HIVI NDIVYO JPM ALIVYOKULA KIAPO CHA RAIS LEO DODOMA
Жүктеу.....
Пікірлер: 108
@radhiasalum71563 жыл бұрын
Hongera Rais wangu. Mola akutangulie kwenye kazi zako🙏🙏
@suleimanhassan6624
3 жыл бұрын
Mungu akumpe mahono yakuifanys kazi yawana hichi kwauuwaminifu nabils ubanhuzi wadin Wala wskabila mungu akpe uzima,
@mariamuseifu30653 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu Rais wetu Inshallah 🙏🙏
@zainabujuma72523 жыл бұрын
Tunakupenda Baba Magufuli go go go Ikulu yako ningekuwa na Amri ningekupa 20 kabisaa
@fredymgina84043 жыл бұрын
Wakwanza leo jmn team jpm like zetu hapa 😍
@karirekinyana97593 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏Asante Mungu Magufuli kweli wewe siomutumishi wawa Tanzania pekee pia wewe nimutumishi wa Mungu Mwenyezimungu akujalie nakukupangufu watuwa Danmark tunagupenda sana Congratulations 🤝🤝🤝🤝🤝
@rehemashabhay22053 жыл бұрын
Mh Rais wangu hongeraaaa sanaaa.mwisho wa yote ushindi tumepata Mungu ni mwema. Alhamdulillah Molla ni muweza wa yote.
@KM-hx8zy3 жыл бұрын
Mwanangu Joseph, Kazi njema na Mungu akutangulie, usibadirike, moyo wako ni mkarimu kwa watu wako. Mungu akushike mkono wake!!
@bernakajoro40833 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde na kukuongoza kiongoz wetu mpendwa ,uliebarikiwa na mungu,mungu awajalie saana viongoz wetu,tunawapenda tunajivunia kuwa na ninyi kwani mfanyanya Mambo makubwa mazur ndani ya nchi hii,tunategemea makubwa Zaid mazur,tunawakubali saana.amina.
@tukuyufm3 ай бұрын
dah, nimemkumbuka sana raisi wangu JPM, pumzika kwa amani
@alexmilalu30313 жыл бұрын
Hongera Rais
@mluziwajini4734 Жыл бұрын
Endelea kupumzika vyema hakuka mwendo umeumaliza
@latifapolena76493 жыл бұрын
Mungu akupiganie
@juliethhouseofdesigns1473 жыл бұрын
Hongera sana Raisi wangu Mungu akusimamie katika utumishi wako.
@uwezowamunguutendaokazi30433 жыл бұрын
AMEN AMEN. MUNGU MKUU AKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS MAGUFULI NA HEKIMA YA MUNGU MKUU IWE JUU YAKO.BARIKIWA MAMA YETU. AMEN.
@annadotto24293 жыл бұрын
Kura yangu haijapotea wa sijakosea kukuchagua, hongera sana Rais wetu Mwenyez Mungu azidi kukulinda, wanaosema wameibiwa walikuwa wap wakat wana ibiwa?
@lilianpabro5511
3 жыл бұрын
Hakika umenena
@johnmasalumasalunjire58873 жыл бұрын
Hongera Magufuli Mungu akuriend
@nkambapunguja15193 жыл бұрын
Mungu akulinde rais wangu Magufuli 🙏🙏🙏
@kusinayusuph39493 жыл бұрын
Hongera Sana Raisi wangu niliekuchagua mwenyewe
@user-un3df1sl2h3 жыл бұрын
Mungu akuweke raisi wetu
@petersabai68013 жыл бұрын
Hegeraw sana mh jhon pombe magufuri kwa ushindi wako
@petershayo522711 күн бұрын
Rest in peace Baba tutakukumbuka milele😭😭
@eliachniyonkuru97973 жыл бұрын
Congratulations DKT JPM GOD be with you!! Voice from Burundi
@uwezowamunguutendaokazi30433 жыл бұрын
Bado nasema yanga wabadili jezi. Hii njano ibaki ya Ccm tu.
@peterandrew27959 ай бұрын
Pole sana baba yangu
@magrethmussa64043 жыл бұрын
Chapa kazi baba tunakuaminia
@sophiamalinga183 жыл бұрын
Mungu ameshamkataa ndio maana kura za wizi zimeonekana bado umelazimisha utangazwe umeshinda hakika Mungu atakupiga mchana kweupe
@josephinanikwelimdacki33303 жыл бұрын
Hongera rais wetu
@lomayanilaiza82053 жыл бұрын
Jemn President of naona unakula kiapo bythewei ngai 2mikia inch vizr
@rumb96913 жыл бұрын
Nyumbani kumenoga 🇹🇿
@deborahdeogratius44473 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki kukulinda na kukutunza
@haithamalharthy68
3 жыл бұрын
Mama SAMIYA ALLAH akubariki na akusaidiye inshaAllah
@ayishaayisha80533 жыл бұрын
Amina yarabi allah akungoze
@christinebelinda34983 жыл бұрын
Congra JPM💝💝💝💝
@teacherd3 жыл бұрын
JINSI YA KUFAULU MTIHANI WAKO BILA KUSOMA kzread.info/dash/bejne/fKhk0cptfs68lpM.html
@raqikhalf64153 жыл бұрын
Utabaki kua raisi wa tanzania hakuna wakukupinga
@haithamalharthy68
3 жыл бұрын
Allah akusaidiye JMP. una apa kwa makini. MUNU akusaidiye
@herieltadeus47223 жыл бұрын
Ongera baba munga akupe hekma kubwa kwa kuongoza taifa letu
@toxicharmful49383 жыл бұрын
Watanzania tutaibiwa mpala mwisho kama kura zinaibiwa nn hakiwezi ibiwa
@melkizedekiwiliam5533
3 жыл бұрын
Kuna uthibitisho wa kuibiwa kura? Au ni kusikia tu ya mtaan
@mrsruweidaabdallah87043 жыл бұрын
Mh hongera tena
@linetwafula71073 жыл бұрын
Rip president magufuli
@sophiamalinga183 жыл бұрын
Watz wamekuonyesha jinsi gani hawakutaki
@user-rd7jt1vi5x
3 жыл бұрын
Kama humtaki ni wewe usiseme Watanzania wote hatumtaki sisi bado tunamhitaji sana wewe nenda kajifungie ndani kwako kimya
@toxicharmful4938
3 жыл бұрын
Walifumbwa ubongo tuwaache watajuta wenyewe
@lilianpabro5511
3 жыл бұрын
Humtak wew c wote
@mrsruweidaabdallah87043 жыл бұрын
Magufuli hoye hongera.
@msstudiosoficial88253 жыл бұрын
ASSANTE SANA
@hafidhchoi31863 жыл бұрын
Kz kz
@lomayanilaiza82053 жыл бұрын
I shall a
@ChangchunRealstateDragon3 жыл бұрын
Pumzika baba
@natariaboniphace71273 жыл бұрын
Kula yangu imenipa furaha.
@phylis14643 жыл бұрын
Leo hii ni marehemu😭😭😭
@rukundoibrahim8073 жыл бұрын
MASHA ALLAH.
@cliffkidd_3 жыл бұрын
R.i.p JPM
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Bora umeziba tundu
@wangariann60443 жыл бұрын
Siningekuwa mtazania aki ama nihame Kenya nije TX huku hakuna upuzi
Allah Hana sifa kama ya binadamu Allah anasamehe mpaka washirikina ambao Allah alisema anasamehe dhambi zote ila ushirikina tu ndie aliahid hatowasamehe washirikina basi kwa hiyo mdomo wako huwezi muingiza mtu motoni Wala peponi angalia yako wewe huna dhambi wewe
@noonelike63823 жыл бұрын
Hv yule CHIBA amehudhuria kweli hii shughuli 😄😄😄😄😆😆😆😆
Hakuna mwanadamu anaekaa kikao na MUNGU juu ya wanadamu chini ya jua
@mangeleoporod2704
3 жыл бұрын
Imeandikwa wapi iyo wewe mwenyewe apo hujui utaenda motoni ama kwenye laha ya milele ndo uhukumu mwenzako
@matendupiterngoge8707
Жыл бұрын
Umefanya kosa kubwa sana kumuhukumu mtu akiwa hai kua yeye nimtu wa motonn nadhani wewe unaweza kua huujui uislamu kabisa unachukua mamlaka ya Allah ya kujua mtu wa motonn na WA peponإسغفرالله يا رجل
@mussahamis13673 жыл бұрын
Amina 5tena
@stevenfabian22083 жыл бұрын
Kama umeona tai ya pink JPM kavaa na wakati akiimba wimbo wa taifa rangi nyingne gonga like
@dogoibrah59023 жыл бұрын
wapili leo jamana samahani sana kwa usumbuf na poleni na kazi ila naomba unisaidie ku subscribe KZread channel yangu na kushare ku comment please jina dogo_ibrah
@josephinanikwelimdacki3330
3 жыл бұрын
Kweli
@dsagagang38023 жыл бұрын
Ushuru wa mbuzi kutoka 3000 hadi 6500 tutaisoma wote
@kiyabolnjemu9646
3 жыл бұрын
Waanbie webzakoooo
@paulbaynet1396
3 жыл бұрын
Na bado yatatukuta sana
@selemanizakarizakaria93713 жыл бұрын
Mashaallah
@toxicharmful49383 жыл бұрын
Kama baba anashinikiza watoto wake wote wawe na vyeo familia gani zinatengenezwa hapo na maendeleo gani yatapatikana bila changamoto mfumo wa vyama vingi unaovunjwa huo tutajuta
@lewismugo4070
3 жыл бұрын
kweli kabisa hakuna vile anataka chama chake tu kwa mbunge hakuna maendeleo.
@lilianpabro5511
3 жыл бұрын
Mtanyooka
@toxicharmful4938
3 жыл бұрын
@@lilianpabro5511 na mamaako pia ngoja tuwaache simnajifanya fyatu
@lilianpabro5511
3 жыл бұрын
@@toxicharmful4938 Et ee c fyatu n tunajielewa nyie mtaponda mwisho mtaacha tu amna jipya hapo tushazoea na mitano tushaampa afu kuhusu mama co unaechat nae plz heshima ifwate mkondo wake
@lewismugo4070
3 жыл бұрын
@@lilianpabro5511 mwenye kuumia ni sisi wanainchi, hii ndunia hakuna inchi iko na chama moja kwa mbunge labda kwa dictator maendeleo hakuna hapo.
Пікірлер: 108
Hongera Rais wangu. Mola akutangulie kwenye kazi zako🙏🙏
@suleimanhassan6624
3 жыл бұрын
Mungu akumpe mahono yakuifanys kazi yawana hichi kwauuwaminifu nabils ubanhuzi wadin Wala wskabila mungu akpe uzima,
Allah akupe maisha marefu Rais wetu Inshallah 🙏🙏
Tunakupenda Baba Magufuli go go go Ikulu yako ningekuwa na Amri ningekupa 20 kabisaa
Wakwanza leo jmn team jpm like zetu hapa 😍
👏👏👏👏👏👏👏👏👏Asante Mungu Magufuli kweli wewe siomutumishi wawa Tanzania pekee pia wewe nimutumishi wa Mungu Mwenyezimungu akujalie nakukupangufu watuwa Danmark tunagupenda sana Congratulations 🤝🤝🤝🤝🤝
Mh Rais wangu hongeraaaa sanaaa.mwisho wa yote ushindi tumepata Mungu ni mwema. Alhamdulillah Molla ni muweza wa yote.
Mwanangu Joseph, Kazi njema na Mungu akutangulie, usibadirike, moyo wako ni mkarimu kwa watu wako. Mungu akushike mkono wake!!
Mwenyezi mungu akulinde na kukuongoza kiongoz wetu mpendwa ,uliebarikiwa na mungu,mungu awajalie saana viongoz wetu,tunawapenda tunajivunia kuwa na ninyi kwani mfanyanya Mambo makubwa mazur ndani ya nchi hii,tunategemea makubwa Zaid mazur,tunawakubali saana.amina.
dah, nimemkumbuka sana raisi wangu JPM, pumzika kwa amani
Hongera Rais
Endelea kupumzika vyema hakuka mwendo umeumaliza
Mungu akupiganie
Hongera sana Raisi wangu Mungu akusimamie katika utumishi wako.
AMEN AMEN. MUNGU MKUU AKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS MAGUFULI NA HEKIMA YA MUNGU MKUU IWE JUU YAKO.BARIKIWA MAMA YETU. AMEN.
Kura yangu haijapotea wa sijakosea kukuchagua, hongera sana Rais wetu Mwenyez Mungu azidi kukulinda, wanaosema wameibiwa walikuwa wap wakat wana ibiwa?
@lilianpabro5511
3 жыл бұрын
Hakika umenena
Hongera Magufuli Mungu akuriend
Mungu akulinde rais wangu Magufuli 🙏🙏🙏
Hongera Sana Raisi wangu niliekuchagua mwenyewe
Mungu akuweke raisi wetu
Hegeraw sana mh jhon pombe magufuri kwa ushindi wako
Rest in peace Baba tutakukumbuka milele😭😭
Congratulations DKT JPM GOD be with you!! Voice from Burundi
Bado nasema yanga wabadili jezi. Hii njano ibaki ya Ccm tu.
Pole sana baba yangu
Chapa kazi baba tunakuaminia
Mungu ameshamkataa ndio maana kura za wizi zimeonekana bado umelazimisha utangazwe umeshinda hakika Mungu atakupiga mchana kweupe
Hongera rais wetu
Jemn President of naona unakula kiapo bythewei ngai 2mikia inch vizr
Nyumbani kumenoga 🇹🇿
Mungu azidi kukubariki kukulinda na kukutunza
@haithamalharthy68
3 жыл бұрын
Mama SAMIYA ALLAH akubariki na akusaidiye inshaAllah
Amina yarabi allah akungoze
Congra JPM💝💝💝💝
JINSI YA KUFAULU MTIHANI WAKO BILA KUSOMA kzread.info/dash/bejne/fKhk0cptfs68lpM.html
Utabaki kua raisi wa tanzania hakuna wakukupinga
@haithamalharthy68
3 жыл бұрын
Allah akusaidiye JMP. una apa kwa makini. MUNU akusaidiye
Ongera baba munga akupe hekma kubwa kwa kuongoza taifa letu
Watanzania tutaibiwa mpala mwisho kama kura zinaibiwa nn hakiwezi ibiwa
@melkizedekiwiliam5533
3 жыл бұрын
Kuna uthibitisho wa kuibiwa kura? Au ni kusikia tu ya mtaan
Mh hongera tena
Rip president magufuli
Watz wamekuonyesha jinsi gani hawakutaki
@user-rd7jt1vi5x
3 жыл бұрын
Kama humtaki ni wewe usiseme Watanzania wote hatumtaki sisi bado tunamhitaji sana wewe nenda kajifungie ndani kwako kimya
@toxicharmful4938
3 жыл бұрын
Walifumbwa ubongo tuwaache watajuta wenyewe
@lilianpabro5511
3 жыл бұрын
Humtak wew c wote
Magufuli hoye hongera.
ASSANTE SANA
Kz kz
I shall a
Pumzika baba
Kula yangu imenipa furaha.
Leo hii ni marehemu😭😭😭
MASHA ALLAH.
R.i.p JPM
Bora umeziba tundu
Siningekuwa mtazania aki ama nihame Kenya nije TX huku hakuna upuzi
@yahyasaid9789
3 жыл бұрын
Comedy tu
Mungu.atawahukumu.hapahapa.duniyani.wauwaji.wakubwa.nyiye.akhera.kwendahebu
@khalifaalmugheiry9232
3 жыл бұрын
Amen
@kiyabolnjemu9646
3 жыл бұрын
Hujui kusoma brooo
@user-rd7jt1vi5x
3 жыл бұрын
Ndugu zako wangapi wameuliwa broo
@matendupiterngoge8707
Жыл бұрын
Wewe umefanya manfapi
@matendupiterngoge8707
Жыл бұрын
Allah Hana sifa kama ya binadamu Allah anasamehe mpaka washirikina ambao Allah alisema anasamehe dhambi zote ila ushirikina tu ndie aliahid hatowasamehe washirikina basi kwa hiyo mdomo wako huwezi muingiza mtu motoni Wala peponi angalia yako wewe huna dhambi wewe
Hv yule CHIBA amehudhuria kweli hii shughuli 😄😄😄😄😆😆😆😆
@rosejoseph2228
3 жыл бұрын
Hahaha hahaha
Shanguwee na vigelegele
Hapa ni Dar ama?
@rosejoseph2228
3 жыл бұрын
Dodoma
Na.mwenyezi.mungu.kashawandalia.makaziyenu.yamilele.motoni
@joshuaandrew386
3 жыл бұрын
Hakuna mwanadamu anaekaa kikao na MUNGU juu ya wanadamu chini ya jua
@mangeleoporod2704
3 жыл бұрын
Imeandikwa wapi iyo wewe mwenyewe apo hujui utaenda motoni ama kwenye laha ya milele ndo uhukumu mwenzako
@matendupiterngoge8707
Жыл бұрын
Umefanya kosa kubwa sana kumuhukumu mtu akiwa hai kua yeye nimtu wa motonn nadhani wewe unaweza kua huujui uislamu kabisa unachukua mamlaka ya Allah ya kujua mtu wa motonn na WA peponإسغفرالله يا رجل
Amina 5tena
Kama umeona tai ya pink JPM kavaa na wakati akiimba wimbo wa taifa rangi nyingne gonga like
wapili leo jamana samahani sana kwa usumbuf na poleni na kazi ila naomba unisaidie ku subscribe KZread channel yangu na kushare ku comment please jina dogo_ibrah
@josephinanikwelimdacki3330
3 жыл бұрын
Kweli
Ushuru wa mbuzi kutoka 3000 hadi 6500 tutaisoma wote
@kiyabolnjemu9646
3 жыл бұрын
Waanbie webzakoooo
@paulbaynet1396
3 жыл бұрын
Na bado yatatukuta sana
Mashaallah
Kama baba anashinikiza watoto wake wote wawe na vyeo familia gani zinatengenezwa hapo na maendeleo gani yatapatikana bila changamoto mfumo wa vyama vingi unaovunjwa huo tutajuta
@lewismugo4070
3 жыл бұрын
kweli kabisa hakuna vile anataka chama chake tu kwa mbunge hakuna maendeleo.
@lilianpabro5511
3 жыл бұрын
Mtanyooka
@toxicharmful4938
3 жыл бұрын
@@lilianpabro5511 na mamaako pia ngoja tuwaache simnajifanya fyatu
@lilianpabro5511
3 жыл бұрын
@@toxicharmful4938 Et ee c fyatu n tunajielewa nyie mtaponda mwisho mtaacha tu amna jipya hapo tushazoea na mitano tushaampa afu kuhusu mama co unaechat nae plz heshima ifwate mkondo wake
@lewismugo4070
3 жыл бұрын
@@lilianpabro5511 mwenye kuumia ni sisi wanainchi, hii ndunia hakuna inchi iko na chama moja kwa mbunge labda kwa dictator maendeleo hakuna hapo.
Hongeraaa jpm
Nyote.mbwa.nyinyi
@mangeleoporod2704
3 жыл бұрын
Acha tabia yakuita watt wawenzako mbwa wewe haujui kuumba hata kuku kwan alie waumba mbona hakuwakosoa
Hii nafasi ya lisu kabsa
@justice607
3 жыл бұрын
😂 😂 😂 Mmeishiwa wapinzan, kwendraaaa lisu akaongoze vichaa wenzake uko 👌👌👌 sio Tz
@josephinanikwelimdacki3330
3 жыл бұрын
@@justice607 kama nafas yake si umpe
@kiyabolnjemu9646
3 жыл бұрын
Umemuona akiapa hapo??? Mashiga mkaape bejium
@paulbaynet1396
3 жыл бұрын
Wazi kabisa hahahaaa
@liutapro
3 жыл бұрын
Kila mmoja ni mchunga na kila mchunga ataulizwa jinsi gani alivyowachunga watu wake, 😭 tuandae majibu siku ya kiama😭
Mungu aku samehe Mna thubutu Kuapa😥😥😥😥😥