TAZAMA BODYGUARD wa RAIS MAGUFULI ALIVYOINGIA BUNGENI KULETA JINA LA WAZIRI MKUU..

TAZAMA BODYGUARD wa RAIS MAGUFULI ALIVYOINGIA BUNGENI KULETA JINA LA WAZIRI MKUU..
RAIS Dkt John Pombe Magufuli, leo Novemba 12, amemteua mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa, kuwa Waziri Mkuu wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 49

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41593 жыл бұрын

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Kamanda, endelea kulinda Heshima ya Rais wetu wa Tanzania yetu John Pombe Joseph Magufuli

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc3 жыл бұрын

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @alatizosadoki7383
    @alatizosadoki73833 жыл бұрын

    Hongera kamanda kwa kazi ya kumlinda mh magufuli piga kaz

  • @lenatusmbegasi9289
    @lenatusmbegasi92893 жыл бұрын

    Hongera kamanda kwa kazi mzuri ya kumlinda rais wetu mteule kutoka kwa mungu.

  • @khanakwasarahlydia2190
    @khanakwasarahlydia21903 жыл бұрын

    Am going to miss you so much😭😭😭😭😭

  • @karimmkejina980
    @karimmkejina9803 жыл бұрын

    Wanajeshi wananidhamu kweli

  • @constantkossy5968

    @constantkossy5968

    3 жыл бұрын

    Kweli wananizamu

  • @chumizola1847
    @chumizola18473 жыл бұрын

    Hadi raha yaani

  • @jacksonpeter6415
    @jacksonpeter64153 жыл бұрын

    God bless Tanzania

  • @kalistamisanya5544

    @kalistamisanya5544

    3 жыл бұрын

    Safi

  • @tusajigwemathias3758
    @tusajigwemathias37583 жыл бұрын

    Mambo ni motoo

  • @digahg7890
    @digahg78903 жыл бұрын

    Ety mpambe badala ya muwakilishi wa rais

  • @sikanyikafasten375
    @sikanyikafasten3753 жыл бұрын

    President EDGAR LUNGU attending pays tribute to let president John pombe mugafuli

  • @victoriankanue7849
    @victoriankanue78493 жыл бұрын

    Inafurahisha saaana

  • @phylisowino395
    @phylisowino3953 жыл бұрын

    This leadership...mmmh

  • @abburakkaan5694
    @abburakkaan56943 жыл бұрын

    Wewe spika gani unazungumza vitu nonsense MPAMBE......!!

  • @mosesnjenga2767
    @mosesnjenga27673 жыл бұрын

    Huyo si bodyguard,fala nyinyi! Anaitwa Aide-de-camp (ADC), a ceremonial figure fro the military,who acts as the president's assistant...

  • @despnawilliam2889

    @despnawilliam2889

    3 жыл бұрын

    Jmn,wengine hatujui n kutuelewesha tu kwa upendo c mpaka tutukanwe!!

  • @tatubadi9010

    @tatubadi9010

    3 жыл бұрын

    Em tumia lugha nzur fala ww

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.87933 жыл бұрын

    Zitto na mbowe wana pamisi sana apo bungeni 🤣🤣🤣🤣

  • @dennislukumay9261
    @dennislukumay92613 жыл бұрын

    Hongera Sana rais wetuuuuuuuu

  • @ramadhanathumanimbembez9479
    @ramadhanathumanimbembez94793 жыл бұрын

    Simba Love

  • @ellytunduza9900
    @ellytunduza99003 жыл бұрын

    Wezi wakubwa mnatufanyia komedi sisi

  • @anectapaul2464

    @anectapaul2464

    3 жыл бұрын

    Mpinzani mkubwa wewe

  • @abdallahmussa601
    @abdallahmussa6013 жыл бұрын

    John Joseph pombe magufuli hana baya @10 tena

  • @godlovemasamakibatandu2092
    @godlovemasamakibatandu20923 жыл бұрын

    ni mlinzi wa raisi au ADC kuna ujinga wa wananchi sana.body guard na ADC ni sawa? mwanajeshi kashakuwa usalama eeehe

  • @osm721

    @osm721

    3 жыл бұрын

    Aide de Camp right? I though he is not supposed to be involved in any political thing

  • @XXXLEGEN

    @XXXLEGEN

    3 жыл бұрын

    asante kwa kuwaelumisha wasioelewa kwa huyo sio bodyguard/ anaitwa ADC/presidents helper

  • @gilbertemmanuel6891
    @gilbertemmanuel68913 жыл бұрын

    Bunge la ndio2

  • @nassornurdin1290

    @nassornurdin1290

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁

  • @juliusmaina9233
    @juliusmaina92333 жыл бұрын

    Haha ...anaitwa magufuli ... Ati ametuma aide wake wapy!??

  • @mrh2812
    @mrh28123 жыл бұрын

    Daah yan mwanajeshi anamwita mpambe

  • @kassimabdu5677

    @kassimabdu5677

    3 жыл бұрын

    Huyo ni mpambe wa Rais..hicho ndicho kiswahili rasmi kwa muambata wa Rais. Tujifunze.

  • @SampleKiller99

    @SampleKiller99

    3 жыл бұрын

    Una nafasi ya kujifunza zaidi.

  • @dastanfussy4898
    @dastanfussy48983 жыл бұрын

    Mpambe.

  • @nimrodsigulu2053
    @nimrodsigulu20533 жыл бұрын

    Muwe mnaripoti kwa weledi..huyo sio bodyguard wa raisi

  • @happygreyson2071
    @happygreyson20713 жыл бұрын

    Nazipenda Sana hizi mbwembweee.....!! Safiii Tz

  • @aminasuleyman9294
    @aminasuleyman92943 жыл бұрын

    Mikono itawaka moto walah

  • @fahadfaraj1822

    @fahadfaraj1822

    3 жыл бұрын

    Hahaa

  • @gracethomas683

    @gracethomas683

    3 жыл бұрын

    Una nini lkn

  • @gilumbaliza2431
    @gilumbaliza24313 жыл бұрын

    . Z

  • @lirastanley390
    @lirastanley3903 жыл бұрын

    😂😂😂😍😘😘😗😗😗😙nmefurahi kuona anajua kupangilia maneno na kuongea vzur sana bas nampa100% anafaa kuendelea kumlinda mkuu wetu wa nchi mtukufu JPM ...nawapenda sanaaaaaaaaa...piga kazi baba tumekupa kura zote kiroho safi😗😗😗😗

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri44553 жыл бұрын

    😂😂😂 ume wahi kumuamkia mtu ambae hajui hiyo salam,, mh Job Ndugai salam za kijeshi zina mchachafya lakini kwakua ni kiongozi wa nchi lazima apewe heshima ya kijeshi na mwanajeshi,,

  • @geofreylucas9469

    @geofreylucas9469

    3 жыл бұрын

    Yakhh! Hata mm nimeona haelew namna ya kuipokea

  • @sulaymanwaziri4455

    @sulaymanwaziri4455

    3 жыл бұрын

    Yani bora iwekwe sheria kwa hawa viongozi wakuu ktk nchi japo wapewe kozi ya 3 weeks baada ya kuapishwa,, japo ajue kusalimiwa kijeshi ili asiwasumbue wanajeshi watiifu pindi wawasalimiapo,, kama umeangalia vizuri utagundua huyo mlizi wa mh Rais hiyo hali imempa shida mpaka alitaka kuweka hizo barua bila kuzihakiki,, ila kwakua ni mjeshi akakumbuka haraka kuhakiki,, hiyo yote ni kwasababu anamsalimu salam ya kijeshi mtu ambae haijui nae hawezi kuacha kumsalimu kwasababu anatambua ni kiongozi mkubwa ktk nchi

  • @Kenyan_Duke
    @Kenyan_Duke3 жыл бұрын

    Nashangaa Askari kuingia kwenye Bunge la hadhi,,,yeye si Mbunge wala Waziri,,,,Ukiritimba huo wa Rais wenu sababu anahujumu demokrasia ya Taifa haswa Bunge kwa kumtuma Askari,,,daaah!!!!

  • @octaviannyalusi7894

    @octaviannyalusi7894

    3 жыл бұрын

    Huna akili hata robo

  • @luganomwaigomole8849
    @luganomwaigomole88493 жыл бұрын

    MUNGU ANAWAONA PIA

Келесі