseph Magufuli! Lala pema baba!

  • @frankjulius7978
    @frankjulius79783 жыл бұрын

    Nakukubali sana mh Rais wangu

  • @happypro3212
    @happypro32125 жыл бұрын

    I love so much the tanzanian president Magufuli

  • @langatouch4677
    @langatouch46773 жыл бұрын

    Kwaungozi wako jpm Mimi najitoa.kwenye uzarendo mpaka ujuee maanaa ya democracia na.bado utakamatwa wewe. Jpm pombe mbovu toatoa hizo kodi zetu wa tz unajifanya zako utakufa kama nkurunzinza wa.Burundi utafatia wewe jpm ameni mungu yupo amina

  • @wolfhelmgothom6641
    @wolfhelmgothom66415 жыл бұрын

    Akina Mapunda Kama mm mikono Juu

  • @loner_wolf

    @loner_wolf

    4 жыл бұрын

    Tupo

  • @richardburengengwa6998
    @richardburengengwa69982 жыл бұрын

    Mfanya wema hadumu ukiwa na MA Rais 10 kama magufuli Africa inageuka Europe onetime within 10 years ruling the countries

  • @friminamkenda7405
    @friminamkenda74053 жыл бұрын

    Umenifurahisha rais 💃💃💃💃💃

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo74203 жыл бұрын

    Baada ya kuangalia hii Me going to search on KZread:mapunda alivyoiba ndege KZread respond:No result found hahahaaaaaaaa

  • @hassanjongo403
    @hassanjongo4035 жыл бұрын

    👍👍👍👍

  • @alexmaige1450
    @alexmaige14503 жыл бұрын

    Dah, barikiwa raisi wetu

  • @mwangiirungu3670
    @mwangiirungu36705 жыл бұрын

    Ndege nini ilifanya ???? As in nini tulikuwa tunaulizania na maneighbours??

  • @amirjumbe7872
    @amirjumbe78725 жыл бұрын

    Ofa ningeipta Mimi hii,,, brake first south Afric,,, Lunch Etheopia Dina Dubai kula bata kongo shoping America,,, mzee tumia ofa vizuri hiyo Ila ukipanda Ratco utachajiw nauli wee ndege......

  • @suleymanally4729
    @suleymanally47294 жыл бұрын

    Mama mapunda!! 😂😂😂😂😂

  • @OmanOman-hr6cb

    @OmanOman-hr6cb

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣Nimecheka mpka nataka kujamba

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65246 ай бұрын

    Daaaah eh mungu

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns1473 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂watani zake Magu unaweza kuta ameoa mke mdogo, na kweli anamke mdogo 😂😂😂😂🙌

  • @edwinshigongo3213
    @edwinshigongo32134 жыл бұрын

    Magufuli tawala daima

  • @fundieddy3490
    @fundieddy34905 жыл бұрын

    Rais Magufuli ni ZAIDI ya MARAIS WOTE. NINAMPENDA SANA.

  • @eriqueettours6011

    @eriqueettours6011

    5 жыл бұрын

    La..hiyo hela nairobians masaaa mawili wamemaliza ijummaa

  • @mohammedzahiry5889

    @mohammedzahiry5889

    3 жыл бұрын

    Uongoz wa Nyerere umexhuhudia?

  • @mohammedzahiry5889

    @mohammedzahiry5889

    3 жыл бұрын

    Uongoz wa Nyerere umexhuhudia?

  • @mguuwangutv1979
    @mguuwangutv19795 жыл бұрын

    well done our president Dr John Joseph Pombe Maghufuli

  • @elisantemollel3525
    @elisantemollel35255 жыл бұрын

    Taarifa ya habari

Келесі