Mhe.Magufuli anakutana na swali bungeni baada ya kuondoka kwa mkandarasi anayejenga barabara ya Dodoma kwenda Mayamaya tangu 2011.
Жүктеу.....
Пікірлер: 72
@moemussa52123 жыл бұрын
Kuna Watu Tumerudi Kumkumbuka JPM RIP Mzee Baba
@edisonkashaija40673 жыл бұрын
Mungu mkubwa sana, tunakushukuru mungu kwa kutuletea mtu huyu walau nasi tumemtumia kwa kuasi kilichokupendeza, Amina mpokee muweke mahali pema peponi
@OverdozClassic3 жыл бұрын
Nimefika hapaa baada ya kifo 😭😭
@Mohamedkasim2
3 жыл бұрын
Hata mm
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@homeboybeyondtheborders4935
3 жыл бұрын
We citizen live his dreams forever
@edisonkashaija40673 жыл бұрын
Mungu akupokee akusamehe dhambi zako na akuweke mahali pema peponi🙏🙏🙏
@jamesthomas390jj3 жыл бұрын
Ukisikiliza haya majibu yake, kuna sehemu anasema hela zilikosekana za kumlipa mkandarasi ndo maana ujenzi ukasimama kwa muda. Saa hizi chini ya uongozi wake hakuna hicho kisingizio ndio maana mkandarasi akizingua tu kinawaka. Hongera sana JPM
@neozoran244 Жыл бұрын
Greatest Of All Time (G.O.A.T) ❤️💪
@sonkosolembasimba8213 жыл бұрын
Knowledge gives you a confidence.
@zabroncharles30223 жыл бұрын
Fallen hero, son of the land
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
Daaaa jamani nimefika hapa baada ya kufariki R..I.P baba tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi heri wafu wafao ktk Bwana na matendo yao huwafuata.Hakika matendo yako yamekufuata.
@enocjim69503 жыл бұрын
RIP John pombe magufuli
@nicken32503 жыл бұрын
Dahh.. Noma Sana. RIP
@pamojacomedytv75632 жыл бұрын
Pumzika kwaamani baba yetu😭😭😭😭😭🤲🙏🙏🙏🙏
@emmanuelmkeba79013 жыл бұрын
Huyu jamaa hata hapo alipokuwa akiongea yaani unaona Kama cheo hicho kilikuwa kidogo kwake yaani alishauvaa uraisi muda mrefu tu hapo ni Waziri lakini Kama vile raisi
@martinswai8031
3 жыл бұрын
Sauti ya mamlaka
@yusufuheri6524
3 жыл бұрын
Yahni
@mayalamasuka8983
3 жыл бұрын
Uko sahihi kabsa
@issazakaria8633 жыл бұрын
Buriani mzee magufuri
@feisaltamimi62315 жыл бұрын
huyu jamaa kweli ni mchapa kazi tangu zamani
@nyutwaclassic5 жыл бұрын
Mungu akulinde mh. Dkt JPM HAPA KAZI 2
@mussanganda5052 жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema pepponi,tulikupenda lkn Mungu kakupenda zaidi,
@calmandrelaxationessential24073 жыл бұрын
Daaah, tumebaki na videos zake tu 😒😒😒, RIP Magufuli
@hassanjr53183 жыл бұрын
Ukiona unasifiwa sana baada ya kufa .....jua huyu mtu alikuwa mzuri na haki inadhihirika mara nyingi mara baada ya kufa ....watu wengi wazuri uzuri wao hujulikana na kusifiwa baada ya kufa mfano Ruge mutahaba, Gaddafi , ss magufuli
@mosesmussa36694 жыл бұрын
Big up Mzee baba
@princepiusmutaihwa96063 жыл бұрын
Apokelewe ktk makao ya milele
@majidomar47705 жыл бұрын
Nakupenda kwa kuwa unaipenda lugha yetu ila plz chukuwa juuhudi ya maksudi kukuza kiswahili
@athumanimtorya2513
5 жыл бұрын
Majid Omar the first place to
@stephanokigosi6563 жыл бұрын
upumzike dr JPM
@elishazahabu36006 жыл бұрын
Huyo saivi ni muheshimiwa Raisi
@procazorla2027
3 жыл бұрын
Saivi ni Buriani 😭😭😭😭
@benardomari58633 жыл бұрын
RIP
@mwamengele3 жыл бұрын
RIP MWAMBA
@officialdesigner55563 жыл бұрын
Pumzika kwa amani JPM wew sio kiongoz tu pia ulikuwa mtumishi mwema
@msalabanireko15182 жыл бұрын
Akik mungu ana makusudi yke
@temkezatv43813 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@madetetv6576
3 жыл бұрын
Badilisha sasa
@mohamedmnjeja14293 жыл бұрын
Mwamba way back
@eliudmaster21753 жыл бұрын
Naam
@joymsupagladysijeya83843 жыл бұрын
Sijui bona m2 akifa tuna Anza kufutilia nikiwa mmonja wao napitia video zake 😭😭Rip
@junioryasin5306
3 жыл бұрын
Wanasema ishi upondwe kufa usifiwe
@joymsupagladysijeya8384
3 жыл бұрын
@@junioryasin5306 kabisa Aki
@emanuelnyab98722 жыл бұрын
Buriani kamanda pumzika kwa amani
@msafiriomary8933 ай бұрын
Mpaka reo haijaisha jpm hayupo kira kitu hovyo busy kuiba pesa
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Kumbe barabara ya Mpwampwa ilianza kujengwa toka 2013, Dada yangu nataka utambue mpaka Leo 2021 bado haijakamilika,,,,,,,,na hakuna dalili ya kumalizika mwaka huu!
@herielstephenmsanga
4 ай бұрын
Hii ni 2024 na bado haijamalizika😮
@user-kf6tz1px6f4 ай бұрын
Wengine tulimjua mapema na kwa maana hiyo hatushangai kwa kilichotokea maana alia mini katika ukweli.
@flownluvanda52635 жыл бұрын
Hili jembe kweli kweli ndomana Rais wetu
@magigegeofrey45073 жыл бұрын
Rip magufuli
@alfonsimwalongo91642 жыл бұрын
Jamaaa alikuwa anasoma sana yani
@mohamedturanardan88713 жыл бұрын
Professional killer na mtesaji mkuu
@frankstarstz4703 жыл бұрын
Mueshimiwa magu
@paulmangana42633 жыл бұрын
RIP #JPM.bye #Daddy
@mr.machange13772 жыл бұрын
Daaah
@yohanabuluba13182 жыл бұрын
Hogera Sana
@issackdauda50712 жыл бұрын
R.i.p jpm
@johnkapesula1222 жыл бұрын
Laaah JPM
@platnumzkawiche18613 жыл бұрын
john pombe joseph ulale salama umetuacha imara
@maltinngua66406 жыл бұрын
noma nomaa
@stn48735 жыл бұрын
chuuumaaa
@stevinmwanzaa17854 күн бұрын
Mwamba huyo jpm
@husseinkatuga4143 жыл бұрын
RlP magu
@ungaroboungarobo55313 жыл бұрын
Am after the death
@frankkashner3 жыл бұрын
Nimemmis JPM nimeona nirudie speech za uwaziri za uraisi nimemaliza
@lonyorilaizer26493 жыл бұрын
Mpaka leo bado
@jumakapilima5674
2 жыл бұрын
Ni kweli, basi ni Ngasere na Al sayed tu kwakuwa hakuna barabara Mpwapwa
Пікірлер: 72
Kuna Watu Tumerudi Kumkumbuka JPM RIP Mzee Baba
Mungu mkubwa sana, tunakushukuru mungu kwa kutuletea mtu huyu walau nasi tumemtumia kwa kuasi kilichokupendeza, Amina mpokee muweke mahali pema peponi
Nimefika hapaa baada ya kifo 😭😭
@Mohamedkasim2
3 жыл бұрын
Hata mm
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@homeboybeyondtheborders4935
3 жыл бұрын
We citizen live his dreams forever
Mungu akupokee akusamehe dhambi zako na akuweke mahali pema peponi🙏🙏🙏
Ukisikiliza haya majibu yake, kuna sehemu anasema hela zilikosekana za kumlipa mkandarasi ndo maana ujenzi ukasimama kwa muda. Saa hizi chini ya uongozi wake hakuna hicho kisingizio ndio maana mkandarasi akizingua tu kinawaka. Hongera sana JPM
Greatest Of All Time (G.O.A.T) ❤️💪
Knowledge gives you a confidence.
Fallen hero, son of the land
Daaaa jamani nimefika hapa baada ya kufariki R..I.P baba tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi heri wafu wafao ktk Bwana na matendo yao huwafuata.Hakika matendo yako yamekufuata.
RIP John pombe magufuli
Dahh.. Noma Sana. RIP
Pumzika kwaamani baba yetu😭😭😭😭😭🤲🙏🙏🙏🙏
Huyu jamaa hata hapo alipokuwa akiongea yaani unaona Kama cheo hicho kilikuwa kidogo kwake yaani alishauvaa uraisi muda mrefu tu hapo ni Waziri lakini Kama vile raisi
@martinswai8031
3 жыл бұрын
Sauti ya mamlaka
@yusufuheri6524
3 жыл бұрын
Yahni
@mayalamasuka8983
3 жыл бұрын
Uko sahihi kabsa
Buriani mzee magufuri
huyu jamaa kweli ni mchapa kazi tangu zamani
Mungu akulinde mh. Dkt JPM HAPA KAZI 2
Mungu akulaze mahala pema pepponi,tulikupenda lkn Mungu kakupenda zaidi,
Daaah, tumebaki na videos zake tu 😒😒😒, RIP Magufuli
Ukiona unasifiwa sana baada ya kufa .....jua huyu mtu alikuwa mzuri na haki inadhihirika mara nyingi mara baada ya kufa ....watu wengi wazuri uzuri wao hujulikana na kusifiwa baada ya kufa mfano Ruge mutahaba, Gaddafi , ss magufuli
Big up Mzee baba
Apokelewe ktk makao ya milele
Nakupenda kwa kuwa unaipenda lugha yetu ila plz chukuwa juuhudi ya maksudi kukuza kiswahili
@athumanimtorya2513
5 жыл бұрын
Majid Omar the first place to
upumzike dr JPM
Huyo saivi ni muheshimiwa Raisi
@procazorla2027
3 жыл бұрын
Saivi ni Buriani 😭😭😭😭
RIP
RIP MWAMBA
Pumzika kwa amani JPM wew sio kiongoz tu pia ulikuwa mtumishi mwema
Akik mungu ana makusudi yke
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@madetetv6576
3 жыл бұрын
Badilisha sasa
Mwamba way back
Naam
Sijui bona m2 akifa tuna Anza kufutilia nikiwa mmonja wao napitia video zake 😭😭Rip
@junioryasin5306
3 жыл бұрын
Wanasema ishi upondwe kufa usifiwe
@joymsupagladysijeya8384
3 жыл бұрын
@@junioryasin5306 kabisa Aki
Buriani kamanda pumzika kwa amani
Mpaka reo haijaisha jpm hayupo kira kitu hovyo busy kuiba pesa
Kumbe barabara ya Mpwampwa ilianza kujengwa toka 2013, Dada yangu nataka utambue mpaka Leo 2021 bado haijakamilika,,,,,,,,na hakuna dalili ya kumalizika mwaka huu!
@herielstephenmsanga
4 ай бұрын
Hii ni 2024 na bado haijamalizika😮
Wengine tulimjua mapema na kwa maana hiyo hatushangai kwa kilichotokea maana alia mini katika ukweli.
Hili jembe kweli kweli ndomana Rais wetu
Rip magufuli
Jamaaa alikuwa anasoma sana yani
Professional killer na mtesaji mkuu
Mueshimiwa magu
RIP #JPM.bye #Daddy
Daaah
Hogera Sana
R.i.p jpm
Laaah JPM
john pombe joseph ulale salama umetuacha imara
noma nomaa
chuuumaaa
Mwamba huyo jpm
RlP magu
Am after the death
Nimemmis JPM nimeona nirudie speech za uwaziri za uraisi nimemaliza
Mpaka leo bado
@jumakapilima5674
2 жыл бұрын
Ni kweli, basi ni Ngasere na Al sayed tu kwakuwa hakuna barabara Mpwapwa
Alikuwa jembe
r i p
Failing to prepare is preparing to fail.
RIP