MAGUFULI AWASHANGAZA WATU AMGEUKIA BODI GADI WAKE, AMFANYA ATOE LAKI CASH

Пікірлер: 58

  • @khayratmuhamed6730
    @khayratmuhamed67305 жыл бұрын

    Km upo chama tofaut na ccm lkn unamkubal anko magu like yako tafadhali

  • @victorykilindo4288

    @victorykilindo4288

    5 жыл бұрын

    Nimeamua kuamia CCM maana inanikonga moyo

  • @flightclubtanzania1638
    @flightclubtanzania16385 жыл бұрын

    Na wewe umekaa mno kwenye mgongo wangu, na wewe unachangia ngapi?

  • @julihanjosephyjs6361

    @julihanjosephyjs6361

    3 жыл бұрын

    Hayo maji ya kunywa au

  • @issaomarhajj470
    @issaomarhajj4705 жыл бұрын

    Huyu ni rais wa kipekee so Tanzania tu bali duniani

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul17015 жыл бұрын

    I love Magufuli/from Kenya

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh57055 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣ndio mkuje vyama vingine mchangie sio blablaa maendeleo hayana vyama👏👏👏👏wallah rais kauzu eti na ww sio unakaa tuu nyuma yng na ww unachangia ngp . Asante mr president

  • @naamohamed9964

    @naamohamed9964

    5 жыл бұрын

    😃😃😃😃

  • @halimasaidi8311

    @halimasaidi8311

    5 жыл бұрын

    Halima saidi. Yupo vzr raisi wetu

  • @halimasaleh5705

    @halimasaleh5705

    5 жыл бұрын

    halima saidi sanaa nasimama na rais wng

  • @CTM.24Updates
    @CTM.24Updates3 жыл бұрын

    05:50 😂😂😂🏃🏽‍♂️😂Mlinzi wa Rais kanikosha sana daah!! INACHEKESHA japo CHUMA KIMEONDOKA R.I.P#

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi1973 жыл бұрын

    Baba wa kujali wanyonge ameenda huyoo jmn daah alhamdhulillah 😭😭😭😭😭😭😭

  • @jazzymkalitv5535
    @jazzymkalitv55355 жыл бұрын

    Nimecheka kwa sauti kubwa....Kisha nikahisi naonekana Kama chizi vile......😂😂😂😂😂😂

  • @happinessmkambeni8203
    @happinessmkambeni82035 жыл бұрын

    😍😍😍Nampenda sana anko magu yaani natamani hata aiendeshe nchi mpka tuseme bassssssss

  • @noelamtesigwa6819

    @noelamtesigwa6819

    3 жыл бұрын

    Imebaki ndotoo😢😢😭😭😭😭

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge55435 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂magu haki baba kula yangu aijaenda bule

  • @kilirombo4603
    @kilirombo46035 жыл бұрын

    Na wewe unatazama mno sema unachangia ngapi

  • @explorelondon3695
    @explorelondon36953 жыл бұрын

    04:02, I will miss his sense of humour terribly😢🙏

  • @minaside6717
    @minaside67175 жыл бұрын

    Magu ww n kiboko ya watanzania

  • @simonmuga2083
    @simonmuga20835 жыл бұрын

    😁😁😁😁 sema uncle magu kauzu katojolesha hadi bodyguard miksa dereva wake

  • @vj8313
    @vj83135 жыл бұрын

    Hadi bodigadi😁😁 Dah safi sana mkuu wetu Wa nchi,Mungu akutunze

  • @henangokanywanyi7741
    @henangokanywanyi77415 жыл бұрын

    Nimeipenda hiyo

  • @lion_land_safaris
    @lion_land_safaris5 жыл бұрын

    6:26 Kanali kacheka kiana alipoambiwa John Mabogo achangie sijui wanajuana 😂

  • @khayratmuhamed6730
    @khayratmuhamed67305 жыл бұрын

    Ya bwana mpe bwana ya kaizar mpe kaizar # anko magu

  • @tzmny4909
    @tzmny49095 жыл бұрын

    Uyo sio body gad uyo anaitwa mpambe body gad avai magwanda

  • @CTM.24Updates

    @CTM.24Updates

    3 жыл бұрын

    Duh🙏

  • @ramadhanymgahy9130
    @ramadhanymgahy91303 жыл бұрын

    Pumžika kwa amani baba

  • @naamohamed9964
    @naamohamed99645 жыл бұрын

    😃😃😃 anko magu anachekesha

  • @mwanaisharashid7349
    @mwanaisharashid73495 жыл бұрын

    Nimecheka kwa nguvu

  • @suzanampanda6242
    @suzanampanda62425 жыл бұрын

    Kweli nimeamini hali ngumu mbele ya raisi watu wana pledge mapaka laki🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️ tena kutoka kwenye ofisi za selikali na taasisi🤪🤪mimi ni nani hasa nikaone aibu kupredge elfu kumi kwenye michango ya harusi 🙄🙄🙄

  • @fathermore9772

    @fathermore9772

    5 жыл бұрын

    suzana mpanda husomi alama za nyakati wewe ..hatakama mtu anazo izi sio zile nyakati zakutaka sifa zakijinga mbele ya mjomba .....ujifanye unapayuka mihela hapo utajikuta kesho unatakiwa kuzitolea maelezo

  • @shekhhassanshahavanpage6421
    @shekhhassanshahavanpage64215 жыл бұрын

    Haaaaaaaaaaaaa nimechekaaaa maguuu juu

  • @hussein0757
    @hussein07573 жыл бұрын

    Nawewe umekaa mno kwenye mgongo wangu, unachangia ngapi?

  • @greatmangii
    @greatmangii5 жыл бұрын

    4:05

  • @azminahabib7952
    @azminahabib79525 жыл бұрын

    🤣🤣Changa ya lazima upite hivyo hivyo kwa wagonjwa wasio jiweza na wazee angalau wapate msaa🙏🙏🙏

  • @kuchenavhe0028
    @kuchenavhe00285 жыл бұрын

    Weeee joni mapogo njooo hapa uchangie huwez ukakaakaa tu hapa😂😂😂

  • @barakanassoro3503

    @barakanassoro3503

    5 жыл бұрын

    😁😁😁mapogo kamute2

  • @suzanampanda6242
    @suzanampanda62425 жыл бұрын

    😂😂😂 huyo ndio magu

  • @user-eu2zc1nr4f
    @user-eu2zc1nr4f3 жыл бұрын

    Daah..mlinzi anaumia sana

  • @CTM.24Updates

    @CTM.24Updates

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭🗣️😭😭

  • @HadiaMohammed-ec2dn
    @HadiaMohammed-ec2dn2 ай бұрын

    Rais alikuwa chawa wa wamaendleo ❤❤

  • @noelamtesigwa6819
    @noelamtesigwa68193 жыл бұрын

    Kama namuona hiv jaman😢😢

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28085 жыл бұрын

    Huyu nikimnyima kula yangu niwe chizi kula yangu ni yamagu

  • @neemapetro7358

    @neemapetro7358

    5 жыл бұрын

    We we ndio rais hapana chezea uncle mangu pigs kaziiiii

  • @salamamsilu745
    @salamamsilu7455 жыл бұрын

    Magufuli apana chezea kabisaaaaaaaaaaa

  • @RajeshChauhan-wb9pm
    @RajeshChauhan-wb9pm5 жыл бұрын

    Good job rais

  • @jemusiobedi1107
    @jemusiobedi11075 жыл бұрын

    Nice

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72956 ай бұрын

    Mbunge kijana umetoa sana

  • @mdachitv3459
    @mdachitv34595 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod39495 жыл бұрын

    Nawewe umekaa mno kwenye mgongo wangu,, unachangia ngapi?😂😂😂

  • @kinigarm8239
    @kinigarm82395 жыл бұрын

    BAADA ya Muda mrefu UDP yatajwa.

  • @pacsela2566
    @pacsela25663 жыл бұрын

    Nakubali

  • @azizacleny8677
    @azizacleny86775 жыл бұрын

    hahahaha kajua kumshika ananusa mgongo tuu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @gkaniel87

    @gkaniel87

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 naomba namba yako

  • @azizacleny8677

    @azizacleny8677

    5 жыл бұрын

    @@gkaniel87 😂😂😂😂

  • @voicejoachim1370
    @voicejoachim13705 жыл бұрын

    Hahahahahaha

  • @MATHIASMBUZIMBILI
    @MATHIASMBUZIMBILIКүн бұрын

    Tutamkumbuka babaetu magufuli

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee24 күн бұрын

    Who is Here Again June 2024..!?

Келесі