Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu
@salimmwanyae9894
4 жыл бұрын
Hata Kenya tunamtambua magu
@omariswafuru93994 жыл бұрын
No comment,Tanzania ,Mwenyezi Mungu ameiibariki kweli kupata Raïs muzuri sana JPM. Furaha sana kumuona na kumusikiliza .Vive JPM.
@johnkillango78504 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wetu najua Mungu atakuwa pamoja nawe baba kwa kazi unazozifanya I love u my President good sanaaaa
@andreashayo62664 жыл бұрын
Respect rais wetu hakika ww ni mtu wa watu
@doricegabriel26104 жыл бұрын
Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu
@frankmosha58544 жыл бұрын
Uyu ndie tuliepewa na mungu ni jambo LA kumshukuru mungu
@dianafyondi32654 жыл бұрын
Raisi nimpendaye JPM viva viva viva JPM. 2020 kura zote chukua.🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏
@isackndaki3059
4 жыл бұрын
Boya unaulizwa shinda yako et mimi salange
@ziadasalim1459
4 жыл бұрын
Hahaha
@lightmbasha64044 жыл бұрын
Mtoto kamwokoa mamake. Kura yangu haikuaribika 👍👍 rais wetu oyeee
@ibrahimuhamzab.71294 жыл бұрын
Ni Bahati Saana kumpata Raisi Ambaye anasikiliza Wananchi wake kama hivi. Mungu ibariki Tanzania , Mmungu mbariki Mh, Raisi John Pombe Magufuli
@thadeiminja18554 жыл бұрын
Ukijichanganya kwa Rais. Imekula kwko
@joycehagman56224 жыл бұрын
Na shukuru mungu aibariki Tanzania na raisi wetu
@abbasally62884 жыл бұрын
Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu
@dominikishilali1944 жыл бұрын
Nakubali sana Mzee wangu ajezi zako izo mabeberu mavi yana gonga chupi mkuu pika kazi baba ni malaisi wachee sana wanao vaa gwanda za kazi
@ahdahmed83834 жыл бұрын
Raisi W angu nakupenda sana tena sana mungu akulinde kwauwezo weke amina
@kenicemkaka28244 жыл бұрын
Yani mheshimiwa mimi binafisi kama ingewezekana ungepewa nchi nahisi tanzania ingekuwa ya heshima sana
@giftnyakipande12534 жыл бұрын
Mungu akutunze rais wangu akuzidishie hekima mara elf moja barikiwa ssna baba
@thegreatsource29533 жыл бұрын
Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪
@seifmohamedseif94674 жыл бұрын
🤣🤣🤣 km umeona rais kaweka mic sikioni na sim pia gonga like
@Mkemia..Kirigiti
4 жыл бұрын
Hhhahhhah nmecheka xana
@salomejohnson346
4 жыл бұрын
@@Mkemia..Kirigiti Haaaaaaa nimecheka sana
@lulually6722
3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆mic sikioni kajisahau
@monicamonica45974 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂eti ukiona maindi Bei kalime yako 😂😂kweli aisee kulima vyauchungu jua Kali Safi Sana mkuu
@suleimanpandu89554 жыл бұрын
Huyu mzuri hajawahi kutokea Tanzania ila chama chake tu ndio sikipendi hata kukiona
@oscarkasalile93674 жыл бұрын
Mzee kwa ukweli Wewe ni m kweli sana. Mungu akubariki Mheshimiwa Rais.
@emmakelvinmeinyi14394 жыл бұрын
Amiri jeshi mkuu wa tz nani hakubali swali
@jackleenmandary26324 жыл бұрын
Jamaa mshenzi huyu unaulizwa una shida gani unajibu utumbo loh dah kweli Kama umeandikiwa umasikini tu mpk mwisho
@walikidali5964 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wa Tz endelea ongoza kwa haki Mungu hupenda haki
@banazoone27444 жыл бұрын
Polepole wanainchi mtamwaga ugali wa Dc
@rahmakatotok34894 жыл бұрын
Nakukubali sana rais wangu mungu akujaliee upite tenaa
@lazarojr89234 жыл бұрын
Mpiga debe kayataka mwenyewe
@selemanhamis4799
4 жыл бұрын
Xana2
@akwillahsegwa69404 жыл бұрын
Uyu baba mungu akampe maisha marefu sanaa na amlinde pia
@aminasalum19544 жыл бұрын
Hii karne mpy kwa watz jmn hizi mambo zakupewa pewa hazikuwepo asante Mungu
@deusdeditswebe89304 жыл бұрын
Mungu akubariki mh Rais
@bonifacepontian13914 жыл бұрын
Duh uyo mama anajua..kuforce mazingira so poah
@subrynerysegerow13234 жыл бұрын
Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠
Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.
@ramadhanindevu60064 жыл бұрын
Amenichekesha magufuli alipoweka simu sikioni na maiki nayo masikioni amenichekesha sana
@stantz1798
4 жыл бұрын
Alitaka watu wasikie kutoka kwenye cm
@merryjulius4098
4 жыл бұрын
Haaha,alisahau jamani.
@saidinhomarwa5575
4 жыл бұрын
Jamaa kweli salange bubu anaulizwa shida nini anasema yeye salange du bora akalime tu.
@mwanaisha522
4 жыл бұрын
Kaweka hiyooo ili watu waliopo hp wasikilie live
@ommylamam1463
4 жыл бұрын
@@mwanaisha522 mmmnh maiki kushoto cm kulia magu noma
@husnamohamed92454 жыл бұрын
Nakupenda sana makufili oyeeeee
@victormushi66414 жыл бұрын
SALANGE UMENIANGUSHA, UJUI HATA SHIDA YAKO NI NINI?
@jeuritv1563 жыл бұрын
Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...
@aminasalum19544 жыл бұрын
Msanvu oyeeee nimepamis
@lindahwazir72094 жыл бұрын
Karibu mikoa mingi tunapewa namba tuu.
@raymondysadick6083 жыл бұрын
Huyu rais ndo maana nampenda bure.
@immaruzige18454 жыл бұрын
Ukiweka simu na mic kwenye masikio unapata vitamini zote
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Yaan ww unautan mbayaaa shida yake c wananchi wawasikie
@lulually6722
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@hamisjahar7564 жыл бұрын
Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana
@alikhamisog34224 жыл бұрын
Jaman tanzania si tunaambiwa n moja sasa kwann huku Zanzibar haakuna chochote jaman
@tanzaniteinzanzibar6655
4 жыл бұрын
ALI KHAMIS, nyie mnajitamba watanzania bara tunakuja Zanzibar kutoa ushamba, eti mna kila kitu... Leo wewe unasema hamna chochote...
@alikhamisog3422
4 жыл бұрын
@@tanzaniteinzanzibar6655 asanta kwa mawazo yako lakin isome tena huo ujumbe wangu utanielewa nn nilimaanisha
Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi
@evcloudjuma97904 жыл бұрын
MIMI naomba Magufuli awe Rais maisha yake yote
@jamesmosha666
4 жыл бұрын
MH
@geoegedonard8548
4 жыл бұрын
Utakua senge co bure aisee
@evcloudjuma9790
4 жыл бұрын
@@geoegedonard8548 #hahah hapana usenge nimeacha Ila huyu jamaa amefanya maisha yamekuwa mazur Sana
@jonaslaiser6273
4 жыл бұрын
Hatamimi
@molasmusa36094 жыл бұрын
Pga kazi mzee
@aminasalum19544 жыл бұрын
Khaa kijana wembona km umelewa tuu acha bangi wew kalime
@mselemsalim19864 жыл бұрын
Axnt Mh.rais wanqu nakupenda xn!
@GloriousRestorationTV4 жыл бұрын
Huyu kweli ni salange, yaani unaulizwa una shida gani Unashindwa hata kusema sina mtaji? Salange oyeeeeee
@pendomkumbo8262
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂loh
@ratifamzima1255
3 жыл бұрын
Yaani roho imeniume San jamani ningekuwa mimi
@magdalinangussa86434 жыл бұрын
Baba jeska anahuruma sana wasukuma ndivyo tulivyo na huruma nampenda sana
Hivi kupiga debe ni kazi? Huwa kuna mwananchi asiyejua ni gari gani atakalopanda limpeleke atakako? Wapiga debe niwazururaji, wezi na wavivu tu. Sukuma wote ndani.
@magdalinangussa86434 жыл бұрын
Baba hataki mchezo huyu napenda atawale miaka yote
@aminasalum19544 жыл бұрын
Kam umemsikia jamaa anasema et hasikii vzr gongalike twende zetu dodom
@ibrasound49434 жыл бұрын
Njoo na kilosa Mh Rais wetu
@mambosasatv97174 жыл бұрын
Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?
@masuseleman9784 жыл бұрын
Hapo mwisho jamaa anasura ngumu.mpaka raisi kamuuliza yy ni miongoni walio ungua Moto😂
@petromtakati2975
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣😅😅😆😁😄😃😃😀😀😃😃😄😃😂😂😂😂😀😀
@maxwellwilliam16634 жыл бұрын
Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap
@salummuhija4435
4 жыл бұрын
Aloo hata mi nimeshangaa badala aombe hata mtaji hats wa Mahindi aachane na usarange yeye anarudisha mkanda nyuma tena!!
@giftnyakipande1253
4 жыл бұрын
Yani ajielewi amenikera kha rais alikua na nia yakumsaidia ila ajaonesha ushirikiano dah
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaa
@ndikumanaally4952
4 жыл бұрын
Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni
@ndikumanaally4952
4 жыл бұрын
Yani Siwezi nikarara bira kutizama Rais watanzania namukubari sana
@sondanzingulasondasam40294 жыл бұрын
Mimi sarangee hahaha hahahaha
@henrykishiwa67554 жыл бұрын
Jamaa kaikosa milioni moja nje nje matako kweli we unaulizwa shida yako unaanza kuongea utumbo utakufa masikini K wewe
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.
@harunimfaume62804 жыл бұрын
Sasahivi maind yako juu sio kwa mkulima bei juu iko kwa waranguzi ambao walinunua bei rahisiiiii leo wanakula faida mala dufuu mkulima hana maZao tena
@wannaproducts
4 жыл бұрын
Umenena uhalisia kabisa, Rais hajui hilo nadhani wasaidizi wake wanapaswa kumueleza kuwa mazao wakati huu yko kwa walanguzi sio wakulima
@allysalum7158
4 жыл бұрын
nyie mlikua wapi kwenda kuyalangua maisha ni hesabu
@wannaproducts
4 жыл бұрын
@@allysalum7158 Aisee
@festosanga1793
4 жыл бұрын
Sasa we ulitaka iweje???! rais apange bei??
@jeradkanyuru57454 жыл бұрын
Kweli atutambata kama wew
@uswizinyanginywa24984 жыл бұрын
Hahaaaa Sarangeee hoyeeeee
@evcloudjuma97904 жыл бұрын
Jaman Nchi jiran wanatuonea kijicho kupata Rais Kama huyu jamani ukiona ww huoni kuwa huyu ni Rais Bora dunian ,haki ya Mungu ww umetoka kuzimu kuja kutugombanisha na mzee wetu.
@suzanemwangingo69324 жыл бұрын
Hata dodoma raisi nida ni shida baba tusaidie.tuna namba tu vitambulisho hakuna
@EREVUKATV4 жыл бұрын
Hahahahahaha haya sasa DC
@fifo2624 жыл бұрын
Love mh wa tz
@britonngale66444 жыл бұрын
This is Magufuli
@japhetisraelsmafie9974 жыл бұрын
Hao wasaidiz wa raisi mnashindwa kumwekea laudi speaker
@davidmartin51974 жыл бұрын
Badala aseme shida yake anasema habar za Simba mtoto
@hopesefue1562
4 жыл бұрын
Yaani ameniudhi amepata nafasi adimu aeleze shida zake Anasema Mimi ni Sarange yaani
@amiryhassan7143
4 жыл бұрын
David Martin sijaona fala kama huyo aliyezungumza mambo ya sarange na Simba mtoto
Chuo cha ualimu morogoro, Mheshimiwa uje utembelee maana...🤐🤐🤐
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Siungeenda ukaongee wenae sasa hapa atakusaidia nani unakwama wapi
@abdillahkhamisally4818
4 жыл бұрын
poa nakuja
@frankmussa1954 жыл бұрын
Ubarikiwe.raisi.wetu
@salumnakauka53554 жыл бұрын
Merci monsieur président.Dieu vous protage.
@evancegerald6281
4 жыл бұрын
Dictetor 1 africa
@julessebintu6525
4 жыл бұрын
salum nakauka on dit Que Dieu te protège non pas te protage
@rajmatola86114 жыл бұрын
Magu raisi wa wanyonge piga kazi babaangu 2ko nyumayako
@nawihadj66744 жыл бұрын
Anasev video arafu unaingariaaa offline ,ngonge like
@madegeommy37794 жыл бұрын
Mbona hao warisha katazwa kupiga debe wana lala mika nini
@suzanemwangingo69324 жыл бұрын
Makao makuu dodoma nida ni shida nani makao makuu .tusaidie raisi wetu
@judithwirth22564 жыл бұрын
The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?
@maidamwaipopo76454 жыл бұрын
Mweshimiwa vitambulisho imekuwa diri sasa ukiwa huna hella upati wanakuzungusha ulete chet vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wengine tulivyo zaliwa wazazi wetu walisha kufa sasa vyeti tuta pata wapi?
@aminahussein54184 жыл бұрын
Jamani uyu rais asitoke madalakani jamani mbaka mungu atakapo mchukua kwamapendekezo yamungu
@tommymmasi78204 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@kibokibosho74764 жыл бұрын
Gonga like kam umeckia kwajina la yesu na la mohamad
Пікірлер: 287
Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu
@salimmwanyae9894
4 жыл бұрын
Hata Kenya tunamtambua magu
No comment,Tanzania ,Mwenyezi Mungu ameiibariki kweli kupata Raïs muzuri sana JPM. Furaha sana kumuona na kumusikiliza .Vive JPM.
Mungu akubariki rais wetu najua Mungu atakuwa pamoja nawe baba kwa kazi unazozifanya I love u my President good sanaaaa
Respect rais wetu hakika ww ni mtu wa watu
Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu
Uyu ndie tuliepewa na mungu ni jambo LA kumshukuru mungu
Raisi nimpendaye JPM viva viva viva JPM. 2020 kura zote chukua.🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏
@isackndaki3059
4 жыл бұрын
Boya unaulizwa shinda yako et mimi salange
@ziadasalim1459
4 жыл бұрын
Hahaha
Mtoto kamwokoa mamake. Kura yangu haikuaribika 👍👍 rais wetu oyeee
Ni Bahati Saana kumpata Raisi Ambaye anasikiliza Wananchi wake kama hivi. Mungu ibariki Tanzania , Mmungu mbariki Mh, Raisi John Pombe Magufuli
Ukijichanganya kwa Rais. Imekula kwko
Na shukuru mungu aibariki Tanzania na raisi wetu
Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu
Nakubali sana Mzee wangu ajezi zako izo mabeberu mavi yana gonga chupi mkuu pika kazi baba ni malaisi wachee sana wanao vaa gwanda za kazi
Raisi W angu nakupenda sana tena sana mungu akulinde kwauwezo weke amina
Yani mheshimiwa mimi binafisi kama ingewezekana ungepewa nchi nahisi tanzania ingekuwa ya heshima sana
Mungu akutunze rais wangu akuzidishie hekima mara elf moja barikiwa ssna baba
Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪
🤣🤣🤣 km umeona rais kaweka mic sikioni na sim pia gonga like
@Mkemia..Kirigiti
4 жыл бұрын
Hhhahhhah nmecheka xana
@salomejohnson346
4 жыл бұрын
@@Mkemia..Kirigiti Haaaaaaa nimecheka sana
@lulually6722
3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆mic sikioni kajisahau
😂😂😂😂😂😂😂eti ukiona maindi Bei kalime yako 😂😂kweli aisee kulima vyauchungu jua Kali Safi Sana mkuu
Huyu mzuri hajawahi kutokea Tanzania ila chama chake tu ndio sikipendi hata kukiona
Mzee kwa ukweli Wewe ni m kweli sana. Mungu akubariki Mheshimiwa Rais.
Amiri jeshi mkuu wa tz nani hakubali swali
Jamaa mshenzi huyu unaulizwa una shida gani unajibu utumbo loh dah kweli Kama umeandikiwa umasikini tu mpk mwisho
Mungu akubariki rais wa Tz endelea ongoza kwa haki Mungu hupenda haki
Polepole wanainchi mtamwaga ugali wa Dc
Nakukubali sana rais wangu mungu akujaliee upite tenaa
Mpiga debe kayataka mwenyewe
@selemanhamis4799
4 жыл бұрын
Xana2
Uyu baba mungu akampe maisha marefu sanaa na amlinde pia
Hii karne mpy kwa watz jmn hizi mambo zakupewa pewa hazikuwepo asante Mungu
Mungu akubariki mh Rais
Duh uyo mama anajua..kuforce mazingira so poah
Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠
@ahmadimikidadihatibu6096
4 жыл бұрын
angetoka na mtaji wake wa karanga hapo
@subrynerysegerow1323
4 жыл бұрын
Ahmadi Mikidadi Hatibu angefungua kiduka mkoba mwenyewe 😂😂😂😂
@sadikimdugi1642
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@beatricedickson605
4 жыл бұрын
😁😁
Ama kweli we ndio jembe mungu akulinde jpm
Mungu atusaidie katika kufanya maamzi.
Mheshimiwa Hawa nida ni shida mheshimiwa
Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.
Amenichekesha magufuli alipoweka simu sikioni na maiki nayo masikioni amenichekesha sana
@stantz1798
4 жыл бұрын
Alitaka watu wasikie kutoka kwenye cm
@merryjulius4098
4 жыл бұрын
Haaha,alisahau jamani.
@saidinhomarwa5575
4 жыл бұрын
Jamaa kweli salange bubu anaulizwa shida nini anasema yeye salange du bora akalime tu.
@mwanaisha522
4 жыл бұрын
Kaweka hiyooo ili watu waliopo hp wasikilie live
@ommylamam1463
4 жыл бұрын
@@mwanaisha522 mmmnh maiki kushoto cm kulia magu noma
Nakupenda sana makufili oyeeeee
SALANGE UMENIANGUSHA, UJUI HATA SHIDA YAKO NI NINI?
Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...
Msanvu oyeeee nimepamis
Karibu mikoa mingi tunapewa namba tuu.
Huyu rais ndo maana nampenda bure.
Ukiweka simu na mic kwenye masikio unapata vitamini zote
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Yaan ww unautan mbayaaa shida yake c wananchi wawasikie
@lulually6722
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana
Jaman tanzania si tunaambiwa n moja sasa kwann huku Zanzibar haakuna chochote jaman
@tanzaniteinzanzibar6655
4 жыл бұрын
ALI KHAMIS, nyie mnajitamba watanzania bara tunakuja Zanzibar kutoa ushamba, eti mna kila kitu... Leo wewe unasema hamna chochote...
@alikhamisog3422
4 жыл бұрын
@@tanzaniteinzanzibar6655 asanta kwa mawazo yako lakin isome tena huo ujumbe wangu utanielewa nn nilimaanisha
@nawihadj6674
4 жыл бұрын
Unataka chochote kip weye
@josephmsuya8124
4 жыл бұрын
Fafanua alii hakua nn
Unaulizwa shida yako unaanza kuongea u K.. Mrugulu kachelewa wapi huyo
Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi
MIMI naomba Magufuli awe Rais maisha yake yote
@jamesmosha666
4 жыл бұрын
MH
@geoegedonard8548
4 жыл бұрын
Utakua senge co bure aisee
@evcloudjuma9790
4 жыл бұрын
@@geoegedonard8548 #hahah hapana usenge nimeacha Ila huyu jamaa amefanya maisha yamekuwa mazur Sana
@jonaslaiser6273
4 жыл бұрын
Hatamimi
Pga kazi mzee
Khaa kijana wembona km umelewa tuu acha bangi wew kalime
Axnt Mh.rais wanqu nakupenda xn!
Huyu kweli ni salange, yaani unaulizwa una shida gani Unashindwa hata kusema sina mtaji? Salange oyeeeeee
@pendomkumbo8262
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂loh
@ratifamzima1255
3 жыл бұрын
Yaani roho imeniume San jamani ningekuwa mimi
Baba jeska anahuruma sana wasukuma ndivyo tulivyo na huruma nampenda sana
Kweli wanyonge tumepata mtetezi
Hahahahahaaaaaa msenge huyo sarange unaulizwa badala useme unahitaji mtaji unasema mim sarange mfyuuu
Raisi mimi ninashida jamani ya kukuona live tuake pekeyetu dakika mbili tu.
@alyhamadi8033
4 жыл бұрын
Uyu jamaa mjinga mkuu wa nchi anakuuriza usaidiwe ww unaaza kusema oooh mm sio mzurulaji
@grfgt1930
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Badala yakuomba mtaji kwa mh raisi unasema sarange boya kweli ww
@seifzongo320
4 жыл бұрын
😀😀😀
@nemricesoka8189
4 жыл бұрын
Hahahha ulikia mawazon mwangu alivyoitwa pale mbele alikua apewe mtaji akazingua na usarange hahahhaa
@lukasochola576
4 жыл бұрын
@@nemricesoka8189 Mtaji ni nini?
@beatricedickson605
4 жыл бұрын
😂😂😂jamn simba mtoto
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Mwenye bahat habahatiki
Kamata masalange wote sukuma ndani pumbavu wamenifanya mm nimeanda gari la ajabu kweli ambalo mm sikupanga.
@judithmichael5155
4 жыл бұрын
Mimi mwenyewe wananiuzi wanakusindikiza mpaka kwenye ngalangala na bei unapigwa vile vile
@beatricedickson605
4 жыл бұрын
😁
@singirankabofabien4640
4 жыл бұрын
😹
wananchi wenyewe wanafki jamaa kaelezea shida wakashanfilia alafu akageuziwa kibao tena wanashangilia mmmmh
Hivi kupiga debe ni kazi? Huwa kuna mwananchi asiyejua ni gari gani atakalopanda limpeleke atakako? Wapiga debe niwazururaji, wezi na wavivu tu. Sukuma wote ndani.
Baba hataki mchezo huyu napenda atawale miaka yote
Kam umemsikia jamaa anasema et hasikii vzr gongalike twende zetu dodom
Njoo na kilosa Mh Rais wetu
Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?
Hapo mwisho jamaa anasura ngumu.mpaka raisi kamuuliza yy ni miongoni walio ungua Moto😂
@petromtakati2975
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣😅😅😆😁😄😃😃😀😀😃😃😄😃😂😂😂😂😀😀
Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap
@salummuhija4435
4 жыл бұрын
Aloo hata mi nimeshangaa badala aombe hata mtaji hats wa Mahindi aachane na usarange yeye anarudisha mkanda nyuma tena!!
@giftnyakipande1253
4 жыл бұрын
Yani ajielewi amenikera kha rais alikua na nia yakumsaidia ila ajaonesha ushirikiano dah
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaa
@ndikumanaally4952
4 жыл бұрын
Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni
@ndikumanaally4952
4 жыл бұрын
Yani Siwezi nikarara bira kutizama Rais watanzania namukubari sana
Mimi sarangee hahaha hahahaha
Jamaa kaikosa milioni moja nje nje matako kweli we unaulizwa shida yako unaanza kuongea utumbo utakufa masikini K wewe
Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.
Sasahivi maind yako juu sio kwa mkulima bei juu iko kwa waranguzi ambao walinunua bei rahisiiiii leo wanakula faida mala dufuu mkulima hana maZao tena
@wannaproducts
4 жыл бұрын
Umenena uhalisia kabisa, Rais hajui hilo nadhani wasaidizi wake wanapaswa kumueleza kuwa mazao wakati huu yko kwa walanguzi sio wakulima
@allysalum7158
4 жыл бұрын
nyie mlikua wapi kwenda kuyalangua maisha ni hesabu
@wannaproducts
4 жыл бұрын
@@allysalum7158 Aisee
@festosanga1793
4 жыл бұрын
Sasa we ulitaka iweje???! rais apange bei??
Kweli atutambata kama wew
Hahaaaa Sarangeee hoyeeeee
Jaman Nchi jiran wanatuonea kijicho kupata Rais Kama huyu jamani ukiona ww huoni kuwa huyu ni Rais Bora dunian ,haki ya Mungu ww umetoka kuzimu kuja kutugombanisha na mzee wetu.
Hata dodoma raisi nida ni shida baba tusaidie.tuna namba tu vitambulisho hakuna
Hahahahahaha haya sasa DC
Love mh wa tz
This is Magufuli
Hao wasaidiz wa raisi mnashindwa kumwekea laudi speaker
Badala aseme shida yake anasema habar za Simba mtoto
@hopesefue1562
4 жыл бұрын
Yaani ameniudhi amepata nafasi adimu aeleze shida zake Anasema Mimi ni Sarange yaani
@amiryhassan7143
4 жыл бұрын
David Martin sijaona fala kama huyo aliyezungumza mambo ya sarange na Simba mtoto
😗from 🇧🇮
Kweli jua kali mheshimiwa duuh 😂😂
@zachaamasta3298
4 жыл бұрын
#nakukubali raixi magufuli
kzread.info/dash/bejne/ZYSCu5NrlsTFYLw.html kuepuka wadukuaji( Hackers) usisahau kusubscribe
Good. Jp
Uwiiii we mama me staki kupata kufuru
Unaacha kusema nashida namtaji unasema Mimi sarange wewe kweli zoba
Chuo cha ualimu morogoro, Mheshimiwa uje utembelee maana...🤐🤐🤐
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Siungeenda ukaongee wenae sasa hapa atakusaidia nani unakwama wapi
@abdillahkhamisally4818
4 жыл бұрын
poa nakuja
Ubarikiwe.raisi.wetu
Merci monsieur président.Dieu vous protage.
@evancegerald6281
4 жыл бұрын
Dictetor 1 africa
@julessebintu6525
4 жыл бұрын
salum nakauka on dit Que Dieu te protège non pas te protage
Magu raisi wa wanyonge piga kazi babaangu 2ko nyumayako
Anasev video arafu unaingariaaa offline ,ngonge like
Mbona hao warisha katazwa kupiga debe wana lala mika nini
Makao makuu dodoma nida ni shida nani makao makuu .tusaidie raisi wetu
The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?
Mweshimiwa vitambulisho imekuwa diri sasa ukiwa huna hella upati wanakuzungusha ulete chet vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wengine tulivyo zaliwa wazazi wetu walisha kufa sasa vyeti tuta pata wapi?
Jamani uyu rais asitoke madalakani jamani mbaka mungu atakapo mchukua kwamapendekezo yamungu
🔥🔥🔥
Gonga like kam umeckia kwajina la yesu na la mohamad
Ningepata bahat hiyo Mimi ningeomba mil 3000
Sana baba