Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
Rais Dkt John Magufuli, leo Desemba 23, anapokea Ndege ya kwanza kati ndege mbili aina ya Air-Bus A220 zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania.
Katika hafla hiyo Rais magufuli amemkabidhi captain wa kwanza wa shirika la ndege kwa kitendo chake cha ujasiri kwa kuruka na ndege kutoka Nairobi hadi Dar es salaam kwa nguvu bila kujali kulipuliwa.
Ndege hiyo imewasiri leo majira ya saa 10:30 jioni na kupokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
#RAISMAGUFULI
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 407
Daaaaah Jpm alikumbuka watu waliotoa maisha kwa ajili ya Nchi. Jaman 😢😢😢😢😢😢😢.LALA BABA HAKIKA ILE KAULI YA UPENDO WEWE NDO ULIIONESHA DHAHILI.
We always missing u mzee John pombe joseph magufuli
Daaaaah JPM 😢😢😢😢 mwamba umelala. Ila roho yako inaishi Baba
Nimelia jaman kwa Furaha😭😭😂😂😂😂R.I.P Rais wetu
Hongera Rais magufuli kumkubuka mzee mapunda mzalendo hongera sana rais safi Kenya subutu hakuna wakuwakubuka wazalendo ata ufanye nn utojulikana na yoyote yule family yko tu ndio watakubuka i salute u Mr.orezo bigup muheshimiwa from saudi Arabia
Wow congratulations nikawie moja sir Mr Mapunda ukikuja Kenya unirushie Mungu akuongezee mara mia
JOHN MAGUFULI IS THE BREATH OF FRESH AIR , JPM HOYE
My president from another country. May your soul Rest in Perfect Peace!.
@samwelmurro3498
3 жыл бұрын
Amen. Be blessed ndg
Ongera sana rais wa Tanzania kwakua unawatambua mashujaa wa nchi yako nakuwatetea wananchi bila kuwabakua. Naamini kenya mungu atatujalia raisi ambae atakua wa hekima na mwenye roho wa utu 2022 .twakupenda nchini Kenya kwa kazi yako nzuri. Mungu aibariki Tanzania.
Mh.yaani kazi yako ni ya tofauti Sana..!! Sijawahi kuona uongozi wa aina hii,super sana mzee
@choosenempire7772
2 жыл бұрын
tangia dunia ianzee sijawai onaa this man had a rare character. Stay blessed wherever you are magufuli
Hapa mzee MAGUFULI nimekuelewa sana..barikiwa
Much respect to Mr. President. You never forget where we were and those devoted to our country. Capt Mapunda and Mfugale are live examples. May you continue with same spirit and strength. Will continue to pray for you, future leaders and our beloved country. Mungu Ibariki Tanzania.
Wallahi kweli ni Rais wa watanzania,im so proud of you Mr president,you deserve the 2nd term kuwa Rais wa Tanzania na mungu akubariki,2020 kura yangu wewe chukuwa
Hakika Uncle Magu nakuelewa sana MUNGU Aendelee kukutunza👏👏👏
Yaani mhe Magufuli mie nafurahi ndani ya roho. Hakika umebarikiwa Imani na Fadhila. I cant wait to meet you hakika watapata kigugumzi walotuonea haki yetu mimi na wenzangu. Najua siku itafika Inshallah.
Huyu raisi tutakuja kumkumbuka sana
@sakinayusuf5072
5 жыл бұрын
Saaanaaaa tena zaidi ya sana
@user-os9ul5iu5y
4 жыл бұрын
Natamani guhamia Tanzania
@abdullysige8740
3 жыл бұрын
Tayar tuna mkumbuka
@dalaliamanidar3004
3 жыл бұрын
Asee we Jamaa uliona mbali sana asee R.I.P JPM ntakupenda milele
@kensaty111
3 жыл бұрын
Tusha mkumbuka
Naipenda tanzania Mungu akubarikisana magufuli
Sijawahi tuma comment Leo numeguswa baba kwa stahili hii songa mbele daima ni vizuri Sana kukumbuka wazalendo na wahasisi wa nchi hiii nasema asante
Safiri salama Baba Magufuli.Mimi mkenya lakini nitakukumbuka sana kwa mfano mwema ulionyesha duniani.God bless you
@christinesulle5051
3 жыл бұрын
Safiri salama baba yetu Rais wa Africa yetu Milele utabaki mioyoni mwetu daima J.P.M
akika nahamini tanzania mumebarikiwa kiongozi bora duniani raisi anayependa watu wake bila ubaguzi natamani niwe mtanzania ilabasi tena congo inabowa ata raisi wangu anijue
@eliaisaya514
4 жыл бұрын
Karibu sana
@HP-du9tn
3 жыл бұрын
Poleni
Waaaw you'll be remembered generation to generation. JPM rest in peace
@robertkizito8656
2 жыл бұрын
Rest In peace JPM
Hon Magufuli, hehehehe, I like the way he recognises his patriots one by one.....
What a President he was💞 🎩👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Apo wadau watatengeneza fursa. Siti ya mapunda atapewa Juma 😤😅😅 ole wenu😣😮😮
😂😂😂😂😂😂,hapo nakubali Makufuli!,unawakumbuka kule mumetoka.Mungu akubariki !.
nawapenda Sana wazalendo woteee, TANZANIA kwanza kwani huwezi jua kesho Asante JPM Asante mzee mapumda
Mzee naomba tusaidie sisi , kwa safari za ndani nauli iwechini kidogo
Da mimi sijui nisemeje magufuli Mungu akulinde sana kwa kuwakumbuka mashujaa wetu love you saaaaaana Rais wangu magufuli
Raha sanaaar....Ebu Mke wa mapunda aje hapa 😍😍😍😍😍😍
We will forever mic u our president, magufuli "gone but never forgotten"
Rais Magufuli Wakenya Twakupenda Bure. ..Hongera Baba Taifa
dooo miaka mingi sana alipo Iba ndege kule kenya,maRais woote wamepita kimya kama hawamjui,magu kiboko yao mafisaidi.ocd mlinde sana mzee wetu aliyetuibia ndege kenya.
@honourableboy6106
5 жыл бұрын
kweli
Nani kama huyu Tanzania. Jibu-hakuna Mungu akuone. Amiin
Kwa kweli sion ubaya wako kwa sababu baya moja mazuri 99 lini na saa ngapi nitaona ubaya wako!!!ni wakwanza kulipa fadhira na kumpa mtu heshima anayostahili akiwa bado anaishi hivyo kumfanya mtu ajivunie kuwa mzalendo wa Taiga lake
Heaven sent,Mr Maghufuli.
Kiongozi bora ni yule anaewapenda watu wake nawao kumpenda yeye 🇹🇿 twakuombea kila jema na iwe mfano kwa watakao kuja
God bless my present jpm god bless Tanzania
Nataman awe anasoma comments asee mzee wetu ww Ni binadam wakipekee sana Mungu akupe umri mrefu uzidi kusaidia wanyonge na waliosahaulika
Pumzika kwa amani raisi wangu hakika nina kidonda😭😭😭😭🙏🏻🙏🏻
Mwenyeezi Mungu akupe afya na umri mrefu rais wa Marais JPM
Ewe mwenyez MUNGU enderea kuimarisha afya yake raisu wetu
@sakinayusuf5072
5 жыл бұрын
Aamin
Magufuli wewe! Mingi akubariki sana. Kuna wengi viongozi hawajali mwingine ila wao na jamii zao wenyewe.
KWELI WASUKUMA TUNAUPENDO.
Kapande za jeshii.....😂😂😂hamna rais kama magufuli namkubali sana mheshimiwa
I love this.
Napenda sana kutoka Kenya
hahah, eti asiwe anasafiri kila siku, nimecheka mwe...
God give us another one like this one.The last breed of good African leader
Global TV, pia mubarikiwe kwa kazi mzuri,
Kind hearted president RIP@JPM u will always be remembered dear
MashaAllah. Safi kabisa!😘🤩🤗👍
Lala salama Magufuli 🙏
Asante Sana mshimiwa
wat do we have to do to get such leaders??? much love from +254
Rewarding experience and merit promote n provokes patriotism
Tanzania tuna kila sababu kumshukulu Mungu kwa Ris alie tupatia
Always excellent
Maguful you are the best
DAH : MZEE HUJA TEGEMEA HATA NDOTONI
@jumbeink3173
4 жыл бұрын
Dah sio mchezo
10m za tz ni laki 5 za Kenya..pesa yenye tunakuywa usiku moja hapa Nairobi
@endruwguzula5993
5 жыл бұрын
acha ushoga wewe unywe usiku mmoja wakt hela zenu wanagawana mafisadi nchi yenyewe wameshagawa watu wachachee acha ufala ongea kam mtu timam
@endruwguzula5993
5 жыл бұрын
watu wenyewe mmejaa ukabila mnajifanya mmesoma ila ujinga waukabila hauwaishi maandazi nyie
@endruwguzula5993
5 жыл бұрын
@Tafari Kassai acheni ukabila kwanza ndomuongee nasisi nyie mnaujinga waasili hata msome mpaka yesu arudi hilo halitawatoka
@benjaminikijanhomi2034
5 жыл бұрын
Ko haujaona maana ya uyo mtu kupewa M10 ama izo laki tano za Kenya?? Lengo hapo si hela Bali ni mcctizo wa watu wajitoe kwa moyo katika kazi upo??
Nakupenda tu bure raise makafuli
Kwa kweli anastahili sana huyu mzee kupata tuzo na heshima hiyo!
In my country the ones who would be entrusted with guarding the man would be the first to betray him
We will miss u forever😢😢😢😢😢
Magufuli, nadhani mungu anakutumia kwa njia ya kuing'arisha TV, nitakuita Musa aliye ongoza manaisraeli jangwani.
Mzee mapunda anza safari moja kupanda Air bus kwenda ughaibuni Ila hongera sana Mr presdaaa
Hhehehehehe Mzee mapunda wa kwetu songea ,mjomba magu asante sana kwa kazi nzuri
@wanjauanthony9582
5 жыл бұрын
Hii ni pesa ya raia, angetunzwa kwa meadli wala si pesa.
Mungu hakubariki Rais wetu
@saalimmohammed3256
5 жыл бұрын
Halisia Isaya : complicated speech or bad writing " hakubariki".
Mungu amrehem jpm
Hongera magu saluti
Bonge moja la Rais atokuja tokea kama ww
@missmoresa8854
5 жыл бұрын
na kweli wengine tulikuwa atujui leo tumejua abarikiwe sana
@edwinshigongo3213
4 жыл бұрын
Nakubaliana nawew
Brother,you are the best president l have seen in Africa,may God bless you.we are live in diaspora supervising what's up in Africa mama,keep the candles burning
@lavenderlucy3444
5 жыл бұрын
Amen amen
@cyrilmarish6263
5 жыл бұрын
supervising so that you do what with that supervision report?
Hongera Sana Mtukufu Rais
Thx Mr president
Ewe mwenyez MUNGU mkuu zidi kuturindia raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@joshuasabasi3118
5 жыл бұрын
Athuman Omary mungu wa mabomu au
🤣🤣🤣mi ndio maana nakupenda mzee magu .mungu akubariki raisi wangu akunusuru na maaduwi na mungu aibariki tanzania na mungu ambariki mzee wetu mapunda .inaonyesha jinsi gani wazee wetu makomandoo .na huo ndio uzalendo . 🤣🤣🤣 wanafki mmeiyoona eeh mtapata tabu sanaaa
Nimefrayi Sana ila nawew mzemapunda usiwe unasafiri kila siku
Nimegundua kit kwa Bab Magu ni Rais anaei wataft watu waliosahauliwa ambao walifany kazi ngum San katk Kuwa Wazalendo wa nchi yao Honger San kiongoz unae jali wanyonge walio sahauliw
@kamugishajackson5501
4 жыл бұрын
Umeonae
Naomba Mapunda aje atembeleye Majeshi ya Congo na Wafanya siasa wa Congo, pia na wewe Magufuli, Ubaya gani tunayo kwako? kuje tembeleya DRC tunakupenda!!!! na Uchunge kijana wako Felix...
Mimi nazani maombolezo yangu yatakuwa tofauti ni ya milele mpaka mungu na mimi atakapo ni chukua nilimpenda sana magufuli my president
@mathewbahati2831
3 жыл бұрын
Alikuwa kiongozi wa kugusa mioyo ya watu sana. Alipenda nchi yake na watu wake
Hilikuwa ndege ya East African community wakati muungano ulifunyika
Wooow! John Pombe Joseph Magufuli! Lala pema baba!
Nakukubali sana mh Rais wangu
I love so much the tanzanian president Magufuli
Kwaungozi wako jpm Mimi najitoa.kwenye uzarendo mpaka ujuee maanaa ya democracia na.bado utakamatwa wewe. Jpm pombe mbovu toatoa hizo kodi zetu wa tz unajifanya zako utakufa kama nkurunzinza wa.Burundi utafatia wewe jpm ameni mungu yupo amina
Akina Mapunda Kama mm mikono Juu
@loner_wolf
4 жыл бұрын
Tupo
Mfanya wema hadumu ukiwa na MA Rais 10 kama magufuli Africa inageuka Europe onetime within 10 years ruling the countries
Umenifurahisha rais 💃💃💃💃💃
Baada ya kuangalia hii Me going to search on KZread:mapunda alivyoiba ndege KZread respond:No result found hahahaaaaaaaa
👍👍👍👍
Dah, barikiwa raisi wetu
Ndege nini ilifanya ???? As in nini tulikuwa tunaulizania na maneighbours??
Ofa ningeipta Mimi hii,,, brake first south Afric,,, Lunch Etheopia Dina Dubai kula bata kongo shoping America,,, mzee tumia ofa vizuri hiyo Ila ukipanda Ratco utachajiw nauli wee ndege......
Mama mapunda!! 😂😂😂😂😂
@OmanOman-hr6cb
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Nimecheka mpka nataka kujamba
Daaaah eh mungu
😂😂😂😂😂watani zake Magu unaweza kuta ameoa mke mdogo, na kweli anamke mdogo 😂😂😂😂🙌
Magufuli tawala daima
Rais Magufuli ni ZAIDI ya MARAIS WOTE. NINAMPENDA SANA.
@eriqueettours6011
5 жыл бұрын
La..hiyo hela nairobians masaaa mawili wamemaliza ijummaa
@mohammedzahiry5889
3 жыл бұрын
Uongoz wa Nyerere umexhuhudia?
@mohammedzahiry5889
3 жыл бұрын
Uongoz wa Nyerere umexhuhudia?
well done our president Dr John Joseph Pombe Maghufuli
Taarifa ya habari